Leo December 9 2017 Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametangaza msamaha kwa Familia ya Babu Seya, msamaha huo ameutoa wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Uhuru yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma
Пікірлер: 293
@mrsdeborahurio2 жыл бұрын
Utadumu moyoni mwangu, ninalia tu 😭😭😭😭😭
@peterpet83196 жыл бұрын
JPM umefanya nipate mduwao mkubwa. Hakika moyo wangu umefurahi nikatamani ungekuwa unaweza kufikika nikupe mkono. What a decision Mr President JPM. God Bless you! Hongera Nguza Viking
@OmarAli-wr1ti6 жыл бұрын
Yani kwa,hili la Babu seya, mzee Hongera, sana, yani dah asante
@eppamsa26 жыл бұрын
Big up rais wangu, MUNGU akupe nguvu siku zote na daima, uendelee kutawala namna hii kwa busara. Nakuombea Sana. "Mamlaka ya shetani juu yako yashindwe katika jina la YESU! Amen"
@maryschroeder5216 жыл бұрын
His so dope I wish Kenya we had such a man:
@godlovedonkoli6050 Жыл бұрын
R.I.P JPM Hakika nakuombea kwa Mungu nawe dhambi zako zote zisamehewe hakuna binadamu mkamilifu.
@dastanherman.kingdicetv18406 жыл бұрын
yaani we magufuri umefanya nihamie ccm direct bila chenga mungu akulinde baba
@winndelule23026 жыл бұрын
Nakupnda rais wangu. .....am speechless. ...nlivyoona hiyo habar nilisisimka. .dar kwangu mim baada ya nyerer ni wew. ....God bless u alwayz. .acha wakuseme 2 lakin deep inside we know that u r so gud 2 us
@egmnation99266 жыл бұрын
mungu akulinde rais wangu mzalendo katika viongoz wote
@cvanocharles60016 жыл бұрын
Rais wangu Leo umenifanya nimeshiba bila kula kwa kusamehe na kuwa achia huru wafungwa hasa wa mda mrefu Mungu Akubariki akupe maisha marefu
@joelnassari1056 жыл бұрын
God is Great....God Bless You Honourable John Pombe Joseph Magufuli....Hatimaye yamekua wamekua huru...am so happy Papii alienda jela akiwa kijana mdogo sana na familia yake..Jesus is Answer
@jackygaucho8774 Жыл бұрын
Pumzka kwa Amani 🙏,Nakukumbuka sanaa Magufuli😥😥😥😥
@paschalsafari974722 күн бұрын
Acha tu.. 😭😭😭😭😭
@jerusalemtz89246 жыл бұрын
Yan mpaka machoz yananitoka.....what kind of president are u magufuli.....! God bless u sana! Kwa hili la babu Seya! Mungu akuinue! I fail believing t right now, naona kama nadream hv!😢
@innocentngogolo2126 жыл бұрын
magufuli ni zaidi ya rais mungu akupe maisha marefu duniani.
@kitundakivule27162 жыл бұрын
Nimesoma comment yako leo😭😭
@user-zk8sg3iw1z4 ай бұрын
Hatuwezi kupata mwamba kama wewe baba wa Taifa wa kweli JP Magufuli🎉🎉🎉 Mungu akusamehee na wewe mazambi yako yoteee ya duniani baba na Kila anayekubaliana na Mimi alike statement hiiii Amina 💪🔥🔥🔥🔥♥️❤️💗💞💞💕💓
@wardamarungu24783 ай бұрын
Hakika hatuwezi yni kama ni ndoto tuamkee😢😢
@salamamohamed95196 жыл бұрын
A L H A M D U L I L L A H👏👏👏 Mungu ni mwema jaman Asante Rais wa wanyonge umegusa miyo ya watanzani na kuwajaza fraha na Aman kwa cku ya Leo kuwatoa hawa viumbe wa mungu ktk adhabu walokuwa wanatumikia kwa muda mlefu kwani hata Mungu anasamehe MUNGU AKUBARIKI SN MH. RAIS WETU leo ni cku ya furah kwa watanzania walio wengi
@jaksonmakorere25216 жыл бұрын
My president u make me to belief ur vision n mission asante sana mh.Mungu akupe maisha marefu
@spaice9956 жыл бұрын
Haya machozi sijui ya furaha maana yamenitoka tu now can see how people's tulisubir hiki kitu kwa hamu MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU BARIK RAIS WETU
@emilianatemba41786 жыл бұрын
Jamani raisi wangu mungu hakulinde hubaki ikulu tu hukiondoka wanyonge tumekwisha jamani tufunge na tumuombe raising wetu
@kindolek92576 жыл бұрын
spaice Johnny yaan daah
@frankkashner6 жыл бұрын
Raisi Mungu akubariki nimelia hawa watu hawana hatia
@mapendosafi34296 жыл бұрын
Oooh thank you Lord Mungu amubariki sana baba raisi 💝💝💝💝💝💝💝
@johndavif17296 жыл бұрын
hongera sana baba kwa busara zako mungu akupe maisha mrefu
@happysilyvester17126 жыл бұрын
Katika siku uliyonifurahisha mzee wangu ni leo kuwasamehe hao wafungwa haswa babu seya na papii kocha dah ubarikiwe baba umefanya vyema..
@morismosses7886 жыл бұрын
We jamaa nilikuw sikupendi lakini kuanzia sasa unakuwa rais kipenzi changu na 2020 kura yangu nitakupa kabisaaa
@lascoshirima92026 жыл бұрын
Nimekukubali rais 2020 kura yangu nakupa kweli ww ni mzalendo
@tembasimba94626 жыл бұрын
Hakya Mungu tumepata rais tuliekua tunamtaka, Mungu akupe maisha marefu babaaaa
@adamkabila71136 жыл бұрын
unacma ww hivyo wengine hawaelewi
@salamanauthartanzania63012 жыл бұрын
Nitakupenda milele Magufuli wangu
@tammysalum54756 жыл бұрын
Mungu n mwema kwa kila jambo,hakuna aliyemkamilifu,yote n hero za Mungu,jina lake litukuzwe
@fahariyangu27826 жыл бұрын
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI
@DeejayJulius2543 жыл бұрын
Samahani, si mnyongeni bali ni mnyongeeni
@norascombedule10576 жыл бұрын
Mungu awape Moyo wa kusamehe km wawo walivyosamehewa na awajaze Moyo wa ushujaa uliojaa matarajio mema Amina
@hassanovajunior69726 жыл бұрын
Mungu akupe umri mrefu my president👏👏👏👏
@mallyaeditha6946 жыл бұрын
nimefurah sana jamani mungu akubariki Rais wangu
@clevermakundi20226 жыл бұрын
Hakika rais w umetoka mikonon mwa mungu kira wakat ntaomba dua kwa mungu il akufanikishe kwa kira uriwazalo barikiwa sana rais wang jpm mungu aubalik uzao wako na ww na mama janeth AMINA
@giovannygracious34346 жыл бұрын
ad mwili umenisisimka hakika wakati wa Mungu ukifika hakuna awezaye pinga!!!! karibun uraian ndugu zetu!! japo maisha magumu karibun tupambane pamoja!!! mje mumshukuru Mungu kwa matendo yake makuu
@sarakaghembe30976 жыл бұрын
giovanny gracious amen amen amen...Mungu na ahimidiwe.
@greydimpoz54256 жыл бұрын
Miaka mia mzee umefanya jambo la msing sana
@omarymkombozi236 жыл бұрын
Magufuli , endelea kuwa Rais mpaka nikwambie inatosha ... Maana hata sioni umuhimu wa uchaguzi 2020 ....
