NIMETUKANIWA MAMA YANGU KISA CHANJO || KWANINI IWE HIYARI? || WATU WANAKUFA - SHEIKH SHAFII SHOMARI
Пікірлер: 227
@erneststephano21823 жыл бұрын
Ahsante Sana Kwa mawazo yako mazuri, umejitahid Ila hatuchanji
@mossesjovenari94573 жыл бұрын
Corona Imetusaidia kuwatambua watumishi wa MUNGU na watumishi wa huongo.
@neemakilomoni42583 жыл бұрын
Kweli kabisa yani viongozi wa dini zote wamekuwa wanafiki kupita maalezo wamesahu Mungu wamesahu dawa za asili upuuzi mtupu.
@abcmnbb26102 жыл бұрын
Shukran kwaduwa
@amenaallahawazidishieumrin62353 жыл бұрын
Allhamndullillah wallah KULLAH khal shekh shafy mungu akupe subra na washukuru maadui zako mungu mwenyewe anatukanwa pamoja na mtume wake Mohammed ( saw ) na anatupa kila kitu wewe na mm nini?wache wakutukane wasio jua maana awambiwi maana mola akuhifadh uzidi kutuombea dua
@zvpOnlineTv3 жыл бұрын
Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv
@suberasubera6413 жыл бұрын
waache wawena hasadi nawewe sisitunakupenda unaumuhimu katika kutukumbusha yadiniyetu
@thumnathumna59463 жыл бұрын
Upo sahihi.nitakufa kwa ahadi.
@AhmedAli-ve5zc3 жыл бұрын
Pole sana shekhe ukweli hatupigi chanjo sisi
@hajihassan54333 жыл бұрын
Ni kweli lakini kinga zipo nyingi kwa nini mnakomalia hii tu, baya zaidi hii chanjo ya Korona hata ukichanja barakoa, kunawa, kujitenga nk yote pale pale pia isitoshe ugonjwa unakuhusu. Mimi chaguo langu kutokuchanjwa.
@lilianluhasi50533 жыл бұрын
Tena pia unaweza kuugua korona na kuambukiza
@lulanjamd38863 жыл бұрын
Mimi ni mkristo nakupenda sana mtumishi wa Mungu shekhe Shomari kwa msimamo wako juu ya watanzania wote
@MohammedAli-rh5si3 жыл бұрын
Pole shekhe ukweli hatuchanji
@hanssama41743 жыл бұрын
Shekhe muamin mungu kuliko kuingilia mambo hasiyo wahusu kuen na Iman na mungu kwer chanjo c chochote kwe2
@emanuelkenethkanyela91373 жыл бұрын
Shekh tumwamini MUNGU
@saidmuhsin24463 жыл бұрын
Askofu ngwajima kachambua vizuri sana!! Yule jamaa hatari ..namkubali sana na shehe faridi kamaliza kilakitu...maelezo yao hayana mchecheto
@muyumbaramdhani2668 Жыл бұрын
Mashala
@abcmnbb26102 жыл бұрын
Yani raha sana kwakongamano
@kassangarey3 жыл бұрын
Ukiambiwa kula nguruwe na hao wanaokuongoza kwa kuwa wamesema wao je utakula. Achen kutukuza wanadamu . Huyo mwanadamu anayelazimisha wenzake yeye siye Mungu. Kosa lako sheikh mnakurupuka sana vitu vingine ebu muwe mnatafakari mambo ya hao viongozi wanayoyatoa.
