Papii Kocha - Waambie (Official Video) Written by Natasha (THT) Audio Production: Ema The Boy Video Directed: Destro / Wanene Film DOP: Aanand Lonkar
Пікірлер: 1 600
@kadekade___cor4 ай бұрын
kila siku ni zawad hakuna heshima inayozid uhai, 2024 plz gonga like
@nyimbozawatotoАй бұрын
30 August 2024
@AllyMwazoa2 күн бұрын
Baada ya wimbo huu papii Akapotea kabisa.Hali uwezo bado upo
@motishatv32736 жыл бұрын
Wimbo huu, UNA nguvu ya Mungu, kuna mkono wa Mungu katika ngoma hii! Kama unaguswa na Ngoma hii gong like
@joharisalehei95964 жыл бұрын
Yap......wimbo mkali sana huu....mungu waambie ni ww tu uliesababisha leo imefika
@sammmwalongo45864 жыл бұрын
Kall🙏
@godlivingmosha10443 жыл бұрын
Natamani watu wangefaham nini maana ya huu wimbo coz umebeba maana kubwa sana katika maisha tunayopitia katika dunia tunayoishi sasa
@jadielmarvin67253 жыл бұрын
I guess I am pretty off topic but does anyone know of a good website to stream new tv shows online ?
@nmkandawile Жыл бұрын
Sana
@yusuphsamwel79496 жыл бұрын
Hakuna heshima inayozid uhai, Mungu wambie
@beatriceshadrack99956 жыл бұрын
kama na wewe umejifunza kitu kupitia wimbo huu, plz tupia like yako hapa😭😭😭
@johnmbegu15545 жыл бұрын
Nimejifunza mengi mno.
@mfaumeally6445 жыл бұрын
Hivi nyimbo naipenda melody yake hatari hata kama hujui maana yake
@omaryshafii505 жыл бұрын
Hakuna heshima inayozidi uhai hivyo inatupasa tuwe na subira kwani Mungu ni mjuzi wa kila kitu
@michaelmasusu83644 жыл бұрын
H
@priscaseverin49677 ай бұрын
Hakika
@issackmush66026 жыл бұрын
Kama umeikubal ngoma ya papi like hapo chin
@charlesthomas20565 жыл бұрын
Nashukuru kwa kumpa bro moyo #1 pamoja sana
@mariadotto22944 жыл бұрын
Hii ngoma naikubali hatari
@kashindiaishakamila47133 жыл бұрын
Naipenda sana iyi nyimbo inanifaridji sana
@ishekellyfredy9714Ай бұрын
Wimbo huu umebeba ujumbe wa moja kwa moja kutoka kwa Mungu kutufundiaha kitu sisi wanadamu♥️
@bakarisalim33136 жыл бұрын
Wengine wameshindwa kucomment kwakuwa walikuwa wakitokwa na machozi na wengine wamejitahidi kucomment hali ya kuwa machozi yakiwatoka. Ahsante Papii🤧
@beatricewanjiru50194 жыл бұрын
in love with this song...kama umetoka kenya gonga like tukisonga
@magrethkawa48416 жыл бұрын
Alikuona ukiomba na alikuskia.. Hakuna heshima inyozidi uhai... I love you mooooore!!!! Gonga like kama umebarikiwa na gizani imengaa mwanga mkali!!!! Waambie.. ni fire 🔥...
@husnaalhabsi42446 жыл бұрын
I see mungu ni mwema cku zote nimelia hii nyimbo na imenipa Iman kubwa ya maisha yangu
@nathanmakuchilo31822 жыл бұрын
Hi
@himidhareed47846 жыл бұрын
Wengi wanaichukulia kama nyimbo tu mm naichukulia ni maneno mazito ya nayoish daima kiukwel imenisisimua mno walah..... na inatufunza kutokata tamaa na inafundisha kuomba mungu na kuamin ipo siku mungu atajibu kilio chako
@agnestuniga57446 жыл бұрын
Hongera Papii a very inspirational song i,nagusa .
