NAVUTA DAWA ZA KULEVYA NA BABA YANGU MZAZI TUOKOENI NA MATESO HAYA

  Рет қаралды 19,247

SOBER HOUSE TV

2 жыл бұрын

#saynotodrugs #soberhouse #rehabilitation

Пікірлер: 99
@womanofsteel1402
@womanofsteel1402 2 жыл бұрын
Mungu wangu!! Pole dada na Iman sister pili atakusaidia utapona urud kwenye hali yako ya kawaida,Sister pili Mwenyezi Mungu akusimamie
@ricco_junior
@ricco_junior 2 жыл бұрын
Huyu Mody Masha Allah, Mungu Amuongoze, Yuko Na Huruma Sana, Na Allah Ailende Hio Familia Yote Pamoja Na Wewe Dada Pili
@MariamIbrahim-h7p
@MariamIbrahim-h7p Ай бұрын
Mungu tunusuru
@webstersinje7712
@webstersinje7712 2 жыл бұрын
Once you use once you loose,never choose,tuombeane Mungu haya mambo ya uraibu ni noma sana....Kunta...Kinte.
@yhasintakalenyula970
@yhasintakalenyula970 2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu tuhepushie mbali na hili janga...Na hawa wanatumia uwape wepesi waache.Pili Mwenyezi Mungu azidi kukubariki.
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 2 жыл бұрын
Aamin
@salmasururu4622
@salmasururu4622 2 жыл бұрын
Aaaaaaaamyn insha'Allah 🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏
@athleticssportshub5505
@athleticssportshub5505 2 жыл бұрын
Yoh, unafanya kazi nzuri SOBER HOUSE. A lot of love from Kenya. May God continue blessing you.
@zettyhassani2244
@zettyhassani2244 2 жыл бұрын
Subhana allah
@waheedaw1953
@waheedaw1953 2 жыл бұрын
Dada pili pole sana inshaAllah tukijaaliwa tuko pamoja na wewe inshaAllah
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 2 жыл бұрын
Huyu Asha anamaneno ya kibabe, akikata moto akate2, M/mungu akujalie maisha marefu yenye hery Da Pili uweze kuwasaidia na wengine🙏.
@eashaeasha9776
@eashaeasha9776 2 жыл бұрын
Wallah samahani nimejikuta nimecheka hapo alipo sema anamuacha mgonjwa kwenye foleni anachukua boda fasta kustua daaah
@salmahhamoud9966
@salmahhamoud9966 7 ай бұрын
Pole dada angu mungu akutie nguvu kwenye kusaidia ndugu zetu
@hadharaalli5201
@hadharaalli5201 2 жыл бұрын
I love 💕 you dada pili upendo WANGU sijui nikuelezeeje mungu akulinde na Kila mtihan uzid kuwasaidia waadhirika na madawa ya kulvya
@petriciajohn1245
@petriciajohn1245 2 жыл бұрын
Hongera Da Pili kazi nzuri
@nooroman2535
@nooroman2535 2 жыл бұрын
MashaAllah Mudi ogera sana
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 2 жыл бұрын
Subhanaallah
@arafakiloli749
@arafakiloli749 2 жыл бұрын
Subhannahllah Yarrabi tuepushe na mitihani hii.
@janeongala6684
@janeongala6684 2 жыл бұрын
Uyu dada anapenda unga mungu amponnye
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 2 жыл бұрын
Mashaallaah
@irenebarakelimnene4895
@irenebarakelimnene4895 Жыл бұрын
Dada pili Mungu akubariki jàmani 😊
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 2 жыл бұрын
Yaani hili ni janga ila Dada pili mungu akusaidie Nina kaka angu muhanga natamani siku moja umsaidie atoke katika hili janga wallahi
@mariamumaliki6980
@mariamumaliki6980 2 жыл бұрын
Yani huyu kaka mungu amsimamie
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 2 жыл бұрын
Aamin
@alexlenkishon3988
@alexlenkishon3988 2 жыл бұрын
Hongera Sana dada
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 2 жыл бұрын
Subhana llah
@aishachambo8663
@aishachambo8663 2 жыл бұрын
Baba wa hovyo sana kaaribu kizazi chake duh😢😢😢😢😢😢
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atakulipa dada pili misana napoya mungu awalaani kabisaa wotee wanao leta madawa yakulevyaa
@aishahussein9348
@aishahussein9348 Жыл бұрын
Mungu atakulipa dada pili
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 2 жыл бұрын
baba yetu mwenyewe baba yetu jina tu baba mshikaj yan kila tukikutana kila mtu na zake ashtuki😂😂😂
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 2 жыл бұрын
Atari sana mungu amsaidie Asha
@shailamunis9867
@shailamunis9867 2 жыл бұрын
Subhaanallah!
@ruwaidaal-ismaily9099
@ruwaidaal-ismaily9099 2 жыл бұрын
Huyu mama chizi kweli Allah amuongoze mkaidi kupitiliza dah Allah Awalani wote wanao uza ungaa
@maidamwaipopo9603