@muhalakibwana40262 жыл бұрын
Elimu ndogo
@mohammedmdangwe20563 жыл бұрын
Njaaaa
@azizawadh59733 жыл бұрын
Ndo maana huelewi
@michaelthobias99672 жыл бұрын
Njaa mbaya sana
@yahyasabil9213 жыл бұрын
Inasikitisha muislamu hasali
@nhawalala2763 жыл бұрын
Huna shida sheh
@DloveAfrika3 жыл бұрын
Me binafsi sijaiona hiyo clip ya mwanzo lakini nimepata kuyaelewa maelezo yako, lakini pia hujasema msimamo wako dhidi ya chanjo na japo wewe si msemaji wa waislam kitaifa lakini wewe ni mwalimu/ustadh wa eneo lako, je?! Wanaokuzunguka wamfuate nani kujua ikiwa ww ndo ulamaa wa mji wako, wallahy naamini katika masiku haya ya mwisho Elimu itaondoka🙌
@shabbymakapaneshabby50003 жыл бұрын
Mh?
@bintichausa47443 жыл бұрын
Huku qatar bila I'd hupati chanjo lkn kama ni lazima au inakinga bass wasingeeka vikwazo vingi ....mimi nilijitolea kulipia ilimradi niipate lkn kila nifika kwenye foleni tunaambiwa karatasi ime expire juu tulatumia karatasi yakampuni...sahii nimeinua mikono siitafuti Tena kama itanifikia ntachanja isiponifikia alhamdulillah.Allah atanilinda🙏
@salehalzakwani32833 жыл бұрын
Subhaanallah
@mariamsalum6403 жыл бұрын
Wamekuonea tu sheikh umeongea kweli
@halimaahmed42463 жыл бұрын
Tatzo wengine hawajui kiswahili kufafanua
@josephatbahakaso11833 жыл бұрын
Nikweli she Ubarikiwe kwa kuelewesha uma
@aminasalum5183 жыл бұрын
Mashallah 🥰 mawaidha mazuri sana
@ziadaskitchen50602 жыл бұрын
Naam
@carmcorderchannel38993 жыл бұрын
Kosa lako ungenyamaza kila mtu anajua hii chanjo haisaidii ila ina madhara ya kiafya .......tumwombee mungu na kujilinda kwa njia tulizoshauriwa . Waislamu tumekosa kumwamini mungu tunaamini chango. Lau tungefanya daawa vile tunavyofanya kuhamasisha dhidi ya korona basi tungepata shufaa. Siku izi muftis wetu wamejiingiza kwa biashara na kuacha dini. Ivyo hakuna aliyemkalifu hata wasomi wakona na udhaifu wao. Ivyo tunamwamini mungu na mazuri tutayachukua mabaya tutayawacha.
@alphonceelias25513 жыл бұрын
Simwelewi kwa kweli.hajasoma ule waraka lakini.shehe nenda kasome ule waraka wa kamati.naona hujaelewa vizuri.
Viongozi wa dini lazima mpige kelele juu ya haya yanayoendelea , kuwaelimisha waumini faida na hasala pasipo kuogopa NAKUPONGEZA SHEHE kutujuza tumtegemee MUNGU kuliko vyote.
@missrukia96612 жыл бұрын
Shuklani shekhewetu dhafiii
@rajabjrajab87113 жыл бұрын
Shekhe kumuerimisha chiz kazi sana.Kiswahili hawakijui watakuerewa vp
@godfreymasele88533 жыл бұрын
Chiziiii alopokea fedha za mashoga. Watu sio mazwazwa hujiri dini hayo ya chanjo acha a nao watu wapokifedha zaidi kuliko usarama wako. Hao wanaojiita wana sayansi wamefanya utafiti gani? Experiment gani wamefanya hapo ndipo hofu watu wanakataa kuchanja
@christopherkanyalakc89413 жыл бұрын
