Рет қаралды 203
Powered by Restream restream.io/
1 Wakorintho 11:25
25 Na vivi hivi baada ya kula akakitwaa kikombe, akisema, “Hiki kikombe ni agano jipya katika damu yangu. Fanyeni hivi kila mnywapo kwa ukumbusho wangu.”
Dalili za Maagano ya Siri ya adui katika maisha ya mtu
a. Kukutana na watu waliokufa mara kwa mara
b. Ndoto za mapenzi katika ndoto
c. Ndoto za wanyama na uovu
d. Ndoto za kurudi kijijini au kule ulikosoma shule
e. Kushindwa kusonga mbele katika mahali pa mgeuko
f. Maisha ya kurudi nyuma tu
g. Kufanya kazi kwa bidii bila mafanikio yoyote
h. Kushindwa kuacha tabia zisizo za kimungu kama kuvuta sigara, bangi, ulevi, uzinzi, tamaa mbaya
i. Mrudio wa maovu katika maisha kama kushindwa katika ndoa, kifo cha ghafla au kufa katika umri mdogo au kutoa mimba
j. Kuwa na tamaa ya ngono isiyo ya kawaida