@maidamwaipopo9603 2 жыл бұрын
Sio yeye hapo kavurugwa
@fauziaomary8903
@fauziaomary8903 2 жыл бұрын
SubhannaAllah mtihani huu YA'ALLAH
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 жыл бұрын
Dada inabidi upate msaada serikarin ili uenderee uzudi kusaidia watu
@salhashariff8808
@salhashariff8808 2 жыл бұрын
Allah amuongoze amtoe ktk mitihan hii
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 Жыл бұрын
Mtihani yarabi tunusuru sisi na watoto wetu na watoto wa wezetu hili jannga ni mtihani kweli kumbe huyu ni mwanamke pole dada namuomba mungu kaka yangu azidi kukuongoza dada pili wewe ni mwanamke wa kuku ingwa
@graciousmbise5464
@graciousmbise5464 2 жыл бұрын
Huy asha jaman et baba akate moto ss tunamajukum😭😭😭😭 mung anamuona
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Leo nimemsikiliza huyu nimewachukia wauza madawa kumbe yule mtoto wa wifi yangu ndo alikuwa anajisikia hv kwa hiyo hizi dawa nikuharibu watu tu
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 2 жыл бұрын
MashaAllah..ilaa pole dda etu utapona tu
@gladnessnkya1169
@gladnessnkya1169 11 ай бұрын
Mungu simana duh 😢
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 2 жыл бұрын
Subhanallah
@roselambert6700
@roselambert6700 2 жыл бұрын
Ooh jamani inaumiza sana
@kiri5807
@kiri5807 2 жыл бұрын
Hiyo yote ni hukumu ya Mungu . ukimfanyia mwenzio ubaya utazunguka mwisho unarudi kwako . Ona mxee kauzia watoto wa wenzake unga toka wanawe hawajazaliwa , mpaka wameyashuhudia ikisha huo huo unga wake wameanzishiwa wanawe kupitia marafiki anaowauzia . Mwache afe tu yeye kashauwa wengi .
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 2 жыл бұрын
Pili Mungu akulinde wallah 🤲🌹
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Mdi mzuri jamani
@victorsanga2229
@victorsanga2229 2 жыл бұрын
Duh, madawa mabaya sana
@bahatishabani1392
@bahatishabani1392 2 жыл бұрын
Huyu dada anaonekana angekuwa si mraibu angekuwa na akili sana coz anaonekana anajielewa
@nusrathmanyawa4501
@nusrathmanyawa4501 2 жыл бұрын
Umenuna kisa unga au jamani wauza unga Acheni mnawaharibu watu daaaah!
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 2 жыл бұрын
Anaeumwa aumwe atakaekufa afe daaa.,.😭😭
@Boaz22
@Boaz22 2 жыл бұрын
Anataka cha mwisho,aisee,madawa ni mapepo aisee
@asiaoman3040
@asiaoman3040 2 жыл бұрын
Jmn😢😢😢
@hammerQ954
@hammerQ954 2 жыл бұрын
Dah sister arosto ya mwisho mwisho hiyo hapo kwenye koo kunakua km kukavu hivi 😁 taya zinajaa mate ya hamu na hata yakishuka hayalainish koo na macho kama yanataka yatoe machozi , yanachomacoma flan kichwani ndo unakua huelewi kabisa kiasi cha kwamba unaweza mjibu mtu kitu chochote 🤦‍♂️Aisee M/mungu atusaidie 🙏🙏🙏 awatoe wote walioko huko 🙏🙏🙏
@Nimebarikiwa
@Nimebarikiwa 2 жыл бұрын
Na ww ni mmojawapo?
@safiayussuf9308
@safiayussuf9308 2 жыл бұрын
Umeokoka kwa Unga. Ss unaishi na mtu? Hujuwi hiyo ni dhambi? Kuzini?
@rahmasoliman489
@rahmasoliman489 2 жыл бұрын
Mtihani kwakweli Dada vumilia Tu yataisha
@khayratmhina3735
@khayratmhina3735 2 жыл бұрын
Nilijua wakiume
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Wewe fanya uowe usizini mtihani huo hii mtihani mkubwa huo mbele ya mungu mungu anisuru na shida hizo
@KhalidKhalid-ox4pg
@KhalidKhalid-ox4pg Жыл бұрын
AISHA OMAN 🇴🇲MUNGU AWASAIDIE WAUPUKANE NA JANGA ILI YAANI MTIHANI MKUBWA
@fetychina3969
@fetychina3969 Жыл бұрын
😂😂😂dah!unga eti atakikata moto akate tu moto😅😅😅😅😅
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 2 жыл бұрын
Huyu dada msumbufu aisee na ni dizaini ya watu ambao hata wakisaidiwa bado wanataka kupewa zaidi. Ubataka kuvuta cha mwisho kwa hela ya nani mfano badala ushukuru kutolewa mtaani
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 2 жыл бұрын
Umemuingia sana huyu ndio maaana alalamika
@isihakambalawa3756
@isihakambalawa3756 2 жыл бұрын
Akikata moto akate tuu
@lovvy854
@lovvy854 2 жыл бұрын
Bora umunuliye ajiskie Raha Kwa mara ya mwisho ili aridhike rohoyake ndo awache na
@chimamyhamid229
@chimamyhamid229 2 жыл бұрын
Dah mpaka analiya, yaani analiliya madawa ayseeeh
