No video

Nakumbuka siku yule dogo aliponitaja | Askofu Gwajima asimulia kisa hiki tena

  Рет қаралды 192,821

Josephat Gwajima RudishaTv

Josephat Gwajima RudishaTv

Күн бұрын

Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time

Пікірлер: 358
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Ай бұрын
Nampendaga sana askofu gwajima nainjoy gwajima kuzaliwa Tanzania
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 3 жыл бұрын
Mzee Gwajima hakika ni baba sababu hakutaka kukimbizana bila kujiweka sawa. Umevamiwa , silaha huna na una Yesu unamwita Yesu akupe Majibu na silaha ya kutumia. EEEH mfalme teta nao watesi wangu kokote waliko silaha zao zianguke chini au ziwamalize wao kwa wao. Majaribu ni mengi na Mungu hashindwi lolote anafanya tu. AMINA.
@greathope2514
@greathope2514 3 жыл бұрын
Napenda maneno yako sana uko vizuri ijapokuwa sisi watanzania hatujui kumutumia mtu mwenye upoko wa hari ya juu
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 3 жыл бұрын
Nakweli “Upoko”
@sebastianmwita9149
@sebastianmwita9149 3 жыл бұрын
Barikiwa sana, baba Askofu mafundisho yako yamenipigisha hatua sana, umesababisha ndoto zangu zitimie haraka, kwa jina la Yesu kristu
@godfreymsendo5812
@godfreymsendo5812 2 жыл бұрын
"Ukiona Mungu ameona, "Ukisikia Mungu amesikia, "Ukisema Mungu amesema, Ukinyamaza Mungu amenyamaza ✊🏾🙏
@chikuluchidodokochiitingan340
@chikuluchidodokochiitingan340 3 жыл бұрын
Wewee ni munguuu eeeee.olee wakoo utakapokutanaa na mungu wa kwelii utajutaa";
@muudjumaa1841
@muudjumaa1841 3 жыл бұрын
Olee wake
@fredyona5780
@fredyona5780 3 жыл бұрын
Huyu kuna kitu anatafuta,akasome habari za mfalme nebukadineza
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 3 жыл бұрын
Hujui maandiko ama? Unashangaa nini sasa?. Biblia inasema "ninyi ni miungu wa dunia hii" sasa unashangaa nini?
@salomenachunga3590
@salomenachunga3590 3 жыл бұрын
Mafundisho makubwa haya, yanahitaji wenye uelewa mkubwa, yanawataka wenye kufahamu, ndipo watafahamu 😅 tunafundisha kwa hekima ya ki Mungu si dunia
@brothermoud631
@brothermoud631 3 жыл бұрын
@@richardboaz-mashagospel2346 wee zombi sana .... Kwaiyo na ww ni mungu
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 3 жыл бұрын
Mimi ni mtoto wa Bishop Amon Lukama....your message bishp is beyond explanation...extremely powerful. Thank you!
@christophermika6968
@christophermika6968 3 жыл бұрын
wewe Pastor duu!! Majeshi majeshi kweliii
@fettycute3939
@fettycute3939 3 жыл бұрын
Amen nakuelewa sana baba napenda mafundisho yako
@bejishful
@bejishful 3 жыл бұрын
Amen, mtu ukinijia hovyo jiandae kufa!! Asante baba!
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 3 жыл бұрын
Mie najua Amina team msoga walioguswa juu ya madawa ya kulevya wamekutuma uwasafishe maana uliwachafua sana
@rachealmwale3897
@rachealmwale3897 3 жыл бұрын
Nafuta kila laana ya kichawi kwa jina la yesu...Amen mtumishi gwajima.
@julieluziga1095
@julieluziga1095 3 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni azidi kukuinua baba. Mimi si muumini wako lkn napendaga hekima zako za Kimbingu. Mafundisho yako huwa yananitafakarisha upya kuhusu Mungu!
@kaizamulinda633
@kaizamulinda633 3 жыл бұрын
Asante sana mchungaji. Natamani sana ungetwambia kama ni wewe uliyetusaidia kuondoa lile tatizo lililokuwa linatunyima ajira.
