PART 2: AY KUACHANA NA MKE WAKE / UGOMVI NA FA / COLABO NA TYGA

  Рет қаралды 86,748

Dozen Selection

Dozen Selection

Күн бұрын

Пікірлер: 109
@kibongobongo4608
@kibongobongo4608 5 жыл бұрын
Sijui kama ni mimi tuuu au wapo kama mimi!!!!!?? Napenda interview bila ya sauti ya mziki ili nisikilize kwa utulivu. Kwasababu interview zako ni nzuri sana
@stevewanga957
@stevewanga957 5 жыл бұрын
Hawa ndio wasanii wenye wamekomaa alafu Tajiri lkn hana show off kabisa...... AY interview zake 🔥 🔥 🔥watching from 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦
@fatmasayid9152
@fatmasayid9152 5 жыл бұрын
AY bro unajielewa Bdozen tunataka watu kama hawa good interview thanks next time bro Fa
@HOODONLINETV
@HOODONLINETV 5 жыл бұрын
Marehemu Ruge ana mchango mkubwa kwa kila msanii tunaemuona anamafanikio ya kuonekana na yasiyoweza onekana kwa macho ya kawaida.
@monjeshaban1102
@monjeshaban1102 5 жыл бұрын
Bonge la star Ambwene yesaya unajitambua kaka nakuelewa sana
@victorianbenardnachenga6839
@victorianbenardnachenga6839 5 жыл бұрын
AY uko vzr sana mwana keep it up bro..!!!
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 5 жыл бұрын
Asante kwa sauti nzuri leo, Asante kwa matumizi ya Lapels, ila muwe mna fanya balancing ya sauti, leo Dozen sauti yako iko juu kuliko ya Ambwene
@mabulathobias6237
@mabulathobias6237 5 жыл бұрын
The true legend of bongo music
@abubakarabuero5137
@abubakarabuero5137 5 жыл бұрын
Nipeni likes za AY from 254 code 001
@mcmwamba8152
@mcmwamba8152 5 жыл бұрын
AY my home boy, I appreciate you
@gasperpatrick7023
@gasperpatrick7023 5 жыл бұрын
Hiki kichwa ni moja ya wana hip hop Bongo ambao wameleta heshima kwenye industry ya music wetu. Pia nje music ni bonge la Businessman that's why always your shining
@markostar8175
@markostar8175 5 жыл бұрын
kama unaamini dozen atatoboa kama miladiayo like chini hap
@maxkimaro4740
@maxkimaro4740 5 жыл бұрын
AY amefanya kubwa Tz,anastahili heshima kubwa,ila anakuoji ni kinega amekandamiza wasanii wengi,ila Mungu ni mwema clouds awapangi riski respect for Hip hop
@salumjumah4820
@salumjumah4820 5 жыл бұрын
bonge la interview big up dozenselection
@bigboyben6932
@bigboyben6932 5 жыл бұрын
First of all mmependeza.sec Bonge la interview,big up Hamis!third,maswali mazuri na muhimu kabisa and good enough mr Toyoyo mwenyewe kama kawaida anajibu as expected!Shout out to you all man.#dozenselectection is 🔥🔥
@yusuphmussa6589
@yusuphmussa6589 5 жыл бұрын
Mazee naskia alufu ya ankraa ankraa Big up 👆 AY
@marygaspary199
@marygaspary199 5 жыл бұрын
Yusuph Mussa :Siyo halufu ni harufu : kaka kiswahili ni Lulu
@MichaelMwakibolwa
@MichaelMwakibolwa 5 жыл бұрын
Likes Kwa Legendary AY, Tujuane apa🇹🇿+255
@emmamawasi9010
@emmamawasi9010 5 жыл бұрын
Nimemkubali sana kaka mkubwa Ay
@kingndinyo9764
@kingndinyo9764 5 жыл бұрын
My favorite Song All time Bongo Ni Yule 🔥🔥🔥🔥🔥
@tausisande9272
@tausisande9272 5 жыл бұрын
King Ndinyo
@fatmachambotanzania9379
@fatmachambotanzania9379 5 жыл бұрын
AY na pesa zake lakin hajionyesho wala hana dharau kila la khery kwako bro
@ayanmilitiatmk146
@ayanmilitiatmk146 5 жыл бұрын
Sauti ya Ankara 💪💪💪 254 in da house.
