HD VIDEO: JPM alivyotangaza kuwasamehe Babu Seya na Papi Kocha

  Рет қаралды 328,308

Millard Ayo

Millard Ayo

6 жыл бұрын

Leo December 9 2017 Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametangaza msamaha kwa Familia ya Babu Seya, msamaha huo ameutoa wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Uhuru yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma

Пікірлер: 293
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 2 жыл бұрын
Utadumu moyoni mwangu, ninalia tu 😭😭😭😭😭
@peterpet8319
@peterpet8319 6 жыл бұрын
JPM umefanya nipate mduwao mkubwa. Hakika moyo wangu umefurahi nikatamani ungekuwa unaweza kufikika nikupe mkono. What a decision Mr President JPM. God Bless you! Hongera Nguza Viking
@OmarAli-wr1ti
@OmarAli-wr1ti 6 жыл бұрын
Yani kwa,hili la Babu seya, mzee Hongera, sana, yani dah asante
@eppamsa2
@eppamsa2 6 жыл бұрын
Big up rais wangu, MUNGU akupe nguvu siku zote na daima, uendelee kutawala namna hii kwa busara. Nakuombea Sana. "Mamlaka ya shetani juu yako yashindwe katika jina la YESU! Amen"
@maryschroeder521
@maryschroeder521 6 жыл бұрын
His so dope I wish Kenya we had such a man:
@godlovedonkoli6050
@godlovedonkoli6050 Жыл бұрын
R.I.P JPM Hakika nakuombea kwa Mungu nawe dhambi zako zote zisamehewe hakuna binadamu mkamilifu.
@dastanherman.kingdicetv1840
@dastanherman.kingdicetv1840 6 жыл бұрын
yaani we magufuri umefanya nihamie ccm direct bila chenga mungu akulinde baba
@winndelule2302
@winndelule2302 6 жыл бұрын
Nakupnda rais wangu. .....am speechless. ...nlivyoona hiyo habar nilisisimka. .dar kwangu mim baada ya nyerer ni wew. ....God bless u alwayz. .acha wakuseme 2 lakin deep inside we know that u r so gud 2 us
@egmnation9926
@egmnation9926 6 жыл бұрын
mungu akulinde rais wangu mzalendo katika viongoz wote
@cvanocharles6001
@cvanocharles6001 6 жыл бұрын
Rais wangu Leo umenifanya nimeshiba bila kula kwa kusamehe na kuwa achia huru wafungwa hasa wa mda mrefu Mungu Akubariki akupe maisha marefu
@joelnassari105
@joelnassari105 6 жыл бұрын
God is Great....God Bless You Honourable John Pombe Joseph Magufuli....Hatimaye yamekua wamekua huru...am so happy Papii alienda jela akiwa kijana mdogo sana na familia yake..Jesus is Answer
@jackygaucho8774
@jackygaucho8774 Жыл бұрын
Pumzka kwa Amani 🙏,Nakukumbuka sanaa Magufuli😥😥😥😥
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 22 күн бұрын
Acha tu.. 😭😭😭😭😭
@jerusalemtz8924
@jerusalemtz8924 6 жыл бұрын
Yan mpaka machoz yananitoka.....what kind of president are u magufuli.....! God bless u sana! Kwa hili la babu Seya! Mungu akuinue! I fail believing t right now, naona kama nadream hv!😢
@innocentngogolo212
@innocentngogolo212 6 жыл бұрын
magufuli ni zaidi ya rais mungu akupe maisha marefu duniani.
