No video

PART II: KUHUSU KUACHANA NA KAREN "I DON'T TRUST ANYBODY, YA OMMY DIMPOZ NA KAREN NIMEYASIKIA" -JUX

  Рет қаралды 59,711

Millard Ayo

Millard Ayo

3 ай бұрын

Пікірлер: 107
@Babygirl758
@Babygirl758 3 ай бұрын
Huyu jamaa ana trauma na ptsd, aliona after kum treat vmoney kishkaji jinsi vanessa moved on less thn 6 months akawa na rotimi and in 2 years after their breakup akazaa nae…. so kwa karen sio kwamba labda alimpenda sanaaaaaaa ila aliona mfano kwa vmapesa akaogopa mara hii pia itakua hivyo ndo kisa cha kujirekebisha na kujishusha kiasi hicho staki kuamini kwamba alimpenda karen kiasi hicho after 2 years nae while vanessa alikua nae miaka sita na kuna vitu vingi walipitia and love grows w time.. he just didn’t want to repeat the same mistakes, he was redeeming himself to a different woman
@Jowelia
@Jowelia 3 ай бұрын
Jux bado ana true love maskini May Allah grant him the best wife he deserves🙏🏼❤️
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 ай бұрын
Wewe dada Mtangazaji unajua sana❤❤❤
@hanifamziray277
@hanifamziray277 3 ай бұрын
Mungu atakupa mke mwema piga dua
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 ай бұрын
Hali aliyopitia jux namuelewa sana hata mimi nilipitiaga iyo situeshen kumuomba mtu msamaha hadi nilichanganyikiwa kimapenzi bila kusamehewa mpaka leo..kiukwer mapenzi nikitu kibaya sana yani nimewahi kufanya nakukiri kitu ambacho sijawahi kufanya katika maisha yng hata mala moja
@salamafair1169
@salamafair1169 3 ай бұрын
Pole sana habibty
@hamiszali1434
@hamiszali1434 3 ай бұрын
Ww fala sana ,,
@Mina.15
@Mina.15 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂nakupa pole kama inauma naku pole 😂😂😂
@Mohaa4309
@Mohaa4309 3 ай бұрын
Ila Karen mzuri kwakweli Maa Shaa Allah,, lazma bro aumie kweli 😢❤
@Mina.15
@Mina.15 3 ай бұрын
@@hamiszali1434😂😂
@MzeeKigogo_
@MzeeKigogo_ 3 ай бұрын
Frida yupo vizuri kwenye maswali ❤
@katumabiyan5090
@katumabiyan5090 3 ай бұрын
Careen kazaliwa 1994 , so she is almost 30 years
@Zenny89
@Zenny89 3 ай бұрын
Baba Jux alitwisha Mabomuu!!! Yaani msichana wa kibongo unampa hiyo power halafu mambo yawesalama ni kitu hakiwezekani
@MoviesAde
@MoviesAde 3 ай бұрын
Jux bado anampenda Karen🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@Dje-ru9wd
@Dje-ru9wd 3 ай бұрын
jux nimwanaume ambae anasitahili kuwa na mtu mtulivu mwenye akili na kiongozi wa familiy sijui anaitwaje mwanamke mwenye wanaume zaidi ya wawili sijui tunamuitaje??
@Dje-ru9wd
@Dje-ru9wd 3 ай бұрын
pretty sure hampendi wanaume tunajijua tyu
@sumaiyabakary2692
@sumaiyabakary2692 3 ай бұрын
Jux ni mwanaume mzuri sana na hafai kudate wanawake wa tz hatuko hvyo kama yy anavyowekeza we are selfsh na kama tukimpenda mtu sana ujue ana zaid which money sasa yy jux hajui anamapnz ya kzungu Pole sana sana Jux ila ucrudie tena kudate na caren hakufai anakujua sn na anaweza tumia vby madhaifu yako lakin you re best boyfrnd ever Pole sana
@bintimkitosi6187
@bintimkitosi6187 3 ай бұрын
Jux ndiye msanii wa kwanza kujibu swali la mziki wa Nigeria sahihi. Kabla ya 2000 for every five blacks in the world one was Nigerian. Baada ya hapo ndio wengine tumeongezeka sasa ni for every eight bkacks one is Nigerian. Halafu baada ya biafra war walianza kutoka Nigeria na wako kwa all the commercial capitals.
