Ngoma kali na ina ujumbe mzuri shida ya wasanii wengine ni waoga ndo tatizo true boy kaongea kila kitu humu💥💥💥💥💪
@swaumsheh61703 жыл бұрын
Nyimbo iko poa sana ongra ney
@fidelskikonga3933 жыл бұрын
Kweli kabx
@inversedelcruise6763 жыл бұрын
hii ni bonge la wimbo , kama unakubali nay wa mitego ametubu na kurudi kundini like na tusonge mbeleeeeee
@peterkichochi75103 жыл бұрын
Huyu jamaa angezaliwa USA angeutwa 2pac square. He is very creative nigga and very thoughtful nigga deep. Be blessed Ney
@simontamba12853 жыл бұрын
Tru
@emanuelkyomo37723 жыл бұрын
Mmmh kaka Pac alikuwa mwisho kka
@mohameeddoaan22963 жыл бұрын
Kabisaa
@ebbyminja81843 жыл бұрын
This meaning of Hip Hop
@jumashimba96203 жыл бұрын
Good song
@dullahbinam16073 жыл бұрын
Jiwe kali mno pia lina ujumbe..kama vp gonga like twende sawa
@nasrahsamwely68713 жыл бұрын
Basata MUNGU anawaona mxiiuw 😏😏😏😏kwahiyo wanataka je? Wasanii waimbe nini??? Alafu mbona hapo Ney hajamtaja mtu??? Pole Sana Ney,, mwanzo nilipata wasiwasi maana kichwa chako sometimes ni Chenga😂lakini kwa hapa umeuaa af Ngoma kali kinoouma 💯💯💯💯💯💯❤️❤️❤️
@aminaahmedmohd31483 жыл бұрын
Kwa kwel m mwenyew nilishaingia wahka mana kichwa kibovu sema yuko vizuri
@rizikikitoki33483 жыл бұрын
Wanataka watu waimbe mapenzi tu
@HusnaSalum-p1q12 күн бұрын
Mapenzi na vyupi nje Tanzania 🔥 so nyimbo zenye ujumbe
@HusnaSalum-p1q12 күн бұрын
Mapenzi na vyupi nje Tanzania 🔥 so nyimbo zenye ujumbe
@ogindiii14653 жыл бұрын
Ndugu zangu watanzania inasikitisha sana kusikia wimbo mzuri kama huu unafungiwa, what's is democracy to you?,can you guys wake up, Congrats baba yaga one love from Nairobi 🇰🇪
@irenemsumba67763 жыл бұрын
Hata Mimi nashangaa sana eanataka nyimbo za mapenzi 😂😂😂😂😂
@taufikihamisi63852 жыл бұрын
Uku TZ tunatawaliwa na viongozi wanaotumia mabavu
@drizzlesly60093 жыл бұрын
Nay imebidi atumie mbinu nyingine kuiachilia hii ngoma ivyo ivyo..he ia determined🔥🔥
@salimswahibu37793 жыл бұрын
Naandika uchochezi tuu wewe mwenyewe nay mnafki ...ungemuimbia before na uko kumpenda imba nakupenda sio wote tunampenda ...kaa kwa kutulia na mkae mkijua njia ya wanafiki ni jahannam tyu
@andrewjames85513 жыл бұрын
Kama umegundua kama Kaka yake Ibra aliyekimbia akaacha mke na watoto ni Roma gonga like..
@mrpcharles56963 жыл бұрын
Msenge
@amedeuslyimo23153 жыл бұрын
Tundulisu
@shabanirashidi39473 жыл бұрын
Hahaaaa mkatolik
@sulemanimwasunga9543 жыл бұрын
@@mrpcharles5696 l
@issamkali76483 жыл бұрын
Huniukwelitu
@ahmuhally44303 жыл бұрын
Jamaa katisha kwelikweli 💯💯💯 kama umekubali gonga like
@nadiahussein50793 жыл бұрын
Nyimbo Kali kinoma noma inabidi ipewe tuzo basata mnakwama wapi jaman
@rizikimasemo65533 жыл бұрын
That's why I like Ney wa Mitego he is a great thinker Haya mama mpe majibu kijana wako
@hildpaul78233 жыл бұрын
Mama tunaomba majibu pls
@makwayalaurent90852 жыл бұрын
This is the guy that we need in this country a person who can speak his mind out without any hesitation love us so much
@Tiwiniankid3 жыл бұрын
Nahisi itakua basata wapewa rushwa ndo maana walikuwa wamekubania🤣🤣🤣🤣gonga kma wakubaliana nmi🔥🔥💪🏻💪🏻
@joharishabani28933 жыл бұрын
Ngoma tamu hatar nimemkubali. Sana huyu kaka.
