Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.... Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 180
@rashidkihunga2938 Жыл бұрын
ALIE IPENDA NGOMA HII GONGA LIKE ZAKE NEY HAPA
@johndavid_video6506 Жыл бұрын
Nikweli huu wimbo kila mtu anaupenda ❤❤❤
@marrowog8975 Жыл бұрын
Sio kila mtu.. mimi sikubali assa nyimbo kama hizi ...muimbaj hajazingatia kazi ya fasihi
@stvuahawengehunamaanawew Жыл бұрын
we huna akili kwel
@eliastemba8656 Жыл бұрын
NAOMBA LIKE ❤ KWA WANANG WOTE WANAOMKUBALI NEY WA MITEGO 🔥🔥🔥
@stvuahawengehunamaanawew Жыл бұрын
Mungu akulinde San ney wa mitg amkeni wa tanzania
@mmjj1574 Жыл бұрын
Jembe mojabalaa
@luciampogole614 Жыл бұрын
Endeleeni kushirikiana ney na roma mtuokoe watanzania tuna maisha magumu sana
@directoreagle26rongc Жыл бұрын
hakika wewe ndiye msanii namba 1 unayestahili kuwa juu ya wasanii wote Tanzania 🇹🇿 najua unapitia magumu katika hizi harakati hakika unastahili pongezi kubwa sana brother much respect Mr ney @mr_ney 👑💪
@sakayomameo6178 Жыл бұрын
nakubali sana
@jannetramadhan-uz1xu Жыл бұрын
Hata wakiufungia ndotushaamuka tayar😂
@hatibuallywaziri Жыл бұрын
Nimerudia nyimbo mara 20 hadi sasa wewe ni fire sijasoma ila nimeelewa kazi yako brother √√√
@deboraamani1945 Жыл бұрын
mungu akulinde wewe na familia yako naakulinde tenanatena wewe nimsema kweli sijaonakosa hapo japo mm sio msomi hakuna kosa kama ukifungiwa wimbo basi watanzania tutakua hatuna sauti kwanchi yetu
@reginamanyangu7258 Жыл бұрын
Muhim ujumbe umefika kaka saut ya watu tupo nyuma yako
@blackkid7377 Жыл бұрын
mtangazaj anauliza kila swali la msingi yuko pro sana
@Mr.Protas Жыл бұрын
wasanii wengi wamebaki kuimba mapenzi na mapiano tu badala yakutoa vitu vyamana kama nay na roma ili watu tuelimike na tujue n kitu gani kinaendelea katika nchi yetu ila song la broo linaukweli mtupu ajaficha kitu na wala ajasema uongo na siku zot ukweli unauma sana kuliko uongo
@OrleenTeketamphande Жыл бұрын
Hapo kwel Ney ukienda BASATA uendi kupongezwa 😂😂😂😂 Amkeni maua yako utapewa na sisi
@FaithfullNsajigwa-o2q Жыл бұрын
Ivi hii selikari inataka tu nyimbo za kinamondi nyege nyegezi ndo tuskilize mi kwa nnavyo jua wasanii wapo ili kutujuza tusiyo yajua au kutupa ujumbe unao faa kama uo wa nei ila basata ni washamba na wapumbavu sana wanafungia vitu vya msingi ili twendelee kuwa mapoyoyo wa nchi tusiamke au sio nakubali ney we mkali wapi roma leta laza
@siujisiniorlangu Жыл бұрын
Andika nyingine iitwe laleni tusikie kelele zingine
@kulwajohn-dl3oe Жыл бұрын
Bro tuko pamoja sana na endelea kututetea maana sisi tukisema atusikiki😂😂 nakukubali sana❤
@ndilibangokaruhawe9335 Жыл бұрын
Basata watulazimishe kusikia nyimbo za matusi
@RamaBinige-zv1km Жыл бұрын
nakubali Kaka achana na wale wanafikii , mi nimeikubali Sana, utawasiki wanaopenda kusifiwa watakavyo toa mapovuu ili vyeo vipandee, utawasikia
@isaiahisaac7240 Жыл бұрын
Daaah Nay nmejikuta Nacheka ,nakubali sanaa kusema kuna kmstali cha Roma. toa ngoma mzee
@MarsianoFlorian Жыл бұрын
Nay nakubali sana hujawahi kufanyaga jabo ndog hi Ngoma amkeni inaujumbe mkubwa sana
@josephpila23 Жыл бұрын
Wewe babukubwa Kaka
@rashidkihunga2938 Жыл бұрын
ME NASEMAGA NEY NA LOMA NIZAIDI YA WABUBGE WACHACHE BUNGENI.HATETEI UGAR .KWA NEY %10000
@KinDanger-dw5sj Жыл бұрын
Gramei da sua musica repito 10 veseis por dia viva ney wamitego. napenda sana muziki wako nasikiliza mala 10 kwa siko viva ney.
uyo ndo mwamba waache kumuomea musema ukweli Bora tuenjoy2 na raisi w2 wa kitaa anasema ukweli
@Patrickpallangyo Жыл бұрын
kakaa sema nao wakiifungia hii ngoma tunaaandamana na ndo chanzo chakujuwa unayo yasema ni kwel
@newlightmoviesproduction3598 Жыл бұрын
Unazo akilingi brother umejibu vyema unaistali sana bro nay Mungu akubariki from usa .
