IBRAHIM CLASS AMVAA MWAKINYO - "HAJIELEWI YULE, AKUBALI Sasa KUPIGANA na KIDUKU AACHE MDOMO"

  Рет қаралды 51,721

Bongo Boxing Safari

Bongo Boxing Safari

11 ай бұрын

IBRAHIM CLASS AMVAA MWAKINYO - "HAJIELEWI YULE, AKUBALI Sasa KUPIGANA na KIDUKU AACHE MDOMO"
BONGO Boxing Safari tumefanya mahojiano na bondia Ibrahim Class kuhusiana na pambano lake atakalocheza visiwani Zanzibar Agosti 27, 2023 dhidi ya Khamis Mwataya.

Пікірлер: 112
@aboukillo1734
@aboukillo1734 9 ай бұрын
Huyu dogo ibrah class yuko vzr sana big up dogo Keep your head
@AngeliJoseph-es9hi
@AngeliJoseph-es9hi 11 ай бұрын
Mungu awapee maisha marefu ww na twaha
@naimabdul1231
@naimabdul1231 11 ай бұрын
Ibra and mwakinyo wote wanangu na wote wapambanaji hamna baya alilolisema hapo alaf huyu dogo anajielewa sana hua haropokwi ovyo anajiheshim na anajua sport big up tanzania boxers kazeni buti mfike mbali msichukiane nyie wote ni ndugu watoto wa jamuhuri ya muungano wa tanzania
@williamjohn7907
@williamjohn7907 8 ай бұрын
Safi unajitaidi sana kuongea kisport mungu akubariki
@user-fq8tp6zt3i
@user-fq8tp6zt3i 11 ай бұрын
Binafsi nimemuelewa sana Ibrah kwa maneno aliyoyasema. Kweli yeye ni bondia mzuri asie na majungu wala majivuno, pia sio mtu wa maneno maneno kama alivyokuwa Hassan Mwakinyo. Mimi ni mtu wa Tanga, lakini Hassan Mwakinyo anatudhalilisha sana sisi wanaume wa kutoka mkoa huo sababu ana vichambo kama wafanyavyo dada zetu. Ni vyema akasimama kwenye tabia ya jinsia yake, pia ni vyema akasimama kwenye nafasi ya ubondia wake. Sio maneno maneno, yeye alipigwa na visingizio alitoa, watu wakampokea na hao mabondia wenzie walikaa kimya kimtandao na ninahisi wapo waliyompa moyo kwa kupoteza kwake. Sasa sijuwi yeye anashida gani na Twaha.
@saulnkya
@saulnkya 11 ай бұрын
Kazi kazi mwamba..!!
@hamadimujungu9058
@hamadimujungu9058 11 ай бұрын
Sema ibra umeongea kikubwa mno achana hao wengine …. Umedhihirisha ukubwa wako dua mzee umeonesha haupo upo wowote wewe unataka ngumi tu 🙏🏻
@husrisanchez9781
@husrisanchez9781 11 ай бұрын
Big up sana nakubali kk achana nauyo mcheza taarabu mwakinyo
@muudante-ix1wm
@muudante-ix1wm 11 ай бұрын
Yule choko simkubal yl ana jikut ana jua
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 11 ай бұрын
Ni bondia mzuri sna classic ila nakupa nasaha uwache kusuka
@kiya0910
@kiya0910 11 ай бұрын
Ibrahim maweeee anajua ngumi nzur Yan anamchezo mzur sana
@mazengojohn2090
@mazengojohn2090 11 ай бұрын
Utauliwa na mwakinyo ibra
@user-hc9ek5gc4u
@user-hc9ek5gc4u 11 ай бұрын
Wa pili kukoment
@user-bn8ps9wz4g
@user-bn8ps9wz4g 11 ай бұрын
umeskia kaka ibra achana na mrembo uyo mwakinyo anaimba tarabu tu
@kastorymalila1109
@kastorymalila1109 11 ай бұрын
Safi sana Ibra Mwakinyo ni Msenge kinoma
@kitutujuma9602
@kitutujuma9602 11 ай бұрын
Na ww pia ndio maana umemjua
@user-vo5eu5hr9v
@user-vo5eu5hr9v 10 ай бұрын
Heshima ifwate mkondo
@IbrahimDaud-be2tj
@IbrahimDaud-be2tj 10 ай бұрын
nakukubali xana wajina
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 11 ай бұрын
ila kwa said kwel ulimpiga kwel ila mwakinyo muacheni pls pls aende anapopataka nyinyi bakini hapa mpewe 5-10m pls muachani
@user-sd5hj2im4q
@user-sd5hj2im4q 11 ай бұрын
Classic upo vizuri mm nakkbali upo serious ktk kazi, ww na kiduku n Muko pw kwza hamna midomo lkn munirekebishe musifate mambo ya mbele km limbukeni MAKMUGA MWAKINYO,, ACHENI KUSUKA NA KUVAAA HERINI JUENI IPO CKU MUTAITANGAZA TANZANIA NJE
@raphaelnkulamasala108
@raphaelnkulamasala108 11 ай бұрын
Yes Kiduku anapigana kizamani, ngumi haihitaji maguvu bali maarifa yawe ya kutosha asikilize wanao mshauri
@MagrethMakesha-vg6qb
@MagrethMakesha-vg6qb 11 ай бұрын
Ibra yupo vzr na anapigana kwa akili sana
@user-uc7eo3wp9o
@user-uc7eo3wp9o 10 ай бұрын
Iringa moja hiyoo..
