NILIKUA NAINGILIWA KINYUME NA MKE WA BOSS WAKATI WAKUJIFUNGUA DOCTOR ALINISHANGA..Part 2

  Рет қаралды 93,443

Foxe Tv

Foxe Tv

Күн бұрын

Пікірлер
@fredrickkaaya6287
@fredrickkaaya6287 Жыл бұрын
Dada huwezi kusalimika Kwa kukimbilia Kwa rafiki Yako. Njoo hapa Kimara Temboni Kwa mtumishi wa Mungu Kuhani na mwalimu Musa Richard Mwacha Ili akuombee na kukuachanisha na hizo roho za kuzimu. Karibu sana Kwa Yesu na utakombolewa na kuanza ukurasa mpya wa maisha.
@piusnkwale
@piusnkwale Жыл бұрын
Amen
@ibnunguja9709
@ibnunguja9709 9 ай бұрын
Acha huo ushaur wakipuuzi ww
@MussaMussamsanu
@MussaMussamsanu 5 ай бұрын
Huo nao ni upuuzi pia, atatoka kwenye ushirkina unampeleka kwenye ushirikina mungine.
@t.jsaidia2047
@t.jsaidia2047 Жыл бұрын
Wewe Muongo sana Kwanza uwoo mchezo unaufanya.
@AishaSaoud-m4i
@AishaSaoud-m4i 6 ай бұрын
Itabidi ushikamane na ibada Sanna na ukumbuke kumtegemea ALLAH HUAKBAR kwakila jambo Nasio kutegemea kitu kisichokua ALLAH matokeo yake ndio hayo SHEYTWANI daima hakupi kitu buree lazima utalipa tuu na malipo yake ni kumkufuru ALLAH Lakini msada wa ALLAH hauhitaji malupo wala sadaka wala nini TUMTEGEMEE ALLAH HUAKBAR KWAKILA JAMBO
@aliyissa9857
@aliyissa9857 Жыл бұрын
Rejeeni kwa Allah
@twalibukassim6111
@twalibukassim6111 2 ай бұрын
Pole sana dadaang ila ninachokushaur nenda kanisan kukimbilia kwa rafiki yako sio kutatua tatizo bado utazid kuandamwa.
@mohamedhamdan4956
@mohamedhamdan4956 22 күн бұрын
Hii ni urongo huyo mke wa boss atakupelekaje Na wakati bado yupo😂kwenye nifaas siku za 40 😅😅😅😅😅 hii ni urongo
@SadiNassib
@SadiNassib Жыл бұрын
Omn hawatumii pound. Pole sana kwa mitihani.
@MaryamMoosa-y1t
@MaryamMoosa-y1t Жыл бұрын
Mimi nipo omani wacheni uwongo msichauwe utu wa mtu na ww dada mungu anakuona tafuta pesa kwa njiya nyingine
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
kwa kwel🤔
@MARYNAGUJustin
@MARYNAGUJustin 6 ай бұрын
Wa omani mwenzangu bravo
@FatmaJuma-bv4ej
@FatmaJuma-bv4ej 2 ай бұрын
We dd Acha uongo Oman hupajui pesa pia hujui inaitwaje mara kwarafiki mara nimeandaliwa na mamakubwa we mungo xna
@RatifahNgunga-tv4eg
@RatifahNgunga-tv4eg 7 ай бұрын
Ungeiambia pete nirudishe nyumban wewe muongoooooooo😂😂😂
@djafariselemani
@djafariselemani 21 сағат бұрын
Balaa😂
@KINGABUMEKAR
@KINGABUMEKAR 3 ай бұрын
ACHANA NA USHIRIKINAA NENDA KWA USTADH AKAKUOMBEEE DUAAA
@vaimallya5383
@vaimallya5383 Ай бұрын
Acha zako wewe😅i😅😅😅😅😅😅🎉😅😊
@hajramakwiro2830
@hajramakwiro2830 6 ай бұрын
😅😅😅😅Muongo huyu nae mambo ya jamila na pete ya ajabu pumbavu hajui hata pesa ya oman inaitwaje😂😂😂😂😂kwendraaaaa
@JanethKassim-x1p
@JanethKassim-x1p 4 ай бұрын
😢tokaaaaa.mbwaa wew mbea mkubwa
@HadijaKikoto
@HadijaKikoto 5 ай бұрын
Mmmh haya mapya
@Safinamfinanga
@Safinamfinanga 3 ай бұрын
