ONGEZA UFANISI - NJIA YA KUGAWANYA

  Рет қаралды 1,451

Maisha Max

Maisha Max

Күн бұрын

Пікірлер: 13
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 11 ай бұрын
Nahitaji ushauri kwa walokuwepo njee ya nchi na kutaka kufanya biashara tz
@maishamax
@maishamax 11 ай бұрын
Hii itategemea kama ushawahi kufanya biashara kabla au laah, lakini niruhusu nijikite zaidi kwenye haujawahi kufanya kabla. Kwanza kabisa, biashara inaweza kuwa ya bidhaa au ya huduma lakini ya bidhaa ndio bora zaidi kwa jamii yetu. Somo la biashara ama ujasiriamali ni gumu kufundishika kwa sababu linahitaji vitendo zaidi, lakini kuna mambo ya msingi kuzingatia; 1. Tenga mtaji kulingana na kiwango cha hatari unachoweza kukimudu ili kama mambo yataenda tofauti na matarajio, usipoteze kila kitu na uwe na sehemu ya kuanza imara zaidi kutokana na mafunzo uliyoyapata. 2. Fanya utafiti kujua soko linahitaji bidhaa gani, hii ni hatua muhimu sana na utapataje taarifa hizi. Tembelea mitandao ya kijamii kama facebook, instagram, JAMII FORUMS ambapo kuna makala nyingi sana za watu wanazoshare kuhusu karibia kila biashara utakayoweza kufikiria (wewe sio wa kwanza) 3. Subira ni muhimu, lakini kasi ni muhimu zaidi kwenye biashara kwa sababu itakupa maoni juu ya njia gani zinafanya kazi kwenye kukuza biashara yako na utafanya marekebisho mapema. 4. Fanya kazi na watu wazuri, hii inajumuisha jamaa zako ambao umeamua kuwashirikisha, lakini pia supplier wa bidhaa zako, yani kiufupi watu wote ambao wanahusiana na biashara yako UMAKINI MKUBWA UNAHITAJIKA. 5. Biashara ni matangazo, hakikisha unabobea au unatafuta mtu aliyebobea kwenye sekta hii, biashara katika zama hizi inahamia mtandaoni ni muhimu kuwa imara hapa. Ninatumaini nimekujibu walau kwa uchache, lakini ungana nasi hapa kuna masomo mengi yanakuja kuhusu mafanikio katika biashara. Ahsante.
@Abdulrahmanhassan18
@Abdulrahmanhassan18 11 ай бұрын
Mtu mmoja aliwaikusema kwamba, tunaweza kumla tembo na kummaliza ikiwa tutamkatakata vipande vipande. Ahsante sana kwa elimu
@maishamax
@maishamax 11 ай бұрын
😄 hakika, umeweka summary vyema sana.
@Abdulrahmanhassan18
@Abdulrahmanhassan18 11 ай бұрын
@@maishamax hahaha pamoja sana
@Valentinekainy
@Valentinekainy 10 ай бұрын
Good
@maishamax
@maishamax 10 ай бұрын
Thanks 👍
@iddyjm2560
@iddyjm2560 11 ай бұрын
Nakubal brother umetish ww ni mwalim mzur san
@maishamax
@maishamax 11 ай бұрын
Shukran sana Kaka mkubwa 🎊🤝
@hemedimuna1400
@hemedimuna1400 11 ай бұрын
Brother nakuelewa 🎉 nikitimiza ninachokifanya nitakutafuta nikulipe hata Asante
@maishamax
@maishamax 11 ай бұрын
Karibu sana Kaka, tuendelee kupambana hatua kwa hatua.
@YerimiaMsigwa
@YerimiaMsigwa 11 ай бұрын
Leo wa kwanza
@maishamax
@maishamax 11 ай бұрын
😄 nakushukuru na nakupongeza sana.
Njia Sita (6) Za Kuongeza Ufanisi - Joel Nanauka.
8:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 13 М.
IMARISHA NA TENGENEZA UMAKINI KAMA MWEWE (STRONG FOCUS)
16:20
Maisha Max
Рет қаралды 6 М.
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН
NJIA WANAZOTUMIA KUKUTOA KWENYE RELI - JOEL NANAUKA
6:15
Joel Nanauka
Рет қаралды 23 М.
Neuroplasticity Explained: How to Rewire Your Brain for Mental Strength
12:30
Sidee Looga Adkada Nafta?  | EP05 - Naf Ogaal Podcast
27:10
Salim Omer
Рет қаралды 50 М.
KUBORESHA NIDHAMU BINAFSI - MIKAKATI SITA (06) MUHIMU
15:46
Maisha Max
Рет қаралды 1,4 М.
Jinsi Ya Kuongeza Ufanisi Katika Kazi Yako - Joel Nanauka
9:50
Joel Nanauka
Рет қаралды 23 М.
043 | 03 | Sirta awoodda qarinta ujeeddooyinkaaga.
41:47
Sahan Podcast
Рет қаралды 107 М.
KUGUNDUA KUSUDI LA MAISHA YAKO: JOEL NANAUKA
11:19
Joel Nanauka
Рет қаралды 13 М.
Siri 5 ili kuwa mjasiriamali mwenye mafanikio.
1:41
BBC News Swahili
Рет қаралды 244 М.
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН