Salama Na JOTI Ep 47 | SIMPLY SPECIAL PART 1

  Рет қаралды 479,789

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪KZbin Link bit.ly/KZbinS...
Lucas Mhaville ni maalum sana, kwa ki vyovyote vile utakakavyotaka wewe, ki maisha, ki muonekano, ki uelewa na jinsi anavyokua mpya kila siku kwenye ulimwengu wake, jinsi anavyo jipa matawi na kujigawa kisanaa. Jinsi anavyotoa character wapya kila mara kwaajili tu ya kuleta ladha mpya kwenye sanaa yake, hili linamfanya aendelee kuwa mchekeshaji pekee kwenye kizazi chetu ambaye huwezi kuona amechuja au hana jipya kwenye kukufurahisha wewe.
Kabla sijaiandika hii, kipande kidogo cha video kilienda kwenye ukurasa wangu wa Instagram (@ecejay) kwaajili ya kuwafahamisha watu kwamba JOTI atakua ndo mgeni wetu wa usiku wa leo, na kwenye hiyo video nilimuuliza kuhusu kabila lake ambalo kwa mujibu wake ni kabila dogo tu kutoka huko Morogoro na yeye na Baba yake mdogo ambaye ni Polisi ndo watu waarufu zaidi, ila kwa wingi wa replies kutoka kwa watu wengi wa kabila hilo inaonyesha si kabila dogo kama yeye alivyodhani, ila hiyo ni tisa, kumi ni jinsi ambayo watu WANAMPENDA na kusikiliza KILA ANACHOSEMA, hiko ni kipawa tofauti kabisa, sio kila mtu anaweza kuwa na uwezo huo.
Yeye ni mzaliwa wa Morogoro na alikuja Dar es Salaam baada ya mzazi wake mmoja kufariki, alichukuliwa na ndugu yake na kuja kulelewa hapa, amesoma hapa na sanaa yake pia ilianzia hapa alipokua shuleni. Nani alimsukuma? Na je alisoma mpaka daraja lipi? Mimi na yeye pia tunazungumzia umuhimu wa elimu na malezi bora. Maisha yake alipokua mdogo na mafunzo aliyoyapata growing up.
Joti si wa leo, akiwa na miaka yake 38 anajielewa vizuri sana tu. Maongezi yetu pia yalitupeleka kwa uanzishwaji wa kundi la Original Comedy ambalo lilitufanya sote tuwapende sana na enzi hizo za EATV wao wanapokua hewani basi nchi nzima ilikua inasimama kwaajili ya kuangalia walichotuandalia. Yalikua mafanikio haswa! So nini kilitokea mpaka wakaomdoka EATV? Na wao kama kundi kuna lolote kwa sasa? Au kila mtu ndo solo? Na vipi kuhusu Vengu? Yule mwenzao (mwenzetu) ambaye alipata matatizo makubwa ya ki afya na mpaka naandika hii bado yuko kitandani? Shida yake hasa ni nini? Haina tiba?
Humu pia tumeongelea mahusiano yake na Seki, ambaye alikua naye toka enzi za OC akiwa kama kiongozi na mtayarishaji. Mahusiano yake na Mpoki, Masanja ambaye sasa amejikita kwenye masuala ya ki kanisa, Wa Kuvanga na McRegan? Wako wapi? Kama kuna comeback ya kundi? Lini?
Wakati nafanya hii pia nilitiwa elimu na Director wangu wa siku hiyo (Ms Lydia Igarabuza) kwamba, ukitaka kuongea na mchekeshaji, ili upate utakacho, basi usimpe nafasi ya yeye kukuchekesha mpaka ukasahau kilichomleta pale, namshkuru sana kwa hilo maana nadhani ki kawaida kama wana tungecheka zaidi kabla ya kuyasikia yote ambayo tumeongea humu.
Respect nyingi ziende kwa Joti ambaye ameweza ku maintain status yake ya heshima ya juu kwenye kazi yake, na kama binadamu.
