Kazi safi mwakatobe ila huyu mzungu wa chongo anatuboesha maana wengine hatujasoma bana😅😅
@Alexismadimo4 ай бұрын
Safar hii mmetukomesha kaz imechelewa sana Kaz nzur mwakatob n kundi lako
@kamatabraisus79554 ай бұрын
Nikiwa kama shabiki wenu kaka naomba mpunguze siku za kutoa hii kitu ni nzuri mno tunasuburi sana kaka
@Midekotee4 ай бұрын
Mwakatobe me vile napenda kuangalia movie zako ❤❤❤❤🎉🎉🎉
@hafidhmohamed49334 ай бұрын
Mwakatobe uko vizuri snaa wallai❤❤
@PirfaImanipirfa-vj3oz4 ай бұрын
Pashambe anatisha km mchawi kwl, ata kwa chunvi nyingi alikuwa anatisha vibaya sana 😂❤😢
@aganzeroger4 ай бұрын
Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 mwakatobe
@KoreanDramaMoviesKiswahili4 ай бұрын
❤❤❤
@SaimoniAloisi4 ай бұрын
Tafathar na mm naombeni like 5
@ArafaHassan-qv2xm4 ай бұрын
Korokondokodo 😂😂😂😂😂 mwajatobe bana unafraisha biti gomba kayayuja yayuuuu kana barafu hhhhh roho tamu jamani hongereni kwa kazi nzur❤❤❤🎉🎉🎉
@mwanjifilms1234 ай бұрын
😂😂😂
@Decano_africa4 ай бұрын
Wa mwisho Mimi naomba like zangu hata tano tu
@Shedafa964 ай бұрын
kzbin.infobj7toAFm-Ls?si=O3gXiEsFlDzu-aed
@KusahBadboy-g9t4 ай бұрын
Matatu kenya nganya izooo i like it
@MoTalentTz4 ай бұрын
Kazi kazi mjomba 💪🏻💪🏻🙏🙏🙏
@JojoSrena4 ай бұрын
Wa chawi wakila nyama za watoto wa wezio huwa wana fulai. Ila ikifika kwa watoto wao wanaumiya. Duuh
@samyabahatialhiani4014 ай бұрын
😁😁😁🤣bibi mgomba weye nipasuwa kicwa naskiya kukupenda tu bure 🇧🇮
@RashidMwanga4 ай бұрын
yote tisa ila huyu pashambi ananibamba sana kama mchawi kweli vile alafu yupo serious kweli kweli
@rajabumuhamed4774 ай бұрын
Wa kwanza nipeni like zangu Makatobe
@sadakombo-li7yi4 ай бұрын
Sinaga ubabe wa kwanza nipeni like zangu kwa movie tamu yenye kuburudisha
@Shedafa964 ай бұрын
kzbin.infobj7toAFm-Ls?si=O3gXiEsFlDzu-aed
@AnnaliahWanjiru4 ай бұрын
Toa huyu muzungu anaharibu sana na kizungu #kenya
@emmanueldouglas56714 ай бұрын
heti mi wa kwanza naombeni like, kuna watu vilaza humu, sas like zina wasaidia nn
@abdullatif0534 ай бұрын
😂😂😂
@MangobabyApollo4 ай бұрын
Mimi nashangaa unakuta mtu ana watoto wakubwa kakazana you tube likes likes kama mifara
@RACHIDDOG-SINATAS6664 ай бұрын
Hiyo ni bonge la movie 🇨🇩💚🌹🌹🌹
@Mzumenijr4 ай бұрын
Waungwana na mm naombeni like ata 10
@ARONPaul-bz3ws4 ай бұрын
Bi migombaaaa mbwaa wewe😅😅😅😅
@mahmoudnajad2174 ай бұрын
From Zanzibar kazi nzr Mwakatobe💪
@dorisMFINANGA4 ай бұрын
I love you mwakatobe nice job
@EmmanuelKunzugala4 ай бұрын
Nige Nene ngwalalaaaaa X2 😊😂😂😂😊😊😂😂
@sandemwanaisha8794 ай бұрын
Like zinafaida Gani nipeni namimi nipate faida
@ZuratyAkida4 ай бұрын
Director unazingua unachelewesha kutoa mwendelezo mpk tunasahau jamn
@AbdurahimMohd2 ай бұрын
Sema butuwa me nakukubal kaka ila umu unabow kdg kizung mkuti kingi sana
@Awoshy4 ай бұрын
Hufiii ila cha moto utakiona😂😂😂😂solokondo kodo🤣🙌ila Mwakatobe ❤
@VailethYusi3 ай бұрын
Nawakubali sanaaaa pongezi 🎉🎉🎉🎉🎉
@josephkamage71694 ай бұрын
Wakwanza Leo naomben like zang
@Carlos_furaha4 ай бұрын
Aaaaaa ...unatakiwa upakuliwe☺️☺️☺️ uroho
@aishaomar22874 ай бұрын
Kwahio mwakatobe shuhulini hatufai kula zaidi ya kiwango tulochqngia😂😂...haya weee kolokodokodoooo🎉🎉🎉
@FatumaAli-e9y4 ай бұрын
Mwakatobe unajituma baba big up kaka
@Eshaomari4 ай бұрын
Waah hio kali mwakwtobe ati matatuu kenya huko wanafanya bajaji🤣🤣
@ShamsaFahad-n8v3 ай бұрын
😂😂😂 bi migomba anaogopa kuliwa nyama ilaunapenda kula za wenzio nyoo tulia uliwe😂😂😂
@MangobabyApollo4 ай бұрын
Unajua nashangaaa sana watu mko busy kukazana likes kuanzia comment yakwanza adi ya. Mwisho ni likes hivi akuna comment ambayo ikamshauri @mwakatobe kuhusu kazi na jinsi ya movie