@mayagillamussa9486
@mayagillamussa9486 5 жыл бұрын
hongera sn b12 hujakata jina la dudu baya
@MRUMEMECOMMRCOILMRUMEMECOMMRCO
@MRUMEMECOMMRCOILMRUMEMECOMMRCO 5 жыл бұрын
B dozen nakukubali sana mzee baba piga kazi mkuu na mungu akubariki ufike mbali # mr umeme.com #mr coil SINGIDA TANZANIA
@samirnaty8774
@samirnaty8774 5 жыл бұрын
Very nice
@festomapanga4720
@festomapanga4720 5 жыл бұрын
Bonge moja la Interview salute Sana Bdozen
@j.nyembe3839
@j.nyembe3839 5 жыл бұрын
best interview 👍
@chapaboe3317
@chapaboe3317 5 жыл бұрын
Sawaaa
@honestyerasto
@honestyerasto 5 жыл бұрын
Bonge moja la interview.
@vanwizzy8658
@vanwizzy8658 5 жыл бұрын
Roll models @AY @ DOZEN
@adamringo9608
@adamringo9608 5 жыл бұрын
hajasema lakini! wameachana au bado wapo pamoja. napenda sana niskie kuwa wapo pamoja bado. itapendeza mnoo!
@leggiahennesey4203
@leggiahennesey4203 5 жыл бұрын
Toa sauti ya mziki inakela maneno ayasikiki vzr
@afrotv3982
@afrotv3982 5 жыл бұрын
Legends
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 5 жыл бұрын
Pamoja sana.. interview yaKizazi sana...🙌🙌🙌🙌
@mussayukopoakogjlsultan3816
@mussayukopoakogjlsultan3816 5 жыл бұрын
B Dozen Nakukubali Bro
@leilahhassan6621
@leilahhassan6621 5 жыл бұрын
Unakwama sauti tuu
@ayubukalinga9499
@ayubukalinga9499 5 жыл бұрын
Nakbar
@gershomndume308
@gershomndume308 5 жыл бұрын
Kaka mkubwa anaongea kistarabu Sana Yani uwezi hamini anacho ongea Ni kweli anamjengo wake uku🇺🇸
@gershomndume308
@gershomndume308 5 жыл бұрын
Thanks 😘😘❤️
@lindatemu8040
@lindatemu8040 5 жыл бұрын
Kwenye track Hii ya Hammy b Cheki moneymoney. Sharap kwako
@sakinaomar2090
@sakinaomar2090 5 жыл бұрын
Shikamooo AY
@Pedeshee01
@Pedeshee01 5 жыл бұрын
Sakina Hivi unafanya na mahojiano na msanii,yaani wewe hiyo ni kazi yako boss wako kama hawezi kuleta hata chupa za maji tu kupooza koo,wewe mfanyakazi kwa nn usichangamkie fursa uingie mkataba na kampuni ya maji safi yoyote ya kunywa wakakulipa kila unapofanya mahojiano unaweka chupa japo mbili kwa mbele unatangaza pia biashara yao ehhh?,ni biashara pia hii au vipi kama siyo maji hata juice,dakika zoote nimetizama sikuona kinywaji chochote tuwe wabunifu jamani,huyu kama mfanyakazi wa redio kashindwa hilo je boss wake na yeye hakuliona,kama hakuliona boss au wameshindwa maelewano ya malipo basi jagi tu la kawaida la maji au juice🙏🙏🙏 fursa nyengine siyo tuziangalie.
@mohamedmustafa8336
@mohamedmustafa8336 5 жыл бұрын
Nakukubali mzee
@abdallashabaani4560
@abdallashabaani4560 5 жыл бұрын
Big up Ay
@jofreyjulias3745
@jofreyjulias3745 5 жыл бұрын
Wewe sijui naweza kukuzawadia nini Ila nakuombea kwamungu
@Remmy_Remmah
@Remmy_Remmah 5 жыл бұрын
Jamani usieke mziki maneno mengine mpaka nirudilie😐
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 5 жыл бұрын
Baba ako
@barackshao3497
@barackshao3497 5 жыл бұрын
Umetisha bro...
@juliusnyambo4325
@juliusnyambo4325 5 жыл бұрын
Sauti iko chini sana
@henryedmund1046
@henryedmund1046 5 жыл бұрын
Dozen dizaini kama unaiogopa camera... 😃😃
@abdallashabaani4560
@abdallashabaani4560 5 жыл бұрын
Nice show
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 5 жыл бұрын
Baba ako please with
@edwiniedwin3530
@edwiniedwin3530 5 жыл бұрын
Legendary #AY
@fidelismyovela2834
@fidelismyovela2834 5 жыл бұрын
Interview zna viwango sanaaa B12
@CSWafrica
@CSWafrica 5 жыл бұрын
zeeeee magnifical
@joshuaprincess2167
@joshuaprincess2167 5 жыл бұрын
Dozen selection ni 🔥
@eliasakitasa7141
@eliasakitasa7141 5 жыл бұрын
Show kali
@zephaniamayeye4902
@zephaniamayeye4902 5 жыл бұрын
IMEKAAAA VYEMAAAA
@markjuliusdaud8005
@markjuliusdaud8005 5 жыл бұрын
Bdozen utuoneshe choo jamani ujue nyumba ni choo.
