New LOVE💔Old Wounds:A Single Father's Journey // Baba Olivia Episode 11

  Рет қаралды 405,033

Henry Mwakajumba

Henry Mwakajumba

Күн бұрын

Angalia Tamthilia yote hapa. www.pendwa.app...
Katika Kipindi cha 11 cha "Baba Olivia," Athour na binti yake Olivia wako njiani kuelekea kwenye sherehe ya kuzaliwa ya Janet. Wanapokuwa njiani, wanakutana na wakazi wa kijiji mbalimbali, kila mmoja akiwa na malalamiko na pongezi zao. Miongoni mwao ni mwenyekiti wa kijiji, ambaye anamshauri Athour kwa njia isiyotarajiwa kuhusu siku zake zijazo. Sherehe inachukua mkondo usiotarajiwa pale mgeni wa kushangaza anapowasili, na kusababisha tukio la kusisimua na la hisia kali. Usikose kipindi hiki cha kuvutia kilichojaa hisia na mabadiliko yasiyotarajiwa!
.………………………………………………………………….
In Episode 11 of "Baba Olivia," Athour and his daughter Olivia are en route to Janet's birthday celebration. Along the way, they encounter a variety of villagers, each with their own mix of complaints and compliments. Among them is the village chairman, who offers Athour some unexpected advice about his future. The party takes an unexpected turn when a surprise guest arrives, leading to an intense and dramatic moment. Don't miss this captivating episode filled with emotion and unexpected twists!
For business:
mwakajumbafilms@gmail.com
/ henrymwakajumba
#BusinessTips #FatherDaughterDuo #Entrepreneurship #SmallBusiness #Gabozigamba #BabaOlivia #BusinessLessons #Inspiration #FamilyBusiness #motivation

Пікірлер: 1 500
@DidaAlly-iz1it
@DidaAlly-iz1it 2 ай бұрын
Gabo tunakuomba utusikirize watanzania wezako sisi ndo tunakupa sapoti tuomba jambo moja kutoka kwako tunajuwa km hunamambo mengi yakufanya vitu vingi rakini tunamba hii move ya baba oIivia tunaomba ututoree kwa wiki mara2 tunakupenda sana sana km kunawatu wanataman km ninavyotamani mimi nipeni Iike🎉🎉🎉 ata 20 asateni nawapenda
@NishaMussa-os4np
@NishaMussa-os4np 2 ай бұрын
Jamani move hiii ninzuri mno tunapendakazi zenu nzuri lakini tunaomba tupochini yamiguu yenu angrau Kwa wiki mtutolee episode mbiriii tafadhari wanaounga mkono gonga like hapa
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
Yote inapatikana hapa www.pendwa.app
@AbduliMaulidi
@AbduliMaulidi 2 ай бұрын
Halifunguki hilo link halifanyi kazi​@@henrymwakajumba
@LovenessMcDonard-uy3xr
@LovenessMcDonard-uy3xr 2 ай бұрын
Kabisa angalau ata 2 kwa wiki
@kishanakamendu8160
@kishanakamendu8160 2 ай бұрын
Haipo mwisho ilikuwa February 2021​@@henrymwakajumba
@NishaMussa-os4np
@NishaMussa-os4np 2 ай бұрын
Kunamaelezomengi hatanamna yakujiunga ngumusana
@faizhassan5029
@faizhassan5029 2 ай бұрын
From+254🇰🇪 Nipeni likes zangu Wasee Kutoka Kwa Tamthilia hii pendwa ..... always number one1️⃣
@MERCY254-l3b
@MERCY254-l3b 2 ай бұрын
Pokea nimekupa 😂❤
@Hassansadick-pv7tb
@Hassansadick-pv7tb 2 ай бұрын
duuuuh wahshen asa nimeona umakin wa gabo zigamba,,,(baba olivia) ok kama mnamkubali gonga like hapa tujuane
@HusseinMsangazi9
@HusseinMsangazi9 2 ай бұрын
Leo nasimama kama kijana wa hovyo 🤣🤣🤣🤣🤣 nilivowaza kwa baba Olivia na madam ni vile vile ilivotokea 👍👍 like 💯💯💯💯
@vumiliarichard9347
@vumiliarichard9347 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 2 ай бұрын
Yaani kuekti kugumu kumbato so mchezo😂😂halafu Janet mzur
@imanibeats99
@imanibeats99 2 ай бұрын
Kusubili kwote nimechelewa kuwa wakwanza ila nipen like zangu😊😊
@rajabuhamisi3872
@rajabuhamisi3872 2 ай бұрын
olivia aiseeee.. uwe unapiga hodi... all in all BLOCK BUSTER this play.