We kwel mwee
@zvpOnlineTv3 жыл бұрын
Mh
@judithmelvinealuchio89683 жыл бұрын
niukweli hataa huku ulaya ni hivyo watu huambiwa mimi sija shughulika na ndio tumeambiwa mwezi wa tisa kama ujapokea chanjo hakuna hata kupanda bus 🇰🇪🇪🇺mungu aturehemu
@joharijohn70053 жыл бұрын
Wewe ni wahovyo sana
@seremenikibwene86333 жыл бұрын
Huyu ndiyo Waleee! Laa ilaa haa Ulaai Walaa ilaa haa Ulaai. Ndiyo Hao (Laiti M/mungu Afanye Muujiza, Tahamaki Magufuli Karudi Kuchukua Nafasi Yake, Than Arudishe Msimamo wake Uleule Wa Kutupilia mbali Chanjo, Na Huyu sheikh Utamsikia, Jaman Kama Anavyosema rais magu hawa wazungu Tusiwaamini 1 kwa 1.Inna lillah wainna ilayh raajiun)
@AbdulAbdul-pr9qe3 жыл бұрын
Mbona kichwa chako kigumu kuelewa! Shafii anailaumu serikali kuhusu chanjo, nakufafanulia sasa, ( KAMA CHANJO HAINA TATIZO LOLOTE LILE KWA BINAADAM KWANINI MNASEMA KUCHANJA NI HIYARI? NA KWANINI SERIKALI ISEME HAITAHUSIKA NA MADHARA YATAKAYOTOKEA TOKEA BAADA YA KUCHANJA? KWAHIYO CHANJO INA TATIZO NDANI YAKE) ndivyo nilivyomuelewa mimi
@rajabuhamisi27693 жыл бұрын
Tatizo hujaelewa alafu unaandika tu kulaum.
@farajiharuna66003 жыл бұрын
Nimekupata shehe
@ahmedstza29003 жыл бұрын
Achana na hizi mishe Sheikh
@hadijasadiki58253 жыл бұрын
Asalam aleykum shehe Allah akuzishie subra
@awadhgugu3172 жыл бұрын
Shekhe waafrika bado tunatawaliwa yani hapa hadi tupigane ndio dawa
@husnamohamed92453 жыл бұрын
Umenichekesha weweee yaani mpaka machozi yananitoka. Johnson sio nzuri
@bulugubujashi63783 жыл бұрын
Kwanini ulazimishe iwe lazima wakati nihiyali?
@rehemaa5972 жыл бұрын
Wasiochoma mungu atawashughulikia kwani asahivi serikali inasaidia nn watu wanalia hali ngumu toka Magu afe
@msingida333 жыл бұрын
hivi kwanini serikali ilete chanjo alafu isiwajibike???
@simonlukiko28503 жыл бұрын
WE SHEKHE GANI MNAFIKI CHANJO HII NI HARAMU
@chiefndatu18953 жыл бұрын
Changanya na zako!!!
@husseinissa71183 жыл бұрын
Sheikh unaimani na kinga ambapo kinga yetu sisi ni Allah anatosha sio yako unayofikiria naona imani yako ktk dini imetetereka sn na hii inatokana na njaa na tamaa ya dunia mpaka mambo mema uliofanya huko nyuma umesahau
@kishingokishingo18403 жыл бұрын
Mbona ulichanja pepo punda ,shurua ,na mengineyo fikiri kwanza usikurupuke
@suberasubera6413 жыл бұрын
Mungukwanza ilaatujakatazwa dawazingine zahalari
@habibahadithi50803 жыл бұрын
Kwanza elewa alichomaanisha ndo ucoment
@omarmohd12623 жыл бұрын
Sw amechanja lakn kwa hili hatutaki kwann hamtupi ya homa ya ini mnatupa hili kipindi hicho ilikuwa si wasomi ila zama hizi humdanganyi mtu
Unajifanya UNAOGOPA CHANJO huku riba unakula na zinaa unafanya
@kutailadifi28543 жыл бұрын
@@husseinsaid8021 umemshuhudilia akiyafanya Yote hayo?
