Рет қаралды 6,020
Naibu rais Rigathi Gacahagua amelaumu wizara ya usalama wa ndani kwa kuhujumu vita dhidi pombe haramu. Amesema kuna viongozi ambao wanampiga vya kisiasa na sasa wamefikisha vita hivyo kwenye vita vya pombe haramu.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya