PART 1: "NAOMBA NIMUONE RAIS KAMA NISIPOMUONA BORA NINYWE SUMU"-MZEE MFUGAJI ATOA MACHOZI HADHARANI

  Рет қаралды 115,415

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 715
@dicksonjames1096
@dicksonjames1096 4 жыл бұрын
Kama machozi ya huyu mzee yamekugusa kama mimi tujuane
@rahmahrahmah6683
@rahmahrahmah6683 4 жыл бұрын
Atakutetea In sha Allah nimtetezi má sha Allah
@androydthegully6390
@androydthegully6390 4 жыл бұрын
Binaadamu sio watu
@jacoblukumay472
@jacoblukumay472 4 жыл бұрын
Kweli kuna miungu watu humu duniani? Mzee anatoa machozi kabisa Raisi tunaomba msikie baba huyu
@jacoblukumay472
@jacoblukumay472 4 жыл бұрын
Inauma sana! Kuna viongozi wanatesa wanyonge kama hao. Wakati rais anahangaika kutatua kero za wanyonge huku wengine waliopewa nafasi wanafanya kinyume. Hivi Huyu Rais atashika lipi aache lipi? Viongoz wanapewa nafasi ya kumsaidia lkn mkishakalia kiti mnakuwa Mbogo Taifa halijengwi na kiongozi mmoja bali na viongozi wote na wananchi Wa Taifa husika. Ahsante Millard Ayo kwa kumulika Jamii na kutupa picha kamili iliyoko kwenye jamii yetu
@jacoblukumay472
@jacoblukumay472 4 жыл бұрын
Ayo TV Mungu awazidishie wafanyakazi wote mnapambana sana kutuhabarisha
@bonithamhagama7217
@bonithamhagama7217 4 жыл бұрын
Duuuh! Maisha haya jamani mungu yupo amsaidie baba huyu like my father at
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 4 жыл бұрын
Sijawahi ona masai analia kwanza hawajuagi uwongo jamani nimesikia uchungu
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 жыл бұрын
Yaani mbele ya ng'ombe lazima Alie Bora hata angekuwa mtoto labda asingelia hayo machozi.
@amosikabalata6381
@amosikabalata6381 4 жыл бұрын
For sure dada hii imewagusa wengi, na sisi wafugaji tunaonelewa Sana! Ng'ombe 311 sii mchezo
@godfreymahavile4688
@godfreymahavile4688 4 жыл бұрын
Blandina Mnyinga kweliii kabisa
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 жыл бұрын
@@godfreymahavile4688 yap!!!
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 жыл бұрын
@@amosikabalata6381 poleni Sana moja ya chamamoto za maisha
@rosegrminder5702
@rosegrminder5702 4 жыл бұрын
I felt his pain you all know how hard it's for a simple person in Africa. He sold his kids jesus have mercy. The person responsible for his pain he will have more pain in life. For the cry of children sold and sleeping empty stomach.
@nancyandrew9273
@nancyandrew9273 4 жыл бұрын
Rose Grminder ameeeeennn
@blackmamba7553
@blackmamba7553 4 жыл бұрын
Presedent do something😭😭😭
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Rais Tafadhali hebu Muone huyu Raia wako
@lucyshirima7862
@lucyshirima7862 4 жыл бұрын
Mm ninahasira sana
@edesmwanakulya6453
@edesmwanakulya6453 4 жыл бұрын
Kabla ya kumuona Rais awaone vioongozi wa ngazi nyingine kabla ya Rais kwasabsbu wanafanya kazi chini ya Rais pia wameteuliwa na Rais kwenda kumuona Rais kabla ya kuwaona wawakirishi wa Rais ni uchonganishi
@kkhalifairumba2932
@kkhalifairumba2932 4 жыл бұрын
@@edesmwanakulya6453 unasema awaone viongozi wengine wakati ameshawamaliza kuwaona hiyo dhulma itaisha lini kwa viongozi Wa cgini wakati wanalipwa mishahara kila mwezi?
@simonkaggwanjala9597
@simonkaggwanjala9597 4 жыл бұрын
Dah wala sio huyu tuu watu wanateseka sana hukoo😥mungu wasaidie hawa watu maana viongoz wetu bongo wanaangalia matumbo yao tuu😔
@rowdyrondarouseyfire9476
@rowdyrondarouseyfire9476 4 жыл бұрын
@@kkhalifairumba2932 Tena hawa Viongozi wa ngazi za chini ndo wanaotindinganya mambo🤔tena me napendekeza wachapwe viboko maana hawajui wanachafua serikali.
@athumanimvula3718
@athumanimvula3718 4 жыл бұрын
Allah akbar, mwenyezimungu akupe subra,na akufanyie wepesi upata hitajio lako inshaAllah.
@kaeniyahya7536
@kaeniyahya7536 4 жыл бұрын
Amin
@ephraimkyando6331
@ephraimkyando6331 4 жыл бұрын
Amaa kweli,mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!
@madamloveness7274
@madamloveness7274 4 жыл бұрын
Nimelia kwasababu nimefeel Kama baba angu 😭😭😭😭😭😭😭 ,pole Sana .
@foncetecelectricalandelect34
@foncetecelectricalandelect34 4 жыл бұрын
Daaaaah pole
@victoriabayo7704
@victoriabayo7704 4 жыл бұрын
Pole sana ndugu yangu jamani mimi huyu amenigusa kwani mimi pia mtoto wa mfugaji ombi langu serikali imsaidie huyu mzee
@lamecknkila3291
@lamecknkila3291 4 жыл бұрын
upendo Enock Duuuh kweli
@jacksonmesaya3145
@jacksonmesaya3145 4 жыл бұрын
upendo Enock vip mama
@madamloveness7274
@madamloveness7274 4 жыл бұрын
@@jacksonmesaya3145 salama
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 4 жыл бұрын
😭😭😭😭Masikin pole sana baba Mungu akufanyie wepes
@kaeniyahya7536
@kaeniyahya7536 4 жыл бұрын
Amin
@adventurekaskazini2238
@adventurekaskazini2238 4 жыл бұрын
Kama machezo ya huyuu mzee hayatamuacha mtu salama Gonga like tujuane
@davidkihiga3531
@davidkihiga3531 4 жыл бұрын
jamani mwenye kuweza kumsaidia amfikie raisi , this is painfull
@sellah4603
@sellah4603 4 жыл бұрын
Daaah inauma San Rais wetu msaidie uyo ndugu hap wauni wachache wameuza ngombe zake ban Leo ndiy maraa ya kwanza kuona Masai mtu mzima analia 😭😭😭😭😭😭😭😭
@sakinat2527
@sakinat2527 4 жыл бұрын
Yani kweli masai alii bure bure inauma
@purple4463
@purple4463 4 жыл бұрын
@@sakinat2527 Ni kweli kabisa
@iddsempay9726
@iddsempay9726 4 жыл бұрын
Inauma aise jamani vp mnakula majasho yawatu nyie viongozi msio nasifa bora kwanini mnaidhalilisha sheria
@allyjuma189
@allyjuma189 4 жыл бұрын
Idd Sempay g
@julianammbaga137
@julianammbaga137 4 жыл бұрын
Mungu uliye hai upo , yaone Haya. Mtendee huyu mwanao ajue upo.
@IreneCtz
@IreneCtz 4 жыл бұрын
juliana mmbaga amen
@lonsmanempire9627
@lonsmanempire9627 4 жыл бұрын
Amina
@khamisfaki4640
@khamisfaki4640 4 жыл бұрын
Mwnyez mungu hakuzaa wala hakuzaliwa ss hyu masai mtafutien babaake ila ng'ombe zake mrejeshen jaman cry forever
@mamymdogomamy3670
@mamymdogomamy3670 4 жыл бұрын
Mungu hakuza wala Haku zaliwa SURATUL IKHLAS
@khadijatonge3636
@khadijatonge3636 4 жыл бұрын
Machoz yamenitoka jaman😭😭
@sakinat2527
@sakinat2527 4 жыл бұрын
Wallah tena amenitoa machozi kweli
@rowdyrondarouseyfire9476
@rowdyrondarouseyfire9476 4 жыл бұрын
Nahisi kama hyu ni my really father...i feel painful in my heart. 😂😂😂😂😂
@niaanthony9588
@niaanthony9588 4 жыл бұрын
Sasa unacheka nini nijambo la kucheka hilo?? Km kweli umeumia hebu jaribuni kutumia emoji zenu vinzuri
@Siasia209
@Siasia209 4 жыл бұрын
@@niaanthony9588 nahis hajaelewa maana ya iyo emoj ndiomaana wengi huzichanganya
@masungasitta2058
@masungasitta2058 4 жыл бұрын
kwakweli hiikazi
@purple4463
@purple4463 4 жыл бұрын
@@niaanthony9588 Huyu kweli hafahamu hizi emoji.
@zakyahya4645
@zakyahya4645 4 жыл бұрын
@@Siasia209 mpuuzi uyu a nacheka nini
@deborahrehema5819
@deborahrehema5819 4 жыл бұрын
Yoh daddy don’t cry 😢 it’s painful God finish them this son of. Babylon put them to shame haki not fair 😢😢😢
@aminaabdiabdi7112
@aminaabdiabdi7112 4 жыл бұрын
Ooh my God am feel so painful.😥😥😥 Dhulma ya Allaah msaidie hyu mzee wa watu ameniliza pia mimi
@jenymtafya3430
@jenymtafya3430 4 жыл бұрын
Jamani pole sana mzee, Rais atakusaidia naamini hivyo maana ni mtetezi wa wanyonge
@said306nyatu9
@said306nyatu9 4 жыл бұрын
Magufuli. Nakuaminia. Na. Makonda. Mpo wapi. Majaliwa. NawAaminia
@said306nyatu9
@said306nyatu9 4 жыл бұрын
Kesi. Imeisha apo mifugo yako utaipata. Raisi wetu. Tunamuaminia
@mursalseleman2174
@mursalseleman2174 4 жыл бұрын
@@said306nyatu9 sana sana mtetezi wawanyonge atamsaidia hakika
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Tafadhali wewe ndie Baba yetu mtetezi wetu.hebu muone Raia wako hebu mfute machozi yake.
@kaeniyahya7536
@kaeniyahya7536 4 жыл бұрын
Kabisa yaani
@queenmaya8022
@queenmaya8022 4 жыл бұрын
Mpeni ngo'mbe wake jaman ongopen dhuruma, 🙄 MUNGU AWE MSIMAMIZI WAKO IN SHALLAH
@kareemnduma2278
@kareemnduma2278 4 жыл бұрын
Mambo
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 4 жыл бұрын
Subhannallah
@munaaabdillah9097
@munaaabdillah9097 4 жыл бұрын
Kiteto home kbs ❤️pole mzee raisi atakusaidia inshaalah
@faridamkesso97
@faridamkesso97 4 жыл бұрын
Imeniuma sana 😭😭😭😭
@abubakarhassan1915
@abubakarhassan1915 4 жыл бұрын
Mh raisi huyo masai anatia huluma sana mpaka machozi kunitililika kana kwamba mimi ndo mwenye hao ng'ombe hebu chunguza hilo jambo lake uone ukweli wake ukowapi ujue namna ya kumusaidia .mh raisi tunakupenda sana sisi wananchi wako .kutokana na utendaji mzuri unao unaofanya juu ya nchi yako. We love you baba.
@alirashid3239
@alirashid3239 4 жыл бұрын
Mzee wangu mm ni muislamu ww ni mkristo lakini licha yakuwa na tofauti ya ya dini ila hili limenigusa.na kwenye maandiko ya mtume wetu muhammad (s.a.w) yanasema duwa yamwenye kudhulumiwa hairudi hata kama nikafiri.mwisho wa kunukuu.pole sana mzee ninakuonea huruma mzee wallahi ninatamani niwe kiondozi leo nikusaidie ila ninahakika raisi wetu nimsikivu lazima atatenda haki raisi wawote raisi wawanyonge pole baba nimeguswa na Allah atakusaidia utapata haki yako ww na wenzako imeandikwa kwenye qur'aan tukufu ya kwamba ""baada ya dhiki faraja"" pole baba ww nimfano wa baba yangu kwaumri ulio nao ninakutaki mwisho mwema wa kesi na Allah yuko pamoja naww na wenzako kwa ujumla haki itatendeka aamin.
@emmykiwelu6932
@emmykiwelu6932 4 жыл бұрын
so painfully it hit me like ooh those tears.... jmn kuoza watoto apate hela😭😭😭😭
@kaeniyahya7536
@kaeniyahya7536 4 жыл бұрын
Inauma sn
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 4 жыл бұрын
So sad
@subirambao5762
@subirambao5762 4 жыл бұрын
Chozi lako halijadondoka bure Baba😭😭 pole sana
@gmdecoration6044
@gmdecoration6044 4 жыл бұрын
Yupo mungu ndugu yangu ukijiuwa utapoteza hakizako na utakuwa umemkosea mungu mungu anaenda kuku fungulia milango mingi ndugu yangu mpaka utashangaa mwisho waakilizetu mungu anaanzia hapo
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 4 жыл бұрын
maskin huyu mzee mungu amsimamie, nchi hii dhulma imetawala, binaadam wamekosa imani
@adamkadiri3864
@adamkadiri3864 4 жыл бұрын
Duh mmmmmh
@dottomakanyanga5214
@dottomakanyanga5214 4 жыл бұрын
Hivi huyu rais si anawasaidizi jaman mbona wanampa mzigo mawazir wako wapi
@sandraasafisana811
@sandraasafisana811 4 жыл бұрын
Wakitumbuliwa wanachanganyukiwa
@mejasign1926
@mejasign1926 4 жыл бұрын
Tunakula ng'ombe unaweza kuta za dhurumaa daaa
@hawaashaban8008
@hawaashaban8008 4 жыл бұрын
Kwann watu wapo hivi dunian hawan huruma jmn
@kaeniyahya7536
@kaeniyahya7536 4 жыл бұрын
Aki ya Mungu
@marykyusa8212
@marykyusa8212 4 жыл бұрын
Pole,Mbal na rais hata Mungu kakusikia,msubr akufanyie njia
@fatumamohammed4226
@fatumamohammed4226 4 жыл бұрын
Pole mungu akutie nguvu usikate tamaa mungu yupo pamoja nawe Daah mpaka nimeumia kwa kweli.
@naomyrunda5244
@naomyrunda5244 4 жыл бұрын
Haya nizaidi ya maumivu.. nimeangalia tu mwenyewe nimejikuta nalia muda wote. . sisi wamasai kitu tunakitegemea Sana Kama msaada wetu Ni ng'ombe kwani ndo chakula, na inayotupatia pesa za matumizi na Ada za shule. Sasa kumdhulumu mtu ng'ombe wake Ni Kama umemchukulia kila kitu chake😭😭 look baba ameachwa adi na wake zake umefika sehemu anawaozesha wanae bila kupenda 😭😭😭 .. pls mamlaka husika tunaomba mtoe sauti kwa hili, inaumiza sana Kama haya Mambo yakiendelea.. ukifkiri kwa upande mwingine unaona kua yawezekana wakawepo wengine wamenyanyashwa Ila nguvu ya kuendesha kesi hawana so wanaamua tu wanyamaze . .. Pls Mheshmiwa Rais JP.Maguful naomba utututazame jamii yetu ya wafugaji😭💔💔😭😭
@queensjuma1832
@queensjuma1832 4 жыл бұрын
Dah Masai analiaa aisee,, pole babaangu,, 😭😭😭
@deusdebitkowa9657
@deusdebitkowa9657 4 жыл бұрын
Pole sana Ndugu,pole sana. Rais amekusikia na atakusaidia,pole sana Mtanzania mwezetu,pole sana,Mungu yupo,haki yako utapata,wala usijiue au kujidhuru kwa namna yoyote ile.
@happyluka586
@happyluka586 4 жыл бұрын
This us more than pain jaman Apewe haki yake ameniliza, ikumbukwe wamasai kula kwao kuendesha familia ni mifugo yao lakin pia Masai ajui kusema uwongo ebu fikir watoto 40 wake sita atawaudumiaje, Mungu atusaidie sana mm ni mgumu wa kulia lakin kwahili nimemshindwa kuvumilia hiv leo akamuua kuvunja chungu walio kula mifugo yake watamezwa wote ile kitu aina mchezo ila Mungu nisamehe maana tayar mm ni mkristo
@chungwenlameck1048
@chungwenlameck1048 4 жыл бұрын
Daaaah Mungu amsaidiee serikari iweze kuingilia Kati swala Hilo mtanzania mwezetu aludishiwe Mali zake
@stevensteve7519
@stevensteve7519 4 жыл бұрын
Pole Sana shujaa pamoja na mahakama kukupa haki bado hukupewa haki. Wamekudanganya Rais wetu haingiliagi maamuzi ya mahakama.
@shabanbetram7698
@shabanbetram7698 4 жыл бұрын
Inasikitisha sana yaa sisi kwa sisi tuna nyanyasana kwasababu ya vyeo vyeo ambavyo wanyanyaswaji ndio tuliowaweka mungu atunusuru
@ashazaharan1750
@ashazaharan1750 4 жыл бұрын
Subuhanallah. pole saana mzee wangu.
@hadijaangura6572
@hadijaangura6572 4 жыл бұрын
duh mtu mzima yuwalia kwa uchungu 😢😢inshallah nguvu yko utaipata
@israelimunuo3538
@israelimunuo3538 4 жыл бұрын
Naamin kwa jinsi raisi wetu asivyopenda vitu vya kona kona, kwenye hili hatamwacha mtu salama! Natamani kujua mwisho wake! Hongera Ayotv
@emmanuelmsanga7627
@emmanuelmsanga7627 4 жыл бұрын
Aisee inauma saana yan unazurumiwa hv hv. Pole sana mzee hao ng'ombe wako watarudi rais wetu hachekag na watu kama hao.
@kaeniyahya7536
@kaeniyahya7536 4 жыл бұрын
Yaani, inauma sana tena sana😭 ila Mungu yupo na ataukumu apa apa duniani agheira itapita esabu tu na haki ya mtu ailiki utapata tu aki yako insha Allah dah!
@bosslilyg4390
@bosslilyg4390 4 жыл бұрын
Aisee nimejikuta machozi yananitoka,,....ukiona baba mtu mzima kama huyu anatoa machozi .....aisee nimekosa maneno ya kusema, pole baba Mungu akusaidie.
@ronaldmassanga8386
@ronaldmassanga8386 4 жыл бұрын
pole mzee magufuli kasikia
@jumamaduhu5598
@jumamaduhu5598 4 жыл бұрын
Pole mzee. Nenda kwa waziri mifungo na uvuvi. Mheshimiwa mpina atakusaindie
@salimzaidi9203
@salimzaidi9203 4 жыл бұрын
Daah pole sana baba mungu akupe wepes rais tuomba usikie kilio cha huyu baba
@rosaliembarikiwa592
@rosaliembarikiwa592 4 жыл бұрын
Pole sana ndugu yangu. Mungu akupiganie
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 4 жыл бұрын
Moja kati ya wakuu wa mikoa ambao wakomakini wanatekeleza majukumu yao vizuri na kumsaidia Raisi pasipo kumshirikisha au kumsumbua kwa matatizo madogo madogo kama haya mhe AllyAppy tatizo ni kwamba viongozi wengi wana tamaa wanapenda rushwa ,dhuruma Happy anasimama kama mfano
@rubeniharuna1874
@rubeniharuna1874 Жыл бұрын
pole sana mungu tazama haki zawatu hawa watawala hawa wasiojua haki zawatu
@felistermbua4703
@felistermbua4703 4 жыл бұрын
Hii haijakaa vizuri imenifanya nimelia ameozesha watoto kisa pesa ya riba dunia huna huruma ww
@tedymwandara5480
@tedymwandara5480 4 жыл бұрын
Kumuona baba km huyu analia ni maumivu yaliyopitiliza,jamani waziri wa mifugo msikie huyu baba.Wote tulio comment humu tukumbuke kumuombea huyu baba, kwa maombi ya wote sisi Mwenyezi Mungu ameshasikia tayari.Jipe moyo baba,Mwenyezi Mungu alijua unaweza vuka hili jaribu na hakika umeshavuka.