@tanunewstz
@tanunewstz 3 жыл бұрын
I understand you properly bishop gwagima
@ariganyiraraymondbruce.1815
@ariganyiraraymondbruce.1815 3 жыл бұрын
Amen chombo cha Mungu.nibebarikiwa Sana
@festusikwabe3416
@festusikwabe3416 2 жыл бұрын
This is my massage. Bishop you are a heavenly mouth piece. Thanks daddy.
@JeanPatrickBuhashe-ib2my
@JeanPatrickBuhashe-ib2my 7 ай бұрын
Baba mungu wako awe mungu wangu piya neema yako ini tawale mungu akufikishake hata suku moja huku congo(Bukavu)
@rachealmwale3897
@rachealmwale3897 3 жыл бұрын
Amen..kesho yangu imeandaliwa na Mungu aliye hai...Amen mtumishi gwajima Mungu azidi kukuinuwa zaidi.
@valenakomba4453
@valenakomba4453 3 жыл бұрын
Sasa je ni kweliiii? Au uwongo ooo!. Hebu tuambie huku ukimwogopa Mungu. Maana sisi hajui kinacho endelea. Msituingize kwenye mataa.
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
KAMROGA MAKONDA HUYO ANAPENDA UCHAWI.
@sebastianmwita9149
@sebastianmwita9149 3 жыл бұрын
Baba askofu yupo sawa, mimi tokea nianze kufuatilia mafundisho yake, kiukweli nimekuwa nipo tofauti sana, nimeanza kumfatilia tokea 2017, kabla ya hapo nilikuwa simjui na nilikuwa sijawai kulisikia jina lake Popote pale, ila nilianza kumsikia kipindi cha mchakoto wa katiba mpya, alipompa makavu KADINALI PE- -GO
@SamsOleupendo
@SamsOleupendo Күн бұрын
Amina pastor
@davidjasony8525
@davidjasony8525 Жыл бұрын
Mwanao nakupenda sana baba ishi hekima yako waione wajukuu zangu Nina miaka 27 hivyo ishi miaka 100+
@mosesmwailenge5192
@mosesmwailenge5192 3 жыл бұрын
Gwajima kama huyo alikulaani akalaniwa alitaka akufutilie mbali akapotea yeye basi Mimi moses mwailenge nakubaliki kama yesu aishivyo uwe na mwisho mwema saana ili namimi nibalikiwe Amina nakupenda saana msema kweli bila kutazama sula🙏🙏🙏
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Yesu ninani jamani
@charlesnkasi9904
@charlesnkasi9904 3 жыл бұрын
YANI MCH.GWAJIMA MIMI NAGUSWA SANA NA MAHUBIRI YAKO NAYAPENDA NA PIA NAKUPENDA SANA MANA UNASEMA UKWELI,WEWE NDO ELIA WA SASA.
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Eliya😅😅😅😅😅 Hivi wewe unasomewa biblia au unasoma mwenyewe???
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Hujaiona Video yake na yule mwanamke????
@kingmwaxoh6420
@kingmwaxoh6420 3 жыл бұрын
@@myself4128 yale mauno sasa
@GisubizoTheddy-xg3mh
@GisubizoTheddy-xg3mh Ай бұрын
Hongela mno BaBa yangu
@ernestmbwana6282
@ernestmbwana6282 3 жыл бұрын
Barikiwa sana Pastor. Sijaokoka ila Napenda Sermon zako ni so Special ..
@emanuelandronicus2574
@emanuelandronicus2574 2 жыл бұрын
Una kazi moja tu muamini Yesu tu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako na neema yake itakuwa juu yako yohana 3:18
@agnesmuthara3481
@agnesmuthara3481 2 жыл бұрын
Okoka basi kaka
@eddyjunior2881
@eddyjunior2881 Жыл бұрын
Karibu kwenye WOKOVU bro
@davidlaurent1651
@davidlaurent1651 3 жыл бұрын
Gwaji boy is my favorite mentor of all the time
@careendeni6580
@careendeni6580 3 жыл бұрын
With that name, did you call him your..... 😪 So sad
@fredrickshantiwa9710
@fredrickshantiwa9710 3 жыл бұрын
Kweli kabisa...ameni
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
@@careendeni6580 UNATAKA AMWITE MUNGU??????