@TemalwaAllen-m3z
@TemalwaAllen-m3z 2 ай бұрын
😂
@YasiniJuma-rc9bb
@YasiniJuma-rc9bb 2 ай бұрын
Gabo respect💪🏾💪🏾 Best actor in TZ🇹🇿🇹🇿
@godfreysammy1716
@godfreysammy1716 2 ай бұрын
Best Actors who’s Knows to present Their Talents to Us.That’s why i desire to watch this series Everyday🎉🎉🎉
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
Thanks ❤️
@YakoboChambo
@YakoboChambo 2 ай бұрын
Nimeipenda sana hii baba orivia kumpiga huyu asiye jua mapenzi
@fathymosscooking6755
@fathymosscooking6755 2 ай бұрын
Wakwanza naombeni liké leo 🇫🇷
@AsiaHassani-kf8ww
@AsiaHassani-kf8ww 2 ай бұрын
Mama tina ww n kiboko haki nakupenda bure😂😂😂😂❤
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 2 ай бұрын
😂😂🎉
@Imahmedseif2806
@Imahmedseif2806 2 ай бұрын
Kumbe baba olivia ukija bila gadi anagawa wastan kwa idadi aiseee nomaaaa🔥🔥🔥🔥🙌
@BoniphaceKabenga-yi6lo
@BoniphaceKabenga-yi6lo 2 ай бұрын
😅😂😂
@momadbad1992
@momadbad1992 9 күн бұрын
We jamaaaaa nmechek sanaaaaaaa
@SniperSamson
@SniperSamson 2 ай бұрын
Dakika zibaki hivyo hivyo zisije pungua ahsante kwa kulifanyia Kaz tunapenda Kaz yako na tuko pamoja 🇹🇿
@deimer5991
@deimer5991 2 ай бұрын
Gabo upo juuu mtoa burudi hii series dah naipenda kwa uhalisia wake
@FrancisTunje-jt4eo
@FrancisTunje-jt4eo 2 ай бұрын
Wa Kwanza like zangu😢😢
@anthonylukala3637
@anthonylukala3637 2 ай бұрын
Baba olivia nimejifunza kitu kikubwa sna kutoka kwako today mwanzo wa ep mpaka hapa tulipo fika nakukubali sna kaka angu
@Frederick-x2v
@Frederick-x2v 2 ай бұрын
jamani baba Olivia hki kipindi kyenu kinaendaswa kwa njia ya kistaharabu sana , kina elimu kuusiana na maisha yote , kutoka utotoni hadi uzeeni, ongereni saaanaaa halafu baba Olivia kwani wewe ni mwana taekwondo? unachapa kijana wa mjini kama stima hatari sana. kutoka kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 twawapenda sana ♥️♥️♥️♥️ .
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
Asante sana tuna wapenda Kenya 🇰🇪❤️
@VICTORMTWEVE
@VICTORMTWEVE 2 ай бұрын
Leo msiache kunipa likes hata 50 ❤ kutokea south Africa
@Imahela375.
