No video

NDARO, MR. MWANYA WAMEMCHANA MAKAVU CHIEF GODLOVE ATOKE MAGETONI "NIMEKUTANA NAE LIVE HANA HELA!"

  Рет қаралды 20,305

Mbanga Tv

Mbanga Tv

Күн бұрын

Ni aibu! Mchezo wa Chief Godlove kutumia pesa feki tiktok umevuja na washkaji Ndaro na Mr Mwanya wamemchana makavu bila kupepesa macho.
Nimekutana nae Live hana pesa! Haendani na pesa anazoonesha tiktok!
Pia chief godlove ameamua kwenda studio na amesema ataachia ngoma yake hivi karibuni kwa hiyo watu wakae mkao wa kula.
#fyp #chiefgodlove #freemason #tiktok #ndaro #mwanya #mbao

Пікірлер: 33
@user-wn2gr1in7w
@user-wn2gr1in7w 10 ай бұрын
wew mwanya na huyo ndaro wote nnyiee n panya kwa huyu jamaa sis tuna muelewa sana chifu
@josephmathias8341
@josephmathias8341 10 ай бұрын
Huyu jamaaa pesa anazo nyingi sana ,,,yan namanisha kwamba kama huna pesa huwezifanya vitu kama anavyofanya mwamba,,pesa anazo💪💪
@AllenHuncho-ji8sq
@AllenHuncho-ji8sq 10 ай бұрын
Kwel
@GodiGodi-im5wi
@GodiGodi-im5wi Ай бұрын
akili auna tafta pesa alali
@ABDULKIPAGWILE-ke8ci
@ABDULKIPAGWILE-ke8ci 10 ай бұрын
Mwenye ela amsemi maskin zitaisha izo kumbuka misemo ya ndalo anasema yanamwisho
@zachariasaimon1448
@zachariasaimon1448 10 ай бұрын
chief goodlove ni kaline tunao ishi sasa hivi ambayo imebeba majivuno kwa kili mtu kwangu mimi sio sahihi kuonesha pesa zako sehem za media mitandaon ili kusudi iweje sasa kwangu mimi anakosea sana
@user-rw5wy1yw3f
@user-rw5wy1yw3f 7 ай бұрын
Mimi nimemuelewa sana Hii ni mbinu Moja ya juu ya kufanya watu wakukazie uangalifu na hivyo kuwa na followers wa kutosha!!!
@Florisvevotz
@Florisvevotz 5 ай бұрын
Kuna wakati anazungumuza vizuri nakuna wakati anazinguwa
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 10 ай бұрын
Huyo ndio mswahili,msaidie utakavyo weza lazima atakunanga
@deobabula1268
@deobabula1268 7 ай бұрын
🇹🇿 ni icho yenye fujo zisizoumiza tafuta pesa
@Susanumazi
@Susanumazi 10 ай бұрын
Huyu jamaa anasumbuliwa na ushamba sana
@saimongilala8938
@saimongilala8938 10 ай бұрын
Wewe ndaro na mwanya ni fala2 na hamuwezi maisha ya yuyo jamaa pia kama unaweza kuazima azima tuone bs
@aliymajala5678
@aliymajala5678 18 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿
@user-jm9ir5di8p
@user-jm9ir5di8p 6 ай бұрын
Anakosea sana
@husseinbakari7008
@husseinbakari7008 10 ай бұрын
Toka apa Vimbao 😂
@user-yd1qo1kk8m
@user-yd1qo1kk8m 9 ай бұрын
Jamani watu waongee vyote lkn chief godlove hela anazo japo tuliona kibao lkn vp clip zake zote kuna vibaoo chief baba upige mwingi tu hakuna mtu anaeweza kupita njia yako iliokufikisha hapo hio ni siri yetu tusonge mbele
@jimmymucowimana9718
@jimmymucowimana9718 10 ай бұрын
Acha mambo zenu chef anapesa kabisa zakutosha muhacheni ujinga nahasira huyo jama niboss Sana
@faidhacute
@faidhacute 10 ай бұрын
Huyu pesa hana ila anaridhisha nafsi yake mpuuz
@user-jh4bi3th9t
@user-jh4bi3th9t 7 ай бұрын
Sasa ndaro unajilinganisha na chief wewe na mwanya ni makumakuma tu
@mariammariam6356
@mariammariam6356 10 ай бұрын
HUY MGANGA WA JADI AU MWANAMAZINGAOMBWE 😅MBON AKIITWA KWENY REDIIO YOYOT ANAKWEPA KWEND MUONGOOOOOOOO
@user-ws5sd8wf1t
@user-ws5sd8wf1t 10 ай бұрын
Mfano wamtumwenye PESA mtazame bakhresa
@ABDULKIPAGWILE-ke8ci
@ABDULKIPAGWILE-ke8ci 10 ай бұрын
Mbwa hauna ela bwege
@AdrianoMwalupani
@AdrianoMwalupani 10 ай бұрын
Chifu niazime namimi vimbao natambe kwetu
@Zaikadena
@Zaikadena 10 ай бұрын
Kwel huyu ni kichaa
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo 10 ай бұрын
Libaya lijitu lenyewe
@mariammariam6356
@mariammariam6356 10 ай бұрын
MUONGOOO HUYU BABU YAK GANI CHIEF WAKAT ANAENDAGA DHAMBIA KUNUNUA UCHAWI
@user-zj1pw8tj1z
@user-zj1pw8tj1z 10 ай бұрын
Jamaa anafanya ualisia wa maisha yake ila wanadamu wapo kwajili yakumchafua mtu alie fanikiwa ili ashuke alipo anachokifanya godlove ni sahihi kwa ajili ya maisha yake respect blotter
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 10 ай бұрын
Nakubali Kaka...sema bongo wivu tu na rohoo mbaya tu inatusmbua
@sanchoMohamedi-bh3nf
@sanchoMohamedi-bh3nf 10 ай бұрын
​@@user-ch2it3qt5z😂❤😊2❤0
@user-zb2mj5nd5g
@user-zb2mj5nd5g 10 ай бұрын
kama kujishusha atajishusha mwenyewe nanyodo zake we mbele yamalofa kibao unaonyesha ukwasi , si watakuloga wandewa
@buchomillion4743
@buchomillion4743 10 ай бұрын
Dunia inakutesa wewe.wenye hela hawaongei.
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 94 МЛН
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
ToolTastic
Рет қаралды 6 МЛН
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 37 МЛН
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 13 МЛН
NDARO NA MBONEKE UTACHEKA
8:52
Ndaro Tz
Рет қаралды 208 М.
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 94 МЛН