@wiz-Dankala
@wiz-Dankala 2 жыл бұрын
Baba gwajima nakupenda sana,adui ni wakupigwa Sawa sawa
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 3 жыл бұрын
Sifa kwa Mungu Baba yetu
@abelmbilinyi7401
@abelmbilinyi7401 3 жыл бұрын
Mafundisho na mahubiri yako yananipatia nguvu ya kuendelea na maombi ya kupambana na vikwazo katika matarajio yangu ya kila siku na familia yangu
@ignasiissaya1718
@ignasiissaya1718 3 жыл бұрын
Mahibili mazuri Bishop.
@godfreyapolnary5856
@godfreyapolnary5856 3 жыл бұрын
Yes mtumishi wa mungu nimekuelewa
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 3 жыл бұрын
Mithali :141: 3,na zab: 39:1 omba sana hii mtumishi wa Mungu .adui Ni wengi.usikubali kutumuka.niliona wakati mbunge fidodilo akijaribu kupunguza nguvu zk za kuitetea chanjo .ila wewe unasimamaga kwenye kweli. Malinda alituokolea vijana wetu na madawa ya kulevya ivo mwacheni
@cocotz1892
@cocotz1892 Жыл бұрын
Kweli hayupo Mungu ni mkuu sana.
@BENCOLE510
@BENCOLE510 2 ай бұрын
Mbona karudi
@merianmasangya6834
@merianmasangya6834 3 жыл бұрын
Mungu tusaidie!
@hellenmarandu1787
@hellenmarandu1787 Жыл бұрын
Asante kumbe nanolewa. Asante yesu.
@raymondsekabigwa5907
@raymondsekabigwa5907 2 жыл бұрын
Hi si injili ya Yesu
@nicotv4162
@nicotv4162 3 жыл бұрын
Muda ni muamuz wa mwisho, sote tutahukumiwa na Mungu mmoja, wakati ukifika basi wew na makonda Mungu atamchagua wake msema ukweli
@rithersospeterkati3355
@rithersospeterkati3355 Жыл бұрын
Amen Amen baba. Nimepata nguvu ya kusonga mbele. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🤺🤺
@seifmohamed836
@seifmohamed836 3 жыл бұрын
wewe nimungu duhhhhh pole sana umepotea gwaji boy
@eugenedesdery9879
@eugenedesdery9879 3 жыл бұрын
Mimi ni mtoto wako japo hunifahamu nakupenda sana baba
@danielhumble4292
@danielhumble4292 3 жыл бұрын
Unamaanisha baba aliyekuzaa au kiroho
@eugenedesdery9879
@eugenedesdery9879 3 жыл бұрын
Yote mema
@danielhumble4292
@danielhumble4292 3 жыл бұрын
@@eugenedesdery9879 Unamaanisha nini kusema yote mema??
@eugenedesdery9879
@eugenedesdery9879 3 жыл бұрын
Namaanisha yeye ni baba yangu kama yeye alivyo ndivyo nilivyo
@danielhumble4292
@danielhumble4292 3 жыл бұрын
@@eugenedesdery9879 Hongera ila inauma sana kumfaham baba yako afu yeye hakujui hii ni laana hakikisha unamwendea akujue usije beba laana hiyo na wewe
@kipfitke
@kipfitke 3 жыл бұрын
You have a point pastor
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 3 жыл бұрын
WACHAWI WACHAWI WACHAWI wanahangaika na hatima zetu. He rode, Yusuf Yesu Kristo na mamajusi oooh.
@dizla_mgz
@dizla_mgz 3 жыл бұрын
Kisasi ni cha Mungu , Yesu alisema akikupiga shavu la kulia mjeuzie na la kushoto
@emmiesulee4620
@emmiesulee4620 3 жыл бұрын
We unaweza kugeuza Ilo shavu🤣🤣🤣🤣 Ni mwendo wa vitasa tu
@francofrederick972
@francofrederick972 3 жыл бұрын
Lungu la BWANA ubarikiwee
@Pastor1815
@Pastor1815 3 жыл бұрын
Hallelujah hallelujah
@gracenyangusi6230
@gracenyangusi6230 3 жыл бұрын
Kabisa! Bwana Yesu niwezeshe.Sio mchezo. Kati kati kabisaa
@michaelekai8225
@michaelekai8225 3 жыл бұрын
I really like this...
@nadiasarah8844
@nadiasarah8844 2 жыл бұрын
Hallelujah
@georgemwapela1654
@georgemwapela1654 3 жыл бұрын
A very touching interesting true story...It happened in my own life..Right now A'm waiting for my blessings In Jesus Name....
