Father Ricardo Maria the founder of Alfagms secondary school Mungu akubariki sana... Wote tuliosoma Alfagms gonga like yako hapa
@buckeykiraba46454 жыл бұрын
Me cjasom ila nagonga
@georgechilipweli20564 жыл бұрын
Good 🙏🙏🙏
@berthandollo32274 жыл бұрын
Moro wanamuita peku peku
@ponsianamataka46074 жыл бұрын
Padre Recardo, Asante sana kwa zawadi ya maisha yako. Umewagusa wengi hasa kwa kuwapa elimu Bora ya dunia na Mungu Tena kwa upendo na gharama nafuu. Umebadidisha maisha ya watu. Mungu akusim amie. Asante sana. Zaburizi nasema, "Heri watakatifu walioko nchini, kukaa nao ndiyo furaha yangu" Jipe moyo.
@happymsaki17204 жыл бұрын
Yaani sanaaa
@TimotheoVitaliano-wf8up10 ай бұрын
Asante padre Kwa elimu
@Deonfnyoni4 жыл бұрын
Nimevutiwa sana na father ricardo roho wa Mungu akurinde na akuongoze ktk utume wako Mungu akubariki
@abrahamkasian70244 жыл бұрын
Ukiwa na Mawasiliano Mengi na Watu utakosa mda wa kuwasiliana Na Mungu Hapo nimwkuelewa
@muslimgirl80534 жыл бұрын
shukrani Padre kwa kutusaidia wote tuliosoma hapo mungu akuongoze kwa kitu
@asiaseif72294 жыл бұрын
Dear nasikia watu pale hufaulu wote?
@TM.Sullusi4 жыл бұрын
Ni baraka kwako kutoa shukrani. 🙏
@happymsaki17204 жыл бұрын
Tunakupenda sana. Fr Ricardo MUNGU atakutetea kabsaa kwa kweli kazi yako SIO Bure MBELE ZA MUNGU
@perpetuamihayo56724 жыл бұрын
Asante Sana baba Padre kwa kuonyesha upendo mkubwa kwa Wana na viumbe wengine.pray for me father.
@mkudembeteni40754 жыл бұрын
Hongera sana father RICARDO Kwa kweli Kwa Kila ulipo enda kuinjilisha waumini wengi wamevutiwa Na huduma ya Kiroho uliyo kuwa unaitoa Na popote utakapo kwenda naamini una kubalika sana Na ulitupatia huduma Bora sana hata katika Mkoa wa MOROGORO VIJIJINI MGETA Na hongera mtangazaji Kwa maswali mazuri.
@lellovenance57024 ай бұрын
Ingekuwa hapa kuna mswahili na kiingereza cha ugoko, yes no ni nyingii ubarikiwe Sana Baba
@nasibumanji75384 жыл бұрын
Hakika ,Ndugu Ricardo, ninatamka kutoka moyoni,nimefanya naye kazi kama mwl,hapa shuleni.Ana uewezo mkubwa Sana wa Akili sijapata kuona maishani.kichwa hicho kimoja anaongoza Mambo mengi sana na yanafanikiwa kwa asilimia100/% Huyu father ana tunu Ya Mungu.Barikiwa Sana ndugu , Ricardo 🙏🙏🤝
@yusterngoye32824 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akujalie Kila lenye heri
@zenassylvester1254 жыл бұрын
Ukisikiliza sauti bila kumuona unaweza sema jamaa ni mbongo ... Barikiwa kwa kazi ya Mungu
@mwajumahmkali95574 жыл бұрын
Nimebarikiwa Sana na historia yako Farther, naamini kila mtu ana wito wake ubarikiwe Sana Farther
@estherjohn42383 жыл бұрын
Mungu bado anawatu anaowatumia kutujulisha kua mungu yupo naukiamua kumtumikia mungu unamtumikia tyu🙏🙏
@gracerwega42364 жыл бұрын
Khee FR. Recardo yupo aisee amezeeka sikuhizi doh since Nipo Seconddary Kigurunyembe🙏🏽 Barikiwa sana FR.
@fredichaki48684 жыл бұрын
God bless you father recado actually l really appreciate your contribution aspecialy in education l was take my education in your school Alfa Gemes
@kotikashfelister11833 жыл бұрын
Mungu akubariki Fr Recardo from Kenya
@sariajeremiah46164 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza kusikia habari za maisha ya Padre Ricardo, nimevutiwa sana, kumbe hata ukoo wake ni MwaKikoti, kweli aliipenda Tanzania. Maisha yake yote alimtegemea Mungu, hata katika mipango mikubwa ya Elimu, hakuwa na pesa, mikopo wa mfadhili.
