Huyu jamaa ana trauma na ptsd, aliona after kum treat vmoney kishkaji jinsi vanessa moved on less thn 6 months akawa na rotimi and in 2 years after their breakup akazaa nae…. so kwa karen sio kwamba labda alimpenda sanaaaaaaa ila aliona mfano kwa vmapesa akaogopa mara hii pia itakua hivyo ndo kisa cha kujirekebisha na kujishusha kiasi hicho staki kuamini kwamba alimpenda karen kiasi hicho after 2 years nae while vanessa alikua nae miaka sita na kuna vitu vingi walipitia and love grows w time.. he just didn’t want to repeat the same mistakes, he was redeeming himself to a different woman
@Jowelia3 ай бұрын
Jux bado ana true love maskini May Allah grant him the best wife he deserves🙏🏼❤️
@salomewandya72573 ай бұрын
Wewe dada Mtangazaji unajua sana❤❤❤
@hanifamziray2773 ай бұрын
Mungu atakupa mke mwema piga dua
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Hali aliyopitia jux namuelewa sana hata mimi nilipitiaga iyo situeshen kumuomba mtu msamaha hadi nilichanganyikiwa kimapenzi bila kusamehewa mpaka leo..kiukwer mapenzi nikitu kibaya sana yani nimewahi kufanya nakukiri kitu ambacho sijawahi kufanya katika maisha yng hata mala moja
@salamafair11693 ай бұрын
Pole sana habibty
@hamiszali14343 ай бұрын
Ww fala sana ,,
@Mina.153 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂nakupa pole kama inauma naku pole 😂😂😂
@Mohaa43093 ай бұрын
Ila Karen mzuri kwakweli Maa Shaa Allah,, lazma bro aumie kweli 😢❤
@Mina.153 ай бұрын
@@hamiszali1434😂😂
@MzeeKigogo_3 ай бұрын
Frida yupo vizuri kwenye maswali ❤
@katumabiyan50903 ай бұрын
Careen kazaliwa 1994 , so she is almost 30 years
@Zenny893 ай бұрын
Baba Jux alitwisha Mabomuu!!! Yaani msichana wa kibongo unampa hiyo power halafu mambo yawesalama ni kitu hakiwezekani
@MoviesAde3 ай бұрын
Jux bado anampenda Karen🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@Dje-ru9wd3 ай бұрын
jux nimwanaume ambae anasitahili kuwa na mtu mtulivu mwenye akili na kiongozi wa familiy sijui anaitwaje mwanamke mwenye wanaume zaidi ya wawili sijui tunamuitaje??
@Dje-ru9wd3 ай бұрын
pretty sure hampendi wanaume tunajijua tyu
@sumaiyabakary26923 ай бұрын
Jux ni mwanaume mzuri sana na hafai kudate wanawake wa tz hatuko hvyo kama yy anavyowekeza we are selfsh na kama tukimpenda mtu sana ujue ana zaid which money sasa yy jux hajui anamapnz ya kzungu Pole sana sana Jux ila ucrudie tena kudate na caren hakufai anakujua sn na anaweza tumia vby madhaifu yako lakin you re best boyfrnd ever Pole sana
@bintimkitosi61873 ай бұрын
Jux ndiye msanii wa kwanza kujibu swali la mziki wa Nigeria sahihi. Kabla ya 2000 for every five blacks in the world one was Nigerian. Baada ya hapo ndio wengine tumeongezeka sasa ni for every eight bkacks one is Nigerian. Halafu baada ya biafra war walianza kutoka Nigeria na wako kwa all the commercial capitals.
@kudadeki000073 ай бұрын
Safi sana frida unambana mtu hadi aseme kitu anachozuia tusisikie
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Nikwer
@mtutulaclassic62073 ай бұрын
kwanza wametulia mpaka anaehojiwa anajihisi yuko huru kufunguka
@fakihichitanda28643 ай бұрын
Big up kwa frida kwa kumbana
@HawaSaid-ru4zq3 ай бұрын
Pole juma 😊
@ElifitiaLyimo3 ай бұрын
Kwasasa mshirikishe mungu akupe mwanamke sahihi wa maisha yako ❤usiumie kwa maneno yawatu 😮
@righitkileo3 ай бұрын
Jamn kama uukitaka kuenjoy maisha achana na hao mastar hawanaqa mapenzi ya kweli.tafuta mlalahoi mwenzako enjoy
@rebbywealth98693 ай бұрын
Anaehojiwa na wanaoohoji wote mmetisha... noma sana
@gloryprotas10433 ай бұрын
Jux njoo kwangu ninambegu za mapacha utafurahi😂❤
@bintimkitosi61873 ай бұрын
Mtu ako.palepale. anatumia WiFi ya kazi halagi ana skip ads kwa video. Nkt. Jux alijaribu sana lakini caren alijua hayuko tayari kuwa mke wa mtu tena kubadili dini.
@jumalihumbo53143 ай бұрын
ii situation naijua vzr sn ila nlichojifunza mwanaume hauitajik kumpa uhuru au siri zko zote mwanamke lazma ataku disappoint ata kama unampenda vipi usiruhusu kumpa simu yako kila anapotaka atakuchukulia poa hasa hawa wanaojiona wazuri kwa shape zao🙌
@lucymtuka63933 ай бұрын
Nime enjoy Sana ila Frida I love you
@user-pu6pr5jt4n3 ай бұрын
Caren ka cuteeeeeee afu bado teenager . Umri huo acha kbsaaa. Jux ww unaichungulia 40 unatakiwa upate mdada aloshiba relationship 😂.mapensi mapens
@EmmanuelPaulo-zf1xk3 ай бұрын
Jux Kama kasepa pw tuu mama Shazii awaridhikii hao uwa njoo R mama shazii
@monicacyprian91373 ай бұрын
Nyota yake mashuke na tabia ya mashuke si rahisi kumpenda mtu huwaga ni wazito ila wakikuamini na wakiona vile wanavyovitaka kwako huwa wanaangukaa kama trenii na inawachukua mda sana kupona na wakishakutoa moyoni huwa hawarudi nyuma 🚶🚶 anyway we are so honest
@user-pu6pr5jt4n3 ай бұрын
Jux still is loving caren😂😂😂pole❤❤❤❤Ila caren ataumizwa nae
@sendisteve79813 ай бұрын
Jux ulikosea.Mwanamke mgombane leo kesho umkute na mwanaume mwingine halafu uendelee kumwomba msamaha kwa miezi minane😮..Hapo ulijizima tu data Jux.La kuvunda hhalina ubani..
@msakadoobongeladada-uh3sk3 ай бұрын
mapenzi shikamoo 🙌🙌 yalonikuta sisemi niliomba msamaha mwaka kwa mtu alonikosea na nisisamehewe ila nilivyomaliza kupona depression saiv naenjoy alaf jamaa hoiiiii saiv anaomba msamaha kila saa
@Mshuta3 ай бұрын
Mapenzi shikamoo
@ireneimbuhira77593 ай бұрын
😂😂😂😂
@Mina.153 ай бұрын
Marhaba 😂
@daudichoghoghwe50353 ай бұрын
Jux unajua kujieleza nakujibu nenosijui limekaapoa sana
@einsteinmboje47303 ай бұрын
Jux Alichokosea Ni Kukubali Kuishi Kwa sheria Na Masharti Kutoka Kwa Mwanamke , Naturally Mwanamke Anatkiwa Kuwa Obidient Sio Mtunga Sheria , Na Ukiona sheria Nyingi Kutoka Kwa Mwanamke Wako Ujue Hakupendi kiivyo (anakuchukulia Poa Tu) For Granted , Jux alifumbwa Na Mapenz , Mapenz Yalimzidi, aliruhusu Mdada Awe Contoller
@jumalihumbo53143 ай бұрын
It’s True
@user-pu6pr5jt4n3 ай бұрын
Dada uko na questions good walah😂😂😂😂😂sometimes age is a problem in love. Don't say age is like a number... Think twice
@samirbenito3 ай бұрын
Jux is the problem, he lost his frame and little did he knew that, genuine desire cannot be negotiated. The price of a simp is dust.
@sabinibra35133 ай бұрын
3
@Its_Goodluck3 ай бұрын
Tanzanian music ni worldwide now ila wasanii wapendane na wasaidiane kufika mbele
@richkaja33172 ай бұрын
Jux umepoa sanaa
@leaherasto9293 ай бұрын
Jux bado anampenda Karen ile pisi kali sana
@calvinmushi62403 ай бұрын
Don't forget to subscribe.
@catherinefrance36423 ай бұрын
Ni vile tu hizi ni stori tu, men haleluya mnajuua kuigiza muv nying ila majuto ndio mapenz yenu hushtuliwa afu , ukipimia maoenzi kijiko lazima ukome kuyajua😂
@Mohaa43093 ай бұрын
Dimpoz bana😢
@ChenchiKing3 ай бұрын
Frida Kwa Hili Umehuwa Kichizi Yaniii🔥✌️🔥
@Siasa-k7v3 ай бұрын
Eeenh,lkn Jux banae? Yaani kudate kote haujai jua tu wanawake wakishachoka bloody Hata hiyo reason,alikupatia mzee baba... Shida unapenda sanaa,madem hupenda watu hawaeleweki kaka. Ww alikua anakuona kaa bwege flani tu vile.. Utakuja jinyonga ww kabogoro 😂😂😂
@godfreymushi69663 ай бұрын
Wasanii wa bongo ?
@bryanzeconfesor54763 ай бұрын
Jux wengi hawawezi kukuelewa lkn sisi wanyawezi wakali wa hizi kazi tunakuelewa hata Nengatronix lazima akuelewe
@Mohaa43093 ай бұрын
Omy huyo bana wamtetea bure
@seiphomary8343 ай бұрын
Ww ukiachana na mtu umpendae ujue umemuacha huru na yoyote yupo huru kumuoa au kuwa naye kimahusiano # hapo kitu cha kujifunza n faida ya ndoa kwenye jamii # 1. Ina kuweka huru na uhasama na watu kwa njia ya shetan # Muhimu jiulize je mtu ameingia kwenye mahusiano yako wakat gan awe rafk au nan katika kuharibu mahusiano yenu wakat wa ndoa au nje ya ndoa . Penda kutengeneza stress zenye uhusiano na allah jitahd kukimbia stress zenye husiano na shetan #
@zainabkazige73883 ай бұрын
Kweli kabisa 🫡
@user-pu6pr5jt4n3 ай бұрын
C uoe jux?
@user-cd1sk5yv2f3 ай бұрын
Frida i seee you😂
@ramseychobaliko10023 ай бұрын
I have never do that in my life 😅😅😅 na alisoma chuo china ..... I HAVE NEVER DONE THAT sio DO😅😅😅😅
@annytahadrehem38193 ай бұрын
Ukijua wewe inatosha bhana😂😂😂😂
@rebbywealth98693 ай бұрын
Mbwa kama nyie mnafanyaga nini mtandaoni.... Interview nzima umeona hicho tu? Ukijua wewe na kizazi chako inatosha
@rosejulius77563 ай бұрын
Kwani China wanafundisha kingereza??
@bintimkitosi61873 ай бұрын
China alijifunza kichina
@user-io3wz1ky5v3 ай бұрын
China na kiingereza wapi na wapi
@user-yb1mv2nx6m3 ай бұрын
Jux usikate tamaa wanawake wenye upendo bada wapo utapata tu mtu sahihi
@user-lq1yg9mk1i3 ай бұрын
wasanii wakubwa sana bongo lakini bado mnasikitisha sana katika upande wa matumizi ya lugha ya kingereza ambayo mnaipenda kuitumia sana na nukuu "i have never do that"hivi huyu jamaa aijua kweli lugha ya watu au anaipenda kuitumia tu.jiongezeni INTERNATIONAL ARTIST SIO KWA NJIA YA KUPELEKANA PELEKANA KIBONGO BONGO
@katumabiyan50903 ай бұрын
Sikutegemea kuwa huyu dogo ni mwepesi kiasi hiki kwenye mapenzi kama nyoya.
@augustfive52793 ай бұрын
Kifupi uyu jux aliekewa masheria mengi magumu ili ashindwe mahusiano yaishe
@jumaorido25323 ай бұрын
Ondoa mazoea ya dem wako na watu wa industry tunza heshima yake nilijua hamtakaa sana kwa yale mazoea ya wasani na kumtumia kwenye ma promotion wasanii wanashinda nyumbani kwako . Mfiche Kama Kizz daniel
@lilianestephanie78813 ай бұрын
Juma kwa kujieleza.. Yan kelele kama zote
@RamazaniMulongeca3 ай бұрын
Jux?? That so cheap bro.. unasubiri demu toke kwenye mausiano ili uhingie??😂😂😂😂
@juliusnyerere53933 ай бұрын
Kwani lazima ulazimishe mapenzi babu. Kwani wanawake ni huyu tu wewe Mtoto wa kiume unatakiwa ujiamini sio kudandia dandiaa tu. Kuwa mtu wa kujiamini as a Man Sasa kugombania mwanamke unajidhalilisha bwana. Wacha huo utoto.
@thierrybisimwa33123 ай бұрын
Tatizo unarudisha ball kwa kipa, weka ndani usafishe nyota dingi.
@ALNAVSINKINDOLE-tr9qs3 ай бұрын
Jux wape mimba mademu wew mchizi.
@mohamedswaleh67783 ай бұрын
Mpe dadako apewe mimba
@mohamedswaleh67783 ай бұрын
Hao ni dada w wenzako
@ConstanceKarisa-yq7qc3 ай бұрын
Mjinga ndio anapeana mbegu kila mahali
@shubebunyesi5423 ай бұрын
@@ConstanceKarisa-yq7qc😂😂Simba , kiba, wajinga
@silverman69303 ай бұрын
Take them shades off man … where are the sun rays 😂