@JohnCIZA-Kusinza
@JohnCIZA-Kusinza 10 ай бұрын
Amin
@venancemwalukasa6197
@venancemwalukasa6197 3 жыл бұрын
Mungu ametupa neema ya kusamehe hata ungetendewa
@scovianalubega9221
@scovianalubega9221 3 жыл бұрын
AMIINA IN Jesus name amen
@siredwarddonald7110
@siredwarddonald7110 3 жыл бұрын
Uko sawa Baba Bishop
@tanunewstz
@tanunewstz 3 жыл бұрын
AMEN , AMEN in jesus name.
@FrankMichael-us4dr
@FrankMichael-us4dr 6 ай бұрын
Wewe sio mungu tangua kauli yako baba ila tunakupenda
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 3 жыл бұрын
Uzuri na raha ya Uwepo wa amaan Tz Congo, Somalia nk (kulikotoweka amaan) ni shida. WaTz tuilinde amaan yetu. But all in all dunia ni mapito na starehe zamuda. Mungu Mola Muumba anazo siri za kila mtu na siku ya hukumu/siku ya Kiama ndo kitaeleweka yapi magugu na ipi ngano. MWENYEMASIKIO NA ASIKIEEEEE
@joycelaizer4600
@joycelaizer4600 Жыл бұрын
Askofu Ngwajima naomba uwe baba yangu wa Hiari
@victormbaga5772
@victormbaga5772 3 жыл бұрын
Uko vizuri mno usivunjwa moyo na comments za watu wa dini hawajui mambo ya rohoni hawajui Biblia ni watu wa liturugia ua wachwi usiache waishi
@sulemanishushaalain5171
@sulemanishushaalain5171 Жыл бұрын
Nakupenda sana baba kwa maubiri zako
@yvesntawuyamara1972
@yvesntawuyamara1972 3 жыл бұрын
Warola 12:17-21. 17.Msimlipe yeyote uovu kwa uovu. Zingatieni mambo yaliyo mema kulingana na maoni ya watu wote. 18 Ikiwezekana, kwa kadiri inavyowategemea ninyi, fanyeni amani na watu wote. 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi bali iachieni nafasi ghadhabu; kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.” 20 Lakini, “ikiwa adui yako ana njaa, mlishe; ikiwa ana kiu, mpe kitu anywe; kwa maana kwa kufanya hivyo utakusanya makaa ya mawe yanayowaka juu ya kichwa chake.” 21 Usiache ushindwe na uovu, bali endelea kuushinda uovu kwa wema.
@charlesemidy2615
@charlesemidy2615 3 жыл бұрын
Ameen
@shukuranikibona5893
@shukuranikibona5893 3 жыл бұрын
Umenigusa sana ndugu yangu...Naomba tutafutane Facebook...Natumia jina la "Boaz Kibona a.k.a Sir:Kibo@Gold.!
@farajachesco985
@farajachesco985 3 жыл бұрын
Kwan amesema alipigana kimwili? Alipigana kwa maombi acha kuhukumu
@atusbaraka
@atusbaraka 3 жыл бұрын
I like it
@dizla_mgz
@dizla_mgz 3 жыл бұрын
Yesu alisema akikupiga shavu la kulia mjeuzie la kushoto usimlipize
@anglestinailungu9252
@anglestinailungu9252 2 жыл бұрын
Mkutano wa lnjili Chamwino Dodoma Tarehe 4 Josephat Gwajima
@Star-qf7ls
@Star-qf7ls 2 жыл бұрын
Hallelujah praise the Lord
@victormshindi9636
@victormshindi9636 3 жыл бұрын
Asante Baba
@ausilyokisinini8315
@ausilyokisinini8315 3 жыл бұрын
Amen nafarijika sana kaka kwamaubili
@sulemanishushaalain5171
@sulemanishushaalain5171 Жыл бұрын
Amen
@wiz-Dankala
@wiz-Dankala 2 жыл бұрын
Amen,hiyo kweli.
@herodeshoo8070
@herodeshoo8070 3 жыл бұрын
Hilo la mayahudi nimekuelewa sana
@hbdina
@hbdina 3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️Love it
@stephennzowa9245
@stephennzowa9245 3 жыл бұрын
Amen Baba
@sadickwoka966
@sadickwoka966 3 жыл бұрын
Barikiwamtumishi.