@kitundakivule2716
@kitundakivule2716 2 жыл бұрын
Nimesoma comment yako leo😭😭
@user-zk8sg3iw1z
@user-zk8sg3iw1z 4 ай бұрын
Hatuwezi kupata mwamba kama wewe baba wa Taifa wa kweli JP Magufuli🎉🎉🎉 Mungu akusamehee na wewe mazambi yako yoteee ya duniani baba na Kila anayekubaliana na Mimi alike statement hiiii Amina 💪🔥🔥🔥🔥♥️❤️💗💞💞💕💓
@wardamarungu2478
@wardamarungu2478 3 ай бұрын
Hakika hatuwezi yni kama ni ndoto tuamkee😢😢
@salamamohamed9519
@salamamohamed9519 6 жыл бұрын
A L H A M D U L I L L A H👏👏👏 Mungu ni mwema jaman Asante Rais wa wanyonge umegusa miyo ya watanzani na kuwajaza fraha na Aman kwa cku ya Leo kuwatoa hawa viumbe wa mungu ktk adhabu walokuwa wanatumikia kwa muda mlefu kwani hata Mungu anasamehe MUNGU AKUBARIKI SN MH. RAIS WETU leo ni cku ya furah kwa watanzania walio wengi
@jaksonmakorere2521
@jaksonmakorere2521 6 жыл бұрын
My president u make me to belief ur vision n mission asante sana mh.Mungu akupe maisha marefu
@spaice995
@spaice995 6 жыл бұрын
Haya machozi sijui ya furaha maana yamenitoka tu now can see how people's tulisubir hiki kitu kwa hamu MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU BARIK RAIS WETU
@emilianatemba4178
@emilianatemba4178 6 жыл бұрын
Jamani raisi wangu mungu hakulinde hubaki ikulu tu hukiondoka wanyonge tumekwisha jamani tufunge na tumuombe raising wetu
@kindolek9257
@kindolek9257 6 жыл бұрын
spaice Johnny yaan daah
@frankkashner
@frankkashner 6 жыл бұрын
Raisi Mungu akubariki nimelia hawa watu hawana hatia
@mapendosafi3429
@mapendosafi3429 6 жыл бұрын
Oooh thank you Lord Mungu amubariki sana baba raisi 💝💝💝💝💝💝💝
@johndavif1729
@johndavif1729 6 жыл бұрын
hongera sana baba kwa busara zako mungu akupe maisha mrefu
@happysilyvester1712
@happysilyvester1712 6 жыл бұрын
Katika siku uliyonifurahisha mzee wangu ni leo kuwasamehe hao wafungwa haswa babu seya na papii kocha dah ubarikiwe baba umefanya vyema..
@morismosses788
@morismosses788 6 жыл бұрын
We jamaa nilikuw sikupendi lakini kuanzia sasa unakuwa rais kipenzi changu na 2020 kura yangu nitakupa kabisaaa
@lascoshirima9202
@lascoshirima9202 6 жыл бұрын
Nimekukubali rais 2020 kura yangu nakupa kweli ww ni mzalendo
@tembasimba9462
@tembasimba9462 6 жыл бұрын
Hakya Mungu tumepata rais tuliekua tunamtaka, Mungu akupe maisha marefu babaaaa
@adamkabila7113
@adamkabila7113 6 жыл бұрын
unacma ww hivyo wengine hawaelewi
@salamanauthartanzania6301
@salamanauthartanzania6301 2 жыл бұрын
Nitakupenda milele Magufuli wangu
@tammysalum5475
@tammysalum5475 6 жыл бұрын
Mungu n mwema kwa kila jambo,hakuna aliyemkamilifu,yote n hero za Mungu,jina lake litukuzwe
@fahariyangu2782
@fahariyangu2782 6 жыл бұрын
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI
@DeejayJulius254
@DeejayJulius254 3 жыл бұрын
Samahani, si mnyongeni bali ni mnyongeeni
@norascombedule1057
@norascombedule1057 6 жыл бұрын
Mungu awape Moyo wa kusamehe km wawo walivyosamehewa na awajaze Moyo wa ushujaa uliojaa matarajio mema Amina
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 6 жыл бұрын
Mungu akupe umri mrefu my president👏👏👏👏
@mallyaeditha694
@mallyaeditha694 6 жыл бұрын
nimefurah sana jamani mungu akubariki Rais wangu
@clevermakundi2022
@clevermakundi2022 6 жыл бұрын
Hakika rais w umetoka mikonon mwa mungu kira wakat ntaomba dua kwa mungu il akufanikishe kwa kira uriwazalo barikiwa sana rais wang jpm mungu aubalik uzao wako na ww na mama janeth AMINA
@giovannygracious3434
@giovannygracious3434 6 жыл бұрын
ad mwili umenisisimka hakika wakati wa Mungu ukifika hakuna awezaye pinga!!!! karibun uraian ndugu zetu!! japo maisha magumu karibun tupambane pamoja!!! mje mumshukuru Mungu kwa matendo yake makuu
@sarakaghembe3097
@sarakaghembe3097 6 жыл бұрын
giovanny gracious amen amen amen...Mungu na ahimidiwe.
