Nay Wa Mitego - Wapi Huko (Official Music Video Lyrics)

  Рет қаралды 1,092,913

Mr Nay

Mr Nay

Күн бұрын

Пікірлер: 4 100
@Aksantimulirifreddy
@Aksantimulirifreddy Ай бұрын
Nyimbo hii ninge penda wana wa RDcongo waufate vizuri. Congo wezi ni wengi sana tena ni viongozi. Hiyo inaleta utata kwenye maisha ya mkongomani. Wa dada wengi wanajiuza, vijana hawana makazi Na tena wasomi ni wengi bila makazi.ooooooh Congo RDC😭😭😭🥳🥳😭😭😭
@Mukomariboy
@Mukomariboy 7 ай бұрын
Kenya wale wanamkubali Ney please likes hapa tuone
@officialkamdudu
@officialkamdudu 7 ай бұрын
like unazipeleka wapi kenge wewe ? aimbe Ney like upewe wewe. acha ushamba wewe 😏
@user-eh2rb2ou5e
@user-eh2rb2ou5e 7 ай бұрын
@@officialkamdudu Siku hizi watu wamevumbua njia haramu za kupata likes😂
@Sasaka254
@Sasaka254 6 ай бұрын
@officialkamdudu 😂😂😂 aimbe Ney like zipewe yeye.. haki yamungu 😅
@officialkamdudu
@officialkamdudu 6 ай бұрын
@@Sasaka254 wana chembechembe za ushoga hawa watoto
@Trixie03
@Trixie03 6 ай бұрын
@@user-eh2rb2ou5e very true
@ndabhiloleyesamwel9945
@ndabhiloleyesamwel9945 7 ай бұрын
Ukimtongoza demu leo na gesi inaisha leo,,,na kabra haujakaa vizur na Kodi inaisha leo,,,,😂 nipeni like zangu
@officialkamdudu
@officialkamdudu 7 ай бұрын
like unazipeleka wapi kenge wewe ? aimbe Ney like upewe wewe. acha ushamba wewe 😏
@petronillamocheche9826
@petronillamocheche9826 7 ай бұрын
Sura nzuri lakini tabia paka shume😢
@magzeeee
@magzeeee 7 ай бұрын
I relate asee
@earthishardtv
@earthishardtv 7 ай бұрын
😂😂😂😅😅😅😮😮
@tembarooney7899
@tembarooney7899 7 ай бұрын
Kenyan
@SindarubazaCherejiyo
@SindarubazaCherejiyo Ай бұрын
Nay pa moja sana
@Kiyanmoyzer
@Kiyanmoyzer 7 ай бұрын
Hizi ndio nyimbo sasa zakusikiliza watu wenye akili timamu
@TumainiKisoma
@TumainiKisoma 7 ай бұрын
Sio we zombie😂
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂​@@TumainiKisoma
@daglasmomanyi7631
@daglasmomanyi7631 7 ай бұрын
Kenya my country
@Wakulimahub
@Wakulimahub 7 ай бұрын
Hii song kali sana aisee, jamaa kampiga nyoka kichwani moja kwa moja Kila atakaye like hii comment atakuwa ananikumbusha nije kuitazama tena👀
@mrsinia3064
@mrsinia3064 7 ай бұрын
😂😂 au cyo
@OnesmoMpangwa
@OnesmoMpangwa 7 ай бұрын
ᴘᴀᴍᴏᴊᴀ ᴋᴋ
@OnesmoMpangwa
@OnesmoMpangwa 7 ай бұрын
ᴘᴀᴍᴏᴊᴀ sᴀɴᴀ
@abeddyjuma4103
@abeddyjuma4103 7 ай бұрын
Wewe ndio nyoka umepigwa kichwani
@johnmwambasi2299
@johnmwambasi2299 7 ай бұрын
KAMA NAWE UNAAMINI KUWA HUU NI WIMBO WA MWAKA 2024,NIKUONE KWA LIKE.
@officialkamdudu
@officialkamdudu 7 ай бұрын
like unazipeleka wapi kenge wewe ? aimbe Ney like upewe wewe. acha ushamba wewe 😏
@michomichael4111
@michomichael4111 5 ай бұрын
Ni bonge la wimbo
@ErnestNgoye-bx9td
@ErnestNgoye-bx9td 4 ай бұрын
Nyimbo Kali sana
@Princekivufiesta
@Princekivufiesta 24 күн бұрын
Hiyo nchi ni Congo 🇨🇩, " wana inchi wana lala Mika na raisi ana lala mika, wote mwizi wana mjua, ila wanaogopa Ku mshika" Vraiment rien que la vérité, courage mon artiste préféré .
@OFFICIALSEMAH
@OFFICIALSEMAH 7 ай бұрын
Wapi uko from Kenya Moore 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Tanzania 🇹🇿🇹🇿 naomba like Za ney wa nitego
@adedechrisgone4792
@adedechrisgone4792 7 ай бұрын
Our Tanzanian friends. You have delivered this to us in Kenya. Hot and cold at the same time.
@felisterwilson9259
@felisterwilson9259 7 ай бұрын
This is what is happening in Tanzania right now!!
@kibetkeiyo
@kibetkeiyo 7 ай бұрын
Nyinyi ndio wale mlipata E Kiswahili
@adedechrisgone4792
@adedechrisgone4792 7 ай бұрын
@@kibetkeiyo I wonder why you imagine so, but if it pleases you, Yes!
@kibetkeiyo
@kibetkeiyo 7 ай бұрын
@@adedechrisgone4792 kwa sababu huelewi matumizi ya kinaya
@petronillahosoro4828
@petronillahosoro4828 7 ай бұрын
​@@kibetkeiyowacha makasiriko na msanii,yeye tu ni ujumbe anaputisha
@igiranezablaise4399
@igiranezablaise4399 7 ай бұрын
Ma fans wa Nay kutoka burundi🇧🇮 dondosha like tujuane
@officialkamdudu
@officialkamdudu 7 ай бұрын
like unazipeleka wapi kenge wewe ? aimbe Ney like upewe wewe. acha ushamba wewe 😏
@aboubakarirakoze7611
@aboubakarirakoze7611 7 ай бұрын
Pamoja Sana
@jenahando2747
@jenahando2747 7 ай бұрын
@@officialkamdudu kwani kulikuwa na haja ya kumtukana mwenzio. Kama hutaki kumpa like si usepe kimya kimya!
@officialkamdudu
@officialkamdudu 7 ай бұрын
@@jenahando2747 sometimes inabidi utukanwe ili uache ushamba
@igiranezablaise4399
@igiranezablaise4399 7 ай бұрын
@@jenahando2747 achananae mwanangu👊 watu kama hao sio frexh kujibizana nao. pingine sio wazima🧠
@clkangwengwe7942
@clkangwengwe7942 7 ай бұрын
90% positive comments and mostly from kenya
@omaribrahim8900
@omaribrahim8900 7 ай бұрын
This song talks about real things that society is suffering from. Kenyans should understand their real situation
@BaronKavashia
@BaronKavashia 7 ай бұрын
As a Kenyan this is the truth and its bitter but he spoke the mind of 53 million Kenyans #inauma Also I understand the insults from my fellow Kenyans. Hio yaonyesha ukweli wauma sio? #amani
@newtonmutea
@newtonmutea 7 ай бұрын
He spoke nothing. We are good in kenya. Speak for yourself not the 53 million you allude to
@user-qr4pz6wb9n
@user-qr4pz6wb9n 7 ай бұрын
Stop being delulu😏
@rashidibrahim4083
@rashidibrahim4083 7 ай бұрын
as a kenyan, you should be ashamed of yourself.
@undergroundgoat4717
@undergroundgoat4717 7 ай бұрын
speak for yourself.uselss man
@BaronKavashia
@BaronKavashia 7 ай бұрын
@@rashidibrahim4083 I am ashamed of being a Kenyan at this point. You are right on that one atleast
@bagdonenoch5088
@bagdonenoch5088 7 ай бұрын
Naaminia kamanda 😎, huyu mwamba kweli🫂. Kama waikubali nipe LIKE mzee 😂 😂
@hotnewsprovider254
@hotnewsprovider254 4 ай бұрын
Mwanangu Hio Nchi ni yetu, Kenya
@yamungungendu4839
@yamungungendu4839 3 ай бұрын
Ata Kwetu Tanzania ni hayo hayo..ndiomana Ney kaamua kuimba
@kevinkyalo9331
@kevinkyalo9331 7 ай бұрын
Kenya, Kenya, Kenya, Kenya, Kenya, Kenya, Kenya our country
@siddyoneonlinesi5433
@siddyoneonlinesi5433 7 ай бұрын
Tanzania ndio wanatabia hii Kenya raha mnakula
@NGAWIPA24
@NGAWIPA24 4 ай бұрын
Daaaaahh japo nimekuwa wa mwisho kuiona hii nyimbo ila basi NAWAOMBA mnipe basi japo like kumi tu jamani
@collinskenya3630
@collinskenya3630 7 ай бұрын
Wasanii wote ni chawa wa serikali kasoro Nay wa Mitego🔥🔥🔥, Kenya tupo locked hapa,touch💪💪💪💪💪
@ramadhankwilasa2371
@ramadhankwilasa2371 7 ай бұрын
😅😅😅😅 Wewe umeamua kuweka wazi sasa
@mohakitsao1918
@mohakitsao1918 7 ай бұрын
Waunguza kaka iyo ni siri
@DennisMuti-ls3ys
@DennisMuti-ls3ys 7 ай бұрын
Ile kitu hamjui ni kuwa huu jamaa anatusi si wakenya
@collinskenya3630
@collinskenya3630 7 ай бұрын
@@DennisMuti-ls3ys matusi vitu kawaida ,sisi hatuabudu viogozi wasipofanya walioahidi,tunawatusi vilivyo
@bonnymakuke3153
@bonnymakuke3153 7 ай бұрын
Na roma2
@danielmauti2180
@danielmauti2180 7 ай бұрын
Kenyana give Nay 57m likes the guy is a gem,pure literature.