@enjoysoccer1
@enjoysoccer1 3 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki
@gracenyangusi6230
@gracenyangusi6230 3 жыл бұрын
Amekupigisha hatua mbele kwenye mema. Safiii
@ngeleloembete2956
@ngeleloembete2956 10 ай бұрын
JUMA PILI YANGU YALEO IMEPITA VYEMA ZAIDI ❤❤ ❤!
@gallousgosbert4993
@gallousgosbert4993 3 жыл бұрын
NAKWELI UMEMTOA KATIKA ULIMWENGU WA KISIASA NA KUTOKUKUBALIKA NA WATU DUUH NA WEWE UMEINULIWA KWENYE ULIMWENGU WA KISIASA.
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
KAMROGA NA MAMBO YOTE YA WACHAWI ANA YA JUWA YEYE.
@amanimanase1591
@amanimanase1591 3 жыл бұрын
@@salimsaid7200 si mwingine ni makonda eti
@munjalwinking
@munjalwinking 3 жыл бұрын
FROM NOWHERE !! JESUS CHRIST !! FROM NOWHERE 😭😭
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 3 жыл бұрын
Yesu hakuludisha ovu kwa ovu bali kwa mema hichi kipimo kinaonyesha kuwa ni mwongo wazi na ni mtaftia tumbo pia uwezi jifananisha na Mungu we wakuingia chooni
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
TAMAA ZOTE ZA KIDUNIA ANAZO MPAKA UWIZI WA KURA YEYE.
@josephjustine6414
@josephjustine6414 3 жыл бұрын
Soma vizuri bible yako, unaweza kulaumu usilolijua
@apostlerevchuwa6791
@apostlerevchuwa6791 3 жыл бұрын
Nzuri sana
@jeridaishengoma2565
@jeridaishengoma2565 3 жыл бұрын
Amen amen
@francofrederick972
@francofrederick972 3 жыл бұрын
Nakupendaa kwa mapoint
@yusuphjonathanmwanzonje9902
@yusuphjonathanmwanzonje9902 3 жыл бұрын
Aamen
@paulmwakipesile32
@paulmwakipesile32 3 жыл бұрын
Amina🙏🏽
@user-pc8ot2ok6v
@user-pc8ot2ok6v Ай бұрын
Ujumbe huu umenigusa ktk malawi
@zimbatv4446
@zimbatv4446 3 жыл бұрын
Real talk
@MirriamMeshach-j2c
@MirriamMeshach-j2c Ай бұрын
Wacha wazidi kunitegeneneackeshovyangu
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 3 жыл бұрын
Mimi sio msharika wako ila nakupenda sana sababu ya mahubiri yako. Yanachoma ila yanajenga
@salhaeliya8330
@salhaeliya8330 3 жыл бұрын
Amen baba
@godfreymasele8853
@godfreymasele8853 3 жыл бұрын
Ameeeeen
@christinamngara8277
@christinamngara8277 2 жыл бұрын
yesssssssssssssssssssssssssssssssss
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Mtihani wallah Leo kuona binaadamu wanajiita miungu Allah akuongoe ujue kwamba yeye tu ndio mungu wa pekee nakama sio mtu wa kuongoka basi allah akupe maradhi ya kuanguka hovyo duniani na akhera sasa umevuka mipaka unajifanya firauni
@salimsuleiman6969
@salimsuleiman6969 3 жыл бұрын
Namuonea mpaka huruma
@salimsuleiman6969
@salimsuleiman6969 3 жыл бұрын
Mungu gani ww unapanda ndege acha kudanganya watu......subiri ufe ndio utamjua Mungu
@barnabasmajige8473
@barnabasmajige8473 3 жыл бұрын
Ww Salim Suleiman ni mpumnavu ktk wapumbavu kwan ww unajua hautakufa kweli amakweli mpumbavu ni mpumbavu siku zote za maisha yake
@salimsuleiman6969
@salimsuleiman6969 3 жыл бұрын
Acheni kupelekeshw nyinyi ......ww u amjua Mungu, ???? Yeye kama ni Mungu mbona hafufui watu waliokufa anawapanga watu na.kuwadanqanya wapumbavu kaa nyinyi
@barnabasmajige8473
@barnabasmajige8473 3 жыл бұрын
Tatizo ni ww kujiona uko bora zaidi na hiyo dini ya majini na mapepo, hauna ishu za maana zaidi ya usenge na unafiki!!