@cashiermombasa2734
@cashiermombasa2734 5 жыл бұрын
good stuff motivating and inspirational but also boring coz maswali ni yale yale nothing new
@cashiermombasa2734
@cashiermombasa2734 5 жыл бұрын
@Nampenda Jonas when i talk about new question as in something we as fans hatujui coz stori za Ay tz kulala kwa container tunajua about the east coast akina mwana fa,Gk we all know that but we want to know more you feel me.If you have listened to ll Ommy the playlist you'll understand what i mean he does his home work well till you are surprised how he knew all that stuff about a celebrity same applies to Jonii joo wa know you know something new to ours ears that what we want
@cashiermombasa2734
@cashiermombasa2734 5 жыл бұрын
@Nampenda Jonas kweli kabisa ila jamaa nimempa shavu mwanzo ndio nkamwambia it was boring just becoz vitu havikua vipya nway kukosolewa ni kati ya vitu muhimu anavyohitaji yeyote yule mwenye njaa ya mafanikio instead nimvishe mtu kilemba cha ukoka na ilihali najua wazi nampoteza.its my hope Mr.Dozen anapitia comments and if he does he is supposed to be happy if he doesnt go through the comments shame on him coz he will never grow meanwhile im a fan of his programme and i follow him alot and im hoping to see change ,peace up...bless up
@cashiermombasa2734
@cashiermombasa2734 5 жыл бұрын
@Nampenda Jonas naiwe hivyo
@keagleeagle821
@keagleeagle821 5 жыл бұрын
Sauti ya muziki kubwa sana aisee. Inaboa
@nelsonnmwaipaja6980
@nelsonnmwaipaja6980 5 жыл бұрын
machoni kama watu
@samgaya
@samgaya 5 жыл бұрын
Madini ni mengi mnoo
@datikazumari515
@datikazumari515 5 жыл бұрын
ya kizazi sana
@hellenimmaculate5953
@hellenimmaculate5953 5 жыл бұрын
Tuliozaliwa 1999 tunashangaa tu😂😂
@lykamlaki1218
@lykamlaki1218 5 жыл бұрын
😂
@clementchacha74
@clementchacha74 5 жыл бұрын
1997 alikua 15yrs. Na 1996 alikua high school?
@sijakibwana6745
@sijakibwana6745 5 жыл бұрын
Clement Chacha yaa kwa mahesabu ya haraka haraka alianza la kwanza anamiaka 6 akamaliza la saba na 13
@thommyocachu165
@thommyocachu165 5 жыл бұрын
Hata mimi amenichanganya hapo. Then 2004 alikua na miaka 22
@liliannyonela1185
@liliannyonela1185 5 жыл бұрын
a bit confusing kwakweli
@youngsunner2763
@youngsunner2763 5 жыл бұрын
Interview nzur dozen sema next time uweke hata maji kwa ajl ya kulainisha koo,umeskika Mara nyng ukikohoa naamn yangekuwepo maj ingekuwa frsh
@burudanitv874
@burudanitv874 5 жыл бұрын
young sunner maji lzma awe sponsor wa kipindi c uweke maji zeni usilipwe
@youngsunner2763
@youngsunner2763 5 жыл бұрын
Yeah,,sema anaweza mimina maji akaweka kwenye glass alafu lile kopo la maj lisionekane
@joesimba
@joesimba 5 жыл бұрын
24:14 Hahahah eti Kweli we mzee wa commercial
@Bayothomusic
@Bayothomusic 5 жыл бұрын
ona hii kzbin.info/www/bejne/b2rYZpiQhrJsd68
@APS732
@APS732 5 жыл бұрын
Ushauri kwa bro Dozen;-Kwanza hongera kwa bonge la kipindi mjini ushauri wangu ni kwa camera man wako ame stick sehem moja upper face tu na remember this is business kuna muda atuonyeshe viatu saa full body pia ukiwa uliza wametupia shingap kwenye kutupia ina waipress watu wa aina mbali mbali coz usifikiri mtu ana amua kuangalia coz ya kitu flan.......ivo yan for more issues 0689736873.
