MACHOZI YA SENGA MSIBANI KWA PEMBE, ALITUAGA KABISA, INANIUMA SANA

  Рет қаралды 31,050

Mbengo Tv

Mbengo Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 174
@neemanziku5403
@neemanziku5403 9 сағат бұрын
Pole Sana mzee senga
@Moha-l3c
@Moha-l3c 10 сағат бұрын
Innalillahi wa inailahi rajiun Allah ajaalie kaburi lake na letu yawe mabustani ya jannah....ameen
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 11 сағат бұрын
Pole sana Mzee Senga kwa kuondokewa na pacha wako,ukweli tasinia ya sanaa haitaweza kupata tena msanii aina yake
@zuumlondwa9518
@zuumlondwa9518 9 сағат бұрын
Sana walikuwa wote sana
@FATHIYA002
@FATHIYA002 9 сағат бұрын
Pole sana mzee tunakuombea uwe na subra wewe kweli rafiki wa kweli umepata pigo pole
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 12 сағат бұрын
Pole Sana Sana mzee senga .
@ezekielbkuyeko5241
@ezekielbkuyeko5241 10 сағат бұрын
Poleni sana familia, industry of bongo movie, ndugu jamaa na marafiki na Tanzania kwa ujumla
@FatmaSaid-j9o
@FatmaSaid-j9o 10 сағат бұрын
Innalilah waina ileyhi rajiun inshaAllah Allah amjaliye kauli thabit nasi tulo baki Allah atujalie mwisho mwema ameen
@naomibildad509
@naomibildad509 11 сағат бұрын
Pole sana Senga, pole nyingi pia kwa familia. Mungu awafariji.
@RizikiGunda
@RizikiGunda 10 сағат бұрын
Duh pole kwafamilia poleni pia kwawaigozaji wetu watathnia ya filam za bongo muvi maana mzeewetu pembe alikua muigizaji mahiri naanaye jituma poleni Sana Bwana ametoa na Bwana ametwaa jinalake nalihimidiwe !!🙌🙌🙌🙏🙏🇹🇿
@Najima-r6r
@Najima-r6r 12 сағат бұрын
Pole sana mzeee wetu senga umempoteza rafiki😢😢
@siwonikewilliam9146
@siwonikewilliam9146 13 сағат бұрын
Pole sana senga kwa kuondokewa na rafiki ndg,Apumzike kwa amani
@mejumaabaraza3989
@mejumaabaraza3989 10 сағат бұрын
Urafiki wa senga na pembe kama urafiki wa Mzee majuto na Mzee small😢
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 10 сағат бұрын
Poleni sana Tasnia ya Sanaa na Wanafamilia kumpoteza Mpendwa wetu😢😢😢😢😢
@gladnesswazir-zz9lk
@gladnesswazir-zz9lk 10 сағат бұрын
Pole sana babaang senga haki umeumia....polen familia r.i.p pembe 😭🤲🙏💔🕊️
@georgeomondi4567
@georgeomondi4567 10 сағат бұрын
Pole zetu kutoka nchi ya Kenya mashabiki wa vipindi zenyu 😂🕊️🇰🇪🌹🇹🇿🕊️🇰🇪🕯️🇹🇿🕊️🕯️🇰🇪🌹🇹🇿🕯️🇹🇿🙏🇹🇿🕊️🇰🇪🌹🇰🇪🌹🇹🇿🕊️🌹🇹🇿🇰🇪🌹🕊️🇰🇪🇹🇿🌹🇰🇪
@teedullah5708
@teedullah5708 12 сағат бұрын
Poleni Sana Asa mzee senga pole sana
@MaryMgaluli
@MaryMgaluli 9 сағат бұрын
Poleni sana ndugu jamaa kwa kumpoteza mpendwa wenu.
@deborahrehema4066
@deborahrehema4066 12 сағат бұрын
Yoh 😢😢😢😢😢pole sana mzee Senga ni painful 😢 💔 😢
@JescaMwakaponda
@JescaMwakaponda 12 сағат бұрын
Pole sana senga /Mungu akutie nguvu katoka hiki kipindi kigumu
@OmanOman-hj7tv
@OmanOman-hj7tv 9 сағат бұрын
Pole mzee senga na familia ya marehemu
@ellyjacob9897
@ellyjacob9897 12 сағат бұрын
Dah Mzee wangu senga pole sana
@josephinejoseph3919
@josephinejoseph3919 12 сағат бұрын
😢😢Pole Sana senga yani una maumivu ya Hali ya juu
@ZahorSalum-h9q
@ZahorSalum-h9q 12 сағат бұрын
Pole sn .Mzee .wetu hkika imekuuma .sn..Allah amsamehe makosayake
@AzizSalumu
@AzizSalumu 11 сағат бұрын
Pole Sana mzee wangu tumuombee Ina Lilah waina ilahi rajiuun
@FelixEliudy-rc1nb
@FelixEliudy-rc1nb 10 сағат бұрын
Kwa mara ya Kwanza nasikia Mzee senga namsikia akiongea silias imemuuma sana.