Yangu matumaini utaokota mawili matatu hapa ambayo yatazidi kukutia mafuta ya kukufanya utake maendeleo zaidi na heshima kwenye jina lako na maisha yako.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 519
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 жыл бұрын
hii inatufundisha kwamba usione mtu kawa juu ukadhani ikitokea tuu,Fikiria Joti alianza long time kuigiza shuleni.Mungu akiamua hakuna mwanadamu anaweza kuzuia baraka zako.
@irenefaustine2579
@irenefaustine2579 4 жыл бұрын
Joti ameongea uhalisia wa Wasanii wengi Nchini. Wana Majina Makubwa lakini,Maisha yao ni Mabovu Sana! Salama you're a Love❤️!
@JérômeMkangya
@JérômeMkangya 18 күн бұрын
Studieux Jérôme depuis RDC 🇨🇩✊👌
@redemptafesto8415
@redemptafesto8415 4 жыл бұрын
Sis Salama,40 years looks so good on you hakii....I love you.
@antipasmgungusi1953
@antipasmgungusi1953 2 жыл бұрын
Kama alivyosema ktk sherehe za ndugu ndo alikua densa, hata communion yangu ya kwanza alicheza show shekilango 1997.
@zeyounhabibty6868
@zeyounhabibty6868 4 жыл бұрын
40 yrs and still young! Masha Allah endelea kujitunza maa 🔥🔥🔥🔥
@hamidabdalla1814
@hamidabdalla1814 4 жыл бұрын
Dahh...jana nafunguwa tv tu na shoo inakwishaaa nikaona dahh Nimekosa uhondo Thank you Salama Na
@iam_pacofx
@iam_pacofx 4 жыл бұрын
Jamani hebu naombeni like 12 tuu zinanitosha😃
@francomwacha2262
@francomwacha2262 4 жыл бұрын
Mimi joti ata akiongea serious bado ananichekesha maana nimejijengea kichwani kwamba ni mzinguaj tuu mda wote🤣
@ngasongwatv5595
@ngasongwatv5595 4 жыл бұрын
Mwana wa pakaya awije mlogo awije
@vulfridakessy7148
@vulfridakessy7148 4 жыл бұрын
Yaani hata mm simwelewagi nachekaga tuu
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 4 жыл бұрын
😂😂😂 Yani joti wewe comedy kabsaa mtu akkuangalia lzm acheke kwanza
@mmn7480
@mmn7480 4 жыл бұрын
wa kwanza jmni naomba like Ata kumi
@bahatipeter1910
@bahatipeter1910 4 жыл бұрын
Aya zile sas
@mr.cofficially4220
@mr.cofficially4220 2 жыл бұрын
Icho kitabu kinaitwa KILIO CHETU ambacho kamkubwa joti kapatia jina lake apo safi sana kamkubwa nakukubali miaka yote
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 4 жыл бұрын
Yaaan kama kuna mtu nlikuaga nataman kuona kwenye interview ni Joti wanguuuuuuu 😘😘😘,asante sana Salama kwa kufanikisha ndoto yangu🙏🙏🙏
@bonndatta7053
@bonndatta7053 4 жыл бұрын
Dream and focus determine the destiny of a person
@allykhamis9246
@allykhamis9246 4 жыл бұрын
Dah aisee tunajifunza mengi kupitia kwako..asante anti salama. Allaah akubariki sana.
@tummkwawa1148
@tummkwawa1148 4 жыл бұрын
Can’t believe you’re 40🤯.. you’re absolutely gorgeous Masha’Allah Salama!
@tedynoojohn677
@tedynoojohn677 2 жыл бұрын
Jotty unatisha
@ecostats51
@ecostats51 2 жыл бұрын
Am your neighbor bro, from Mlimba. Japo sio Mndamba,ila kwa kiasi wandamba nawafahamu na nimeishi nao kwa kiasi kikubwa. Sifa zao; 1: Huwa ni watu wasiopenda kuendeshwa hata kama hawana kitu (kipato cha chini). 2: Ni watu wazungumzaji sana hususan wakikutana wao kwa wao. 3: Ni wagomvi kiasi fulani. 4: Chakula chao pendwa sana huwa ni Wali na Samaki(Kambare).
@naimamwambe8083
@naimamwambe8083 4 жыл бұрын
Da Salama naomba nafasi Bana ya kushare story yangu na Watanzania maisha ya Gulf inaweza ku Inspire baathi ya wanaopitia magumu Huku nchi za Middle countries
@jacksonrichard4114
@jacksonrichard4114 Жыл бұрын
Inabidii umcheki dm yake uweze kuwasilisha ulicho nacho
@samoocoolingsystem93
@samoocoolingsystem93 4 жыл бұрын
Mimi nilijua Joti atakuwa funny sana kwenye hii interview lakini yupo serious na funny kwa mbali vipi ww umeonaje
@musahmichael3480
@musahmichael3480 4 жыл бұрын
waliyo ichunguliya shule kama joti maisha yaosafi kaka mm like comments
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 4 жыл бұрын
Huyo mwalimu anaitwa JJ ni moto kweli Lilikuwa lirefuuu jeusiii ana kinundu kwenye kichwaaa Anapiga bakora anavuta hapa na morogoro kabla haijatua matakoni Kitabu anazungumzia kinaitwa "KILIO CHETU"
@anordlaurent8751
@anordlaurent8751 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 4 жыл бұрын
@@anordlaurent8751 Acha tu bro jamaa akikukuta nje muda wa mapumziko anakwambia "kumbatia mti" 😂
@majidfrolian4904
@majidfrolian4904 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 hapa na Morogoro 😂😂😂😂😂😂
@ericernest2099
@ericernest2099 4 жыл бұрын
Ahsante
@frankjonas5941
@frankjonas5941 4 жыл бұрын
Huyu jamaa kumpata kweny interview kazi sana
@anordlaurent8751
@anordlaurent8751 4 жыл бұрын
Kabisaaaaaa
@tonyi6807
@tonyi6807 4 жыл бұрын
Mndamba halisi# Aisee Asante sana ndugu kwa kutubless Brother ....Mwana wa pakaya.
@selector728
@selector728 4 жыл бұрын
Kutublessed ndo nn iø 😳😳😳🤕🤒🤒
@ottymaya7093
@ottymaya7093 4 жыл бұрын
😂😂😂kutublessed
@tonyi6807
@tonyi6807 4 жыл бұрын
@@selector728 imejipanga kazi
@tonyi6807
@tonyi6807 4 жыл бұрын
@@ottymaya7093 ed kamejipanga kazi
@wellbrand3415
@wellbrand3415 4 жыл бұрын
I thank you Salama kwa kutuletea Joti. Mchekeshaji ninaemkubali zaidi.
@claraedwardmalingumu3565
@claraedwardmalingumu3565 4 жыл бұрын
Kabila letu ni dogo sana ila tumefanikiwa sana ktk kabila Leo,mafaikio gani hayooo,,baba yangu mdogo ni police kijijini kweli joti kiboko
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 4 жыл бұрын
Mungu ametuumba na Vipawa na Talanta....Joti anacho Kipawa na Talanta vinamfuata popote......Aendako
@adamjuma9847
@adamjuma9847 4 жыл бұрын
Mwalm JJ Mwalm kiampa Mwlm namala Mwlm marijani Dah mzimun hapo
@kaizamulinda633
@kaizamulinda633 4 жыл бұрын
Mshukuru Mungu tu hukusoma. Ungesoma leo ungekuwa labda mwalimu na madeni kibao.
@irenesamwelilihawa8069
@irenesamwelilihawa8069 4 жыл бұрын
Asante Dada Salama kwa kumleta Joti ! Be blessed all!
