Hapo kwenye jisaidie na Mungu akusaidie labda miungu sio Mungu wa mbinguni.
@ramadhanialhabiby64588 ай бұрын
ushaelewa😂😂😂 ila tu ujeuri
@jumambwambo Жыл бұрын
Huyu ni danga la maana sana na hakika huyo anae mdanga amempatia sana eti aende china dubai kwa gharama zake hapana aisee
@evelynensanga3330Ай бұрын
Kadange na wewe tuone
@forexkwekaАй бұрын
Huna AKil
@FreeGod368 Жыл бұрын
Yaaani huyu ni kusema ati ukizungukwa na watu wenye mafanikio umetoboa😂😂😂
@rashidbusoro6565 Жыл бұрын
Biggest Media est Africa huyo niffa sio mkweli
@selinajohn355222 күн бұрын
Yaan nakupenda nakufatilia acheni wivu maisha ni kuwa tayari sas wee UNATK kuomba t umekaa bila kuonyeshaa bidiii yatakuja yenyew
@rahabumwakajoka67212 ай бұрын
Kutoa sio kazi ,kaz inakuja hivi unapambana kutoboa but unazungukwa na watu wa aina gani hivyo tujitahd mno kutofautisha 😢😢😢
@jescajulius8023 Жыл бұрын
Uwongoooo!! Uwongoooo!!! Uwongoooo
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Kwa ninii na ukitaka kupewa mungu hakupi barua hukupa bila kujua
@JoyceKemilembe-ut4tt3 ай бұрын
Dada angu pambana ,no kumsikiliza mtu.
@user-fm4xc4ck9r4 ай бұрын
❤❤
@jackezekia60687 ай бұрын
❤
@Lanihsarumu3 ай бұрын
❤❤❤❤
@happyemanuel2070Ай бұрын
Kuna jirani Angu alianza chapat kaja barafu saiv Ana kuku akija tajilika tunasubili tuseme mchawi inawezekana inategemea. Watu wanadanga nawafany mae.deleo
@stn4873 Жыл бұрын
Wewe ni muongo ila ni mzuri.
@broka_genius3615 Жыл бұрын
Hii ni love story
@hajjiomary2383 Жыл бұрын
Kwani amefanikiwa
@evelynensanga3330Ай бұрын
Wa afrika tukiona mutu mwenye muri mudogo kafanikiwa tunachanganikiw yoooo wivu utawatesa 😂😂😂😂
@merckmdamu2942 Жыл бұрын
Et,Atamungu anasema namsaidia anaenisaidia😂😂😂😂Hiv wewe unaweza kumsaidia MUNGU kwer?? Kwanza andiko ganihilo?? Nyinyi ndomnafanya dadazetu waje mjini wakiamini mtaji kidogo watatoboa wakija wanaishia kudangatu nakubadiri tabia
@arthurmwakanyamale7651Ай бұрын
anazungumzia uwe na imani, Mungu ataisibitisha Imani yako
@user-lu3fs2wf4h8 ай бұрын
Tushajua mitaji unaitoa wap😂😂
@maxmilianmexades6684 Жыл бұрын
Muongo huyu kmmk msimuamini😁😂
@rashidisaidi8535 Жыл бұрын
Kuna mtu anasimamia show huna lolote
@tatukatembo7564 Жыл бұрын
Niffer punguza kuongea unzongea sana
@JacksonChacha-iv5ey3 ай бұрын
😂😂😂 nmecheka kw nguvu
@rizikibakari3598 Жыл бұрын
Please naomba namba yako ya wathp Mie Niko Qatar
@rajabmsinzia1715 Жыл бұрын
Mwamba Hilo duka ni la basha na ndio anakuweka mjini ipo siku itakuwa wazi tu ,wahuni tu ndio tunalielewa hili
@NasraSaid-qc5hf Жыл бұрын
Kweliii
@modycombo7421 Жыл бұрын
zakuambiwa
@jacklinemolleli5238 Жыл бұрын
Sio elf 50. Hamna biashara ya chin ya m1 ikakua itachukua muda sana
@nicethgabriel3319 Жыл бұрын
Muulize bharesa ameanza na karanga
@ShawnBeatz Жыл бұрын
@@nicethgabriel3319 kwa mda upi
@FreeGod368 Жыл бұрын
@@nicethgabriel3319 ni enzi hizo na alikua kwa miaka 20 so mwaka 2 kama yy
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Mbona watu wameanza na ubuyu tu usicheze na mungu akikuita akakwambia yako ni hii inatakiwa sababu tu na wengine wanaanza na milioni 100 na hawana kitu
@hidayatahir689 Жыл бұрын
N hao watangazaji walikua wamuuliz huo mtaji wa elf 40 alianz n biashara gn? Huyu kwel ni mtaftaj lkn ni muongo muongo, sifa nyingi, facial expressions yke t inaonesh km hayup real kiivo
@jackezekia60687 ай бұрын
Huo mtaji wa milion2 tu kukua napo ujibane haswaaa
@w_media_house Жыл бұрын
40 ipi aisee, miteni minne🤣🤣🙌
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Hahahaaa pengine alianza na genge
@biabiancaa Жыл бұрын
Afutano sita 😂😂🤣🤣wueeeh
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Hapa niko na kibubu changu R,C,D,B. Siruhusiwi kukifungua hadi miaka mitatu ipite, ili nipate ten million, za kufanya biashara. Huyu alianza na elfu arobaini na ameshatoboa😢😢😢. Nyie kuna watu wana bahati🤔
@hidayatahir689 Жыл бұрын
Sio kwel hawa hua kun ukwel nyuma yke wanaficha biashara as km biashara Ina vitu ving , Ina faida , hasara , kuanguka, yaan mpk infk mda unakua n biashara kubwa unakua umeshapitia mengi , yaan wanapend kuaminish kua vit ni rahc lkn in real sio rahs , unawez hat kupt depression kw biashara sasa cjui kwann hua hawasemi ukwel n ndio maan watu wakisikia hv hujion km wao hawana bahat lkn wengn wana Bahati wameanz n elf 40 than moj kwa moj wamekua wakubw n hawa ndio wanopotoa jamii maan watu wapo kwa ajili y kujifunz kutok kwao lkn wanawaaminish upuuzi