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 9 сағат бұрын
Pole sana Senga
@TonnyJimmy-z5c
@TonnyJimmy-z5c 13 сағат бұрын
Bora we umempa shikamoo kuna mitangazaji inasemaga Heshima yako
@halimamasai2234
@halimamasai2234 13 сағат бұрын
Kweli mi inanikera eti mtu mzima unamwabia heshima yako sijui ndo nini maana yake watanzania tuna salam zetu shikamo ndo hesima kwa wa kubwa
@dicksonulotu7427
@dicksonulotu7427 12 сағат бұрын
Haaaahaaaa unakuta tayari alikuwa amemsalimie😂
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 12 сағат бұрын
Safi kabisa,wafundishe na wenzio
@bongatv25
@bongatv25 12 сағат бұрын
​@@halimamasai2234 shikamo siyo dili wewe salam ya kitumwa
@sakinahyela545
@sakinahyela545 10 сағат бұрын
Poleni sana
@AyubuChacha-u6u
@AyubuChacha-u6u 12 сағат бұрын
Polen sana senga na familia ya pembe
@Al-farsy-l6p
@Al-farsy-l6p 9 сағат бұрын
Allah akutie nguvu babaetu
@KawserA-hw1j
@KawserA-hw1j 9 сағат бұрын
Pole sana
@esthermichael4653
@esthermichael4653 11 сағат бұрын
Pole sana mzee Senga na mwandishi maswali yako yaweke vizur usirudie rudie
@Daniella249
@Daniella249 12 сағат бұрын
Poleni sana familia
@Fatmashilinde-nu4fj
@Fatmashilinde-nu4fj 9 сағат бұрын
Pole sana mzee senga 😢😢😢😢😢
@IsayaKavina
@IsayaKavina 12 сағат бұрын
poleni saana wandugu ukweli huo msiba umetugusa wengi poleni familia pole sana ndugu yangu senga
@VisentSoko
@VisentSoko 10 сағат бұрын
Pole Sana senga
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 9 сағат бұрын
jamani nampenda Senga yani kweli nishazeeka kama hawa wachekeshaji wamekua baba zangu hata mimi nshakua kikongwe,RIP baba yangu kipenzi Pembe
@dicksonulotu7427
@dicksonulotu7427 12 сағат бұрын
Pole sana Mzee Senga
@tumainieliud8702
@tumainieliud8702 9 сағат бұрын
Senga bana Pole sana 😢 eti kichwa kimeingia vairasi
@AminaJuma-sp4ii
@AminaJuma-sp4ii 10 сағат бұрын
Pole sana baba yetu senga inauma sanaa tume mpenda mungu kampenda zaidi😢😢
@jasirimjasirimedia7940
@jasirimjasirimedia7940 9 сағат бұрын
Poleni sana jamani Mungu awafariji wafiwa wote
@VeronicaCrement
@VeronicaCrement 10 сағат бұрын
Pole sana mwenyezi mungu apumzishe kwa amani
@AshoreAa
@AshoreAa 12 сағат бұрын
Pole sana senga ngoni mwenzNgu imetuumizz hata sie mzee wetu akituchekesha sana mungu ampe kauli thabit awe na makazi mema mungu Amsamee pale anapo kosea
@benjaminpaschalkayombo2394
@benjaminpaschalkayombo2394 12 сағат бұрын
Senga ni Mngoni
@bongatv25
@bongatv25 12 сағат бұрын
Ila mbengo upo vizuri
@hodamzungu4107
@hodamzungu4107 9 сағат бұрын
maneno mazima sana
@Fatima-v9k6f
@Fatima-v9k6f 12 сағат бұрын
From 🇧🇮 inalillah wa inalillah rajiun
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 12 сағат бұрын
Pole sana umepoteza mtu na watu kuwapata ni shida
@isaiahmakenzi9243
@isaiahmakenzi9243 11 сағат бұрын
Pole sana Mzee Senga na familia yote kwa ujumla RIP pembe🕯️
@AgnessDaud-jk7ro
@AgnessDaud-jk7ro 12 сағат бұрын
Pole san Senga,Mungu akupatie faraja
@latifasalum7611
@latifasalum7611 10 сағат бұрын
Pole sana senga ulimpenda sana pembe lkn allah kampenda zaid
@FatimaMuhammed-n8y
@FatimaMuhammed-n8y 10 сағат бұрын
Poleni Sanaa wana family
