Huyu dada amenibariki kuliko kawaida.Nimejua mengi sana kuhusu maisha ya kiroho na namna ya kushinda falme za giza. Nakutia moyo dada usiache kutoa ushuhuda utafungua wengi sana.
@mariajili63193 жыл бұрын
Weslam okokeni njooni kwa yesu
@joshuanjiuka28703 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi, hapo nimekuelewa. Pia Mungu akubariki Mr Jactann Unaulizia maswali ambayo na watazamaji tunahtaji. Big up.
@omaebarongo18923 жыл бұрын
Truly tuitaji tumshikilie yesu Sana, maana mashetani hawalalali Mwenyezi Mungu atusaidie aki
@blessingmalaika40453 жыл бұрын
Yesu pekee ndio njia ya uzima!
@nasht86043 жыл бұрын
Uhhhh thank you sir atlist nimejibiwa swali lenye limekua likisumbua ufaham wangu GOD bless u💯🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@marianachriss24443 жыл бұрын
Waislam wanatakiwa wampokee YESU kristo ,maana ndio Alfa na omega,mwanzo na mwisho.
@mabulamasunga73783 жыл бұрын
Mioyo yao migumu na wanaogopa suluba akiokoka
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Yanagoma majn yao
@zeuscus5013 жыл бұрын
Kati ya yesu na Mungu nani wa kumpokea ?
@NemayaAbedi-lk9lo4 күн бұрын
Yesu ni Mungu so ukimupokeya Yesu apo hivo umesha mupokeya Mungu
@siahmboya10333 жыл бұрын
Barikiwa sana kupitia ushuuda wako nimejifunza vingi Sana ' nabarikiwa na shuuda hiki kipindi kidumu , kinatuinua na kutufundisha
@millicentayangokunting37283 жыл бұрын
May God bless u .ur testmony is touched
@omaebarongo18923 жыл бұрын
Kusema kweli sikuwa najua kuwa Muslims wanaabudu mapepo, nilikuwa nasikia tu but Leo nimeamini kweli Mwenyezi Mungu atuokoe, nimebarikiwa Sana Asante kwa ushuhuda wako umenisaidia sana na naamini utasaidia wengi, barikiwa Sana AMINA
@tamaraeliz71143 жыл бұрын
Doctor wa Roho Barikiweni Sana Watumishi Wa Mungu
@mariajili63193 жыл бұрын
Nime barikiwa kwa ushuhuda wako, mungu hakubariki
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Hakika naendelea kubarikiwa na huu ushuhuda unanifungua zaidi barikiwa sana Mtumishi
@glorytoGod6393 жыл бұрын
Hongera mtumishi wa Mungu Jactani,kazi yako Ni njema, ubarikiwe mno
@mimsbaibe6mimsgul7373 жыл бұрын
In God we trust barikiwa testimony is touching kwa yesu kuna raha I wish ur prayers can save some pple wenye ulipeleka kwa jina la Yesu.
@kithia1003 жыл бұрын
Dada Asante Sana kwaushunda , umeniinua kiroho🇰🇪🙋
@joylynenalija47953 жыл бұрын
Nmebarikiwa sn na huu ushuhuda,Mungu akubarik kaka Jaktan 🙏
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Amen
@nicholaskiragu27973 жыл бұрын
Asante sana.. hizi shuhunda zinaniimalusha Sana kiroho.. God bless you. Zile roho za watu waliokufa huishi wapi?.
@jessekusipa73253 жыл бұрын
Good bless you and your job, keep it up.
@jasndo33323 жыл бұрын
Tunajifunza mambo mengi thanks for your testimony God bless you Amen
@happytz61903 жыл бұрын
Ee Yesu uwe nami sikù zote
@leahkatto88203 жыл бұрын
Mungu azidi kutukomboa kupitia ushuhuda wa dada etu mzr tunakupenda
@maxjofrey703 жыл бұрын
Nabalikiwa sana kupitia hii chanel yani napata nguvu moyoni mwangu 🙏
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
Asante dada🙏🙏🙏
@pierremira3 жыл бұрын
Majini na wao ni ndugu
@millicentayangokunting37283 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@tabithakigongo78013 жыл бұрын
Yaan jinsi mlivomuandama huyu dada kwa mapambo na mavazi yake mpaka unabaki kushangaa..!! Jamani mambo ya Mungu ni ya ajabu sana ..lugha za MUNGU NI za kiroho na ni za ajabu sana.. ukisoma kiumakini na kiundani ndipo utaelewa na pia Mungu anaongea jamani so akimsihi na kumuambia aache ataacha kwa makusudi yake...!! Vitu vyoote ni mali ya Bwana. Maana halisi za maandiko ya kibibilia ni tofauti na mnazofikiri..
@frankmpoto53473 жыл бұрын
Mawigi risptic heren marangi ya makucha mikufu bangili, ni mali ya mapepo, wengi wanajiita wameokoka na bado wanavaa vitu hivyo ujue uko chini ya himaya yake bado kwakutokujua
@fredrickmichael23173 жыл бұрын
Ni kweli
@chazgunda58233 жыл бұрын
Nguo makochi mc mapanzia je ? Ni mali za nani? Acha mawazo finyu imani yako ndo itakuponya
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Sio wote waitao bwanabwana watafanyaje vile..............jaza hpo nimesahu mm
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Yes hayo mawigi na mavazi ya KIUME yaani suluzli hereni kewa mlokole havifai
@appleelia99652 жыл бұрын
Mungu humpa kila mtu neema ya wokovu hatua kwa hatua. Maana hata mtu ambaye leo hujipambi haimaanishi ulianza hivyo! Hii ni Neema ya Roho Mtakatifu. Na inategemea alivyookoka aliangukia mikonon mwa mchungaji mwenye iman ip juu ya hayo mapambo. Mm namhesabu hajapata mahali sahihi pa kuukulia wokovu wake
@josephmutemi74943 жыл бұрын
Nawafuatilia vizuri Jacktan nikiwa nairobi
@annewanjiku523 жыл бұрын
Ndio maana wengi kizazi hichi hakiwenzi hata kazi za myumbani somo lingine. Nani kweli mogojwa mengine sio ya kawaida asante kwa kutufunguwa macho dada. Jumbo lingine ni wakristo kuchukiana yesu akasema amri kubwa ni upendo may God have mercy upon us all in Jesus Name
@lilianachiengministries33863 жыл бұрын
Ushuda nzuri,nasikiza sana hata time ya comment haiko.hakika wewe Sio mwoga maana una yesu .
@rosemdemu42372 жыл бұрын
Mwmbie katalina ààche mapambo ili amuone Mungu mana akifa hivyo alivyo kuzinu kutamfulahia
@johnmelele14503 жыл бұрын
amen
@salmakiyabosiriyamachoziha87563 жыл бұрын
Duuu kazi unashangaa haya mambo mungu tusaidie
@josephinepetet1223 жыл бұрын
Ashukuliwe Mungu kwa kukutoa huko wapo wengine hawajaipata hiyo neema
@joesikaluzwe42183 жыл бұрын
Umeshinda wewe dada kwenye jina ra yesu christo usirudiye nyuma
@joesikaluzwe42183 жыл бұрын
Na taka kujuwa nyota yamtu waga inaonekanaje
@Mazoea3 жыл бұрын
@@joesikaluzwe4218 mambo ya nyota ni unajimu ni ushirikina.....
@joshuanjiuka28703 жыл бұрын
God bless you.
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Marufuku kujiita Dr wa roho iwe mwanzo na mwisho Dr wa roho Ni YESUKRISTO peke yake, Yani huna tofaut na wale wanoita makanisa Yao et kanisa la ukomboz manake Kuna ukomboz mwngne duniani? Me spend ujue .......me ntaendelea kuwachukia waislam km mungu anavomchukia shetani kwamaana mtu yy aliye kinyume na bwana wangu YESUKRISTO yuko kinyume namm namm niko kinyume nae, mwislam Hana huruma na hata km alishawah kukufanyia wema flani chunga Sana Hawa Ni watu waajabu Sana kumbe wanayakumbatia kabsa wanasema et majn Ni viumbe vya mungu jamn hata km lkn vikiwa chini ya laana hivo viumbe tuvipende hvohvo? Hapana tena mungu anisamehe kabsa katk Hilo siwez
@veronicanguga80163 жыл бұрын
Umecoment sehemu nyingi nimekuona ila nakuona unashida kubwa sana ya akili yako, haiposawa unahitaji ukombozi usijione upo sahii. Tafuta msaada haraka kabla hujaanza kuvua nguo
@tamariophant69193 жыл бұрын
Ubarikiwe
@Neymarjr20133 жыл бұрын
Mungu akubariki
@getrudeuronu81773 жыл бұрын
Mamb
@innomushi59943 жыл бұрын
Dada pia atujibie hili swali je.nikweli marehemu kanumba alichukuliwa kimiujiza nakwamba anatumika kuzimu?
@EngJosh3 жыл бұрын
Itakusaidia nn Ndugu
@neemakingdom48163 жыл бұрын
Naomba kuuliza ughaibuni na kuzimu inamaana ni tofauti?
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Utajibiwa, endelea kufatilia
@pericykiko61983 жыл бұрын
Hongera Mtumishi lkn toa hayo makope na ma weaving mahereni
@eunicehezron34813 жыл бұрын
AMINA
@wemamanikana97913 жыл бұрын
Kweli kabisa, akiacha kuvaa hayo manywele na mapambo atakuwa mlokole kweli kweli
@jasonandjesuschrist41723 жыл бұрын
JACKTAN MUSAFIRI ASANTI BARIKIWA NA BWANA YESU KRISTO ❣️ LAKINI Mwambie mchunganji atoe maheleni na manywele ya kubandika manake ni mali ya shetani 😥 akae vile YESU KRISTO ❣️ alivyo muumba Asanti ❣️ BWANA YESU KRISTO ❣️
@joycekaphevemba7215 Жыл бұрын
Mimi naomba kujua maana ya mahandaki , na ugaibuni hizo vitu maana yake ni Nini??
@josphatmuteti81673 жыл бұрын
Ugaibuni ni nini kwa Kingereza?
@kimsamespa84903 жыл бұрын
Hakuomba funguo bali alimnyanganya shetani
@doreenmartin31053 жыл бұрын
Bwana asifiwe nimefrahia ushuhuda huu ilanaomba pia aongeree frimasion watumishi wanao jiunga navitu wanavyotumia
@liliankelvin46623 жыл бұрын
Hila dada nakuomba wewe sasa ni mchungaji pili nikioo cha jamii usivae suruali usijichubue, usiweke kope usivae wigi, ni chukizo kwa mungu
@Star-qf7ls3 жыл бұрын
OMG 😲
@everinapeter1313 Жыл бұрын
Na manywele yake ya bandia
@gellykaizar41123 жыл бұрын
Muonekanao tu ni shida yan mchungaji anavaaje suruali jamn duuuh
@brigithadidas51283 жыл бұрын
Yani binadamu kati ya yooote aliyoongea ww umeona ilo tu la kukosoa
@hugowilfredlukoo49713 жыл бұрын
Suluali sio tatizo tatizo ni uelewa wa asili ya mavazi
@angelalaizer38953 жыл бұрын
@@brigithadidas5128 anamnyoshea kidole wakati huyu mbingu anatoboa.atashangaa.
Please na promover naomba namba ya Mchungaji Fedreck jumanne@@PromovertvTz
@henryosoro76963 жыл бұрын
Hiyo sehemu inaitwa Gamboshi nimeisikia sana.. Inastahili makanisa ya jengwe uko mingi.
@akilimussa45713 жыл бұрын
Henry, ngoja tukutume ukawe mchungaji huko
@salomenachunga35903 жыл бұрын
Hhhh, sio kila sehemu ya kupeleka ufalme read your bible throgh the power of the holy spirit utaelewa kwa nn gambosh
@modestesahingereje340811 ай бұрын
mwambiye nabandohaja acawucawe????
@lukapastory3 жыл бұрын
VIP mawigi, rangi kwa kucha ni halali?
@rachelmlingwa88803 жыл бұрын
Kupitia udhuhuda wa huyu dada nimeamini kweli Kanumba anatumika kuzimu kwa mimi. Nilishamuona kny ulimwengu wa roho
@millicentayangokunting37283 жыл бұрын
Lini ???anafanya nini?
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Ulimwona akasemaje
@furahabahati84323 жыл бұрын
🤔🤔🙏🙏🙏🙏
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
Colona nsuo imetoka kuzimu😌😌😌😌
@SaudaMsangi-w1m5 ай бұрын
Acha uongo mbwa wewe hapo tu umevaa shetani kichwani hakuna cha mtumishi wa Mungu kafie mbele vya hilo wigi jisitiri natena ikome kutaja misikiti taja makafiri wenzako wanao ruhusu ndoa za jinsia moja
@queendanford45463 жыл бұрын
Mh
@mariajili63193 жыл бұрын
Kaokoka mbona kaweka wig kichwani sijaelewa? ao kwa mtu alieokoka kuweka kwele bandia kichwani ni sawa?
@neemalambo97903 жыл бұрын
Sio sawa
@kingdavid19243 жыл бұрын
Sio sawa kabisa na ni dhambi kabisa. Mungu ni mwaminifu atamfundisha na roho mtakatifu yupo atamsaidia na naamini ataacha ingawa hili kwa wakristo wengi ni shida ila wengine walishapona na wameshaelewa.
@brigithadidas51283 жыл бұрын
Ambao hatujui tusaidie kibiblia ni dhambi kivipi
@neemanzengele71693 жыл бұрын
Mpaka Roho Mtakatifu azungumze naye Yesu atambadilisha polepole naamini hivyo kwa jina la Yesu.
@tunusanga47013 жыл бұрын
Bado yupo kwenye transformation...atabadilika siku hadi siku