DOGO JANJA AANIKA UKWELI WA NDOA NA IRENE UWOYA (EXCLUSIVE)

  Рет қаралды 239,217

Dozen Selection

Dozen Selection

Күн бұрын

#BDOZEN amefanya mahojiano EXCLUSIVE na #DogoJanja kuhusu ukweli wa NDOA yake na #IRENEUWOYA, ni kweli ilifungwa? na stori za kuachana zilikuwa na ukweli? Yote amezungumza kwenye Dozen Selection. Pia amegusia historia ya maisha yake tangu Arusha hadi kuingia DSM na kufanikiwa kimuziki. Karibu utazame.

Пікірлер: 402
@soleilmacha8220
@soleilmacha8220 5 жыл бұрын
Tangu dogo jaja aachane na uwoya amekuwa handsome sana. Big up bro
@johnswai437
@johnswai437 5 жыл бұрын
Big up sana BDOZEN/B12 kubali sana kaka ...kama upo sawa na mm gonga like hapa
@kaulimbiu181
@kaulimbiu181 3 жыл бұрын
Hizo back to back ulio promise mwaka 2020 kwanzia mwezi wa 3 hadi leo 2021 mwezi wa 3 na hatujaona hata moja bro Dogo Janjaroo. Alaf juzi Madee anasema umeweka starehe mbele ya mziki unatubwaga shabiki zako bro. Vepeeee!!!!!!! 🙏🙏🙏🙏🙏
@nishanjeriwangai3870
@nishanjeriwangai3870 5 жыл бұрын
Watching from Saudis Arab dogo janja Masha Allah Allah atakupa wako Irene hakuwa rizik yako
@Heismasai
@Heismasai 5 жыл бұрын
Bonge ya interview kumamakeee....big up wanangu Dazen na Janjaro....nilijifunza hapa huyu dogo kapitia maisha yangu so nimegundua natakiwa kuendelea kupambana sanaaaaa
@hashimuhehwa3780
@hashimuhehwa3780 5 жыл бұрын
Dogo Janja unaakili sanaa mdogo wangu heshima yako kaka
@ramaally925
@ramaally925 5 жыл бұрын
Noma nakuelewa
@yusufndupe9772
@yusufndupe9772 5 жыл бұрын
Hashim Uhehwa
@yusufndupe9772
@yusufndupe9772 5 жыл бұрын
Hashim Uhehwa v
@dollydolly9778
@dollydolly9778 5 жыл бұрын
Hashim Uhehwa true
@isayalaizer1367
@isayalaizer1367 5 жыл бұрын
upo good Dogo janja
@jackgeorge1309
@jackgeorge1309 5 жыл бұрын
Hizi interview ziendelee ziwe nyingi nyingi dozen big up sana
@mohamedsonga2929
@mohamedsonga2929 5 жыл бұрын
nakukubali sana dogo Janja unaakili sana big up Broo never give up
@BigZhumbe
@BigZhumbe 5 жыл бұрын
"Nilipokua nalia niliweka kichwa kwenye maji....." powerful quote
@faidhamsangi3061
@faidhamsangi3061 5 жыл бұрын
Aisee neno zuri sana..
@yasseinn1830
@yasseinn1830 5 жыл бұрын
100% kabisaa
@abdulrahmanmohd4064
@abdulrahmanmohd4064 5 жыл бұрын
Dozen selection 2019 kaka bi dozen hongera sana kwa kazi nzuri na ndoto ipo siku nita kuwa tuuu
@gwakisabrown9237
@gwakisabrown9237 5 жыл бұрын
This is wat we call creativity huboeki kuangalia mb zako tu
@janethhillary8297
@janethhillary8297 5 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kwa Dogojanja....ni mdogo lakini anajielewa Sana 💪
@anniejulius7131
@anniejulius7131 5 жыл бұрын
I like the way unampa mtu nafasi ya kujieleza we called that kuongeza ubunifu.... big up Bdozen
@Aprilsimba
@Aprilsimba 5 жыл бұрын
Annie Julius true hamuingilii ingilii
@angelntandu4648
@angelntandu4648 5 жыл бұрын
Hongera kaka dozen kweli Ruge alikuwa anaona mbali.umetulia unaeleweka hongera
@scollorpatrick7214
@scollorpatrick7214 5 жыл бұрын
Yan dogo leo umenifurahisha sana, yan umeongea vizuri sana haujaleta nyodo zako safi sana mdogo wangu
@sheysarahnjeno9326
@sheysarahnjeno9326 5 жыл бұрын
Dogo janja mungu akupe nguvu nauvumiluvu katika maisha yako.endelea kumpenda mama yako nauwapende watu wote.wakubwa kwa wadogo.inshallah
@sistersade9039
@sistersade9039 5 жыл бұрын
wow such a wonderful interview. kumsikia janjaro machozi yamenitoka, so kind, matured and has a wonderful character mashaalah.mtoto katulia na akili ya miaka 40. Ama Bdozen you are a fantastic interviewer, bravo kuweza mfanya janjaro atueleze mengi tulokuwa tunahamu kuyajua. big up for your professionalism.
@esterabonga7947
@esterabonga7947 5 жыл бұрын
Thanks sana Dogo janja umejibu maswali yote. Sio kama hawa maboya wanao jifunzia English kwenye Instagram wakiulizwa swali utaskia no comment 😏😏
@faustaevarist8046
@faustaevarist8046 5 жыл бұрын
love u dogo janja
@aminabukenya231
@aminabukenya231 5 жыл бұрын
😂😂😂
@asnathemmanuel6430
@asnathemmanuel6430 5 жыл бұрын
😂😂daaah janjaro noma
@everlynmanigamaniga818
@everlynmanigamaniga818 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mwanaishambili241
@mwanaishambili241 5 жыл бұрын
Mashaallah ongera dogo mungu upanga kila jambo mtangulize yye insha'Allah utafanikiwa
@kingbidder
@kingbidder 5 жыл бұрын
Safi sana dogo janja.. We ni mkali sanaaaa.. Mungu akutangulie kwenye kila ufanyalo🙏🙏
@hakeemaleeckhm8211
@hakeemaleeckhm8211 5 жыл бұрын
Meeen. Dozen yo genius man. The way u interview z perfect. Big fan ov u n i thnk all doz musician dey respect n hide nothin wen wth u
@bonigrey9623
@bonigrey9623 5 жыл бұрын
Hongera sana B.dazen unajua kuhoji ........
@subiraomar4771
@subiraomar4771 5 жыл бұрын
Haha dogo mungu akubariki ufanikiwe maishani maana umeanza kufait mapema sana
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 5 жыл бұрын
Natamani siku moja Dogo janja afanye collabo Na vanessamdee wimbo kam regge fulani itakuwa 🔥🔥
@maulidinuru5424
@maulidinuru5424 5 жыл бұрын
v uv
@zarinahally4746
@zarinahally4746 5 жыл бұрын
Kabisaa
@mussamsella8560
@mussamsella8560 5 жыл бұрын
Mdogo wangu unaakiri sana ... Dogo janja uko vizuri sana ...sanaaaa utafika mbali Ile blessed toka kwa mother itakufikisha parefuuu saaaana kimkwanja
@nunuuali5316
@nunuuali5316 5 жыл бұрын
Hivi udogo wa dogo janja upo wapi? Dogo anajielewa ana majibu sahihi yenye points zaid hata ya hao wanao onekana wakubwa. Big up Dogo mm kwa kweli nakukubal na napenda Sana interviews zako u re so bright Dogo
@salmamasuod1472
@salmamasuod1472 5 жыл бұрын
dozen big up xana bro umekuja kitofaut xana
@fatmaabdully9705
@fatmaabdully9705 5 жыл бұрын
Mwz mungu akufikishe mbali abubakal, akupe hitaji la moyo wako inshaallah
@kizotamichael2195
@kizotamichael2195 5 жыл бұрын
keep up janjarooo nakukubal sana broh
@johanesmwombeki6462
@johanesmwombeki6462 5 жыл бұрын
Nakubali sana mastory ya janjaro👍👍👮‍♂️
@younginspired3899
@younginspired3899 5 жыл бұрын
#janjaro nakubali sanaa.. Mwanangu🙌🙌🙌
@asiahmariam3942
@asiahmariam3942 5 жыл бұрын
Sio dogo tena ni kubwa janja, hongera janjaro Allah azidi kukuteremshia baraka tele
@mathiasmkude362
@mathiasmkude362 5 жыл бұрын
Nikuelewa sana mzazi Bdazon
@bigboyben6932
@bigboyben6932 5 жыл бұрын
Shoutout to you bdozen hii idea ya DS ni nzuri sana.Na kwa heshima ambayo unayo kwa wasanii Naamini hapa tutakuwa tunapata xclusive zile deep.
