Mwezi wa kwanza haujawahi muacha mzazi salama, Mzazi ukija na ujanja mwalimu anaudaka yaani balaa tupu...
Пікірлер: 277
@AlbertJr-u8q9 ай бұрын
Asante kwa kumleta nanga chuma Chao ... Ni🔥 🔥 sana .
@ndayikezaoscar34679 ай бұрын
YANI SIJAWAHI KUKOMENTI HAPA. Ila asante sana Joti kwa kuwaleta watu wengine muhimu hapa. NANGA ni muigizaji mzuri sana wa Comedy.
@RamaIddi-ze3wu9 ай бұрын
Nanga mtu mbad
@amosithomas47149 ай бұрын
Sanaaa
@jescabwimbo81129 ай бұрын
Hakika. Kwenye hili kaupiga mwingi mno
@KhadijaSeleman-xp7zn9 ай бұрын
Joti Ana mpinzani sema atutaki kukubali tuuu staili zote anacheza
@damoxybeatmaker59268 ай бұрын
kweli kabisa tena mi ningependa kuona video nyingi akiwepo mna uwezo wake joti akiwepo na huyu jamaa dah..! kiukwel mtuvunja sana mbavu 😂😂😂😂
@khalfanijuma87939 ай бұрын
Kaka joti umejua kujua......nanga ndan ya nyumba 💪💪.....na 2024 mpaka waseme
@geofreyukason9 ай бұрын
Nanga namkubali sana, hongera joti kwa kuongeza nguvu kwenye crew yako! 🔥💥🔥
@jescabwimbo81129 ай бұрын
Kabisa kabisa kabisa
@evajackson23289 ай бұрын
Joti kumleta huyu mkuu umecheza kama wewe, namuelewa sana huyu jamaa toka enzi za serious funny 😅😅😅 anajua sana huyu jamaa
@salma_6j9759 ай бұрын
Huyu nanga ni bonge la msaniii....na nadhani muda wake ni sasa....big up jot kwa kumleta huyu kijana...ni mkali wa wakali
@HopepeterNinde-hq2xz9 ай бұрын
Nanga ndani ya mjengo,hapa mambo yatakuwa mazuri mno🔥🔥
@MkasyswallehsaidSwalleh9 ай бұрын
Mjomba nanga part ya mwalimu mkuu ilivyompendeza hongereni team joti😅😅❤❤❤
@petersopi11809 ай бұрын
Nimefurahi kumwona nanga.. ameft vzr kabsa 🔥
@naturelle10979 ай бұрын
Mwalimu Mkuu is quite an actor😂😂😂
@shyfettymtunda46199 ай бұрын
Umegundua na wewe eeh???😆🤣😆🤣🤣
@fathiyahmuzney73679 ай бұрын
@@shyfettymtunda4619 Nimekumiss fetty😀
@shyfettymtunda46199 ай бұрын
@@fathiyahmuzney7367 Hahaa!!Miss you too kipenzi.Leo waomba like umewasamehe????😆🤣🤣🤣
@mitikasitv73269 ай бұрын
Mzee mkeka umechana
@mukarimstaarabic9089 ай бұрын
Mungu weka mkono wako wa baraka kwa @NANGA azidi kuonekan kutuburudisha na kumtimizia ndoto zake kwa hii kazi anayoifanya kwa juhudi hikika ni muda mrefu toka SERIOUS FUNNY mpka now nilikuwa na kiu kubwa ya kuona kuwa anapata nafas nyingine kama hii ya kutuburudisha kwavile upo na MTAALAM #JOTI bas nasisi tupo nyuma yako wanao kutoka #TANGA @KAREEM ❤
@bennylove60219 ай бұрын
Mkuu ni kichwa kingine, true comedian
@ShafiiSoud-b3w9 ай бұрын
mwalim Nanga unajua sana, hongera io kipande ya mkatisho wa bara bara nimeipend..ila mungemuach t andunje ale chuma😂😂
@MamerthaNgufuli9 ай бұрын
😊
@senkolink9 ай бұрын
Nanga ndani ya joti tv anh sio pw😊🎉🎉🎉
@khalifasultan26779 ай бұрын
Piga Kazi Na NANGA Mzee Joti✊🏾🔥
@kasimmohamed70759 ай бұрын
Joti umetisha sana kumuweka huyo Nanga
@Intertainment_8969 ай бұрын
Nakosa ht Cha kucoment jmn uwii ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ hii chemistry Haina mpinzani 😂😂😂😂😂😂😂
@kiondosaimon61499 ай бұрын
Ila Nangaaa, joti unajua kwenda na bitiii Nangaaaa mtuuuu sanaaaa 😂😂😂😂😂
@Edsonchima-fb6qb9 ай бұрын
Joti tz toka original comedy hezi zilee 🎉🎉
@shyfettymtunda46199 ай бұрын
Mwalimu Mkuu,umeitendea haki hiyo nafasi.🔥😂🤣
@official_Nanga9 ай бұрын
🙏🙏🙏
@IamJoslin9 ай бұрын
Nanga ni mzuri sana, hongera sana joti kwa hilo
@Dullyman_Classic9 ай бұрын
Aah😂😂 NANGA kaingia mzigoni😅😅 kivumbi Leo
@rodgersmwagu2399 ай бұрын
Unyama sana chuma kipya ila mlewa asikosekane 🔥🔥🔥💯
@mlewazitotv9 ай бұрын
Nipooooo
@zicomgravity48979 ай бұрын
NAMKUBALI SANA NANGA... TANGU ILE CLIP YA "SOLO... PALA" WAKAONA BASTOLA WAKALOA.
