Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@AyubuRashid-j7g2 ай бұрын
Mimi napenda ukristo lakini kuna sehem unanichanganya
@peterdeus6093Ай бұрын
Iv izi akili mnazitoaga wapi, watu wanamaada nyingine wew unakuja na mambo ya dini, kaanze na jirani yako
@venancerutta68753 ай бұрын
Kwa ufupi marekan miaka hy bomu la hytomic kapiga japan mpaka sasa ni visiwa marekani kama taifa inaweza kuiondoa nchi yeyote ktk ramani ya duniani
@vladimirputn18093 ай бұрын
Miladi wamekutuma marekani utudanganye hatudanganyiki tunaipendaurusi kuliko wali🇷🇺💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼
@martinisadru98993 ай бұрын
Huo ndio ukweli, zamani urusi alikua bado kwa technology, ila kwa sasa amekua kidume kwenye technology.
@PUTINN3653 ай бұрын
Nakukubali mwamba hatudanganyiki viva putin
@eng.makolal13673 ай бұрын
Jifunze kuandika kwanza.
@fredducaunt3 ай бұрын
@@PUTINN365😂😂 kichwani upepo tu Sasa wamedanganya nn
@HassanLamata3 ай бұрын
Rudia kusoma upya historia ya kweli kaka Soviet ndo ilikuwa tishio Dunian kwa tecnolojia shida WENGI hhatuna historia ya kweli tumedanganywa kwa muda mrefu sana @@martinisadru9899
@MsokaDibron3 ай бұрын
Asante kwa ku2juza, wamarekan ni hatar kubwa
@muhsinmwamkunja97023 ай бұрын
Marekani katumiwa mapupo tuu yakawa yanachukua data karibu na ikulu na watu hawajajitamba
@shabanidaruweshi-jw5jy3 ай бұрын
Ayo tv sasa anataka kujiharibia kutudangnya watazamaji
@hamidamussa-sy4fm3 ай бұрын
Ayo tv yuko vizuri sana sio kama sns
@magigesabai86743 ай бұрын
Marekani yuko mbali sana ni ngumu kumuangusha ni Mungu pekee mwenye uwezo wa kumuangusha miaka mingi sana yuko mbali ktk technology
@sakuranitillya60883 ай бұрын
😂😂😂 we bado sana
@magorymara55153 ай бұрын
Ni kweli lakin mbona anamuogopa Urusi
@michaelmisana6503 ай бұрын
Sasa ana muogopaje urus
@simoncmatanda51353 ай бұрын
Hawa wote wanaogopana ki teknolojia
@ramakeido33302 ай бұрын
Zikitunguliwa setelat hizo zinakuwa kama mapambo tu
@theoriginals32403 ай бұрын
viva America ✊✊✊✊✊
@PUTINN3653 ай бұрын
Shoga huyu tayari serikali tukamatieni huyu
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
@@PUTINN365shoga ni ww unaoutaja ushoga wenyewe.Kuutaja taja ushoga mara kwa mara ni sawa na kuueneza ushoga wenyewe.
