ELEWA SIRI YA NGUVU YA ZABURI 23 (SEH. A)

  Рет қаралды 161,308

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

5 жыл бұрын

ZABURI YA 23 INA NGUVU YA AJABU,WENGI WAMEKARIRI TU BILA KUJUA SIRI YAKE,FWATILIWA SOMO HILI UTAMBUE.

Пікірлер: 202
@evamugusi3362
@evamugusi3362 Жыл бұрын
Nimetumia hii Zaburi 23 kwakuikariri kabla ya kufanya mitihani yangu,,,,na nikiwa naendelea kufanya mitihani endapo sikumbuki nilichosoma nilikuwa nairudia kuukariri hata Mara 3 Kisha na mwambia Mungu "ahsante kwa kunikumbusha Mungu" kiukweli hivi navyoongea nimefaulu Mitihani yangu vizuri kabisaa,,, Ahsante pastor kwakutufundisha namna ya kuyajua na kuyatumia maandiko katika maisha yetu
@christinakitomari7702
@christinakitomari7702 5 жыл бұрын
Huu ujumbe ni wangu na nimefunguliwa ktk Jina LA Yesu
@asooraaasooraa4816
@asooraaasooraa4816 3 жыл бұрын
Amina sana pastor ubarikiwe nabarikiwa sana naposikiliza mahubiri mazuri unazidi kuniimarisha kimani🙏💗
@elizamasatu4784
@elizamasatu4784 4 жыл бұрын
Hili SoMo limeguza maisha yangu kabisa ya miezi Saba iliyopita. Nilipitia changamoto hizi hizi lakini yesu aliniokoa. Asante pastor kwa SoMo hili zuri limegusa maisha yangu halisi.
@antonymadebo8980
@antonymadebo8980 3 жыл бұрын
Makambi kigoma mjini
@maseaJoe8676
@maseaJoe8676 5 ай бұрын
It's four years ago but it has got me right, I really appreciate thank You Lord Amen Amen Amen 🙌
@hellenratemo2813
@hellenratemo2813 3 жыл бұрын
GOD bless you pastor ,am Soo blessed with ur sermon nimesonga atua kumbwa tangu nianze kusikiliza mahubiri yko, God bless u with more sermons
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 жыл бұрын
Amen
@julianaharrison4356
@julianaharrison4356 Жыл бұрын
Imekuwa zaburi miaka hii yote kwenye magumu yangu na marahisi yangu nimemuona Mungu sana
@eddahnyongesa9819
@eddahnyongesa9819 5 жыл бұрын
Hili somo hakika linahusu baba yangu kabisa God bless you so much pst
@kalenzokalenzosentunagu4766
@kalenzokalenzosentunagu4766 5 жыл бұрын
Eddah Nyongesa dah natani ninge kuwepo anaongea kwaumakinisana mungu Amubilikisana
@rosepeter8996
@rosepeter8996 3 жыл бұрын
AMEN🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞hakika wema na fadhili zake bwana zitanifuata milele;.na sitaogopa nipitapo katika magumu;hila nitazidi kukiri kwa imani mungu atasimama nami daima🙏🙏🙏barikiwa sana mtumishi wa mungu;mungu na akuzidishie daima.asante kwa maombj yako pia inanibarikinkika siku🙏🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞
@emanuelymittango3741
@emanuelymittango3741 Жыл бұрын
Amina ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@roseindekhwa7637
@roseindekhwa7637 5 жыл бұрын
Amina mm sio msabato ila napenda sana mafundisho ya baba naamin siku moja nitafika ibadani nipo kenya
@angel-y
@angel-y 5 жыл бұрын
Hi, Pastor will be in Kenya-Nairobi for a camp meeting during the 2nd week of August.
@felixsigns1001
@felixsigns1001 4 жыл бұрын
Karibu sana
@Joycependopendo-dv2tb
@Joycependopendo-dv2tb 7 ай бұрын
Amen bwana akubariki mtumshi
@barakajoseph1816
@barakajoseph1816 4 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutumia Pr
@anthonylaban713
@anthonylaban713 5 жыл бұрын
I am not a Sabbath but truly this man of is so much inspired to me and every who gets time watching his videos. Mungu akubariki sana mch. Mbaga. Najifunza sana sana kupitia ukombozi ibada usihubirizo.
@melissateddybearcossan9506
@melissateddybearcossan9506 4 жыл бұрын
Habagui ndo maana Anabariki watu ,Yeye anahubiri tu bila kusema sabato kila siku maana wengine utakuta wanahubiri siku tu
@nelsonsalumu3064
@nelsonsalumu3064 2 жыл бұрын
Mimi pia najifunza mengi Kwake,Mimi nazani tu ni mlokole aliye zaliwa SDA😀
@tinawile7310
@tinawile7310 Жыл бұрын
Amina Mungu ana jembe lake la kipare hapa
@magretmush7646
@magretmush7646 6 ай бұрын
Nashukuru meelimika mengi kutoka mahu biri ya mtumishi wa mungu mmbaga
@bettygesare5948
@bettygesare5948 Жыл бұрын
I really use that verse as my security all times and very thing is ok thanks for the sermon God bless you
@mkubwahasani4916
@mkubwahasani4916 Жыл бұрын
Amina Mungu akubariki mwalim
@jamesmussa3194
@jamesmussa3194 4 жыл бұрын
Baba andiko na mahubir yako yananibarik kwa viwango vikubwa sana na MUNGU azid kkupa njia
@marthajepkogei5845
@marthajepkogei5845 Жыл бұрын
Hili mafundisho limenipata siku ya Jana lakini mungu ni mwema Kila saa na Kila siku.asante mungu Kwa kuanda ibada kupitia pst.mbaga.barikiwa Kwa Jina la Jesus
@rachelthomas8382
@rachelthomas8382 4 жыл бұрын
Imenitia Nguvu tele Pr. Barikiwa sana
@sikanastima8754
@sikanastima8754 4 жыл бұрын
Mwenyez Mungu akujalie miaka Ming ya neema.
@maureenjovial6083
@maureenjovial6083 4 жыл бұрын
Amen hakika wema nazo fadhili yanifuata siku zote za maisha yangu Mungu akubariki sana pr
@sheilaombongi8086
@sheilaombongi8086 4 жыл бұрын
Alleluiah asante kwakutuinua kirhoo mungu akutiye nguvu usichoke aminaa
@lucynyigana2801
@lucynyigana2801 5 ай бұрын
Aminaaaa barikiwa mtu wa MUNGU
@lydianyachama2286
@lydianyachama2286 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana hili somo,, ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU 🙏🏻
@user-fu7ep9tr1b
@user-fu7ep9tr1b 5 ай бұрын
Asante yesu kwa upendo
@ovidiokibuga1086
@ovidiokibuga1086 5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana,umenikuna penyewe!Mungu hututendea mema siku zote
@edithmunuve7733
@edithmunuve7733 4 жыл бұрын
Nahisi uzito wa mafuta, Bwana akubariki mtumishi.
@makindyakenani2535
@makindyakenani2535 4 жыл бұрын
MUNGU anampango na mimi kwa lolote lile. Amen
@selfaakinyi512
@selfaakinyi512 5 жыл бұрын
Nimebarikiwa na neno mchungaji, dadangu Yuko katika Mapito ya madeni namuimbea mungu asimuache kamwe.ubarikiwe pastor
@claudinebatamuriza7804
@claudinebatamuriza7804 5 жыл бұрын
Nimekuwa wa kwanza Mungu akumbaliki pastor
@kizazigashane5960
@kizazigashane5960 4 жыл бұрын
Amina ndugu katika kristo Yesu
@bidafumbuka855
@bidafumbuka855 5 жыл бұрын
Hii video sauti imetoka vzuri kuliko ile ya mwanzo hongera pastor bwana akupe rehema nyingi
@hadijahamis2795
@hadijahamis2795 3 жыл бұрын
Napenda mafundisho yako yananitia moyo sana Mungu akubaliki sana
@magynzioka1122
@magynzioka1122 3 жыл бұрын
Mtumishi hakika mkono wa MUNGU ujuu yako unafundisha hata kama ajielewi una haza jielewa toka niaze kukusikiza unduma yako sijawai jutia bali ubarikiwa na kujegewa kitu kipya dani yangu MUNGU azidi kukupa ekima na baraka daima 🙏🙏🙏🙏🙏
@danielbabu2707
@danielbabu2707 4 жыл бұрын
Mungu akuongoze kwa hayo mafunzo mazuri √√√
@stellandossy8107
@stellandossy8107 3 жыл бұрын
Nimesikiliza hii nikatamami kupiga ukunga nikujikuta kumbe Niko kwenye gari, duu kwel mungu kanisrma,
@davidkilajaga8842
@davidkilajaga8842 Ай бұрын
Hii ime kaa vizuri 👌👍🙏
@donaldmwahalende4841
@donaldmwahalende4841 4 жыл бұрын
Pastor nimekuelewa ubarikiwe nami nimeptia maisha haya unayoyahubr ubarikiwe Sana niombe nami niwe mhubr
@rosemwangome8996
@rosemwangome8996 3 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu kwa mahubiri ya kuinua na kutia nguvu yanani bariki sana
@paschalpaul1221
@paschalpaul1221 5 жыл бұрын
sio wa wasabato tu ni wetu sote ndugu kwani bible si inasema sisi sote ni mwili wa Kristo ubarikiwe pastor
@magrethmkira6250
@magrethmkira6250 5 жыл бұрын
Amen
@rahimajuma5306
@rahimajuma5306 10 ай бұрын
Mungu ni mkuu amenitendea makuu
@hajimajaliwa6452
@hajimajaliwa6452 3 жыл бұрын
Asante mtumishi hata Mimi niliwahi kuota nasoma zaburi,asante kwa mafundisho mazuri
@augustinemnzava8056
@augustinemnzava8056 2 жыл бұрын
Barikiwa sana Mchungaji
@godfreywilliam993
@godfreywilliam993 5 жыл бұрын
Namuombea shangaz yang mke wa mjomba ambae n mama yang kpenz Mungu amsmamie katk maden yake kpteia somo hili amina
@josephinemwita8883
@josephinemwita8883 2 жыл бұрын
Asante mchungaji kwa maombi
@hellenratemo2813
@hellenratemo2813 Жыл бұрын
Amen soo powerful courageous ND inspiring message God bless you pastor am soo blessed
@judithnjalambaya2450
@judithnjalambaya2450 Жыл бұрын
Amen.ubarikiwe pastor Mbaga
@magnifiquentkrtmna320
@magnifiquentkrtmna320 5 жыл бұрын
Amen wewe ubarikiwe,sijaona wa sabato wana hubiri ivyo. Mi ni murundi ila nikikusiklisa na erewa
@melissateddybearcossan9506
@melissateddybearcossan9506 4 жыл бұрын
Habagui ndo maana na Hafundishi mambo ya siku,anafundisha Neno la kuokoa
@nickfranck5004
@nickfranck5004 5 жыл бұрын
Barikiwa sana mjoli wa BABA kwa somo zuri
@michaelezekielroswe9517
@michaelezekielroswe9517 2 жыл бұрын
Siku moja nitatoa ushuhuda juu ya hili somo, Mungu atuweke hai
@furahajoy3168
@furahajoy3168 4 жыл бұрын
Nashukuru sana kutuimarisha tena Mungu awazidishiye
@shimwekagwiza2300
@shimwekagwiza2300 5 жыл бұрын
Amina, nimebarikiwa kwa zaburi 23
@tonnsimbasportsclub7168
@tonnsimbasportsclub7168 5 жыл бұрын
***Wasabato mmependelewa kuwa na huyu MTU***
@ruthsamhenda5254
@ruthsamhenda5254 5 жыл бұрын
Amina, Karibu ubarikiwe pia
@janethdeus2127
@janethdeus2127 5 жыл бұрын
Karibu ujiunge na kundi hili. Mungu akubarik🙏
@kingjosse4781
@kingjosse4781 5 жыл бұрын
Amenn🙏
@magrethmkira6250
@magrethmkira6250 5 жыл бұрын
Mungu azidi kumuinua kwajili ya utukufu wake kwa jina la YESU Karibu ubarikiwe pia
@eliakanyika8443
@eliakanyika8443 4 жыл бұрын
Amina Siyo huyu2 vipaji vya kuhuburi kwa wasabato kwa mtu kama paster mbaga ni wengi mno!
@biblianabibliapekee8113
@biblianabibliapekee8113 5 жыл бұрын
Ameni 💖💖💖💖💝💝💝💝💝💝💝💝💝💝💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💝💝💝💝💝💝💝💝
@tikeydavid5989
@tikeydavid5989 4 жыл бұрын
Nabarikiwa sana
@anithakeza701
@anithakeza701 4 жыл бұрын
Asante baba mcungaji mimi naishi Burundi napenda sana mafundisho yako
@kwizeraelly9261
@kwizeraelly9261 5 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji somo zuri.Naomba unikumbuke ktk maombi niingie ktk ufalme wa Mungu.
@callennyacnchama1860
@callennyacnchama1860 5 жыл бұрын
Pastor naomba uniombee kijana wangu wa kiume tumbo inawaka moto karibu miezi tatu amejaribu kuenda hospital amepewa madawa amejaribu kunywa imekataa Niko America kijana ako nyumbani Kenya majina ya kijana ni Geoffrey mongare kinyosi,Mimi ninaye kukuandikia mama yake kutoka America napenda kufuatiria mahubiri yako pastor.
