Chama bora alivyoachwa alijiona mkumbwa kuliko simba
@AliAchimoAchimoAlifaКүн бұрын
Kweli kabis
@stellamboya86732 күн бұрын
Nimefurahi sana simba kumuuachia chama alishaichoka simba tunampenda ila inatosha
@halidimgonza59452 күн бұрын
mie ni SIMBA nakubal kuwa chama ni mchezaj hodari lkn kibri kilimzid kujiona mkubwa kuliko timu na pia alikua hana tn mapenz na simba, ivo nmefurah kuondoka. SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️
@manmanonline63942 күн бұрын
Simba nguvu moja❤❤❤❤❤
@danielpeter8085Күн бұрын
Ata mm nafurah kuondokà...alizingua sana
@fatumasophu5855Күн бұрын
Mzeee saidi kashasema nyie mnaosema chama Bora alivoo ndo ka ni afadhali ni waongooo hhhaaaah mzee said 4rever
@LindaMbilinyiКүн бұрын
Kbsaa chama alishajiona yeye ni Bora zaid acha tuitengeneze team yetu
@MartinDismas-ou5oy2 күн бұрын
Mashabiki Wenzangu Poleni kwani tumeondokewa na Chama kimpira. Msijali Sana tutapoa tu. Watu wanaoshughulikia Usajili wafanye KWELI watusajilie kweli.Atajuta tu baadaye msihofu..SIMBA NGUVU MOJA..❤❤❤❤
@Nestory-zm3nhКүн бұрын
Oya kwahiyo ww ulitaka siondoke yeye ninani kwanza mtu mwenyewe migomo kila siku aensde zake mbona time imefanya vizuri mechi za mwisho bila chama ten mm nimefurahi sana
@mohamedmseka56442 күн бұрын
Nimefulahi sana simba kuachana na.chama simba nguvu moja
@LindaMbilinyiКүн бұрын
💪💪
@aminaomary55672 күн бұрын
Mwecheni chama aende jamani. Mbona mayele aliondoka yanga bw. Sisi tunahitaji vijana wapya na Kocha wetu Mgunda. Mo wala usiangaike na makocha wa nje wanatupoteza fedha zetu. Weke vijana wazuri. KWELI KAKA MANENO YAKO YOTE ni SAHIHI WALA SIO NONGWA❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍
@DulaPila-bn4kg2 күн бұрын
Nakukubali sana gb ume nyooka sana kwa maelezo
@user-mw5xs2wx8n2 күн бұрын
Aende tu hawezi kufia simba km mafisango ndo mchezaji alofia simba na tukaumia mno
@linusjohn4790Күн бұрын
Kabisa kk upo very clear mkuu
@user-ps6wm2qm4f2 күн бұрын
Aondoke kiburi sana
@user-kq8ec3yq1m2 күн бұрын
Aende zake katuflotisha sana
@user-xh8sh9pu4s2 күн бұрын
Kaka nakulubali sana
@manmanonline63942 күн бұрын
SIMBA nguvu moja❤❤❤❤❤
@user-nf4zs6cu3j2 күн бұрын
Maneno ya mkosaji yanga hawana ela ya kumsajili chama
@RamadhanIbrahimMaganyila-ff6jy2 күн бұрын
Uko sawa kabisa
@ThobiasKarima-rn3hw2 күн бұрын
Gb64 kaka umeongea vizuri sana....
@charlesmahuna2 күн бұрын
Chama Simba ilikupenda lakini ulijivuna nakumbuka hata pre season ilopota uturuk ulisumbua uongozi na ukaenda peke yako, nenda yanga ukavune ulichokipanda, utatukumbuka saaana . Acha tusafishe ghara
@sakinasakina1286Күн бұрын
nikweli kabisa acha waende wawo cyo wa kwanza kuichezea simba simba ni temu kubwa
@LindaMbilinyiКүн бұрын
Aende tu
@user-um8if8mi5wКүн бұрын
Hapa Ndio Naamini Hkn Mlevi Mwenye Akili
@user-ju5xi2jm7wКүн бұрын
GB 64 umeongea vema Chama aende tu misimu mitatu Simba haijapata kombe na yy alikuwepo aende tu tulishamchoka
@nuru.simkoko2 күн бұрын
Chama bora ameondoka kaa alianza kiburi sana
@JemesKasase2 күн бұрын
Lekin umetumia were!
@mohamedmseka56442 күн бұрын
Chama hana jipya aende tu mchezaji hata kukimbia hawezi kama bata bhana ndambwa ndambwa
@AliAchimoAchimoAlifaКүн бұрын
Chama sio Simba aende zake
@gastonmbarila9458Күн бұрын
Chama kawaacha sio nyie😂😂
@abdrazakimamlo7655Күн бұрын
Safi gb uko pamoja na mimi na uongozi wetu
@LindaMbilinyiКүн бұрын
Me nawaambia yawezekana tukaumia kwenye hal ys kibinadamu lkn ukwel ni kwamba chama acha aende alishajiona bora kuliko simba,,acha tuitengeneze simna yetu sasa,,alishakuwa kibur mnooo na kujions bila yeye hakuna simba kitu ambacho si kwel
@JoharyHumbe-fb5keКүн бұрын
Safi sana ende tuuuuu huko
@maikomatayo2794Күн бұрын
sisi wanasimba ukwel chama tunampenda sana na ndoo shida kumbwa nyuma mwiko wana mhonga ili aiharibu timu yetu bora aondoke ametutesa sana
@GodfreyJailosКүн бұрын
Acha aende simba ijipange vizuri
@user-cc4jk1ll5v2 күн бұрын
Huyo chama mwaka 1 tu mtamwona
@AlexGwambie-xr2hm2 күн бұрын
GB 64 daa we shda kubwa unafungua kinoma hujawah nifrisha at kdg
@bakarimbasha6542Күн бұрын
Big up Mo
@mbwanarajab72382 күн бұрын
Wengi waliotoka Simba leo wako wapi? Kina Morison na wenzake
@IbraMwakipesile2 күн бұрын
Kiukweli chama Bado inatuuma na sajili hizi ata zizielewi daah
@salimmalaka2562 күн бұрын
WACHEZAJI WAMEJAA DUNIA NZIMA
@Mrisho-bd1lgКүн бұрын
inakuuma wewe
@hamidudigogo5863Күн бұрын
MOJA ya watu waliyo turahi kuondoka KWA CHAMA manura na inonga nimimi yani Safi Sana hayo b NDIO mamuzi magumu
@user-gr9wc7bc2m2 күн бұрын
Chama hataitwa na tena chipolopolo tunza hii sms yangu
@jumakiduka46252 күн бұрын
NI MAAMUZI SAHIHI KUMUACHA CHAMA,NAIONA SIMBA MPYA YENYE KASI NZ USHINDI
@salimmalaka2562 күн бұрын
AYUHAAA SAFI SANA
@AbisinaRashidi-c8dКүн бұрын
Kazeeka mlija wa yanga umeondoka muhujumu mbwa chiba na guu lake bovu
@SalumAukaКүн бұрын
Yanga bingwa tena asee,waache waendelee kudanganyana mamae😂😂😂😂
@CosmassEmmanuelКүн бұрын
Kweli Chama ni mchezaji mzuri sana,kuondoka simba, aliona mashine Kali kuliko yeye kutoka huko kwao Zambia sio wazee kama yeye,ndio maana kaswepa mapemaaaa,kwaheriiiii Chama nenda na kibuti chako 🐕
@Abdubunda2 күн бұрын
Kaisha huyo acha aende Nyuma mwiko
@JanuaryJoseph-c8pКүн бұрын
Nakuunga mkono
@fatumasophu5855Күн бұрын
Mdudu mangungu jeee
@salimmalaka2562 күн бұрын
TUMNYAKUWE AZIZI KI WATASHONA MIDOMO MACHOGO HAO
@user-nu3ne8ul5dКүн бұрын
Aondoke kaiujumu sana simba yetu
@makamelila2 күн бұрын
Simba oyeeeeeeeeeeeeeeeee
@manmanonline63942 күн бұрын
Acha kirusi kiende
@FatumaAmis2 күн бұрын
Kweli kabisa
@hamadyasin74292 күн бұрын
Mm mwenyewe nimefurah kuondoka kwake
@ConfusedEucalyptusTree-zb3vx7 сағат бұрын
Gb we mwongo xnaaaaa hamia uko azm
@eunicerichard5179Күн бұрын
Jamani ndoto yangu imetimia chama kuondoka simba alikuwa anakibur
@@salimmalaka256 hiv ndo tunapenda ndugu yangu ... Yale matusi achana nayo , utani wa jadi Bila kuporomosha matusi inawezekana , .... Hapa tupo pamoja tutakuja na akina mayele , Feisal na Manzoki kwenye mkutano mkuuu 🤣🤣🤣
@salimmalaka256Күн бұрын
@@mwanangusana OK
@rajaburajabu8005Күн бұрын
Chama aende tu Simba nikubwa kuliko yeye,kwanza alikua anaanzisha migomo ya wachezaji,kujiona anaweza kutupangia nacho taka,hongera kwa viongozi kwa kileta hizo mashine mpya za kazi,yani natamani vyura TUKUTANE nao hata kesho kwa sajiri hii mwaka wetu
@chamimdesa148Күн бұрын
Maneno ya mkosaji
@user-fg1rf2cc4bКүн бұрын
Huyu hasa ni msanii tu alisema chma alihujumu wp leo anasema ni muhujum mkubw chama maneno ya mkosaj hayo
@user-kn7bo6iz4n2 күн бұрын
Yaani mm kama shabiki wa lunyasi nimefurahi uyo sura ya mbuzi kuondoka simba
@LindaMbilinyiКүн бұрын
😅😅😅😅😅
@caristuskabibi3470Күн бұрын
Upo sawa
@user-he3wt8vk8zКүн бұрын
Umekuzwa unaona nawe star? Mshamba wa kiingereza.
@IssaAbdallah-rt2shКүн бұрын
Na mangungu nae asafishwe aondoke anatafuta matatizo
@Mrisho-bd1lgКүн бұрын
CHAMA aende2 kwanza mchezaji Gani hajawahi kuwa majeruhi
@amaniomar1755Күн бұрын
Mwamba kigeugeu kwelikweli na bado atasema sana
@alimohammedomar34122 күн бұрын
Haya maneno ni "Fungu la kukosa"
@AlexiaMilao21 сағат бұрын
Kweli bangi mbaya ww leo umebadilika ndio maana wana simba wemzako walikuacha polisi hawakukutolea dhamana polisi
@UswegeMwaigomole2 күн бұрын
Wewe ulinazingua simba hiii tutapoteana ....ttzo ni viongozi ambao wanawasajili wakina jobe /fred/......wewe jamaa duuu ni mnafiki sana chama ndo unamsema ivyo duuu wewe jamaa
@israelnibigira49902 күн бұрын
Chama ni mbemba njooni niwape story zawa bemba nipo Zambia yaani ndivyo walivyo
@TrebaMagambo22 сағат бұрын
Maneno ya Mfamaji 😂😂😂
@maikonyondo-gr7gdКүн бұрын
Katika siku zote leo umenikosha umeongea sahihi kabisa
@rubensamson8681Күн бұрын
Hawa ndo yanaropoka tu mpk mashabiki wte simba tunaonekana hatujielewi Mchezaji ni kama bidhaa kuna mda anaangalia mwisho wake
@saidsalum6101Күн бұрын
Gb hapo huwa nakukubali sana umenyooka sana walikuweka ndani police ajili yasimba wewe kweli nisimba dam
@user-zz4iu9tg9o2 күн бұрын
Uyu jamaa kumbe ndio maana walimuweka ndani, anamatatizo yaakili mimi simba chama katufanyia mengisana
@user-gz3es9eb8cКүн бұрын
G64 uko sahihi
@castrocastro96152 күн бұрын
We pimbi. Ulisema Chama akiondoka Simba utahamia Azam. Ondoka tuachie timu yetu
@user-he3wt8vk8zКүн бұрын
Ulisema ndo aliyescout kina Mutale Leo mhujumu ila wewe Kenge.
@houmdmajid-ur9dpКүн бұрын
Ww kumbe mjinga izo gb zako za uongo unashindwa kumuheshim mchezaji kisa kuondoka ktk team yako ww si ndie uloukulia mjina 1 ww
@user-er1dk6zj6u10 сағат бұрын
Like za kelele za karume apa 🤙
@christopherkiswaga92707 сағат бұрын
Chama ana kiburi na hana shukrani.