@FredowPalangPalangmurumbFreddy4 ай бұрын
Ashambe and mwakatobe the best actor
@bensonponera4 ай бұрын
Safi Sana mwakatobe nakubali sana katika kazi yako
@FatmaMussa-g9n4 ай бұрын
Mbn mnachelew Sana kutoa muendelezo jamoniii 😅
@Mubarakaashim4 ай бұрын
Mwakatobe we noma
@AsifiweImani4 ай бұрын
Mwakatobe kacheza vema kbs
@rechobinamuyenzi7394 ай бұрын
Movie tamu kweli kweli 😘😘
@SaraUlaya-is2ch4 ай бұрын
I love you mwakatobe wangu❤❤❤
@MaryamKona4 ай бұрын
Mzungu unaboaaaaaaas,,,acha na icho kizungu kibaya bwanaaa
@amissiBonge4 ай бұрын
Bashambe anajuwa sana,mupe nafasi,anajuwa
@stanny.auto3354 ай бұрын
Sanaaa
@lameckaugustine19724 ай бұрын
Mwakatobe mbona ndevu Amna Toka snake boy 2 nauku ndevu Amna ila tule kuku bas😂😂😂
@os3kizzytheclassegang9374 ай бұрын
Saluty sana mwamba kalibu Mozambique 🇲🇿😂😂
@rajabachu8784 ай бұрын
Mnachelewesha sana kazi halafu ikitoka inakuwa na dk chache kwann muwe na huruma kwa sisi wateja wenu mm sitaki like hata nikiwa wa kwanza
@MRJ13084 ай бұрын
Mbona dakika nyingi isitoshe anacheza na snake boy anajitahidi sana
@rajabachu8784 ай бұрын
@@MRJ1308 Bado dk hazitoshi
@marangotv77484 ай бұрын
Hii mumeicheza usiku sana
@BethaMageuza4 ай бұрын
Mwakatobe bhana ety nendeni kwa Amaniiiiiii
@KidalosMafumbula4 ай бұрын
Bashambe kauwa sana
@stanny.auto3354 ай бұрын
Sqna mi ananidurafhishaga sana
@KidalosMafumbula4 ай бұрын
@@stanny.auto335 ule Jama ni Noma sana
@swabiaa14894 ай бұрын
Ila bi migomba na pashambe kama wachawi kwli mhu🙌
@ARONPaul-bz3ws4 ай бұрын
Mjanjaaa kuwaiii mwendooo wa usembeeee tuuuuu kulaaninaaa😂
@RaphiaKassamaly-sd3uk4 ай бұрын
Hahaha umetishaa sana
@Mwanaidimadudu4 ай бұрын
Who is passing around my interview 😂😂😂Boda bodaa butua hicho kizungu chako😂😂😂😂😂😂😂😂
@MukandoriChella4 ай бұрын
Ananiuzi sana anachukua mda murefhu kuongea vitu visio Na mana 😮
@youstybreezy4 ай бұрын
Zinga Ebu Gonga Like Hapa
@DivaKhamis4 ай бұрын
Watch from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@shidashida60604 ай бұрын
Huyo jamaa anaejifanya anaonge kizungu anaharibu movie
@AminaIbrahim-nt5zz4 ай бұрын
u no ech wother 😅😅😅 mzungu wa mwakatobe😅😅😅
@DaniBoeeTz4 ай бұрын
😂😂eti apakuliwe dah 😂😂😂
@MARYAM808ZING4 ай бұрын
Kazi nzur san❤
@kadijaa77714 ай бұрын
Ohoo kumbe tanzani pia yako yakupakuliwa sote wamoja kumbe jamani nawapenda nduguzetu watanzani from kenya ila kichambo chamganga sasa😂😂😂
@RUKIAOmar-f9i4 ай бұрын
Kazi nzuri snaa
@johnrogeo21614 ай бұрын
Kazi safi 👍
@JimmyrWamungu4 ай бұрын
zongo🤣🤣🤣🤣Nakubali xana Mwakatobe 4m 🇧🇮🇧🇮
@samyabahatialhiani4014 ай бұрын
😁😁😁🤣bashambe sikugani ukakuwa moga
@jenniferanton15174 ай бұрын
We unakela na hicho kingereza chako unaboha kweli unahalibu move
@JimmyMwamlenga4 ай бұрын
Huyu mhuni mwanga anachekesha sanaaaaa
@swalehbakari26674 ай бұрын
Wamwisho leo
@everdhekay49244 ай бұрын
Use wife matirial husband 🤣🤣🤣🤣 don't viory butua
@Joyce-qf5px4 ай бұрын
Mwakatobe ❤❤❤❤❤❤❤
@Chazmusic_official4 ай бұрын
Naombeni mnifollow bas jaman plz kuna mambo mazur kwenye channel yang plz jaman😢
@DionizAmos-u2vАй бұрын
Imetisha sana
@JimmyRama-oh9ld4 ай бұрын
Acha vingereza wewe movie ya kiasilii hiyo kaka unachanganya😂
@kisubikilozo61284 ай бұрын
Sorokodo kobo mmm mwakatobe mpeni mauwa yake
@AbdulMussa-ff9yl4 ай бұрын
Bi mgomba ameanza jeshi la mtu mmoja baada ya kushindwa kutimiza kafara ya mwanae maana ametengeneza uadui Kati yake na wachawi wenzie ni hatari 🤣🤣🤣🤣 naye mwakatobe anawatibu watu kwa kuwajoki eti tumbo kama tungi la gesi noma sana🤣🤣🤣🤣
@Carlos_furaha4 ай бұрын
Migenene gwalala migenene gwalala☺️☺️☺️☺️☺️ Nenden kwa aman