Part 4_SINTOSAHAU KUZIMU-USHUHUDA WA KWELI WA KATRINA ALIYEKUWA JINI MTU MLA WATU

  Рет қаралды 23,514

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Күн бұрын

Пікірлер: 102
@favouredbygod4163
@favouredbygod4163 3 жыл бұрын
Huyu dada amenibariki kuliko kawaida.Nimejua mengi sana kuhusu maisha ya kiroho na namna ya kushinda falme za giza. Nakutia moyo dada usiache kutoa ushuhuda utafungua wengi sana.
@mariajili6319
@mariajili6319 3 жыл бұрын
Weslam okokeni njooni kwa yesu
@joshuanjiuka2870
@joshuanjiuka2870 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi, hapo nimekuelewa. Pia Mungu akubariki Mr Jactann Unaulizia maswali ambayo na watazamaji tunahtaji. Big up.
@omaebarongo1892
@omaebarongo1892 3 жыл бұрын
Truly tuitaji tumshikilie yesu Sana, maana mashetani hawalalali Mwenyezi Mungu atusaidie aki
@blessingmalaika4045
@blessingmalaika4045 3 жыл бұрын
Yesu pekee ndio njia ya uzima!
@nasht8604
@nasht8604 3 жыл бұрын
Uhhhh thank you sir atlist nimejibiwa swali lenye limekua likisumbua ufaham wangu GOD bless u💯🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@marianachriss2444
@marianachriss2444 3 жыл бұрын
Waislam wanatakiwa wampokee YESU kristo ,maana ndio Alfa na omega,mwanzo na mwisho.
@mabulamasunga7378
@mabulamasunga7378 3 жыл бұрын
Mioyo yao migumu na wanaogopa suluba akiokoka
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Yanagoma majn yao
@zeuscus501
@zeuscus501 3 жыл бұрын
Kati ya yesu na Mungu nani wa kumpokea ?
@NemayaAbedi-lk9lo
@NemayaAbedi-lk9lo 4 күн бұрын
Yesu ni Mungu so ukimupokeya Yesu apo hivo umesha mupokeya Mungu
@siahmboya1033
@siahmboya1033 3 жыл бұрын
Barikiwa sana kupitia ushuuda wako nimejifunza vingi Sana ' nabarikiwa na shuuda hiki kipindi kidumu , kinatuinua na kutufundisha
@millicentayangokunting3728
@millicentayangokunting3728 3 жыл бұрын
May God bless u .ur testmony is touched
@omaebarongo1892
@omaebarongo1892 3 жыл бұрын
Kusema kweli sikuwa najua kuwa Muslims wanaabudu mapepo, nilikuwa nasikia tu but Leo nimeamini kweli Mwenyezi Mungu atuokoe, nimebarikiwa Sana Asante kwa ushuhuda wako umenisaidia sana na naamini utasaidia wengi, barikiwa Sana AMINA
@tamaraeliz7114
@tamaraeliz7114 3 жыл бұрын
Doctor wa Roho Barikiweni Sana Watumishi Wa Mungu
@mariajili6319
@mariajili6319 3 жыл бұрын
Nime barikiwa kwa ushuhuda wako, mungu hakubariki
@hebronsdaughter1661
@hebronsdaughter1661 3 жыл бұрын
Hakika naendelea kubarikiwa na huu ushuhuda unanifungua zaidi barikiwa sana Mtumishi
@glorytoGod639
@glorytoGod639 3 жыл бұрын
Hongera mtumishi wa Mungu Jactani,kazi yako Ni njema, ubarikiwe mno
@mimsbaibe6mimsgul737
@mimsbaibe6mimsgul737 3 жыл бұрын
In God we trust barikiwa testimony is touching kwa yesu kuna raha I wish ur prayers can save some pple wenye ulipeleka kwa jina la Yesu.
@kithia100
@kithia100 3 жыл бұрын
Dada Asante Sana kwaushunda , umeniinua kiroho🇰🇪🙋
@joylynenalija4795
@joylynenalija4795 3 жыл бұрын
Nmebarikiwa sn na huu ushuhuda,Mungu akubarik kaka Jaktan 🙏
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Amen
@nicholaskiragu2797
@nicholaskiragu2797 3 жыл бұрын
Asante sana.. hizi shuhunda zinaniimalusha Sana kiroho.. God bless you. Zile roho za watu waliokufa huishi wapi?.
@jessekusipa7325
@jessekusipa7325 3 жыл бұрын
Good bless you and your job, keep it up.