@greydimpoz5425
@greydimpoz5425 6 жыл бұрын
Miaka mia mzee umefanya jambo la msing sana
@omarymkombozi23
@omarymkombozi23 6 жыл бұрын
Magufuli , endelea kuwa Rais mpaka nikwambie inatosha ... Maana hata sioni umuhimu wa uchaguzi 2020 ....
@shekhekhandereizer559
@shekhekhandereizer559 6 жыл бұрын
Omary Mkombozi semaaa kaka ommy
@kindolek9257
@kindolek9257 6 жыл бұрын
Utachefua watu Hahaha kuna watu hawajawah kumsifia JPM ata afanye mema gan, haina haja ya kufanya kampen 2020 tutakwambia upumzke pale tutakapopenda watanzania
@jimmymwandenuka8690
@jimmymwandenuka8690 6 жыл бұрын
hawa wanacheza na akili zetu bro kama unaupeo mfupi huwezi elewa nn wanamaanisha so fikiria kwanza nn kinaendelea nyuma yake zen uwe #mzalendo
@fadhilasaidlukas7543
@fadhilasaidlukas7543 6 жыл бұрын
Hongera Sana mh rais hakika ww ni rais shujaa
@ashuraiddy8345
@ashuraiddy8345 6 жыл бұрын
kweli raisi magufuli wewe nirahisi unaefaa kuongoza nchi hongera sana kwakuwa samehe ndugu zetu nakuwaachia huru aswa kwababu seya napapikocha mungu akuzidishie miaka yote kiukweli nimejawa na furaha mpaka machozi yafuraha yameni bubujika kuona papikocha nababayake wako huru. mungu akulinde Raisi wetu Joni Josef pombe magufuri.
@alialle6441
@alialle6441 6 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana! Tumpe utukufu wake!
@hamishamis9905
@hamishamis9905 6 жыл бұрын
Magufuli..wahurumie na hao..masheikh..mungu atakulipa
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 6 жыл бұрын
dah roho wa mungu aendelee kua juu yako raisi wetu jpm uwe furaha yakila mmoja raisi wetu umri unaompendeza mungu uongezewe my jpm ww ndiwe tuliyekuomba uzaliliwe tz
@gidionsukuru4421
@gidionsukuru4421 6 жыл бұрын
Umefanya mzee nikuamini kwa asilimia 2 keep up mzee
@user-eu1pq2fb9x
@user-eu1pq2fb9x 13 күн бұрын
Jpm ungekua bado upo hai Tanzania ingekua mbali sana mungu akusamehe Dhambi zako
@burtonsatshop2061
@burtonsatshop2061 6 жыл бұрын
_BREAKING NEWS_ *Babu Seya kapigwa na butwaa baada ya kuambiwa Mbowe na Lipumba bado wenyeviti kwenye vyama vyao*😀😀😅😜
@ndapwatv6600
@ndapwatv6600 6 жыл бұрын
Burton Jorde 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@catherinecharles932
@catherinecharles932 6 жыл бұрын
Burton Jorde hajazimia kweli kusikiA bdo wapo
@brownjaffaly1172
@brownjaffaly1172 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@beatricemveyange1156
@beatricemveyange1156 6 жыл бұрын
kwahapo baba nimeuona uzalendo wako mungu akubariki sana
@williamalex4792
@williamalex4792 6 жыл бұрын
Kweli raisi wetu umeonesha moyo wakiume na mungu akulinde katika kutetea haki za wanyonge
@naomynathanael5445
@naomynathanael5445 6 жыл бұрын
mungu ampe maisha marefu raisi wetu
@upendosanga3328
@upendosanga3328 6 жыл бұрын
asante mkuu
@patricmwakapalila7301
@patricmwakapalila7301 6 жыл бұрын
Du! mkuu, katika hili ulilolofanya limekufanya upae juu zaid,,,!! umewafurahisha wa TZ,,,!!