@richardkaijage1557
@richardkaijage1557 4 жыл бұрын
Dah mpaka na mimi nimelia jamani msaidie huyu mzee haki ya mungu machozi ya huyu mzee hayatowaacha salama
@reginaandrew6891
@reginaandrew6891 4 жыл бұрын
Pole Sana baba Mungu akutie nguvu na akusaidie upate haki yako
@angelholsey2484
@angelholsey2484 4 жыл бұрын
Haya machozi unayotowa baba hayata mwagika bure watalipia, MUNGU akufanyie wapesi inauma saanaa 😢
@kaeniyahya7536
@kaeniyahya7536 4 жыл бұрын
Amin
@nyamogafamily4262
@nyamogafamily4262 4 жыл бұрын
Corana itaishaje tz kwa dhuruma kama hizi??Mungu baba tuhurumie....
@michaelmutula9128
@michaelmutula9128 4 жыл бұрын
Dawa imefika. Hamna haja ya kuogopa corona. Vueni barakoa na mzidi kutengamana.
@ecamshorts471
@ecamshorts471 4 жыл бұрын
Michael mutula dawa isiyo na verification
@farajalaizer4669
@farajalaizer4669 4 жыл бұрын
Umejitahidi lalashe kujieleza Mungu akusimamie upate haki yako
@mussamaulidi3918
@mussamaulidi3918 4 жыл бұрын
DR Hamis Kigwangala Upo wapi Mkuu, Hii ipo chini yako kaka
@fredrickserafin4510
@fredrickserafin4510 4 жыл бұрын
Usikat tamah mapema bab yang we endel kumlia mungu wako hatakusaid tu usijl mweny mungu hakupe tumain ya kupat ngombe wako rais wetu hatakusikiza na hatakusaidia mim nakuaombe kwa mungu hawez kurudisha family yako na watoto wako huweze kuludi kweny maisha yenu yeny fuhar na aman ombaa mlilie mungu wako 😭😭😭😭😭
@isasora4846
@isasora4846 4 жыл бұрын
pole sana mzee.... Kushika Mifugo ya watu kwa muda wote huu sio haki, huyu mzee ameteseka, kulia kwake hadharani ni ushahidi tosha kwamba amepitia mateso mengi. Rais JPM amekusikia
@kamaikangaiyoni1967
@kamaikangaiyoni1967 4 жыл бұрын
Dah, kwanini wafugaji tunanyanyasika hivi? Hii sio haki kabisa ng'ombe 311? Kweli zipotee? Mmmh mungu atawaona
@zamirumaftaa6532
@zamirumaftaa6532 4 жыл бұрын
Bora kufa na mtu kuliko kuzurumiwa huko
@roycahsubira9345
@roycahsubira9345 4 жыл бұрын
Imeek kuko oogelita iyook
@kamaikangaiyoni1967
@kamaikangaiyoni1967 4 жыл бұрын
Kake torrono naleng taatanji ina nataasa ingishu imbalak uni oo tomon onabo mokore oorgela ilo etaa pae endoki torono naleng
@kaeniyahya7536
@kaeniyahya7536 4 жыл бұрын
Amin
@jackyluns8224
@jackyluns8224 4 жыл бұрын
Millard nimelia Sana Sana Sana nimepiga magoti hiki kilio cha huyu mlemavu nae ameniwazisha mengi Sana ninavyoomba Rais wetu atayapokea haya maombi ili awatetee hawa wanyonge. Ee baba namuombea RAIS wetu mema ya nchi ili atetee hawa wanyonge Amina
