ZABURI YA 23 INA NGUVU YA AJABU,WENGI WAMEKARIRI TU BILA KUJUA SIRI YAKE,FWATILIWA SOMO HILI UTAMBUE.
Пікірлер: 202
@evamugusi3362 Жыл бұрын
Nimetumia hii Zaburi 23 kwakuikariri kabla ya kufanya mitihani yangu,,,,na nikiwa naendelea kufanya mitihani endapo sikumbuki nilichosoma nilikuwa nairudia kuukariri hata Mara 3 Kisha na mwambia Mungu "ahsante kwa kunikumbusha Mungu" kiukweli hivi navyoongea nimefaulu Mitihani yangu vizuri kabisaa,,, Ahsante pastor kwakutufundisha namna ya kuyajua na kuyatumia maandiko katika maisha yetu
@christinakitomari77025 жыл бұрын
Huu ujumbe ni wangu na nimefunguliwa ktk Jina LA Yesu
@asooraaasooraa48163 жыл бұрын
Amina sana pastor ubarikiwe nabarikiwa sana naposikiliza mahubiri mazuri unazidi kuniimarisha kimani🙏💗
@elizamasatu47844 жыл бұрын
Hili SoMo limeguza maisha yangu kabisa ya miezi Saba iliyopita. Nilipitia changamoto hizi hizi lakini yesu aliniokoa. Asante pastor kwa SoMo hili zuri limegusa maisha yangu halisi.
@antonymadebo89803 жыл бұрын
Makambi kigoma mjini
@maseaJoe86765 ай бұрын
It's four years ago but it has got me right, I really appreciate thank You Lord Amen Amen Amen 🙌
@hellenratemo28133 жыл бұрын
GOD bless you pastor ,am Soo blessed with ur sermon nimesonga atua kumbwa tangu nianze kusikiliza mahubiri yko, God bless u with more sermons
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@julianaharrison4356 Жыл бұрын
Imekuwa zaburi miaka hii yote kwenye magumu yangu na marahisi yangu nimemuona Mungu sana
@eddahnyongesa98195 жыл бұрын
Hili somo hakika linahusu baba yangu kabisa God bless you so much pst
@kalenzokalenzosentunagu47665 жыл бұрын
Eddah Nyongesa dah natani ninge kuwepo anaongea kwaumakinisana mungu Amubilikisana
@rosepeter89963 жыл бұрын
AMEN🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞hakika wema na fadhili zake bwana zitanifuata milele;.na sitaogopa nipitapo katika magumu;hila nitazidi kukiri kwa imani mungu atasimama nami daima🙏🙏🙏barikiwa sana mtumishi wa mungu;mungu na akuzidishie daima.asante kwa maombj yako pia inanibarikinkika siku🙏🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞
@emanuelymittango3741 Жыл бұрын
Amina ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@roseindekhwa76375 жыл бұрын
Amina mm sio msabato ila napenda sana mafundisho ya baba naamin siku moja nitafika ibadani nipo kenya
@angel-y5 жыл бұрын
Hi, Pastor will be in Kenya-Nairobi for a camp meeting during the 2nd week of August.
@felixsigns10014 жыл бұрын
Karibu sana
@Joycependopendo-dv2tb7 ай бұрын
Amen bwana akubariki mtumshi
@barakajoseph18164 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutumia Pr
@anthonylaban7135 жыл бұрын
I am not a Sabbath but truly this man of is so much inspired to me and every who gets time watching his videos. Mungu akubariki sana mch. Mbaga. Najifunza sana sana kupitia ukombozi ibada usihubirizo.
@melissateddybearcossan95064 жыл бұрын
Habagui ndo maana Anabariki watu ,Yeye anahubiri tu bila kusema sabato kila siku maana wengine utakuta wanahubiri siku tu
@nelsonsalumu30642 жыл бұрын
Mimi pia najifunza mengi Kwake,Mimi nazani tu ni mlokole aliye zaliwa SDA😀
@tinawile7310 Жыл бұрын
Amina Mungu ana jembe lake la kipare hapa
@magretmush76466 ай бұрын
Nashukuru meelimika mengi kutoka mahu biri ya mtumishi wa mungu mmbaga
@bettygesare5948 Жыл бұрын
I really use that verse as my security all times and very thing is ok thanks for the sermon God bless you
@mkubwahasani4916 Жыл бұрын
Amina Mungu akubariki mwalim
@jamesmussa31944 жыл бұрын
Baba andiko na mahubir yako yananibarik kwa viwango vikubwa sana na MUNGU azid kkupa njia
@marthajepkogei5845 Жыл бұрын
Hili mafundisho limenipata siku ya Jana lakini mungu ni mwema Kila saa na Kila siku.asante mungu Kwa kuanda ibada kupitia pst.mbaga.barikiwa Kwa Jina la Jesus
@rachelthomas83824 жыл бұрын
Imenitia Nguvu tele Pr. Barikiwa sana
@sikanastima87544 жыл бұрын
Mwenyez Mungu akujalie miaka Ming ya neema.