@AhmedIbrahim-ul5wb6 жыл бұрын
True
@alifarah67426 жыл бұрын
Nyimbo video zote kali mkuu jamaa wanajua hawa
@beautytravis83736 жыл бұрын
Himid Hareed ata mm yn inanip nguv
@magrethonesmo96116 жыл бұрын
Himid Hareed hakika IPO siku tuu!! Bado namngoja mungu IPO cku atanisikia tuu🙏
@saidibiyege4166 жыл бұрын
mungu waambie na cc ni binadamu kama wao wasituue bila hatia
@stevenpeter22606 жыл бұрын
Huu wimbo utadumu tena sana. A very nice song.
@papaj67956 жыл бұрын
This is what we call music I'm sound engineer in uk ,and I would like to say some people are born with gift and this chap is one of them ,the producer new what he was doing the mixing and the arrangements of instrument is very good and vocals arrangements is very good too good plus the back up vocals I just wonder if he could produce one more song because I can hear a special voice from a female back up it is sweet I do believe she is special too get her out her voice is special . please she is gifted.
@kenbaroofficial6 жыл бұрын
I noted the same bro..let's link up
@kenbaroofficial6 жыл бұрын
+254703292171 WhatsApp
@merinanasan33435 жыл бұрын
Yusef W ndena san
@MrSimbawanje2 жыл бұрын
Papa J so so spot ...arranged in a meticulous way...and that female voice in the background is angelic...we need more of such music
@abiboseleman16492 жыл бұрын
She called Natasha she's the one who's wrote the song
@neemamasaoe20776 жыл бұрын
hakika kila ajishushaye hukwezwa,Mungu azid kuwapigania.
@stephcisse23046 жыл бұрын
The voice daaamnnnnn aisee hii sauti inaweza kukupa mkopo wa masharti nafuu🙌
@omarymchana63806 жыл бұрын
Hii ngoma qali sana inatibu hasira mawazo na mengine mengi sharaut kwa papii x nguza💯✔
@tinamuller69426 жыл бұрын
Thank you Lord kwa kurudisha matumaini ya waliokata tamaa kwa kupitia hawa watu, tusichoke kuomba Mungu anasikia ....MWAMBIE ANASIKIA
@jasminejustin18256 жыл бұрын
hii ndio pure Music. we missed you a lot. purity and maturity. kweli Mungu Husikia, Huona Na Hufika...
@talantap49666 жыл бұрын
ya trrrruuueee
@africafunnyanimals5 жыл бұрын
KAMA BADO HAIJAKUKINAI HII NGOMA GONGA LIKE
@radidootieno27032 жыл бұрын
Nate dogg
@estherjoshua22506 жыл бұрын
Mungu Akutie Nguvu Kaka Angu! Mungu Akisema Ndiyo Hakuna Wakusema Hapana aijalishi itapita miaka mingapi? Nakuombea Mwanzo Mpya Wenye Ushindi Mkubwa!! Sahau yote Hatua zako zote Fanya Na Mungu Atakutetea katikati ya adui zako
@davidshemufufulu14005 жыл бұрын
Ulituria san hadi ukaimba nyimbo bor San upo vzr ten na ten wengine hawajuwi thamani ya wimbo huhu ila mm naijuwa ten san 🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🎤
@sonohub6 жыл бұрын
Kama umefurahi kurudi kwa Papii Kocha gonga like 🔥🔥🔥
@lazarocharles50856 жыл бұрын
Mambo ni motooooooo
@jimmymwandenuka86906 жыл бұрын
hawa wabafiki nani akugongee like ss wimbo mmbovuuuu ka walivyowabovu wao
@mrsinteanta53946 жыл бұрын
+Jimmy Mwandenuka fala we kweli kaimbe we tyuone kama utoimba k ya mama ako k ya mama ako
@jimmymwandenuka86906 жыл бұрын
+H_Official H_Official we kuma la mamayako kaimba nini humu au walikufilana ww kwny wale wanafunzi waliotombwa na hawa wabakaji nyimbo gani huu unafilwa na baba yako ww
@mrsinteanta53946 жыл бұрын
+Jimmy Mwandenuka?????
