GB 64 AWAKA CHAMA AMEIHUJUMU SIMBA KWA MUDA MREFU, AENDE ZAKE, FAGIO LA CHUMA BADO

  Рет қаралды 41,711

Ngwale Sports HD

Ngwale Sports HD

4 күн бұрын

Chama mwamba wa lusaka

Пікірлер: 170
@mariamabdallah9847
@mariamabdallah9847 2 күн бұрын
Chama bora alivyoachwa alijiona mkumbwa kuliko simba
@AliAchimoAchimoAlifa
@AliAchimoAchimoAlifa Күн бұрын
Kweli kabis
@stellamboya8673
@stellamboya8673 2 күн бұрын
Nimefurahi sana simba kumuuachia chama alishaichoka simba tunampenda ila inatosha
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 2 күн бұрын
mie ni SIMBA nakubal kuwa chama ni mchezaj hodari lkn kibri kilimzid kujiona mkubwa kuliko timu na pia alikua hana tn mapenz na simba, ivo nmefurah kuondoka. SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️
@manmanonline6394
@manmanonline6394 2 күн бұрын
Simba nguvu moja❤❤❤❤❤
@danielpeter8085
@danielpeter8085 Күн бұрын
Ata mm nafurah kuondokà...alizingua sana
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 Күн бұрын
Mzeee saidi kashasema nyie mnaosema chama Bora alivoo ndo ka ni afadhali ni waongooo hhhaaaah mzee said 4rever
@LindaMbilinyi
@LindaMbilinyi Күн бұрын
Kbsaa chama alishajiona yeye ni Bora zaid acha tuitengeneze team yetu
@MartinDismas-ou5oy
@MartinDismas-ou5oy 2 күн бұрын
Mashabiki Wenzangu Poleni kwani tumeondokewa na Chama kimpira. Msijali Sana tutapoa tu. Watu wanaoshughulikia Usajili wafanye KWELI watusajilie kweli.Atajuta tu baadaye msihofu..SIMBA NGUVU MOJA..❤❤❤❤
@Nestory-zm3nh
@Nestory-zm3nh Күн бұрын
Oya kwahiyo ww ulitaka siondoke yeye ninani kwanza mtu mwenyewe migomo kila siku aensde zake mbona time imefanya vizuri mechi za mwisho bila chama ten mm nimefurahi sana
@mohamedmseka5644
@mohamedmseka5644 2 күн бұрын
Nimefulahi sana simba kuachana na.chama simba nguvu moja
@LindaMbilinyi
@LindaMbilinyi Күн бұрын
💪💪
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 күн бұрын
Mwecheni chama aende jamani. Mbona mayele aliondoka yanga bw. Sisi tunahitaji vijana wapya na Kocha wetu Mgunda. Mo wala usiangaike na makocha wa nje wanatupoteza fedha zetu. Weke vijana wazuri. KWELI KAKA MANENO YAKO YOTE ni SAHIHI WALA SIO NONGWA❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍
@DulaPila-bn4kg
@DulaPila-bn4kg 2 күн бұрын
Nakukubali sana gb ume nyooka sana kwa maelezo
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 2 күн бұрын
Aende tu hawezi kufia simba km mafisango ndo mchezaji alofia simba na tukaumia mno
@linusjohn4790
@linusjohn4790 Күн бұрын
Kabisa kk upo very clear mkuu
@user-ps6wm2qm4f
@user-ps6wm2qm4f 2 күн бұрын
Aondoke kiburi sana
@user-kq8ec3yq1m
@user-kq8ec3yq1m 2 күн бұрын
Aende zake katuflotisha sana
@user-xh8sh9pu4s
@user-xh8sh9pu4s 2 күн бұрын
Kaka nakulubali sana
@manmanonline6394
@manmanonline6394 2 күн бұрын
SIMBA nguvu moja❤❤❤❤❤
@user-nf4zs6cu3j
@user-nf4zs6cu3j 2 күн бұрын
Maneno ya mkosaji yanga hawana ela ya kumsajili chama
@RamadhanIbrahimMaganyila-ff6jy
@RamadhanIbrahimMaganyila-ff6jy 2 күн бұрын
Uko sawa kabisa
@ThobiasKarima-rn3hw
@ThobiasKarima-rn3hw 2 күн бұрын
Gb64 kaka umeongea vizuri sana....