@user-he3wt8vk8zКүн бұрын
Mtoe mwaliko Corona irudi usije ukaishia kubweka.
@vaxminja90532 күн бұрын
Kuna wajinga wengi Simba, muda si mrefu wataanza kumtukana Chama
@martinndunguru63582 күн бұрын
Kama mnavyomtukana Feisal
@user-he3wt8vk8zКүн бұрын
Mfa maji.
@SherrymwinyiКүн бұрын
yy na manula ndo walikuwa wanaigeuka simba wakwendreeeeeeeeeeeee tu ss tunataka wachezaji wapya na wazuri zaidi wao
@hassanimsiziloКүн бұрын
Kaka umesema kweli cha ninani? Wakumbushe wanasimba tulipo ifunga azamu chuma 3 chama enonga kibu walikuepo?
@houmdmajid-ur9dpКүн бұрын
Hlf unapenda kujisifia ujinga wakat uongoz wako umezidiwa mpka leo wapo ktk maongezi watu wamemtangaza mjinga kwel hlf ww unapenda kubadilika kuanzia leo singali tena video yk
@user-pv3hw5ib5w2 күн бұрын
Akili ya kazi unaitoa wapi ww , taarabu hiyo.
@dennisngonyani17952 күн бұрын
VP HUKO MO KAFIKISHA BILLIONI NGAP 85 AU 290 ...MSISANAU KUULIZANA
@debbykasitu69902 күн бұрын
Ewaaaaaa huyu sasa nimemuelewa.
@fidelismwakanyamale67872 күн бұрын
Wewe ujitambuwi ndiyo maana walikuweka jela fala wewe simba awakujuwi
@onesmothimos26352 күн бұрын
Sio tena mwamba wa Lusaka ni mwamba wa lushwa
@donatusalfred582Күн бұрын
GB 64 USIJIZIME DATA IMEUMANA AISEE
@halidijuma18842 күн бұрын
Si ulisema TAJIRI amerudi,,,tulishawazoweaa kwa porojo zenu makolo
@houmdmajid-ur9dpКүн бұрын
Au kushaanza kutumwa mpumbazu ww
@debbykasitu69902 күн бұрын
Umeongea point wewe,umesahau na Benchikha pia alimkataa Chama sababu ana kibri
@bobbyfiasco43112 күн бұрын
Chawa.
@salimmalaka2562 күн бұрын
CHOGOOOOOOOOO
@user-wg2vl1rh4l2 күн бұрын
Acha ushamba weweee ,apo aloihujuma simba ni wachezaji au Viongozi kwa Kauli yako GB.
@user-zx3kv9hb7p2 күн бұрын
Jana tu ulisema amuwezi kutoa silaha kwa adui leo umeipinga kauli yako nahisi una matatizo ya akili uko kama mauzinde
@heribuberwa23722 күн бұрын
Huyu jamaa chenga kweli Wewe si ndiye ulisema Chama hawezi kutoka Simba? Si ulisema unahamia Azam? Hizi bangi
@user-nf4zs6cu3j2 күн бұрын
Maneno ya mkosaji ulisema tajili ameludi chama hawezi kuondoka kwamba yanga hawana ela achena unafik
@siamekennedy35402 күн бұрын
Kumbe GB 64 kigeugeu? siji kumwamini tena muongo mkubwa huyo. Anatoa ahadi na hawezi kutekeleza. Nimemshusha hadhi sana kumbe mpuuzi tu
@JulianaMushi-nq3kc2 күн бұрын
😃🤣😃🤣🤣🤣💃
@MuhamedIssa-kw2qh2 күн бұрын
Wewe jamaa chenga sana
@MzeewaYanga-hm8jq2 күн бұрын
We kinembe ulisema unaenda azam nenda xax
@salimmalaka2562 күн бұрын
TOPOLOOO MACHOGO FC NYIE 😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
@jumahamad94632 күн бұрын
NENDA WEWE UKASHABIKIA AZAM
@salimmalaka2562 күн бұрын
NENDA WEWE MATOPOLO MACHOGO FC WEWE
@saidikambi95972 күн бұрын
Yani nimewashangaa chama kuwatoa jasho chama mitaani uto kinye mmmh bado sana
@Vedsastomutalemwa19802 күн бұрын
Huyu Gb hanatofauti na sigara ya nyota popote unaweza kuwasha moto.