@halimaathumani34356 жыл бұрын
😭😭😭😭so sad dah! hakika Mungu ndie kl kitu.😍
@lilianleonard81066 жыл бұрын
Everything has a reason, only God knows that reason! Usichoke kuomba
@mgonasipapune13834 жыл бұрын
Sanaaaaa
@brendanyambo96442 жыл бұрын
Mungu waambie uliona, nlipokuomba ulisikia na Ukaitika🙌🏽🥰
@beatricekihehe37336 жыл бұрын
Ee Mungu wangu machozi yamenitoka kwa huu wimbo jamani.
@yusuphsalim64696 жыл бұрын
Beatrice Kihehe dah!! Wallaah cjiwez na Leo kutwa nimeuskiza uu wimbo
@rhouzieferdienyomindi7846 жыл бұрын
kweli Leo imefika ni mungu tu 🙏🏾👏🏾👌🏾
@eugenepaull95136 жыл бұрын
Ni furaha kuona bado uwezo wa kupangilia mashairi wanao!!.
@HASASON6 жыл бұрын
Yaani kwa mara ya kwanza wimbo unaniliza dah I can't resist tears aisee nashukuru Mungu you are back
@edsonsimon70416 жыл бұрын
Maaamaaaaaa Daaaaaaaaaaah,,,,!!!! Mwimbo mzuri sana na unatia moyo aseeeeh,,,,, mtatisha wazeeeeeeee ninyi jamoniiii👏👏👏👏👏👏👍👍👍👏👏👏👊👊👊👊
@dixonibra99664 жыл бұрын
Dah nliisaka hii audio two month nlikuwa naikuta mwishoni ikipigwa kwa radio nkairecord sound
@ousmantaxi37244 жыл бұрын
Sexi vidéos
@paschalnhigula66006 жыл бұрын
Papii waambie wanao dislike wajue mungu yupo kazi nzur km hii mijitu inadislike akat still unashukuru Mungu na kwamba tujue Mungu yupo anatuskiliza maombi na kutujibu lkn wana dislike wanakera kinoma
@linajuma91414 жыл бұрын
paschal nhigula weng awajui kutofautisha best ata mm mwanzo nilikuwa nabonyeza tyu bila kueleeawa
@علیجعفری-ز1ك4 жыл бұрын
فیلم سرت
@RomwardWM6 жыл бұрын
Karibu sana Papii nimependa ngoma lako lkn linanifanya naumia kila nikiisikiliza kwa ujumbe uliomo
@aminminiofficial23816 жыл бұрын
Jameni nilipo skia kweli kuna kitu kime ingia kwenye moyo daa bro big up.and you will never go down sapot kwa bro kutoka Holland
@masterfranxtemba6 жыл бұрын
leave aside all the controversy surrounding him, all the politics, all the hearsay. leave alone the history, and every string that could possibly be attached to the artiste. this piece of art is pure glorification to the most high, the Almighty. its moving.
@barakaalecnathaniel37166 жыл бұрын
franc temba sure say bro,so poignant
@gilbertpatrick98576 жыл бұрын
tuna kila sababu ya kumshukuru mungu
@hadijamcha78246 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana...nikisikiliza nahisi kulia...Mungu yupamoja nanyi awabariki sana.