@Imahela375. 2 ай бұрын
12 zinatoshaaa😂
@spanishboi001
@spanishboi001 2 ай бұрын
Sauziaaa Sauzia nyooookoo😂😂😂
@OfficialAichi
@OfficialAichi 2 ай бұрын
😂😂😂
@MSWAKIMSWAKI
@MSWAKIMSWAKI 2 ай бұрын
Weeee mpaka sauz unatufatilia
@YasiniJuma-rc9bb
@YasiniJuma-rc9bb 2 ай бұрын
@@VICTORMTWEVE ilibaki moja tu upate likes 50 nimeona nikuongezee hiyo moja
@ShafiiAmisi-h3w
@ShafiiAmisi-h3w 2 ай бұрын
Ila uyu mwalimu ananivutia san❤❤
@EmanuelJemus-ce1dd
@EmanuelJemus-ce1dd 2 ай бұрын
Mwalimu na baba Olivia nipeni likes zao
@fabricensengiyumva
@fabricensengiyumva 2 ай бұрын
Jameni tunawaomba mutowe zingin tum miss sna olivia
@rajabuhamisi3872
@rajabuhamisi3872 2 ай бұрын
olivia: dad why are you crying ? dad: onion my daughter .. hahahahaha this man dazzling amazing since from Bado natafuta...
@SulemaniMbedule
@SulemaniMbedule 2 ай бұрын
Mapema kabisa naomba likes from tz
@KenyanRapper-lo6fb
@KenyanRapper-lo6fb 2 ай бұрын
Ukweli hii movie na series za huaga za uhakika na uhakika timu yote inaupiga mwingi xnaaah 🔥🙌 nmetulia huku🇰🇪🇰🇪 nikiitizama pole pole haya Karibuni wenzangu🤝
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
🙏🏾🙏🏾 Asante sana!
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m 2 ай бұрын
San tena san
@SangaliPower
@SangaliPower 2 ай бұрын
Bonge la series daadeq hongereni timu nzima
@JaredErnest
@JaredErnest 2 ай бұрын
Gabo upo on time. Uko vzuri sana na unatutendea haki sana
@Eri-khan26
@Eri-khan26 2 ай бұрын
Nipe mauwa yangu✍🏿✍🏿
@RachelMbwambo-t8s
@RachelMbwambo-t8s 2 ай бұрын
Wangapi wanalike kabla hata video haijaanza
@HAMSOMGIRIAMA
@HAMSOMGIRIAMA 2 ай бұрын
watu hawachelewi kweli na like
@asantechota8974
@asantechota8974 2 ай бұрын
Baba olivia kapiga jebu moja matata inaitwa Kamkune israeli afu kamalizia na Kalia mchanga moja afu. Mbelee hebu ngonga. Like hapa
@shehakudura3243
@shehakudura3243 2 ай бұрын
😂😂😂 atar na nusu aisee
@KmbalphaniMoradj
@KmbalphaniMoradj 2 ай бұрын
Eeeeeeeeh leo niko kwa wakati 🇨🇩🇨🇩akuna kuchelewa 💥💥💥🇨🇩🇨🇩
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
❤️❤️
@prettyrida8305
@prettyrida8305 2 ай бұрын
Uyu olivia anafel amuache baba na me naomben hat like 5❤
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
❤️❤️❤️
@zeraBarnaba
@zeraBarnaba 2 ай бұрын
❤❤
@ifumedia390
@ifumedia390 2 ай бұрын
Naona mgetoa episode 2 kwa wiki jumatano na ijumaa 🙏kama unakubaliana na mimi gonga like hapa
@MbaroukMbaruk-t3d
@MbaroukMbaruk-t3d 2 ай бұрын
ni kwely kbx yan tunakaa board sana kuisbr hiii burudani yetu pendw kbx
@jessicajackson4993
@jessicajackson4993 2 ай бұрын
Kwakweli
@RizikiMrina
@RizikiMrina 2 ай бұрын
Kwel
@MartinaNgera
@MartinaNgera 2 ай бұрын
Kweli kabc tunaomba plzzz
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
Angalia yote hapa www.pendwa.app
@RansMasangwa
@RansMasangwa 2 ай бұрын
Yhizi episodi no nzuri xana Ani mungu awabaliki wote pamoja na watazamaji Kama unaamini gonga like ndugu yangu