@maureenjovial60834 жыл бұрын
Amen hakika wema nazo fadhili yanifuata siku zote za maisha yangu Mungu akubariki sana pr
@sheilaombongi80864 жыл бұрын
Alleluiah asante kwakutuinua kirhoo mungu akutiye nguvu usichoke aminaa
@lucynyigana28015 ай бұрын
Aminaaaa barikiwa mtu wa MUNGU
@lydianyachama2286 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana hili somo,, ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU 🙏🏻
@user-fu7ep9tr1b5 ай бұрын
Asante yesu kwa upendo
@ovidiokibuga10865 жыл бұрын
Mungu akubariki sana,umenikuna penyewe!Mungu hututendea mema siku zote
@edithmunuve77334 жыл бұрын
Nahisi uzito wa mafuta, Bwana akubariki mtumishi.
@makindyakenani25354 жыл бұрын
MUNGU anampango na mimi kwa lolote lile. Amen
@selfaakinyi5125 жыл бұрын
Nimebarikiwa na neno mchungaji, dadangu Yuko katika Mapito ya madeni namuimbea mungu asimuache kamwe.ubarikiwe pastor
@claudinebatamuriza78045 жыл бұрын
Nimekuwa wa kwanza Mungu akumbaliki pastor
@kizazigashane59604 жыл бұрын
Amina ndugu katika kristo Yesu
@bidafumbuka8555 жыл бұрын
Hii video sauti imetoka vzuri kuliko ile ya mwanzo hongera pastor bwana akupe rehema nyingi
@hadijahamis27953 жыл бұрын
Napenda mafundisho yako yananitia moyo sana Mungu akubaliki sana
@magynzioka11223 жыл бұрын
Mtumishi hakika mkono wa MUNGU ujuu yako unafundisha hata kama ajielewi una haza jielewa toka niaze kukusikiza unduma yako sijawai jutia bali ubarikiwa na kujegewa kitu kipya dani yangu MUNGU azidi kukupa ekima na baraka daima 🙏🙏🙏🙏🙏
@danielbabu27074 жыл бұрын
Mungu akuongoze kwa hayo mafunzo mazuri √√√
@stellandossy81073 жыл бұрын
Nimesikiliza hii nikatamami kupiga ukunga nikujikuta kumbe Niko kwenye gari, duu kwel mungu kanisrma,
@davidkilajaga8842Ай бұрын
Hii ime kaa vizuri 👌👍🙏
@donaldmwahalende48414 жыл бұрын
Pastor nimekuelewa ubarikiwe nami nimeptia maisha haya unayoyahubr ubarikiwe Sana niombe nami niwe mhubr
@rosemwangome89963 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu kwa mahubiri ya kuinua na kutia nguvu yanani bariki sana
@paschalpaul12215 жыл бұрын
sio wa wasabato tu ni wetu sote ndugu kwani bible si inasema sisi sote ni mwili wa Kristo ubarikiwe pastor
@magrethmkira62505 жыл бұрын
Amen
@rahimajuma530610 ай бұрын
Mungu ni mkuu amenitendea makuu
@hajimajaliwa64523 жыл бұрын
Asante mtumishi hata Mimi niliwahi kuota nasoma zaburi,asante kwa mafundisho mazuri
@augustinemnzava80562 жыл бұрын
Barikiwa sana Mchungaji
@godfreywilliam9935 жыл бұрын
Namuombea shangaz yang mke wa mjomba ambae n mama yang kpenz Mungu amsmamie katk maden yake kpteia somo hili amina
@josephinemwita88832 жыл бұрын
Asante mchungaji kwa maombi
@hellenratemo2813 Жыл бұрын
Amen soo powerful courageous ND inspiring message God bless you pastor am soo blessed
@judithnjalambaya2450 Жыл бұрын
Amen.ubarikiwe pastor Mbaga
@magnifiquentkrtmna3205 жыл бұрын
