Nimekupenda bule kipenz duuh hongera sana wewe ni mtu na Upeo mwing
@Frankgamanuel2 жыл бұрын
We Mzungu Wa kichaga ni mjanja sana maana umeajili watu sahii ktk shughuli zako.Ubarikiwe zaidi
@gracemima52342 жыл бұрын
Nimekupenda bure. You are my type of a friend. Hongera sana mama
@rosestigeneriksson83872 жыл бұрын
Mmachame mwenzangu👍🤗🤗🇸🇪🇸🇪🇸🇪
@winniejustine20513 жыл бұрын
Duh ! Nimekupenda bureeee
@ludovicsaronganangawe27202 жыл бұрын
Hongera sana, umewahamasisha watazamaji kuwa wabunifu
@alfeokaguo16633 жыл бұрын
Hongera San mzungu wa kichaga kila ninapokusikiliza napata hamasa ya kufanya kazi na kujituma bila kusubilia ajira . Nakuubaaal San big up San
@marymathew65292 жыл бұрын
Hongera inaonesha hauruhusu fursa ikupite,hadi sunguraumeshafuga na bata pia, hongera sana tena sana.
@nakundwamkubwe78233 жыл бұрын
Mashallah Mwenyezi Mungu akuzidishie. Unaishi na ndoto zangu Madam Mzungu.
@magrethkimonge79232 жыл бұрын
Hongera sana Mzungu wa Kichaga,, naomba namba yako ya simu maana natamani kuja shambani kwako
@faboge2 жыл бұрын
the Swahili she speaks is enough to make you fall in love!
@smwansasu86052 жыл бұрын
Fred O. she is married oh!!!!!
@Da_Gee2 жыл бұрын
@@smwansasu8605 the pure Tanzanian Swahili. Thats how we speak in Tanzania.
@evachuwa38093 жыл бұрын
Ongera sana wajina na Mchaga mwenzangu mimi Niki Arusha natamani sana kufuga kibiashara hakika
@SilasshijaMangu4 ай бұрын
Kwa iyo hao n kienyej pure dada
@rehemamfuru-kimu32462 жыл бұрын
I.love this. Nimempenda sana huyu mchaga mwenzangu
@madamepilly68722 жыл бұрын
Hongera sana,nami natamani sana kazi hii,Ila sina pahali pa kufugia,mungu akusimamie
@gooddeeds162 Жыл бұрын
Kama upo tayari naweza kukusaidia eneo bure kwa mwaka mzima , Bure kabisa. Eneo lipo Bagamoyo Fukayose. Ningekukabidhi eka 1 utumie kwa mwaka mzima bure then baada ya hapo tuongee biasharA ya kulipia kila mwezi. Kama upo interested nambie. Asante
@carolinemariki40292 жыл бұрын
Nilipofanya hesabu ya 10,000 X 2500 X 7 X 4 kidogo ningeandika barua ya resignation. Barikiwa sana dada Mwnyezi Mungu aendelee kukusimamia..
@lauriankileo44332 жыл бұрын
Mzungu wa kichaga,hongera sana ninapatikana mbuyuni moshi.nipe mchapo.
@Frankgamanuel2 жыл бұрын
Ningependa kuja kujifunza kwako Mzungu Wa kichaga Mungu akubariki sana
@zainababas51392 жыл бұрын
Nàam nakupenda nitakutafuta mwenyezi mungu akupe afya njema
@wilberforceasumwa52202 жыл бұрын
Really inspired by this story, am ajournalist too,who has ventured in poultry farming, two months old,started kuku wa mayai tatu, sasa hivi niko nao 45
@OsmanK6992 жыл бұрын
Waah!! Mzungu wa kichaga apendeza sana. Kiswahili is such a beautiful language.
@morjanoman5181 Жыл бұрын
Ongera sana ndugu mimi. Nimeaza na ufugaji wa mbuzi lakini niko. Oman nimekuja kutafuta pesa hili nijenge badalakuku naomba namba nikiludi tz nikutafute
@peterwamwandawiro81263 жыл бұрын
God bless you more and more. Nitakuja tanzania kukutafuta siku moja. naitaji ujuzi wa kuku
@djdj3urj882 жыл бұрын
Wee dada hii ndoto yangu mungu aniwezeshe
@mulhatramadhan94253 жыл бұрын
Kwa kweli nimekupenda sana mzungu wa kichaga, Allah akubarik kwa roho yko ya kipekee, nami nitajitahid inshaAllah.
@user-re3zl1uj2c Жыл бұрын
Safi sana, Mini naguga kijijini ngambo Ukraine, Yani nymbani tunanguvu kali sana kwenye kilimo na nyanda zote za kiuchumi, Nawangalia weupe ninaoishinao yani hawatuzidi chochote sisi hatudhubut tu kufanya mambo makubwa kama utengenezaji viwanda mama, Nauwezo tunao akili tunazo, Maisha ni yale yale huku kijijini nilipo ni kama vile vile Africa. Lkn ufugaji ni wa milioni iwe nafaka au wanyama, bata batamzinga kuku na bustani ndogondogo kifamilia ni kama za Africa. Africa inatakiwa iwe ya kwanza duniani kwa sababu tuna human labour nyingi na yenye nguvu. Shujaa huyu kwenye hii podcast anamalengo ya kuuza nje, Kitu kibaya ni kama atatafuta hatua hiyo kupitia serikali, Maoni yangu ni bora apitie wafanya biashara wakubwa walio na ujuzi wa masoko ya nje, Kinacho ntia hudhuni tunadharauliana sana lAfrica.
@hellenmtei91492 жыл бұрын
Kuanzia Leo wewe ni role model wangu jaman! Sikuwah kufikiria Kama inawezekana hiv,am a journalist too, mwakan wa sita huu eti nasubir ajira,kumbe inawezekana!
@hilarymungure85903 жыл бұрын
Huyu dada anapenda kufuga kama mimi jmn
@fidesbenard28362 жыл бұрын
We acha tu Mimi mwenyewe napenda sana
@vitusdani40013 жыл бұрын
Hongera mzungu wa kichaga nimehamasika sana
@ajay05282 жыл бұрын
Imebidi niangalie upya she is amazing 🤩 sasa hawa ndio ma super woman 👩
@Frankgamanuel2 жыл бұрын
Ktk maisha unaweza kupita njia unayo tegemea kukufikisha ktk malengo au nia yako lakini ikawa tofauti ikakukatisha hata tamaa lakini hili ufike malengo lazima upite hizo njia cha msingi utakiwi kukata tamaa nikujiongeza na kusubutu. Ubarikiwe mzungu Wa kichaga
@annasilayo14052 жыл бұрын
Mwanamke wangu washoka super model wangu.
@neemamsisimsisi84402 жыл бұрын
Big up San dad we nimfano wa kuigwa
@jumasabour58863 жыл бұрын
big up, that is successful stories ..Am so admired to hear again and again. In fact Wish to be like you madam. lkn kwa mfano unaanza na kuku kumi unahitaji kupata banda la kukubwa gani
@faidaothman5463 жыл бұрын
Nimeipenda storia yake mzungu wa kichaga ila mm nahitaji km anakitabu ambacho kinaonesh njia au jinsi alivyoanza na mpaka kufanikiwa ili na mm nipate kupita nyayo zake
@dismassmariki69852 жыл бұрын
Inatia moyo kukusikiliza, hongera sana dada, uko smart sana 🙏
@farajasallah23382 жыл бұрын
Nimeongeza kitu, asante
@mohamedsayi70842 жыл бұрын
Hongela Sana dada yang umetufumbia macho
@arafakiloli7492 жыл бұрын
Masha Allah..napenda sana ufugaji huu.
@tianarest Жыл бұрын
Dada hongera sana ruwa nakutarame
@sammycharomwalili67282 жыл бұрын
Nakupenda sana mkulima mwenzangu
@alanusrespicius17963 жыл бұрын
Mida ya jioni ndo mida ya kupandana 😂😂😂😂😂😂
@mussaramadhani58082 жыл бұрын
Nice dada wa siha kwetu 💪💪💪
@angelsawere11142 жыл бұрын
Wasiha tupo juuu
@meritha84242 жыл бұрын
Dada nimekupenda wewe 😍😍 nitaiga mfano wako hakika
@ukweliunauma45703 жыл бұрын
Mimi nilikua mfugaji zamani lakini nilipata Green card kuja America lakini nimevutiwa sana na ufugaji wako Mungu akuongezee, Nikija Tz nitakutafuta namawazo ya kununua sehemu nifuge kuku wa kienyeji na tumai utafika maarifa iko siku ishallah. Ubarikiwe na kurespect sana huna stress hapo upeo na kuku wanatoa mawazo mabovu
@gilliardnkini27582 жыл бұрын
Hongera sana Makileo. Mungu abariki sana kazi za mikono yako. Uko vizuri sana. Kaa na ohoo Makileo.
@benmusa19882 жыл бұрын
Wow! This mama is a pro. I couldn't stop looking at her. Beautiful, intelligent, humble and very educative. How I wish she were available for marriage. Ha!
@owenyatv91422 жыл бұрын
naomba kuku moja dada yangu
@samsonthuo29962 жыл бұрын
kutoka kenya...nimeipenda hii sana.
@izraelyherman44672 жыл бұрын
Hongera na mm natamani kufuga sana kuku
@user-vp8yi1xe7l7 ай бұрын
Hogers sanaa mzunguu
@manasadunia34582 жыл бұрын
Masha allah napenda sana ufugaji
@yaredymyenda58443 жыл бұрын
kwa kweli dada kileo umenipachangamoto sana kuhusu mradi huu unapatikana wapi nataka kujifunza
@answardmsagati30452 жыл бұрын
Mbona wachaga huwa mnapenda kujisifia sana kila mtu anajua kutafuta pesa bwana
@nsiaelieza95682 жыл бұрын
Sasa Msagati unataka kulinganisha mchaga na mnyalu? Tulia dawa iingie
@goodlackriwa67282 жыл бұрын
We kubali aliyekupita kakupita tuu dawa ni kujifunza kutoka kwake sio kushindana.