@kelvinthomas1901
@kelvinthomas1901 2 ай бұрын
JAMAN TUNAOMBA MUWE MNAWEKA HATA VIPANDE VIWILI BRO🙌
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
Angalia yote hapa www.pendwa.app
@MaryAddam-lq3yt
@MaryAddam-lq3yt 2 ай бұрын
😂😂 Baba Olivia ni Nona Angerudia ngumu ya pili angeua😂😂😂😂
@Hemed-mv3eu
@Hemed-mv3eu 2 ай бұрын
Nimewah leo naomb like 🙈🙈❤❤
@bongolyricszone5715
@bongolyricszone5715 2 ай бұрын
Nipo hapa since day one team Baba Olivia
@neemanyansuku
@neemanyansuku 2 ай бұрын
Leo nimeisubiri niwe wa kwanza hadi MB zikaisha jaman 😢
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
Weka Notifications on huta sumbuka ❤️🙏🏾
@irankundarogers6698
@irankundarogers6698 2 ай бұрын
Baba Olivia marry mwalimu she loves you and u love her also
@Magesa-bv1ib
@Magesa-bv1ib 2 ай бұрын
❤❤❤
@LovenessMsangi-u7r
@LovenessMsangi-u7r 2 ай бұрын
Ni me like wote please na mimi😢
@frankmaligo5749
@frankmaligo5749 2 ай бұрын
Hivi like waga mnazipelekaga wapi?
@MugishakennyAdonai
@MugishakennyAdonai 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂Baba orivia nakukubali sana wachape hawo watoto wamjini hawana adabu kweri.Burundi bujumbura tupo nanyinyi
@user-chaliboy
@user-chaliboy 2 ай бұрын
Single father oyeeee🎉🎉
@abuukisauji6520
@abuukisauji6520 2 ай бұрын
mi ndio sijawah pata like hata moja😢
@estherjoseph7409
@estherjoseph7409 2 ай бұрын
Mh mnamambo jmn haya hyo hapo nimekupa ingawa cjuag maana ya hzo likes
@MinnahRaj
@MinnahRaj 2 ай бұрын
Ila familia ya luca jamn khaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kazi kula tu kwa watu kupika kwenu aaaaaaah😂😂😂
@SalmaRandu
@SalmaRandu 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
😅😅😅
@GeorgeCharo-b3k
@GeorgeCharo-b3k 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@AnethNiyonzima
@AnethNiyonzima 2 ай бұрын
Baba orivia nakupenda San mungu akupe afya njema siku zote za maisha yako na madam nyote kwa ujumlaaa🎉🎉🎉🎉
@DeadlyhandsomeJayzan-dq3bz
@DeadlyhandsomeJayzan-dq3bz 2 ай бұрын
If Janeth couldn't be there then the series wouldn't be as sweet as it is
@Denis_prudence
@Denis_prudence 2 ай бұрын
This is true, very very true
@santodelove4351
@santodelove4351 2 ай бұрын
I agreed
@AminathaSalim-zt6pm
@AminathaSalim-zt6pm 2 ай бұрын
Mm nipeni ata like 5
@Masoudsultan
@Masoudsultan 2 ай бұрын
I do appreciate for what my roll model Gambo zigamba Doing ........ madame ur ur Good actress I real love you ❤
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
Thanks for watching
@dullywa9973
@dullywa9973 2 ай бұрын
hio alopiga Gabo ndo inaitwa “UBAYA UBWELAAA”
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
😅😅🥋🥋🥋
@AminaHassan-mn4hl
@AminaHassan-mn4hl 2 ай бұрын
Oliver mbna hivyo unaharibu😢😢😢😢😢
@YoungblackPeople-qf7vx
@YoungblackPeople-qf7vx 2 ай бұрын
Kama una amini mungu mwema gonga like😂😂
@SarafinaNyamvula
@SarafinaNyamvula 2 ай бұрын
Wapenzi naomba like zenu ❤❤🎉🎉hata kama 50 ..mm natazama kutoka Kenya ❤nawapenda ❤
@qaccimdikei
@qaccimdikei 2 ай бұрын
sijawai comment lkn hii ya Leo imenigusa.....hii NI muotoo🔥🔥🔥 KAZI nzuri ndugu zangu. BABA OLIVIA 💯
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
Asantee🔥🔥🔥
@alexandersangi1724
@alexandersangi1724 2 ай бұрын
Mwenyekiti yupo sahihiiii sanaaa haiseeeeee
@HamzaNgozi-ur1lu
@HamzaNgozi-ur1lu 2 ай бұрын
Kuna Siri gani kwenye like namimi naomba
@zeraBarnaba
@zeraBarnaba 2 ай бұрын
❤❤
@nickojamsen5149
@nickojamsen5149 2 ай бұрын
Wangapi mmekeleka Na Olivier kualibu falagha ya babaake na Mwalimu🥱🥱
@fatmaally7252
@fatmaally7252 2 ай бұрын
Weeeeeeeee
@MariamngakondaNgakonda
@MariamngakondaNgakonda 2 ай бұрын
Mimi nimekelekwa saana
@AthumaniAlly-t7x
@AthumaniAlly-t7x 2 ай бұрын
Si mwenyekit alimwambia basi ,lakin mkubwa ni mkubwa hata shindwa kitu,sikia hayo maneno matamu ya mwalimu haswa ingekuwa mm pangechimbika niokote taulo ama niokote mtoto.
@AthumaniAlly-t7x
@AthumaniAlly-t7x 2 ай бұрын
Wewe mke wa dude utanaswa tu nawew utafia kwa muuza supu,chezea mdhungu wewe
@fatmaally7252
@fatmaally7252 2 ай бұрын
@@AthumaniAlly-t7x kaaaah
@Mussa-m4I
@Mussa-m4I 2 ай бұрын
Leo naomba like MOJA tu
@ImamBukhari-v1y
@ImamBukhari-v1y 2 ай бұрын
Brother ww ni bonge la director sema unajificha umejua kutengeneza kazi hii ni nzuri hatari, tunakuomba ikiisha tengeneza story yenye mafunzo komedi drama, love story nzuri zaidi ya hii sisi tupo kwaajili ya kutazama kazi nzuri. Tena kama unaweza kuingiza katika mashindano ya tamthiliya nzuri ya mwaka, we ipeleke tu sisi tutapiga kura itashinda
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 2 ай бұрын
Dah hamu imekolea na ijumaa ni mbali sana
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🫡 Asante zimefika!
@biawadionisio895
@biawadionisio895 2 ай бұрын
❤like jamani nawatazama kotoka msumbiji
@JilaxBrown
@JilaxBrown 2 ай бұрын
Makini sana.. hii movie nimeipenda bure..
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
Asante
@iddynovo6219
@iddynovo6219 2 ай бұрын
OLIVIA MJINGA KWELI HUO MUDA WOTE MBONA HAKUTOKEA ATOKEE KWENYE KISS😂😂
@SulemaniMbedule
@SulemaniMbedule 2 ай бұрын
Why between the kiss ur passing around😂😂
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
😅😅😅😅
@saidkabwana1831
@saidkabwana1831 2 ай бұрын
​@@SulemaniMbeduleI hate you 😑 😅
@fatmaally7252
@fatmaally7252 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@fatmaally7252
@fatmaally7252 2 ай бұрын
​@@SulemaniMbedule mbona kama inekuuma wewe 😂😂😂😂😂
@ElizabethMakuke
@ElizabethMakuke 2 ай бұрын
Mama Tina na kingereza chako me hoiii unanipa raha sana
@shadhilmakame
@shadhilmakame 2 ай бұрын
Naomba likes zanguuuuu Wa MWISHO MIMI 😂😂😂
@Oficialcamavinga
@Oficialcamavinga 2 ай бұрын
This is the best series I've ever seen but plz make it a little bit quick much love from🇪🇸🇰🇪
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
Gracias amigo 🙏🏾🙏🏾 Asante!