@joharishabani28933 жыл бұрын
Kumbe haya bna
@deoshirima94583 жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692 kwan amemtaja baba ni nan au tafsir binafs
@yusufmwangichannel66923 жыл бұрын
@@deoshirima9458 kuna watu wamesoma wana akili komavu
@chazadamas72863 жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692 sasa uyo baba wewe umejuwaje kama nimagufuri. Kwani umesika amesema hayati magufur
@maulidsaid94483 жыл бұрын
Hahahaha jamani kama huu wimbo hujauona kasolo yeyote nipe like japo kumi tu
@saidiabumaryamsaidi68933 жыл бұрын
iko poa
@maulidsaid94483 жыл бұрын
@@saidiabumaryamsaidi6893 🔥🔥🔥
@alchristianyacjosephe2408 Жыл бұрын
Sana
@KelvinYondan-zg3sm Жыл бұрын
😛😛
@michaelkilifi89783 жыл бұрын
Hao basata waangalie vizuri bro hawakutaki uimbe coz ngoma haina tatizo, big up bro ngoma kali, all the way from 254
@yusufmwangichannel66923 жыл бұрын
Makosa makubwa ni kumdhalilisha raisi Mama Samia kwenye hio video
@buchosafm92893 жыл бұрын
Kamdharirishaje...nini maana ya uigizaji...ingekuwa hivo aliyecheza movie y yesu angefungiwa na wakristo
@yusufmwangichannel66923 жыл бұрын
@@buchosafm9289 sheria ya ali act movie ya yesu sio sheria ya Tanzania
@mbwanakhamis96343 жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692 ss hpa hbu tufafanulie kamzalilisha kivipi yani??
@yusufmwangichannel66923 жыл бұрын
@@mbwanakhamis9634 akuonyeshe sura mwanamke akajulikana ni nani na amemtaja ayati John Pombe Magufuli kama Baba akisema kua eti Baba alikua mkali ila ameondoka na amekuachia nchi
@marypetermbaga13483 жыл бұрын
Katika nyimbo ambazo ney kaimba kiustaarabu bila yakuongea neno lolote baya no hiii Kama upo pamoja Mami gonga lak Kama zote tuwe pamoja
@evancepatrice11143 жыл бұрын
Ila Ney lini utaludi kama 2016-2018 nakumbuka uliachia hiti juu yahiti kusema nimemis zile ngoma alafu nakuibia sili kukaa kimia mda mlefu ndo kunakupotezea mashabiki naomba uanze kuachia jiwe juu ya jiwe🔥🔥🔥🔥🔥
@rodgerthegreat91923 жыл бұрын
More likes to this comment please
@momoirazivye33633 жыл бұрын
Mama tunakupenda san
@juliusmushi64283 жыл бұрын
Maneno mazuri ila jifunze kutofautisha l na r
@swalehesalumu53943 жыл бұрын
Idea ni kubwa Sana ila jamaa kaifanya kwa udogo mnoo
@deusimorata77343 жыл бұрын
Hawa BASATA wana jambo lao 2 mbn nyimbo iko ppwa
@MagrethMallya-we8ui Жыл бұрын
Rais wa kitaaaaa❤❤❤❤❤ kaujumbe ka nguvu kabisa👏👏👏Ney haki umewapa joto hawa watu.
@mosamossile91133 жыл бұрын
Uyu jamaa muacheni Tu Amumuwezi uyu kiumbe ni kichwa sanaa Big up brother Nay wakimara baruti Docha🇿🇦🇿🇦🇹🇿, Ul watching from South Africa Cape town wynbebrg
@eunicemakoye11353 жыл бұрын
🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥❤️❤️
@mosamossile91133 жыл бұрын
@@eunicemakoye1135 bless
@tatumwanga91023 жыл бұрын
Kazi ya fasihi ni KUELIMISHA,KUBURUDISHA na KUSISIMUA.Ubora wa sanaa unabebwa na ubunifu wa msanii.Utunzi wa mashairi kuntu yenye kufikirisha/kutafakarisha kwa mlaji(hadhira) ni dalili tosha kuwa sasa sanaa yetu imevunja ungo.Viva Emmanuel Elibariki(Ney wa mitego),umedhihirisha ukomavu ktk sanaa bro.