@neemadaud234
@neemadaud234 5 жыл бұрын
Nalianalia na mahubiri haya maana ndio yamekuwa kama maisha yangu Eeee MUNGU wangu nipiganie mdhambi mm
@fgbeatricegg145
@fgbeatricegg145 5 жыл бұрын
Mungu akukumbuke katika ufalme wake
@benedictmwamburi7850
@benedictmwamburi7850 2 жыл бұрын
Ubarikuwe mchungaji Kuna mahali umanifungua macho....kutoka kenya
@cassianndimbo7297
@cassianndimbo7297 5 жыл бұрын
Nilitaka Lile somo la nguvu Za mungu kipindi yupo bungeni nitumie Kama lipo Kama unalo
@arlettedebbiezaina6247
@arlettedebbiezaina6247 5 жыл бұрын
Somo nzuri kabisa baba Mchungaji, nime barikiwa.
@asenathonyoni7594
@asenathonyoni7594 5 жыл бұрын
Thanks pastor be blessed
@ibrahimisack7788
@ibrahimisack7788 5 жыл бұрын
Amina mchungaji hubiri limenibariki hasa.
@lilianmalibwa936
@lilianmalibwa936 2 жыл бұрын
Huwa nafarijika Sana ninaposikiliza mahubiri haya.Zawadi kubwa ya kukupatia nakuombea Kwa Mungu siku Moja ukairithi nchi ya aHadi.Endelea kubarikiwa katika utumishi wa bwana maana ni heri kufariji kuliko kuhukumu.
@LeathKahesi-qq1po
@LeathKahesi-qq1po 4 ай бұрын
Mungu akutunze
@hondenisonmagufulinyabaro3923
@hondenisonmagufulinyabaro3923 5 жыл бұрын
Be blessed PR David
@esthersimuli9952
@esthersimuli9952 2 жыл бұрын
Bwana ndiye muchungaji mwema sitapungukiwa na kitu amina
@esthersimuli9952
@esthersimuli9952 2 жыл бұрын
Wema na fadhilli zitanifuata siku sote za maisha yangu
@irenejoseph5925
@irenejoseph5925 2 жыл бұрын
Mungu anisaidie mimi asikie haja za moyo wangu
@alexmushi9416
@alexmushi9416 3 жыл бұрын
Mpareeeee ufupi una faida zake Nmependa ujumbe Babaaaaaa!
@jameskenny1808
@jameskenny1808 5 жыл бұрын
MCHUNGAJI NA KUOMBA ULICHUNGE KUNDI HILI WALA KANISA HILI,SABABU LINA MPENDEZA MUNGU ,WALA HERENI NA VISUKO VISIONEKANAKE NDANI YAO,WALA VIPONDOZI HILO NI CHUKIZO KWA BWANAMUNGU WETU MWENYE UWEZO NA NGUVU .KAZA BUTI YESU ANA RUDI.
@melissateddybearcossan9506
@melissateddybearcossan9506 4 жыл бұрын
Nawe ukumbuke kulichunga lile kundi pale tumekuachia nisisikie visuko wala dawa ya nywele wala heleni linapendeza ,Barikiwa ukibariki wengine nawe ubarikiwe .Mama Melissa
@hildajohn4526
@hildajohn4526 4 жыл бұрын
Duh nimebarikiwa sana na hili neno
@gladysiminza7782
@gladysiminza7782 5 жыл бұрын
Glory to God
@joycewanjiru4160
@joycewanjiru4160 Жыл бұрын
Amen, very powerful 💪🙏🙏🙏
@unclejonah7350
@unclejonah7350 3 жыл бұрын
I this is good pastor amen 🙏
@rhinakiza
@rhinakiza 4 жыл бұрын
Amina nime simamia katika kitabu cha Zaburi23:1-6
@aishanelly6682
@aishanelly6682 5 жыл бұрын
Mpare nikija mchagga utakoomaaaaa 🙆🏿‍♀️🙆🏿‍♀️🙆🏿‍♀️🙆🏿‍♀️nakupendaaaaaaa mungu akubarikiiii mpareee
@drostaflorian7970
@drostaflorian7970 5 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@makokopeter8259
@makokopeter8259 3 жыл бұрын
Pasta niombee naumwa
@LeathKahesi-qq1po
@LeathKahesi-qq1po 4 ай бұрын
Nimepata upendeleo Leo asante zaburi ya 23
@aminamuhina9575
@aminamuhina9575 3 жыл бұрын
Mungu awe nawe unanibariki
@joykapaya1970
@joykapaya1970 3 жыл бұрын
Aminaa.
