Пікірлер
@saidjephter
@saidjephter 18 сағат бұрын
hongera sana Dr24 , kwakweli nmefatilia mahojiano yako na mzee Makosa 1 ad 5, Hakika nimejifunza mambo mengi Shukrani sana.
@TheTarabist
@TheTarabist 21 сағат бұрын
Kijana hukujibu suali kuhusu Seif Sharifu.
@HawaMasoud-xw3ii
@HawaMasoud-xw3ii Күн бұрын
Allahumma ighfir lahou warhamhou
@TheodosiaSangka
@TheodosiaSangka Күн бұрын
Waziri wa fedha anawasilisha bajeti ana escort ya magari meengi utadhani ile porfolio imebeba pesa kumbe ni makabrasha tu .hayo ni matumizi mabaya sana ya rasilimali fedha na watu
@filbertntibasiga8093
@filbertntibasiga8093 Күн бұрын
Halafu serikali haiwajali
@user-tl4zr1rz5v
@user-tl4zr1rz5v Күн бұрын
Mushikaji inaonekana yukonacho hayo yte nisahihi
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Күн бұрын
Time of respect every single Tanzania is on the way caming from dictotaship to civilian rules because ccm rules we tanzania by Arn face itafika muda wa Kila mtanzania huru wake utaeshimiwa tuu Wacha tutawalene ki.baba mtoto mama rafiki utawala wa kifalme
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv Күн бұрын
Jamani rpc c uje arusha tupigane na uhalifu😊
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv Күн бұрын
Mnajisaka au acheni kutuona wa tz wajinga ipo siku kitanuka
@user-yp4fs4sx4p
@user-yp4fs4sx4p Күн бұрын
Mama zangu haipendezi kutoa comments za matusi , hii mitandao ya jamii inasomwa na wengi kama umeshikwa na jazba basi vumilia tu muachie Mungu ndo muamuzi wa yote😂😂😂
@kelvinpeter7460
@kelvinpeter7460 Күн бұрын
Loading...🎉
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd Күн бұрын
MZEE MIRAJI HOJA ZAKO NI ZA NGUVU, HONGORA SANA. MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU. TATIZO LA NCHII NI UCHAWA UMEKITHIRI SANA MPAKA AIBU!!!!
@fridamwenda5728
@fridamwenda5728 Күн бұрын
JAMBO LITAKALOSHANGAZA BAADAYE HUKUMU IKITOKA, UTASIKIA WAMEUA BILA KUKUSUDIA JAMANI HII INAUMIZA SANA. KWA NINI WASIFUNGWE KIFUNGO CHA MAISHA?
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Күн бұрын
Mh, mbona yeye anasema alifikishwa osterbay polisi, kisha alfajir akafuatwa akapelekwa mahali kwingine asipopajua,
@yohanakashinje1548
@yohanakashinje1548 Күн бұрын
Nasubiri mwendelezo kwa hamu leo nitakuwa wa kwanza
@BarakerZeonlist
@BarakerZeonlist Күн бұрын
huyu polisi ni mpotoshaji
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza Күн бұрын
Nani mwenye uwezo ws kumteka tokea dsm Arusha katavi. Gharama zote hizo zinatoka wapi. Jibu unalo.😊
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 Күн бұрын
Mie tu RPC nimekupenda kama jaolewa takuja katavi seeee
@shabanikitula645
@shabanikitula645 Күн бұрын
Hamna kitu hapo kapumzike
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 Күн бұрын
Ya tundu lissu hawajapatikana wa mo bado sembuse huyu.
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 Күн бұрын
Uchunguzi wa MO mpaka leo haujakamilika...
@OnesmoEphrata
@OnesmoEphrata Күн бұрын
Jamani tuwe na satellite ya kuchunguza matukio ya kutisha kama haya jamani
@islambinomar8716
@islambinomar8716 Күн бұрын
Hee huyu mzee kweli mchambuzi wa siasa kweli kama katibu mkuu wa ccm anasema sio kauli ya chama dah napata mashaka na uwezo wako
@eliamushi2897
@eliamushi2897 2 күн бұрын
Wakwe
@reonandmpangalushu3434
@reonandmpangalushu3434 2 күн бұрын
Wabunge akili zenu zinawatosha wenyewe, luhaga mpina aliongea akaleta na vielelezo badala ya kuanza na bashe mkamfanyia filigisu mpina mkamtoa leo mnatafuta ukweli kuhusu jambo hilohilo asa ukweli mtaupata wapi? Mwenye ushahid mshamtoa
@user-vq7gk2kl1q
@user-vq7gk2kl1q 2 күн бұрын
Yanga mtaendelea kumsajili chama hewa
@MathewsSikazwe-up4qd
@MathewsSikazwe-up4qd 2 күн бұрын
dah yani ii dunia inamitiani sana, Zanzibar jiandaeni kushuhudia machafuko.