@jennyjenner46252 жыл бұрын
Amina
@franciskilimo53226 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana na inaujumbe mzito, Maisha sio yakukata tamaa ipo siku Tu waambie MUNGU NI MWEMA
@williamkavuta80666 жыл бұрын
Francis Kilimo Labda nami Nitafanikiwa siku
@hamisasalma63346 жыл бұрын
Mungu mwema sana
@magrethkitandu75846 жыл бұрын
Francis Kilimo
@agnesjohnson23936 жыл бұрын
Amen 🙏 uhu wimbo umenifanya nilie kabisaa 😭😢😭 mungu awepe nguvu yaku tenda kazi
@sesielitha97445 жыл бұрын
Sifa Avijawa hakika ninyimbo bor ndumian
@noeljohnkiboko47866 жыл бұрын
Sipati pale papikocha huku christian bella kule kiba fundi. Hzo sauti doh noma
@newkhamza13396 жыл бұрын
Noz Banx umeona eeeee safi sana
@khloealfan79246 жыл бұрын
kunywa soda nakuja kulipa...mambo yatakuwa 👉🏻🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mwakisogocpiliano57136 жыл бұрын
Noumaaaa
@neemaedward49956 жыл бұрын
Nakuunga mkono
@naimarama57416 жыл бұрын
fireeeeeee
@barbiemdoo65986 жыл бұрын
wimbo umeutendea haki video pia haki imefanyika, hakika mungu amekutendea jambo kubwa lazima kumshukuru
@angelmisholy64786 жыл бұрын
Dah too emotional,nimeshindwa kuzuia machozi...Mungu yupo na anaishi hakika...akupeni mwanzo mpya na wa heshima kubwa😥
@theresiankoyi94186 жыл бұрын
video haina mbwembwe na imekuwa bora zaid
@kitoijeremia57946 жыл бұрын
Mungu hamwachi mja wakr..thanx papii kwa kuanza na huu wimbo wa shukrani kwa Mungu..Waambie wote wamjue yeye kuwa hashindwi.
@paulmoshi Жыл бұрын
Mtu mmoja tu nitamwandika kwa herufi kubwa tafadhalini watanzania na wote mnaoelewa mziki wa wa WA WA karma mlike hapa plz MAGUFULI
@abdulwakilranda52236 жыл бұрын
Good melody na ladha tofauti kabisa na miziki inayofanywa na wasanii wengine kwa sasa, wengi walijua ataimba rumba lkn amethibitisha yeye ni Musicians ...
@japharraychausa61383 жыл бұрын
Huu wimbo utadumu daima Papi kocha atabakia kua yeye kama yeye 🙏🙏🙏🙏
@lucianjr68076 жыл бұрын
nyimbo inaujumbe mzito sana nimeipenda keep it up papiii
@ishekellyfredy9714Ай бұрын
Mungu waambie "WASIACHE TUMAINI NDIO IMANI, WASIACHE KUKUAMINI NDIO AMANI" Mungu anaweza yote❤
@edwardkigoni58496 жыл бұрын
Aisee.....kipaji hakipotei hata iweje, idea ni nzuri pia tena sana. Jela miaka 14 and still alive and healthy na mwaeza fanya mengi...Kweli Mungu wa maajabu yani.
@djstee25596 жыл бұрын
Wenye music wamerudi #Respect my Brother Papii Kocha
@felixlukuna79576 жыл бұрын
Wimbo mzurii papiii ni Neema na rehema hatupaswi kukata tamaaa ....👏👏👏👏
@ngalungalu95616 жыл бұрын
Ikapotea tumain langu
@agnethaalkwin98966 жыл бұрын
Felix Lukuna
@tammysalum54756 жыл бұрын
Nice song,hakuna kama Mungu,na kamwe ashindwi,wimbo unaleta matumaini na aman moyon.
@mctommytz25826 жыл бұрын
Papii kocha, ama kweli wewe ni kocha wa Mizuki wa Tanzania na Africa kwa ujumla, mbali na kupenda muziki huu pia umenitia moyo juu ya magumu nayoyapitia na kuamini kuwa ipo cku Nami mungu atanijibu,
@RomwardWM6 жыл бұрын
Daah nimependa sana ujumbe
@mctommytz25826 жыл бұрын
😰😰😰😰😰😰
@motivationalvoice38626 жыл бұрын
Tulimis nyimbo kama hzi kila rika linaweza kukaa na kusikiliza 😚😚😍😍😘😘😘
@wanenetv96726 жыл бұрын
DAWA ZA ASILI/TIBA ZA ASILI/: kzbin.info/aero/PL_DSXHfkoymz_mON4Y4rJ7Tu9HulfT8W7
@RamadhanAli3 жыл бұрын
Mungu waambiye ni wewe tu, uliyesababisha leo ikafika!!!
@bongonSee6 жыл бұрын
mungu anatuskia kila wakati kueeni radhi na maisha yenu mungu atubarik sotee ameeen
@ammymarwa-mh5sh Жыл бұрын
Mungu wambie ni wew tu uliyesababisha leo imefika🙏🏼😭
@nicky30256 жыл бұрын
this is it.......very nice motivation song.......keep it up....when God says Yes nobody can say No
@vincenttambara24804 жыл бұрын
"Waambie kila siku ni zawadi, hakuna heshima inayozidi uhai" Amen to that.