@emmanuelmbele3030
@emmanuelmbele3030 2 ай бұрын
Hii series nzuri sana, based on real life situations, kama unanielewa,..umefanya kazi njema sana Mr producer. Ningefurahi sana ufanye kila episode angalau mda mrefu kiasi kama 46-50mins. Naomba urekebishe tu hapo maybe kwa series zijazo .
@absoirahmed5302
@absoirahmed5302 2 ай бұрын
Just wow!
@Justin_Nano
@Justin_Nano 2 ай бұрын
Tulikuwa naisubiri kwahamu sana❤❤❤
@joelimujaro2542
@joelimujaro2542 2 ай бұрын
Leo nipeni likes zangu❤❤ baba Olivia anampenda sana mwanae
@jensennashon6147
@jensennashon6147 2 ай бұрын
nimeisubiri kwa Ham sana
@NailaMickey
@NailaMickey 2 ай бұрын
Daaah maskini mwalim Janet mwishon wamemwaribia birthday yake
@AllyMwinyi-rx8gr
@AllyMwinyi-rx8gr 2 ай бұрын
ila jaman mwalimu wa olivia nampenda sana niongee ukweli2
@SuiMlozi-ye1cr
@SuiMlozi-ye1cr 2 ай бұрын
Aiseee hiii nikali kuzidi zote ninazo zijua kwasasa kama unamini gonga like apa
@Luvingadecoration
@Luvingadecoration 2 ай бұрын
Mwakajumba unajua Sana weka episode 2 Kwa wiki bas jaman Ila daaaa nzur Sana ❤❤❤❤
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
🙏🏾🙏🏾 asante, angalia zote hapa boss www.pendwa.app
@yorkshan
@yorkshan 2 ай бұрын
leo nimewahi naombeni likes 😁
@Malangalusaede
@Malangalusaede 2 ай бұрын
Tanzania 🇹🇿
@SUZANASUZANA-ku3jk
@SUZANASUZANA-ku3jk 2 ай бұрын
Hongereni Kwanza picha IPO Safi Sana Alaf mi napenda wanaongea taratibu
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
Asante sana!🙏🏾
@JujuShabani-y7t
@JujuShabani-y7t 2 ай бұрын
Wa kwanza leopard 🎉🎉🎉 mm sipendi likes sijui zina maana ngani😂😂
@OfficialDanny-p7w
@OfficialDanny-p7w 2 ай бұрын
Duuh mimi nishakua mtoroo.duh
@YoungblackPeople-qf7vx
@YoungblackPeople-qf7vx 2 ай бұрын
Wewe baba olivia kapiga mtu kaleti😅😂😂woooooo amazing 👏
@NuhuHamisi
@NuhuHamisi 2 ай бұрын
Nakubali kazi nzuri
@BritonOyenje
@BritonOyenje 2 ай бұрын
🎉atlist nimefika nimechoka naomba likes pia
@RamadhanJuma-l8z
@RamadhanJuma-l8z 2 ай бұрын
Woow IPO vizuri sana ila kama mwenzangu alivyo sema kwa wiki muwe mukitua vipande viwili angalau
@RamadhanJuma-l8z
@RamadhanJuma-l8z 2 ай бұрын
Leo ndio baba Olivia sasa anaanza kuingia kwenye mfumo Halafu Mzee kasema kweli angalia Olivia kaharibu ila yaleo nikali hakika tumeinjoi
@Onlinegossip201
@Onlinegossip201 2 ай бұрын
Hivi nyie mnaomba omba like huwaga mnalipwa au 😂😂😂
@Jr23802
@Jr23802 2 ай бұрын
Congratulations muongozaji wa movie hii nataman niangalie kila muda bila kujari bando langu aiseeeh🎉🎉
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
Asante, ume subscribe lakini??