Amen wewe ubarikiwe,sijaona wa sabato wana hubiri ivyo. Mi ni murundi ila nikikusiklisa na erewa
@melissateddybearcossan95064 жыл бұрын
Habagui ndo maana na Hafundishi mambo ya siku,anafundisha Neno la kuokoa
@nickfranck50045 жыл бұрын
Barikiwa sana mjoli wa BABA kwa somo zuri
@michaelezekielroswe95172 жыл бұрын
Siku moja nitatoa ushuhuda juu ya hili somo, Mungu atuweke hai
@furahajoy31684 жыл бұрын
Nashukuru sana kutuimarisha tena Mungu awazidishiye
@shimwekagwiza23005 жыл бұрын
Amina, nimebarikiwa kwa zaburi 23
@tonnsimbasportsclub71685 жыл бұрын
***Wasabato mmependelewa kuwa na huyu MTU***
@ruthsamhenda52545 жыл бұрын
Amina, Karibu ubarikiwe pia
@janethdeus21275 жыл бұрын
Karibu ujiunge na kundi hili. Mungu akubarik🙏
@kingjosse47815 жыл бұрын
Amenn🙏
@magrethmkira62505 жыл бұрын
Mungu azidi kumuinua kwajili ya utukufu wake kwa jina la YESU Karibu ubarikiwe pia
@eliakanyika84434 жыл бұрын
Amina Siyo huyu2 vipaji vya kuhuburi kwa wasabato kwa mtu kama paster mbaga ni wengi mno!
@biblianabibliapekee81135 жыл бұрын
Ameni 💖💖💖💖💝💝💝💝💝💝💝💝💝💝💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💝💝💝💝💝💝💝💝
@tikeydavid59894 жыл бұрын
Nabarikiwa sana
@anithakeza7014 жыл бұрын
Asante baba mcungaji mimi naishi Burundi napenda sana mafundisho yako
Pastor naomba uniombee kijana wangu wa kiume tumbo inawaka moto karibu miezi tatu amejaribu kuenda hospital amepewa madawa amejaribu kunywa imekataa Niko America kijana ako nyumbani Kenya majina ya kijana ni Geoffrey mongare kinyosi,Mimi ninaye kukuandikia mama yake kutoka America napenda kufuatiria mahubiri yako pastor.
@neemadaud2345 жыл бұрын
Nalianalia na mahubiri haya maana ndio yamekuwa kama maisha yangu Eeee MUNGU wangu nipiganie mdhambi mm
@fgbeatricegg1455 жыл бұрын
Mungu akukumbuke katika ufalme wake
@benedictmwamburi78502 жыл бұрын
Ubarikuwe mchungaji Kuna mahali umanifungua macho....kutoka kenya
@cassianndimbo72975 жыл бұрын
Nilitaka Lile somo la nguvu Za mungu kipindi yupo bungeni nitumie Kama lipo Kama unalo
@arlettedebbiezaina62475 жыл бұрын
Somo nzuri kabisa baba Mchungaji, nime barikiwa.
@asenathonyoni75945 жыл бұрын
Thanks pastor be blessed
@ibrahimisack77885 жыл бұрын
Amina mchungaji hubiri limenibariki hasa.
@lilianmalibwa9362 жыл бұрын
Huwa nafarijika Sana ninaposikiliza mahubiri haya.Zawadi kubwa ya kukupatia nakuombea Kwa Mungu siku Moja ukairithi nchi ya aHadi.Endelea kubarikiwa katika utumishi wa bwana maana ni heri kufariji kuliko kuhukumu.
@LeathKahesi-qq1po4 ай бұрын
Mungu akutunze
@hondenisonmagufulinyabaro39235 жыл бұрын
Be blessed PR David
@esthersimuli99522 жыл бұрын
Bwana ndiye muchungaji mwema sitapungukiwa na kitu amina
@esthersimuli99522 жыл бұрын
Wema na fadhilli zitanifuata siku sote za maisha yangu
@irenejoseph59252 жыл бұрын
Mungu anisaidie mimi asikie haja za moyo wangu
@alexmushi94163 жыл бұрын
Mpareeeee ufupi una faida zake Nmependa ujumbe Babaaaaaa!
