Рет қаралды 6,284
“Mwenyetiki wa Bodi atakuwa ni Rais wa Klabu ya Yanga” maneno ya Rais wa Yanga, Hersi Said akielezea muundo wa Bodi mpya itakayoundwa baada ya mchakato wa mabadiliko kukamilika ambapo wajumbe watano watatoka Yanga na wanne watatoka upande wa wawekezaji ili kuunda Bodi ya kampuni ya Yanga SC.