@pioustrevol3468
@pioustrevol3468 11 ай бұрын
Uyu nae Anaongelea Ushabiki Tu Asaa Kwa Zile Jab za Kiduku Alokua Anarusha Ndo Umuweke na Mwakinyo 😅
@HamisiKisime-gl9ve
@HamisiKisime-gl9ve 11 ай бұрын
Classic unaenda kudundwa. Ogopa majina Hamis
@MnyatibuBarua-md4pw
@MnyatibuBarua-md4pw 11 ай бұрын
Mwakiny n bor san maan kil bondia lazm amtaj mwakiny
@user-lq4sm1nr2o
@user-lq4sm1nr2o 11 ай бұрын
Kweri mwakinyo staa kiramtu anamzungumzia yeye tu
@shebanishebe7866
@shebanishebe7866 11 ай бұрын
Nakuombea ushindi bro
@mkanganails5839
@mkanganails5839 11 ай бұрын
Kiukweri nimependa Sana kama mapozi angeleta ibra kupigna Tanzania kwanza ameanzia amacha sio uyo bondia alieanzia mtaani na kuleta Shelia zake za kuchagua mabondia Kama ngua mnadani
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz 9 ай бұрын
Choko yule mwakinyoko
@habibuhabibu9728
@habibuhabibu9728 11 ай бұрын
Ila kwel kiduku inabid abadirike katika upiganaji
@SingoMedia
@SingoMedia 11 ай бұрын
Katika mabondia wanaopigana vizuri na kwa akili nyingi mmoja wapo ni wewe Ibrahim Class, wakisema unabebwa ni chuki zao tu kaka... Keep it up mwamba 🤜🤜
@jumajumanne4997
@jumajumanne4997 11 ай бұрын
Fact🤝
@iamchusse
@iamchusse 11 ай бұрын
yan serikali ya zanzibar vp sielew jaman nachoka sana mimi 😂😂
@malbarahassan92
@malbarahassan92 11 ай бұрын
Ww akili huna unatafuta umaarufu kupitia mwakinyo kwan hujui tanzania One humjui mwakinyo anapigana natwaha anatafuta jina au gar acheni ushamba wabongo
@Mtazyinstrumental
@Mtazyinstrumental 11 ай бұрын
uyu bado ajapigana sana mbaka maneno anaongea vizur bila mdomo na taya kuuma
@MendradGalus
@MendradGalus 10 ай бұрын
Dj mapoda
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 11 ай бұрын
Kuma Kuma la mama ako ww boya usimseme mwakinyo olewako uje tanga sasa 2takuchanganyisha nae sasa kuma kibuyu ww
@salehegiza3305
@salehegiza3305 11 ай бұрын
Ongela sana kwa hilo.