@elibarikkiakyoo Жыл бұрын
Ila spendi watangazaji wa hv
@ginalizamalamso4451 Жыл бұрын
Love so much ney wetu tunaomba ujue tupo tuonao kupenda na kukuombea🔥🔥
@sappyjr4543 Жыл бұрын
Mlio fungua video kwa sabab ya neno FREEMASON tujuane hapa....😂😂
@jacktonetiibuza9970 Жыл бұрын
Wanaharakati wangu bomba ni wewe na roma . Keeeep it up your exerenceeeee evry day
@GasparMacha-sm3xk Жыл бұрын
Dogo Ney wewe ni MASTER UNATISHA....AMKENI ni kibao namba 1 kweli hakuna ubishi
@IbrahimdavidMaganga Жыл бұрын
❤❤❤ mwanangu mmi nakubar sanaaaaah
@awesoapollo8608 Жыл бұрын
Naweza kuamini sababu maneno Yale ya mule mengi ni Kama akili ya Roma
@storyboymusic5572 Жыл бұрын
Namkubali sanaaa huyo jamaa yeye ni 🔥 🔥 🔥
@japhethcharles5791 Жыл бұрын
Duuh,jamaa ni jasili inatisha sana ,watu wamejitoa kweli kweli,we only live once ,hata range iyo ni halali Yako ,Si kwa moyo huo mzeee
@KoseiRokoi Жыл бұрын
Wimbo wa nay Amkeni iko visuri sana
@ibrahimmovic2575 Жыл бұрын
Big up broh this is more than a song 👍
@Gallus-c5z Жыл бұрын
Mambo 1:09 1:11 1:13 1:14
@Gallus-c5z Жыл бұрын
Mambo
@NelsonMalima-ec1dg Жыл бұрын
Nelson Malima Sunha Chitego kongwa Tz nimeikubari hata Ndugai mh spika mstaafu alishatabiri kua ipo sikunchi itauzwa ndo haya Sasa yanatimia
@salamsabdullah-st9pt Жыл бұрын
Wimbo mzuri Sana ney WA mitego
@NelsonMalima-ec1dg Жыл бұрын
Nelson Malima Sunha Chitego kongwa Tz nimeikubari hata Ndugai mh spika mstaafu alishatabiri kua ipo sikunchi itauzwa nda haya Sasa yanatimia
@faidhasultan6010 Жыл бұрын
Sanaa watanzania wenye mapenz ya kwel na nch yetu tu Nakupenda sana msema kwel wetu
@Angelvancey-sj3nw Жыл бұрын
Uwezo binafsi mungu akupe uzima @baba yaga
@ismaillusingu8320 Жыл бұрын
safi
@JacklineShauri-yv8qr Жыл бұрын
Basata achen mauzauza huy mwamb anapgania haki y mtanzania
@pascomassawe1258 Жыл бұрын
❤
@SethAlex-of5yt Жыл бұрын
mungu aenderehe kukupaa maisha marefu buuroo
@afianzele7571 Жыл бұрын
did you just say "buuroo"😂😂😂
@edgaribrahimovic6054 Жыл бұрын
Kiukwer Ney nlikua simkubar lakn nyimbo mbili au tatu hizi nimelewa nkaona nae n msanii nae weza msikiliza lakn so kwa ktambo maana kwanini msanii n mtafti uwezi kila siku uisemee serikar tu afu ai mati lakin saiv yuko serious kwann kotoitaj kitu kimoja ni vile mtaani kuna mambo mengi bola kusemea hayo lakin kwa sasa kalenga palepale kwenye mshono🙋🙋🙋
@Emmagmayemba Жыл бұрын
Unahoji vizuri hongera
@tundamapunda8317 Жыл бұрын
Amewachana nch inapotea sana😂😂😂😂😂😂 duuuuu
@mohamedimkenda3030 Жыл бұрын
Kutumia vibaya ulichoruhusiwa kutumia , ni sawa na jani kurudisha lilikotoka
@NshimiyeKarimNshimiyeKarim Жыл бұрын
Mzee yani wewe mungu tu .wewe ndo magufuli mwenyewe.