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 10 сағат бұрын
Pole sana Mzee senga rafiki yako pembe kakuacha
@deadcrush
@deadcrush 10 сағат бұрын
Tayari kichwa kimeingia virus.😂😂
@pena_tz
@pena_tz 12 сағат бұрын
pole senga
@KhalifaIjabariro
@KhalifaIjabariro 12 сағат бұрын
Polee mzeee sengaa
@georgeomondi4567
@georgeomondi4567 10 сағат бұрын
Pole poleni Sana ndugu jama na marafiki atuna lakusema yote Niya mwenyezi MUNGU 🕯️🕊️🌹🇰🇪🌹🇹🇿🕯️🕊️🇹🇿🕊️🕯️🇹🇿🌹🇰🇪🙏🌹🕊️🇰🇪🕊️🇹🇿🕊️🌹🇰🇪🕊️🇹🇿
@hawababy120
@hawababy120 10 сағат бұрын
Pole san mze senga😢😢Allah Amrehemu zaidi😢🇧🇮
@ThadeiAndrea
@ThadeiAndrea 9 сағат бұрын
Mwenyezi Mungu ailaze loho ya malehemu peponi Amin
@victoriamazula5592
@victoriamazula5592 8 сағат бұрын
Ni roho na marehemu. Siyo loho na malehemu
@rayahamisi118
@rayahamisi118 9 сағат бұрын
Kwani mwandi amujui kuuliza😢😢
@andrewsharuwa
@andrewsharuwa 11 сағат бұрын
Pole sana mzee wetu napo umejikaza kuongea 😭😭😭😭 rest easy pembe wetu jaman
@MagrethKyando-l4g
@MagrethKyando-l4g 10 сағат бұрын
Pole sana mzee Senga
@wachimbavisima
@wachimbavisima 11 сағат бұрын
sisi ni waja wake na sote tutatejea pumzika ndugu yetu mungu akupe pumziko lenye amani
@mrambadiana9678
@mrambadiana9678 10 сағат бұрын
Maskin kaumia sana Mungu awape faraja Anajikaza tu baba wa watu😢😢😢
@mejumaabaraza3989
@mejumaabaraza3989 10 сағат бұрын
Pole Mzee sengs kifo chetu sote
@FatmaJuma-h3i
@FatmaJuma-h3i 10 сағат бұрын
Allah amsameh nampe malazi mema huko akhera aendako
@BravoEliashibu
@BravoEliashibu 12 сағат бұрын
Polen sana mzee senga pole sana
@seifseif5549
@seifseif5549 10 сағат бұрын
M mungu amsamehe makosa yake ammin
@HaniphaAbdallah-c6e
@HaniphaAbdallah-c6e 12 сағат бұрын
Pole sana senga Dah😭😭😭😭
@JemaDo-q3r
@JemaDo-q3r 8 сағат бұрын
Pole seng
@hawaa341
@hawaa341 10 сағат бұрын
Pole senga kuondokewa na pacha wako pia wote wanafamilia nawapa pole
@AdelaMgaya-st1vb
@AdelaMgaya-st1vb 12 сағат бұрын
pole sana mzee senga
@MwanahamisiSaidRamadhani
@MwanahamisiSaidRamadhani 9 сағат бұрын
Huyu mzee minikimtazama tu najiwa na kicheko ataka yupo sirias
@RamadhaniOmary-e3d
@RamadhaniOmary-e3d 12 сағат бұрын
Mzee senga pole sana
@floridamwalongo5172
@floridamwalongo5172 11 сағат бұрын
😢😢😢 Pumzika kwa amani na pole saaana mzee
@AdolphinaLupogo-l2n
@AdolphinaLupogo-l2n 11 сағат бұрын
Mungu ailaze roho yake mahar pema
@Sengakarera
@Sengakarera 10 сағат бұрын
Pole sana senga na tanzania kwa ujumla,
@TausiMokiwa
@TausiMokiwa 11 сағат бұрын
Poleni sana ndugu jamaa na malafiki wote
@YekoniaBilama
@YekoniaBilama 9 сағат бұрын
Polen ndugu jamaa mlio guswa na msiba huo
@GhanimaHamadi
@GhanimaHamadi 11 сағат бұрын
Innalilah ndio mwisho wetu sote tuta 10:57 kumis sana pembe na tungu yako na maneno yko ya kufurahisha
@ishaniramadhani8710
@ishaniramadhani8710 10 сағат бұрын
Navaa viatu vya senga jinsi alivyo pokea huo msiba nimejikuta napokea maumivu makali sana pole sana senga pole tanzania tumepoteza mtu mtu aliye tufariji sana kipindi tukiwa na msongo wa mawazo
@MmMm-tt1wi
@MmMm-tt1wi 11 сағат бұрын
Polen sana wanafamilia😢
@batwelimahenge7850
@batwelimahenge7850 10 сағат бұрын
Daaaaa mzee pembe🙏🙏🙏😭😭
@Kidotii
@Kidotii 11 сағат бұрын
Lala salama Pembe! Ahsante kwa kutupa Tabasamu!