@ramadhaniyusphu7674
@ramadhaniyusphu7674 4 жыл бұрын
Pole mzee wangu haki itatendeka umesikikaa
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭Ee mungu
@wemarobson886
@wemarobson886 4 жыл бұрын
Duuu
@hellenmarandu1787
@hellenmarandu1787 4 жыл бұрын
Daah so painful jamani to see a man crying like this. Don't loose hope brother God is going to stand on your side
@fredytarimo9107
@fredytarimo9107 4 жыл бұрын
Poleni sana rais wetu ni msikivu naamini haki itatendeka
@kenethnkota6022
@kenethnkota6022 4 жыл бұрын
Daaaah poleh xnaaaa mzee mungu yupo atakuxaidia
@sadickkinghb126
@sadickkinghb126 4 жыл бұрын
Magufuli muone baba huyu anavyo teseka na maisha alio nayo sasa naomba msaidie juu ya mifugo yake aipate asante gonga like
@annekayi273
@annekayi273 4 жыл бұрын
Oooh my God nilikua nafikiri ni kenya tuu haina haki jameni saidieni mzee aki
@muuhhb4787
@muuhhb4787 4 жыл бұрын
Daahh..so hurt...nilichokisikia pia kilichoniuma xn 😓😓watoto kuuzwa...halo walioshiriki katik ng'ombe kuwapoteza na kutofany hadilifu mungu anawaona hii ni dunia tu,,,am done😓😓
@barakamollel2109
@barakamollel2109 4 жыл бұрын
Sad sad sad....uonevu huu na unyanyasaji huu...hakika hakika...Kama Mungu aishivyo....
@lilatito2816
@lilatito2816 4 жыл бұрын
Jamani ukiona mzee kalia mbele ya nchi ujue laana zinashuka mwenyezi mungu tusaidie
@godfreybigeyo9105
@godfreybigeyo9105 4 жыл бұрын
Waziri Wa mifugo uko hai kweli au umekufa ? Haya machozi yatakutafuna ,kwani watu wanatesema nyie
@chackszephaniah592
@chackszephaniah592 4 жыл бұрын
Mungu twaa kilio cha huyu ndg
@elisulle1478
@elisulle1478 4 жыл бұрын
Hii kitu inauma sana pia inatia sana uchungu mkumwa sana Mungu mtie nguvu aweze pata haki yake na aweze kurudi katika maisha yake ya sikuzote
@niaanthony9588
@niaanthony9588 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭Inaniuma sana km Baba angu
@fahadlondon2521
@fahadlondon2521 4 жыл бұрын
This is so painful wallah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@saimonmwansile6101
@saimonmwansile6101 4 жыл бұрын
Pole kwake mhusika!Lkn MTU wa kufuatilia hili kwa karbu ni mbunge kama naye kashindwa atakuwa ni mzigo!Pia kuna ngazi kadhaa b4 kwa Rais, mahakama zinapotoa hukumu ofisi za wakuu wa Wilaya zina mandate ya kutoa order ya m2 fulani kulipwa ama kukamatwa kwa mali hivyo ni vema angepitia level hizo!
