Huyu jamaa ni nani? Mbona anajua kutoa maelezo. Wasanii wa Tanzania wangekuwa Conscious like this guy dah tungefika mbali sana. We need people like this.
@mwinyiaman25225 жыл бұрын
kabisa Aiseee!!
@fanleck29224 жыл бұрын
This is Nikk Mbishi .. Dr.Unju. Baba Malcolm.. Zohan.. Shaktopas Tishio... Jogoo playboy ....Undergeound Mkongwe... dah... Ana album zake zinauzwa... 1.Saut ya Jogoo 2.Ufunuo wa Unju. 3.Sam Magoli. Pamoja na Mixtapes kama Malcom XI
@jumazinga9414 жыл бұрын
Nikk mbish/Dr unju Jamaa n genius cn
@joarikatonga39004 жыл бұрын
namkubali huyu jamaa
@milimomashini94326 жыл бұрын
Nimependa muonekano wa leo nick mbish....you look so amaizing
Baba Malcom mwenyew huy second king Wang kweny hip hop
@bosskipens71395 жыл бұрын
nakuelewa sana brother Nikki mbishi
@josephmeney82003 жыл бұрын
Nikki uko sawa sana
@amonijajila12185 жыл бұрын
Vzur unjuu mr.tellabite
@allycaydo98656 жыл бұрын
Mtangazaji alikuwa hana maswali ya kumhoji nikki mbishi anajosa confidence.
@muhinasundi12066 жыл бұрын
Point! Umarekani mwiingi mwisho tunaharibu tumesahau tamaduni zetu tunafata zawatu!
@dkensmopainvevo36836 жыл бұрын
Unju master bin unuki Zoham baba Malcolm 💪💪💪😂😂😂
@rahimmarions57126 жыл бұрын
Kabisa kabisa nikki nimekusoma.
@yasirdahasra31866 жыл бұрын
Liwekwe jukwaa tumuone Nani anajua kuchana sio kuongea ongea tu much thanks Nikki
@simonkasongi14606 жыл бұрын
Nakuelewa vizuri Nikki
@kaniyahiouise14745 жыл бұрын
*Lazima uongee Kama brother bro*
@yahyamain31986 жыл бұрын
Mtangazaji.. Ana pretend mikono miingi maswali hajapangalia pia uchanganyaji wa maneno dah sijui kama hata habari ataweza.. Dada change unamuonekano mzuri jipange pia punguza pupa
@godrickmigella94516 жыл бұрын
Nikki upo sahihi bro
@iambaizo6 жыл бұрын
Mnajikutaga wabishi afu hamna kitu maisha ya kawaida afu mnajifanya mnafanya ngumu,but upo fresh kimashairi ila kuidiss trap ni ushamba coz ina lipa and a true legend does not require such intricities---
@samtothedee6 жыл бұрын
Majibu mazuri from baba malcom
@stayawakekimakosa57956 жыл бұрын
The first to view...gonga likes kama unamkubali zohan unju bin...
@fanleck29224 жыл бұрын
Nmekuja tena 2020..
@helenamusa4326 жыл бұрын
Ndo mukue na maadili... naona wenikk saii umemjua mungu... grear
@jameschanja83046 жыл бұрын
Mzee nick kitime chana tu hawa watoto pumbavu hakuna haja ya kufumbia macho ujinga ujinga wao na kuugeuza ndiyo fact tell them malcomx
@michaelrambo62076 жыл бұрын
Ila hapo nikk kwa country boy umenena kaka ngoja nisiongee lolote waja apa wasinishambulie
@msafirisalum84366 жыл бұрын
Nikki jembe sana
@kapona9274 жыл бұрын
Nikki mbishi
@kichwabox18pasuakichwa366 жыл бұрын
Yes kaka
@moziidavchonchi33386 жыл бұрын
Dah KMK uyu country boy ni SHOGA na kama vip NAANZA KUMWITA "COUNTRY GIRL" NA IZO lipstick ZAKE KESHO APAKE YA KIJANI ILA TU ASIJICHUBUE kama young DEE atachekesha TULIONUNA.
