Innalillahi wa inailahi rajiun Allah ajaalie kaburi lake na letu yawe mabustani ya jannah....ameen
@revocatusmalimi452511 сағат бұрын
Pole sana Mzee Senga kwa kuondokewa na pacha wako,ukweli tasinia ya sanaa haitaweza kupata tena msanii aina yake
@zuumlondwa95189 сағат бұрын
Sana walikuwa wote sana
@FATHIYA0029 сағат бұрын
Pole sana mzee tunakuombea uwe na subra wewe kweli rafiki wa kweli umepata pigo pole
@hajiramadhanihaji35512 сағат бұрын
Pole Sana Sana mzee senga .
@ezekielbkuyeko524110 сағат бұрын
Poleni sana familia, industry of bongo movie, ndugu jamaa na marafiki na Tanzania kwa ujumla
@FatmaSaid-j9o10 сағат бұрын
Innalilah waina ileyhi rajiun inshaAllah Allah amjaliye kauli thabit nasi tulo baki Allah atujalie mwisho mwema ameen
@naomibildad50911 сағат бұрын
Pole sana Senga, pole nyingi pia kwa familia. Mungu awafariji.
@RizikiGunda10 сағат бұрын
Duh pole kwafamilia poleni pia kwawaigozaji wetu watathnia ya filam za bongo muvi maana mzeewetu pembe alikua muigizaji mahiri naanaye jituma poleni Sana Bwana ametoa na Bwana ametwaa jinalake nalihimidiwe !!🙌🙌🙌🙏🙏🇹🇿
@Najima-r6r12 сағат бұрын
Pole sana mzeee wetu senga umempoteza rafiki😢😢
@siwonikewilliam914613 сағат бұрын
Pole sana senga kwa kuondokewa na rafiki ndg,Apumzike kwa amani
@mejumaabaraza398910 сағат бұрын
Urafiki wa senga na pembe kama urafiki wa Mzee majuto na Mzee small😢
@rogerslwitiko391510 сағат бұрын
Poleni sana Tasnia ya Sanaa na Wanafamilia kumpoteza Mpendwa wetu😢😢😢😢😢
@gladnesswazir-zz9lk10 сағат бұрын
Pole sana babaang senga haki umeumia....polen familia r.i.p pembe 😭🤲🙏💔🕊️
@georgeomondi456710 сағат бұрын
Pole zetu kutoka nchi ya Kenya mashabiki wa vipindi zenyu 😂🕊️🇰🇪🌹🇹🇿🕊️🇰🇪🕯️🇹🇿🕊️🕯️🇰🇪🌹🇹🇿🕯️🇹🇿🙏🇹🇿🕊️🇰🇪🌹🇰🇪🌹🇹🇿🕊️🌹🇹🇿🇰🇪🌹🕊️🇰🇪🇹🇿🌹🇰🇪
@teedullah570812 сағат бұрын
Poleni Sana Asa mzee senga pole sana
@MaryMgaluli9 сағат бұрын
Poleni sana ndugu jamaa kwa kumpoteza mpendwa wenu.
@deborahrehema406612 сағат бұрын
Yoh 😢😢😢😢😢pole sana mzee Senga ni painful 😢 💔 😢
@JescaMwakaponda12 сағат бұрын
Pole sana senga /Mungu akutie nguvu katoka hiki kipindi kigumu
@OmanOman-hj7tv9 сағат бұрын
Pole mzee senga na familia ya marehemu
@ellyjacob989712 сағат бұрын
Dah Mzee wangu senga pole sana
@josephinejoseph391912 сағат бұрын
😢😢Pole Sana senga yani una maumivu ya Hali ya juu
@ZahorSalum-h9q12 сағат бұрын
Pole sn .Mzee .wetu hkika imekuuma .sn..Allah amsamehe makosayake
@AzizSalumu11 сағат бұрын
Pole Sana mzee wangu tumuombee Ina Lilah waina ilahi rajiuun
@FelixEliudy-rc1nb10 сағат бұрын
Kwa mara ya Kwanza nasikia Mzee senga namsikia akiongea silias imemuuma sana.