@jameskenny18085 жыл бұрын
MCHUNGAJI NA KUOMBA ULICHUNGE KUNDI HILI WALA KANISA HILI,SABABU LINA MPENDEZA MUNGU ,WALA HERENI NA VISUKO VISIONEKANAKE NDANI YAO,WALA VIPONDOZI HILO NI CHUKIZO KWA BWANAMUNGU WETU MWENYE UWEZO NA NGUVU .KAZA BUTI YESU ANA RUDI.
@melissateddybearcossan95064 жыл бұрын
Nawe ukumbuke kulichunga lile kundi pale tumekuachia nisisikie visuko wala dawa ya nywele wala heleni linapendeza ,Barikiwa ukibariki wengine nawe ubarikiwe .Mama Melissa
@hildajohn45264 жыл бұрын
Duh nimebarikiwa sana na hili neno
@gladysiminza77825 жыл бұрын
Glory to God
@joycewanjiru4160 Жыл бұрын
Amen, very powerful 💪🙏🙏🙏
@unclejonah73503 жыл бұрын
I this is good pastor amen 🙏
@rhinakiza4 жыл бұрын
Amina nime simamia katika kitabu cha Zaburi23:1-6
@aishanelly66825 жыл бұрын
Mpare nikija mchagga utakoomaaaaa 🙆🏿♀️🙆🏿♀️🙆🏿♀️🙆🏿♀️nakupendaaaaaaa mungu akubarikiiii mpareee
@drostaflorian79705 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@makokopeter82593 жыл бұрын
Pasta niombee naumwa
@LeathKahesi-qq1po4 ай бұрын
Nimepata upendeleo Leo asante zaburi ya 23
@aminamuhina95753 жыл бұрын
Mungu awe nawe unanibariki
@joykapaya19703 жыл бұрын
Aminaa.
@judithcherono25955 жыл бұрын
Safi Kabisa Barikiwa
@amidasinzoyiheba47162 жыл бұрын
Amen 🙏 🙏
@shideashidea55705 жыл бұрын
Nimebarikiwa Na somo hili Amina Amina!
@marthakinya64245 жыл бұрын
Nikweli mshungaji mungu alinipitishia gonjwa ,nilikuwa nimefikamwisho lakini mungu alinipigania
@ludowvickfedha45567 ай бұрын
Thanks
@alisaalisa44003 жыл бұрын
Nakusoma nikiwa saudi arebia
@mariasolomoni38845 жыл бұрын
Hallelujah
@farhannahomary55052 ай бұрын
Aminah
@naomykenyera18143 жыл бұрын
Yaani nilikuwa Mungu akubariki natamani sikumoja nikuone live
@josephmahuma89304 жыл бұрын
Bwana ambariki mchungaji mbaga
@lennybaabrah67524 жыл бұрын
Amen ubarikiwe pia
@mashaelieazer61204 жыл бұрын
Pasta unanibariki sana
@reallyworshipers15155 жыл бұрын
Be blessed my teacher
@shickysshicky17453 жыл бұрын
Amen hii Aya ya 23 ni nguzo yangu tangu nilipo batizwa ni kuwa umri wa miaka 8 ndicho kitabu nilichopewa na mchungaji Hakika ni baraka na ufafanuzi wako na Barikiwa zaidi
@user-rf5tz5ft2y5 жыл бұрын
Amen God bless you pastor contunue preaching the gospel
@drostaflorian79705 жыл бұрын
Nimebarkiwa sana Mchungaji
@rispernyakundi79192 жыл бұрын
Nimebarikiwa mno Pastor
@leeshayo5 жыл бұрын
Yani nimecheka sana ila nashukuru umenifungua nilikuwa najiuliza sana nini maana ya mama yangu alinivhukuwa minba hatiani
@mwajumakitoro85825 жыл бұрын
Umenifariji sana
@chumbachaneemaccnonlinetv62715 жыл бұрын
Naongea na watu au nabinadamu ??hahahhaa ubarikiwe saana Pastor Mmbaga
@priscalmichael85795 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu ubarikiwe naomba namba yako ninahitaji kuongea nawe