@Bigenergyteam2503 жыл бұрын
Mana kweli sana respect to may wamitego it's love from rwanda
@kayekekayeke35143 жыл бұрын
TRUEEEEEEEEE BOOOOOOOOOOY NASIKILIZA HII PINI TANGU SAA 7 MCHANA INANOGA MASIKIONI BALAAA!HUU NDIO USANII SASA Don tell me what you understand but let Ney sing what he meant to us......Ni noma hii nyimbo BIG UP NEY
@athumaniguni31823 жыл бұрын
yes ngoma kali huyu ndio mwanaharakati
@singidaone56283 жыл бұрын
Basata kama watamfungia huyu mwamba mungu awalaani #Nay4life
@stenvibe95893 жыл бұрын
Tiar washaifungia 😂
@abdulikadirnarrel27513 жыл бұрын
Basata wimbo huu ndo mnaufungia mbn ngom ipo bomba
@elizabeththomas24603 жыл бұрын
Ngoma kari basata mnauwa wasanii wetu jaman
@fungojasili10963 жыл бұрын
Wamefungia ila wamefanya kuchange account ili ngoma itufikie
@mohamedothman97693 жыл бұрын
Walaniwe mara ngapi
@mzunguromesi27703 жыл бұрын
BASATA wakifungua tena huu nyimbo watakua awafai mana huu nyimbo aina shida yoyote bonge moja la song
@roselynngallo18723 жыл бұрын
Wameelewa mama aliyeongelewa hapa we hujaelewa?
@dashcombokinondoni19923 жыл бұрын
Fanyeni Ngoma iende trending number 1
@evalinejoshua68543 жыл бұрын
Wangekua wale waimba matusi wangewaruhusu kuitoa hi ndio TANZANIA nakupenda kwa moyo wote
@luqash_luqman97443 жыл бұрын
Video vixen ni #Mama #Samia #sulluhu ama 🤣🤣 ngoma kali sna
@kelvinebens52393 жыл бұрын
Aseeeee we jamaa nakubali ubunifu wako hujawai kunifelisha big up bro🤝👊🏽
@aishaaisha45493 жыл бұрын
Big up ney wamitego hii nyimbo ina maana kubwa sana ♥️♥️♥️♥️♥️imenigusa yastaili upewe tuzo
@fabiandasilver77603 жыл бұрын
Only the smart will understand and read between the lines.... lyrics totally deep🔥🔥🔥 Nay mkali✍
@gordononyango26503 жыл бұрын
Ney wa mitengo mwanamziki mbunifu sana kwenye sanaa ya mziki , kutumia wimbo kupitisha ujumbe kwa mwenye anafaaa big up man
@simontamba12853 жыл бұрын
Saana
@djpdaprince22333 жыл бұрын
Hiii imefunika zote Nay🙌😂 nakubali from 254
@hilarismwita54983 жыл бұрын
Kwa hii sanaa ney umetixha mama-mh.samia suluhu. Baba-hayati magufuli. Shangazi-halima mdee na wenzake. Ibra-roma mkatoliki
@SAMWELI19953 жыл бұрын
Anastahili kushikiriki AFRIMMA B.E.T @Nay🔥💯
@Hodariaudiovisuals3 жыл бұрын
Nakuelewa sana.Mwache Magufuli Apumzike kwa Amani
@muzihiljabili80903 жыл бұрын
Kama unamkubali uyu mwamba tujuane🤜🤛
@kelvinmfilinge87073 жыл бұрын
Duuuuuuu
@yohanabundala91623 жыл бұрын
Hakuna msanii ninaempenda zaidi kuliko Nay, Ngoma za masela Basata mnakalilishwa vitu. MBONA WIMBO SAFI2
@Waya_tz3 жыл бұрын
Mbona me cjaona kosa lolote kwenye ngoma Kwan basata wanashida gani na ney??? TRUEBOY IN A BUILDING (FREENATION) 👏✍️👏
@yusufmwangichannel66923 жыл бұрын
Kosa ni kumdalilisha raisi Mama Samia alimchukua mwanamke akamfanya kama Mama Samia na hakumuonyesha sura watu wakamjua ni nani alie act kwenye hio video
@godlistenmtui32673 жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692 sasa na wew mbona mtu mzima na akili za kitoto. Sasa hapo basata wamefungia wimbo au video??
