Ninakufatilia sana kwasababu mawaitha yako unayaeleza kwa ufasaha.Allah akulipe kheir in sha Allah
@saidburuji99845 жыл бұрын
Kwa kweli ALLAH akulipe kheri kwa elimu muhimu sana unayofahamisha
@aboubakarlimba40275 жыл бұрын
Shukrani Shekhe tupo pamoja
@اماحمداحمدسعيداماحمد5 жыл бұрын
جزاك الله خيرا
@mutwarrifuyussuf98504 жыл бұрын
Naomba bomber yako
@ramlataayat99994 жыл бұрын
Masha Allah
@yahkiwera36115 жыл бұрын
Mashaallah shukran
@ramiahuseni33574 жыл бұрын
Mashaallah
@nairatybabato96363 жыл бұрын
Asalam aleykum et jee mwanaume kama kampa mkewe talaka 3 je akimaliza eda anapaswa kuolewa na yule mwanaume aliye muacha kwa taraka 3
@shaabanlamania47633 жыл бұрын
Mbn ypo sita n umsm saba
@nyllamnshimirimana29964 жыл бұрын
Assalam alaikum warahamatullah wabarakatuh cheikh mimi nna swali sijui Nina ndoa ao kwaju wali wngu ni mume sa mama yangu mkubwa baba alikua amekata Kuwa wali. Ivi kwl mimi Nina ndoa ao???
@iddydaruwesh86504 жыл бұрын
Asalaam aleykum warhmatullah wabarakatu Sheikh wangu naomba kuuliza swali KUNA KAWAIDA HUWA NASIKIA WAKATI WA KUFUNGISHA NDOA KUSEMA IKITOKEA KUWACHANA MUWACHANE KWA WEMA JEE NI LAZIMA KUSEMWA?
@salamakibwana13445 жыл бұрын
Mm ninakaka Baba tofauti aweza kuwa wali kwangu
@habibtalib51005 жыл бұрын
Salama Kibwana Anaweza kuwa walii wako lakini mpka ifike daraja yake
@almandroo82585 жыл бұрын
Hawezi kua uwalii unatoka upande wa baba kwa mtazamo wng
@salmamrembo43603 жыл бұрын
Sheikhs naomba namba yako
@fatherezekiel9873 жыл бұрын
Sheikh vipi unaenda kinyume na mafundisho ya mtume Muhammad pbuh,unanyoa ndevu unawacha masharubu wakati inatakiwa iwe kinyume na unavyo fanya fuga ndevu punguza masharubu.hautendi haki unakaa kama polisi wa kenya
@mohamedmzee50975 жыл бұрын
SHUKRANI..
@almandroo82585 жыл бұрын
Naam kaul thabit kabisa
@namelessnameless48685 жыл бұрын
Sheikh hapo kwenye swala la kutokufungamana na ibada ya hijja binafsi cjaelewa yaanu mtu akienda kuhiji kabla ya kuoa/kuolewa haramu kuoa?
@innocentjay58445 жыл бұрын
Mipia hapo siku paelewa ila sheikh wetu hajibu comments zetu ubaya
@habibtalib51005 жыл бұрын
Nameless Nameless Naomba nichukue nafasi hii kufahamisha kdg hapa sheikh amezungumzia kwamba yule m.mme ambae ataweka nia ya kua anahiji yani anatekeleza ibada ya haji kwahio baada ya kuweka nia tuu kma anaanza kuhiji bas ni haramu kwake kuowa mpk atakapomaliza ibada ya hijja...والله أعلام
@najma32685 жыл бұрын
Assallam aleykum , shekhe naomba kuuliza kama ni mtt wa nje ya ndoa halafu yule baba alisha fariki inawezekana baba mdogo yaan mdogowake baba akaozesha , na je hapo hapo kwenye mtt wa nje ya ndoa ni anaweza kuozeshwa na shekhe pasipo baba mdogo ambae ni mdogo wake na baba na hiyo ni marehemu halafu ni mtt wa nje ya ndoa?
@habibtalib51005 жыл бұрын
Najma 3 w.msalam mm sio sheikh ila najarb kukujib kwsbb itakua mara hujapata jibu asili mtoto wa nje ya ndoa haozeshwi na yule ambae anamwita baba ake kwasbb kwenye sheria yule sie baba ake kwahio huwa anaozeshwa na kaazi auu sheikh mkuu....kwa maana hiyo sasa kma yule anaemwita baba kama hafai kumuozesha bas na haoo waliobakia wote hawafai kumuozesha...na allah anajua zaidi
@almandroo82585 жыл бұрын
Sorry hii ndoa unafungwa kiserikal ht km baba yko yupo hai
@rizikisalum96785 жыл бұрын
@@almandroo8258 ndio kwasabubu huyo baba sio baba yake mtoto wa nje Hana baba hatakama wamjuwa alokupa mimba sio baba ake