@charlesmahuna
@charlesmahuna 2 күн бұрын
Chama Simba ilikupenda lakini ulijivuna nakumbuka hata pre season ilopota uturuk ulisumbua uongozi na ukaenda peke yako, nenda yanga ukavune ulichokipanda, utatukumbuka saaana . Acha tusafishe ghara
@sakinasakina1286
@sakinasakina1286 Күн бұрын
nikweli kabisa acha waende wawo cyo wa kwanza kuichezea simba simba ni temu kubwa
@LindaMbilinyi
@LindaMbilinyi Күн бұрын
Aende tu
@user-um8if8mi5w
@user-um8if8mi5w Күн бұрын
Hapa Ndio Naamini Hkn Mlevi Mwenye Akili
@user-ju5xi2jm7w
@user-ju5xi2jm7w Күн бұрын
GB 64 umeongea vema Chama aende tu misimu mitatu Simba haijapata kombe na yy alikuwepo aende tu tulishamchoka
@nuru.simkoko
@nuru.simkoko 2 күн бұрын
Chama bora ameondoka kaa alianza kiburi sana
@JemesKasase
@JemesKasase 2 күн бұрын
Lekin umetumia were!
@mohamedmseka5644
@mohamedmseka5644 2 күн бұрын
Chama hana jipya aende tu mchezaji hata kukimbia hawezi kama bata bhana ndambwa ndambwa
@AliAchimoAchimoAlifa
@AliAchimoAchimoAlifa Күн бұрын
Chama sio Simba aende zake
@gastonmbarila9458
@gastonmbarila9458 Күн бұрын
Chama kawaacha sio nyie😂😂
@abdrazakimamlo7655
@abdrazakimamlo7655 Күн бұрын
Safi gb uko pamoja na mimi na uongozi wetu
@LindaMbilinyi
@LindaMbilinyi Күн бұрын
Me nawaambia yawezekana tukaumia kwenye hal ys kibinadamu lkn ukwel ni kwamba chama acha aende alishajiona bora kuliko simba,,acha tuitengeneze simna yetu sasa,,alishakuwa kibur mnooo na kujions bila yeye hakuna simba kitu ambacho si kwel
@JoharyHumbe-fb5ke
@JoharyHumbe-fb5ke Күн бұрын
Safi sana ende tuuuuu huko
@maikomatayo2794
@maikomatayo2794 Күн бұрын
sisi wanasimba ukwel chama tunampenda sana na ndoo shida kumbwa nyuma mwiko wana mhonga ili aiharibu timu yetu bora aondoke ametutesa sana
@GodfreyJailos
@GodfreyJailos Күн бұрын
Acha aende simba ijipange vizuri
@user-cc4jk1ll5v
@user-cc4jk1ll5v 2 күн бұрын
Huyo chama mwaka 1 tu mtamwona
@AlexGwambie-xr2hm
@AlexGwambie-xr2hm 2 күн бұрын
GB 64 daa we shda kubwa unafungua kinoma hujawah nifrisha at kdg
@bakarimbasha6542
@bakarimbasha6542 Күн бұрын
Big up Mo
@mbwanarajab7238
@mbwanarajab7238 2 күн бұрын
Wengi waliotoka Simba leo wako wapi? Kina Morison na wenzake
@IbraMwakipesile
@IbraMwakipesile 2 күн бұрын
Kiukweli chama Bado inatuuma na sajili hizi ata zizielewi daah
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 күн бұрын
WACHEZAJI WAMEJAA DUNIA NZIMA
@Mrisho-bd1lg
@Mrisho-bd1lg Күн бұрын
inakuuma wewe
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 Күн бұрын
MOJA ya watu waliyo turahi kuondoka KWA CHAMA manura na inonga nimimi yani Safi Sana hayo b NDIO mamuzi magumu
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 2 күн бұрын
Chama hataitwa na tena chipolopolo tunza hii sms yangu
@jumakiduka4625
@jumakiduka4625 2 күн бұрын
NI MAAMUZI SAHIHI KUMUACHA CHAMA,NAIONA SIMBA MPYA YENYE KASI NZ USHINDI
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 күн бұрын
AYUHAAA SAFI SANA
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d Күн бұрын