@rasjamal9854
@rasjamal9854 2 жыл бұрын
Dada ayupo tayari kuwacha anataka cha Mwisho Mwisho
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 2 жыл бұрын
😀😃😀😃yaaaani mtihani aisee
@joyce55727
@joyce55727 Жыл бұрын
Nimeludi kuangalia tena baada ya kumuona leo asha alivo pendeza
@maidamwaipopo9603
@maidamwaipopo9603 2 жыл бұрын
inasikitisha mno
@munirachangawa2928
@munirachangawa2928 2 жыл бұрын
Innallillahi waina ilayhi rajiun.ni hatari hiii jamani nani kaleta huu uraibu.😭😭😭😭
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 2 жыл бұрын
Tena ukute wanaouza hata hawajali wao wanafurahi kupata hela tu
@lgdnce8309
@lgdnce8309 2 жыл бұрын
sasa unga bado upo kweli suumepigwa marufuku jamani wasambazaji washikwe
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 Жыл бұрын
Asha asema baba yake akikata moto akate tuuu hana majukumu mtihani ili janga ni hatari
@froma3732
@froma3732 2 жыл бұрын
Hawa wanouza inatakiwa wakishikwa wazungushiwe tairi story imalizike ni watu hatari kwa jamii
@chantalharakandi2576
@chantalharakandi2576 2 жыл бұрын
Msimpi
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 2 жыл бұрын
Baba akikata moto yeye akate tu moto🤣🤣
@maidamwaipopo9603
@maidamwaipopo9603 2 жыл бұрын
Dada pili mimi nataka namba yako plz
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 2 жыл бұрын
That is addiction
@fabylyimo300
@fabylyimo300 2 жыл бұрын
Huyo dada hawezi kuacha dada piki🇺🇸
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 2 жыл бұрын
Ataacha kwa uwezo wa Mungu
@Mina.15
@Mina.15 Жыл бұрын
Go watch her update 😅
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 2 жыл бұрын
Aisee dada Pili Mungu azidi kukupa moyo wa uvumilivu kusaidia hawa watu. Mir kwa hasira zangu huyu dada ningeshamwambia aobdoke akarudi zake mtaani aharibike tu. Ila watu kama wewe wenye subira ndio mnasaidia hawa wapuuzi warudishe akili. Halafu alivo mpumbavu eti yeye ndo ana majukumu. Dah😒
@aminakunja277
@aminakunja277 2 жыл бұрын
Dahh yaraabiiii tustiri kwani huu Unga inakuaje mtu akigusa Mara 1 aachi upoje huu yani dahh Maana uyu dada analalamika kama kakosea ugali
@florencemlay9333
@florencemlay9333 2 жыл бұрын
Angalia Narcos, Pablo Escobar, Elchapo on Netflix ndo utaujua huu unga vizuri 😢😢
@kuluthummmetisha4630
@kuluthummmetisha4630 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/aavVfpuBbah6fdE( bonyeza link hii ujue ndoto mbaya na jinsi ya kuziepuka karibu)
@jamiistoriestv4218
@jamiistoriestv4218 2 жыл бұрын
😭
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 жыл бұрын
Duuh mtihani sn
@mrmindboom2058
@mrmindboom2058 2 жыл бұрын
Apewe methadone ndo muendelee na interview
@Antipasmsabaha123
@Antipasmsabaha123 2 жыл бұрын
Hokoka utapona
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 2 жыл бұрын
hiki kiswahil cha wapi ww? sema okoka sasa unaposema hokoka ndio nn😂😂😂😂
@Antipasmsabaha123
@Antipasmsabaha123 2 жыл бұрын
@@jacquilinenoah949 wewe mjua kiswahili kiziri mwambie hakuna maali pa msaada duniani mwambie nilicho taka kusema.
@Antipasmsabaha123
@Antipasmsabaha123 2 жыл бұрын
Mungu ndie kila kitu sasa umwambie kwa kiswahili kizuri wewe ambaye haukoseaki kusema neno na hata mimi nataka unifundishe kuandika na kusema kiswahili, sio lugha yangu nahitaji msahada kwako.
@farajamdesa4049
@farajamdesa4049 2 жыл бұрын
Mungu akubariki dada
@swabrasadick4960
@swabrasadick4960 2 жыл бұрын
Maskiniii!!!
@rahmasoliman489
@rahmasoliman489 2 жыл бұрын
ASHA kinyonge poleutapona
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 2 жыл бұрын
kinyonge wangu😂😂anajipinga ndonga
@jamiistoriestv4218
@jamiistoriestv4218 2 жыл бұрын
Amejikubali tayari😂
Win This Dodgeball Game or DIE…
00:36
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 44 МЛН
SHAPALAQ 6 серия / 3 часть #aminkavitaminka #aminak #aminokka #расулшоу
00:59
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2,6 МЛН
Synyptas 4 | Жігіттер сынып қалды| 3 Bolim
19:27
Win This Dodgeball Game or DIE…
00:36
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 44 МЛН