PART 1; MTAZANIA MSOMI ZAIDI/HILI NDILO KABURI LANGU/NIMEIMBA NA MKE WA KIKWETE

  Рет қаралды 100,019

Dar24 Media

Жыл бұрын

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 145
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 Жыл бұрын
Daah mzee anashukrani sana kwa waliomshika MKONO mbali na Madigrii yote hasahau mtu na kama amefariki anamuombea alale mahalapema Peponi hivyo NDIVYO watu hubarikiwa Mungu aendelee kuntunza huyu mzee MWENYE moyo safi
@patsonmophat9456
@patsonmophat9456 Жыл бұрын
?❤£
@summanelson5523
@summanelson5523 Жыл бұрын
Mzee yuko vizuri sana!!! Kanunua eneo kubwa sana la kuishi!!!! Big up mzee!!!! Oooh!!! Mdogo wake Da Tully!!!
@KelvinMtavangu-ow8yo
@KelvinMtavangu-ow8yo Жыл бұрын
Hongera sana Prof. Ingawa mara nyingi wasomi hutengeneza gape kubwa sana ya mahusiano na ndugu zake. Vinginevyo huyu Mgonile ni mfano wa kuigwa. Ombi: Serikali imutumie kama wenzetu kule Ulaya. Mungu akubariki babu Mafwenga.
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 Жыл бұрын
Hongera sana Prof hujasahau lugha yetu!! Maana Hapa Tz Watu waliobahatika kusoma mpka degree moja tu wakiongea Kiswahili huwa wanajifanyaga wanesahau lugha yao ya Taifa iliyowakuza.
@mzadomwongozo3671
@mzadomwongozo3671 Жыл бұрын
Mwandishi upo vizuri sanaa, umeendesha interview kisomi haichoshi. Umepata new follower mkuu Heko kwa Profesor the tax guru
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 Жыл бұрын
Hata zungumza yake tu inasadifu yaliyomo kichwani na moyoni. Pongezi kwa viuno vya babaye na tumbo la mamaye lililomleta duniani. Hazina njema.
@user-xm4gs9gk9v
@user-xm4gs9gk9v Жыл бұрын
Kweli kila kitu chini ya jua kinawezekana big up Professor 😂
@alinuwilamwamlima9797
@alinuwilamwamlima9797 9 ай бұрын
Hongera Mpoki mate wangu Sangu sec kweli alikuwa naFujo
@princesschii4090
@princesschii4090 Жыл бұрын
Hongera Prof uko na maarifa mob......inspired
@gemamwakyusa6100
@gemamwakyusa6100 Жыл бұрын
Heshima kwako Prof
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Жыл бұрын
Duh... eenheeee! huyu ni mwamba! Admin asante sana kumleta huyu multisectoral!
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Жыл бұрын
MSOMI MNYAKYUSA. UBARIKIWE SANAA.
@dynamicmwakibinga4371
@dynamicmwakibinga4371 Жыл бұрын
Ahsante fijo mzee!!!!
@salaita2829
@salaita2829 9 ай бұрын
Pumzika kwa amani prof
@user-nd4ge2ih5u
@user-nd4ge2ih5u Жыл бұрын
Heshima kwake
@theonestruganisa9886
@theonestruganisa9886 Жыл бұрын
Vizuri Sana Prof tunapashwa kukutumia kuzalisha wasomi wengine, uzee nchi unaiachia nini? Basi type ushauri jinsi biashara kariakoo iweje, inaumiza viongozi wetu wapendwa
@DoriceSawaki-vg4sb
@DoriceSawaki-vg4sb 9 ай бұрын
Daaaah,,, story ya Mzee imeni inspire sana kusoma.
@user-ub4tu5rb7e
@user-ub4tu5rb7e 9 ай бұрын
Pole familia Ya prof
@mizingayaudongo1097
@mizingayaudongo1097 Жыл бұрын
Excellent !!❤
@hildegardchafwila5076
@hildegardchafwila5076 Жыл бұрын
Safi Sana.
@husseinmwanjela8644
@husseinmwanjela8644 Жыл бұрын
Congratulations father kwa mapambano
@reginameitavan4032
@reginameitavan4032 Жыл бұрын
Prof hongera sana,Ila ulivyotaja tu jina la Gwamaka umenichefua sana .Gwamaka ni mnyonyaji wa wanyonge sana ila Mungu yupo
@gregoryadriano724
@gregoryadriano724 Жыл бұрын
Tupe ufafanuzi unyonyaji wake nini
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 Жыл бұрын
Alikunyonya damu?
@masetomuhafiwa4546
@masetomuhafiwa4546 Жыл бұрын
😄😄😄😄
@andrewisaac171
@andrewisaac171 Жыл бұрын
Kisa amefungia bar kupiga kelele.? Yeye anafuata sheria tu ambazo amezikuta hapo NEMC
@jacksonjasson8823
@jacksonjasson8823 Жыл бұрын
Safi sana
@eliasaloyce3180
@eliasaloyce3180 Жыл бұрын
👏👏👏👏 ndaga Baba 😊
@maryjoseph6973
@maryjoseph6973 9 ай бұрын
Mimi imependa uamuzi wako na usomi wako wakujenga kaburi Yako mapema mungu akubari sana amina
@juliusmagoti5650
@juliusmagoti5650 9 ай бұрын
Daaa, mzee hakua mtu wa kukata tamaa katika malengo yake. Ana uwezo mkubwa sana wa kumbukumbu kuhusu hatua zote alizozipitia. CV yake yote iko kichwani RIP Prof.
@user-xe4mi6cl4d
@user-xe4mi6cl4d Жыл бұрын
❤❤
@SasaMediaOnline
@SasaMediaOnline Жыл бұрын
nyie ambae mna degree moja mkihojiwa mnajiona mmesoma kingereza kingi angalia mwamba huyu hapa
@jumakisailo8496
@jumakisailo8496 Жыл бұрын
😅😅😅😅❤
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Жыл бұрын
Kweli bhana maringo mengi kadigrii kamoja
@bjsilver1264
@bjsilver1264 Жыл бұрын
😮
@nemecymsanya4952
@nemecymsanya4952 Жыл бұрын
Na kubaliana Prof
@CharlesBaltmore
@CharlesBaltmore Жыл бұрын
💪💪💪
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
stanslaus nakufatilia sana unaeleweka nini unafanya unampa.mtu.nafasi kujieleza namaswali ya umuhimu
@robertabel6984
@robertabel6984 9 ай бұрын
R.I.P prof handlaley.
@wastaragijoslove8933
@wastaragijoslove8933 Жыл бұрын
Safi sa
@jumaalmasjuma1700
@jumaalmasjuma1700 9 ай бұрын
Mungu akulaze mahala pema uliongea haya miezi minne nawe Sasa umekuwa Marehem sijui NAMI nimekomenti miaka au miezi mingapi NAMI nitakuwa marehemu
@salimlossindilo8712
@salimlossindilo8712 Жыл бұрын
Daaah, mwamba alipambanaaa😔😔😔
@AgripinaJosephMushi-hw2xw
@AgripinaJosephMushi-hw2xw Жыл бұрын
Watu Kama hawa serikali haitawataka maana atafanya kitu
@pendomwaipaja6067
@pendomwaipaja6067 9 ай бұрын
Pumzika Kwa Amani Mzee wetu😭😭
@athumanfuko199
@athumanfuko199 9 ай бұрын
kwani amekufa
@misambo7539
@misambo7539 9 ай бұрын
R. I. P Professor 😢😢😢
@emmanuelmtundi3754
@emmanuelmtundi3754 Жыл бұрын
Hawa watu walikua sio Wala rushwa mpaka unamsikia mtu aliefanya kazi adi TRA anasema mshahara ulikua hautoshi akaamua kufanya kazi za ziada huyu mtu hakua mla rushwa. Hawa wazee wanakumbukumbu sana yaan Kila alichokutana nacho anakumbuka. Hii inamaanisha watu wa zaman kidogo hawakua na mambo mengi tofauti na Sasa kwenye utandawazi vichwa vinajaa mambo yasiyo na msingi.
@sylvestrengwelu2012
@sylvestrengwelu2012 Жыл бұрын
Hongera sana Pro.Mungu AKUTUNZE
@festokemibala5832
@festokemibala5832 9 ай бұрын
RIP Prof. Mwafwenga tutkumiss sana. Huyu jamaa tulikuwa naye IFM miaka hiyo ya 1992-95 akisoma kozi ya Taxation nasi tukiwa Accountancy. Alikuwa hapendi dhuruma kiasi Viongozi wasiyo wajibika walimuona ni mkorofi. Mungu ailaze roho ya Marehemu mahala pema peponi, Amin
@henryyuda2989
@henryyuda2989 Жыл бұрын
Aiseeee kwel mwambaaas
@abelkilumbu9205
@abelkilumbu9205 Жыл бұрын
✍✍
@libetztanzania-kiswahilina2845
@libetztanzania-kiswahilina2845 9 ай бұрын
Apumzike kwa amani
@user-rg7tx2cc1l
@user-rg7tx2cc1l 9 ай бұрын
(This particular time)
@Waberoya
@Waberoya 9 ай бұрын
RIP uncle, I will miss you
@happybalama3591
@happybalama3591 Жыл бұрын
Dah hadi raha jamaniii but kwann asiwe waziri
@personpeter2221
@personpeter2221 Жыл бұрын
Hajakiz vgezo waziri lazma awe mbunge
@robertmwakingili4255
@robertmwakingili4255 9 ай бұрын
Hayo maghorofa kuna siku utayaacha lakini elimu uliyonayo utaenda nayo kwa Mungu wako.
@azizihfarijala5307
@azizihfarijala5307 Жыл бұрын
watanzania wasomi tunao wengi kwa sasa tunahitaji wabunifu na wagunduzi tumechoka na watu wakukalili
@serafinamalecela4728
@serafinamalecela4728 Жыл бұрын
Kalili na wewe kama kazi rahisi😂
@saidyussuf2291
@saidyussuf2291 9 ай бұрын
@@serafinamalecela4728 hhhhhh
@obijoha2877
@obijoha2877 Жыл бұрын
Khaaa
@vedastusngaiza5960
@vedastusngaiza5960 10 ай бұрын
I profesa lakini sio bright maana alifeli Sana
@celestinshayo7295
@celestinshayo7295 9 ай бұрын
Mtu anayefeli sana lakini hakati tamaa mpaka anafaulu ujue huyo ndiye bright sasa anakuja kuwa mtaalamu mkubwa!
@husseinyusuph5458
@husseinyusuph5458 Жыл бұрын
Duuh!
@aidanhamis7913
@aidanhamis7913 9 ай бұрын
R. I. P Prof
@mwakyusa7609
@mwakyusa7609 Жыл бұрын
Mzee ana jua majina mengi sana
@twaliblilungulu7582
@twaliblilungulu7582 Жыл бұрын
Mafwenga nilikuwa fundi wake kwa mda mrefu hasa hapo nyumbani kwake namfahamu mno na ni kweli alihamia hapo nyumba haina mlango hata mmoja lakini wahuni kwake hawasogei da
@danimark3300
@danimark3300 Жыл бұрын
Wanaogopa nini hasa Mkuu
@princesinko4073
@princesinko4073 Жыл бұрын
Huyu mzee yupo vizuri sana, lakini mbona naona kama anaishi mwenyewe bila familia?
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 Жыл бұрын
Wako ulaya.
@user-gy1lb9fo2b
@user-gy1lb9fo2b 9 ай бұрын
Rip
@josephndilwa2445
@josephndilwa2445 9 ай бұрын
nasikia ameshafariki. r.i.p
@lwitikomaclean1407
@lwitikomaclean1407 Жыл бұрын
Mcuba huyo mzee wetu
@ivankivinge2987
@ivankivinge2987 9 ай бұрын
RIP Prof Mafwenga
@nikymatela7013
@nikymatela7013 Жыл бұрын
Class mate wako wakowapii gademit n mwendo wa wakurugenzi na ma CE
@asueddy1465
@asueddy1465 Жыл бұрын
Ila ndugu zangu wanyakyusa wana kaupekee flani hivi
@amenyemwansile6919
@amenyemwansile6919 Жыл бұрын
Wana vipaji vya pekee
@severinaseverinanyoni707
@severinaseverinanyoni707 Жыл бұрын
Ongera baba wa la saba 😅 ata siwez ongea chochote ila nakupenda vile ulivyo na kumbukumbu ya kuwashukulu.wote waliokusaidia ongela sana baba
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 9 ай бұрын
Wewe ni msomi gani mkuu unaejenga kaburi na matofali kaburi Bora linajengwa na matendo mema ,lisha mayatima,WAJANE,MASKINI nk,vinginevyo unachezea pesa mzee wetu.
