Рет қаралды 280,979
Filamu hii inasimulia maisha ya mzee anaejulikana kwa jina la Mzee MBINGA,ni mzee mwenye misimamo katika maamuzi yake,kijana Dondora anaingia katika 18 za mzee huyo baada ya kutaka kumjaribu kwa kumuacha mkewe hatima yake anatambua kwamba mzee hataniwi...!!! Endelea kufuatilia Mkasa huu wa NGONDO
MAONI/MATANGAZO Tupigie
+255769000762
+255763308787