@salumkhamis7818
@salumkhamis7818 4 жыл бұрын
Inauma sana kuna watu wanatumia nafas walizopewa kuumiza wanyonge kutoka ng'ombe 300 mpaka 0 pole sana mzee
@kassimsaid3300
@kassimsaid3300 4 жыл бұрын
Watumishi wachache wa namna hii ndio wanao sababisha wananchi waliowengi wanyonge kuichukia serikali iliyopo madarakani. Na wakuu wengi huko juu hawajui haya yanayotokea huku kwenye maisha yakawaida. Hilo chozi ni baya sana kibinadam
@lonsmanempire9627
@lonsmanempire9627 4 жыл бұрын
What a hell 😡😠😠 Meamia sana yaani mpaka machozi
@jescamassawe2519
@jescamassawe2519 4 жыл бұрын
It pains alot o lord have mercy
@petermende5153
@petermende5153 4 жыл бұрын
Kilio cha mtu mzima ujue kina jambo. ..Pole sana baba Mungu atakupgnia ..Rais usichoke kuwatetea wanyonge
@elizabethkizota3474
@elizabethkizota3474 4 жыл бұрын
Pole mzee aisee nimelia daaaa
@fatmamalisela7173
@fatmamalisela7173 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 4 жыл бұрын
Dah 😥
@rhodatoroka2627
@rhodatoroka2627 4 жыл бұрын
Mungu akupiganie babaangu
@winniefrancis4541
@winniefrancis4541 4 жыл бұрын
😢😢😢😭😭😭pole baba Mungu ndiye hakimu imeniuma sana na hao watoto jamani 😢😢😢😭😭😭
@danielmtena9167
@danielmtena9167 4 жыл бұрын
Millard barikiwa sana
@kassimomar7589
@kassimomar7589 4 жыл бұрын
Ukitak ujuwe kama viongozi wetu wengi ni madhalim ona vitu kama hvi
@roseuwambe8089
@roseuwambe8089 4 жыл бұрын
Kesi imeisha iyo baba yamaza kulia atakusaidia magu ni jembe awezi kukuacha mungu akutie nguvu katika hili🙏🙏🙏
@RomwardWM
@RomwardWM 4 жыл бұрын
Duniani kumjaa dhuruma .. haki ipo kwa Mungu tu kikubwa usikate tamaa mzee wangu.... Usifikirie kukatisha maisha yako kisa tu mali wamekunyanganya ..ipo siku utapata zaidi ya hao ng'ombe wako.
@irakozeazza7470
@irakozeazza7470 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭 rais msaidie baba uyu
@leokamil6284
@leokamil6284 4 жыл бұрын
😭😭😭
@Jordan_g9
@Jordan_g9 4 жыл бұрын
Duh😥nimeumia Sana kumuona mtu mzima kama huyu akidhurumiwa mali yake mpk inafikia kuwauza wanae ili alipe madeni😫😭😭 rais wa wanyonge hebu fanya kitu mana hii imeniuma mpk nikatamani Mimi ndoningekuwa baba magufuli ili niwaoneshe hawa watu wanaotumia vyeo vyao kuwanyanyasa wananchi wasio na hatia
@maryswai9856
@maryswai9856 4 жыл бұрын
Jamani mpaka uchungu ila mahakimu Mungu awalaani popote mlipo hakimu yeyote anaekula rushwa Mungu awalaanii
@happyjustine3364
@happyjustine3364 4 жыл бұрын
Inatia uchung jamn Mungu amsaidie hy bab jaman
@user-oh8bn3vg2w
@user-oh8bn3vg2w 4 жыл бұрын
Mungu yupo na ww Rais wetu akatujibu tu Inshaallaah watanzania wote tupo naww
@nasrakhamis6430
@nasrakhamis6430 4 жыл бұрын
Mungu yupo atakufanyia wepesi
Каха ограбил банк
01:00
К-Media
Рет қаралды 11 МЛН
small vs big hoop #tiktok
00:12
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 34 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 97 МЛН
Manengo_ Kwaheri (Official Music Video)
4:33
Manengo
Рет қаралды 40 М.
Kikosi Kazi - Kazini Official Video (WEUSI DISS)
5:56
Kikosi Kazi Kazini
Рет қаралды 443 М.
EKYAMAGERO OFFICIAL 4K VIDEO
4:49
Sylver Kyagulanyi OFFICIAL
Рет қаралды 14 М.
BREAKING: LEMA Afunguka MO Dewji Kutekwa, A-Z Kilichotokea!
48:51
Global TV Online
Рет қаралды 258 М.
Toxic - Ukoo Wetu (Official Video)
2:40
Toxic Fuvu
Рет қаралды 151 М.
Каха ограбил банк
01:00
К-Media
Рет қаралды 11 МЛН