@saidkhamisi9592
@saidkhamisi9592 Жыл бұрын
Ellimu ya nchi hii ni butu kabisaaa
@DoriceSawaki-vg4sb
@DoriceSawaki-vg4sb 9 ай бұрын
Kumbe mke wake Tundu lisu ni msomi mkubwaaaa
@aswileisaya7200
@aswileisaya7200 Жыл бұрын
Afungue one person coy Ltd maana pekeake ni taasisi kubwa
@lucianoshija1292
@lucianoshija1292 9 ай бұрын
Hata mimi namtamani japo mimi ni Mwalimu
@drisayaambulatoryvetclinic1514
@drisayaambulatoryvetclinic1514 Жыл бұрын
ada alikuwa anakulipia nani kote huko mzee prof.
@slimpeewee1426
@slimpeewee1426 Жыл бұрын
Prof anavyoongea kama vile anasoma sehemuu hiv yani vitu anavitoa step kwa step...
@danieldavid4733
@danieldavid4733 Жыл бұрын
Hazina ya taifa
@josephthomas9472
@josephthomas9472 Жыл бұрын
mwendelezo mbona hakuna ? weken mwendelezo tufatilie ili tujifunze mengi kutoka kwake maana anaonekana nikioo cha jamii
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 9 ай бұрын
Pumzika pema Mzee we2
@ludanishirima5102
@ludanishirima5102 Жыл бұрын
maprofessa nchi hii ni wakina mengi wakina Azam wakina mohamed hawa wengine majina tu
@hawakiza6067
@hawakiza6067 Жыл бұрын
Ha ha ha ha ha ha ha
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Жыл бұрын
😂😂 ni mtazamo mzuri. Wanasema money power & respect! Hao uliowataja kua wana pesa ni kwa sababu walikuta wasomi kama huyu mzee wanaumiza vichwa kutengeneza sera, na kuboresha mazingira ya biashara ili hao uliowataja waweze kushiriki shughuli za uchumi ili serikali ipate kodi nayo iboreshe shughuli za kijamii na miundombinu. Kwa pamoja ndio Taifa linajengwa ikiwa kunakuwapo na specialisations. Wote hatuwezi kua traders na merchants, wote hatuwezi kua wasomi kama huyu mzee. Bustani haiwezi kua na ua moja, haitovutia!
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 Жыл бұрын
Hao uliowataja ni matajiri na hana elimu kubwa ki hivyo waliosomasana hawawagi. matajiri kihiiivyo
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Жыл бұрын
@@zawadichalale4047 ila Mohamed Dewji "Mo" ana elimu kubwa ( sio dr or professor) lakini ni msomi mkubwa
@amenyemwansile6919
@amenyemwansile6919 Жыл бұрын
Wachaga roho mbaya nadhani angekuwa wa kaskazini ungemuunga mkono tuu wachaga mnaubaguzi nyie?
@MrJackpull
@MrJackpull 9 ай бұрын
Hakuna sauti
@josephndimi6135
@josephndimi6135 9 ай бұрын
Ikumbukwe huyu Ni mtoto was mwisho kwaoo🤣🤣
@gloriamasaka7635
@gloriamasaka7635 Жыл бұрын
jambo la ajabu kwenye hii interview sikusikia kama huyu Mwalimu ameoa na watoto wake wanafanya nini, am curious to know
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Hongera Kwa degree hizo, Ila mchango wa degree hizo katika maendeleo ya nchi yetu ni upi?
@petersume2780
@petersume2780 Жыл бұрын
Unataka mchango upi na ametumikia serikalini?
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
@@petersume2780 hahahaha,,,, najua umeelewa nilichomaanisha Ila inawezekana ukawa ndio wale wapenzi wa elimu ya makaratasi
@petersume2780
@petersume2780 Жыл бұрын
@@jumakapilima7295 fanya research kwanza
@benjaminnyimbo9032
@benjaminnyimbo9032 Жыл бұрын
Sasa wote ma degree
@tupokengwala2027
@tupokengwala2027 Жыл бұрын
Ndaga dogo
@japhetlungu8636
@japhetlungu8636 Жыл бұрын
Safi professor
@bongomastory791
@bongomastory791 Жыл бұрын
Hao ndio ukija kumuuliza atakuambia hana mke wala mtoto muda wote amamalizia kusoma
@Chemba67
@Chemba67 Жыл бұрын
Ni kweli tupo wengi tulioathirika na kukaa darasani muda mrefu .......leo hiii tunajuta
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 Жыл бұрын
@@Chemba67 khaaa si uoe ata saiv🤣
@Chemba67
@Chemba67 Жыл бұрын
@@sheckycobb5240 Ni ngumu mno kumpata utakae mwelewa ,,🤣🤣🤣🤣
@Chemba67
@Chemba67 Жыл бұрын
Ndio hivyo............ni ngumu mno kumpata utakae mwelewa 🤣🤣
@milley7185
@milley7185 9 ай бұрын
anamuach8q mtu degree azitumie au anaxikwa nazoo
@DeoKimbe-gt4op
@DeoKimbe-gt4op Жыл бұрын
Amengundua Ninia kwa taifa?mh msukuma katoa ajila kwa vijana kanunua mabasi mlipakodi mnzuri
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Жыл бұрын
Ila huyu katumia elimu yake na jitihada zake katika kushauri, kuandaa sera mbali mbali za uchumi n.k. vingi alivyofanya ni vitu visivyoonekana au kushikika " non tangible " . Binafsi naweza sema hakuwa bilionea, ila mchangonwake kama ungekua na copyright angekula pesa yeye na kikazi chake chote. Huyu alikua mtumishi wa serikali.