@fatmaalnabhani36093 жыл бұрын
Hapo kwenye bangi ndio umetufikisha yani ni balaa hassa
@cmb63423 жыл бұрын
Acha upuuz wew hayo mambo ya chanjo kama hauna elimu ya kutosha tulia
@abdulkilala98453 жыл бұрын
Shehke korona Ni Freemason tumieni akili zenu Kama wasomi
@jumajuma9033 жыл бұрын
Wakubwa tumekuelewa
@azizawadh59733 жыл бұрын
Wavutabange wengi humu shehe hawaelewi mapema
@pericykiko61983 жыл бұрын
Na Cha kujiuliza hio form inaenda wapi
@wilsonlusasu80693 жыл бұрын
We fala tu
@mohammedmdangwe20563 жыл бұрын
Bil gate kawazidi akili mashekhe pumbafu zenu
@esteredward69803 жыл бұрын
Ivi kwa nn mmekua mna hubiri kolona kuliko mungu?
@omaryseshambi64683 жыл бұрын
Nakuunga mkono shekhe ALLAH akupe zaidi
@AhmedAli-ve5zc3 жыл бұрын
Aisee comment zenu mnamtukana tu shekhe wala hana makosa. Tatizo hamjamfahamu huyu shekhe ila alicho sema ukweli na siku zote ukweli unauma. Shekhe mimi niko pamoja na wewe
@asriyaaljabry273 жыл бұрын
Kweli chanjo umesaidia huku Oman maradhi yamepungua watu wengi wamepata chanjo chukueni chanjo na Allah atatusaidia
@abdullramadhanii6263 жыл бұрын
yalikuwepo yamfikaje kutoka china jitambueeee
@suhamdistributors59343 жыл бұрын
Nyie waarabu ndio hamna kitu,
@kutailadifi28543 жыл бұрын
Chanya ikusaidie Ww
@husseinjuma81263 жыл бұрын
Asriya
@saidmkinga51403 жыл бұрын
Wamechanja ipi? Acha kutupotosha
@mussasualehe71463 жыл бұрын
Acheni kumuongelea Mtu kwasababu hakuna aliye safi
@ismailsamwemkumbi28273 жыл бұрын
Assalaam alaykum warahamatullah wabarakatuh/Sasa ndg we si msemaji wa waaislam Sasa nilichokufanya ili uongee kwenye mitandao nawe hilo ni kosa
@seremenikibwene86333 жыл бұрын
Huyu nae keshaanza kupoteza muelekeo, Mshaletewa Bahasha Mnaacha ya dini Mnajipendekeza kwa serikali sasa.
@AbdulAbdul-pr9qe3 жыл бұрын
Kichwa maji ndio tatizo
@othmanali74083 жыл бұрын
seremani kwani wewe umefahamu au una coment tu hebu isikilze video kwanza ufahamu then pia ujue iyo dini ni nini ?
@rashidmkoga30533 жыл бұрын
Kweli watu vichwa maji yani mtu karudia mara 3 bado humuelewi
@sudihammad73873 жыл бұрын
Ila kuna shekhe mmoja alisema takribani miaka 8 iliyopita alisema itakuj chanjo ambayo ina mfumo wa 666 wa kupandikizwa vyombo ambavyo hufanya watu kumilikiwa
@mwakapalilafuraha56363 жыл бұрын
Huna akili wewe hujui hata unachoongea kwa hiyo kama wote watasthirika nani atamuongoza au kumtibia mwenzake ?
@williammlama2973 жыл бұрын
Km no kinga mbona ukichanjwa unavaa barakoa?
@hafsatjuma33733 жыл бұрын
Shekhe usijali walokutukania mama allh atawaona awezavyo
@focusfermin3 жыл бұрын
Mpumbavu tu. Za kuambiwa changanya na zako. Izo fom za chanjo mbn serikali inajikataa.
@hashimbakari46703 жыл бұрын
Sheena umejikanyagakanyaga tu. Serikali imeshauriwa kuwa chanjo uwe ya hiyari, Shabani siyo ya uhakuka aka majaribio. Wewe ulitaka viongozi wa serikali waseme banana?