@mafiosoismail74753 жыл бұрын
@@godlistenmtui3267 tatizo hawapendi kuambiwa ukweli mwamba na ndo maan hatuelei kisa unafk huu na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa, ngoma n Kali na ujumbe ushafka na sanaa imeplay part yake ewalaah 🤜🤛💪💪💪🎙️🎤🎧🌙
@jerrythefifagoat1243 жыл бұрын
Kosa nikwamba anamsema samia na magufuli
@julianafedrick35913 жыл бұрын
Kunakosa kubwa sana .....usijifanye hauelewi
@shadrackdamiani14183 жыл бұрын
Mbona nyimbo iko poa tuu ,🙏🙏💖anaye sema hapana naye kenge tuu
@omegajuliasi54373 жыл бұрын
Nilickia et basata wameikataza hii ngoma. Sasa wao wanataka wasanii wote waimbe mapenz tu?? . This is hip hop. Ney nitafute Kuna zawadi yako 🔥💪👏👍
@yusufmwangichannel66923 жыл бұрын
Hii video ndio imemdalilisha raisi Mama Samia
@godlistenmtui32673 жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692 elewa kitu kimoja ndugu basata wamefungia wimbo yaan mashair sio video. Sasa hapo rais amedhalilishwa wapi au umeuona rais hapo kwenye video?
@yusufmwangichannel66923 жыл бұрын
@@godlistenmtui3267 ndugu yangu kama hauna akili kuna watu wana akili kukuliko. Na mbona alificha sura ya uyo mwanamke? Na Mama alikua anamuimba ni Mama yupi? Na uyo Baba aliekua anamuimba hapo akisema Baba sasa amekuachia nchi na Mama tunakuamini alikua anamaanisha ni Baba yupi?
@rescotv88043 жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692 we jamaa ndezi kinoma
@lodrickmwambene37223 жыл бұрын
Bongo hawapendi kuambiwa ukweli wanapenda unafiki na nyimbo za matusi ney ni watofauti Tanzania kumwelewa
@FlorenceGacheri-nk2dt6 сағат бұрын
Huyu si aweraisx au vp lakc ha fro 💖💪🙏 yushy sliver
@jumajembe83923 жыл бұрын
🙏🙏🔥🔥 Much respect for you!!! Nakuelewa Sana Brother, ningependa Sana Kama mngeungana na Roma daaaah sijui ingekuwaje!!!!!!!!!!!
One of the best song 💯..ALIYEIFUNGIA HII HUKO BASATA..KUMA LA MAMA YAKO..
@dangotesam98453 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@emmanuelmosha22783 жыл бұрын
Bonge la wimbo, hao jamaa hawapendi kuambiwa ukweli wanakimbilia kufungia ila ukweli ndio huo, Mama tunakupenda sana, big song ujumbe umewaunguza🔥🔥🔥
@johnziro5263 жыл бұрын
Kazi nzuri kuliko wote walioimba mama ya samia napenda kazi zako brother from Kenya county 003
@josesombo7643 жыл бұрын
Kilifi sio mkali
@mnkondejr91743 жыл бұрын
Acha wafunge si tunalo Tayari Mimi ni mkaguzi wa Basata wa kujitegemea nyimbo haina makosa kabisa
@amashaubamba40383 жыл бұрын
Nyimbo kali sana haina ukakasi hata kidogo thanks trueboy 🙏🙏👏🏽👏🏽
@mtahogarashid84882 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana inatia huzuni
@jumajembe83923 жыл бұрын
Ngoma inaujumbe mzito Sana Much respect to you Mr Ney!!!!!☠️☠️☠️☠️☠️
@johnnyagawa8633 жыл бұрын
Shangazi halima wamekataliwa kwenye familia na kwenye vikao wanauzulia litafakalini hili kama umenielewa wanaccm wenzangu like kubwa moja tu apo chini
@noelfrank40783 жыл бұрын
Mbona nyimbo aina shida🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@stevewesco75663 жыл бұрын
C ndo apo nashangaa nn shda
@abdulialiy54113 жыл бұрын
Ww hujuwi kama kampiga majungu Hayati Magufuli
@husnasaidihasani71723 жыл бұрын
@@abdulialiy5411 watu hawaelewi wanaangalia hapa tu, dahh wasanii hawa
@abdulialiy54113 жыл бұрын
@@husnasaidihasani7172 kweli kamzihaki Marehemu Magufuli ila mwenye upeo mdogo hawezi kugunduwa
@ziongodfirst18683 жыл бұрын
@@abdulialiy5411 acha ufungiwe kabisa Magufuli apumzike salama tu kamsema Sana kwa mafumbo katumia Kama mashairi ya wasakatonge Ila mwenye Ubongo wa nzi hawezi elewa
@MN-zk5bt3 жыл бұрын
Kama unamkubli Nay gonga likes hapo tujuane big up my bro nice song from South Africa
@samshirima76833 жыл бұрын
Safi sana mwamba ngoma ipo vizur
@abdulikadirnarrel27513 жыл бұрын
Ngoma nilikua naisubir san gonga like km kwel unamkubal true boy
@hajilove55923 жыл бұрын
Ik vzl kbc
@allykazoa70653 жыл бұрын
Yani Basata Bhn Asa nyimbo Inamatatizo gani Akiimba Matusi mnamfungia Nako Kaimba Vizuri Mnaleta Usinichi Sasa mnataka muimbiwe Nyinyi.Mm Na like Hap a Ili goma bonge la goma Nay Miaka mia bob
@amigodossantos41293 жыл бұрын
My Tanzania is always on Fire every second day 🇹🇿🎉🎹🎷🎸🎤natafuta goma haha
@mpinno21803 жыл бұрын
Bonge LA wimbo wewe si mnafiki hujawahi imbaga nyimbo enzi za baba you are tru ney.Ila Huyo uliyefanya nae!!!!
@CAPTAIN_GALAXY133 жыл бұрын
Huyu mwamba siku zote anaongea ukweli hata kama basata wameifunga kama unamkubali na ngoma itapigwa kila kona twende na likes👍 hapa 🔥🔥
Kazi nzur good idea ,,,,,,I always appreciate you bro
@wilbardshayo88353 жыл бұрын
mziki uende uku ney rudisha mziki we love you mama more likes
@kelvindanda60523 жыл бұрын
Yani nyimbo ilifaa ipewe TUZO eti ndio wanaifungia Hii Basata inabidi wapewe watu wanao jua Mziki nasio wakurupukaji tu jaman likes za nay wamitego jimbo kali ya mama plz
@hamisiharuna30993 жыл бұрын
Wewe kafuta yasiyo faa
@samuelezequiel76123 жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692 kosa liko wapi kazi ya Sanaa hiyo..
@yusufmwangichannel66923 жыл бұрын
@@samuelezequiel7612 sana na sheria ni kitu kimoja. Kwenye sana lazima ufuate sheria
@kreamagdfsa16973 жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692 Makosa ya kwaida tu ila wao wameyachukulia kwa uzito kwani kuna ubaya wowote kutoa mfano wa rais nnilipo sikia basata wemeipinga hii nilijua mambo 2 kaimba matusi aidha kasharusha dongo kwa serekali
@thegreatindustrious37893 жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692 hakuna kosa hapo hao wanalinda legacy yawenda zake
@yahayahussein82403 жыл бұрын
Basata wanajikuta ndo wenye nchi. Ngoma Kali ihiii na Aina makosa bhn True boy Mama 3ddy
@dezideliusandrew21393 жыл бұрын
Nay unajua baraa...💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥👏👏👏👏👏
@yusufsamwellugendo97573 жыл бұрын
Mpaka uwe matured kiakili ndo utaelew alkuw anamaansh nn hyu mjamaaa........kuhus ujumbe umeelewk sana
@filbetterwilson69833 жыл бұрын
Kama umekuja kusikiliza baada ya basata Kufanya nayo gonga like
@superauto445 Жыл бұрын
Best of the best songs in the world love you so much ney wamitengo all the way from COMOROS 🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲
@davidwalalason76303 жыл бұрын
Fvcc basata, kudos to Nay wa Mitego, this song is dope much love and respect....💪💪💪💪
@jaycolldigital71633 жыл бұрын
kenya tunashangaa!!! awa BASATA wanataka aje na sanaa...nay sema iko sawa kabisa .like za kenya basi.
Kama ushamuelewa Nay tupitia likes hapa... WCB4life
@rashidykihunga39623 жыл бұрын
Aaaaiiise siji nikugongee nyanya au nikugongee buku. Umetisha balaa .
@ismailsaimoni18943 жыл бұрын
Hip hop is still alive True boy in the building umeua mzee.
@mokhancarlitotz3 жыл бұрын
Hii Nchi Mpk Sometimes inaboaaa VIVA BABA YAGA VIVAA ngomaa kaliiiiii
@DJZeZe2543 жыл бұрын
God Bless Tanzania,Much luv from Kenya🇰🇪🔥👊 Dope Song.....
