Kisiwa cha Wasini eneo la pwani ni chenye historia kongwea

  Рет қаралды 25,132

NTV Kenya

NTV Kenya

5 жыл бұрын

Kisiwa cha Wasini kusini mwa pwani ya Kenya kina historia ndefu mbali na kuwa kivutio cha utalii. Hii hapa simulizi ya historia ya Wasini japo kwa muhstasari kutoka kwa miongoni mwa wengine Mzee Shehe Fumo ambaye kwa sasa ana miaka 97.
Watch more NTV Kenya videos at ntv.co.ke and nation.co.ke.
Follow @ntvkenya on Twitter.
Like our page on Facebook: NTV Kenya.
Follow and Double tap on Instagram: NTV Kenya
Join Our Telegram channel: www.telegram.me/NTVNewsRush

Пікірлер: 31
@kuschprince3216
@kuschprince3216 3 жыл бұрын
"Serikali haijawasaidia tangu uhuru!! Na hata wakija watumishi wao hutaka kuiba/ kunyakua mashamba!! Hiyo ndio laana na dhulma ya serikali zote zilizotawawla.Hawataki kusaidia watu wa pwani, wanataka wafaidike hao mwanzo, Aibu,. shame on them. Mwenyezi Mungu azidi kuwapa"Subra, hekma, maarifa ya kujikimu weyewe kimaisha.
@humanitydensity8974
@humanitydensity8974 2 жыл бұрын
nijicho linaloona sio camera!
@kisa6022
@kisa6022 2 жыл бұрын
Sema unachokijua usiseme yote unayoyajua
@muhmuhsini005
@muhmuhsini005 4 жыл бұрын
Taarifa nzuri, na ingezidi kuwa nzuri kama ingemalizika vizuri. Asante
@kisa6022
@kisa6022 2 жыл бұрын
Taarifa nzuri lkn jee ya ukweli??
@aboodal7127
@aboodal7127 4 жыл бұрын
Peace full Island Mashallah.
@saadakhatibu8793
@saadakhatibu8793 2 жыл бұрын
Wanazugumza kiswahili lahaja ya kiunguja
@mosaidi2633
@mosaidi2633 2 жыл бұрын
Karibuni Pemba
@rafaelmarquez9396
@rafaelmarquez9396 2 жыл бұрын
Wanazungumza lahaja ya kiunguja kiswahili fasaha
@humanitydensity8974
@humanitydensity8974 2 жыл бұрын
wamenda na walio yakuta wametuacha natuloyaona elimu bahari...taarifa ni athari. Allaah awarahemu
@kisa6022
@kisa6022 2 жыл бұрын
History yenu inajirudia tu
@safarijohn1499
@safarijohn1499 4 жыл бұрын
wasini a very peacefull island and aplace to be
@kisa6022
@kisa6022 Жыл бұрын
Nani amekuambia ushenzi wote Uko wasini sema it’s isolated island
@hassanajiruu7793
@hassanajiruu7793 2 жыл бұрын
Nyie vijana mnao thalilisha wanati wa wasini acheni uthwalimu Ardhi baba yenu mnahakika gani kama ardhi alipata kihalali nyie vijana Tafuteni chenu achaneni na Urithi msio Ujuwa mwazo wake.Acheni kubukhudhi wanati wa wasini. Mtafute Mali zenu wenyewe Acheni kungangania ardhi za UMA WA KISLAMU WA WASINI..!
@kvfihf6324
@kvfihf6324 3 жыл бұрын
Sightseeing
@feisal6592
@feisal6592 Жыл бұрын
Wajabunherii mvuaa kushushwa njemaa itakuwa kahizii iitafanyika kwamiyakhhfd muhisawalishamiooangoo muhimuu
@kisa6022
@kisa6022 2 жыл бұрын
Hicho kikundi cha wasini au cha family ya Huyo Saggaf maana kisiwa chote mnadai ni chake
@kisa6022
@kisa6022 Жыл бұрын
Mumeifisidi wasini sasa hata sura za watu wa wasini huwezi kuzitofautisha na za shimoni. Mkwiro au chwaka
@ahmedbaamironlinetv4753
@ahmedbaamironlinetv4753 Жыл бұрын
SIO utalii uchafu na Ndio MAANA neeema na heri ZA Allah zkapotea na hilo ndio wazungu wanalo taka basi
@kisa6022
@kisa6022 2 жыл бұрын
Huyo ni Hadija zubeda Abdalah sio Hadija bakari
@kisa6022
@kisa6022 2 жыл бұрын
Huyu mzee hapo hana history yoyote mzandiki ndie alie angamiza haki za watu nyengine akawagawanyia watoto wake wote na nyengine akawapa county council Yeye ndie aluongoza kamati ya ufisadi hata ukimsikiliza utajua hajui hata anachikisema. Muulize hio falak ni sheikh gani aliisoma Waache kupitosha umaa mutakua masuul mbele ya mungu
@sireedelbaurry
@sireedelbaurry 2 жыл бұрын
We wajuaje mambo ya wasini?
@kisa6022
@kisa6022 2 жыл бұрын
Pengine Kama unavyojua wewe kwa mtandao. KZbin na pia naona kwa magazeti
@kisa6022
@kisa6022 2 жыл бұрын
Wajua kwanini huyu mzee aliwakatia watoto wake wote mashamba wakiwa bado wadogo wakiwa shule ila yule wa mwisho kwa jina sijui tochi au choti?alikua na wsws Kama Sio damu yake maana kulikua na mzee anamfanyia faulu
@kisa6022
@kisa6022 Жыл бұрын
Mzee fisadi sana
@mrsfahad5693
@mrsfahad5693 Жыл бұрын
Fisadi ww ngombe
@kisa6022
@kisa6022 2 жыл бұрын
Very wrong information Wapotoshaji tu wazee wasiojifahamu waliofanya ufisadi na dhulma kubwa
@suzieslae553
@suzieslae553 2 жыл бұрын
Heshimu wazee wanaoengea ukweli mtupu. Endelea kupotoka
@kisa6022
@kisa6022 2 жыл бұрын
Unaona panaongewa ukweli hapi au panatafunwa maneno? Muongeaji ukweli haombi msaada wa kuongelewa na mtu mwengine. Jua kupambanua usiwe Kama wale summu bukummu umyuu fahum la yarjiuun
@mrsfahad5693
@mrsfahad5693 Жыл бұрын
Waongea kma ww n shariff
@mrsfahad5693
@mrsfahad5693 Жыл бұрын
R.I.p
Sema Nami: Walibora asema na Abdurahim Ali Bakathir
6:21
NTV Kenya
Рет қаралды 22 М.
Pwani kujitenga: Mchakato wa kujitenga na siasa
31:22
KTN News Kenya
Рет қаралды 7 М.
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 33 МЛН
Is it Cake or Fake ? 🍰
00:53
A4
Рет қаралды 20 МЛН
Универ. 13 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:07:11
Комедии 2023
Рет қаралды 6 МЛН
Haha😂 Power💪 #trending #funny #viral #shorts
00:18
Reaction Station TV
Рет қаралды 14 МЛН
Historia ya Kilwa na sarafu yake
37:10
ITV Tanzania
Рет қаралды 7 М.
Maisha ya ukwasi ya Sultan wa kwanza Zanzibar
38:51
ITV Tanzania
Рет қаралды 4,8 М.
Historia ya kujitenga: Viongozi wa Pwani wataka kujitenga
3:09
KTN News Kenya
Рет қаралды 7 М.
A trip to Wasini Island
5:34
Adventure Singh
Рет қаралды 10 М.
Fahamu biashara ya vipodozi asili vya Comoro
5:39
BBC News Swahili
Рет қаралды 6 М.
IJUE COMORO
4:45
TBConline
Рет қаралды 32 М.
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 33 МЛН