Huyoo ata oman akujui kama ela tu ajui inaitwaje haache story za uwongo muohopeni Mungu kutangaza Sonoma na humorous ata ww mtangazaji muogope Mungu 😢
@زينبعليعبدالله-ز3س
@زينبعليعبدالله-ز3س Жыл бұрын
Looooh astaghafrullah muongope mungu wako ww mwanamke kwann unawazalalisha hivo binadamu wenzako 😢😢😢
@threyahejre6405
@threyahejre6405 4 ай бұрын
.ukitaka pesa omba siyo uongo.oman niwatu safi achauongo
@HusseinKagesho
@HusseinKagesho 9 ай бұрын
shukran ....Halima.usimtowe mwanao mbona Hawajitoi wenyewe wayaone hayo Mateso ......Kwani lazima utajiri utoe mwanao kwa Manufaa gani ikiwa Mola amekupa Akiwa mzima wewe wampeana kwakuwa Hana Thamani wewe diwe mwenye Thamani........kiumbe kiovu Kichafu kibishi.....mwisho wa yote utarudi kwake yeye mumba wako. kwa ujinga wamwanada unakitii kiumbe kiliotiwa uhai niMwenyezi Mungu...ulindanganywa ninani shetani jini ibilis hawana uwezo wowote kuhusiana na uhai Mwenye uwezo wauhai tu niALLAH.s.b.w sijui jini lussifa shatan kibwengo....ukwaju porojo vyote hii lazima tena sikia kwamamini lazima uhai wao urudi kwa Mwenyewe......Je wamjua...kama humjui usidangannywe ni wapumbavu . Mwenyewe ni.......ALLAA....s.h.w kazi kwako. shukran❤🌹🇰🇪❤🇰🇪🌹🇰🇪❤🇰🇪🌹🇰🇪🇰🇪❤🌹❤🌹❤🌹❤🌹❤ 39:27
@MustafaSalimu-k1l
@MustafaSalimu-k1l 5 ай бұрын
Naomba niuzie hiyo pete
@NeemaWilliam-ux1qv
@NeemaWilliam-ux1qv 8 ай бұрын
Pole sana mkasa huo
@KarolinaOman
@KarolinaOman 6 ай бұрын
Acha uongo dada 😘
@gospalflavour7304
@gospalflavour7304 Ай бұрын
Nenda kanisani weweeeh.Hata izo shuhuda hazitausaidia kitu. Nenda kwa kuhani musa au gwajima au matembele ya pili utasaidika kutoka kwene hiyo mitego
@maheralzakwan797
@maheralzakwan797 Жыл бұрын
Muongo Sana tena mmh story ya uongo lol😅😢😢😢
@mohamedhamdan4956
@mohamedhamdan4956 22 күн бұрын
Haina maana inamaana ulikuwa unapenda hii kazi
@LilianHassanRajabu
@LilianHassanRajabu Жыл бұрын
Mdogo wangu hakuna awezae kukuokoa na hilo isipokuwa ni mungu pekee na kwa kumwamini yesu kristo awe bwana na mwokozi wa maisha yako suluhisho pekee ni yesu tu
@Qaswararafashion5041
@Qaswararafashion5041 11 ай бұрын
Yesu Kawa mungu eti kiroho 😂😂😂
@SalimSaid-k3z
@SalimSaid-k3z 6 ай бұрын
Muwongo sana ukifirws mara.mbili tu usizahe uwongo sana tena mbeya
@SalimSaid-k3z
@SalimSaid-k3z 6 ай бұрын
Muwongo sana dada pete gani hiyo
@hamedalharthy4902
@hamedalharthy4902 7 ай бұрын
Pls pls mongo Sana 🙏🙏🙏😂😂😂😂
@ShafiMohamedi
@ShafiMohamedi 5 ай бұрын
Mh 🎉🎉🎉
@SaidSwedi-q2n
@SaidSwedi-q2n 5 ай бұрын
Dada muogope Allah mbona unaleta zama za zamani sana
@MustafaSalimu-k1l
@MustafaSalimu-k1l 5 ай бұрын
We kwa nza ni mchawi kendal zako
@serahsosthenes
@serahsosthenes 4 ай бұрын
Dada kimbilia kimara temboni kwa mtumishi wa Mungu Kuhani na Mwalimu Musa Richard Mwacha utapata ufungulivu hayo majini hayatakudai damu tena utakuwa huru kuliko kukimbilia kwa rafiki wakati pete inauwezo wa kumtoa kafara hata huyo rafiki yako😮😮