@yusufbasiliya1247
@yusufbasiliya1247 6 жыл бұрын
Asante sana baba Rais wetu mpendwa
@Shabanjr329
@Shabanjr329 6 жыл бұрын
mungu akuzidishie my president ukiisiliza hii unaweza toa machozi ya furaha
@shodristvtv6121
@shodristvtv6121 10 ай бұрын
Rest in peace JPM
@salimmapunda7393
@salimmapunda7393 6 жыл бұрын
thank
@marygregory7566
@marygregory7566 3 жыл бұрын
Magufuli baba nikikutafakari sana nakuta machozi yananitoka..machozi ya shukurani kwa Mungu kutupa baba kama wewe ambae umekubali Mungu akutumie kama chombo hapa duniani..tutakuwa wote paradise siku ya mwisho.
@lucywilibroad8816
@lucywilibroad8816 6 жыл бұрын
Natamani hata kulia Jaman mungu mbariki huyu baba
@maisha2207
@maisha2207 6 жыл бұрын
Wallah itapendeza zaid wakiachiwa na mashehe wa uamsho
@stephenchenga4028
@stephenchenga4028 6 жыл бұрын
magufuli rais wangu namba moja ingawa maisha yngu hapa mjini magumu lkn ya wazazi wangu kule kijijini mazuri...nilimpa kura yngu 2015 na ntampa tena hata akigombea awamu 10 cuz NO prezoo like him....like if u agree
@sebastianododa9177
@sebastianododa9177 6 жыл бұрын
Mungu akulinde
@seadkolasnic6894
@seadkolasnic6894 6 жыл бұрын
Hongera kwa hili ila watanzania tuache unafiki wakati lowasa aliposema mkinichagua nitamtoa babu seya tulilaani kwa nguvu zote na Leo tunashangilia kwa nguvu zote
@asmabintikiwashatz9321
@asmabintikiwashatz9321 6 жыл бұрын
hongera raisi wetu love love
@chatoonline9352
@chatoonline9352 6 жыл бұрын
wewe nizaidi ya raisi wewe ni nabiii
@twalibuabdallah9337
@twalibuabdallah9337 6 жыл бұрын
acha usenge www
@zarkleon2511
@zarkleon2511 6 жыл бұрын
Nahamia CCM kuunga mkono juhud za Rais
@priscajose2392
@priscajose2392 6 жыл бұрын
daaaah kwakweli mungu akuweke miaka kamayote uncle magu
@mtotowamamasamorabm4648
@mtotowamamasamorabm4648 6 жыл бұрын
Mwenyez mungu akujalie miaka mingi rais wangu JOHN POMBE MAGUFULI. Heri wenye kusamehe maana wao watasamehewa
@epainethowanjara6546
@epainethowanjara6546 6 жыл бұрын
nimeona sasa kazi unaifanya MH RAIS big up
@nazmaabdul949
@nazmaabdul949 6 жыл бұрын
Magu ubarikiwe babab
@ericpauldiego6091
@ericpauldiego6091 6 жыл бұрын
mwee!
@frankjoseph6213
@frankjoseph6213 6 жыл бұрын
Mungu akubariki sana raisi wetu
@heriethmashulano3963
@heriethmashulano3963 6 жыл бұрын
mungu akubaliki sana rais wetu
@yenuramadhan5662
@yenuramadhan5662 6 жыл бұрын
Nakupenda sana rais wetu mungu akupe kila la kher ln sha allah
@ibrahimlatif1917
@ibrahimlatif1917 6 жыл бұрын
Mashehe tunategemea Inshaallah kwa uwezo wa Allah nao watasamehewa siku ya uhuru wa Znz.
@sakinandoile9439
@sakinandoile9439 6 жыл бұрын
Ibrahim Latif Allah kareem Inshaallah wataachiwa huru
@hazjay4671
@hazjay4671 6 жыл бұрын
#InShaaAllah!!
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 6 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Rsisi wetu, Mungu anapenda wanaosamehe wenzao
@asmeramir2371
@asmeramir2371 6 жыл бұрын
mungu akubariki My president
@geremyshadrack9170
@geremyshadrack9170 6 жыл бұрын
ni mapema sana kucoment katika hili zaidi yakusema Stay blessed Dad..
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 6 жыл бұрын
Cmkubaligi Raisi ila leo umetenda haki kwa hao wafungwa, aswa mzee nguza na mwanae
@tukeimalinga1548
@tukeimalinga1548 6 жыл бұрын
Tracy Justice hata SAA mbovu kuna wakati husema ukweli. Mpende pale anakugusa kwani yy cyo malaika akupendeze SAA zote
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 6 жыл бұрын
2k Malisasi c ndivyo niliyosema kuwa ametenda haki au ulikuwa unataka nisemeje? Maana kiswahili kigumu unifundishe ndugu yangu labda cjatumia kiswahili kizuri
@jimmymwandenuka8690
@jimmymwandenuka8690 6 жыл бұрын
hiii mbinu ya mchezo mnyonge huwezi elewaaaa
@bahsanyare6907
@bahsanyare6907 6 жыл бұрын
Wooow
@mnikomasana1102
@mnikomasana1102 6 жыл бұрын
safi sana mzee wangu raid wangu MUNGU akubariki
@rosegodson4633
@rosegodson4633 Ай бұрын
leo nimerud hapa magufuli wetu, 😢 sjui kama unaona hii comment au huioni, sjui sana kuhusu kifo ila nna uhakika MUNGU yupo basi mwenyez MUNGU akuweke pamoja na wakuu, we're sorry we failed you dad😢😢 may u rest in peace 🕊️
@joycedonald767
@joycedonald767 20 күн бұрын
Na Mimi nipo apa machozi yananitoka dah
@catherinemgaya8498
@catherinemgaya8498 6 жыл бұрын
nimefurahi mnooooo kusikia hayoo,,mungu aendelee kukutunza vyema raidms wetu
@TheSalma1999
@TheSalma1999 6 жыл бұрын
Jamani Mungu ni mwaminifu asante baba magufuri
@sophiayusuph5424
@sophiayusuph5424 6 жыл бұрын
Mungu endelea kumtia nguvu Rais wetu azidi kutenda mema kW watu anaowaongoza hongera sn kW hili
@jamesm.darnes640
@jamesm.darnes640 5 жыл бұрын
Hivi wanaohamia ccm kumuunga mkono jpm wamekosea nini, huyu ndo rais bwana
@rashmo9661
@rashmo9661 6 жыл бұрын
Duuh! shangwe zimekua nyingi kwa babu seya na mwanae kuliko kwa wale walio samehewa kunyongwa mmmh ngoja nipite kidogo📝📝📝📝
@mtumweusi5649
@mtumweusi5649 6 жыл бұрын
MUNGU MKUBWA HAKIKA MAOMBI YA WALIOWENGI YAMEJIBIWA TUWAKARIBISHE NA KUJUMUIKA NAO KATIKA KULIJENGA TAIFA.
@torogozverde2934
@torogozverde2934 6 жыл бұрын
Haaaja no entiendo pero aplausos. 👐👐👐👐👐👐👐👐👐
@1stladyafrica402
@1stladyafrica402 Жыл бұрын
Kwenye hili na mengine mengi nitakukumbuka daima Rais wangu.Mungu akupumzishe huko ulipo
@emmanueljohn5011
@emmanueljohn5011 6 жыл бұрын
HSANET MZEE BABA KWAKWELI UMENIKOSHA MTIMA WANGU , SASA UYO MZEE WA WTU MIAKA 42 NDANI YA JERA DAAAH MUNGU AZIDI KUKUPIGANIA RAIS WETU
@aloysevodius7761
@aloysevodius7761 6 жыл бұрын
Tumengoja sana iyo kitu atimaye umekuja kutufanyia kile tulichokingoja ubarikiwe baba mkubwa
@giftyfrance8748
@giftyfrance8748 6 жыл бұрын
Mungu akubariki sana raisi wetu, nilikuwa nikiuliza maswali kila siku kuhusu babu seya na mwanae kuwa watatoka lini katika adhabu isiyo ya haki? kwel nimeamini ninae rais mzalendo
@beatriceshadrack9995
@beatriceshadrack9995 6 жыл бұрын
Magufuli Mungu akuweke tu Rais wetu😘😘😘😘😘
@jasminasha9551
@jasminasha9551 6 жыл бұрын
Asante sana Rais wangu Lakini uwafikilie mashehe na LuJu👋
@kindolek9257
@kindolek9257 6 жыл бұрын
Jasmin Asha hawajahukumiwa bado huenda mwakan Mwenyez mungu akajaalia
@frankmwaluko9095
@frankmwaluko9095 6 жыл бұрын
mungu akubariki sana kwakumsamehe mtuhumiwa asie kuwa na hatia kama babu sea kidogo nimecha anza kuwaelewa ccm hasa rais
@samiraelias8145
@samiraelias8145 6 жыл бұрын
ahsant mungu kwakumuwezesha rais wetu kuliona hili balikiwa magufuri
@miraclebullah9
@miraclebullah9 6 жыл бұрын
Kura hizooooo 2020.