@jemakhalifa6807
@jemakhalifa6807 5 жыл бұрын
Fanya interview na mwana falsafa ili na yeye tujifunze kupambana
@nasrakibonye2256
@nasrakibonye2256 5 жыл бұрын
Uwe unazima redio unapomhoji mtu
@urunyaraurunyara8220
@urunyaraurunyara8220 5 жыл бұрын
Umesema mwaka 1997 ulikuw na miaka 15 alfu tena apo apo ulkuw high school mmmmhh
@yohanabillges6131
@yohanabillges6131 5 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿AY 💪
@fatumaabdallah9972
@fatumaabdallah9972 5 жыл бұрын
Alikuwa form 2 ndo kipindi alichotumia ela yake ya matumizi ya shule kuandaa show
@samsilayo6923
@samsilayo6923 5 жыл бұрын
Makin
@allydisi3656
@allydisi3656 5 жыл бұрын
Masauti ya kichoko hyo masound umeweka Dinqi sauzi zenu ni.maqood SNA next ukiweka hyo makelele na mm nakupiqia makelele dinq
@khalidikibakuli132
@khalidikibakuli132 5 жыл бұрын
imekaa pwh sana mmekutana wote vichwa vya shule
@henryedmund1046
@henryedmund1046 5 жыл бұрын
Ya kiofsaa kabisa
@helenaalfred4413
@helenaalfred4413 5 жыл бұрын
Hiyooo beat Dozen itoee. Msikilizajiii asikilizee sautiiii tuu. Interview haisikiki vizuriiii. Plus maswali yakooo ni common
@ramadhanabdy9734
@ramadhanabdy9734 5 жыл бұрын
Sauti inakua chini sanaaa
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 5 жыл бұрын
Ongeza volume..!!!
@hamisdaud3864
@hamisdaud3864 5 жыл бұрын
Ay fundi
@bigboyben6932
@bigboyben6932 5 жыл бұрын
Ramadhan Ramadhan bob unaskizia nn?
@ramadhanabdy9734
@ramadhanabdy9734 5 жыл бұрын
@@bigboyben6932 sndio
@ramadhanabdy9734
@ramadhanabdy9734 5 жыл бұрын
@@mandyfitnesstv6738 nshaongezaaaa
@mnyakitz2007
@mnyakitz2007 5 жыл бұрын
Donen uwe unabadilisha studio na sio mbayaa ukiwa unataja kuwa utakuwa studio gani na msanii au mtu furani ...
@vanwizzy8658
@vanwizzy8658 5 жыл бұрын
Mnyaki Tz hawez kubadirisha studio wakati hapo ndo mahali pa kazi n nioffice yake anatakiwa kuibrand
@husseinmushi
@husseinmushi 5 жыл бұрын
Van Wizzy Hapo no WANENE STUDIO
@zefamange7281
@zefamange7281 5 жыл бұрын
RUDI NYUMBANI TUKUYU UKAOE HUKO
@christopherjames3684
@christopherjames3684 5 жыл бұрын
Bro dozen mtafute na bro KBC wa kwanza Unit uzungumze nae..
@hamiswawa5872
@hamiswawa5872 5 жыл бұрын
tajiri
@innocentmushi1550
@innocentmushi1550 5 жыл бұрын
bro kwa connection shikamoo
@smartmussadozen3535
@smartmussadozen3535 5 жыл бұрын
zee ay rol modo
@odaxrichard9882
@odaxrichard9882 5 жыл бұрын
d huyu jamaa ana akili mingi sana
@urunyaraurunyara8220
@urunyaraurunyara8220 5 жыл бұрын
Ayo mahojiano mbna km yana udanganyifu ndani yake,
@goodkafaya502
@goodkafaya502 5 жыл бұрын
Slunt jomba uko poa
@hassanmkuta5092
@hassanmkuta5092 5 жыл бұрын
mzee interview kavu sana hata fursa ya kunywa maji hamna!
DOGO JANJA AANIKA UKWELI WA NDOA NA IRENE UWOYA (EXCLUSIVE)
43:01
Dozen Selection
Рет қаралды 239 М.
СИНИЙ ИНЕЙ УЖЕ ВЫШЕЛ!❄️
01:01
DO$HIK
Рет қаралды 3,3 МЛН
Support each other🤝
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН
Гениальное изобретение из обычного стаканчика!
00:31
Лютая физика | Олимпиадная физика
Рет қаралды 4,8 МЛН
Murottal Anak Juz 29 - Riko The Series (Qur'an Recitation for Kids)
1:23:07
Riko The Series
Рет қаралды 5 МЛН
Zaynab bint Jahsh (ra): The Longest Arm | The Firsts | Dr. Omar Suleiman
1:14:11