@dezainermedia10359 ай бұрын
Uyu Nanga anajuaaa sana asee 😂😂😂
@JamaliiNamangayah6 ай бұрын
Uko vizur broo jot nakubar sana kazi zako🤝🤝🤝🤝🤝🤝
@evaristimramba90479 ай бұрын
Like kama unamini joti ni best comedian
@salymking18929 ай бұрын
Nangaaa😂😂 bigup joti nanga tunamkubali
@salumsaid53699 ай бұрын
Hahaha eti we Mwl gani unaitwa Nanga, huyu mzee kweli jeuri
@hassanmussa76649 ай бұрын
Nanga the best one..jamaaa anajua mpaka anakera....pamoja na zito
@Dijito_Media_Network9 ай бұрын
Naanza mwaka na joti,Like moja kwa JotiTV
@teacherkaligodottonjige9 ай бұрын
Nimekuwa wa 894 kuview
@adrianorayner65519 ай бұрын
Nanga kwenye team 🙌
@mustafaosman18389 ай бұрын
Safi sana joti kuchukua jembe langu nanga
@FINISHER5649 ай бұрын
Apo kwananga familia nakubali sana kazi zako broo joti ila ulivyo mleta na nangaaa apo unyama 😂😂
@chilomswazi30569 ай бұрын
Nimefurah kuona maingizo mapya, huyu jamaa namkubali sana
@hassankarume50589 ай бұрын
Mjomba wa VIGWAZA ndan ya mjengo,,,,,,asee ni bonge la USAJILI💥💥💥💥💥💥
@ماجكموزجوني9 ай бұрын
This school now need to be mentioned and if possible shu'd get some funds from Joti TV. 😂😂😂
@JamaliiNamangayah6 ай бұрын
Uko viziri brooj🤝🤝🤝🤝🤝🤝
@zephaniamwangu98579 ай бұрын
Daaaah mtaalamu Nanga ndani ya nyumba sasa series itanoga balaa
@kelvinisdory49809 ай бұрын
Nangaa🔥🔥🔥 uko vizuri
@Charleskulwa-hp5ow9 ай бұрын
Hongera sana brother kazinzuri 😂
@erickmidomsodock87169 ай бұрын
From Japan Kuma Moto I love you YANGA bingwa 😃😊
@erickmidomsodock87169 ай бұрын
Siku Yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 😆😂😂
@andrewraphael30989 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mkono wa mwalimu mkuu 🎉 Njanuary 😎 Nishaiii
@kimodonaa9 ай бұрын
Shule yng nliyosoma jmn Tandale magharibi❤❤
@jumamussa1339 ай бұрын
Nimemuona Nanga tu nikaanza kucheka 😂😂😂
@amanchuphichuphi47259 ай бұрын
Safi Sana joti Nanga hoyee
@JacksonChengula-x3k9 ай бұрын
Teacher nanga ishi sana😅😅😅
@BONGOSTARMEDIA9 ай бұрын
nanga😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@rashidimuhibu68329 ай бұрын
Joti,Joti,Joti nimemuita mara 3 huyu jamaa kila character anayovaa ni moto saaana alistahili kuchukua tuzo aiseee kama unamkubali Joti akiwa babu na kiboga gonga like.