@shekhekhandereizer5596 жыл бұрын
Omary Mkombozi semaaa kaka ommy
@kindolek92576 жыл бұрын
Utachefua watu Hahaha kuna watu hawajawah kumsifia JPM ata afanye mema gan, haina haja ya kufanya kampen 2020 tutakwambia upumzke pale tutakapopenda watanzania
@jimmymwandenuka86906 жыл бұрын
hawa wanacheza na akili zetu bro kama unaupeo mfupi huwezi elewa nn wanamaanisha so fikiria kwanza nn kinaendelea nyuma yake zen uwe #mzalendo
@fadhilasaidlukas75436 жыл бұрын
Hongera Sana mh rais hakika ww ni rais shujaa
@ashuraiddy83456 жыл бұрын
kweli raisi magufuli wewe nirahisi unaefaa kuongoza nchi hongera sana kwakuwa samehe ndugu zetu nakuwaachia huru aswa kwababu seya napapikocha mungu akuzidishie miaka yote kiukweli nimejawa na furaha mpaka machozi yafuraha yameni bubujika kuona papikocha nababayake wako huru. mungu akulinde Raisi wetu Joni Josef pombe magufuri.
@alialle64416 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana! Tumpe utukufu wake!
@hamishamis99056 жыл бұрын
Magufuli..wahurumie na hao..masheikh..mungu atakulipa
@jenyyusuph49736 жыл бұрын
dah roho wa mungu aendelee kua juu yako raisi wetu jpm uwe furaha yakila mmoja raisi wetu umri unaompendeza mungu uongezewe my jpm ww ndiwe tuliyekuomba uzaliliwe tz
@gidionsukuru44216 жыл бұрын
Umefanya mzee nikuamini kwa asilimia 2 keep up mzee
@user-eu1pq2fb9x13 күн бұрын
Jpm ungekua bado upo hai Tanzania ingekua mbali sana mungu akusamehe Dhambi zako
@burtonsatshop20616 жыл бұрын
_BREAKING NEWS_ *Babu Seya kapigwa na butwaa baada ya kuambiwa Mbowe na Lipumba bado wenyeviti kwenye vyama vyao*😀😀😅😜
@ndapwatv66006 жыл бұрын
Burton Jorde 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@catherinecharles9326 жыл бұрын
Burton Jorde hajazimia kweli kusikiA bdo wapo
@brownjaffaly11725 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@beatricemveyange11566 жыл бұрын
kwahapo baba nimeuona uzalendo wako mungu akubariki sana
@williamalex47926 жыл бұрын
Kweli raisi wetu umeonesha moyo wakiume na mungu akulinde katika kutetea haki za wanyonge
@naomynathanael54456 жыл бұрын
mungu ampe maisha marefu raisi wetu
@upendosanga33286 жыл бұрын
asante mkuu
@patricmwakapalila73016 жыл бұрын
Du! mkuu, katika hili ulilolofanya limekufanya upae juu zaid,,,!! umewafurahisha wa TZ,,,!!
@yusufbasiliya12476 жыл бұрын
Asante sana baba Rais wetu mpendwa
@Shabanjr3296 жыл бұрын
mungu akuzidishie my president ukiisiliza hii unaweza toa machozi ya furaha
@shodristvtv612110 ай бұрын
Rest in peace JPM
@salimmapunda73936 жыл бұрын
thank
@marygregory75663 жыл бұрын
Magufuli baba nikikutafakari sana nakuta machozi yananitoka..machozi ya shukurani kwa Mungu kutupa baba kama wewe ambae umekubali Mungu akutumie kama chombo hapa duniani..tutakuwa wote paradise siku ya mwisho.