@mwanajinacayemite23363 жыл бұрын
Maana yake, hiyo chanjo ina madhara na ndiyo maana wanajitowa kwa lolote baya litakalomtokea aliyechanjwa. Tieni akili
@christopherkanyalakc89413 жыл бұрын
We njaa ndio tatizo
@maulidabdallah87433 жыл бұрын
Mm cha kushangaa kwann chanjo nyengine si zipo na mbona hamuzisemii ,waachen wananchi watachakua wenyewe.
@saeedally2683 жыл бұрын
Huyu mbwa hii chanjo ni mafrimason sio shekhe huyu hafai kabisa
@azizawadh59733 жыл бұрын
Tofauti hii ni ya dunia mzima why
@azizawadh59733 жыл бұрын
@@saeedally268 shehe anausikaje hapo
@athumanimbaya95093 жыл бұрын
Dah! Huyu ustaadh! Astaghfirullah, SUB'HANA LLAH! Sheikh, kachanjwe, wewe, na familia yako! Washaugua watu wengi tu humu, na walijigharamia, wenyewe, na siyo serikali!
@mordally3 жыл бұрын
Sheikh SSP wanafik ni wengi sana siku hizi
@zvpOnlineTv3 жыл бұрын
Sannah
@allysafari99573 жыл бұрын
Kwani una elimu na hayo mambo au unaropoka tu
@edriansmith58092 жыл бұрын
😂
@stanslausmteme84553 жыл бұрын
Kasome Tiba au kinga ni hiari ya mtu
@MohammedAli-rh5si3 жыл бұрын
Usiombe kifo cha uchawi kinauma km hujarogwa huwezi kuelewa
@khalfanmakota39053 жыл бұрын
Shafii safi sana
@hamidaissa47693 жыл бұрын
Namimi nikitaka hayo mafuta nayapataje?
@pericykiko61983 жыл бұрын
Hiyo maana yake ni ya kishetani wanaelewa walio rohoni TU
@kherimkose36693 жыл бұрын
Bro field yako ni comparative religion, sasa unaijiingizaje kwenye siasa
@godasanga38193 жыл бұрын
Kumbe unajua kuchomeka na matusi ni vibaya wewe Si ndo bingwa wa kuchomeka kwenye mihadhara ndo ujue Kuwa unafuata mkumbo wa kipagani
@zvpOnlineTv3 жыл бұрын
Acha jazba
@shabbymakapaneshabby50003 жыл бұрын
Mh?
@prophetmunuo93173 жыл бұрын
shehe wee njaa za haohao hunajipya, chanjo dunia yote ni hiyari tena nchi ambazo wamekufa watu wengi zaidi wanatoa chanjo kwa hiyari wee Tz unalazimisha wee kakutuma nani uilazimishe?
@HassanHassan-sn5cj3 жыл бұрын
Lakini mbona hoja zake zipo wazi kivipi useme ni njaa zake!?
@kutailadifi28543 жыл бұрын
@@HassanHassan-sn5cj yn Watu hawana uelewa kabisa Mm nimuelewa Sn SHEIKH shafi
@shabanmzala62463 жыл бұрын
Ujamuhelewa hajalazimisha na hizo nchi hufiki bila kuchanja huko siyo kulazimisha.
@yasalaam5903 жыл бұрын
Nikweli sheykh upo vizuri khasa angeeka uwazi kama ivo likitokea serikali ihusike
@saidmkinga51403 жыл бұрын
Huyu mbona anajichanganya! Sasa mambo ya bangi hapo yanakujaje??
@gshdhvdhf82833 жыл бұрын
Niko na wewe sheikh na hiyo ndio swali limenishinda kuteguwa.