@HayronSalmin
@HayronSalmin 7 ай бұрын
Wewe bint no muongo sana ba hiyo story ya kutunga
@YusuphNuru-c1j
@YusuphNuru-c1j 3 ай бұрын
Yani we dada Mungu anakiona ujue,umesema ulipanda ndege bila kumtaarifu mama yako ukamkuta uwanja wa ndege je uko kwa rafiki yako ukumkuta?fara sana wewe
@AkizimanaLyaka
@AkizimanaLyaka 4 ай бұрын
Hakika mambo yame taladady
@MustafaSalimu-k1l
@MustafaSalimu-k1l 5 ай бұрын
Hii stor umetunga miezi mingapi
@samiraalharthy7606
@samiraalharthy7606 Жыл бұрын
Uyu mama mwongo sana anajitangaza uchawi wake. Bosi wake anasema kiswaili? Uko kwa mamkubwa ao kwa rafiki yako mbona umechanganikiwa bibiye 😅 Ukweli hufichwi nikama mimba 😊 Usitafute sifa kwenye ma social media 😂 😂😂kama Sheni na bibi wamyaka 60😂😂😂
@SalimaNasri-f9e
@SalimaNasri-f9e Жыл бұрын
Huyu Dada muwongo sana nyau uyu ndokwanz namsikiha yeye
@SalhaAlly-x8q
@SalhaAlly-x8q 2 ай бұрын
Hii stori ni ya mchongo wanauza mb tu hakuna ukweli hapa mipango
@LovenessBozza
@LovenessBozza 4 ай бұрын
mwongo hujawai kwenda oman nakujua upo tabata shule nyaluela achen kudanganya watu
@KarolinaOman
@KarolinaOman 6 ай бұрын
Acha uongo wa nyumban kwen weee
@ibrahimjuma9709
@ibrahimjuma9709 Жыл бұрын
Toka lini wa arabu wakatumia paund jamani uongo huu
@happysenga9340
@happysenga9340 4 ай бұрын
Murudie mungu wako
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv Жыл бұрын
Hata ukitoroka anakuona
@elijahbaraka9470
@elijahbaraka9470 Жыл бұрын
Yani uwongo mwengine hadi shetani anakaa pembeni anachukua noti.
@savanahoketch8998
@savanahoketch8998 Жыл бұрын
Kubalini yesu
@ahmedaljabri1206
@ahmedaljabri1206 Жыл бұрын
Freemason ninjaatu subuhana Allah
@FatumaAhmed-e8c
@FatumaAhmed-e8c 6 ай бұрын
Dada huyu muongo sana hakuna mtu anae teswa oman,huyu ni wale ambao hawapendi mendeleo ya mtu Hayo mengine ya pete ni imani za kishitikina usidanganye watu Una taka umaarufu😂😂
@ShafiiKavava
@ShafiiKavava 3 ай бұрын
Wapga hela hawa
@rayansaldivar2796
@rayansaldivar2796 9 ай бұрын
Mwongo mkataba wote oman ni myaka 2😂😂😂 mouuzi mkubwa. Unda story za kweli apana kudaganya chefu
@fayzaathumani-vq9hl
@fayzaathumani-vq9hl Жыл бұрын
mnafiki mkubwa wewe dada muogope mungu mimi nipo omani akunakitu kama hicho
@NYAMGUMAMAHMOUD
@NYAMGUMAMAHMOUD Жыл бұрын
Mmb
@DicksonIgnas-pq1rj
@DicksonIgnas-pq1rj Жыл бұрын
Ulikuwepo kwenye maisha yake au ndio Uswahili wakuyajua mambo yote kwenye dunia
@DicksonIgnas-pq1rj
@DicksonIgnas-pq1rj Жыл бұрын
Ulikuwepo kwenye maisha yake au ndio Uswahili wakuyajua mambo yote kwenye dunia
@WardajafarifugaWardajafarifuga
@WardajafarifugaWardajafarifuga Жыл бұрын
Muongo sana niko Omani mwaka wa 6 Sasa hayo mambo sijawah yaona kabsa
@rowlandmcharo5437
@rowlandmcharo5437 Жыл бұрын
Huyoo mwanamke mwongooo kabisaaa.
@MariamNkusa
@MariamNkusa 3 ай бұрын
Ulikumbuka baibui lako alilokupa mwarabu
@gloriaraphael9496
@gloriaraphael9496 7 ай бұрын
Uongo mtupu mara hapa ni Kwa shangazi kaniandalia mara tena nyumbani Kwa Rafiki angu 😂😂
@user-xf9or5cv1d
@user-xf9or5cv1d Жыл бұрын
Maneno yako ya uwongo uwongo
@omanomsn1820
@omanomsn1820 Жыл бұрын
We Dada mwongo akuna mkataba wa miaka nne ni miaka miwili 2 ukimaliza ndo unaongeza Tena miwili ila wwe Dada 😅ni hatari
@jokhagadafy2144
@jokhagadafy2144 Жыл бұрын
Huyu dada ndio wanaosababisha wenzie wafungiwe watu hawan shukran
@hamedalharthy4902
@hamedalharthy4902 7 ай бұрын
Hakuna Dr wanyumbani uyu dada nitapeli
@kulngeleza6733
@kulngeleza6733 Жыл бұрын
Uyu dd nimemsikiliza vzr tena hata oman apajui uyo bosi wake alikua anaongea nae lugha gani ww dd malaya mkubwa ww usituhalibie oman ye2 nchi ya amani tena koma 😂😂
@sophiajonas2090
@sophiajonas2090 Жыл бұрын
Usiseme hivyo wanafanyiwa Mambo ya ajabuvsana
@Maryammadafa
@Maryammadafa Жыл бұрын
Ulifanyiwa wewe nyoosha maelezo😂😂😂
@Cutesarahor7dj7qh6d
@Cutesarahor7dj7qh6d Жыл бұрын
Pete ya Jennifer 😂😂😂 uwongo huo ni pete ya Jennifer hiyo rudisha
@SalimSaid-k3z
@SalimSaid-k3z 6 ай бұрын
Sio kweli
@williamsimba458
@williamsimba458 Жыл бұрын
Dada nenda kwenye maombii ya walokole
@Fatmaaa123eid
@Fatmaaa123eid Жыл бұрын
Wewe tuu
@MustafaSalimu-k1l
@MustafaSalimu-k1l 5 ай бұрын
Kwa nini usizae na yule mwarabu
@wiza2309
@wiza2309 Жыл бұрын
Unasafiri bila ticket ya ndege jamani?
@fahmialbahri3954
@fahmialbahri3954 Жыл бұрын
Usiwavunjie wenzako riziki kwenda omani unasema uogo tu hapo
@erickkahele3850
@erickkahele3850 9 ай бұрын
Wewe utakuwa msaliti acha aseme ukweli kwani alikokuwa ndo ulipokuwa wewe.Usitake asiseme ukweli acha aseme tabia za kirimbukeni acha.
@FatumaAhmed-e8c
@FatumaAhmed-e8c 6 ай бұрын
Acha uongo kweli uingiliwe na bosi wako kinyume cha maumbile halafu usipige hata kelele usitudanganye
@dudemussa6715
@dudemussa6715 Жыл бұрын
Dada anajieleza lakini pointi zake ni zile zile za marejeo. Havutii sana kumsikiliza.
@MustafaSalimu-k1l
@MustafaSalimu-k1l 5 ай бұрын
Kavae kimini hiya so vazi lako au kavae kaniki
@SalimSaid-k3z
@SalimSaid-k3z 6 ай бұрын
Mbeya sana
@Maryam-z8r7g
@Maryam-z8r7g Жыл бұрын
Ndege ya nyooko
@hamedalharthy4902
@hamedalharthy4902 7 ай бұрын
Wewe ni mwizi
@solomonmwampashe7131
@solomonmwampashe7131 Жыл бұрын
Inawezekanaje hajui hata nipesagani zinatumika huko Uarabuni?
