NYUNDO YA BARUAN MUHUZA: Mrisho Mpoto 'Mjomba' alipofunguka 'ya kutosha' kuhusu sanaa na soka

  Рет қаралды 58,181

Azam TV

Azam TV

5 жыл бұрын

Ni msanii mahiri wa mashairi na nguli mwenye staili ya kipekee ya kughani, Mrisho Mpoto almaarufu 'Mjomba' ndio mgeni kwenye #NyundoyaBaruanMuhuza.
Unajua kuwa Mpoto ni shabiki wa Simba SC 'kindakindaki'?Unajua kuwa licha ya kufeli darasa la saba lakini usanii umempeleka kusoma kwenye vyuo vikuu vingi duniani?
Unamjua 'Mjomba? aliyekusudiwa kwenye nyimbo yake ya 'Salamu'?
Gwiji huyu amefunguka yote hayo kwenye #NyundoyaBaruanMuhuza na ameendea mbali zaidi kwa kuweka ahadi dhidi ya Yanga SC.
Tazama mahojiano haya mazito.
Nyundo ya Baruan Muhuza ni kila Alhamisi saa 1:00 usiku, Azam Sports 2.

Пікірлер: 51
@mwenemaseko4921
@mwenemaseko4921 5 жыл бұрын
barwan is one of the best,maswali mazuri sana watangazaji wengi vijana you need to learn from him.
@husseinzaidi6059
@husseinzaidi6059 5 жыл бұрын
Safi sana Mrisho mpoto, wewe ni dira kwa vijana
@medardjustinian5223
@medardjustinian5223 5 жыл бұрын
Katika Nyundo zote,hii ni superior, hakika
@chidiomari.65
@chidiomari.65 5 жыл бұрын
Kwangu mimi, mpoto ni mtu muhimu sana ktk nchi yetu, pia jamii inawahitaji wakinampoto. Kiswahili ni lugha yetu lkn tumeshindwa kukiishi lkn mpoto anaishi uhalisia wa kitanzania na uafrica pia.mpoto ajue kwamba tupo tunaemfuatilia na anatuelimisha sana sana na pia mpoto ni mzalendo wa kweli....Mjomba tupo pamoja mi nakuelewa sana.
@jamesadrian4557
@jamesadrian4557 5 жыл бұрын
Baruan upo vzr sana...bonge la kipindi nakipenda sana
@amourmtungo623
@amourmtungo623 4 жыл бұрын
Elimu ni muhimu lakini sio kila kitu ndani ya maisha. Commitments and determination is the real life goal.
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 5 жыл бұрын
Leo walikutana manguli na magwiji kweli kweli.Kwangu mimi ngoma drooo wote.Majadiliano bora kabsa wala hutamani yaishe ila mpoto kichwa sn japo hajasoma elimu rasmi
@medardjustinian5223
@medardjustinian5223 5 жыл бұрын
Muhuza Leo umekutwàaaaaa,raha sana hii nyundo
@yassinudd4422
@yassinudd4422 5 жыл бұрын
baruani, show moja nzuri sana.
@abdumnubi2877
@abdumnubi2877 5 жыл бұрын
Mpoto ana vitu vingi sana
@chrismutisya
@chrismutisya 5 жыл бұрын
Jamani, Mrisho ana jajiriba na weledi mwingi katika ushairi.
@mikenjeru9699
@mikenjeru9699 4 жыл бұрын
mrisho mpoto motooooo fani sugu hapa Kenya
@masoudmasasi1801
@masoudmasasi1801 5 жыл бұрын
safi sana azam tv tunapata burudani kupitia youtube ila muwe mnaweka pia za racing shows maana miezi miwili sasa hamjaweka youtube
@punchmalcom106
@punchmalcom106 5 жыл бұрын
Baruan kweli Leo umekutana na kichwa , katika vipindi vyako vyote ninavyokufatilia hapa leo nimefurah sana
@judamsaki5609
@judamsaki5609 3 жыл бұрын
best of Burhani...great interview
@paulineochami578
@paulineochami578 3 жыл бұрын
From kenya namuenzi sana Mrisho mpoto
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 5 жыл бұрын
Wanaokubali kuwa hii ndo nyundo bora kabsa gonga like za kutosha hapa
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 Mpoto ni mtata saaaana,Hataki habari za bangi
@amananassor524
@amananassor524 5 жыл бұрын
nipo jeddah saudi arabia upo pamoja
@judamsaki5609
@judamsaki5609 3 жыл бұрын
bright guy ....Mpoto
@mrishomzelela4627
@mrishomzelela4627 5 жыл бұрын
nice program
@tonyspencer1928
@tonyspencer1928 5 жыл бұрын
Jambo la uongo likirudiwa saaana litaaminika na kuwa kweli mstar huu nimeukubali
@joachimlema3299
@joachimlema3299 5 жыл бұрын
Kweli hii ni nyundo
@amourmtungo623
@amourmtungo623 4 жыл бұрын
Ukiwa unajua kusoma na kuandika, umepata mafanikio na unaendelea kupanua mafanikio yako kifedha, kiroho na huna matatizo yoyote kimaisha, kwanini unataka kurudi tena skuli? Just focus on your music business going back to school now, it is not too late but it will set you back somehow.
@eliapendakileo4787
@eliapendakileo4787 5 жыл бұрын
Dah baruan we nimkali dah hyu jamaa alikuja arusha alitujibu kiutata balaa ila leo kajibu yote ila kwakinyumenyume
@ylosvijevana6815
@ylosvijevana6815 4 жыл бұрын
Mpoto ana Hasira
@alexfrance5486
@alexfrance5486 5 жыл бұрын
Kutembea peku ni dawa kitaalamu inaitwa foot massage( Reflexology)
@mussalila4547
@mussalila4547 5 жыл бұрын
Mamae jamaa anamaswali magum mpaka MTU unataman kuomba poo
@hamisimashaka4899
@hamisimashaka4899 4 ай бұрын
MJOMBA ni kiongozi yoyote yule anaepewa Majukumu ya Kuwatetea wananchi wake
@paulomrisho19
@paulomrisho19 3 жыл бұрын
Mrisho mpoto 💥💥💥💥
@tchinhonacir9222
@tchinhonacir9222 3 жыл бұрын
Jamani naomba jibu kwanini mrisho Havai viatu?
@enjoychristopher3863
@enjoychristopher3863 5 жыл бұрын
tunakukubali mjombaa pongez kwako
@asiazuberi9722
@asiazuberi9722 5 жыл бұрын
Kupitia hii interview leo ndio nimejua harusi ya mpoto keki ilikua boga na madafu 😂😂😂wallah nimecheka eti kisamvi namihogo😂😂
@aloycemwakatala2634
@aloycemwakatala2634 5 жыл бұрын
Nimekupata mjomba, unaweza kutukumbusha mwalimu aliyekwambia wewe ni hamna kitu tuondolee maladhi? Na kama bado yupo je? yeye ni nani kwa sasa? Kwamaana ya kwamba anafanya kazi gani? "KUFELI KWA MASOMO SIYO KUFELI MAISHA "
@jryoungsolderp4397
@jryoungsolderp4397 4 жыл бұрын
Ok
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 5 жыл бұрын
baruani wewe hunamfano kabisa kaka
@ramsonilkamafa3162
@ramsonilkamafa3162 4 жыл бұрын
anae jua anajua tu.
@ramsonilkamafa3162
@ramsonilkamafa3162 4 жыл бұрын
hivi Baruan Muuza umewahi kutana na mahojiano ya namna hii( magumu,utata,hasira,swali kua jibu la swali lako?)
@nurudinmwakisale1509
@nurudinmwakisale1509 Жыл бұрын
Pesa ndgu zangu
@mbojehamis4933
@mbojehamis4933 5 жыл бұрын
Duuh... Mjomba uko vzur... ila miguu imekomaa kha..
@team_JosKenya
@team_JosKenya 2 жыл бұрын
Busara tupu kutoka kwake mrisho mpoto..
@malikihemfaume3906
@malikihemfaume3906 5 жыл бұрын
Mjomba usiwasahau wazaz ambao ni bibi na babu ( )
@elizabethotto1218
@elizabethotto1218 4 жыл бұрын
malikihe mfaume
@rashidimasoud558
@rashidimasoud558 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😁😁😁😁
@wisehood0417
@wisehood0417 3 жыл бұрын
Sir we need hormonize on your table
@jonahbosita8792
@jonahbosita8792 2 жыл бұрын
baruan napenda jinsi unafanya mahojiano yako,una busara isitoshe napenda kazi ya mrisho mpoto.
@johnceamos7504
@johnceamos7504 5 жыл бұрын
Mpoto kama hana nyusi vile
@andersonchibule4761
@andersonchibule4761 5 жыл бұрын
Heheheeee. Peku nayo
@mbwanahassan3371
@mbwanahassan3371 5 жыл бұрын
mrisho mpoto mambo anayoyafanya ni kweli ndivyo alivyo nimeishi nae alikuwa rafiki yangu wa karibu toka anatoa shairi lae titi la mama ni tamu pale mabibo namkubali sana
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,5 МЛН
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 8 МЛН
Nilijua HARMONIZE ni Mtoto Laini Laini Tu - Mrisho Mpoto
18:22
TimesFMTZ
Рет қаралды 336 М.
Ronaldo's Kindness Helps Messi Become GOAT !
0:28
Football Funny ★
Рет қаралды 28 МЛН
#messi #skills
0:20
ZeeX FF
Рет қаралды 17 МЛН
Dad's disbelief turns to pride as daughter scores as a boy #shorts
0:32
Fabiosa Animated
Рет қаралды 1,5 МЛН
Football Players Jumping Records + Basketball ⚽️🏀
0:24
Vietnam Football
Рет қаралды 8 МЛН
Он его сделал #футбол #football #shorts #trending
0:40