@jasndo3332
@jasndo3332 3 жыл бұрын
Tunajifunza mambo mengi thanks for your testimony God bless you Amen
@happytz6190
@happytz6190 3 жыл бұрын
Ee Yesu uwe nami sikù zote
@leahkatto8820
@leahkatto8820 3 жыл бұрын
Mungu azidi kutukomboa kupitia ushuhuda wa dada etu mzr tunakupenda
@maxjofrey70
@maxjofrey70 3 жыл бұрын
Nabalikiwa sana kupitia hii chanel yani napata nguvu moyoni mwangu 🙏
@macamezunguzungu5697
@macamezunguzungu5697 3 жыл бұрын
Asante dada🙏🙏🙏
@pierremira
@pierremira 3 жыл бұрын
Majini na wao ni ndugu
@millicentayangokunting3728
@millicentayangokunting3728 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@tabithakigongo7801
@tabithakigongo7801 3 жыл бұрын
Yaan jinsi mlivomuandama huyu dada kwa mapambo na mavazi yake mpaka unabaki kushangaa..!! Jamani mambo ya Mungu ni ya ajabu sana ..lugha za MUNGU NI za kiroho na ni za ajabu sana.. ukisoma kiumakini na kiundani ndipo utaelewa na pia Mungu anaongea jamani so akimsihi na kumuambia aache ataacha kwa makusudi yake...!! Vitu vyoote ni mali ya Bwana. Maana halisi za maandiko ya kibibilia ni tofauti na mnazofikiri..
@frankmpoto5347
@frankmpoto5347 3 жыл бұрын
Mawigi risptic heren marangi ya makucha mikufu bangili, ni mali ya mapepo, wengi wanajiita wameokoka na bado wanavaa vitu hivyo ujue uko chini ya himaya yake bado kwakutokujua
@fredrickmichael2317
@fredrickmichael2317 3 жыл бұрын
Ni kweli
@chazgunda5823
@chazgunda5823 3 жыл бұрын
Nguo makochi mc mapanzia je ? Ni mali za nani? Acha mawazo finyu imani yako ndo itakuponya
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Sio wote waitao bwanabwana watafanyaje vile..............jaza hpo nimesahu mm
@geitandelwa299
@geitandelwa299 2 жыл бұрын
Yes hayo mawigi na mavazi ya KIUME yaani suluzli hereni kewa mlokole havifai
@appleelia9965
@appleelia9965 2 жыл бұрын
Mungu humpa kila mtu neema ya wokovu hatua kwa hatua. Maana hata mtu ambaye leo hujipambi haimaanishi ulianza hivyo! Hii ni Neema ya Roho Mtakatifu. Na inategemea alivyookoka aliangukia mikonon mwa mchungaji mwenye iman ip juu ya hayo mapambo. Mm namhesabu hajapata mahali sahihi pa kuukulia wokovu wake
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 3 жыл бұрын
Nawafuatilia vizuri Jacktan nikiwa nairobi
@annewanjiku52
@annewanjiku52 3 жыл бұрын
Ndio maana wengi kizazi hichi hakiwenzi hata kazi za myumbani somo lingine. Nani kweli mogojwa mengine sio ya kawaida asante kwa kutufunguwa macho dada. Jumbo lingine ni wakristo kuchukiana yesu akasema amri kubwa ni upendo may God have mercy upon us all in Jesus Name
@lilianachiengministries3386
@lilianachiengministries3386 3 жыл бұрын
Ushuda nzuri,nasikiza sana hata time ya comment haiko.hakika wewe Sio mwoga maana una yesu .
@rosemdemu4237
@rosemdemu4237 2 жыл бұрын
Mwmbie katalina ààche mapambo ili amuone Mungu mana akifa hivyo alivyo kuzinu kutamfulahia
@johnmelele1450
@johnmelele1450 3 жыл бұрын
amen
@salmakiyabosiriyamachoziha8756
@salmakiyabosiriyamachoziha8756 3 жыл бұрын
Duuu kazi unashangaa haya mambo mungu tusaidie
@josephinepetet122
@josephinepetet122 3 жыл бұрын
Ashukuliwe Mungu kwa kukutoa huko wapo wengine hawajaipata hiyo neema
@joesikaluzwe4218
@joesikaluzwe4218 3 жыл бұрын
Umeshinda wewe dada kwenye jina ra yesu christo usirudiye nyuma
@joesikaluzwe4218
@joesikaluzwe4218 3 жыл бұрын
Na taka kujuwa nyota yamtu waga inaonekanaje
@Mazoea
@Mazoea 3 жыл бұрын
@@joesikaluzwe4218 mambo ya nyota ni unajimu ni ushirikina.....