@HamiduChamboko6 жыл бұрын
Dogo la chid benz..itikadi zile zile tofauti ni mzigo tu(jani vs sembe)
@khamiskitto27556 жыл бұрын
Sana tu yani
@damsdasz93566 жыл бұрын
Sema nikki ujue we "NYOKO"
@shukutaifa93696 жыл бұрын
Jamani ambae upo kalibu na huyo mtangazaji naomba niunganishe nae nimemkubali sana napatikana MBEYA
@biggieboy25015 жыл бұрын
Nikki mbishi hapo umenena ukweli uliopo sijui wengine ni kama ponography wanasifia
@amonijajila12185 жыл бұрын
Kaongea ukweli
@issackabely45286 жыл бұрын
Sana unjuu zohan.
@evaristmandilindi61476 жыл бұрын
uko sahihi kabisa hiphop ni uume sio ukike kike yaan ndo uanaume hiphop sio udada
@rolandjacob20865 жыл бұрын
hivi huyo country boy ni shoga nini maana x msomi dah konk konk konk master unaona wapi
@raymondkanyama63876 жыл бұрын
nikki bongo bht mby
@charlesduncanm1963 жыл бұрын
Simple
@franciskavyega2805 жыл бұрын
Unju
@exaverymponguliana405 жыл бұрын
Nikki wa pi.....mbishi.
@humphreymorise6 жыл бұрын
BONGE LA INTERVIEW
@ibrayuzow63206 жыл бұрын
hahahahahhaaa hip hop inaruhusu kukosoa nikki kosoa makaka yanapakapaka vitu mdomoni wanavaa vikuku kwa mgongo wa sanaa huo ni ushoga tu
@ambililasambo57836 жыл бұрын
Country kazingua mnoo nahis atakuwa na undugu na #delicious.
@Prem_Rich6 жыл бұрын
Tamaduni mnaumia na ROSTAM sana
@Paffekto6 жыл бұрын
Waambie....
@solozukc-16 жыл бұрын
Unjuuuu
@adinanichadadee5306 жыл бұрын
Nimekuelewa niki
@lwimikomwambene6 жыл бұрын
True boy
@gbbuku47146 жыл бұрын
We zama zako zimepita una zurula media kuomba interview udiss watu waka ilitakiwa uzurule kuomba interview ngoma yako isikike
@wistotheip87876 жыл бұрын
elias njoji kumbe we fala kwahyo nikki kuongea ukwel kawa mjinga kwahyo baba yako akiamka asubuhi kapaka shedo utapenda et
@sehemunzuri6 жыл бұрын
Wiston Jackson mwambie msenge uyo
@gbbuku47146 жыл бұрын
Wiston Jackson acha ukuma ww kwan shedo ni nn kafilwe mbele
@gbbuku47146 жыл бұрын
buzzfeed TZ we nae kuma tu kafilwe na nikki mbishi
@jeremiahmyavu40836 жыл бұрын
elias njoji we shabiki wa bolingo tulia
@mchaletek23246 жыл бұрын
sahihi nikki
@gospelvibestv39146 жыл бұрын
duuu ila lipstick wanazinguaa
@kichwabox18pasuakichwa366 жыл бұрын
Ndio hip hop ubembelezwi
@mussayusuphu54366 жыл бұрын
Konk mbishi kaka
@mohamedali43476 жыл бұрын
Uwekewe jukwaa nakina rostam ili iweje toa ngoma tu tuone kama unaweza hadi leo unataka uchane kwenye vilinge rostam wanapiga kazi
@gwatatech7156 жыл бұрын
unayumba ww rostam wale wanaimba hiphop laini sana sasa na ww kama n hvo lazma usielewe hapo
@isaacmafole21366 жыл бұрын
@@gwatatech715 fact
@BkMillanziwsemedia6 жыл бұрын
@@isaacmafole2136 Hawawezi kujitokeza kamwe kwa sababu wanajua matokeo yake wakifanya hivyo, uwezo wa ROSTAM ni mdogo xana na wao wenyewe wanajua hilo, jeuri 2 ya pembeni ila hawatafanya hivyo kamwe, *wanaogopa*
@pambahamisi24506 жыл бұрын
True
@isaacndayishimiye45876 жыл бұрын
Pamba Hamisi k
@mohamedali43476 жыл бұрын
Yani kuhusu kina rostam achna nao wale wanaweza huwawezi broo
@alidyaya45126 жыл бұрын
Haha niki kasahau nae alikuwa anasuka nywele pia..