@maragaretjannet83554 жыл бұрын
MAY God Bless the work of.your hands Padre
@onesmomassawe62304 жыл бұрын
MUNGU AKULINDEE SANA ...SALAM MARIA KUMI ZA BARAKA KWAKO BABA PADRE
@aliamin69984 жыл бұрын
Asante padre kwa utume mzuri mungu awe daima nawe
@petervasco62456 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba yetu
@mrsdeborahurio4 жыл бұрын
Wale tuliosoma St. Elizabeth, tunakushukuru sana Mungu akubariki Father!
@mrsdeborahurio4 жыл бұрын
Nilimaliza F 6, 2006
@mrsdeborahurio4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa, shule ilikuwa nzuri sana.... TUMEFAIDIKA. MUNGU AKULIPE!
@sylvesterjose32864 жыл бұрын
"Tukiwa na nawasiliana mengi, tutashindwa kuwasiliana na Mungu" Falsafa Pana ndani yake, Nimekuelewa Baba!
@mdmavoice92534 жыл бұрын
Ip
@oscarboniface96904 жыл бұрын
Hongera sana baba Ricardo 🤝👏 Nimeguswa sana na historia ya maisha yako. Mungu azidi kukuangazia katika utume wako.
@florapeter69192 жыл бұрын
Mungu Ambariki Fr,Ricardo mwanangu alisoma hapo. Ada ilikuwa 500,000=kwa mwaka ni bording ela iyoiyo kula na kulala hapohapo ni sawa na bure.na huyo mwanangu kamaliza chuo kikuu UDSM.Sifa kw Yesu. M
@alicemdoe82224 жыл бұрын
Ubarikiwe sana fr.Ricado maria.mafanikio ya maisha yangu yanatokana na juhudi zako .Mungu akupe maisha marefu
@leonidaskalumuna83504 жыл бұрын
Nimeguswa sana na jinsi alivyo na doto kubwa ya Kiswahili,Ongera Sana Baba.
@petermahimbo67034 жыл бұрын
Umebarikiwa
@cinterproductscinterproduc8606 Жыл бұрын
Hongera kwa padre wetu akika anatupa neno nzur la Mungu
@matheihaule-tw8yt Жыл бұрын
Mungu ni mwema
@husnakinderu74214 жыл бұрын
Mwenyez mung akuweke teacher wang wa Bible father pekupeku
@subirajohn7284 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Father Ricaldo!
@edithmakwakwa94894 жыл бұрын
Barikiwa kwa elimu nzuri inayotolewa Alfagems
@antoniambogolo36284 жыл бұрын
Amina Sana maana watu tuko bize nasimu kuliko kuws bize namungu
@amatsandhu57084 жыл бұрын
Ubarikiwe father 🙏🏾👏🏻👏🏻👏🏻amen🙏🏾🙏🏾👏🏻👏🏻kwa kazi unayoifanya 🙏🏾🙏🏾thank you father 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾amen🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@tedyjoseph51784 жыл бұрын
Hongera sana baba Padre nimekupa bure naomba uwaombee wangu Glory na pio kwani nawapenda sana wafransinsico wa kapuchini.
@neolifeinternational82674 жыл бұрын
Hongera sana kwako Father Pekupeku
@happymsaki17204 жыл бұрын
Father pekupeku Tumsifu YESU KRISTO Baba MUNGU aendelee kukutunza Baba
@billgussy60992 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Fr
@msolwasecondary17902 жыл бұрын
Hongera kwa maisha hayo Mungu ni mwema
@mjoan19753 жыл бұрын
Ee Mwenyezi Mungu endelea kumlinda mtumishi wako. 🙏🏽
@petervasco62456 ай бұрын
Tumsifu yesu kristo Father naomba maombi kwenye familia yetu
@buckeykiraba46454 жыл бұрын
Anajitoa sana mungu ambariki sana
@petermichael5934 жыл бұрын
Amina fother...
@emmanuelmwansoho69144 жыл бұрын
Nashukuru sana baba
@petermichael5934 жыл бұрын
Mungu akubariki baba...
@janecharlessy24354 жыл бұрын
Utume wao kwa Mara ya kwanza walipokuja Tanzania walifikia izazi badaa ya hapo ndiyo wakagawanyika mwingine pomelini mwingine morogoro mungu awape maisha marefu
@leahparasino90614 жыл бұрын
Father rikado,nimekumic jamooon
@jescanzema21694 жыл бұрын
Father Ricardo Maria😍
@marymnyanyi92214 жыл бұрын
Oooh Mungu ni mwema nimependa saana kipindi na nimejifunza mambo kadha wa kadha na ku subscribe kabisa mbarikiwe sana
@anethchua40414 жыл бұрын
Nimependa maisha yako baba
@martinkalolo57964 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kwahuyu baba, Mwenyezi mungu azidi kutulinda na akupe afya Njemaaa father
@witomwidisi12144 жыл бұрын
Asante sana Mwalimu wangu akutie nguvu
@witomwidisi12144 жыл бұрын
Umetusaidia sana wewe MUNGU akuongoze miaka Miaka mingi amuongeze
@michaellorunye76974 жыл бұрын
God blessings
@paschalkatwiga28874 жыл бұрын
Daaaaah nampata Sana pale nanenane
@Nancywill-9984 жыл бұрын
Father Ricardo...Padre wa kipekee... hakika ubarikiwe ni mie mwanakwaya ya Parokia yako
@leoaquilline42354 жыл бұрын
barikiwa sana father
@fabiankilato66494 жыл бұрын
Padre mjanja sana, nimempenda. Anajua kuprotect mind yake. Yaani mkurugenzi wa radio alafu hasikilizi radio. 😅😅😅
@mahogomahogo10444 жыл бұрын
Asante Mungu Kwa Zawadi kubwa ya padre rikardo asante Baba
@valentinajoseph24304 жыл бұрын
Hakikaa Mungu Awe Nawe Katika Utume Wako Fr.
@geraldlaurent74654 жыл бұрын
Napenda Sana papa wa Mimi from 2013-2015
@leonardmwasambili383 жыл бұрын
Ipo cku mungu akupe maisha malefu,utalii ninao fikilia kuufanya c wa mlima kilimanjaro bari ni kwa huyu mtu wa mungu nitajifunza mengi barkiwa sana baba
@alexlingwendu67804 жыл бұрын
Namfahamu saana huyu .Am From Iringa Kihesa, Majembe ,Victoria pale
@fahadfaraj18224 жыл бұрын
Nlisoma lugalo so ulivotaja hapo nmekumbuka
@alexlingwendu67804 жыл бұрын
@@fahadfaraj1822 Yes mkuu home sweet home
@fahadfaraj18224 жыл бұрын
@@alexlingwendu6780 sio kwetu iringa ila ni place nnyoipenda sana
@francomlasu89794 жыл бұрын
kumbe ni mwenzake na shemasi paulo wa pomerin Iringa.asee mbarikiwe sana mnafanya kazi kubwa
@witomwidisi12144 жыл бұрын
Ndiooo
@restutakivamba884 жыл бұрын
Alafu wanafanana sana
@chambapamba67854 жыл бұрын
Hakika Mungu hakukuumba bure "Kwani umekuwa Role model wangu hasa falsafa yako ya Imani ikizidi na kushindwa kuiongoza inakuwa ni ushirikina" MUngu akubariki sana Padre.
@vailethmtemekele13474 жыл бұрын
Utume mwema father🙏
@prisilavallenci9753 жыл бұрын
Mnyalu mwenzang karib iringa
@lilianawinoalara3714 жыл бұрын
Nimebarikiwa
@agnesgervas80704 жыл бұрын
Hahhhh hana Redio afu ni mkurugnz wa radio afu hapend kuskiliz radio mungu azidi kukupa afy
@agnesgervas80704 жыл бұрын
Yan nipo natabasam tu yan hyu padre yani mungu amefanya kitu kikubwa kwake
@marymango97664 жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristo Baba
@emmanueljohn51624 жыл бұрын
Fluent swahili
@cyprianbernard9074 жыл бұрын
😀😀😀😀father bhana
@mpwapwanewstv82044 жыл бұрын
Nimemuelewa sana Fr Recardo
@mwarabuzedone24783 жыл бұрын
Namkumbuka sana huyu padre nimetumikia sana misa zake alipokuwa anakuja kanisa la mt kizito kiroka
@josephrobert98033 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@angelalphonce93684 жыл бұрын
Ahaaa akina mwakikoti naona ukukwenyu uyoo
@bossadam22524 жыл бұрын
Nakujua nishawi kukuona sauzi
@zubeirkiserengo59894 жыл бұрын
Faza RICADO, ALFA MOROGORO.