@biharusussi82333 жыл бұрын
Wimbo mzur na unamafunzo mengi. Basata acheni wimbo uendelee banaaa😎
@josesombo7643 жыл бұрын
Basata hapa mimi sioni tatizo na kama ni ukweli ngoma mnataka kufungia basi hio kwenu itakuwa ni chuki na kukosa utu. Ney kaongea mambo yaliyopo na kwa wengi walioogopa sasa wamepata muwakilishi. Hivi nani hajui kuwa baba alikuwa mkali na hangependa mtu akosee? Usinyakaze sema leo na mwisho wewe sema. Big up bro Ney all the way from Kenya 001
@mariamramadhani38603 жыл бұрын
Nyimbo ins mafumbo muelevu tu anaelew big up kaka
@rashidtabu2546 Жыл бұрын
Honestly this guy is real! Ney your another hope of hopeless people of Tz Keep the fire 🔥 burning
@abubigguyabu29073 жыл бұрын
Kutoka ,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪likes za Nay ziko wapi
@leonardrafael43043 жыл бұрын
Huku hapakuhusu
@ambitiousmsanii33853 жыл бұрын
@@leonardrafael4304 🧠🧠🧠🤷🤷
@jacklinemassawe59073 жыл бұрын
Nice song japo nimetaman huyo mama ageuke wallah nikama ni yeyeee nimempenda bure
@tanzaniakwanza95643 жыл бұрын
Mimi ni shabiki ndakindaki wa Magufuli lakini sijaona kama kuna sababu ya msingi ya kuufungia huu wimbo. Tanzania ina watu wenye akili tofauti na mitazamo tofauti maadam hajatukana.
@otto64753 жыл бұрын
Shangazi Halima na wenzake wanasemaj??
@hamidujumaa28943 жыл бұрын
Sema nn ney hapa nimekuewa Sana bonge LA ngona ila hawa basata xizan kama wanauelewa huu mziki hiz ndiyo nyimbo tunazotakiwa kusikiliza jaman tatzo pale basata niwazee watupu
@abdulmohd68803 жыл бұрын
Magufuli endelea kuchezea adhabu za Mungu, Mungu mbariki sn raisi wa watu kipenzi ch watu mama Samia... Big up sn baba yaga ngoma n 🔥..
@amanicollence58373 жыл бұрын
Huu wimbo ni mzuri sana na mimi binafsi sijaona alipokosea msanii Nay wa mitego
@saulstephen49243 жыл бұрын
Tulioelewa Mama anayezungumziwa hapa gonga like nying
@ilhamisa23013 жыл бұрын
Mama Samia
@ilhamisa23013 жыл бұрын
Hapo anazungumziwa mama samia
@youngbreezy66153 жыл бұрын
We love you mama samia Mungu akupe maisha marefu na afya njema , we love good music keep winning Nay
@Ken-pChance3 жыл бұрын
Hii inafaa 20m views....fire Nay/Ney ....me ni king wa Kenya......chapa likes
@jacksonenock52313 жыл бұрын
Ngoma kali imejaa ujumbe mzuri hongera sa jembe letu Nay .
@michaelclive76302 жыл бұрын
Tz artists have a unique poetic style of delivering a message to their govt
@emmnzey7133 жыл бұрын
Hivi kosa ndani ya huu wimbo ni lipi; hembu nisaidieni mimi sio mTZ , kiswahili changi of cause hakiko vizuri
@danielmakala903 жыл бұрын
Siwapend basata,,mbona song🔥🔥👊
@mrgardendesignerluta46673 жыл бұрын
Hi nyimbo ni nzuri ..hapana shaka Mama ujumbe umemfikia
@musashaweji48353 жыл бұрын
Halima mdee na wezake 😃😃😃basata wakahaki waifungie Ila broh bonge ngoma
@olaolacocacola92423 жыл бұрын
Jua halizibwi kwa ungo na ukweli siku zote huishi milele, MABABA WADOGO WAMEUFUNGIA WIMBO BORA
@goodlucktemu31493 жыл бұрын
waliogundua uo ushungi wa mama like apa😁
@hunterdee79293 жыл бұрын
Nakufananisha na DAX wakatai nasubilia ngoma ya MAMA ya dax pia. ..ngoma imesisma.
@yusufathman24783 жыл бұрын
Kama umeelewa true boyy piga like apa..
@hamisimmwete41493 жыл бұрын
Basata bhan asa huu wimbo waliufungia kwa kipi or nao watak kiki tyu mbon wemb hauna maneno makalii pia ngoma kalii