@lucywilibroad88166 жыл бұрын
Natamani hata kulia Jaman mungu mbariki huyu baba
@maisha22076 жыл бұрын
Wallah itapendeza zaid wakiachiwa na mashehe wa uamsho
@stephenchenga40286 жыл бұрын
magufuli rais wangu namba moja ingawa maisha yngu hapa mjini magumu lkn ya wazazi wangu kule kijijini mazuri...nilimpa kura yngu 2015 na ntampa tena hata akigombea awamu 10 cuz NO prezoo like him....like if u agree
@sebastianododa91776 жыл бұрын
Mungu akulinde
@seadkolasnic68946 жыл бұрын
Hongera kwa hili ila watanzania tuache unafiki wakati lowasa aliposema mkinichagua nitamtoa babu seya tulilaani kwa nguvu zote na Leo tunashangilia kwa nguvu zote
@asmabintikiwashatz93216 жыл бұрын
hongera raisi wetu love love
@chatoonline93526 жыл бұрын
wewe nizaidi ya raisi wewe ni nabiii
@twalibuabdallah93376 жыл бұрын
acha usenge www
@zarkleon25116 жыл бұрын
Nahamia CCM kuunga mkono juhud za Rais
@priscajose23926 жыл бұрын
daaaah kwakweli mungu akuweke miaka kamayote uncle magu
@mtotowamamasamorabm46486 жыл бұрын
Mwenyez mungu akujalie miaka mingi rais wangu JOHN POMBE MAGUFULI. Heri wenye kusamehe maana wao watasamehewa
@epainethowanjara65466 жыл бұрын
nimeona sasa kazi unaifanya MH RAIS big up
@nazmaabdul9496 жыл бұрын
Magu ubarikiwe babab
@ericpauldiego60916 жыл бұрын
mwee!
@frankjoseph62136 жыл бұрын
Mungu akubariki sana raisi wetu
@heriethmashulano39636 жыл бұрын
mungu akubaliki sana rais wetu
@yenuramadhan56626 жыл бұрын
Nakupenda sana rais wetu mungu akupe kila la kher ln sha allah
@ibrahimlatif19176 жыл бұрын
Mashehe tunategemea Inshaallah kwa uwezo wa Allah nao watasamehewa siku ya uhuru wa Znz.
@sakinandoile94396 жыл бұрын
Ibrahim Latif Allah kareem Inshaallah wataachiwa huru
@hazjay46716 жыл бұрын
#InShaaAllah!!
@lilianluhasi3116 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Rsisi wetu, Mungu anapenda wanaosamehe wenzao
@asmeramir23716 жыл бұрын
mungu akubariki My president
@geremyshadrack91706 жыл бұрын
ni mapema sana kucoment katika hili zaidi yakusema Stay blessed Dad..
@tracyjustice16006 жыл бұрын
Cmkubaligi Raisi ila leo umetenda haki kwa hao wafungwa, aswa mzee nguza na mwanae
@tukeimalinga15486 жыл бұрын
Tracy Justice hata SAA mbovu kuna wakati husema ukweli. Mpende pale anakugusa kwani yy cyo malaika akupendeze SAA zote
@tracyjustice16006 жыл бұрын
2k Malisasi c ndivyo niliyosema kuwa ametenda haki au ulikuwa unataka nisemeje? Maana kiswahili kigumu unifundishe ndugu yangu labda cjatumia kiswahili kizuri
@jimmymwandenuka86906 жыл бұрын
hiii mbinu ya mchezo mnyonge huwezi elewaaaa
@bahsanyare69076 жыл бұрын
Wooow
@mnikomasana11026 жыл бұрын
safi sana mzee wangu raid wangu MUNGU akubariki
@rosegodson4633Ай бұрын
leo nimerud hapa magufuli wetu, 😢 sjui kama unaona hii comment au huioni, sjui sana kuhusu kifo ila nna uhakika MUNGU yupo basi mwenyez MUNGU akuweke pamoja na wakuu, we're sorry we failed you dad😢😢 may u rest in peace 🕊️
Mungu endelea kumtia nguvu Rais wetu azidi kutenda mema kW watu anaowaongoza hongera sn kW hili
@jamesm.darnes6405 жыл бұрын
Hivi wanaohamia ccm kumuunga mkono jpm wamekosea nini, huyu ndo rais bwana
@rashmo96616 жыл бұрын
Duuh! shangwe zimekua nyingi kwa babu seya na mwanae kuliko kwa wale walio samehewa kunyongwa mmmh ngoja nipite kidogo📝📝📝📝
@mtumweusi56496 жыл бұрын
MUNGU MKUBWA HAKIKA MAOMBI YA WALIOWENGI YAMEJIBIWA TUWAKARIBISHE NA KUJUMUIKA NAO KATIKA KULIJENGA TAIFA.
@torogozverde29346 жыл бұрын
Haaaja no entiendo pero aplausos. 👐👐👐👐👐👐👐👐👐
@1stladyafrica402 Жыл бұрын
Kwenye hili na mengine mengi nitakukumbuka daima Rais wangu.Mungu akupumzishe huko ulipo
@emmanueljohn50116 жыл бұрын
HSANET MZEE BABA KWAKWELI UMENIKOSHA MTIMA WANGU , SASA UYO MZEE WA WTU MIAKA 42 NDANI YA JERA DAAAH MUNGU AZIDI KUKUPIGANIA RAIS WETU
@aloysevodius77616 жыл бұрын
Tumengoja sana iyo kitu atimaye umekuja kutufanyia kile tulichokingoja ubarikiwe baba mkubwa
@giftyfrance87486 жыл бұрын
Mungu akubariki sana raisi wetu, nilikuwa nikiuliza maswali kila siku kuhusu babu seya na mwanae kuwa watatoka lini katika adhabu isiyo ya haki? kwel nimeamini ninae rais mzalendo
@beatriceshadrack99956 жыл бұрын
Magufuli Mungu akuweke tu Rais wetu😘😘😘😘😘
@jasminasha95516 жыл бұрын
Asante sana Rais wangu Lakini uwafikilie mashehe na LuJu👋
@kindolek92576 жыл бұрын
Jasmin Asha hawajahukumiwa bado huenda mwakan Mwenyez mungu akajaalia
@frankmwaluko90956 жыл бұрын
mungu akubariki sana kwakumsamehe mtuhumiwa asie kuwa na hatia kama babu sea kidogo nimecha anza kuwaelewa ccm hasa rais
@samiraelias81456 жыл бұрын
ahsant mungu kwakumuwezesha rais wetu kuliona hili balikiwa magufuri
@miraclebullah96 жыл бұрын
Kura hizooooo 2020.
@ben_digital6 жыл бұрын
Glory to God....Hapo Magufuli amenikosha....Sasa wapinzani wenzangu msije mkaanza kupinga na hili suala ohooo!
@gabriellydaud54116 жыл бұрын
Jambo jema Sana rais wetu mungu pamoja nawe
@fathimaomar35156 жыл бұрын
mungu nimwema alihamdu lilah
@aloycesamba99820 күн бұрын
Pumzika kwa amani baba🙏🙏
@linahmatayo2650 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba natamani mungu akuludishe duniani uje utuone wanao baba sauti yako inaumiza rohoni baba nileo 30,3,2023 nakukumbuka
@felisterdavid36086 жыл бұрын
Ahsant jaman nimelia adi jaman
@raphaelmataba18706 жыл бұрын
kwasab gan umelia?
@Rugemalilatv19946 жыл бұрын
Hiyo ndio faida ya upinzani ssa najua maccm yatapingana na mimi ikumbukwe kwamba waliopaza sauti juu ya babu sea kuachiwa na sasa ikumbukwe pia barua aliyoandika papii iliyokuwa imejaa majonzi ilipostiwa na wapinzani tu sikuona ccm yeyote aliyepost barua ile vilevile Kwenye kampeni za 2015 nakumbuka lowassa aliahidi akiwa raisi atawaachia akina babu seya pamoja na mashehe wa uhamsho Keep it up upinzani then Magufuli ahsante kwa kuonesha kuwa mambo yetu unayasikiliza japo sio kwa wakati usika
@augustinonyambega83986 жыл бұрын
luge Donation wewe ni shabiki wa mpira na usiejua hata kucheza.Tulia wachezaji wakupe raha.aliye funga ndo aliyecheza.hata Lowasa aliiba aidia ya JPM.
@stephenchenga40286 жыл бұрын
yalikua yanatafuta ugali yale mafisadi...sisi tupo hapa hapa ccm kwa magufuli mambo yanajipa taratibu gatuna papara
@chrisbee78766 жыл бұрын
kwambali sana namwona raisi wangu amezeheka namajukumu namahamu magumu kama ayaaaaa
@sudeinwahab9066 жыл бұрын
Hapo mheshimiwa nakujubali mungu atakujaalia kila la kheri huruma ulionayo ni kubwaa sana