@firstladyafrica86356 жыл бұрын
Kazi nzuri sana ya kumtukuza Mungu baada ya yote mliyoyapitia.Hongera sana Papii Kocha na Nguza Viking
@veronicamchwemba9726 жыл бұрын
nawapenda sana wazazi mko vizuri kwenye soko zima la muziki mungu awabariki na awazidishie baraka kwa kla jambo mnalotaka kulifanya full respect
@christinatweve1386 жыл бұрын
Super emotional, my current favorite song, I just love the chemistry between u guys, Mungu awabariki, Mungu bariki Tanzania. Proud to be Tanzanian
@josephkessy98416 жыл бұрын
Nyimbo ina ujumbe mzito sanaaa.....Tumuache mungu aitwe mung.
@cutelove26866 жыл бұрын
Asanteni sana na karibuni tena muamshe mziki uliolala😍😍😍😍
@cellyjoseph94786 жыл бұрын
Huu wimbo una ujumbe mzito sanaa ahsante papii
@ramadhanisalumu49846 жыл бұрын
Fantastic...bravo papii,, ngoma moja na Bushoke pliizzz
@dagamgomela6626 жыл бұрын
sauti Kali ya hisia inayochoma soon ntafurahi sana papii ukipiga ngoma na linex#respect @hakuna heshima inayozidi uhai
@mkaliwenuoriginalpleasesub92976 жыл бұрын
kaz nzur san jamna dah kam umeirudia hii ngam zaid ya mar 1 gonga like yak hap
@ramadhanisalumu49846 жыл бұрын
Justine Nunda mara ya tisa hapa naisikiliza
@mkaliwenuoriginalpleasesub92976 жыл бұрын
Ramadhani Salumu duh
@azaiyamagayane69555 жыл бұрын
Ww kweli nimnomasana
@romymjelwa55286 жыл бұрын
Hakika ni maamuzi mazuri sana kumtumikia Mungu. Hakika ni yeye aliesababisha sisi kufika hapa I Appreciate you brother
@laibonimario62356 жыл бұрын
Kama ulitaka kumsikia BABU SEYA akiimba na hujasikia gonga like hapa
@fettieally19446 жыл бұрын
Laiboni mario 😂😂😂😂
@sangodadaudi59485 жыл бұрын
Nawakubali vilivyo
@husnaally69983 жыл бұрын
Hahahahhaa
@mwinyimkuu20232 жыл бұрын
Fala sana wewe🤣🤣🤣🤣🤣
@hamidafundi-pw1gw Жыл бұрын
🎉 KWELI WATUAMBIE ILI TUJUE HAUKO MBALI NASI.Asante kutukumbusha. Amina.
@ziadasaidi67926 жыл бұрын
ciachi kuisikiza hii nyimbo iko vizuri ina maneno ya mungu ndani yake
@fainessmakungu2254 жыл бұрын
tusiache kumuamini mungu muumba alie umba mbingu naichi bila nguzo na tumuoombesiku zote hatupasi kukata tamaa pap kocha
@markjason20356 жыл бұрын
mziki ka baiskeli.... ukijua umejua tu
@jackgodgivenzihindulaАй бұрын
Tuko pamoja toka Democratic Republic of Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩💚 Bukavu Town ❤
@salashlily55186 жыл бұрын
The kind of gospel music i'll always love listening,,..Glory b to God AMEEN...
@pascalkana31036 жыл бұрын
Na wakubali sana ndugu zangu na mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kazi yenu yote Amen.
@naseebyusuph97983 жыл бұрын
Mutoto ya mfalme... Papii Kocha.. 2020 right here...
@adrianomtanzaniano63104 жыл бұрын
Nyimbo zangu Bora muda wote labda itokee ingine.. 1-Bushoke Dunia mapito 2-Waambie Ova
@avathermazanda2804 жыл бұрын
Papii kocha!I see a true story movie behind these good lyrics!!!