@shukuruiddi82
@shukuruiddi82 11 ай бұрын
Watoto wa Tanga watalalamika km ndg yao tu, ila wanasahau kuwa twaha ndio twaha km wanajua twaha ni wakawaida wamshauri ndg yao apande ulingoni
@reubenmwidima5723
@reubenmwidima5723 11 ай бұрын
Cheza ngumi kaka acha vitu vya kiswahili kuongea vibiya vibaya
@inearclassictz1233
@inearclassictz1233 11 ай бұрын
Ajaongea vibaya
@user-lk8ws3fz9x
@user-lk8ws3fz9x 11 ай бұрын
Wew ibra achana na mwakinyo usimsemee na akikugeuka atakusema na utalia
@fj8317
@fj8317 11 ай бұрын
MWANDISHI UWEZO WAKO MDOGO VYUO VIPO RUDINI SHULE MWAKINYO HAKUTAJA JINA ALITUPA JIWE GIZANI MWANDISHI HUJIELEWI
@kitutujuma9602
@kitutujuma9602 11 ай бұрын
Mwakinyo mtu Hata interview ya boxing yeyote tz lazima ausishwe.
@Sogoma26
@Sogoma26 11 ай бұрын
Wakwanza ku comment
@halimahmwalimu-fo9ri
@halimahmwalimu-fo9ri 10 ай бұрын
Kuwa mpole tunakukubali
@lama6310
@lama6310 11 ай бұрын
Hamna Bondia Anayempenda Mwakinyo
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz 9 ай бұрын
Sababu ya kuwatukana wenzake kwanini awaite wenzake wanawake wewe utakubal
@jumannerajabu8259
@jumannerajabu8259 11 ай бұрын
wewe Ninani kwanza.jitambulishe ww Ninani unatokea.wap ili watu tukujue bro sasa ww unakuja2 yani kama unajulika vile we nnani
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 11 ай бұрын
MNASEMA MWAKINYO,,HUKU INTV NZIMA UNAJISIFIA,,USHAURI WANGU TAMBO ZIWE CHACHE,,ULINGO UTAONGEA
@onecmolegama4797
@onecmolegama4797 11 ай бұрын
Mm nimeona game zote za classic!!! wamepingwa kabisa classic nembo tz
@onecmolegama4797
@onecmolegama4797 11 ай бұрын
Hekima!!,busala nimekukubali
@gerraldchristian2001
@gerraldchristian2001 11 ай бұрын
We ndo no 1 TANZANIA
@bonifacemizambwa2251
@bonifacemizambwa2251 11 ай бұрын
Mawe mawe class mwamba wanaokuponda wote mashoga tu awajui bondia mkali wewe mwamba zaidi ya mwamba
@bahatimwerinde496
@bahatimwerinde496 11 ай бұрын
Wewe usilinganish mtoto mdogo na baba ake ya twaha kwamwakinyo n mtot
@thomassalvatory8303
@thomassalvatory8303 11 ай бұрын
mwakinyo anafikiria kimataifa nyiny mnanganiza apigane na hawa wakina mandonga na twaha kwenye maisha ilewa sio kila mtu utaenda nae ww route moja kama kasema yy anafocus kimataifa muachen mbona mnangangania nyinyi piganene hapa ndani mpewe 5m yy anaona 5m au gari hazna deal kwake anafikiria ulaya msinganganie mtu akae na nyinyi nyie bakin mlipo mbona yy hawanganganii nyinyi
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz 9 ай бұрын
Kwani yanga akicheza kimataifa hawezi kucheza na kmc hujui kitu
@patrickmfundiri8669
@patrickmfundiri8669 11 ай бұрын
Mtu mwenye akili nyingi sana one tz
@anastazimichaelmbua1559
@anastazimichaelmbua1559 11 ай бұрын
😂😂😂 hivi mnawasikilizaga mabondia wa nje kwanza ama kisa wanaongea kwa English au lugha za nje na mwakinyo ni mbongo ndo mnamwona ana mdomo. Boxing ni majigambo sana na mikwara kama yote.
@SaeedMughayyar-jv8et
@SaeedMughayyar-jv8et 11 ай бұрын
Hwajui waambie ndugu 😅
@SaeedMughayyar-jv8et
@SaeedMughayyar-jv8et 11 ай бұрын
Wengi wao humu ni mashabiki maandazi hawana wajualo 😂😂
@modestusmayowa-vc4gj
@modestusmayowa-vc4gj 11 ай бұрын
Ibra akili nyingi San...! 👏
@kisuwamwabaka333
@kisuwamwabaka333 11 ай бұрын
Kama unaitaji mtu yeyote mm Kisuwa nakuitaji leo kesho ata bure
@user-ig8wc8ye3k
@user-ig8wc8ye3k 11 ай бұрын
Ibra niprofessional kiukwel ngum anajua..