@salimsuleiman6969
@salimsuleiman6969 3 жыл бұрын
Jiongeze ww umeumbw na akili acha kupelekeshwa ......huyo gwajima anajua kila kitu anafanya hivyo kwa maslahi tu..unamfata huyo utaenda kumjibu nn Mungu aliekuleta duniani
@barnabasmajige8473
@barnabasmajige8473 3 жыл бұрын
Kwan hao akina sule na mwaipopo ambao ni waganga wa kuuza madawa kwa kichaka cha dini unajua wanakokupeleka au unaongea km mtu usiyekuwa na hekima na neno la Mungu!!!
@kalaisonimwampashi-1gym387
@kalaisonimwampashi-1gym387 3 жыл бұрын
Jesus is power 🥊
@annejacobilkiuyoni2971
@annejacobilkiuyoni2971 3 жыл бұрын
AMINA
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 3 жыл бұрын
Done ✅
@charlesemidy2615
@charlesemidy2615 3 жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU simlienda hadi kwa Kadinali Pengo,Mkashikana hadi mikono hujasamehe tu. Samehe mbona Mungu anatusamehe, Kingine umeshasema mdogo wako bac samehe. Yesu alichotendewa hapa duniani vilitisha ila alisema neno moja tu, BABA WASAMEHE KWAMAANA HAWAJUI WALITENDALO Takuomba mch.pia nawe usamehe. Yote yatendekayo niyahapahapa duniani.
@hamislipangine5109
@hamislipangine5109 3 жыл бұрын
Ilikuwa kabla
@victorkabingo888
@victorkabingo888 3 жыл бұрын
Uyu mchungaj mm simuelewagi,sindoalisema awezi kuwa mbunge lkn saiv kama kawa
@marumbamgeni4796
@marumbamgeni4796 3 жыл бұрын
Good
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 3 жыл бұрын
Yaani bado kuna watu wanamuamini huyu, kazi ipo
@salimsuleiman6969
@salimsuleiman6969 3 жыл бұрын
Mungu kapanda ndege
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 3 жыл бұрын
Mtihani kaka
@emmanueljuvieh4316
@emmanueljuvieh4316 3 жыл бұрын
Umekosea ukinyamaza Mungu husema
@Pastor1815
@Pastor1815 3 жыл бұрын
Zaburi 35:4 [4]Waaibishwe, wafedheheshwe, Wanaoitafuta nafsi yangu. Warudishwe nyuma, wafadhaishwe, Wanaonizulia mabaya.
@edwardnamakonde7310
@edwardnamakonde7310 3 жыл бұрын
Amina
@markh8142
@markh8142 3 жыл бұрын
Fact
@hermanmollel7134
@hermanmollel7134 3 жыл бұрын
Time will come.. kuna siku itafika, sio mbali tutatoka gizani.. tutajua kweupe
ASKOFU GWAJIMA | Kutoka kuwa mchoma  mkaa mpaka kumiliki Helkopita
16:18
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 214 М.
Люблю детей 💕💕💕🥰 #aminkavitaminka #aminokka #miminka #дети
00:24
Аминка Витаминка
Рет қаралды 662 М.
ROLLING DOWN
00:20
Natan por Aí
Рет қаралды 11 МЛН
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 3,8 МЛН
WEWE UNASEMA UNAOGOPA KUOA HALAFU UNAKULA KWA WAKE ZA WATU "PASTOR MGOGO
1:19:25
Pastor Daniel Mgogo
Рет қаралды 545 М.
Vita kati ya Vijana na Nguvu za Giza Part 1
20:46
EAGT CHEMCHEM TV
Рет қаралды 51
DR.GWAJIMA AWEKA WAZI NDOTO YA UKOMBOZI WA UCHUMI WA TANZANIA
59:18
huduma ya kristo
Рет қаралды 20 М.
Askofu Gwajima anena mambo mazito kwenye ibada ya Jumapili
27:28
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 119 М.
ASIJE AKAPATA KUKUSHINDA: BISHOP DR JOSEPHAT GWAJIMA: MOSHI DAY SEVEN: 18.01.2020
1:35:09
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 17 М.