@ZachariaMwita-bu7rw
@ZachariaMwita-bu7rw 12 сағат бұрын
Dah pole sana mzee wetu MUNGU atukie nguvu😢
@chrissTitus-li1vp
@chrissTitus-li1vp 10 сағат бұрын
Binafsi sijapenda mwandishi kwa jinsi ulivyo Fanya mahusiano interview mbovuu
@AminaMkumba-u3z
@AminaMkumba-u3z 11 сағат бұрын
Pole sana Mzee senga
@safarimallya4536
@safarimallya4536 12 сағат бұрын
Dah pumzika kwa amani mzee wangu ...
@AshuraIbrahim-r3l
@AshuraIbrahim-r3l 9 сағат бұрын
Innalillah wainna illah rajiun 😢
@ZenahZenah-w3u
@ZenahZenah-w3u 10 сағат бұрын
Inalilay waina hilay rajiun pole sn mzee senga kwa kipindi iki kigumu.
@FatumaJuma-b2g
@FatumaJuma-b2g 10 сағат бұрын
Innalillah wainnalillah raajuun pole senga
@EstherJohn-tz9ov
@EstherJohn-tz9ov 10 сағат бұрын
Duh poleni sana
@DaudiMazengoMasterDTEM
@DaudiMazengoMasterDTEM 11 сағат бұрын
R.I.P my best commedian
@JosephJoseph-s7k
@JosephJoseph-s7k 10 сағат бұрын
Poleni 😢😢😢😂
@chidmp
@chidmp 12 сағат бұрын
Innalillah llah wainnal llah rajuh pumzika kwa amani mzee pembe
@alexanderibrahim3481
@alexanderibrahim3481 11 сағат бұрын
Mungu akutie nguvu
@MomadeMudimoz70-cs2ud
@MomadeMudimoz70-cs2ud 9 сағат бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
@AyubuChacha-u6u
@AyubuChacha-u6u 11 сағат бұрын
Ndugu za pembe na rafiki yake pembe tunawaba polen sana ndugu zangu.
@AbusheheKhalifa
@AbusheheKhalifa 10 сағат бұрын
Poleni wanafamilia ya uchekeshaji
@FatumaAbdalah-sj3dz
@FatumaAbdalah-sj3dz 9 сағат бұрын
Innalila wa innalila rajiun😢😢
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 10 сағат бұрын
Senga bhana eti ni sawa na boda boda na mataili yake moja limenyofuka. Pole sana mzee senga
What Social Isolation Does To Your Brain - How To Undo The Damage
6:05
Dr. Tracey Marks
Рет қаралды 2,3 МЛН
Good teacher wows kids with practical examples #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 13 МЛН
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 8 МЛН
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,7 МЛН
ITAKUTOA MACHOZI; MANENO YA MUOGO MCHUNGU MSIBANI KWA PEMBE
9:13
JOTI AWALIZA WATU MSIBANI KWA PEMBE, SKIA MANENO YAKE
8:57
Mbengo Tv
Рет қаралды 1,1 М.
HATIMAYE MZEE ALIYETEKWA NA WANAWE AFUNGUKA MAZITO
7:53
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 187 М.