@judithcherono2595
@judithcherono2595 5 жыл бұрын
Safi Kabisa Barikiwa
@amidasinzoyiheba4716
@amidasinzoyiheba4716 2 жыл бұрын
Amen 🙏 🙏
@shideashidea5570
@shideashidea5570 5 жыл бұрын
Nimebarikiwa Na somo hili Amina Amina!
@marthakinya6424
@marthakinya6424 5 жыл бұрын
Nikweli mshungaji mungu alinipitishia gonjwa ,nilikuwa nimefikamwisho lakini mungu alinipigania
@ludowvickfedha4556
@ludowvickfedha4556 7 ай бұрын
Thanks
@alisaalisa4400
@alisaalisa4400 3 жыл бұрын
Nakusoma nikiwa saudi arebia
@mariasolomoni3884
@mariasolomoni3884 5 жыл бұрын
Hallelujah
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 2 ай бұрын
Aminah
@naomykenyera1814
@naomykenyera1814 3 жыл бұрын
Yaani nilikuwa Mungu akubariki natamani sikumoja nikuone live
@josephmahuma8930
@josephmahuma8930 4 жыл бұрын
Bwana ambariki mchungaji mbaga
@lennybaabrah6752
@lennybaabrah6752 4 жыл бұрын
Amen ubarikiwe pia
@mashaelieazer6120
@mashaelieazer6120 4 жыл бұрын
Pasta unanibariki sana
@reallyworshipers1515
@reallyworshipers1515 5 жыл бұрын
Be blessed my teacher
@shickysshicky1745
@shickysshicky1745 3 жыл бұрын
Amen hii Aya ya 23 ni nguzo yangu tangu nilipo batizwa ni kuwa umri wa miaka 8 ndicho kitabu nilichopewa na mchungaji Hakika ni baraka na ufafanuzi wako na Barikiwa zaidi
@user-rf5tz5ft2y
@user-rf5tz5ft2y 5 жыл бұрын
Amen God bless you pastor contunue preaching the gospel
@drostaflorian7970
@drostaflorian7970 5 жыл бұрын
Nimebarkiwa sana Mchungaji
@rispernyakundi7919
@rispernyakundi7919 2 жыл бұрын
Nimebarikiwa mno Pastor
@leeshayo
@leeshayo 5 жыл бұрын
Yani nimecheka sana ila nashukuru umenifungua nilikuwa najiuliza sana nini maana ya mama yangu alinivhukuwa minba hatiani
@mwajumakitoro8582
@mwajumakitoro8582 5 жыл бұрын
Umenifariji sana
@chumbachaneemaccnonlinetv6271
@chumbachaneemaccnonlinetv6271 5 жыл бұрын
Naongea na watu au nabinadamu ??hahahhaa ubarikiwe saana Pastor Mmbaga
@priscalmichael8579
@priscalmichael8579 5 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu ubarikiwe naomba namba yako ninahitaji kuongea nawe
SIRI YA KUINUKA TENA BAADA YA HASARA
51:47
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 48 М.
DHAMBI ISIYOSAMEHEKA NI IPI?(OFFICIAL VIDEO)
58:54
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 161 М.
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 62 МЛН
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 82 МЛН
Kitabu cha Zaburi - Sura ya 1 Hadi 150
4:15:34
Biblia Takatifu
Рет қаралды 25 М.
Zaburi 23 Sehemu ya Kwanza - Joyce Meyer Ministries KiSwahili
25:39
Joyce Meyer Ministries Kiswahili
Рет қаралды 9 М.
Giza linapotanda maishani Ufanyeje
55:39
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 60 М.
PLAY THIS MIDNIGHT BATTLE PRAYER EVERY NIGHT AS YOU SLEEP | APOSTLE JOSHUA SELMAN
3:57:37
MATUKIO YA KIMUNGU KATIKA MAISHA YAKO
49:34
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 10 М.
KUOMBA AHADI ZA MUNGU(PR DAVID MMBAGA)
1:34:40
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 84 М.
MAOMBI YA KUTAMKA | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)
1:12:09
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 53 М.
UFANYEJE UNAPOJARIBIWA (SIRI HII NI KUBWA)
1:14:42
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 100 М.
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 62 МЛН