@benjohn4636 жыл бұрын
Hahahahaaa ahaaaa we K unanishawishi niwe shabiki yako
Unju wewe ni baada ya Farid kubanda fid q ni wewe mkali huo mtazamo wangu
@emmanuelbonaventura42586 жыл бұрын
😁😁😁
@2gethertheswaggs4456 жыл бұрын
Haaaaa
@inclyrics43846 жыл бұрын
Baba malcom
@rehemaahmed81206 жыл бұрын
Conscious mc
@shabbyofficial_6 жыл бұрын
Hip hop ilianzia New York but vile jamaa zetu wanadiss mziki wa trap ambao pia ulianza marekani atlanta ...huwa nawashangaa sana utafkiri walianzisha wao hip hop 😂😂😂 enjoy mziki ukisubiri siku yako ya kufa sio kuongea tuu wakati unaenda
@eng.makolal13676 жыл бұрын
Nawe unapaka lipstick?
@shabbyofficial_6 жыл бұрын
KELVIN WAGARA kumamako ...
@kelbeckmusicworld17366 жыл бұрын
Rostam usi guse 🤣😃👈💪👊
@idrisahussein62153 жыл бұрын
Punguza ujuwaji babu
@saidsalmin12486 жыл бұрын
Wakushukuru wewe nani? 😁😁😁😁😁😁😁
@hamadnyambwa29006 жыл бұрын
Huu ndo mwisho wenu washamba sana awa baada ya kusaport unadis young generation wabongo mnamatatizo sana, hivi unajua maana ya sanaa nini????? Jifunzeni sana kwa hapa bongo bdo mtadis sana lkn hampati kiki yeyote mazee, middle finger goes to those who dises young generation
@raygunmaterial13446 жыл бұрын
hamad nyambwa Nikki yupo sawa, Umarekan mwingi ni ushoga
@hamadnyambwa29006 жыл бұрын
reagan george listen mzee sanaa inauwanda mpana sana ambayo sisi hazujui bdo, izo mambo nomo sana in fact ukiangalia uyo ni msanii, na anaitendea haki sanaa yake hivi hujawai ona brand zinatumia wasanii kutanga mfano viatu vya kike na anavaa je na huo ni umarekani??? Msanii anaweza kuwasilisha anything kwa hadhira na sio kma mnavo waza
@hamadnyambwa29006 жыл бұрын
reagan george kwani hiyo rap anayoimba huyo niki so utamaduni wa marekani??? Bc atafute stail ya ki tz asiige rap style kutoka marekani huyo ni mshamba haelewi kitu
@chancegtallalam69066 жыл бұрын
Mzee waweza paka lipstick mtoto wa kiume
@rehemaahmed81206 жыл бұрын
hamad nyambwa ngja umkute baba ako kapak lipstick na kavaa kikukuu alaf akuambie anajibrand
@ramadhantemba50325 жыл бұрын
umechoka ww
@hamadnyambwa29006 жыл бұрын
Uyo jamaa mshamba amebuma anatafuta attention
@rehemaahmed81206 жыл бұрын
hamad nyambwa we cdhani km hukazwi mna unatetea ushoga mwnamme mzma