@omarhussein-iq7yg
@omarhussein-iq7yg 2 ай бұрын
Hadi mwenyekiti amejua wazi Gabo amatuchelewesha😂😂
@Aloycelalika
@Aloycelalika 2 ай бұрын
daaah movie inahaki ya kutumia MB zetu
@donlule7752
@donlule7752 2 ай бұрын
ila baba olivia nae ananibwaga sana unashindwa ata kumshika kiuno mwalimu apo wewe unzuia bakuli la kachumbari tu🤦
@SalmaRandu
@SalmaRandu 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@mariamfeisal5104
@mariamfeisal5104 2 ай бұрын
😂😂
@mariamfeisal5104
@mariamfeisal5104 2 ай бұрын
Yeye nakula2😂
@azizayousuph6617
@azizayousuph6617 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 Aki anafeli pakubwa
@PriscaKituku
@PriscaKituku 2 ай бұрын
Ila olvia mh kanishinda tabia 😅😅😅😅😂😂
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 2 ай бұрын
Baada ya kumaliza kuangalia sasa ndo natoa comment GABO leo nimeona ule mkanda mweusi uliosema
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 ай бұрын
Very excited
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 2 ай бұрын
Mwenyekiti bana ndege utamkosa😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
😅😅😅😅
@rehemachizi-sd2ge
@rehemachizi-sd2ge 2 ай бұрын
Mm pia mnipe like jaman nmewahi
@ummyidrisaummyidrisa-ls2vm
@ummyidrisaummyidrisa-ls2vm 2 ай бұрын
Jamani Mwalim Janet unamfundisha tabia mbaya Baba Olivia wetu
@spanishboi001
@spanishboi001 2 ай бұрын
Turkey 🇹🇷 we locked in
@butogwareuben266
@butogwareuben266 2 ай бұрын
Mbn ijumaa mbali😢 jmn mwalim kanifurahisha
@MustyNgongo
@MustyNgongo 2 ай бұрын
Mwalimu upo vixur xnaa
@PhonexPhonex-u8e
@PhonexPhonex-u8e 2 ай бұрын
Wenye mnatazama mara tatutatu naombeni like 😂😂😂😂
@Tedy-bx4pl
@Tedy-bx4pl 2 ай бұрын
😂😂😂
@SalmaRandu
@SalmaRandu 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@PhonexPhonex-u8e
@PhonexPhonex-u8e 2 ай бұрын
@@SalmaRandu mpaka saa hiii still natazama
@jessicajackson4993
@jessicajackson4993 2 ай бұрын
Tupo wengi😂
@PhonexPhonex-u8e
@PhonexPhonex-u8e 2 ай бұрын
@@jessicajackson4993 😃😃😃😃
@rechokizumbe7314
@rechokizumbe7314 2 ай бұрын
Baba olivia unanifanya nizidi kumpenda single Dady wangu yuko serious na bint yake sana
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
Kabisa ❤️
@SalmaRandu
@SalmaRandu 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@jumaaabdillahi4534
@jumaaabdillahi4534 2 ай бұрын
Amejiongeza baba olivia ❤ n mwalimu❤
@EmanuelJoseph-s5q
@EmanuelJoseph-s5q 2 ай бұрын
Sema madam mzuri kinoma
@DonDaniel-nn3ks
@DonDaniel-nn3ks 2 ай бұрын
Anachelewa sana kutoa adi inakera..adi tunaisahau..mnakeraaa
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 ай бұрын
Angalia yote hapa ili usi kereke www.pendwa.app
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,4 МЛН
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 19 МЛН
DID A VAMPIRE BECOME A DOG FOR A HUMAN? 😳😳😳
00:56
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 79 МЛН
Baba Olivia The Best Series 2024.
0:23
Africanflix
Рет қаралды 1,1 М.
Professor Jay feat Alikiba - CALLING (Official Music Video)
4:26
ProfessorJay
Рет қаралды 651 М.
MAGIC RING | FULL MOVIE |
1:13:45
CLAM VEVO
Рет қаралды 702 М.
Baba Olivia Episode 17 Season 01Finale❤️// Single Father Story
31:59
Henry Mwakajumba
Рет қаралды 318 М.
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,4 МЛН