@kudadeki00007
@kudadeki00007 3 ай бұрын
Safi sana frida unambana mtu hadi aseme kitu anachozuia tusisikie
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 ай бұрын
Nikwer
@mtutulaclassic6207
@mtutulaclassic6207 3 ай бұрын
kwanza wametulia mpaka anaehojiwa anajihisi yuko huru kufunguka
@fakihichitanda2864
@fakihichitanda2864 3 ай бұрын
Big up kwa frida kwa kumbana
@HawaSaid-ru4zq
@HawaSaid-ru4zq 3 ай бұрын
Pole juma 😊
@ElifitiaLyimo
@ElifitiaLyimo 3 ай бұрын
Kwasasa mshirikishe mungu akupe mwanamke sahihi wa maisha yako ❤usiumie kwa maneno yawatu 😮
@righitkileo
@righitkileo 3 ай бұрын
Jamn kama uukitaka kuenjoy maisha achana na hao mastar hawanaqa mapenzi ya kweli.tafuta mlalahoi mwenzako enjoy
@rebbywealth9869
@rebbywealth9869 3 ай бұрын
Anaehojiwa na wanaoohoji wote mmetisha... noma sana
@gloryprotas1043
@gloryprotas1043 3 ай бұрын
Jux njoo kwangu ninambegu za mapacha utafurahi😂❤
@bintimkitosi6187
@bintimkitosi6187 3 ай бұрын
Mtu ako.palepale. anatumia WiFi ya kazi halagi ana skip ads kwa video. Nkt. Jux alijaribu sana lakini caren alijua hayuko tayari kuwa mke wa mtu tena kubadili dini.
@jumalihumbo5314
@jumalihumbo5314 3 ай бұрын
ii situation naijua vzr sn ila nlichojifunza mwanaume hauitajik kumpa uhuru au siri zko zote mwanamke lazma ataku disappoint ata kama unampenda vipi usiruhusu kumpa simu yako kila anapotaka atakuchukulia poa hasa hawa wanaojiona wazuri kwa shape zao🙌
@lucymtuka6393
@lucymtuka6393 3 ай бұрын
Nime enjoy Sana ila Frida I love you
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 3 ай бұрын
Caren ka cuteeeeeee afu bado teenager . Umri huo acha kbsaaa. Jux ww unaichungulia 40 unatakiwa upate mdada aloshiba relationship 😂.mapensi mapens
@EmmanuelPaulo-zf1xk
@EmmanuelPaulo-zf1xk 3 ай бұрын
Jux Kama kasepa pw tuu mama Shazii awaridhikii hao uwa njoo R mama shazii
@monicacyprian9137
@monicacyprian9137 3 ай бұрын
Nyota yake mashuke na tabia ya mashuke si rahisi kumpenda mtu huwaga ni wazito ila wakikuamini na wakiona vile wanavyovitaka kwako huwa wanaangukaa kama trenii na inawachukua mda sana kupona na wakishakutoa moyoni huwa hawarudi nyuma 🚶🚶 anyway we are so honest
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 3 ай бұрын
Jux still is loving caren😂😂😂pole❤❤❤❤Ila caren ataumizwa nae
@sendisteve7981
@sendisteve7981 3 ай бұрын
Jux ulikosea.Mwanamke mgombane leo kesho umkute na mwanaume mwingine halafu uendelee kumwomba msamaha kwa miezi minane😮..Hapo ulijizima tu data Jux.La kuvunda hhalina ubani..
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk 3 ай бұрын
mapenzi shikamoo 🙌🙌 yalonikuta sisemi niliomba msamaha mwaka kwa mtu alonikosea na nisisamehewe ila nilivyomaliza kupona depression saiv naenjoy alaf jamaa hoiiiii saiv anaomba msamaha kila saa
@Mshuta
@Mshuta 3 ай бұрын
Mapenzi shikamoo
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 3 ай бұрын
😂😂😂😂
@Mina.15
@Mina.15 3 ай бұрын
Marhaba 😂
@daudichoghoghwe5035
@daudichoghoghwe5035 3 ай бұрын
Jux unajua kujieleza nakujibu nenosijui limekaapoa sana
@einsteinmboje4730
@einsteinmboje4730 3 ай бұрын
Jux Alichokosea Ni Kukubali Kuishi Kwa sheria Na Masharti Kutoka Kwa Mwanamke , Naturally Mwanamke Anatkiwa Kuwa Obidient Sio Mtunga Sheria , Na Ukiona sheria Nyingi Kutoka Kwa Mwanamke Wako Ujue Hakupendi kiivyo (anakuchukulia Poa Tu) For Granted , Jux alifumbwa Na Mapenz , Mapenz Yalimzidi, aliruhusu Mdada Awe Contoller
@jumalihumbo5314
@jumalihumbo5314 3 ай бұрын
It’s True
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 3 ай бұрын
Dada uko na questions good walah😂😂😂😂😂sometimes age is a problem in love. Don't say age is like a number... Think twice
@samirbenito
@samirbenito 3 ай бұрын
Jux is the problem, he lost his frame and little did he knew that, genuine desire cannot be negotiated. The price of a simp is dust.
@sabinibra3513
@sabinibra3513 3 ай бұрын
3
@Its_Goodluck
@Its_Goodluck 3 ай бұрын
Tanzanian music ni worldwide now ila wasanii wapendane na wasaidiane kufika mbele
@richkaja3317
@richkaja3317 2 ай бұрын
Jux umepoa sanaa
@leaherasto929
@leaherasto929 3 ай бұрын
Jux bado anampenda Karen ile pisi kali sana
@calvinmushi6240
@calvinmushi6240 3 ай бұрын
Don't forget to subscribe.
@catherinefrance3642
@catherinefrance3642 3 ай бұрын
Ni vile tu hizi ni stori tu, men haleluya mnajuua kuigiza muv nying ila majuto ndio mapenz yenu hushtuliwa afu , ukipimia maoenzi kijiko lazima ukome kuyajua😂
@Mohaa4309
@Mohaa4309 3 ай бұрын
Dimpoz bana😢
@ChenchiKing
@ChenchiKing 3 ай бұрын
Frida Kwa Hili Umehuwa Kichizi Yaniii🔥✌️🔥
@Siasa-k7v
@Siasa-k7v 3 ай бұрын
Eeenh,lkn Jux banae? Yaani kudate kote haujai jua tu wanawake wakishachoka bloody Hata hiyo reason,alikupatia mzee baba... Shida unapenda sanaa,madem hupenda watu hawaeleweki kaka. Ww alikua anakuona kaa bwege flani tu vile.. Utakuja jinyonga ww kabogoro 😂😂😂
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 3 ай бұрын
Wasanii wa bongo ?
@bryanzeconfesor5476
@bryanzeconfesor5476 3 ай бұрын
Jux wengi hawawezi kukuelewa lkn sisi wanyawezi wakali wa hizi kazi tunakuelewa hata Nengatronix lazima akuelewe
@Mohaa4309
@Mohaa4309 3 ай бұрын
Omy huyo bana wamtetea bure
@seiphomary834
@seiphomary834 3 ай бұрын
Ww ukiachana na mtu umpendae ujue umemuacha huru na yoyote yupo huru kumuoa au kuwa naye kimahusiano # hapo kitu cha kujifunza n faida ya ndoa kwenye jamii # 1. Ina kuweka huru na uhasama na watu kwa njia ya shetan # Muhimu jiulize je mtu ameingia kwenye mahusiano yako wakat gan awe rafk au nan katika kuharibu mahusiano yenu wakat wa ndoa au nje ya ndoa . Penda kutengeneza stress zenye uhusiano na allah jitahd kukimbia stress zenye husiano na shetan #
@zainabkazige7388
@zainabkazige7388 3 ай бұрын
Kweli kabisa 🫡
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 3 ай бұрын
C uoe jux?
@user-cd1sk5yv2f
@user-cd1sk5yv2f 3 ай бұрын
Frida i seee you😂
@ramseychobaliko1002
@ramseychobaliko1002 3 ай бұрын
I have never do that in my life 😅😅😅 na alisoma chuo china ..... I HAVE NEVER DONE THAT sio DO😅😅😅😅
@annytahadrehem3819
@annytahadrehem3819 3 ай бұрын
Ukijua wewe inatosha bhana😂😂😂😂
@rebbywealth9869
@rebbywealth9869 3 ай бұрын
Mbwa kama nyie mnafanyaga nini mtandaoni.... Interview nzima umeona hicho tu? Ukijua wewe na kizazi chako inatosha
@rosejulius7756
@rosejulius7756 3 ай бұрын
Kwani China wanafundisha kingereza??
@bintimkitosi6187
@bintimkitosi6187 3 ай бұрын
China alijifunza kichina
@user-io3wz1ky5v
@user-io3wz1ky5v 3 ай бұрын
China na kiingereza wapi na wapi
@user-yb1mv2nx6m
@user-yb1mv2nx6m 3 ай бұрын
Jux usikate tamaa wanawake wenye upendo bada wapo utapata tu mtu sahihi
@user-lq1yg9mk1i
@user-lq1yg9mk1i 3 ай бұрын
wasanii wakubwa sana bongo lakini bado mnasikitisha sana katika upande wa matumizi ya lugha ya kingereza ambayo mnaipenda kuitumia sana na nukuu "i have never do that"hivi huyu jamaa aijua kweli lugha ya watu au anaipenda kuitumia tu.jiongezeni INTERNATIONAL ARTIST SIO KWA NJIA YA KUPELEKANA PELEKANA KIBONGO BONGO
@katumabiyan5090
@katumabiyan5090 3 ай бұрын
Sikutegemea kuwa huyu dogo ni mwepesi kiasi hiki kwenye mapenzi kama nyoya.
@augustfive5279
@augustfive5279 3 ай бұрын
Kifupi uyu jux aliekewa masheria mengi magumu ili ashindwe mahusiano yaishe
@jumaorido2532
@jumaorido2532 3 ай бұрын
Ondoa mazoea ya dem wako na watu wa industry tunza heshima yake nilijua hamtakaa sana kwa yale mazoea ya wasani na kumtumia kwenye ma promotion wasanii wanashinda nyumbani kwako . Mfiche Kama Kizz daniel
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 3 ай бұрын
Juma kwa kujieleza.. Yan kelele kama zote
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 3 ай бұрын
Jux?? That so cheap bro.. unasubiri demu toke kwenye mausiano ili uhingie??😂😂😂😂
@juliusnyerere5393
@juliusnyerere5393 3 ай бұрын
Kwani lazima ulazimishe mapenzi babu. Kwani wanawake ni huyu tu wewe Mtoto wa kiume unatakiwa ujiamini sio kudandia dandiaa tu. Kuwa mtu wa kujiamini as a Man Sasa kugombania mwanamke unajidhalilisha bwana. Wacha huo utoto.
@thierrybisimwa3312
@thierrybisimwa3312 3 ай бұрын
Tatizo unarudisha ball kwa kipa, weka ndani usafishe nyota dingi.
@ALNAVSINKINDOLE-tr9qs
@ALNAVSINKINDOLE-tr9qs 3 ай бұрын
Jux wape mimba mademu wew mchizi.
@mohamedswaleh6778
@mohamedswaleh6778 3 ай бұрын
Mpe dadako apewe mimba
@mohamedswaleh6778
@mohamedswaleh6778 3 ай бұрын
Hao ni dada w wenzako
@ConstanceKarisa-yq7qc
@ConstanceKarisa-yq7qc 3 ай бұрын
Mjinga ndio anapeana mbegu kila mahali
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 3 ай бұрын
​@@ConstanceKarisa-yq7qc😂😂Simba , kiba, wajinga
@silverman6930
@silverman6930 3 ай бұрын
Take them shades off man … where are the sun rays 😂
@JacklineNamundengozi
@JacklineNamundengozi 3 ай бұрын
😂
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 3 ай бұрын
Frida 😂😂😂😂😂 duh wifi mshakunaku 😂😂😂😂 unavyomchimba J 😂😂😂😂
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 3 ай бұрын
Ulichenje na ulituma pic unachezea dudu yako nasabuni yani unachukua sheria mkononi
@UjaniHerbals
@UjaniHerbals 3 ай бұрын
Kama huzalishi watoto wazuri kama jux karibu ujani tukupe dawa
@edisonbingu5660
@edisonbingu5660 3 ай бұрын
Kumbe Jux ni kinuthia
@bintimkitosi6187
@bintimkitosi6187 3 ай бұрын
Kwanini kinuthia
@FrankMushi-cs5js
@FrankMushi-cs5js 3 ай бұрын
Wee unaongea ujinga tuuu chali yangu unafeli sanaaa
@FrankMushi-cs5js
@FrankMushi-cs5js 3 ай бұрын
Mnatesemaa na umarufuu wenu woteee bado mnaniginizwa tuu ndoman mnakula bangi sanaaa pumbavu wewe piga shoo za maana acha ujinga wee shoo zirooo unachwa Kila ckuuu
@user-lp5bj3vi3w
@user-lp5bj3vi3w 3 ай бұрын
True
@Hamidkaran
@Hamidkaran 3 ай бұрын
Unashindwa kuelewa kuna videmu na demu unahisi huyo ni wa chpis kuku 😂😂😂
@Hamidkaran
@Hamidkaran 3 ай бұрын
Ulishwai kumili hata demu mwenye gari 😂😂😂
@Kabwela776
@Kabwela776 3 ай бұрын
Mimi wanawake wa kitanzania hapana hawana mapenzi ya kweli ni gold diggers yaani huyo demu Karen ana bwana wake Na huku anataka kuwa Na Jux
@villanjimmy7625
@villanjimmy7625 3 ай бұрын
Syo wote
@user-re3sv8zz2z
@user-re3sv8zz2z 3 ай бұрын
Huyu jamaa mjinga sana unamsubiri mwanamke kakuacha kuwa na bwana mwingine na unamsubiri😂😂😂 anatatizo huyu nani sababu huyu demu amchezea.
@ndondiafrika249
@ndondiafrika249 3 ай бұрын
thinking the same thing.....huyu jamaa bwege
@Hamidkaran
@Hamidkaran 3 ай бұрын
Hiyo ni kawaida mmezoea vidmu vynu vya kichangani ujawai miliki hata demu mwenyewe gari
@user-ib2uf3uk2d
@user-ib2uf3uk2d 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂hii ilinipita😂😂 kumbe zwazwa huyu
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 ай бұрын
Mapenzi shikamoo
@daudichoghoghwe5035
@daudichoghoghwe5035 3 ай бұрын
Jux unajua kujieleza nakujibu nenosijui limekaapoa sana
Coy Mzungu, Ndaro, Said na Leonardo hawa hapa, ni lazima UCHEKE TU!
1:01:33
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 75 М.
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker  #shorts
00:34
Untitled Joker
Рет қаралды 38 МЛН
SISHIKIKI "NAPENDA WANAUME WAZEE KUANZIA MIAKA 50, VIJANA SIWATAKI"
13:14
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker  #shorts
00:34
Untitled Joker
Рет қаралды 38 МЛН