Naibu wa rais amekosoa vikali wizara ya usalama wa ndani

  Рет қаралды 6,020

NTV Kenya

NTV Kenya

10 күн бұрын

Naibu rais Rigathi Gacahagua amelaumu wizara ya usalama wa ndani kwa kuhujumu vita dhidi pombe haramu. Amesema kuna viongozi ambao wanampiga vya kisiasa na sasa wamefikisha vita hivyo kwenye vita vya pombe haramu.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Пікірлер: 12
@MrAloncyo
@MrAloncyo 8 күн бұрын
Focus on the issues at hand, mambo ya pombe wachia walevi.. Ruto must go
@Ignatiusmunyalo
@Ignatiusmunyalo 8 күн бұрын
focus the same energy in fighting corruption and bribery
@FatmaAli-dh1pd
@FatmaAli-dh1pd 7 күн бұрын
Matatizo ya problem au tofauti ya different
@tompeter1364
@tompeter1364 8 күн бұрын
Mark whose Government this is,...for William Ruto! All along, I have been thinking is the Government of,for and by the people😢
@FatmaAli-dh1pd
@FatmaAli-dh1pd 8 күн бұрын
Pombe haramu ni ipi na pombe halali ni ipi
@vumbisnap
@vumbisnap 7 күн бұрын
Pombe haramu ni pombe haijahalalishwa na serikali kuuzwa kwa raia. Mfano ni kama chang'aa, muratina, mnazi
@FatmaAli-dh1pd
@FatmaAli-dh1pd 7 күн бұрын
@@vumbisnap kwa hivyo kila tamaduni ni haramu za kigeni ni halali na yeye akija kijijini ataka hiki hiki cha haramu anapokosa kazi kijiweni pamoja haramu ni hizo zao baadae tutashindwa kununua.
@vumbisnap
@vumbisnap 7 күн бұрын
@@FatmaAli-dh1pd hapana madam haimaanishi za kitamaduni ndio haram na za kigeni ni halali, inamaanisha ile process imetumika kutengeza hio pombe ndio mbaya. Kwa mfano angalia video hapa kwa youtube ya chang'aa ikipikwa, inapikwa kwa kichaka na wanaweka dawa za maiti na nguo za ndani za wanawake, panya na vitu zingine mbaya. Kungekuwa na factories za kupika na zikue safi na kebs iwasaidie ingekuwa sawa. Kenya tuko na brands zetu local Zenye ziko poa kama chrome, hunters na zingine nyingi na ni za bei nafuu
@vumbisnap
@vumbisnap 7 күн бұрын
@@FatmaAli-dh1pd hapana sio hivyo ni vile hazipikwi vizuri na zinawekwa vitu kama dawa za maiti. Kenya iko na pombe zetu halali kama chrome na hunters na ni za bei nafuu
@paparonahtv
@paparonahtv 8 күн бұрын
Gachagua for president on 2027. Ruto na team ingine kama kindiki huyo mumama waende home 😂
@alexsimiyu8582
@alexsimiyu8582 8 күн бұрын
You are day dreaming
@Abdiazizmoha567
@Abdiazizmoha567 7 күн бұрын
Labda ni mamako araenda kwao umbwa wewe huna akili
NTV Livestream | July 2024
NTV Kenya
Рет қаралды 3,9 М.
Best father #shorts by Secret Vlog
00:18
Secret Vlog
Рет қаралды 21 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 25 МЛН
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 11 МЛН
Citizen TV Live
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 105 М.
tagesschau 20:00 Uhr, 14.07.2024
15:13
tagesschau
Рет қаралды 162 М.
'Kamanda wa TAKUKURU mchukue huyu' - Waziri Mkuu Majaliwa
4:40
EastAfricaTV
Рет қаралды 76 М.
Interview with ukranian Minister Federov
18:30
ZDFheute Nachrichten
Рет қаралды 10 М.
GEN-Z STORMS NAIROBI RUTO TUNAKUJA LUNCH SAI STATEHOUSE...
13:19
SAFARA GATHIMITI
Рет қаралды 313
Best father #shorts by Secret Vlog
00:18
Secret Vlog
Рет қаралды 21 МЛН