@andrewkalubi35242 жыл бұрын
mzungu wa kichaga ungetupa mawasiliano ingekua poa Sana kwa sisi wa mikoani
@evelynmsoma97873 жыл бұрын
Hongera Dada,ila hujaweka mawasiliano yako
@wilsonkakanga5382 жыл бұрын
Hongera mpambanaji
@marrynyagawa69972 жыл бұрын
Hongera sana dada
@user-rp1kf1yv2i2 ай бұрын
Niko kwenye mandalizi ya ufugaji wa kuku wa kienyeji na napatikana morogoro lakini mradi wangu naenda kuufanyie kahama naitaji ushauri na namna ya kukuona ili nijifunze zaidi
@naftarinyakimwe79513 жыл бұрын
Asante, endelea kutupatia ushauli kuhusu chanjo zinazopaswa kwavifaranga na Dawa sahihi za kifaranga
@Maryam-yt8lw2 жыл бұрын
Mashaallah Allah akuzidishie
@geraldntalondo61103 жыл бұрын
Nakuelewaga sana dadaangu.
@clintonnjiku36163 жыл бұрын
Dadaa naitajii vifarangaa beii gan
@princessringo28792 жыл бұрын
Mbna unaniispire sasa😘😘😘
@salomerobert28162 жыл бұрын
Nimependa natamani
@akeem12212 жыл бұрын
Sasa ikiwa mambo ni hayo basi itabidi nirudi nyumbani mana hawa wazungu wananitita pressure humu. wala sioni mahali hela zinaenda.
@godfreymlanda51883 жыл бұрын
Vizuri sana nami natamani kuanza
@saidsalum8503 жыл бұрын
Hongera Sana dada
@innocentmushi45492 жыл бұрын
Kazi njema dadangu
@bensonlucas76073 жыл бұрын
Very Incaraging
@ngussamhingoarts8574 Жыл бұрын
Hongera sana kwa ufugaji ws kuku hawa ni croila au pure kienyeji?
@stellakatega96173 жыл бұрын
Big up👏👏👏
@esterjohn12772 жыл бұрын
Naomba elimu zaidi kuhusu ufugaji dada
@saidabdalla89962 жыл бұрын
Dada katulia sana
@mussaramadhani58082 жыл бұрын
Vzr ungetupa mawasiliano
@polycarppaschal9paschal4783 жыл бұрын
Nimeipenda sana
@januaryyotham86523 жыл бұрын
Kuku wa kienyeji wako taratibusan mpaka miez 7 had 8 kutaga.hao ni chotara
@braightonmalela25763 жыл бұрын
Hi nawezaje kukupata?unaweza kunisaidia kitu na mm.maana akili yangu inaugua sabab ya kufuga. Napenda mnoo
@morjanoman5181 Жыл бұрын
Nimependa nichukue fundisho kutoka kwako
@faisalikassim38372 жыл бұрын
Masha allah
@basilisamsaka84693 жыл бұрын
Ninamaono hayo dada, lkn!
@munuoisaack4184 ай бұрын
Aina gani ya hao kuku wanaotaga baada ya miezi minne jamani naomba mnijulishe huku mnaojua
@mokeya3 ай бұрын
Mh kumbe kuku anawez kulalia mayai bila ya kuatamia mwenyew duhh hapa ndo naanza kujua
@benitoilulatvpilla1442 жыл бұрын
Tunduma jakuna mbao umesahau nimafinga
@kekuandrew9497 Жыл бұрын
Dada samhani naomba no yako pia mimi ni mchaga naitwa keku
@jumahaji1083 жыл бұрын
Nice💞👍
@kishm9883 жыл бұрын
Safiii dada
@elizabethmanyara71192 жыл бұрын
Nafurahia mawazo yako dada, Mimi mkenya naishi Eldoret ningependa kuwasiliana na wewe tuongee biashara hasa vufaranga.
@munuoisaack4184 ай бұрын
Eva natamani kukuona niongee nawe kwa kina unisaidie kwenye hili eneo naomba msaada wako kama hitojali
@adinaniissa53102 жыл бұрын
Hongera Eva
@ohizafanuel83803 жыл бұрын
Hongera. Tunakupataje mwanangu
@juliusmfangavo29263 жыл бұрын
Namba yako ya sim ni ya muhimu Sana tunakupataje Mtani?
@vailethmasaki39472 жыл бұрын
Ongera msiha mwenzangu
@jimmykahindi92576 ай бұрын
Nikitaka vifaraga mzungu vya kuroiler coz nko kenya
@gracenkongo1993 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kwako Asante.
@fundiazamdstvstartimes65563 жыл бұрын
Well done
@mmwaapamghambonyi78362 жыл бұрын
Hustler nation!!!
@josephmalisa29872 жыл бұрын
Chamecha mae!
@ConsolataChafu14 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@catherinelandas193811 ай бұрын
We dada n mfano wa kuigwa
@nkawagalogistics61643 жыл бұрын
Hongela dada natamani kazi yako , can you please help me