I love frida amani ..... ana kitu atafika mbali AMEN.
@christadominick67592 ай бұрын
she is so good aisee
@ilynpayne74912 ай бұрын
Jux ana jitambua kumbe kiasi hiki aisee noma 💪💪💪
@SaidSaid-ef8md3 ай бұрын
One of the best interviews, yani jux umetulia kwenye majibu.. Millard umeua na huyu sister Duu Ndo kabisaaaa ume relax unatupa mawe kwa utuliivu huna pressure. 😂😂😂 big sana 👌
@yonasmrope93723 ай бұрын
Kama unamkubali millard ayo gonga like za kutosha
@tedymwalwaka47223 ай бұрын
Jux umeongea kitu Cha Maana sanaaaa Ila hakikisha unatimiza lengo lako Maana umesema unatamani watoto wako wawe wa Baba moja na Mama moja au kupata mke ambae kifo ndo kitawatenganisha inabidi umuombe MUNGU SANA Maana atakupa
@batakakutikuti50263 ай бұрын
Nimependa anavyojielezea mara nying ukiulizwa kuusu ex wako utajikuta unamsema vibaya but him anawaongelea vizur nimependa tujifunze kitu Kwa kwel❤
@jade757983 ай бұрын
Zaa tu usiogope mimi nina watoto saba .zaa mwingine nletee nikusidie kumlea i mean kumpatia security .usiogope kabisaa maisha .mtoto wako ndio atakuwa rafiki yako .mimi wanangu ndio marafiki zangu napiga nao story mpaka nasikia raha japo sina sana but im very happy na hivyo sitakufà haraka .maana najua Mungu hawezi kunichukua nikaacha hawa watoto .Ameen
@rose_Winchester862 ай бұрын
Watoto saba 😂😂😂
@jade757982 ай бұрын
@@rose_Winchester86 ndio ndugu yangu .wewe huna watoto ?au mtoto?
@mwambaadijira71903 ай бұрын
Jux kiukweli nakupendaga sana kwasababu uko mukweli nakuomba ujitahidi uendeleye kuwa n'a imani n'a kumukumbuka Allah kwa sababu n'a yeye hajawahi kukusahau ❤
@user-nj5qb4hc1l3 ай бұрын
Napendaga interview za jux hanaga konakona
@alibinali_3 ай бұрын
Masha'Allah Ramadan Kareem Wa Saum Maqbul Insha'Allah... May Allah protect you from hasad
@Babygirl7582 ай бұрын
I started listening to this interview a bit skeptical, however now i respect the guy .. he’s truly really humble
Katika wasanii humble na wenye heshima ni Jux. Nampenda sana🥰. Interview poa sana 🙏
@berthawilliam83133 ай бұрын
Nimepanda hii interview 🎉superb
@shabanizena26123 ай бұрын
Ni kweli.nina muonekano wa mtu mwenye hela ila sina hela kabisa.mungu mdio mjuzi wa mambo yangu
@jeromemwingira78773 ай бұрын
😂😂😂😂 hiyo inakuwaga sana, sababu unaweza kuwa unamatatizo, unawaambia masela, halafu wao hawakuelewi hawaaamini yani. Lkn hiyo ni nzuri bro inamaana unyota ya kufanikiwa. Uhauri wangu tu kutjmia huo muknekano wako unaweza tafuta connection na watu wenye mafanikio na wewe waweza kufanikiwa kea njia hiyo
@liannsambu72643 ай бұрын
Ayo nimependa ulivyogeuza concept ya cheating na kufungua kabat la jux 😂😂😂 smart technical questions, hii ndo ufunze watu wako uloajiri siyo yale maswali yao , kwa haraka haraka unaingiza sh ngapi
@voiclove81533 ай бұрын
Kama unamkubali juma jux bad nipe like hata kama so ya upendo 🙏
@user-re3sv8zz2z3 ай бұрын
Gelfrnd alofkia nae kutaka kuoa ni vanesa na huyu atajutia sana hatodumu mahusiano karma ta Vmane hii😢
@malaikaWambugha3 ай бұрын
He speaks Soo well of his exes ,,hope he finds a good wife wishing you all the best Jux ,,may the stars align for you all the best
@miriamkanana-kh6mu2 ай бұрын
Jux so professional answering questions
@mkurungu_herbal3 ай бұрын
Mungu atakuwezesha utasali swala zote
@user-xm5dp6px5w2 ай бұрын
Mimi simujuwi huyu jux lakini naona anahakili nyingi sanaaa tena sanaaa !❤Mngu akubaliki natena akufikishie lengo lako ,Mngu nimuweza wayote tuuu uwendeleye njiya nzuli inapendezesha Mngu yote yatatimiya ,siye tunashugulika lakini mngu alitupatanisha na ambao hakili zimecanganyikia mwisho vikanshindikana😢😢lakini kilakitu Mngu ndoo anajuae ✌️❤️.
@janetdundul38583 ай бұрын
Kajitaidi kufunga sana ongera jux
@ambo_2542 ай бұрын
interview Safi ,I just like the way he answers the questions.my favourite artist always.🥰🥰🥰🥰.
@zeddymourice42493 ай бұрын
Mtoto wakitaa kimara baruti,respect juma jux
@FreeGod3683 ай бұрын
Sehem gan kaka?
@kuvukiboy4003 ай бұрын
Brother Millad mtafute kijana mtanzania mmoja he/she asie na chochote fanya nae interview nakuhakikishia utakuwa umemsaidia sana huyo mtu tunakupenda millad . #back to the community 🤝👊
@neemacute3 ай бұрын
we umeongea point coz kuna vijana wengi mtaani wana talent kaka millard tuna kuamini mfano kuna kijana ana itwa ivorange ana jua sana akina vanilla akina hanstone
@estherboniphace24302 ай бұрын
Afanye nae interview kuhusu nn?!
@beniec.e45693 ай бұрын
Nilisikia "nomatawale" pale jamaa walivosema "no matter what" 😂😂😂😂..dah, when english ain't ur thing unasikia vitu vya ajabu sana watu wakiongea kizungu bana
@user-iw4se1og1z3 ай бұрын
bro yupo open sana i like that
@aishamwinyi78202 ай бұрын
Jux mim nakupenda kama vip karibu kwenye ulimweng wang tujenge familia napatikana zanzibar 💕
@LeilahRashid-fg3pt2 ай бұрын
Tafuta kazi ufanye uache ujinga
@aishamwinyi78202 ай бұрын
@@LeilahRashid-fg3pt kwa kaz tuu kipenzi alhamdulillah nina stationary yang tena kubwa tuu napatikana amani zanzibar mkabala na uwanja wa aman taifa ukifika tuu ulizia Ijmal stationary utaletwa na ilo Ijmal ni jina la mwanang nimeandika office yang jengne nikisaidis