@fadhilindunguru7946
@fadhilindunguru7946 2 күн бұрын
Mtu wa maana kabisa
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 2 күн бұрын
Ndomana ukimuona mtu ana pesa anatumbua waza Mara 2 watu wanaishi na umafya mwingi
@EllyElly-rq4fu
@EllyElly-rq4fu 2 күн бұрын
Du namjuwa uju mzee kitambo icho nilikuwa dalasa la tatu kipindi ikcho
@lawagustino1887
@lawagustino1887 2 күн бұрын
Aisee huyu mama jembe.
@mtupeacetz2589
@mtupeacetz2589 2 күн бұрын
Mi dupa mdupange
@rasjamal9854
@rasjamal9854 2 күн бұрын
Tonga langa siyo mfunua tanal mzushi bahari wa kuongea kizuru 😅😅😅
@user-ge6ch9wq8f
@user-ge6ch9wq8f 3 күн бұрын
Ok
@boblatino3899
@boblatino3899 3 күн бұрын
Kula mbakishie baba
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 3 күн бұрын
😂😂😂😂 intro zake nazikubali sana
@afyayangozinanywele165
@afyayangozinanywele165 3 күн бұрын
Sauti kama ya Kikeke, ikimuhoji jiniazi
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s 3 күн бұрын
Mbowe sio rais ni mlezi wa chama sio mtawala kwani mwenykiti wa upinzani ni kama mwaalakati na mlezi kiongozi sio mwenye nchi mwinyi Yuko kikatiba zaidi mbowe katiba ya nchi inamuusu kama mwananchi Wala ajamuongerea mwenykiti wa chama chochote ilamunamutumia mbowe ili atote mkiue chama kiangukie mikononi kwa wachuuzi wakiuze kw ccm tunajua iyo
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s 3 күн бұрын
Mzee ata familia Yako inajivunia kukuita baba wewe ni baba wa kweri sio majinga majinga ya mccm Asante baba
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri 3 күн бұрын
Wanaoshawishi ni viongozi wa Chama.Chama hakiwezi kuacha kuhusika na ushawishi huo.Hilo ni la Chama,wako kwenye mchakato.
@puroh_imagecreater
@puroh_imagecreater 3 күн бұрын
Serikali imsaidie jamani 😢
@TheTarabist
@TheTarabist 3 күн бұрын
Muda Mwinyi si anao kikatiba kuendelea mpaka 5 mengine baada ya uchaguzi mkuu?
@hajjseif5737
@hajjseif5737 Күн бұрын
anaogopa uchaguzi
@TheTarabist
@TheTarabist 3 күн бұрын
1) Haikuonekana gharama kufuta uchaguzi wa kipindi kilichopita na kufanya uchaguzi mwengine? (2) kuwa na katiba maana yake nini kama wachache wakitamani tu kubadilisha mambo katiba haiwazuii?
@user-bp7nb7yp2o
@user-bp7nb7yp2o 4 күн бұрын
Hao wanaotaka mwinyi aongezewe muda hawaitakii mema Tanzania-Zanzibar.kaka Kwa hili upo wrong kuongea ukweli mbona
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 4 күн бұрын
Huyu mbunge nimempenda sana sana
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 күн бұрын
Hongera sana Mr. Miraji. Tuko hali ngumu wanakotupeleka Wanasiasa sio sahihi.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 күн бұрын
Kuna vitu sioni sababu kugeuzwa agenda kwa sababu hivi sasa Taifa linaelekea kutafuta Katiba Mpya. Maana yake kila anaetaka jambo fulani aseme. Anaeona uchaguzi uwe kila mwezi, kila mwaka, kila miaka 5, 7, 10 nk. Anaeona Urais uwe kwa zamu mwanamke na mwanamme nk.
@vailethmalakibungu7866
@vailethmalakibungu7866 4 күн бұрын
God's timing is the best 😊
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 4 күн бұрын
Mafisadi hasarahio waioneleo mbona hawakuhofia hasara mwaka 2015 waliporejea uchaguzi zilepesa zilia au mavuzi wameyanyonyoa
@w4058
@w4058 4 күн бұрын
Naam ni mifumo yetu ndani ya vitabu vyetu
@gidongailo7174
@gidongailo7174 4 күн бұрын
Ndio nasi Watanganyika tunataka Rais wetu
@w4058
@w4058 4 күн бұрын
Kweli sheikh Said shabash waelimishe wapumbavu wakubwa