@margaretmwajuma9253
@margaretmwajuma9253 7 ай бұрын
Hiyo nchi kupata kazi ni utata....kuna matata kibao! I love the lyrics🎉🎉
@RashidSaidi-u7d
@RashidSaidi-u7d Күн бұрын
Nakupa 100 to 100 Hapo ni kweli hata kenya tuko hivyo tuu ubinafsi
@mikearon2666
@mikearon2666 7 ай бұрын
Zile shida waTZ wanapitia ni sawa na zetu huku Kenya.
@chingaboy1149
@chingaboy1149 6 ай бұрын
Ujuaje wallai nikweli 😢mateso yamezidi
@user-eh2rb2ou5e
@user-eh2rb2ou5e 7 ай бұрын
"Wananchi hawasikilizwi wanalia na Mungu wao💀."Men that hits hard
@user-ol7dq5hg8n
@user-ol7dq5hg8n 7 ай бұрын
Walia rudia hii nyimbo tujuwane kwa likes 👍
@hassanbaruti4017
@hassanbaruti4017 7 ай бұрын
Mara ya 5 naisikiliza
@Lumegilemukata
@Lumegilemukata 7 ай бұрын
Mara ya 10 sasa
@officialkamdudu
@officialkamdudu 7 ай бұрын
like unazipeleka wapi kenge wewe ? aimbe Ney like upewe wewe. acha ushamba wewe 😏
@user-sw6fv8ed8v
@user-sw6fv8ed8v 7 ай бұрын
Mm mara 20
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 7 ай бұрын
Nimemsikiliza mara 9 Ney anajua, anajua, anajua tena
@ChrissMtanashatiOfficial
@ChrissMtanashatiOfficial 2 ай бұрын
Hio nchi bana inavituko vingi, wazee wa busara ndio wanatembea na mabinti, vijana nao wanatembea na mashangazi... 🔥 🔥 🔥 Hio nchi ni Kenya maze😂
@moamed1238
@moamed1238 7 ай бұрын
2024 level made it congratulations 🎊 👏
@holyjoemusiq3805
@holyjoemusiq3805 7 ай бұрын
Am a Kenyan but this is the bitter truth......Nay you are on point
@digitalworld5577
@digitalworld5577 7 ай бұрын
Nani amesikia “kuna mabinti wasomi na wanategemea uchi”🙌🏽🙌🏽
@suzzanne222
@suzzanne222 7 ай бұрын
Masocialite and university girls chasing wazee sponsors such a sad country our 254. Air bnb ndio zao kuchinjwa kila siku.
@HassaniUlenge-j5j
@HassaniUlenge-j5j 15 күн бұрын
Uko vizuri nay endelea kusemea wananchi kwa njia ya muziki uenda nchi ikapona
@besteva499
@besteva499 7 ай бұрын
Mziki kama huu nikuwupa sapotii kwamusani anaye imba vyakuereweka kama huu mwamba ney wamitego big up ney hapa bongo nawa kubari ww na roma ❤😂😂❤❤❤❤ wana manzese show love here❤❤❤❤
@eutychusmotanyatv
@eutychusmotanyatv 7 ай бұрын
As Kenyans we receive your message
@sylviaernest7422
@sylviaernest7422 7 ай бұрын
😂😂😂😂
@Albert-un8eg
@Albert-un8eg 7 ай бұрын
🤪🤣🤣🤣🤣
@lakasid3860
@lakasid3860 7 ай бұрын
​@@sylviaernest7422hii message niya watanzania nyie jamaa vp 😂
@thekingslayer1661
@thekingslayer1661 7 ай бұрын
Lakini ukiiskiza vizuri ndio utajua alikua anaongelea tz.
@stephenmusa3359
@stephenmusa3359 7 ай бұрын
Chorus; Wapi ukoo?. Jibu ; Kenya
@lengoniankid7149
@lengoniankid7149 7 ай бұрын
Jamaaa kaimba kinaya kama ushamuelewa nipe like😂😂😂😂
@bsmonline8482
@bsmonline8482 7 ай бұрын
Huyu jamaa 😂😂😂
@SalumMfaume-on2ks
@SalumMfaume-on2ks 7 ай бұрын
unajiamin kinyama
@officialkamdudu
@officialkamdudu 7 ай бұрын
like unazipeleka wapi kenge wewe ? aimbe Ney like upewe wewe. acha ushamba wewe 😏
@lengoniankid7149
@lengoniankid7149 7 ай бұрын
​@@SalumMfaume-on2kskabisa
@lengoniankid7149
@lengoniankid7149 7 ай бұрын
​@@officialkamdudukenge tena haya pole boss
@edouardngabonziza1441
@edouardngabonziza1441 7 ай бұрын
Kutoka Burundi🇧🇮 nakuamini sana Mr. Nay. Heshima yako juuu. Hauimbii Tanzania tu Bali East na Africa nzimaaa🎉🎉
@Sarakasiworld
@Sarakasiworld 7 ай бұрын
Khaligraph Jones look at what you did .. you don’t throw stones and you live in a glass house .. we need an artist in Kenya like fuckin Nay .. pure genius .. pure truth .. Kenya in the abyss ..
@rexxsimba
@rexxsimba 7 ай бұрын
We have him already ... His name is **King Kaka** ... Go and listen to track ... "WAJINGA NYINYI" ...
@mghendipato
@mghendipato 7 ай бұрын
Trust me this has nothing to do with the OG, Nay has been doing this ever since, he has mastered the art of painting the status quo in his musical lyrics, his message is about what is currently happening in most of the African Countries Kenya & TZ included
@newtonmutea
@newtonmutea 7 ай бұрын
Stop simping
@user-fg7bf1nd1m
@user-fg7bf1nd1m 7 ай бұрын
Kenyan artist are fake cowards pussies tribal thick in head no nothing but to sleep in bed with the corrupt politicians.
@suzzanne222
@suzzanne222 7 ай бұрын
​@@rexxsimbathank you. Wajinga sisi i remember it so well.
@richardntelika7571
@richardntelika7571 7 ай бұрын
Pure Truth, Kenya is the whole story, Appreciated Mr Nay for speaking this 😢
@salimkheri
@salimkheri 7 ай бұрын
ametunasa hapa😅
@victorbrayan8238
@victorbrayan8238 7 ай бұрын
I also think this is kenya
@aliceogeto9240
@aliceogeto9240 7 ай бұрын
​@@victorbrayan8238 ni tz govt
@josephlyakurwa
@josephlyakurwa 7 ай бұрын
I think it's a story of entire Africa
@254AfterDark
@254AfterDark 7 ай бұрын
this is not even about kenya
@miss_milcah
@miss_milcah 7 ай бұрын
Team kenya gonga like 🇰🇪
@kassimali1477
@kassimali1477 Ай бұрын
One of the song that awoken the Generation Z in Kenya 🇰🇪 So soon the General Alpha is gona join combo
@sadathahmada9066
@sadathahmada9066 7 ай бұрын
Rais wa Kitaa, hujawahi kutuangusha wananchi wako wa mtaa. #TrueBoy
@patrickambale4582
@patrickambale4582 7 ай бұрын
This is what differentiate Nay from others. Everyone can listen and understand the message. Your songs will inspire many generations to come. Keep on speaking on our behalf Big bros. Big up and much love from +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@nakurutoday
@nakurutoday 7 ай бұрын
as Kenyans , we received this song with both hands. It's speaking on our behalf. Thanks. (Unfortunately, I don't know how to express myself in Swahili for you people to understand. I know kingereza kwenu ni kizungumkuti)
@nakurutoday
@nakurutoday 7 ай бұрын
@@AK-op1oz you have a very low sense of humor
@shekinahrwabyo8150
@shekinahrwabyo8150 7 ай бұрын
Wewe ni mtata kama wimbo wenyewe. 😂😂😂
@peterliseche7687
@peterliseche7687 7 ай бұрын
Hii ni utata kizungumkuti
@DanielChaula
@DanielChaula 7 ай бұрын
Wewe ni kiswahili mtupu😂😂😂
@derrickmutuma7185
@derrickmutuma7185 7 ай бұрын
We did not. This song better reflects Tz than Kenya.
@carl-donald
@carl-donald 7 ай бұрын
Leo KENYA imeongelewa na Nay. Huu ndo ukweli halisi....karibu KENYA.
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 7 ай бұрын
Hapan kaongea kuhus Tz
@carl-donald
@carl-donald 7 ай бұрын
@@aminatanzanya7475 Huu wimbo unatuhusu sisi wakenya....kwa kidogo sana kagusia Tanzania. 🤔
@lakasid3860
@lakasid3860 7 ай бұрын
​@@carl-donaldhauwahusu hata kidogo wapi unawahusu?
@abyomy4485
@abyomy4485 7 ай бұрын
Literally work huwa inagusa society nyingi
@honorenihorimbere792
@honorenihorimbere792 7 ай бұрын
As a burundian, I stand by the side of Ney. Let's sing and say the truth maybe one say the sun with shine ✊🇧🇮❤🇹🇿
@belak999
@belak999 7 ай бұрын
Kiingereza 😢😢
@lawrenceomondi1376
@lawrenceomondi1376 7 ай бұрын
Yet Burundians are in their numbers in Nairobi; looking for greener pastures.
@kilatyaerick
@kilatyaerick 7 ай бұрын
This guy never dissapoints....he delivers msg..
@emmanuelryoba5697
@emmanuelryoba5697 7 ай бұрын
ni hapa hapa bongo wasanii wote ni chawa kasoro TRUE BOY❤‍🔥❤‍🔥💪
@riskey1999
@riskey1999 7 ай бұрын
hii ni ukweli twamjua mwizi ila twamwogopa...makosa ni sisi wenyewe....nasema nakuballi usemayo NAY....kenyans believing me nipeeni likes
@mondigugo4392
@mondigugo4392 7 ай бұрын
Mwanetu wewe roho yako inatakiwa ukaishi TALEBAN maana uwogop kabisa tusemeeee mzeee big up
@Zadig_Le_Juste
@Zadig_Le_Juste 7 ай бұрын
I'm not Tanzanian but this guy is very intelligent.He has a critical spirit .Love you from 🇧🇮
@MapembeloTz
@MapembeloTz 7 ай бұрын
Let us express our feeling through music 🎵🎶
@simamanamtoto
@simamanamtoto 5 ай бұрын
Wote mwizi wanamjua ila wanaogopa kumsema😂😂😂😂😂 Kenya hatuna comeback
@sanchostylist...9719
@sanchostylist...9719 3 ай бұрын
My Kenyan bro😂😂
@jaymapepefatma5936
@jaymapepefatma5936 7 ай бұрын
Together we can This is love from Moçambique 🇲🇿🇲🇿
@TEYGA_DON
@TEYGA_DON 7 ай бұрын
Aliorejea huu winbo mara mbili like tujuwane
@nicholasmuli775
@nicholasmuli775 7 ай бұрын
Asante Nay kwa huu wimbo maana huku Kenya 🇰🇪 tunavumilia kua Wakenya Ruto you have made us a laughing stock to our neighbours with your Taxes on everything umezidi bwana Zakayo na ni mwaka tu umemaliza tunaumia hivi je iyo miaka mitano au kumi Kenya yetu utakua umeifanya iko vipi
@Lanesra049
@Lanesra049 7 ай бұрын
Wasanii wote ni chawa wa serikali kasoro mmoja naye anapigwa vita vikali As a Kenyan I confirm this is Erickaa Amondiiiiii
@thecommentor1
@thecommentor1 7 ай бұрын
This is not a song, it is a wake-up call
@eddieoduor
@eddieoduor 7 ай бұрын
Kenya nchi yangu....aibu ya Jumuia kweli !!! Nay umegonga ndipo!!! Ipo siku....ipo siku...
@dianawangechi101
@dianawangechi101 7 ай бұрын
Ruto has made Kenya the punching bag among our neighbors
@user-fg7bf1nd1m
@user-fg7bf1nd1m 7 ай бұрын
Stop your lies here it’s not only ruto, he is doing what the other big thief has been doing the Uhuru Kenyatta the con, tribal, corrupt, the thief and murderer, so close you big baggy mouth and once in your life talk the truth they the kalenjins and the Kikuyus have made Kenya the worst country ever in the planet and that’s the truth and you will never agree, you will say am racist. Remove Kikuyus and kalenjins in all sectors of public service and Kenya will be great
@maryamhussein4227
@maryamhussein4227 7 ай бұрын
Shame on him, he has failed us
@ramadhanmkoka444
@ramadhanmkoka444 7 ай бұрын
Huyo msanii ambae yuko against others ni nani?
@lenardkatundu1906
@lenardkatundu1906 7 ай бұрын
I really wish you understood Nay's song coz he's not singing about Kenya. Unfortunately most african countries are governed the same.
@atutweve4160
@atutweve4160 7 ай бұрын
NOT KENYA, HE ALWAYS SINGS WELL ABOUT OUR COUNTRY,,,, HE TALKS FOR THE WHOLE NATION OF TZ 💪🏿💪🏿
@martinwambua8720
@martinwambua8720 7 ай бұрын
Tanzania endeleeni hvo, that means mnatujali. Wakenya tumekataa kuacha ukabila, viongozi tunachagua kabila letu ama mwenye pesa, thanks so much kwa huu ukweli. Ukweli wauma😢
@kololuvi3002
@kololuvi3002 7 ай бұрын
As a Kenyan, this is 100% my country. We're a shithole country, kibri na maringo tu ya kishoga. Lakini tunakula shida kuliko wote😢😢
@africandream_
@africandream_ 7 ай бұрын
Relax one way or another we'll rise above our hardships ...sometimes hitting rock bottom will offer a chance to reform i just hope we dont get to a point of civil unrest ... so dont worry God's got us
@derrickmutuma7185
@derrickmutuma7185 7 ай бұрын
Talk about yourself. Kenya is certainly doing better than Tz. And, most Kenyans are.
@africandream_
@africandream_ 7 ай бұрын
@@derrickmutuma7185 haha that's not true ... let's give credit where it's due and just develop as a region ...TZ is a beautiful country with an agenda to lift it's people out of poverty no need for unnecessary competition
@kevinatinda2242
@kevinatinda2242 7 ай бұрын
love ur country, wacha upuzi
@munene_nesh1883
@munene_nesh1883 7 ай бұрын
Appreciate nay without makasitiko bro.kenya is far better than anyday
@tithomhagama
@tithomhagama 7 ай бұрын
Hii ngoma ngumu sana ina kila Kitu🔥 na ujumbe umewafikia walengwa pamoja sana #Nay
@rqquotes9574
@rqquotes9574 7 ай бұрын
Huwezi kuielew kama utaisikiliza mara moja, ubunifu mkubwa sana umefanyika🎉💯
@ramadhankwilasa2371
@ramadhankwilasa2371 7 ай бұрын
Kabisa unatakiwa umakini mkubwa sana
@user-tj7km8jn6y
@user-tj7km8jn6y 7 ай бұрын
Sahihi kabsaa hii n tz baba
@ShabaniNtegwa
@ShabaniNtegwa 7 ай бұрын
Kabisa
@ChrisCito-w2b
@ChrisCito-w2b Ай бұрын
Nay wamitego yes ❤❤
@alexmathias6620
@alexmathias6620 7 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 oya true boy lete Mambo mda umepita sasa tunataka nyundo nyingine Lin itatoka najua basata kwa sasa macho kwa you tube kumsubilia True boy kua anakuja na lipi 😂😂😂😂😂😂😂 sihami bongo kwa sitahili hii aise
@johnbekker7819
@johnbekker7819 7 ай бұрын
Big up for spitting out the truth about our Kenya. Only the big guys are deaf, can't hear a thing
@weizsymo6257
@weizsymo6257 7 ай бұрын
Wakenya mnamatatizo ya hakiri,hii nyimbo haiwahusu. Mmesikia anaongelea nchi jiran mkajiweka hapo? Hiyo inaitwa tafusida.jifunzen kiswahili
@rehemabakari4150
@rehemabakari4150 7 ай бұрын
Alie rudia mara 10 gonga like hapaa
@byamasumundele6385
@byamasumundele6385 19 күн бұрын
Hongera ney wa mitego
@KaranjaLogedi
@KaranjaLogedi 7 ай бұрын
A special dedication to Kenya
@gitaujoseph5029
@gitaujoseph5029 7 ай бұрын
Only a Good friend will tell you the truth doesnt matter if it hurts its still truth.....
@SteveBiko-hb2si
@SteveBiko-hb2si 7 ай бұрын
Very correct
@jeanbaraka1008
@jeanbaraka1008 7 ай бұрын
HUYU Jamaa ni hatari sana yaani mrithi Bora wa Professor JAY Tanzania... NAY unafaaa SANA.
@philipfulu
@philipfulu Ай бұрын
A masterpiece!
@Jenniejws
@Jenniejws 7 ай бұрын
Rais wa kitaa haujawahi kuzingua ila salute kwako na ujumbe umefikaa✌️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@ngwenoh.e9725
@ngwenoh.e9725 7 ай бұрын
Now that you are confused which country he's talking about,let me break it down for you;The issues raised in this song are issues that face the whole of the African continent,I hope this time we stay away from thinking that we are so different from each other ,Africans are a common people facing the same common problems,a perfect call to hold our various leaderships accountable,we all deserve better as black people!
@robertpoul7193
@robertpoul7193 7 ай бұрын
And you deserve better too because your the one who opened people's mind on this thank you
@matukimerchant5170
@matukimerchant5170 7 ай бұрын
Wow! It is that way, I thought this was only in Tanzania
@josephlyakurwa
@josephlyakurwa 7 ай бұрын
Critical thinker, I salute you son of Africa ❤
@samuelmwangi3221
@samuelmwangi3221 7 ай бұрын
No other country is sinking worldwide faster than kenya things are bad even a six years old is aware it's sad that at your age you are still trying to defend the obvious
@dianawangechi101
@dianawangechi101 7 ай бұрын
The song is talking about a specific nation~ Kenya.
