Thanks sister I'm glad to know the other simple way to use.
@mansourmoha43552 жыл бұрын
Mashallah nice
@nolimittvonline6822 Жыл бұрын
Mungu akubariki sanaa hujui tuu
@salmapaul53043 жыл бұрын
Mashallah
@HadijaSheban3 жыл бұрын
MashaaAllah nimezitamani na tena hizi ukianza kuzila husikii kuacha hasa ukiwa hujala😂😂na ziwe fresh utajutraaa shukran kipenzi ❤️
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Kujuta hasaa ni kunywa maji tu
@maryjoseph6973 Жыл бұрын
Umetengeneza vizuri na mi nitatengeneza
@siriyangu47243 жыл бұрын
Masha Allah shukran yani apo umetuokowa wengi mi uwanga nazipenda uko kutengeza kila cku na sema cna kifaa thanks so much mziwanda
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Your welcome my dear 😘😘
@najlaskitchen15723 жыл бұрын
Ma sha Allah,...nazipendaga hizi😋😋
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
😋😋🙏🙏
@annwambua34202 жыл бұрын
Napenda sana unavyo elezea!!!!!
@mwajumaulaya94822 жыл бұрын
Mahitaji jmn sijaelewa vzr
@sistermery45812 жыл бұрын
Dada I love you. Nimependa ulivyopika na ushauri wako pia ubarikiwe sana
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Amiin
@fotunathapeter24213 жыл бұрын
Nitajaribu njia hii maana me huwa natumia mifukotu,asante dear
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Hii nzuri pia dear
@stumayomary96413 жыл бұрын
Nataman sana kukupgia nafanyaje?
@newlife48593 жыл бұрын
🌹🌹🌹🌹
@shontellystephen74093 жыл бұрын
Ivi uo unga wa ndengu ni unga gn jmn
@laurenciapatric2622 жыл бұрын
Upo ukienda sokoni hua wanauza
@sistermery45812 жыл бұрын
Nimesabuzibuuu SI ndo subcrv
@mwakombobakari41642 жыл бұрын
Naweza tumia unga ngano
@dismassuperboy9077 Жыл бұрын
Samahani ety kwa Nini unaweka na u nga wa .mchele
@hidayaabdurahman75393 жыл бұрын
Somo zuri shukran San, je waweza eka unga wa mahind?
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Ndio unaweza pia
@sofiahassan7568 Жыл бұрын
Kongole kwa kuwa mwalimu mwema unaelezea kwa urahisi mno Asante
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Shukran
@sakinaboma9993 жыл бұрын
madam nataka kupakia uji kweny pumping bag nvalishe zile nozzle zakuandikia kwenye bag nkamulie jikon
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Itatoka moja moja ni sawa tu love
@joelkarata93993 жыл бұрын
Hello! Tunashukuru kwa elimu bora lakini jitahidi kutumia vipimo halisi mfano kilo nusu kilo badala ya vikombe ili iwe rahisi kwa wanafunzi wenu.
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Shukran kwa ushauri
@AnisiaMushi-zx7fg Жыл бұрын
huo unga wa Michele au corn flour ni lazm
@salmapaul53043 жыл бұрын
Dad kama sina unga wa mcher nafanyaj
@aminambwana1718 Жыл бұрын
Nilazima ueke baking soda
@babykasisi3073 жыл бұрын
Habari dear. Jumapili nimetafuta clip uliyopika hz chichiri kwako sikuona ila leo ndio nimeiona. Mie nilipika lkn sikutia mafuta, pia unga nilichanganya na wa mahindi na mafuta sikueka. Swali: mafuta usaidia nini. Je ukichanganya na unga wa mahindi nao auna shida. Asante sana poa samahani ka usumbufu @mziwanda bakers
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Hauna shida pia ila wa Mchele mtamu na mafuta husaidia zichambuke zisinyonye mafuta
@MaryamLyimo-vc7ps Жыл бұрын
Habari mamy ivi unga wa mahindi unasaidia nini na naeka kiasi gn?
@MaryamLyimo-vc7ps Жыл бұрын
Unga wa mahindi unasaidia nn mamy?
@MaryamLyimo-vc7ps Жыл бұрын
Alafu kilo natakiwa niuze sh.ngapi kwa bei ya jumla?
@iddymohamedy3476 Жыл бұрын
Mchele aina gani
@mercyambuka92143 жыл бұрын
Thanks ,still waiting for the mabuyu recipe Be blessed
@mziwandabakers82973 жыл бұрын
Thank you dear
@everetttobias70862 жыл бұрын
I guess Im asking randomly but does someone know of a way to log back into an instagram account? I was stupid lost the account password. I would appreciate any help you can give me
@brycereece66962 жыл бұрын
@Everett Tobias instablaster =)
@everetttobias70862 жыл бұрын
@Bryce Reece Thanks for your reply. I found the site thru google and I'm in the hacking process now. Seems to take a while so I will get back to you later with my results.
@everetttobias70862 жыл бұрын
@Bryce Reece It worked and I now got access to my account again. I'm so happy! Thanks so much, you really help me out !
@ZamdaKitota-lz3ng Жыл бұрын
Sasa hivi ukitaka kufanya biashara yake soko lake yani namaanisha sehemu ambayo zinaweza kuuzika ni wapi???
@user-jh5px2xl8u2 ай бұрын
Chooni
@miraclenziku7268Ай бұрын
Wanafunzi,mashuleni,
@masayimedia13202 жыл бұрын
Heiii
@levinakibuga6188 Жыл бұрын
Asante sana dada Kwa kufundisha vizur ,, je nikiihitaj machine ya tambi makadirio ni shi ngapi??