@NuruMgonja
@NuruMgonja Жыл бұрын
Ongoo kubwahili Oman hawatumii paund nalugasio Kiswahili ogooo kubwa hilii Lina Laana inaonekana
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
Kule kasema jina lake Halima hapa kasema🤭
@mohamedalmarjabi4921
@mohamedalmarjabi4921 Жыл бұрын
Wewe ni professor wa uongo sijawahi kuona muongo kama wewe vipi wewe unayajua mambo yote hayo shenanigans mmoja fitnaa mmoja
@mwazyelady4683
@mwazyelady4683 Жыл бұрын
Muongo mkubwa moto unakungoja pesa uliyopewa haitakusaidia chochote mchawi ukome Oman Habari zote za boss ulizia hata kwenda kwa Ustadhi na huyo mama arudishwe nyumbani kwao wewe ubaki na boss Si pete tu ingekurudisha Tz Mkataba Oman ni miaka miwili wee kizabizabina nyooo
@saidmuhsinbakhresa9139
@saidmuhsinbakhresa9139 7 ай бұрын
Ww dada mnyama sana kwa unyama huu dunia simama mie nishuke maana hali ni tete
@SalimSaid-k3z
@SalimSaid-k3z 6 ай бұрын
Jamani mbeya sana wewe k yako
@mgm412
@mgm412 Жыл бұрын
Hii ni tamthilia au?
@rayansaldivar2796
@rayansaldivar2796 9 ай бұрын
Uyu hajawahi kufika oman mara eti pesa pound. Mara dactari wanyimbani😂 yani were fala kweli. Oman nzima hayupo dactari wanyimbani wanaenda Royal hospital.
@asilabalarab6087
@asilabalarab6087 Жыл бұрын
Uongo mtupu story ya kutunga
@nancyg8664
@nancyg8664 7 ай бұрын
unavotudanganya hivo iyo pua na macho ndo vinazidi ukubwa😢
@MustafaSalimu-k1l
@MustafaSalimu-k1l 5 ай бұрын
We Acha uduanzi Huna data pss kendal mchawimkubwa ww
@alimwacharo
@alimwacharo Жыл бұрын
Kama inahitaji sadaka wacha ikae
@alimwacharo
@alimwacharo Жыл бұрын
Naomba Pete dada
@WahidaHilaly
@WahidaHilaly 9 ай бұрын
Huyu dada jamani
@MustafaSalimu-k1l
@MustafaSalimu-k1l 5 ай бұрын
Nitakuunganisha na rafiki ili mfanyne ze comed
@lilyan3101
@lilyan3101 Жыл бұрын
Dunia simama nishuke maana ulimwengu umejaa watu waongo,jamani kumbe kutafuta umarufu ndiyo hivi,ustar siyo lazima uimbe au uwe muigizaji jamani,hata ukitafuta story za kwenye movie tena hasa movie za wa Nigeria 🇳🇬 ukauvaa huusika,basi tiyari ushakuwa maarufu,sivyo jamani,dada anaelezea hadithi za kwenye movie za kinaigeria kabisa,mungu akusamehee sana kipenzi na akupe muangaza ,akutoe kwenye kiza cha wachawi,maana naona wewe na huyo mama yako muna mpango wakuingia kwenye ushirikina,shindwa na ulegee😢
@nashnene6326
@nashnene6326 Жыл бұрын
Japo story ni ya uongo au promo ya mganga lkn nimefurahi kwa kuwa waalabu wanawatesa sana wafanyakazi, haswa ukisikiliza story za wanawake wa Kenya waliorudi arabuni waliopitia madhila makubwa
@ibrahimjuma9709
@ibrahimjuma9709 Жыл бұрын
Lengo lako ni nini kama siyo kunadi ufirauni wewe muongopeni mwenyezi MUNGU kaburini ni kuzito
@bas2823
@bas2823 Жыл бұрын