@theoriginals32403 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bz mpumbavu, alafu unakuta watu kama hawa ndoto zao ni kwenda america
@sakuranitillya60883 ай бұрын
Wana mda mdogo sana hao marekan8
@NgaizaKimbeNgaizakimbe3 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bzUlienda Kwenye Mkutano Wenu Washington?😂😂😂😂
@hamidamussa-sy4fm3 ай бұрын
Marekani yupo juuu sana
@husseinhemedi93143 ай бұрын
Kilakitu cha kipekee Dunian kina tokea marekani Hawa wazungu wa usa wametudangany mno sasahivi hawaniambii kitu kuhusu Russia 🇷🇺🇹🇿🤝
@tekashisixtynin9threewithd7273 ай бұрын
Asa RUSIA amekisaidia nn paka saivi ww kama ww ama kwa nchi yako kama sio wanapiga kelele kuona wanaonewa na marekani na washurika wake acha na marekani anamsaada mkubwa sana
@georgekimasaofficial16293 ай бұрын
Tumesha kujuwa jina linajieleza 😂😂😂😂utasubiri sana Marekani idondoke ila na mwisho wa Dunia utakuwa umefika😂😂
@MajiTakaMaji2 ай бұрын
@@georgekimasaofficial1629ufike mara ngapi
@YohanaMaseboАй бұрын
@@tekashisixtynin9threewithd727mkundu wewe amekutombea mama yako
@WadySaidi3 ай бұрын
Waongo wameanza kutufanganya tena umeshagunduliwa nyinyi waongo sanaa
@fredducaunt3 ай бұрын
Mpaka uletewe mlangoni ndo uamini 😂😂
@WadySaidi3 ай бұрын
Sijui wewe zuzu
@robertmosha68013 ай бұрын
Kasome wikipedia
@mchinatz93353 ай бұрын
Lengo la kuleta hii habari ninini ? Sasa kwamba mtatutisha sisi team Russia
@martinisadru98993 ай бұрын
We, m, Russia wapi, we mjinga wa hapo pugu,, umesha ambiwa hiyo ilitumika miaka ya 60-94, haitumiki tena,
@josephatjordan21503 ай бұрын
Ww Uko Russia mama ako yuko US
@donaldmgunda49703 ай бұрын
Lengo letu ni kutaka kuwapiga ninyi warusiiii kule ukrainaaaaa
@magretherick14783 ай бұрын
Wew martini fuatiria vzr Russia ndio ilikua na ndege zenye kasi kwaajili ya eneo lake lilikua kubwa enzi za usoviet
@PUTINN3653 ай бұрын
Sisi ni russia
@wangaeliwilfred29193 ай бұрын
Team USA tupo
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
Marekani kwa teknolojia wako juu sana
@shaurimtanda82853 ай бұрын
hamna kitu usiwe mvivu wa kusoma mambo ya sasa dunian
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
@@shaurimtanda8285 nani zaidi ya mmarekani labda Israel
@adolphmwangoje28873 ай бұрын
Ndege ilitangazwa kwenye TOP GUN MARVELICK mkiwa mnangalia movie angalia silaha mpya ipi imewekwa ndo utajuwa yaliyomo Zaid duniani 😂😂😂😂
@mwanahamisimohamed13643 ай бұрын
Upo sahihi,hii ni SR 71 " blackbird " anayozungumzia millard, lakini haizidi speed SR 72 "Darkstar" ndo imeonyeshwa kwenye movie ya TOP GUN ya TOM CRUISE na hii SR 72 "Darkstar" ina speed ya MACH 10, zaid ya hii anayoonyesha millard ayo ni SR 71 "blackbird"
@ELLYTECH3 ай бұрын
Yeah though ile ilikua inaitwa darkstar
@OthmanhajiMwalim3 ай бұрын
Asante kwa uwongo...
@pauloptatmosha81153 ай бұрын
Viva USA
@saeedally2683 ай бұрын
Kataa au usikatae marekani wako juu hata warus wachina wakorea wanalijuwa hilo
@emmanuelkanyela2752 ай бұрын
acha uongo amguse mrusi ataona
@hamidamussa-sy4fm3 ай бұрын
Wew mareka ju
@Chettymlambalipsi-lb9km3 ай бұрын
Millard tunataka mambo mazuri yanayofanywa na mataifa pinzani na marekani 😊😊
@fredducaunt3 ай бұрын
😂😂 mambo mazuri ndo haya Acha muvi za kihindi
@bishweko3 ай бұрын
Mbona isiende kumsaidia Zele boy huko Ukraine?
@magigesabai86743 ай бұрын
Kama makombora ya Ukraine yanafika urusi na kupiga bila kutunguliwa ujue urusi bado sana ambacho anaweza kujivunia kidogo ni Nuclear Marekani yuko mbali sana
@muhsinmwamkunja97023 ай бұрын
Hata marekani walipeleka hymars ukrai ndo wakajitamba mtambo unaoweza kuzuia makombora sasa ivi upo makumbusho ya urusi kule watu wanautazama
@fredducaunt3 ай бұрын
@@muhsinmwamkunja9702 Ume-type nn 😂😂
@deluhdenis64992 ай бұрын
asante kwa maarifa
@magorymara55153 ай бұрын
Kwanza tuulize alieanza kurusha chombo cha mawasiliano angani ni nani tukishapata jibu huyo ndo mshindi wetu
@fredducaunt3 ай бұрын
Mitano tena kwako 😂😂
@shaamemchauru13653 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏💓
@ShabaniSudi-d1x2 ай бұрын
Russia is first to go far and high space
@PetroMpunga-rt7hvАй бұрын
Marekani ni TAIFA KUBWA
@ShabaniSudi-d1xАй бұрын
@@magorymara5515 wa kwanza kurusha chombo angani ni Russia.