@joshuanjiuka2870
@joshuanjiuka2870 3 жыл бұрын
God bless you.
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Marufuku kujiita Dr wa roho iwe mwanzo na mwisho Dr wa roho Ni YESUKRISTO peke yake, Yani huna tofaut na wale wanoita makanisa Yao et kanisa la ukomboz manake Kuna ukomboz mwngne duniani? Me spend ujue .......me ntaendelea kuwachukia waislam km mungu anavomchukia shetani kwamaana mtu yy aliye kinyume na bwana wangu YESUKRISTO yuko kinyume namm namm niko kinyume nae, mwislam Hana huruma na hata km alishawah kukufanyia wema flani chunga Sana Hawa Ni watu waajabu Sana kumbe wanayakumbatia kabsa wanasema et majn Ni viumbe vya mungu jamn hata km lkn vikiwa chini ya laana hivo viumbe tuvipende hvohvo? Hapana tena mungu anisamehe kabsa katk Hilo siwez
@veronicanguga8016
@veronicanguga8016 3 жыл бұрын
Umecoment sehemu nyingi nimekuona ila nakuona unashida kubwa sana ya akili yako, haiposawa unahitaji ukombozi usijione upo sahii. Tafuta msaada haraka kabla hujaanza kuvua nguo
@tamariophant6919
@tamariophant6919 3 жыл бұрын
Ubarikiwe
@Neymarjr2013
@Neymarjr2013 3 жыл бұрын
Mungu akubariki
@getrudeuronu8177
@getrudeuronu8177 3 жыл бұрын
Mamb
@innomushi5994
@innomushi5994 3 жыл бұрын
Dada pia atujibie hili swali je.nikweli marehemu kanumba alichukuliwa kimiujiza nakwamba anatumika kuzimu?
@EngJosh
@EngJosh 3 жыл бұрын
Itakusaidia nn Ndugu
@neemakingdom4816
@neemakingdom4816 3 жыл бұрын
Naomba kuuliza ughaibuni na kuzimu inamaana ni tofauti?
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Utajibiwa, endelea kufatilia
@pericykiko6198
@pericykiko6198 3 жыл бұрын
Hongera Mtumishi lkn toa hayo makope na ma weaving mahereni
@eunicehezron3481
@eunicehezron3481 3 жыл бұрын
AMINA
@wemamanikana9791
@wemamanikana9791 3 жыл бұрын
Kweli kabisa, akiacha kuvaa hayo manywele na mapambo atakuwa mlokole kweli kweli
@jasonandjesuschrist4172
@jasonandjesuschrist4172 3 жыл бұрын
JACKTAN MUSAFIRI ASANTI BARIKIWA NA BWANA YESU KRISTO ❣️ LAKINI Mwambie mchunganji atoe maheleni na manywele ya kubandika manake ni mali ya shetani 😥 akae vile YESU KRISTO ❣️ alivyo muumba Asanti ❣️ BWANA YESU KRISTO ❣️
@joycekaphevemba7215
@joycekaphevemba7215 Жыл бұрын
Mimi naomba kujua maana ya mahandaki , na ugaibuni hizo vitu maana yake ni Nini??
@josphatmuteti8167
@josphatmuteti8167 3 жыл бұрын
Ugaibuni ni nini kwa Kingereza?
@kimsamespa8490
@kimsamespa8490 3 жыл бұрын
Hakuomba funguo bali alimnyanganya shetani
@doreenmartin3105
@doreenmartin3105 3 жыл бұрын
Bwana asifiwe nimefrahia ushuhuda huu ilanaomba pia aongeree frimasion watumishi wanao jiunga navitu wanavyotumia
@liliankelvin4662
@liliankelvin4662 3 жыл бұрын
Hila dada nakuomba wewe sasa ni mchungaji pili nikioo cha jamii usivae suruali usijichubue, usiweke kope usivae wigi, ni chukizo kwa mungu
@Star-qf7ls
@Star-qf7ls 3 жыл бұрын
OMG 😲
@everinapeter1313
@everinapeter1313 Жыл бұрын
Na manywele yake ya bandia
@gellykaizar4112
@gellykaizar4112 3 жыл бұрын
Muonekanao tu ni shida yan mchungaji anavaaje suruali jamn duuuh
@brigithadidas5128
@brigithadidas5128 3 жыл бұрын
Yani binadamu kati ya yooote aliyoongea ww umeona ilo tu la kukosoa
@hugowilfredlukoo4971
@hugowilfredlukoo4971 3 жыл бұрын
Suluali sio tatizo tatizo ni uelewa wa asili ya mavazi
@angelalaizer3895
@angelalaizer3895 3 жыл бұрын
@@brigithadidas5128 anamnyoshea kidole wakati huyu mbingu anatoboa.atashangaa.