Huko Africa wanaume wengine na sio wote wanazini na ma yay wa nyumbani wafanya kazi za nyumba! Wanawaacha wake zao wanawapenda wafanya kazi kwa kuzini nao sio uarabuni tuu huko ndio sannaaa mambo hayo yanafanyika! Lakinj mbona hamyasemi!? Ili itakuja kuonesha kuwa nyie watumishi waking ndio makhabbithi uzini na warmer wa madamu zenu na mimba wanatiya na kuwaowa wanawaowa juuu ya wake zao. Na mke masking ya MUNGU HANA KILMA YA KUSEMA NENO KWA MUME! ALAU HUKU ARABUNI WANAWAKE WENGI WANAFANYA KAZI NA WANA VYEO WANAWEZA KUJITEGEMEA WENYEWE JE!? HUKO WANAWAKE WENGI GAWANA KAZI WALA KIPATO CHOCHOTE KILE NDIPO MUME ANAMTAWALA MKE SASA! ANAVOTAKA YEYE😢 AUDHU BI LLAH MINA SHEITTAN RAJEEM!😢! SO MANY AFRICAN ASIA HOUSE MAIDS ARE IN OMAN! NA HATA SIKU MOJA HATUJASIKIYA MTUMISHI WA NYUMBANI KUTESWA WALA KUDHULUMIWA. ILLA WAO HAO WATUMISHI WA KIKE NDIO WANAWACHUKUWA WAUME ZA MADAMU ZAO. ILI KWAAJILI YA TAMAA YA PESA N KUJIFANYA YEYE NDIE MWANAMKE ANAWEZA KUMGHILIBU MWANAMME ANAVOTAKA YEYE MPAKA AMUACHISHE NA MKEWE IKISHA ANAJITAWALA YEYE NDANI YA NYUMBA YA WATU WENYE WATOTO WAMESHAZAA NA WENGINE KUJUU PIA WAO MA YAYA WA AFRICA WAZIBOMOWA NDOWA ZA WATU😢! WENGI WAO HAO NDIVO WALIVYO! PESA WANEWEKA MBELE KULIKO IHSANI NA ADABU NA UTU! HAO WATUMISHI WA AFRICA. HUSIKII KWA MAYAYA WA HINDI WALA WA PHILIPINS WALA WA ASIAN ! ILLA FROM AFRICA ONLY DIO WANOVITUKO VYA KILA NAMNA😢! ALLAH AWAHIDI NA JAMIAN. AMIIN🤲 BORA SERIKALI YAO IWAFUNGIE WASIJE UWARABUNI HATUWAKI KWA SABABU HAWANA KHERI WALA SHUKURA HAO WENGI WAO😢! NA SIO WOTE!
@NiyomdikoSavera
@NiyomdikoSavera 5 ай бұрын
Mbona sielewi huyu dada kama muongo vile
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 Жыл бұрын
Nikiona tu foxe nakasirika waongo tupu siyo Kweli
@khatibabass3106
@khatibabass3106 Жыл бұрын
Kwaio mama yako mkubwa pete hanayotena mpaka asijue ulipo wakati ulipokua omani alikua anajua kila unalofanyiwa.hahahhahh MB zangu jaman
@lilyan3101
@lilyan3101 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅
@omanomsn1820
@omanomsn1820 Жыл бұрын
😅😅Mtihani Kuna watu ni waongo atari
@RatifahNgunga-tv4eg
@RatifahNgunga-tv4eg 7 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@aishayika3684
@aishayika3684 Жыл бұрын
Eti pounds daaah pound Oman????
@ednahumazi777
@ednahumazi777 Жыл бұрын
Huyo mama muongo mara anastory tafauti hata njinji watangazajimumezidi
@bakermusa9033
@bakermusa9033 11 ай бұрын
Hili tv ni mafi
@abasiramashoo5026
@abasiramashoo5026 4 ай бұрын
Wewe muongo na hiyo pete yako nahuyo mama yako
@ZunasuSuleiman
@ZunasuSuleiman 8 ай бұрын
Acha uongo wanaongea kiarabu weww ulikijuaje kiarabu
@mariamsalim9311
@mariamsalim9311 Жыл бұрын
Hujenda Oman ww mbona mara zote unataja £££ paund
@jeffersonmontero3597
@jeffersonmontero3597 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@barwani890
@barwani890 Жыл бұрын
Kwanza Omani hAkuna paund huku ni rial tumble mitaa ya Omani na unakaa wapi oman nitakuja kukuona
@threyahejre6405
@threyahejre6405 4 ай бұрын
😂😂😂wamekuweza hakuna anaye kuteteye hhhhhh
@majomasliman7856
@majomasliman7856 Жыл бұрын
Mkija oman mkishindwa Kaz naanza kuongea maneno ya uwongo
人是不能做到吗?#火影忍者 #家人  #佐助
00:20
火影忍者一家
Рет қаралды 20 МЛН
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
MMH:UZUNI NILIFUNGWA JERA NA MKE WANGU
35:28
Foxe Tv
Рет қаралды 8 М.
人是不能做到吗?#火影忍者 #家人  #佐助
00:20
火影忍者一家
Рет қаралды 20 МЛН