@hudhud20223 жыл бұрын
Subhanallah sawa hataki chanjo msichanje
@mussalugembemussalugembema36503 жыл бұрын
Wewe umepata chanjo Sasa mbona unalazimisha serikali ifanye lazima Kuna nn hapo umetumwa
@shakilaabdallaherio56173 жыл бұрын
Sikilza vizur hana maana ya kwamba iwe lazima tuliza kichwa chako kisha msikilize vizr utamuelewa
@christopherkanyalakc89413 жыл бұрын
K2mwa
@omarmohd12623 жыл бұрын
Tumemsikiliza asijibadilishe badilishe kakosea sana njaa inamsumbua na mm nikipata namba yake nampigia tuu huyu kwaiyo anataka tusubiri mazara yatupate ndo tuanze kulia
@ellymaz21873 жыл бұрын
@@omarmohd1262 Nimekuelewa. Hakuna haja ya kusubiri tuumie eti kwa kuwa serikali itahusika. Hata kama serikali inahusika itasaidia nini kama umeumia. Kwa nini hatushituki??
@omarmohd12623 жыл бұрын
@@ellymaz2187 asante mkubwa wangu pamoja
@jamessichimata363 жыл бұрын
Mbona walio chanjwa bado wanavaa barakoa?
@user-pr8pv2du2x3 жыл бұрын
Hapo sasa ndio pakushangaza
@tinershayo53973 жыл бұрын
kweli jamani alafu tunapelekwa tu
@swalehkiuga1673 жыл бұрын
We unaogea nn wew unajua madhara ya hiyo chanjowew auunaropokatu
@halimahamis37423 жыл бұрын
Chanjo nitaisikia tuu 😏
@hamoudslim36223 жыл бұрын
Halima Hamis ulimwenguni kote serekal wamesema hivyo na washaweka sheria huwezi safiri kama hujachanjwa ....
@halimahamis37423 жыл бұрын
@@hamoudslim3622 kusaf kwenda wapi labda airport ynyw cjui iko mkoa gn 🤣🤣🤣🤣bs wachanjwe wanaosafili ss mm nipo shamba huku bs kabila kuliona na kilometa 2 kwa miguu
@habibahadithi50803 жыл бұрын
@@hamoudslim3622 sio kweli mm nilipo wanachanjwa kwa hiari na ukitaka kusafiri inategemea wapi unaenda labda nchi unayoenda iwe imewekwa sharti la chanjo kama hakuna unapimwa tu na safari inaendelea juzi tu mtuamesafiri nchi jirani na amepima wala hajachanja
@halimahamis37423 жыл бұрын
@@habibahadithi5080 kweli kabisa mbona mm nipo nchi zawazungu nacjachoma nimekataa na home nitaludi vizuli kunawazungu pia wa anaikataa hiichanjo
@arbogastemiykimario27213 жыл бұрын
Sasa Kama kufa ni mipango kwann tuchange
@swaibuiddy20643 жыл бұрын
Apo shekheee kunakitu
@zvpOnlineTv3 жыл бұрын
Naam
@shabanijuma20853 жыл бұрын
Sheikh usiogope matusi kwenye
@alphoncejuma96523 жыл бұрын
Ww inakuhusu nn kwani saizi serikali inagharamiki nn acha hizo
@shabbymakapaneshabby50003 жыл бұрын
Kwani kosa lake nini?
@omarmohd12623 жыл бұрын
Huyu jamaa boya kama kufa anopanga ni mungu mbna anatufos kupiga chanjo ..inaonekana linaonekana linaogopa kufa hili sisi tushamkabizi mungu
@omaryseshambi64683 жыл бұрын
Wewe umemsikiliza hadi mwisho?
@omaryseshambi64683 жыл бұрын
Umemsikiliza hadimwisho au umekurupuka
@omarmohd12623 жыл бұрын
@@omaryseshambi6468 nimemsikkiliza kiukweli broo shafi kwa hapa amefeli sana ameshusha hadhi yake nibora angenyamaza tuu
@kutailadifi28543 жыл бұрын
@@omarmohd1262 ulipo Skiliza had Mwisho umemuelewa Vp?
@omarmohd12623 жыл бұрын
@@kutailadifi2854 yy anataka chanjo iwe lazima kwasababu ya kipengele kile kilichowekwa kiondolewe lakn
@jumamuna23153 жыл бұрын
Kwa we lazma uliongelee hilo mbona mzee alipoikataa chanjo hukuongea