@ben_digital
@ben_digital 6 жыл бұрын
Glory to God....Hapo Magufuli amenikosha....Sasa wapinzani wenzangu msije mkaanza kupinga na hili suala ohooo!
@gabriellydaud5411
@gabriellydaud5411 6 жыл бұрын
Jambo jema Sana rais wetu mungu pamoja nawe
@fathimaomar3515
@fathimaomar3515 6 жыл бұрын
mungu nimwema alihamdu lilah
@aloycesamba998
@aloycesamba998 20 күн бұрын
Pumzika kwa amani baba🙏🙏
@linahmatayo2650
@linahmatayo2650 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba natamani mungu akuludishe duniani uje utuone wanao baba sauti yako inaumiza rohoni baba nileo 30,3,2023 nakukumbuka
@felisterdavid3608
@felisterdavid3608 6 жыл бұрын
Ahsant jaman nimelia adi jaman
@raphaelmataba1870
@raphaelmataba1870 6 жыл бұрын
kwasab gan umelia?
@Rugemalilatv1994
@Rugemalilatv1994 6 жыл бұрын
Hiyo ndio faida ya upinzani ssa najua maccm yatapingana na mimi ikumbukwe kwamba waliopaza sauti juu ya babu sea kuachiwa na sasa ikumbukwe pia barua aliyoandika papii iliyokuwa imejaa majonzi ilipostiwa na wapinzani tu sikuona ccm yeyote aliyepost barua ile vilevile Kwenye kampeni za 2015 nakumbuka lowassa aliahidi akiwa raisi atawaachia akina babu seya pamoja na mashehe wa uhamsho Keep it up upinzani then Magufuli ahsante kwa kuonesha kuwa mambo yetu unayasikiliza japo sio kwa wakati usika
@augustinonyambega8398
@augustinonyambega8398 6 жыл бұрын
luge Donation wewe ni shabiki wa mpira na usiejua hata kucheza.Tulia wachezaji wakupe raha.aliye funga ndo aliyecheza.hata Lowasa aliiba aidia ya JPM.
@stephenchenga4028
@stephenchenga4028 6 жыл бұрын
yalikua yanatafuta ugali yale mafisadi...sisi tupo hapa hapa ccm kwa magufuli mambo yanajipa taratibu gatuna papara
@chrisbee7876
@chrisbee7876 6 жыл бұрын
kwambali sana namwona raisi wangu amezeheka namajukumu namahamu magumu kama ayaaaaa
@sudeinwahab906
@sudeinwahab906 6 жыл бұрын
Hapo mheshimiwa nakujubali mungu atakujaalia kila la kheri huruma ulionayo ni kubwaa sana
@felixbombo6175
@felixbombo6175 6 жыл бұрын
Mungu akubarki Rais Magufuli...
@happynnko1193
@happynnko1193 6 жыл бұрын
asante baba ubarkiwe ktk hili
@kroby9581
@kroby9581 6 жыл бұрын
Mungu akubariki ewe magufuri
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 579 М.
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 59 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 1,9 МЛН
Hotuba Ya Mwl  Julius K  Nyerere   Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma Mwaka 1995
14:17
BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere
13:30
Global TV Online
Рет қаралды 238 М.
CHALAMILA : NIMEOA ILI NIYATUMIKIE HAYO MAPENZI WANAYOSEMA NAPENDA
8:18
Gangana Info Channel
Рет қаралды 30 М.
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 59 МЛН