@annamwakibinga5279 сағат бұрын
Pole sana Senga
@TonnyJimmy-z5c13 сағат бұрын
Bora we umempa shikamoo kuna mitangazaji inasemaga Heshima yako
@halimamasai223413 сағат бұрын
Kweli mi inanikera eti mtu mzima unamwabia heshima yako sijui ndo nini maana yake watanzania tuna salam zetu shikamo ndo hesima kwa wa kubwa
@dicksonulotu742712 сағат бұрын
Haaaahaaaa unakuta tayari alikuwa amemsalimie😂
@twiseghekisilu884512 сағат бұрын
Safi kabisa,wafundishe na wenzio
@bongatv2512 сағат бұрын
@@halimamasai2234 shikamo siyo dili wewe salam ya kitumwa
@sakinahyela54510 сағат бұрын
Poleni sana
@AyubuChacha-u6u12 сағат бұрын
Polen sana senga na familia ya pembe
@Al-farsy-l6p9 сағат бұрын
Allah akutie nguvu babaetu
@KawserA-hw1j9 сағат бұрын
Pole sana
@esthermichael465311 сағат бұрын
Pole sana mzee Senga na mwandishi maswali yako yaweke vizur usirudie rudie
@Daniella24912 сағат бұрын
Poleni sana familia
@Fatmashilinde-nu4fj9 сағат бұрын
Pole sana mzee senga 😢😢😢😢😢
@IsayaKavina12 сағат бұрын
poleni saana wandugu ukweli huo msiba umetugusa wengi poleni familia pole sana ndugu yangu senga
@VisentSoko10 сағат бұрын
Pole Sana senga
@paulabelleghe4519 сағат бұрын
jamani nampenda Senga yani kweli nishazeeka kama hawa wachekeshaji wamekua baba zangu hata mimi nshakua kikongwe,RIP baba yangu kipenzi Pembe
@dicksonulotu742712 сағат бұрын
Pole sana Mzee Senga
@tumainieliud87029 сағат бұрын
Senga bana Pole sana 😢 eti kichwa kimeingia vairasi
@AminaJuma-sp4ii10 сағат бұрын
Pole sana baba yetu senga inauma sanaa tume mpenda mungu kampenda zaidi😢😢
@jasirimjasirimedia79409 сағат бұрын
Poleni sana jamani Mungu awafariji wafiwa wote
@VeronicaCrement10 сағат бұрын
Pole sana mwenyezi mungu apumzishe kwa amani
@AshoreAa12 сағат бұрын
Pole sana senga ngoni mwenzNgu imetuumizz hata sie mzee wetu akituchekesha sana mungu ampe kauli thabit awe na makazi mema mungu Amsamee pale anapo kosea
@benjaminpaschalkayombo239412 сағат бұрын
Senga ni Mngoni
@bongatv2512 сағат бұрын
Ila mbengo upo vizuri
@hodamzungu41079 сағат бұрын
maneno mazima sana
@Fatima-v9k6f12 сағат бұрын
From 🇧🇮 inalillah wa inalillah rajiun
@fidelismwakanyamale678712 сағат бұрын
Pole sana umepoteza mtu na watu kuwapata ni shida
@isaiahmakenzi924311 сағат бұрын
Pole sana Mzee Senga na familia yote kwa ujumla RIP pembe🕯️
@AgnessDaud-jk7ro12 сағат бұрын
Pole san Senga,Mungu akupatie faraja
@latifasalum761110 сағат бұрын
Pole sana senga ulimpenda sana pembe lkn allah kampenda zaid
@FatimaMuhammed-n8y10 сағат бұрын
Poleni Sanaa wana family
@Aminmwansile-we8vn10 сағат бұрын
Pole sana Mzee senga rafiki yako pembe kakuacha
@deadcrush10 сағат бұрын
Tayari kichwa kimeingia virus.😂😂
@pena_tz12 сағат бұрын
pole senga
@KhalifaIjabariro12 сағат бұрын
Polee mzeee sengaa
@georgeomondi456710 сағат бұрын
Pole poleni Sana ndugu jama na marafiki atuna lakusema yote Niya mwenyezi MUNGU 🕯️🕊️🌹🇰🇪🌹🇹🇿🕯️🕊️🇹🇿🕊️🕯️🇹🇿🌹🇰🇪🙏🌹🕊️🇰🇪🕊️🇹🇿🕊️🌹🇰🇪🕊️🇹🇿
@hawababy12010 сағат бұрын
Pole san mze senga😢😢Allah Amrehemu zaidi😢🇧🇮
@ThadeiAndrea9 сағат бұрын
Mwenyezi Mungu ailaze loho ya malehemu peponi Amin
@victoriamazula55928 сағат бұрын
Ni roho na marehemu. Siyo loho na malehemu
@rayahamisi1189 сағат бұрын
Kwani mwandi amujui kuuliza😢😢
@andrewsharuwa11 сағат бұрын