@fredykivuyo9309
@fredykivuyo9309 5 жыл бұрын
Safi sana dogo janja mie nakukubali sana tena zaidi ww na king kiba yani nawaelewa sana jahaa bless
@bahatimsingwa9123
@bahatimsingwa9123 5 жыл бұрын
I love you so much bdozen!! King of afternoon shows!!😍😍😍😍
@ladymashaallahilikeuaadvis997
@ladymashaallahilikeuaadvis997 5 жыл бұрын
Masha Allah, una hekma dogo mjanja mwanangu
@abuubakrachani1943
@abuubakrachani1943 5 жыл бұрын
Dozen & dogo janja ........well done
@gurishamndeme6564
@gurishamndeme6564 5 жыл бұрын
Napendaga sn mahojiano ya janjaro coz anajb vizuri sn anaeleweka big up kijana
@florapaul6934
@florapaul6934 5 жыл бұрын
Nakupenda sana Kaka dozen mwenyez mungu aendelee kukutunza
@victoriaedward1054
@victoriaedward1054 5 жыл бұрын
Nice sana 😘😘😘😘
@odettebaseka247
@odettebaseka247 5 жыл бұрын
Nakubali kbsa bro mungu akuzidishiye unaongeya vizuri. big up sana
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 5 жыл бұрын
DOGO JANJA AME BADILIKAAAAA ANEJUWA MZUUUURI BIG UP
@mrpositiveiq4305
@mrpositiveiq4305 5 жыл бұрын
Huyu janjaro anajua San kujibu interview...Big interview dozen hukoseagi arifu...
@ZahraZahra-rp7wb
@ZahraZahra-rp7wb 5 жыл бұрын
Mungu Akuongoze kwaili na lengine inshaaalha
@sakinaomar301
@sakinaomar301 5 жыл бұрын
Dah naona aibu kukuita dogo Janja bora nikuite Janjaroo umetisha sana keep it up
@gabrielmalecela3701
@gabrielmalecela3701 5 жыл бұрын
Well say dogo janjaaa # badoo mdogo kuisononesha nafsi ni dhaaambiii kuuubwaaa dingilai#
@dedera105
@dedera105 5 жыл бұрын
hizi ndio channel za maana. presenter haulizi maswali ya kiswahili kawa wale waswahili wengine. interview imetulia. background music tulivu. interior decoration iko standard. DOzen hajakariri maswali yote, maswali mengine anayapatia humo humo and he is leaving no stone unturned kwenye interview. Well done kaka!
@maryamibrahim3713
@maryamibrahim3713 5 жыл бұрын
Nampenda dozen
@doricemallya5247
@doricemallya5247 5 жыл бұрын
Nimeikubali hii interview. Dogo upo vzr sana
@aishasilaji5759
@aishasilaji5759 5 жыл бұрын
Nimefurah leo jamani dogo janja hachoki kusikiliza jaman pongezi sana
@lilianmwinuka9236
@lilianmwinuka9236 5 жыл бұрын
Bonge la interview, dogo janja unajibu vizuri
@juliusdaniel5989
@juliusdaniel5989 5 жыл бұрын
Janja turudi zetu school mzee me mwenyew nimdishia 2 by January 2020 mungu aki bless narudi mzee
@isacknickson6028
@isacknickson6028 5 жыл бұрын
Jaman wakwanza Leo naomben like hata kumi
@jozeytv8357
@jozeytv8357 5 жыл бұрын
Like mnazipeleka wap
@shizzohwaka8868
@shizzohwaka8868 5 жыл бұрын
bonge la interview Broo Nimemuelewa sana big up broo
@travellahmsafirihiphop5325
@travellahmsafirihiphop5325 5 жыл бұрын
Nmejifunza kwènye hii interview NEVERGIVEUP#
@gwajeemmanuel4137
@gwajeemmanuel4137 5 жыл бұрын
dogo janja nimekuelewa unafanya muziki kama kaz lkn pia nidhamu yako iko juu pia safi
@elicesteven1174
@elicesteven1174 5 жыл бұрын
Nipen like na mm nifurah
@sadikathumani1003
@sadikathumani1003 5 жыл бұрын
Big up B.dozen!