@josephinebiringanine71132 жыл бұрын
Ndio utume uhu . Wewe nimfano wakuigwa. Hasa hasa Napadri ...
@jeanmusamba84488 ай бұрын
mwakikoti hahahahahha Fr bana,nilipokuwa nasoma seminari morogoro miaka 14 iliyopita nilikuwa nasikia sana mahubiri yake redio ukweli nadhani sijui bado ipo
@mecktildatushabe78984 жыл бұрын
Padre wa pekee jaman
@buturlion53843 жыл бұрын
Padre unakipawa unazungumza kiswahili kizuri.
@arsenimatemu59204 жыл бұрын
Father, kama unafanyia tafsiri Biblia (ya kikatoliki bila shaka) mbona hutuwekei mtandaoni, maana huko zipo za kiingereza tu na zile za kiprotestanti. Tafadhali sana tuwekee huko.
@milikakinunda13834 жыл бұрын
Saf
@shamimushittindi14184 жыл бұрын
Jamani fr.Amandus yuko wapi?ni capuchin
@nembristaiko18824 жыл бұрын
Uwii jamani Father anaanza kuzeeka Mungu ameibariki akili yake aisee
@albeleenalberto1584 жыл бұрын
Sio kwamba Kuna vitu ulivyofuata Tanzania ( Mimi Hawa watu ningumu Sana kuwaamini, Mungu tu ndo anajua
@MultiMbongo4 жыл бұрын
Mawazo mgando, huwaamini,kivipi,Simu unayotumia,internet ,nguo ulizovaa zinatoka kwa hao usiowaamini
@albeleenalberto1584 жыл бұрын
@@MultiMbongo siwalikutengenezea mtaala wa Elimu wenye kukudidimiza, ili usiweze kutengeneza hivyo vitu mwenyewe ,lengo waje wakuajiri na pia uwe mteja wa bidhaa zao. Fikiri kabla ya kuwasifia.
@kelvinswai75994 жыл бұрын
Waulize wanufaika wa alfagems school, watu wamesoma hapo bure na leo hii wanaendelea na maisha yao mazuri2
@florapeter69192 жыл бұрын
Huyu ni padri katoliki kuna mshirika yamapadri bwanaoishi naishi maisha ya chini ili kuwasaidia wengine eanaitwa wafranzisco, wanafanya kazi kwaajili ya kuwapa wagonjwa , wazee, wajane,yatima wasio na kitu wapatekitu mfano mbrahati kuna wazee wanatunza,nawatoto, msimbazi namikoani pia wapo.
@florapeter69192 жыл бұрын
Mimi mwenyewe ni myaifika naiyo shule kwa mwanangu ada 2011 ilikuwa 500,000=boding kula na kulala kwa mwaka ni sawa na bure naamemaliza chuo kikuu cha UDSM.kipato changu kidogo lakini m wanangu kasoma huyo ni Yesu.wasaidieni wasio nacho.
@gbi3804 жыл бұрын
Watu wa Mungu mnifundushe tafadhali, kuna uhusiano gani kati ya kutembea kwa miguu na kumtafuta Mungu? au jambo hili kwa mafundisho wa mitume wa Yesu limekaaje?
@lulumutayoba20634 жыл бұрын
Fr.Ricardo amechagua maisha haya kuishi maisha ya kifukara kwa sababu yeye anasema watu wengi ni fukara na anapenda kushiriki ufukara na wasio na uwezo. Hata kulala halalii kitanda. Anasema pia ni toba kwake.
@zegelibilishanga60472 жыл бұрын
Fr nitumie kitabu cha zamani cha maisha ya watakatifu
@calisterbosibori1514 жыл бұрын
Nkt....tumia viatu
@janecharlessy24354 жыл бұрын
Huyo mwamdemu katokea izazi jmbo la isimani kwa lukuvu ila yupo vizuri kwenye kumbukumbu
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Kwanza gharama mimi sipendi kuchezea pesa.
@seddamwaipungu65664 жыл бұрын
Mnyalukolooooo
@deogratiussaru24982 жыл бұрын
Mimi sipendi kuchezea pesa sigara ni garama nimekuelewa
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Eti mwakikoti jamaniiiii
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
84 nina miaka 3 kweli upo miaka mingi Tanzania
@gloriamichael36984 жыл бұрын
Sasa alitaka kuboom majengo ya serikali naomba msaada sijaelewa
@augustusmachumi93384 жыл бұрын
Mwandishi hajui aina za uraia huyu. By birth by registration etc