@miraclemasanja27894 жыл бұрын
Hakuna heshima inayozidi uhai. Asante Mungu
@flashvideos22876 жыл бұрын
KING WA MUSIC.. VIDEO ☑️ SONG ☑️ VOICE ☑️ BEAT ☑️ LOCATION ☑️ RELEVANCE TO NOWADAYS LIFE *100%* HAO 222 DISLIKERS NI WA SAYARI GANI ,WIMBO HUU UNAPIGWA DISCO HADI KANISA..
@dorothyobunde29316 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana yaani wanajua kuimba tangu long time hlf papii handsome jaman 😘🙈
@aditifus80835 жыл бұрын
Real Inspiration Papiii....Mungu ni Wewe tu.
@joelgunje37326 жыл бұрын
hakuna heshima inayozidi uhai.....nawapenda sana ..kweli haki ya mtu haipotei ila huchelewa tu
@emmanuelgidion23345 жыл бұрын
kama unaamin wimbo huu unamungu ndan yake Nile like apo
@charleskaijage42836 жыл бұрын
Da the legend is back like hapa tu show love kwa MTU wet wa nguvu
@officialhajjhassani93886 жыл бұрын
Mungu waambie ulinion nilipokuomb ukaniskia Dh hatar san
@joycekweka79456 жыл бұрын
shida na matatizo huongeza maarfa ya mtu zaidi#papii kocha naamini Mungu alkuwa nawe pia kule gerezani...km unaamn gonga like hp,kweli heshima haizid uhai
@bernardmhagama32586 жыл бұрын
Nyimbo nzur unaifeel mpka kwa heart
@giftkivuyo76094 жыл бұрын
God as done something juu ya uzima wangu kupitia hii nyimbo
@vincenttambara24804 жыл бұрын
I was looking for the Sea and got me googling more about this guys, I was shocked to read what had happened. I didn't even know that walikua jela all those years. Hu wimbo umenigusa sana. "Mungu waambie ni wewe tu"
@shamilamct54426 жыл бұрын
Jamani nyimbo nzuri sauti nzuri mashalla 😍👏👏👏✌✊✊nimependa
@ejkishosha6 жыл бұрын
Hakika Mungu ni mwaminifu kwa kila amtumainiye...Great song Papii
@tinahtinahmashaka42784 жыл бұрын
Aliyerud 2020 gonga like tujuane,, hakuna hexhima inayozid uhai
@Mutayoba2476 жыл бұрын
Good music yaan ile kuanzia unaplay tuu unasema damnnnnnnn sooo guud!!!
@benjaminleonard54706 жыл бұрын
Asanteni
@Mutayoba2476 жыл бұрын
Benjamin Leonard 👊👊
@edinaantony90866 жыл бұрын
Partson Mutayoba vzjsiw
@hammerQ9546 жыл бұрын
Brother brother saaaaafi umerudi vizuri nakulubali sana sanaaaaaa🔥🔥
@edwardosfrancos6 жыл бұрын
Daaaah bonge la ngoma linagusa sana .big up
@evelynjanga49086 жыл бұрын
This song is more than perfect🤗 this song rocks for sure.Congrats Bro.
@mathiaswambua76436 жыл бұрын
Unapo kosa Tumaini La Kuona Dunia imekuzonga Huu ndio wimbo wa kuusikiliza unatoa Matumaini kwa mtu Alie kata Tamaa Kuona Kwamba Hapa Duniani si mahala sahihi pa kuishi ila kupitia Huu wimbo utapata matumaini thabiti
@newkhamza13396 жыл бұрын
Mathias Wambua kweli kabisa
@mathiaswambua76436 жыл бұрын
New K Hamza Nyimbo Ambazo Zinaleta Inspiration Kubwa Katika Maisha Yetu ya Kila siku ......Conglts Papiiii kocha
@donaldmutegeki50316 жыл бұрын
Amen
@qutej38276 жыл бұрын
Mathias Wambua amen
@amrybakary80096 жыл бұрын
Mathias Wambua very nice song
@amanjohn85276 жыл бұрын
mungu endelea kuwapigania, kazi nzuri nimeipendaaa