Kazeeka mlija wa yanga umeondoka muhujumu mbwa chiba na guu lake bovu
@SalumAuka
@SalumAuka Күн бұрын
Yanga bingwa tena asee,waache waendelee kudanganyana mamae😂😂😂😂
@CosmassEmmanuel
@CosmassEmmanuel Күн бұрын
Kweli Chama ni mchezaji mzuri sana,kuondoka simba, aliona mashine Kali kuliko yeye kutoka huko kwao Zambia sio wazee kama yeye,ndio maana kaswepa mapemaaaa,kwaheriiiii Chama nenda na kibuti chako 🐕
@Abdubunda
@Abdubunda 2 күн бұрын
Kaisha huyo acha aende Nyuma mwiko
@JanuaryJoseph-c8p
@JanuaryJoseph-c8p Күн бұрын
Nakuunga mkono
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 Күн бұрын
Mdudu mangungu jeee
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 күн бұрын
TUMNYAKUWE AZIZI KI WATASHONA MIDOMO MACHOGO HAO
@user-nu3ne8ul5d
@user-nu3ne8ul5d Күн бұрын
Aondoke kaiujumu sana simba yetu
@makamelila
@makamelila 2 күн бұрын
Simba oyeeeeeeeeeeeeeeeee
@manmanonline6394
@manmanonline6394 2 күн бұрын
Acha kirusi kiende
@FatumaAmis
@FatumaAmis 2 күн бұрын
Kweli kabisa
@hamadyasin7429
@hamadyasin7429 2 күн бұрын
Mm mwenyewe nimefurah kuondoka kwake
@ConfusedEucalyptusTree-zb3vx
@ConfusedEucalyptusTree-zb3vx 7 сағат бұрын
Gb we mwongo xnaaaaa hamia uko azm
@eunicerichard5179
@eunicerichard5179 Күн бұрын
Jamani ndoto yangu imetimia chama kuondoka simba alikuwa anakibur
@hamzaibrahimu
@hamzaibrahimu 2 күн бұрын
Zanzaibar finest Feisal, Feisal ,Feisal Salum Feitoto Abdala 😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌☝️💥💥💥💥💥💥💥
@mwanangusana
@mwanangusana 2 күн бұрын
😂😂😂 atakuja kwenye mkutano mkuuu
@hamzaibrahimu
@hamzaibrahimu 2 күн бұрын
@@mwanangusana 😀😀😅
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 күн бұрын
​@@mwanangusanaHATA WEWE NJOO 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
@mwanangusana
@mwanangusana Күн бұрын
@@salimmalaka256 hiv ndo tunapenda ndugu yangu ... Yale matusi achana nayo , utani wa jadi Bila kuporomosha matusi inawezekana , .... Hapa tupo pamoja tutakuja na akina mayele , Feisal na Manzoki kwenye mkutano mkuuu 🤣🤣🤣
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Күн бұрын
@@mwanangusana OK
@rajaburajabu8005
@rajaburajabu8005 Күн бұрын
Chama aende tu Simba nikubwa kuliko yeye,kwanza alikua anaanzisha migomo ya wachezaji,kujiona anaweza kutupangia nacho taka,hongera kwa viongozi kwa kileta hizo mashine mpya za kazi,yani natamani vyura TUKUTANE nao hata kesho kwa sajiri hii mwaka wetu
@chamimdesa148
@chamimdesa148 Күн бұрын
Maneno ya mkosaji
@user-fg1rf2cc4b
@user-fg1rf2cc4b Күн бұрын
Huyu hasa ni msanii tu alisema chma alihujumu wp leo anasema ni muhujum mkubw chama maneno ya mkosaj hayo
@user-kn7bo6iz4n
@user-kn7bo6iz4n 2 күн бұрын
Yaani mm kama shabiki wa lunyasi nimefurahi uyo sura ya mbuzi kuondoka simba
@LindaMbilinyi
@LindaMbilinyi Күн бұрын
😅😅😅😅😅
@caristuskabibi3470
@caristuskabibi3470 Күн бұрын
Upo sawa
@user-he3wt8vk8z
@user-he3wt8vk8z Күн бұрын
Umekuzwa unaona nawe star? Mshamba wa kiingereza.