@ChachaNmwita-cp4tj
@ChachaNmwita-cp4tj 11 ай бұрын
Classic binafsi namkubaru sana.Pia wanaosema anabebwa wachuki binafsi ila wajue ndie bondia anaongoza kuletewa bondia wagumu.
@user-xv7uh1vm6o
@user-xv7uh1vm6o 11 ай бұрын
Tareee 30 mweziii huuu utamjuwa mwakinyo ni nani
@ayubutwalbu6594
@ayubutwalbu6594 11 ай бұрын
K o huwezi
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 11 ай бұрын
Akna asyo pgwa aache maneno mengi
@adammswaki703
@adammswaki703 11 ай бұрын
Wana semaje kina nan siwewe yan hakuna watu wanafk kama wandish
@jimmymungai522
@jimmymungai522 11 ай бұрын
Sijaisikiliza mpaka mwisho lakini Mwakinyo na Kiduku wapigane ktk uzito upi? Mwakinyo ni welterweight, Kiduku ni supe middleeweight au light heavyweight, sasa wapigane uzito upi?
@IddKasabe-kf2wk
@IddKasabe-kf2wk 11 ай бұрын
Inawezekana vizuri tu ndomana watu wanataka wapigane
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 11 ай бұрын
Mtoke nje ya nchi na nyinyi. Kila siku mko humuhumu tu. Muende hata South hapo.
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 11 ай бұрын
wee na bab ako uliwai kuenda??
@rajanamzah6383
@rajanamzah6383 11 ай бұрын
Wapeleke mkuu
@ahadjuma8356
@ahadjuma8356 11 ай бұрын
kama ww unaongea kimichezo hao unasema utawapiga waamkie muhimbiri sio wana michezo au ndio nyani hauni,,,,,😂😂😂
@FilipoBoniface-fd3jd
@FilipoBoniface-fd3jd 11 ай бұрын
Mimi wa tatu
@lloveyoutanzania5315
@lloveyoutanzania5315 11 ай бұрын
Mwakinyo tena🤣🤣🤣🤣
@mwakilamwaki7308
@mwakilamwaki7308 11 ай бұрын
Mtakuja kumkataa uyu
@bonifacemizambwa2251
@bonifacemizambwa2251 11 ай бұрын
Uyo mwakinyo siku zote kelele nyingi kama mtoto wa kike kipigana muoga yeye kama mwanaume hapande ulingoni haonyeshe anachoongea cyo kelele tu kama shoga
@kwisa4899
@kwisa4899 11 ай бұрын
mwakinyo ni mfanya Biashara anajua nini anafanya.
@mahanjisanga3077
@mahanjisanga3077 11 ай бұрын
Kwa mabondia wa tz wewe nakupa asirimia 100 unajua kupigana
@JosephKifisha-ml7ju
@JosephKifisha-ml7ju 11 ай бұрын
Ibrahim husifatishe maneno ya watu fanya lako ya watu yaache hukijichanganya mwakinyo atakuua kabisa yaaan angalia maisha yako , akili nyingi ww
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz 9 ай бұрын
Hana uwezo wa kumpiga ibra huyo choko mwakinyoko
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 11 ай бұрын
Sikiliza wewe Dogo usifate mkumbo wa kumsema ovyo Mwakinyo yeye hajakutaja wala kukusema vibaya kwahiyo nakuamini Fanya yako achana na kufuata mkumbo kk fanya yako kk utafika mbali lkn usiingilie ugomvi wa mtu asie kusema kk nihayo2
@JeremiahMyrosse-qb1yj
@JeremiahMyrosse-qb1yj 11 ай бұрын
Fact brother dogo asimtafute mtu ambaye hana mpango nae mtoto kisha kuwa kiazi huyu anahisi anaweza Mwakinyo vitoto hivi vina mdomo sana hivi
@pettymsungu6420
@pettymsungu6420 11 ай бұрын
Fuatilia vizuri Interview Alafu ielewe kwanza, kaka hakuna sehem ambayo ibra kamsema vibaya Mwakinyo, tena kajitahidi sana kumkwepa Muandiashi, japo Muandishi alikuwa anataka kuchokonoa mambo, ili kama ibra atatema shiti lkn ibra hayopo ivyo, naweza kusema kamkataa kiutu uzima.
@ernestboniface1849
@ernestboniface1849 11 ай бұрын
Acha upuuzi na wewe kasema wapi yeye anasema uwanamichezo jinsi ulivyo siyo kuchekana yeye alivyopigwa nani alimcheka
@shabanipande5379
@shabanipande5379 11 ай бұрын
We kumbe nawe choko kwan mwakinyo nan c Fala tu
@shomarimiraji6576
@shomarimiraji6576 11 ай бұрын
😃😃😀😀
@godlistenmkonyi5109
@godlistenmkonyi5109 11 ай бұрын
Classic sio mtu wa fujo anacheza kwa akili nyingi kama Terence Crawford
@faisalmuhidini2712
@faisalmuhidini2712 11 ай бұрын
Emb acha kufananisha usiku na giza😂😂😂😂
@happinessmateru1121
@happinessmateru1121 11 ай бұрын
Anaiga style ya devin Haney..anatumia jab na kumaintain distance na kufanya footwork yan anapiga jab afu anamaana eneo...ana tatizo LA stamina na jab yake haina accuracy kubwa sana
@AbdulatifSaidy
@AbdulatifSaidy 11 ай бұрын
​@@happinessmateru1121dada we ni boxer nini mbona umeongea kama unaifuatilia sana sio kawaida ya wanawake kuifuatilia ngumi ni wachache sana wanaangalia 😅
@happinessmateru1121
@happinessmateru1121 11 ай бұрын
@@AbdulatifSaidy huhu
@user-lk8ws3fz9x
@user-lk8ws3fz9x 11 ай бұрын
Sasa wew ibra ivi unamuona kiduku kama ni champion?nenda ukamfundishe twaha ngumi maana anapigana kizamani sana hatumii akili hakika mim nakuambia kuwa twaha akipigana na mwakinyo twaha atapigwa vibaya kwa sabab wew na mwakinyo na kidunda mnatumia akili kupigana lakin twaha na dulla wanatumia nguvu pekee bila kushitikisha akili hivyo kwa tanzania hii mabondia bora ni wa tatu mwakinyo,class,kidunda hao ndo wapo top af pia wanafuatia wengine kukiwaondoa dulla na twaha
@MudizzoOmary
@MudizzoOmary 11 ай бұрын
CLASS NAWEWE UMEANZA CHUKIIIII""Swali ni kwamba kwani mwakinyo alimtaja mtuuu? Kamakapigwakapigwa 2
@amanichanga3448
@amanichanga3448 11 ай бұрын
Daah, watu hata kufuatilia tu uzito wao hamtaki, kidunda na Twaha ndio uzito mmoja, na ktk ranks za tz twaha wa 1 na kidunda wapili,,, Ibra, Nasib, mwakinyo wana uzto unaofanana… so ili mwakinyo apigane na twaha lazıma twaha ashuke uzto
@Ram_1893
@Ram_1893 11 ай бұрын
​@@amanichanga3448Ibra gani ana uzito sawa na Hassan Mwakinyo na Nassib?
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz 9 ай бұрын
Mwakinyo wako taarab tu ana kimbia kimbia hajawagi kuletewa bondia mzuri analetewa wahindi anaimba sana taarab watu walimwambia waweke pesa apigane na champs twaha anaogopa choko huyo
@shomarimiraji6576
@shomarimiraji6576 11 ай бұрын
Kasema Hana ujamaa na mwakinyo
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 51 МЛН
Самое Романтичное Видео ❤️
00:16
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 4,3 МЛН
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,7 МЛН
hay estan las bestias 💀☠️
0:12
Un colombiano mas del monton
Рет қаралды 2 МЛН
Эмилиано Мартинес 🤯 #мартинес
0:23
Rash Foot
Рет қаралды 470 М.
Она играет в футбол лучше всех 😯
0:28
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 616 М.
Хабиб ПРОТИВ ФЛАГА РОССИИ #shorts
0:36
BELARUS TO MMA
Рет қаралды 555 М.