@Shebbytvs3 ай бұрын
Ukitaka kumuweza Mmarekani kwa vita anza kuwapiga wale watu wenye akili nyingi duniani ambao ni wa ISRAEL,pili wapige Wajerumani na tatu kampige babaake Mmarekani ambae ni UK tena ni kwa haraka sana alafu ndo mfate mwenyew kidogo unaweza kusumbuana nae ila bila hvyo utaishia kupga kelele kama yule KIDUKU wa Korea!!!
@simoncmatanda51353 ай бұрын
ko sawa kiongoz wala skupingi
@abdimakame79292 ай бұрын
Ata Mimi Sasa nimekubali awa watu ni shida%
@JosephatNguaАй бұрын
Watu hatujashituka,urusi Yuko vizuri sana isipokuwa anapambana na ulaya na marekani Kwa kupitia mgongo wa Ukraine@@abdimakame7929
@geofreymilinga2965Ай бұрын
Nimesoma iyo coment nimecheka kimy kimya
@manchalijob9600Ай бұрын
Marekani ni kuma tu kwa urus
@edrickniwamanya56653 ай бұрын
Kwahiyo mnatutisha team Russia au ndo mnawashwa mnataka marekani akawapelekee moto??
@absm80843 ай бұрын
Huko walishatoka kitambo😂😂😂😂
@eliuskamwelwe10183 ай бұрын
When it comes to technology,wamarekani nishawainulia mikono😂😂
@emmanuelShayo-dk6vfАй бұрын
Sisi wabongo ni kunywa highlife tu na kujaza mavitambi yani sisi hatunaga akili kabisa toothpick yenyewe hatuna uwezo wa kutengeneza bladfuu...
@FilbertRobert-e4u2 ай бұрын
Hatari 😮
@khamisshabani6913 ай бұрын
huyo ndiyo mmarekani mrusi atasubiri sana
@maxmaxkitomary47423 ай бұрын
Mashabiki waurus mbona mnalialia😅😅
@directortwicep30282 ай бұрын
Wadhurst bwana yaani saizi kila kona udini na vita tu eeh kkkkk
@fahadsaid96163 ай бұрын
Acha ndege ya kupiga picha watu wana vipulizo(baloon)yani kiasi kwamba unaweza kuhisi labda watoto wanacheza au zawadi za sikukuu
@CivilEngineeringWorks-d7b3 ай бұрын
Kwa miaka hiyo technology kubwa hivyo Je kwasasa atakuwa wapi 🇺🇸
@venancerutta68753 ай бұрын
Naugana ww marekani ni wababe na ubabe wao ni wa maaarifa kupindukia polisi wa dunia
@awamiabbas2223 ай бұрын
Mtajua wenyewe na mashoga wenzenu wa kimarekani sisi tuko na Russia /Urusi
@MkwizuMkufyaАй бұрын
Mbona hatuonyeshi vita vinavyo endelea mnatuonyesha tu madenge
@ayoublupande30073 ай бұрын
Hatuogopi sisi jaribuni muone hahaha 😂
@PaurothyMedia3 ай бұрын
Sasa mbona hawakumpiga urusi😅😅😅😅
@geofreymilinga2965Ай бұрын
Putini alikiri mwenyewe Marekan nitaifa lenye nguvu duniani tena aliongea kwa hisia kali na yenye uchungu sasa.