@IssaAbdallah-rt2sh
@IssaAbdallah-rt2sh Күн бұрын
Na mangungu nae asafishwe aondoke anatafuta matatizo
@Mrisho-bd1lg
@Mrisho-bd1lg Күн бұрын
CHAMA aende2 kwanza mchezaji Gani hajawahi kuwa majeruhi
@amaniomar1755
@amaniomar1755 Күн бұрын
Mwamba kigeugeu kwelikweli na bado atasema sana
@alimohammedomar3412
@alimohammedomar3412 2 күн бұрын
Haya maneno ni "Fungu la kukosa"
@AlexiaMilao
@AlexiaMilao 21 сағат бұрын
Kweli bangi mbaya ww leo umebadilika ndio maana wana simba wemzako walikuacha polisi hawakukutolea dhamana polisi
@UswegeMwaigomole
@UswegeMwaigomole 2 күн бұрын
Wewe ulinazingua simba hiii tutapoteana ....ttzo ni viongozi ambao wanawasajili wakina jobe /fred/......wewe jamaa duuu ni mnafiki sana chama ndo unamsema ivyo duuu wewe jamaa
@israelnibigira4990
@israelnibigira4990 2 күн бұрын
Chama ni mbemba njooni niwape story zawa bemba nipo Zambia yaani ndivyo walivyo
@TrebaMagambo
@TrebaMagambo 22 сағат бұрын
Maneno ya Mfamaji 😂😂😂
@maikonyondo-gr7gd
@maikonyondo-gr7gd Күн бұрын
Katika siku zote leo umenikosha umeongea sahihi kabisa
@rubensamson8681
@rubensamson8681 Күн бұрын
Hawa ndo yanaropoka tu mpk mashabiki wte simba tunaonekana hatujielewi Mchezaji ni kama bidhaa kuna mda anaangalia mwisho wake
@saidsalum6101
@saidsalum6101 Күн бұрын
Gb hapo huwa nakukubali sana umenyooka sana walikuweka ndani police ajili yasimba wewe kweli nisimba dam
@user-zz4iu9tg9o
@user-zz4iu9tg9o 2 күн бұрын
Uyu jamaa kumbe ndio maana walimuweka ndani, anamatatizo yaakili mimi simba chama katufanyia mengisana
@user-gz3es9eb8c
@user-gz3es9eb8c Күн бұрын
G64 uko sahihi
@castrocastro9615
@castrocastro9615 2 күн бұрын
We pimbi. Ulisema Chama akiondoka Simba utahamia Azam. Ondoka tuachie timu yetu
@user-he3wt8vk8z
@user-he3wt8vk8z Күн бұрын
Ulisema ndo aliyescout kina Mutale Leo mhujumu ila wewe Kenge.
@houmdmajid-ur9dp
@houmdmajid-ur9dp Күн бұрын
Ww kumbe mjinga izo gb zako za uongo unashindwa kumuheshim mchezaji kisa kuondoka ktk team yako ww si ndie uloukulia mjina 1 ww
@user-er1dk6zj6u
@user-er1dk6zj6u 10 сағат бұрын
Like za kelele za karume apa 🤙
@christopherkiswaga9270
@christopherkiswaga9270 7 сағат бұрын
Chama ana kiburi na hana shukrani.
@user-he3wt8vk8z
@user-he3wt8vk8z Күн бұрын
Mtoe mwaliko Corona irudi usije ukaishia kubweka.
@vaxminja9053
@vaxminja9053 2 күн бұрын
Kuna wajinga wengi Simba, muda si mrefu wataanza kumtukana Chama
@martinndunguru6358
@martinndunguru6358 2 күн бұрын
Kama mnavyomtukana Feisal
@user-he3wt8vk8z
@user-he3wt8vk8z Күн бұрын
Mfa maji.
@Sherrymwinyi
@Sherrymwinyi Күн бұрын
yy na manula ndo walikuwa wanaigeuka simba wakwendreeeeeeeeeeeee tu ss tunataka wachezaji wapya na wazuri zaidi wao
@hassanimsizilo
@hassanimsizilo Күн бұрын
Kaka umesema kweli cha ninani? Wakumbushe wanasimba tulipo ifunga azamu chuma 3 chama enonga kibu walikuepo?
@houmdmajid-ur9dp
@houmdmajid-ur9dp Күн бұрын
Hlf unapenda kujisifia ujinga wakat uongoz wako umezidiwa mpka leo wapo ktk maongezi watu wamemtangaza mjinga kwel hlf ww unapenda kubadilika kuanzia leo singali tena video yk
@user-pv3hw5ib5w
@user-pv3hw5ib5w 2 күн бұрын
Akili ya kazi unaitoa wapi ww , taarabu hiyo.
@dennisngonyani1795
@dennisngonyani1795 2 күн бұрын
VP HUKO MO KAFIKISHA BILLIONI NGAP 85 AU 290 ...MSISANAU KUULIZANA
@debbykasitu6990
@debbykasitu6990 2 күн бұрын
Ewaaaaaa huyu sasa nimemuelewa.
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 2 күн бұрын
Wewe ujitambuwi ndiyo maana walikuweka jela fala wewe simba awakujuwi
@onesmothimos2635
@onesmothimos2635 2 күн бұрын
Sio tena mwamba wa Lusaka ni mwamba wa lushwa
@donatusalfred582
@donatusalfred582 Күн бұрын
GB 64 USIJIZIME DATA IMEUMANA AISEE
@halidijuma1884
@halidijuma1884 2 күн бұрын
Si ulisema TAJIRI amerudi,,,tulishawazoweaa kwa porojo zenu makolo
@houmdmajid-ur9dp
@houmdmajid-ur9dp Күн бұрын
Au kushaanza kutumwa mpumbazu ww
@debbykasitu6990
@debbykasitu6990 2 күн бұрын
Umeongea point wewe,umesahau na Benchikha pia alimkataa Chama sababu ana kibri
@bobbyfiasco4311
@bobbyfiasco4311 2 күн бұрын
Chawa.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 күн бұрын
CHOGOOOOOOOOO
@user-wg2vl1rh4l
@user-wg2vl1rh4l 2 күн бұрын
Acha ushamba weweee ,apo aloihujuma simba ni wachezaji au Viongozi kwa Kauli yako GB.
@user-zx3kv9hb7p
@user-zx3kv9hb7p 2 күн бұрын
Jana tu ulisema amuwezi kutoa silaha kwa adui leo umeipinga kauli yako nahisi una matatizo ya akili uko kama mauzinde
@heribuberwa2372
@heribuberwa2372 2 күн бұрын
Huyu jamaa chenga kweli Wewe si ndiye ulisema Chama hawezi kutoka Simba? Si ulisema unahamia Azam? Hizi bangi
@user-nf4zs6cu3j
@user-nf4zs6cu3j 2 күн бұрын
Maneno ya mkosaji ulisema tajili ameludi chama hawezi kuondoka kwamba yanga hawana ela achena unafik
@siamekennedy3540
@siamekennedy3540 2 күн бұрын
Kumbe GB 64 kigeugeu? siji kumwamini tena muongo mkubwa huyo. Anatoa ahadi na hawezi kutekeleza. Nimemshusha hadhi sana kumbe mpuuzi tu
@JulianaMushi-nq3kc
@JulianaMushi-nq3kc 2 күн бұрын
😃🤣😃🤣🤣🤣💃
@MuhamedIssa-kw2qh
@MuhamedIssa-kw2qh 2 күн бұрын
Wewe jamaa chenga sana
@MzeewaYanga-hm8jq
@MzeewaYanga-hm8jq 2 күн бұрын
We kinembe ulisema unaenda azam nenda xax
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 күн бұрын
TOPOLOOO MACHOGO FC NYIE 😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
@jumahamad9463
@jumahamad9463 2 күн бұрын
NENDA WEWE UKASHABIKIA AZAM
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 күн бұрын
NENDA WEWE MATOPOLO MACHOGO FC WEWE
@saidikambi9597
@saidikambi9597 2 күн бұрын
Yani nimewashangaa chama kuwatoa jasho chama mitaani uto kinye mmmh bado sana
@Vedsastomutalemwa1980
@Vedsastomutalemwa1980 2 күн бұрын
Huyu Gb hanatofauti na sigara ya nyota popote unaweza kuwasha moto.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 күн бұрын
NDIO MZURI HUYO TOPOLOOOOOOO 😂😂😂😂
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 4,9 МЛН
UCHAMBUZI SAKATA LA FEISAL SALUM, JE, ANAKWENDA SIMBA AU HAENDI?
14:01
Уделала дерзкую чемпионку!
0:59
БЕЗУМНЫЙ СПОРТ
Рет қаралды 8 МЛН
I SIMULATED THIS EURO 2024 GAME.. 🤯
0:12
Celine Dept
Рет қаралды 3,9 МЛН
Как Емельяненко из дзюдо в ММА переходил!🔥👑
0:50
Человеческая Мысль
Рет қаралды 1,2 МЛН