@angelojuma7818
@angelojuma7818 5 жыл бұрын
Nzur
@dalilaally6118
@dalilaally6118 5 жыл бұрын
Daah nimeipenda interview yaani nimeisikiliza kwa makini
@musaabubakary7711
@musaabubakary7711 5 жыл бұрын
Big up Dogo janja pamoja n Dozen collection
@nurianmichael5524
@nurianmichael5524 5 жыл бұрын
Dogo janja big up sana,,,historian yako haiachani saana na yangu tofauti tuu myn is so painfully,,,, real ur my role model ,,,,,,naamini one day yes
@mariamjumaswalehe635
@mariamjumaswalehe635 5 жыл бұрын
Iko poa sanaaa
@fabianmoses3105
@fabianmoses3105 5 жыл бұрын
Tulipga mbanga flan hiv kama umemskia dogo janja hyooooo ukigonga like fresh....√√√√√
@cathyntakama5919
@cathyntakama5919 5 жыл бұрын
Janjaro hustler
@shidakimiturtee7272
@shidakimiturtee7272 5 жыл бұрын
Yani dogo janja mimi nime cheka hapo kwenye shikamooo🤣🤣🤣
@waldongeoffrey4620
@waldongeoffrey4620 5 жыл бұрын
Safi sana. Janjaro
@barbramwendwa3247
@barbramwendwa3247 5 жыл бұрын
Wow nyc interview u can't miss any part.I watched till the end. Bdozen good job and good looking sexy. Dogo jaja got some points from you. All the best.
@johnjackson4363
@johnjackson4363 5 жыл бұрын
Bonge LA interview big up sana Kazi nzuri
@aishayahya7687
@aishayahya7687 5 жыл бұрын
Nimeipenda show na dogo uko vzr
@chuwafamily496
@chuwafamily496 5 жыл бұрын
Nakubali Sana life stayly anayoishi dogo janja,,piga like Kama unamkubali dogo janja,🤣🤣🤣😎
@marykitomari9315
@marykitomari9315 5 жыл бұрын
Big up dogo janja w ni fire
@robertfrendrick
@robertfrendrick 5 жыл бұрын
Big up Dozen interview iko poa sana Dogo Janja 🔥🔥
@salahfarid6837
@salahfarid6837 5 жыл бұрын
One love my brother. May God protect you*
@irenenjeri6609
@irenenjeri6609 5 жыл бұрын
Big up bro Nakupenda sana.
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 5 жыл бұрын
Napendaga Kumsikiliza Dogo janja anajielewa mno
@sheikinitv8489
@sheikinitv8489 5 жыл бұрын
Team Wasoma Comments Mtandaoni tujuane😁
@omanoman4182
@omanoman4182 5 жыл бұрын
Nipo hapa kabisaaa maana nilikuwa siko online Leo nimeingia kuna koment kama 2000 na naa nasoma kuhu nachenk kipindi 😂😂😂😂
@masongatz
@masongatz 5 жыл бұрын
Tunajuanaje sasa lete mpango
@charlesnyembeke2985
@charlesnyembeke2985 5 жыл бұрын
mim hapa
@ujasiriamalijitegemee345
@ujasiriamalijitegemee345 5 жыл бұрын
Nipooooo😂
@estersanga4163
@estersanga4163 5 жыл бұрын
AaaaAaaaaah
@passionjoy2130
@passionjoy2130 5 жыл бұрын
My favourite 🤘
@karryh5338
@karryh5338 5 жыл бұрын
Umebonga points zote dogo keep on trying don't give up
@mariamsemy2924
@mariamsemy2924 5 жыл бұрын
thanks for the good interview BDOZEN
@alimashabani2252
@alimashabani2252 4 жыл бұрын
Nilijuwa tu iindowa ilikuwa yalaana mwisho ndogo janja kaambukizwa ukimwi
@mosesmkoma6882
@mosesmkoma6882 5 жыл бұрын
Badilisha jina jiite kubwa janja kwani unaongea vitu vya kikubwa
@hidayayusufu4639
@hidayayusufu4639 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 kama alivobadilisha dogo aslay
@erastoselemani5443
@erastoselemani5443 5 жыл бұрын
Kweli kabisa
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 5 жыл бұрын
SUPPORT DIGO NJANJA SOKSY
@monicaalute1777
@monicaalute1777 5 жыл бұрын
Km umeckia neno Constresion km mm gonga like yko hapo
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 5 жыл бұрын
Daaaa hongera sana dogo janja yaani unaongea maneno yenye hekima na busara yaani unaongea maneno ya kikubwa na pia hongera sana kwa kumjali na kumpenda mama yako.
@mimah1547
@mimah1547 5 жыл бұрын
Salute Dozen🔥🔥
@lucytarimo1688
@lucytarimo1688 5 жыл бұрын
Good interview
@fei3668
@fei3668 5 жыл бұрын
Nimeipenda interview
@nicksonurassa4033
@nicksonurassa4033 5 жыл бұрын
Dogo janja anajielewa sana big up..
@panchowiz5611
@panchowiz5611 5 жыл бұрын
pamoja sana nakubali kizazi sana tisha
@Relaxation_97
@Relaxation_97 5 жыл бұрын
JIFUNZE KUDOWNLOAD VIDEO KZbin HAPA kzbin.info/www/bejne/n4DZfaain5ycZpo
@TRAVELANDTASTETANZANIA
@TRAVELANDTASTETANZANIA 5 жыл бұрын
Mwanamke Sio Mama yako Ishi nae kwa Makini.......Big up Janjaro
@epiphaniaallute2726
@epiphaniaallute2726 5 жыл бұрын
Kumbe unafuatilia vya home sana. Hahahaaaa nimefurahi kukuona pande hii
@ivantompoo7843
@ivantompoo7843 5 жыл бұрын
D Zen broo nip na ww miaka yote
@stellastanley630
@stellastanley630 5 жыл бұрын
Big up janjaro unajua kujibu vizuri
@amaniramadhani3867
@amaniramadhani3867 5 жыл бұрын
Yani dogo janja umekuwa mzee yani unajibu vizuri sana
@maria_mutondioriginal5
@maria_mutondioriginal5 5 жыл бұрын
Mungu akupiganie ktk kazi zako
@edwinfweni
@edwinfweni 5 жыл бұрын
Hjanja anajua ongea Sanaa #much respect
@azizinandonde4144
@azizinandonde4144 5 жыл бұрын
Nakubaliii Sana janjaro
@michobreezy2436
@michobreezy2436 5 жыл бұрын
more fire🔥
@glorykessy6942
@glorykessy6942 5 жыл бұрын
Nicee
Beat Ronaldo, Win $1,000,000
22:45
MrBeast
Рет қаралды 158 МЛН
NANDY EXCLUSIVE: "RUGE ALINICHUMBIA NDOA INGEFUNGWA MARCH"
43:23
Millard Ayo
Рет қаралды 1,3 МЛН
Dealing with Slow Progress
16:24
Karis AmehWealth
Рет қаралды 1,2 М.
I Spent 100 Hours Inside The Pyramids!
21:43
MrBeast
Рет қаралды 61 МЛН
Kendrick Lamar's Apple Music Super Bowl Halftime Show
13:25
AGNEZ MO.. MANTAN KU TER... Deddy Corbuzier Podcast
23:30
Deddy Corbuzier
Рет қаралды 10 МЛН