@geofreymilinga2965Ай бұрын
Ndege mweusi atar sana
@murtazantimba42703 ай бұрын
Hayo matango pori walisheni watoto wa 2000😅😅😅
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur3 ай бұрын
Hiyo ndio marekani yaani Uweza wake kijeshi ni kama Mbinguni na Ardhi ukilinganisha na nchini nyingine wote duniani, pamoja na hiyo kuna Ndege zingine hatari za marekani kama F 35,F16,BM 2 BOMBER Hatari sana
@jacksonngusi41223 ай бұрын
Anazo za siri ambazo apaswi mtu mwingine kujua Marekani ni habar nyingine
@shubebunyesi5423 ай бұрын
mmmh hii sio dunia ya kuongopeana na kulishana matango pori hakuna kitu ambacho mrusi mchina iran korea na baadhi ya mataifa hawana watu wamepiga hatua mbbali sana ukikiwasha kinawaka kweli unyonge uo hakuna labda cc dunia ya tatu
@OnesmoEphrata3 ай бұрын
Tatizo la wabongo wengi wao ni wajinga hawajui kuwa m'babe wa vita Kwa hii dinia ni MAREKANI hata ukimwi walio nao Hawa wabishi unatokana na MAREKANI napia dawa wanazo tumia ni msaada wa marekani
@NicePainter3 ай бұрын
Waambie waipeleka ukrine ...kama haijatunguliwa ...kwanza hyo ndege ni special kwa kipiga picha sio vita zaidi
@magretherick14783 ай бұрын
Kabisa😂😂
@fredducaunt3 ай бұрын
😂😂 Unaambiwa zimestaafu baada ya ku-militarize satellite kwo saiv hazifanyi zipo kwenye military gallery ya marekani miaka zaidi ya hamsini we kwako ndo habari ndo unashtuka saiv 😂😂
@GodenBMDanielАй бұрын
Ilidunguliwa na Russia
@ndukulusudikucho_3 ай бұрын
Hahahahahaha hii ilikuwepo kwenye vita yao na Taliban???
@MichaelMghamba-tv8ht2 ай бұрын
nyoosha maelezo dada achauongo umeanza nakusema imetengenezewa marekani alafu baadae unasema imenunuliwa kimagendo kutoka Urusi tuelewe kipi kimoja 🙂🤔
@HunterJr-s7cАй бұрын
Ww ndio ujaerewa sikiliza vizuli hiii story broo kumbuka kuna ndege kuna vyuma vilivyo tengenezea ndege na madini yalio changanywa kuifanya ndege iwe bola na imala kutikana hali ya hewa na hayo madini ndio yamenunuliwa kimagendo na sio ndege nazani umeerewa sada
@planetanimals95473 ай бұрын
Vibaraka wamarekani nyinyi, urusi yukonayo zaidi yahio
@lampadshigonko30062 ай бұрын
Sasa hiyo ndege siende urusi
@solomoneglesias97523 ай бұрын
Lakini Marekani c ndo joka la duniani au🤣🤣🤣
@shafiijuma8403 ай бұрын
Fanya uchunguzi milad ayo unafeli wapi mkuu sifia basi hata air Tanzania acha ukibaraka wa kifala.
@PUTINN3653 ай бұрын
Ameshalipwa anataka atudanganye kama walivyotudanganya zaman mbona husemi urusi alishinda vita ya2 ya dunia Acha ushabikiaji wa mashog
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
@@PUTINN365kwani ilishinda peke yake?Kwenye vita hiyo Marekani,uingereza,ufaransa na urusi walikuwa upande mmoja.Unambiwa marekani ndio alitoa msaada mkubwa sana.
Ipeleke kule Ukraine uwone kama haitaonekana kwenye rada za urusi 😂😂😂😂
@GeorgeElias-p5o3 ай бұрын
Urusi ana mwaka wa pili anapigana na Ukraine.. yule ni mikwara tu.. ndio maana anahaha baadhi ya nchi kutafuta ushirikiano kupambana na marekani
@kilimanjarotv2553 ай бұрын
@@GeorgeElias-p5o sas huoni kua marekani na ulaya ndio wanafadhili vita kaka bila hivyo ukraen angeshasalimu hufuatili vizur
@michaelmisana6503 ай бұрын
Huyo urus Hana kitu vitsho tu
@absm80843 ай бұрын
Russia alisema wiki mbili atakuwa amemaliza kazi sasa anaenda kuomba msaada kwa North Korea na Iran ndo nini sasa vitu ya masaa anatumia miaka kibao
@GeorgeElias-p5o3 ай бұрын
@@absm8084 😂😂😂
@noelnjementi85113 ай бұрын
Sf istoria ninzur co waafrica nanaiga kufuga ndefu nakuvaa kanzu fupi au kuiga kuvaa sut natai watu weupe warituchukulia kira kitu tumekuwa watumwa tunaitana makafiti wakat wote weusi tu
@tomleetz35253 ай бұрын
Mashirika ya ndege ya wazungu saizi wana lalamika wakipita anga jirani na urusi network zinapotea
@LovelyOmbreSky-pu4jt3 ай бұрын
Sasa ndiyoo nini
@fredlugome79523 ай бұрын
Jeshi la anga la marekani ni NASA 😮😮
@joshuajohn85332 ай бұрын
NASA chombo Cha unguzi wa Anga Ila kina backup na vyombo vya usalama marekani
@RAMADHANIMohammed-vv6bx3 ай бұрын
Zamani sio sasa ilienda china ikagunduliw ikafukuzwa
@KilimbikeHaji-iy2fm3 ай бұрын
Haina maana yoyote hiyoo
@carlosleonard6050Ай бұрын
Kujulikana tuu kuwa ina lengo la kupiga picha urus ni failure kwa marekani, unafikiri urusi hawakujua....thé fact that hatujui ka urus wana ndege yoyote inayopeleleza inaonesha confidetiality yake ni kubwa
@josephmkindi46333 ай бұрын
kumbe millad nikajua naangalia SNS duh bando langu limeniuma sana
@michaelmisana6503 ай бұрын
Marekan ni kwi kwi jalibu uone
@zully7563 ай бұрын
Je unafahamu kilichotea baada ndege ya kijasusi ya kimarekani kupita katika anga la Sovieti na kupiga picha?
Poutine atawachoma ninyi wamarekani yaani mutaungua kwa moto kama uzi ya mfuko!!!!
@deokessy65963 ай бұрын
Ayo acha kutoletea uchafu wa marekan.....sisi putin
@venancerutta68753 ай бұрын
Marekani tabua kuwa ni taifa le nye nguvu duniani kwa hy soma historia usipende kujidanganya
@lukafbbwebelof38742 ай бұрын
Sisi Warusi anahijua hiyo nyoko. Chokoza Russia uone na ndege yako ya kasi itaenda nayo. Sindo hile ndege ilienda kupiga picha za uongo pale Irak eti Iko na nyuklia
@JumaNtasimba3 ай бұрын
Marekan ishafulia zimebaji qroqaganda
@georgekimasaofficial16293 ай бұрын
Miradi umesha ridhika na views 😂😂😂 tupe habari Urus kateka ndege za marekani na marubani wake utupate wengi bhana hii hatutaki.
@venancerutta68753 ай бұрын
Kama umpendi marekani kutambua kuwa yeye ni G. 7 nayo utapinga kuwa wamejichagu tatifiti ambazo ni sahihi
@fredmbossa-kc3qn3 ай бұрын
S500 ya urusi inaidungua hiyo 😆😆😆😆😆😆
@hollymore49043 ай бұрын
Ndomana SNS Wana wapiga bao.. hamna details kabsa skuiz
@PUTINN3653 ай бұрын
Kweli
@jacksonngusi41223 ай бұрын
Sns mziki mngine
@josepheriah59773 ай бұрын
Saw
@josepheriah59773 ай бұрын
Ya kumulia Putin
@jospehfabian78563 ай бұрын
miaka 60 iliyopita do u think russia wako nyuma mpaka leo. kwasasa hawawez kujalibu kuingia kwenye anga ya urusi hata kdogo
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
Sasa kama ni miaka ya 60 ,unajua Marekani atakuwa na silaha hatari za siri kiasi gani.Pia ujue tuliaminishwa kuwa mifumo ya ulinzi ya S 300 na S 400 ndio bora zaidi duniani lakini kumbe sio kweli.Drones za Ukraine zinalipua zinavyotaka visima vya mafuta vya urusi ndani ya urusi bila kupanguliwa na mifumo hiyo na pia makombora ya masafa marefu ya ATACMS yenyewe yanaipiga mifumo hiyo ndani ya urusi kwenyewe na kuiangamiza kabisa.yaani mifumo hiyo ya urusi inashindwa kupangua makombora ya ATACMS ya marekani.
@theempire40583 ай бұрын
Sisi team urusi tunasema hii ndege ni ya kwetu, habari kama hizi team urusi hatuzipendi
@fredducaunt3 ай бұрын
😂😂mnajikomba komba Tengenezeni vya kwenu Acheni uchawa wa kimataifa 😂😂
@silivestatesha92623 ай бұрын
Ungo unasafiri kilometa 100 kwasekunde huon
@MichaelMathew-j3f3 ай бұрын
Kwa sasa marekani hana jipya. Russia ni mziki kwelikweli kwa sasa!! Au China.
@magigesabai86743 ай бұрын
umejuaje ? wampige sasa waone
@MichaelMathew-j3f3 ай бұрын
@@magigesabai8674 hawana jipya hawa marekani kwasababu pale ukrein marekani ameshindwa kumtoa Urusi katika ardhi ya ukrein. Russia kwa sasa iko juu kushinda marekani. Afu kitu kingine, Russia ameadhibiwa kwa kila aina ya vikwazo lkn ndo tunashangaa kuona uchumi wa Russia ndo inaongezeka maradufu. Vikwazo mpaka elfu 15 afu bado wako vizuri. Ingekuwa nchi nyingine ohhhh ingekuwa majivu tuuu. Kwahiyo usicheze na Russia.
@omarykalulu-cw5kt3 ай бұрын
Urusi na Korea kaskazin ndo habar ya duniani
@chabrumachabruma3 ай бұрын
China wanayo ya kisasa zaidi ya hiyo.msitupange
@magigesabai86743 ай бұрын
unafikiri mpaka sasa Marekani atakua na ya aina gani ?
@sauka96223 ай бұрын
Milad ashaaza kutudanganya sasa imani itatoeka maana tunaamin habali zako waga ni uhakika ila sasa ushaaza kuwa mwongo mwongo
@danielnyangasi88083 ай бұрын
Hao wamarekani na washirika wao kwa kwa sasa wambie we Millad waendelee na USHOGA Putin atawachumbia wote
@hassanthabit3726Ай бұрын
Millard Ayo sasa na wewe umepitwa na wakati. Miaka ya sitini unazungumza sasa????? Kwamba hakuna ndege ya kisasa na kasi zaidi. CO KWELI
@BimkubwaMohd-ef6hr3 ай бұрын
Marekani alitisha kipindi hicho ila kwa sas hana jipya
@rashidbusanya58433 ай бұрын
hatutishiki hata siku 1 Putin yupo juu siku zote
@AmaniMathod3 ай бұрын
Uraaa
@emmabrownmissana69963 ай бұрын
👍👊💪
@jeremiasimon59133 ай бұрын
Wakishaichoka wataileta Africa
@AllyShaban-ms7ot3 ай бұрын
Achen uongo nyiny
@luganomwaigomole74413 ай бұрын
RUSSIA IS TOO FAR
@magretherick14783 ай бұрын
Ilikua inakasi ya kupiga picha co speed mmeelewa. mpaka sasa ndenge yanyekasi niya urusi tafuteni kuna su_57 ----- mig
@martinisadru98993 ай бұрын
Sasa mzee! Umesha ambiwa hiyo ilikua kizazi cha pili, miaka ya 1960, imesitishwa 1994, su-57 ni kizazi cha 5. Bado hao walikua mbali sana kwa enzi zile,, acha ushabiki.
@martinisadru98993 ай бұрын
Siku hizi mzee ndege sio dili sana, kwenye uwanja wa vita, maana uendeshaji vita kwa ndege ni ghalama sana, wakati kuna technology rahisi sana kwa mapambano ya vita.
@PUTINN3653 ай бұрын
Kweli
@FrankAugustino-g2s3 ай бұрын
Su-57 speed yake ni mach 2.2 lkn Sr-71 total speed yake ni mach 3+ lkn hipo hii inaitwa the son of SR71 ambayo ni SR 72 yenye speed ya mach 6+,dogo acha ushabiki tunafuatilia kila hatua,hyo su-57 speed yke ni ndogo