Pole sana mzee wetu napo umejikaza kuongea 😭😭😭😭 rest easy pembe wetu jaman
@MagrethKyando-l4g10 сағат бұрын
Pole sana mzee Senga
@wachimbavisima11 сағат бұрын
sisi ni waja wake na sote tutatejea pumzika ndugu yetu mungu akupe pumziko lenye amani
@mrambadiana967810 сағат бұрын
Maskin kaumia sana Mungu awape faraja Anajikaza tu baba wa watu😢😢😢
@mejumaabaraza398910 сағат бұрын
Pole Mzee sengs kifo chetu sote
@FatmaJuma-h3i10 сағат бұрын
Allah amsameh nampe malazi mema huko akhera aendako
@BravoEliashibu12 сағат бұрын
Polen sana mzee senga pole sana
@seifseif554910 сағат бұрын
M mungu amsamehe makosa yake ammin
@HaniphaAbdallah-c6e12 сағат бұрын
Pole sana senga Dah😭😭😭😭
@JemaDo-q3r8 сағат бұрын
Pole seng
@hawaa34110 сағат бұрын
Pole senga kuondokewa na pacha wako pia wote wanafamilia nawapa pole
@AdelaMgaya-st1vb12 сағат бұрын
pole sana mzee senga
@MwanahamisiSaidRamadhani9 сағат бұрын
Huyu mzee minikimtazama tu najiwa na kicheko ataka yupo sirias
@RamadhaniOmary-e3d12 сағат бұрын
Mzee senga pole sana
@floridamwalongo517211 сағат бұрын
😢😢😢 Pumzika kwa amani na pole saaana mzee
@AdolphinaLupogo-l2n11 сағат бұрын
Mungu ailaze roho yake mahar pema
@Sengakarera10 сағат бұрын
Pole sana senga na tanzania kwa ujumla,
@TausiMokiwa11 сағат бұрын
Poleni sana ndugu jamaa na malafiki wote
@YekoniaBilama9 сағат бұрын
Polen ndugu jamaa mlio guswa na msiba huo
@GhanimaHamadi11 сағат бұрын
Innalilah ndio mwisho wetu sote tuta 10:57 kumis sana pembe na tungu yako na maneno yko ya kufurahisha
@ishaniramadhani871010 сағат бұрын
Navaa viatu vya senga jinsi alivyo pokea huo msiba nimejikuta napokea maumivu makali sana pole sana senga pole tanzania tumepoteza mtu mtu aliye tufariji sana kipindi tukiwa na msongo wa mawazo
@MmMm-tt1wi11 сағат бұрын
Polen sana wanafamilia😢
@batwelimahenge785010 сағат бұрын
Daaaaa mzee pembe🙏🙏🙏😭😭
@Kidotii11 сағат бұрын
Lala salama Pembe! Ahsante kwa kutupa Tabasamu!
@ZachariaMwita-bu7rw12 сағат бұрын
Dah pole sana mzee wetu MUNGU atukie nguvu😢
@chrissTitus-li1vp10 сағат бұрын
Binafsi sijapenda mwandishi kwa jinsi ulivyo Fanya mahusiano interview mbovuu
@AminaMkumba-u3z11 сағат бұрын
Pole sana Mzee senga
@safarimallya453612 сағат бұрын
Dah pumzika kwa amani mzee wangu ...
@AshuraIbrahim-r3l9 сағат бұрын
Innalillah wainna illah rajiun 😢
@ZenahZenah-w3u10 сағат бұрын
Inalilay waina hilay rajiun pole sn mzee senga kwa kipindi iki kigumu.
@FatumaJuma-b2g10 сағат бұрын
Innalillah wainnalillah raajuun pole senga
@EstherJohn-tz9ov10 сағат бұрын
Duh poleni sana
@DaudiMazengoMasterDTEM11 сағат бұрын
R.I.P my best commedian
@JosephJoseph-s7k10 сағат бұрын
Poleni 😢😢😢😂
@chidmp12 сағат бұрын
Innalillah llah wainnal llah rajuh pumzika kwa amani mzee pembe
@alexanderibrahim348111 сағат бұрын
Mungu akutie nguvu
@MomadeMudimoz70-cs2ud9 сағат бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
@AyubuChacha-u6u11 сағат бұрын
Ndugu za pembe na rafiki yake pembe tunawaba polen sana ndugu zangu.
@AbusheheKhalifa10 сағат бұрын
Poleni wanafamilia ya uchekeshaji
@FatumaAbdalah-sj3dz9 сағат бұрын
Innalila wa innalila rajiun😢😢
@Aminmwansile-we8vn10 сағат бұрын
Senga bhana eti ni sawa na boda boda na mataili yake moja limenyofuka. Pole sana mzee senga