@celestinshayo7295
@celestinshayo7295 Жыл бұрын
Usiseme Msukuma kafanya hivi ama vile tuambie wewe umefanikisha nini katika dunia hii. Je unayo hata hiyo degree moja?
@abdalahsuleiman8989
@abdalahsuleiman8989 Жыл бұрын
Profesa nakupongeza sanaa lakini nakushauri usome Quran tukufu sanaa pamoja siyo muislamu utapata digrii kubwa sanaa mimi kama mwalimu ntaanza kukufunza kiarabu
@hobokelageorge1207
@hobokelageorge1207 Жыл бұрын
Wewe mwenyewe kiarabu hujui
@madetetv6576
@madetetv6576 9 ай бұрын
Kiarabu kitamsaidia nn sasa?
@shindanoshija8919
@shindanoshija8919 Жыл бұрын
@vincentmushi1247
@vincentmushi1247 Жыл бұрын
Hongera zake kwa degree na masters... ingawa amesoma sana na maelezo yake lkn sijajifunza chochote na sijaelewa maana ya hizo degree zote ...nimepoteza mb zangu tuu,afadhali ningeangalia mashamsham..😅nina mashaka nyingine amenunua ili aonekane kuwa ni msomi...hahahaaaaa
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Жыл бұрын
Ni content adimu sana. Ndio maana unastruggle ku connect. Nikusaidie tu kwamba katika maisha usibweteke na kile ulichokishika sasa, pambaka kupata changamoto kubwa zaidi katika kujijengea kitu unachokitamani. Sasa ifanye katika kutafuta chochote kile, iwe pesa, elimu, umaarufu, uongozi kisiasa etc
@vincentmushi1247
@vincentmushi1247 Жыл бұрын
@@jojigeorige1056 akili nyingi uondoa maharifa
@amenyemwansile6919
@amenyemwansile6919 Жыл бұрын
Wachaga wwngi wanakasumba kujiona wao ni bora zaidi wakati serkalini ndiyo wanaongoza kwa kuwa na vyeti feki
@vincentmushi1247
@vincentmushi1247 Жыл бұрын
@@amenyemwansile6919 hilo povu kaka kafulie nguo za huyo mzee..hahahaaaaa
@asueddy1465
@asueddy1465 Жыл бұрын
Akili ndogo haiwezi kuelewa
@israelkisserei524
@israelkisserei524 Жыл бұрын
NILITEGEMEA KUSIKIA KUWA AMEGUNDUA MAGARI YAENDAYO KASI KWA KUTUMIA MIONZI YA MWEZI... KUMBE NI KABURI TU... AMA KWELI ELIMU YETU BADO NI SHIDA.
@ramadhanidilunga1926
@ramadhanidilunga1926 Жыл бұрын
'
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
😁
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 Жыл бұрын
Watu kama hawa wamefanya makubwa sana behind the scene! Huwezi elewa
@israelkisserei524
@israelkisserei524 Жыл бұрын
SAFARI YETU KWA MAENDELEO BADO NI NDEFU SANA, KWA KUWA TUMEZOEA KUKUZA VITU VIDOGO VIDOGO NA KUPONGEZANA KWA VITU VISIVYOKUWA NA FAIDA.
@aloycekarlum3702
@aloycekarlum3702 Жыл бұрын
Agundue gari yy alisomea uhandisi. Mbona maelezo yake mm yamenijenga. Ndugu tuwe na kiasi.
@eugeniayaheze932
@eugeniayaheze932 9 ай бұрын
😅
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 12 МЛН
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 4,2 МЛН
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН