Рет қаралды 11,780
"NI KWELI DULLAH ALIPIGWA na KATOMPA, Naomba MNISAMEHE", IBRAHIM CLASS Aomba MSAMAHA kwa TPBRC..
BONGO Boxing Safari tumepiga stori na bondia Ibrahim Class ambaye amefika katika ofisi za kamisheni ya ngumi Tanzania kwa ajili ya kuomba radhi kutokana na kauli alizozitoa katika usiku wa pambano la Dullah Mbabe vs Eric Katompa.