@modestesahingereje3408
@modestesahingereje3408 11 ай бұрын
haukuwa ndaniyarkisto kwasababu unafundisha watukuvamawi gihatutaki kuonatena mutuanae rezeya ushuhuda namawigi??????? anaperekawatu kuzimutena
@mimsbaibe6mimsgul737
@mimsbaibe6mimsgul737 3 жыл бұрын
Vipi dada kunauwezekano ukatoa baadhi ya watu ulipeleka ama walikufa😣
@samwelluhuta7208
@samwelluhuta7208 3 жыл бұрын
Kumbe jackitan kumbe ukinyoa unywele unapendeza!!!
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
😆☑️
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
@@PromovertvTz kabsa ulibadilika skukujua yan
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 6 ай бұрын
Please na promover naomba namba ya Mchungaji Fedreck jumanne​@@PromovertvTz
@henryosoro7696
@henryosoro7696 3 жыл бұрын
Hiyo sehemu inaitwa Gamboshi nimeisikia sana.. Inastahili makanisa ya jengwe uko mingi.
@akilimussa4571
@akilimussa4571 3 жыл бұрын
Henry, ngoja tukutume ukawe mchungaji huko
@salomenachunga3590
@salomenachunga3590 3 жыл бұрын
Hhhh, sio kila sehemu ya kupeleka ufalme read your bible throgh the power of the holy spirit utaelewa kwa nn gambosh
@modestesahingereje3408
@modestesahingereje3408 11 ай бұрын
mwambiye nabandohaja acawucawe????
@lukapastory
@lukapastory 3 жыл бұрын
VIP mawigi, rangi kwa kucha ni halali?
@rachelmlingwa8880
@rachelmlingwa8880 3 жыл бұрын
Kupitia udhuhuda wa huyu dada nimeamini kweli Kanumba anatumika kuzimu kwa mimi. Nilishamuona kny ulimwengu wa roho
@millicentayangokunting3728
@millicentayangokunting3728 3 жыл бұрын
Lini ???anafanya nini?
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Ulimwona akasemaje
@furahabahati8432
@furahabahati8432 3 жыл бұрын
🤔🤔🙏🙏🙏🙏
@macamezunguzungu5697
@macamezunguzungu5697 3 жыл бұрын
Colona nsuo imetoka kuzimu😌😌😌😌
@SaudaMsangi-w1m
@SaudaMsangi-w1m 5 ай бұрын
Acha uongo mbwa wewe hapo tu umevaa shetani kichwani hakuna cha mtumishi wa Mungu kafie mbele vya hilo wigi jisitiri natena ikome kutaja misikiti taja makafiri wenzako wanao ruhusu ndoa za jinsia moja
@queendanford4546
@queendanford4546 3 жыл бұрын
Mh
@mariajili6319
@mariajili6319 3 жыл бұрын
Kaokoka mbona kaweka wig kichwani sijaelewa? ao kwa mtu alieokoka kuweka kwele bandia kichwani ni sawa?
@neemalambo9790
@neemalambo9790 3 жыл бұрын
Sio sawa
@kingdavid1924
@kingdavid1924 3 жыл бұрын
Sio sawa kabisa na ni dhambi kabisa. Mungu ni mwaminifu atamfundisha na roho mtakatifu yupo atamsaidia na naamini ataacha ingawa hili kwa wakristo wengi ni shida ila wengine walishapona na wameshaelewa.
@brigithadidas5128
@brigithadidas5128 3 жыл бұрын
Ambao hatujui tusaidie kibiblia ni dhambi kivipi
@neemanzengele7169
@neemanzengele7169 3 жыл бұрын
Mpaka Roho Mtakatifu azungumze naye Yesu atambadilisha polepole naamini hivyo kwa jina la Yesu.
@tunusanga4701
@tunusanga4701 3 жыл бұрын
Bado yupo kwenye transformation...atabadilika siku hadi siku
How to whistle ?? 😱😱
00:31
Tibo InShape
Рет қаралды 19 МЛН
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 85 МЛН
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 9 МЛН
When mom gets home, but you're in rollerblades.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 54 МЛН
TANZIA:Ask.KATEKELLA AFARIKI DUNIA
9:55
PROMOVER TV
Рет қаралды 13 М.
How to whistle ?? 😱😱
00:31
Tibo InShape
Рет қаралды 19 МЛН