@exsonmwakalobo8865
@exsonmwakalobo8865 7 ай бұрын
Nakubali sana kaka mkubwa mimi tu ombi langu mungu asikupungukie kukulinda bro sisi watu wako tunakupenda sana
@kevinwangilasimiyu
@kevinwangilasimiyu 7 ай бұрын
Unamtongoza Leo na gesi linaisha leo
@user-eh5ss4dw1c
@user-eh5ss4dw1c 7 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤, Magu tutakukumbuka sana,Maana siku hizi Nchi yetu kila kitu O.
@jabirkombo5483
@jabirkombo5483 7 ай бұрын
Mkumbuke
@ansigar1997
@ansigar1997 7 ай бұрын
Hongera sana Nay Wa Mitego kwa utunzi mzuri wenye uhalisia ktk maisha tunayoishi.
@Karolk-wt8ib
@Karolk-wt8ib 7 ай бұрын
Mi ni mkenya na huu ni ukweli . Lakini hapo Kwa single mothers umekosea nobody wants to be a single mother but mambo mingi inachangia yenye huwezi ukaelewa . Asante sana Nay kwa kuona shida zetu .Tuombeeni 😢
@youngmasta5444
@youngmasta5444 7 ай бұрын
Nay kaisema tz naco kenya nyie hamjui fasihi???
@user-si9bm1cn9z
@user-si9bm1cn9z 7 ай бұрын
Tatzo wakenya muelewag kiswahili wala mafumbo mjasemwa
@Kuzarmusic
@Kuzarmusic 7 ай бұрын
​​@@youngmasta5444 hizi shida hazipo huku tu, ndo maana ya sanaa inagusa kote
@MagrethThobias-fm8bm
@MagrethThobias-fm8bm 13 күн бұрын
❤❤❤🎉kaka yuko vizuri
@spiritedroamer
@spiritedroamer 7 ай бұрын
Nimepata jibu! Huko ni Kenya.
@jaberjohn7556
@jaberjohn7556 7 ай бұрын
Message delivered to KENYAAAaaa
@henemwamboja5749
@henemwamboja5749 7 ай бұрын
Tatizo watu wanaelewa kupitiliza. Nchi yoyote yaweza kuwa. Sio Kenya Tu. So hawaongelei wakenya pekee.
@doyoulikesanzir_
@doyoulikesanzir_ 7 ай бұрын
Hii nyimbo ata ingekuwa dakika kumi ningesikiliza yote🔥🔥🔥🔥
@selector728
@selector728 7 ай бұрын
Wimbo sio nyimbo
@sammy0018
@sammy0018 7 ай бұрын
Raisss❤
@dominicmgaya2726
@dominicmgaya2726 7 ай бұрын
The true boy the true artist Bobi Wine wa Tz🎉
@BIGYOUTH-INC
@BIGYOUTH-INC 7 ай бұрын
Performance pale KICC Nairobi muhimu sana.
@BoboKe.
@BoboKe. 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ruto atanyonga
@SoulGoodmann
@SoulGoodmann 7 ай бұрын
Kenyans this song is for you!
@user-bu4sj4tv6l
@user-bu4sj4tv6l 6 ай бұрын
Tumia akili uweze kuishi ulisikia lini Kenya muda wa kazi umeme haupatikani... Na pia wasanii kina Nani Ni machawa wa rais fikiria vizuri ndipo uropokwe
@user-vb2zr2ur5u
@user-vb2zr2ur5u 5 ай бұрын
Katika wasanii wenyew akili apa tz ney namb one tia like apo kama unakubaliana na Hilo
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 7 ай бұрын
Nisipokoment kwa ndugu yangu ntakuw mnafiki Asante kwa massage! Tunaijua hyoo!
@wingstarmsanii9862
@wingstarmsanii9862 7 ай бұрын
Hiii Kali Kenya respect rais wa mitaa ney wa mitego go baba
@harvestarmudidi1465
@harvestarmudidi1465 7 ай бұрын
Kenya described in simple words in this song
@keithnicholas4667
@keithnicholas4667 7 ай бұрын
😂😂😂
@alibrother_omar
@alibrother_omar 7 ай бұрын
Exactly...
@Mutukuharon314
@Mutukuharon314 7 ай бұрын
Huyu jamaa naona anatusema indirectly
@ProdYoMega
@ProdYoMega 7 ай бұрын
Just what I was thinking buana 😂😂
@harvestarmudidi1465
@harvestarmudidi1465 7 ай бұрын
@@Mutukuharon314 yeah, he's lucky hakutaja jina Kenya, otherwise kungekua kumewaka saizi
@sanchezogembo6643
@sanchezogembo6643 11 күн бұрын
❤❤❤❤true i lov de track reality for Real
@richardagama6862
@richardagama6862 7 ай бұрын
mwamba kadondosha dude tena,,,yaani hapo nchi inayoitaja braza ni tz tu hamna ingine,asante sana #Nay kwa kuendelea kuwasemea wanyonge🔥🔥🔥🔥
@muddytzmk3339
@muddytzmk3339 7 ай бұрын
Umetumia akili nyingi Sana ila hio inchi nimeshaijua na wewe Kama umeijua gonga like hapa👎
@stanleymanya438
@stanleymanya438 6 ай бұрын
😂😂
@giftladis
@giftladis 5 ай бұрын
Nchi yngu jamanii imeanzwa kuchekwa 😭 MUNGU angalia nchi yanguu 🇨🇩
@THE-HIGHWAY-VOICE
@THE-HIGHWAY-VOICE 5 ай бұрын
si siri tena io inchi ni yangu..kenya na siogopi kusema io inchi ni kenya..
@shanizshijedi8083
@shanizshijedi8083 7 ай бұрын
Hahaha wakenya pigeni like hapa tumepigwa kitu kizitoooo waaah
@wesleyratemo7832
@wesleyratemo7832 5 ай бұрын
@Nay, naona umeanzisha Vita dhidi ya NCHI jirani...all the same...ukweli ndio umeujaza...hatutarusha mawe....yes juu ni kweli lakini msipoteze heshima!
@zhaozlyoung
@zhaozlyoung 7 ай бұрын
Huyuu ndo msanii namba moja Afrika masharika anaejitambua kwa sasa big upo RAIS❤❤❤
@jafetichusi284
@jafetichusi284 7 ай бұрын
Mwamba nakubali sana naombeni like zangu na Kama tupo pamoja weka like hapa
@officialkamdudu
@officialkamdudu 7 ай бұрын
like unazipeleka wapi kenge wewe ? aimbe Ney like upewe wewe. acha ushamba wewe 😏
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 ай бұрын
We Kenyans we need an artist like this guy from Tanzania he used to hit the snake on the head.
@MAJIK_FINGAZ
@MAJIK_FINGAZ 7 ай бұрын
We have juliani and ukoo fulani mau mau
@HassaniUlenge-j5j
@HassaniUlenge-j5j 15 күн бұрын
Sawa muiteni panya lakn kuna mengne mzuri na yenye kuisaidia nchi aliyafanya
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 7 ай бұрын
Hii imeendaaa kabisa! Ileeee number 1 trending... 🎉🎉
@DeliveryMan39
@DeliveryMan39 7 ай бұрын
Me As Kenyan 🇰🇪 I can feel the vibe in this songs juu najua ni Kenya tunachanwa fire 🔥
@princefeisla3692
@princefeisla3692 7 ай бұрын
Kabisa hio ni Kenya inachapwa
@barakaboniphace4067
@barakaboniphace4067 7 ай бұрын
Wapi huko??
@bonfacenderitu5523
@bonfacenderitu5523 7 ай бұрын
He is not talking about Kenya but literally Tanzania it's called sarcasm
@antonymuoki
@antonymuoki 7 ай бұрын
​@@bonfacenderitu5523 Poetry ni ngumu kuelewa kaka. Skiza verse 2 after chorus.
@DannioArts
@DannioArts 7 ай бұрын
This is sarcasm, he is talking about Tanzania
@millienaomi9298
@millienaomi9298 7 ай бұрын
Kenya in one song Love for this song ❤️❤️
@tyronenjosh9832
@tyronenjosh9832 7 ай бұрын
Definitely Kenya... This should be made Kenyan national anthem 😤
1ОШБ Да Вінчі навчання
00:14
AIRSOFT BALAN
Рет қаралды 6 МЛН
ДОКАЗАЛ ЧТО НЕ КАБЛУК #shorts
00:30
Паша Осадчий
Рет қаралды 1,4 МЛН
I Took a LUNCHBAR OFF A Poster 🤯 #shorts
00:17
Wian
Рет қаралды 16 МЛН
Nay Wa Mitego  - Sauti Ya Watu (Official Music Video)
4:21
Mr Nay
Рет қаралды 3,3 МЛН
Nacha x Stamina - Jua Lile (Official Music Video)
4:58
Nacha Ousam
Рет қаралды 1,7 МЛН
Nipeni maua yangu
7:00
Roma Mkatoliki - Topic
Рет қаралды 38 М.
Kontawa Ft Harmonize  - Binadamu [Official Music Video]
3:59
kontawa
Рет қаралды 1,3 МЛН
Nay Wa Mitego  -  Bachela ( Official Music Video )
3:42
Mr Nay
Рет қаралды 1,2 МЛН
Nay Wa Mitego - Mamlaka(Official Music Video)
3:47
Mr Nay
Рет қаралды 938 М.
Nay wa Mitego - Alisema  (Official Video)
3:29
Mr Nay
Рет қаралды 2,3 МЛН
YAMOTO BAND VIDEO MIX TZ-Dj Kips Dan
32:55
Duncan Kips Dan
Рет қаралды 2,1 МЛН