@abbyadams8691
@abbyadams8691 4 жыл бұрын
Undugu km huo haupo tena. Siku hizi ndugu hawapendi kabisa kukaa na ndugu zao
@Kiragayana
@Kiragayana 4 жыл бұрын
Natalia likes za watanzania kea mkenya hapab..show imeseti naikubali
@maireshsaid1628
@maireshsaid1628 4 жыл бұрын
Joti nikimuona tu naanza kucheka🤣🤣🤣
@renatusmbamilo9709
@renatusmbamilo9709 4 жыл бұрын
😄😄😄😄
@mwanaidikisega5533
@mwanaidikisega5533 3 жыл бұрын
😀😀😀😀
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Abarikiwe shangazi kwa hiyo neema ya kuona mbali na kumchukua Joti
@prettycareen170
@prettycareen170 4 жыл бұрын
Navompenda joti jamn mniacheeee😻😘😘😘😘😘😘
@yusuphnurdin3603
@yusuphnurdin3603 4 жыл бұрын
My best interview tv session nkipenda coz kinnipa hamasa ya kuhustle zaidi
@gilberthelisha6230
@gilberthelisha6230 4 жыл бұрын
kitabu cha kilio chetu... ukiachana na movie ya Titanic sterling Jack kufa basi na hicho Joti sterling alikufa
@TheMastertz
@TheMastertz 4 жыл бұрын
Truly Special! Nampenda sana Joti. ✌️
@godfreymtemele1610
@godfreymtemele1610 4 жыл бұрын
Wandamba ninao wajua ni Marten Lumbanga alikua katibu mkuu miula 3, butGodan Mapango, Mwonja Liseki, Chahali, Celine Kombani, Kibatala wakili, mbita, Dr Claude Mtemele Muhimbili, wapo wakina Mtega, Makaranga, Mrigi, Liangoo, Mkuni, Mgonga, sagamiko, Luselo, Malulika, kisweka, lyatuu, matanda, Liganga, Chalongite, Mndanga, Ligambasi, Mtemele, Mtemere, Likweme, Ng'ongolo, njaala, matemla, chidaula, liamwike, mpili, sokole, ngapemba, chigumbi, mbwagai, .mende, ngamesha, likali, mhuvile, kimbindu, ndaala, likwelile, mlimandola, likonoka, saimanga, mkatiela,
@plasidakombani9604
@plasidakombani9604 4 жыл бұрын
Celine kombani sio mndamba kaka
@thecounter1122
@thecounter1122 4 жыл бұрын
Hii enter view nimeisubr leo meipata mefurah sana joti uko vzr
@allymatilda7519
@allymatilda7519 4 жыл бұрын
SALAMA NAKUPENDA SANAA YANI WEWE NI Crush wangu I wish😋
@mussambwilo2690
@mussambwilo2690 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣 kwani wee jamaa uwezi kuwa serious
@hagobbeshsayyd3217
@hagobbeshsayyd3217 4 жыл бұрын
Yaan vipindi vyote hiki ndio kipind no 1 tujifunzeeni kwa amabao hatuwezi kusoma congratulion SALAMA na team yake yote BLESSED snaa snaa
@joekabbz82kambo26
@joekabbz82kambo26 2 жыл бұрын
These two are definitely the most eloquent bongo stars that I would love to meet; Salama and Nishai 🇰🇪 big up.
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 4 жыл бұрын
Nimejikuta nacheka tuu baada ya kumuona joti kapiga glass chaaap ya sodaaaa na kushusha ikiwa nyeupe🤣🤣🤣🤣
@bonneytv9441
@bonneytv9441 4 жыл бұрын
kwa mara y kwanza kumuona Jot yupo serious😄...anaetak dada kiboga aje kuhojiwa gonga like
@mbarakkhalid117
@mbarakkhalid117 2 жыл бұрын
Joti isay uko vizuri na umetupa motisha ya kupambana joti hakuna asie kukubali uko vizuri sanaa iko siku tutaonana
@lewiskombole2917
@lewiskombole2917 2 жыл бұрын
Seems like this country owe u a great debt sis Salama. U pave the matrix of all these new generation journalist's interview way of speaking
@dicksonntizirusha5408
@dicksonntizirusha5408 4 жыл бұрын
Salama katengeneza Nywere Kidada zaidi, she look lovely
@fatmafetty4117
@fatmafetty4117 4 жыл бұрын
Joti nakukubali mnoo hata komedy zako👍👍👌👌👌
@ZaharadaffaZaharadaff
@ZaharadaffaZaharadaff 4 жыл бұрын
Joti niliwah kufanya nae kazi kwenye kazi hacheki huyo mkali sana na yupo Serious sana
@jacksonchiwalanga4817
@jacksonchiwalanga4817 4 жыл бұрын
Tupambaneni jamani...maisha sio raisi..tusione watu wamefanikiwa
@salomewandya7257
@salomewandya7257 4 жыл бұрын
Kabisaaa hkn kukata tamaa
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 жыл бұрын
Mdamba mwengine maarufu ni babake mdogo polisi😂😂
@filbetinyoni8105
@filbetinyoni8105 4 жыл бұрын
nakukubali sana joti
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 Жыл бұрын
Pamoja sana mmetisha salama na joti nawakubali sana
@manyandatimoth7
@manyandatimoth7 4 жыл бұрын
Salama mama, Leo umenikosha
@bahrainstreetboxingbsb5170
@bahrainstreetboxingbsb5170 4 жыл бұрын
Salama Watuboesha kukuona ww na joti kipindi kizima Angalau joto akitaja watu walete kwa picha kando ya video tuwaone au vitabu anavyotaka vilete sura yake tuone ili show inoge zaidi
@cynthianicholas9110
@cynthianicholas9110 4 жыл бұрын
So Lovely having Joti, yaani sijamaliza kuaangalia but nimeshaconclude its going to be an amaizing show❤️❤️❤️❤️
@rahabumsalilwa8079
@rahabumsalilwa8079 4 жыл бұрын
Good joti
@elibarikikimambo5404
@elibarikikimambo5404 4 жыл бұрын
@@rahabumsalilwa8079 pppppppp0
@elibarikikimambo5404
@elibarikikimambo5404 4 жыл бұрын
Ppppp00p
@elibarikikimambo5404
@elibarikikimambo5404 4 жыл бұрын
Pppp
@elibarikikimambo5404
@elibarikikimambo5404 4 жыл бұрын
@@rahabumsalilwa8079 p
@jeremiahthepreacher1092
@jeremiahthepreacher1092 4 жыл бұрын
This is real talk ,inajenga Sana well done salama
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 4 жыл бұрын
Safi sana salama leo nimefurai sana kumleta joti. Interview mzuri sana nime enjoy sana na kipindi chako.big up joti✌🏼🇹🇿.
@hamedabashir9
@hamedabashir9 4 жыл бұрын
Leo salama utacheka sana🤣🤣🤣🤣🤣😂joti anachekesha😂😂😂😂
@hekimalufulani8160
@hekimalufulani8160 4 жыл бұрын
Wandaba baba yake mdogo ni police🤣🤣🤣🤣
@anoldjose7793
@anoldjose7793 4 жыл бұрын
Baba angu mdogo ni police😁😁😁
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 3 жыл бұрын
Safi sana Joti. Nimependa hofu yako kwa Mungu. Shikilia hapo hapo
@ericernest2099
@ericernest2099 4 жыл бұрын
Asante Shangaz yake Joti kutuletea Comedian mjini
@__thereal_unclechibo_7953
@__thereal_unclechibo_7953 4 жыл бұрын
The NETWORK you have is your net worth long live joti
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 4 жыл бұрын
Namkubali Sana Jot akiigiza Kama Babu.
@maryschroeder521
@maryschroeder521 4 жыл бұрын
I was literally waiting for this thanks salama
@LumolaSteven
@LumolaSteven 4 жыл бұрын
Hata mi nimeipenda hii
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 3 жыл бұрын
Joti ungesoma ungekuwa boya tuu.Elimu Dunia ndio imekupeleka hapo.
@aliymwanafuno9848
@aliymwanafuno9848 4 жыл бұрын
Nimekukbar joti mungu akubariki mungu anampenda mja mwenye kutoa shukran
@itspatricklucas
@itspatricklucas 4 жыл бұрын
Thats the GOAT outchea 🌹
@eliaskashimba7884
@eliaskashimba7884 4 жыл бұрын
Oh my God, icho kitabu ni kilio chetuu
@noahyavinmlela859
@noahyavinmlela859 4 жыл бұрын
Salama na Joti itoshe kusema kipindi kizuri Hasa hiki na cha God luck
@damsonkelvin1215
@damsonkelvin1215 4 жыл бұрын
Daaaaah andunje ......asante salama kwa kuleta hii famba
@tariknassoraucho5814
@tariknassoraucho5814 2 жыл бұрын
Dada salama umetisha na mjomba joti mungu abariki kazi yko..
@predictioneasyodds2779
@predictioneasyodds2779 4 жыл бұрын
kwan nani hapendwi na Mungu??sema mishe tu zinakua hajizaset
@charleswillium4496
@charleswillium4496 4 жыл бұрын
Nakuelewa sana joti,mndamba
@frankphilemon9333
@frankphilemon9333 4 жыл бұрын
Kitabu kinaitwa KILIO CHETU. Kinafundishwa Sekondary kwenye Fasihi, kipengele cha Tamthiliya
@emmanuelndulu677
@emmanuelndulu677 3 жыл бұрын
Salama napenda Sana kipind chako jitahindi nakufanya pia na watu tofauti si wa sanii tu
@mariampeter4608
@mariampeter4608 4 жыл бұрын
Yan mmejua mkimpa Joti Zle juice za samak samak za helf20 sijui helf 10 atawafilisi haaah sio kwa kunywa uko izo za miatano ndo znamfaa
@annedavienyamhanga4738
@annedavienyamhanga4738 4 жыл бұрын
😂😂😂
@aishafeysal9630
@aishafeysal9630 4 жыл бұрын
Anachamba koo😅😅😅
@kelvinokelo7992
@kelvinokelo7992 4 жыл бұрын
Eti Baba angu mdogo Polisi!!!🤣🤣🤣🤣🙌
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 жыл бұрын
Uyu nichizi waukweli 😂😂
@kelvinokelo7992
@kelvinokelo7992 4 жыл бұрын
@@mutwalesylvie7443 Joti anazingua kinoma😆
@salimalaquimane2640
@salimalaquimane2640 4 жыл бұрын
😄😄😄
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 4 жыл бұрын
Ndio mndamba mwenzie Alie maarufu🤣
@deotv503
@deotv503 4 жыл бұрын
Hahaha nmelitafuta pengo LA joti mpk nmezoom naxjaliona
@maishacenter-eastafricatv3976
@maishacenter-eastafricatv3976 4 жыл бұрын
Hana
@sifamugwaneza8774
@sifamugwaneza8774 4 жыл бұрын
Me niseme jambo hil nawakubali na ninawapend san #joti and #Salama 😘😘
@luhanyamipawantobi6888
@luhanyamipawantobi6888 4 жыл бұрын
Jamani naomba mnikumbushe marudio ya hii kipindi
@shukurumaulid8515
@shukurumaulid8515 4 жыл бұрын
Huyu jamaa ukimwangalia tu Lazima ucheke hata Kama hakuchekeshi
@MrSABYY
@MrSABYY 4 жыл бұрын
Je umeagiza GARI 🚘🚗nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent ⚓️🚢gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini 🚢Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza📞Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT 🛫/ CONTAINER & MAGARI🚗 yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa..... ------------------ Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa, Asante 1: IST old - 850,000/= 2: HARRIER New-1,000,000/= 3: HARRIER Old-950,000/= 4: RAV 4 - 950,000/= 5: RAUM - 850,000/= 6: SPACIO - 850,000/= 7: PASSO - 800,000/= 8: VITZ - 800,000/= 9: PREMIO - 850,000/= 10: ALTEZA - 850,000/= 11: SUBARU - 850,000/= 12: CARINA - 850,000/= ---------------------------------------- Gharama hizi zinahusisha malipo ya 1: Port Charges 2: Shipping Line 3: Walfage 4: Agent Fee 5: Plate no ---------------------------------------- ☎️DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876 ☎️Whatsapp +255 653953900 📧 Email: charlessabikazi@gmail.com 📢Marketing by @cairo_promotions 🏢Company: Mofaz movers 📍Location: PSSSF Tower, Samora Avenue Dar es salaam, Tanzania *NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE *NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏 *NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA 🇨🇳 NI BURE🙏
@celinekenedy870
@celinekenedy870 4 жыл бұрын
Mulete na mzee Senga basi,, kipind kizur sn.
@ruthtom9952
@ruthtom9952 4 жыл бұрын
Navyokukubali joti 👊👊
@silverngimi
@silverngimi 4 жыл бұрын
WANDAMBA GONGA LIKE
@homan_nkwama
@homan_nkwama 4 жыл бұрын
Salama mzuri jaman... Nampenda hata kama Dada kwangu
@nzambimanachantal5769
@nzambimanachantal5769 Жыл бұрын
😂❤we mama umenifulahisha kunionesha njoti wakati mwafaka yuko na sura ya kiume
@paschalnkuba6758
@paschalnkuba6758 4 жыл бұрын
Joti 🤣🤣😁
@slemdj
@slemdj 4 жыл бұрын
"Kama nondo zinatembe" ukisia hio gonga like 😂😂😂😂😂
@pablodiego3658
@pablodiego3658 4 жыл бұрын
Dah mwalimu JJ ni legend kafundisha watu wengii dah
@erastobartalome2709
@erastobartalome2709 3 жыл бұрын
Wakenya like zenu mpo kweli
@VabraJerome-fy6nf
@VabraJerome-fy6nf Жыл бұрын
Kitabu cha kilio chetu icho joti 😅😅😅😅😅we umetisha kaka
@rahyanadam8328
@rahyanadam8328 4 жыл бұрын
Nakukubali joti na salama
@janatahmad7048
@janatahmad7048 4 жыл бұрын
joti nikimuona tu😂😂😂😂
@CSMAPESA
@CSMAPESA 4 жыл бұрын
Shemeji yangu kabisa
@khairiamohd7950
@khairiamohd7950 4 жыл бұрын
Uyo joti ndo kwanza nimuone bila lile pengo
@mduduemmanuel4585
@mduduemmanuel4585 4 жыл бұрын
I like your voice dada
@naasamson9931
@naasamson9931 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂huyo Joti anavyokunywa soda khaa😱
@selmerishedrished2697
@selmerishedrished2697 4 жыл бұрын
Salama umependeza mashallah umeolewa?
@salomewandya7257
@salomewandya7257 4 жыл бұрын
Maskn Joti ametoka mbali sana,maisha ni kupambana hkn kukata tamaa
Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1
28:27
YahStoneTown
Рет қаралды 564 М.
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
Cheerleader Transformation That Left Everyone Speechless! #shorts
00:27
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
Salama Na JOTI Ep 47 | SIMPLY SPECIAL PART 2
31:03
YahStoneTown
Рет қаралды 308 М.
CHAWA
10:17
Joti TV
Рет қаралды 505 М.
orijino comedy waziri masanja amcharukia mchina
7:41
Alman Mzalendo
Рет қаралды 13 М.
La foi du pasteur Uldrych Awounou
1:07:26
Mediavisionofficiel
Рет қаралды 130
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН