Dah!!! Hii story kwa kwel umetuweza. Kusema kwel mm ndani kwng kuanzia mzee hd wtt washanibatiza na jina asee,,Naitwa mama davista 😂😂😂,mn nimekuwa biz na hii story hd bc. God bless u DM na zabron
@rafiakinyoa42473 жыл бұрын
Mm wa kwanza leo like zenu wapendwa
@carolinewanza26483 жыл бұрын
Mm wa 3 Leo like zenu jamani.........zabron mob love 💞💞💞💞💞💞💞
@LOGOSNew3 жыл бұрын
Shetani hawezi kukusaidia. Lengo lake ni kukuhangaisha, kukutesa na kukuweka katika hali ya wasiwasi. Msaada wa kweli hutoka kwa Yesu.
@monirangerera71553 жыл бұрын
Mbona kamsaidia aludi tena mgodini ovyoo na akamwambia kivili huna
@euniceeunice76803 жыл бұрын
@@monirangerera7155 kwaiyo kwa akili yko shetani ndo kamsaidia???we ushawah saidiwa na shetani ???😂😂😂😂😂😂😂daah kweli akili ni nywele kila mtu na akili zke...
@euniceeunice76803 жыл бұрын
@@monirangerera7155 apo amna msahada ni mateso tuu kama kweli mbona majini au mizimu inamwambia aende kwa waganga na sio kanisani????ujui waganga ni watumishi wa shetani??
@LOGOSNew3 жыл бұрын
@@euniceeunice7680 Yaani hujui kuwa waganga hutoa nguvu zao kwa Shetani? Kwani unaishi sayari gani?
@chazgunda58233 жыл бұрын
😂😂😂 jamaa anakicheko cha kicomed sana Yaaaani akicheka mi ndo nacheka hoi
@shastara2413 жыл бұрын
😂😂😂 me too wallahi
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Shukran sana 🙏
@guddannaika97783 жыл бұрын
Leo wa kwanza gonga like kama una muelewa zabron
@sifamdaki9663 жыл бұрын
Wakwanza Leo like zang tafadhali
@kimsamespa84903 жыл бұрын
Heri jamani umeenda angalao urudishiwe hiko kivuli lakini huyo bibiyako hope ako jehanam
@jangombeboys45363 жыл бұрын
Maashallah
@mwitawakimara36493 жыл бұрын
Leo 15 brothers umetisha pole sana
@basamtz86743 жыл бұрын
Nawashukulu ote mlio nipa like video iliyo pita nimefarijika na kuona kweli tuna usililiano tuna jifunza na kuelimika
@mwitawakimara36493 жыл бұрын
Daaaa best umepitia mitihan mingi sana umepitia brothers
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Camera man anatakakusikia str huku akiwachukuwa video😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Umeonaeeee🤣🤣🤣🤣🤣
@nurafedrick3783 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 😂😂😂ndio
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@nurafedrick378 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@nurafedrick3783 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 😂😂😂haki kweli mm pia uyubu unipite kwann 👂👂👂👂👂
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@nurafedrick378 Hapo sasa 🤣🤣🤣💗💗💗
@martinmaryogo60813 жыл бұрын
Huyu jamaaa sio mtu wa kawaida naanza kumuogopa, atakuja kuwa mtu mkubwa sio siri
@systemnatubukwajinalababam89763 жыл бұрын
NA kukubali mzee baba. Umeoa ama bado. Natafuta mchumba mimi mzee misosi
@husseinomary44663 жыл бұрын
Hiii nikama ileee niliisikiaga redio free Africa miaka mingi iliyopita nashukuru nimjua zabron
@didasrichard30683 жыл бұрын
Dope
@sadamhuseein29893 жыл бұрын
Nilipo kua nataka ndio hapo kwa marasta😂daaa!! Afadhari
@upendoluv71973 жыл бұрын
My best series
@aminamrope17973 жыл бұрын
Daah namba moja Leo. Kama ndoto vile
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hongera
@aminamrope17973 жыл бұрын
@@pilimusa7770 asante wangu
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@aminamrope1797 karibu sana
@bintimrope3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 😍😍
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Hongraaa💗💗💗
@nellyrhn43493 жыл бұрын
😂😂🔥🔥🔥👌👌👌wale ambao tuko makini nipeni like apa tunatumia WiFi network tuko on mda wote mambo bado yanazidi kua moto🔥🔥🔥🔥🔥 wakwanza tena😂😂
@malimathegreattv92513 жыл бұрын
Wangapi wamesikia goti linaonekana
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Sijui halipaswi kuonekana??
@florencerose8593 жыл бұрын
Thank you Davista mata tuko pamoja
@abdimohamed39533 жыл бұрын
Aiseee zabron nilikusikiliza mara ya kwanza sitosahau lakin hakika umepitia mazito mnoo naamini huku nitaipata simulizi yte bado vitabu nakumbuka vilipotea big bon sheli vililetwa na basi za zuberi
@dotosalim50903 жыл бұрын
Devi 43 aipo
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Alhamdulillah nmekua wa kwanza 💃🙄🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
@ciciandjojo77013 жыл бұрын
Afadhali Mungu amekuepusha na mapepo hayo pesa za mapepo zinaua watu saaana ,sama. Wewe kama hujampokea Yesu kristo ebu tafakari na kurudi kwa bwana ndiye anayekuokoa. Achana na marasta unaongezea mapepo mikosi juu ya,mikosi kaka
@mysskibe2 жыл бұрын
I laugh huyu jamaa akiita huyo jini binti, hajui anaweza jigeuza nakuwa ndume mkubwa hata kumliko 🤣🤣
❣️❣️😂🤣🙏 wewe kaka nakumpenda sana pore sana kaka 😘🙏
@mamskiumbe40573 жыл бұрын
Ahaaaaaaa pol sana
@fatmaalrshdii76153 жыл бұрын
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli endelea kutusomesha wanafunzi wako tunaelewa bila ya kutuchapa viboko
@dashyajulius55133 жыл бұрын
dav muhuni sana ww🤣🤣🤣et hamkuwaza kufanya kidogo🤣
@nakundwamkubwe78233 жыл бұрын
Uyo jini wako alikuwa halewi lakini wapo majini wengine walevi mbwa! Majini ni kama sisi binadamu wapo wazuri na wabaya. Bye theway mimi nilikuwa najiona nina nuski lakini zabron umenipita hata mimi 😢 Pole
@daudidandi77033 жыл бұрын
jini ni jini hakuna mzuri wala mbaya wote ni mashetani
@nakundwamkubwe78233 жыл бұрын
@@daudidandi7703 wako majini mazuri ambao wanaishi kwao ujinini hawataki hata mazoea na binadamu na hawadhuru binadamu soma ujuwe kuhusu majini.
@nakundwamkubwe78233 жыл бұрын
@@daudidandi7703 weka tofauti ya jini na shetani jini anakuwa shetani pale anapo fanya matendo machafu hata wewe binadamu unaweza kuitwa shetani kutokana na matendo yako machafu. Wote ni viumbe walio umbwa na Mungu hakuna kiumbe chochote kilicho jiumba.
@nakundwamkubwe78233 жыл бұрын
@@daudidandi7703 kasome utapata jibu .
@fadhiliswalehe92863 жыл бұрын
@@nakundwamkubwe7823 kweli
@idanysedrc12003 жыл бұрын
Tupe mwendeezooooo
@esthergasper80863 жыл бұрын
Daaah nilikuwa nakungojea sana sehemu ya marasta
@mbarikiwambarikiwa39883 жыл бұрын
Hv kumbe kweli madini ni ya majini.
@swaifasaid17423 жыл бұрын
mmh kila nikijitahid kuwa wa kwanza najikuta leo wa 7.haya naomben dua zenu mana like sizitak
@pilimusa77703 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@sitinassy87723 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@swaifasaid17423 жыл бұрын
@@saidmalibiche3853 asante
@eshalibaba11953 жыл бұрын
Zabron ni mcheshi sana mm nampenda 😘😘😘
@douglasorina93143 жыл бұрын
Leo number one
@rappertinno41843 жыл бұрын
Sio K sher ni Geisha K sher ni msanii Geisha sabun
@furahaanaongeapointxanampe25853 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@suleymanally47293 жыл бұрын
Pili njooo n bint alrshid Gar inawaaach 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
@pilimusa77703 жыл бұрын
Ndiyo nimefikaa. Asante kaka suleyman
@twaibumikidadi73773 жыл бұрын
jin kacheka kasema Astaghfirullah أستغفرالله yaaan naomba unisamehe mungu
@zefamange72813 жыл бұрын
DAVISTER MBONA MNATUCHANGANYAA, HICHO KIPANDE CHA 43 KIMERUSHWA
@ramadhanikassim86422 жыл бұрын
M2 mahiri
@officiallsalmatz69633 жыл бұрын
Kwamara ya kwanza nipo kwenye 10 bora 😂
@mussajuma31003 жыл бұрын
Hadi wa Leo!
@angelokihaka72163 жыл бұрын
Hatimae kivuli kinarud 🤣🤣🤣 ila hakijatailiwa
@aishajuma7123 жыл бұрын
Dooooh😂😂😂😂
@jamesngalijah37103 жыл бұрын
Kweli mzee babaa alikuw mpambanaji
@florencerose8593 жыл бұрын
Davista mata shusha number 43
@kalssambaboo99323 жыл бұрын
Ivi leo haijashuka mana natafuta hadi mijicho yangu imekua mikubwa nasion
@kithia1003 жыл бұрын
He is goodman hihihihiiiiiii-( your a goodman)
@asiasalim46343 жыл бұрын
Mungu anakupenda zaidi
@winnyenockwinnyenock69863 жыл бұрын
A weee zablon kwa marasta nilisubri sana ifike
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Somoe pili Amina Aisha Fatma cute emmy Mimi wetu mpenzi malima blessed violine Fm morn Hamis Nguwala Ayush Aiyam juma wetu mpenzi Rafia mams Nura chaz Hussni mwita caroline Basam sadam Neema chantelle 💗💗 bilakumsahau shem langu languvuuuuuu Eric na wengineooooo njoooooooooooooooon mambo tayariiiiii🙄🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭💗💗💃
@dearlaviee40513 жыл бұрын
Nice
@venahsithole64633 жыл бұрын
Pole sana mzee baba
@zettyhassani22443 жыл бұрын
Magumu uliyopitiwa kwakweli
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
Camera man anakusaidia 🤣🤣 Noma .
@askaounga64563 жыл бұрын
43
@xinyingmiao49963 жыл бұрын
camera man ni mbeya
@monicasimpilu62573 жыл бұрын
Duuuh nimecheka kwa sauti peke yangu alipoachia mzigo wa maana
@philipmbaabu6169 Жыл бұрын
Who will tell me what kivuli is??
@IANA20303 жыл бұрын
Hebu mtafute Yesu Zabron.
@popoali66413 жыл бұрын
Wow mumewahi
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
safii dav
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Aaah duh utafutaji una misuko suko na kama hujapitia magum katika utafutaji lazima utakuwa muoga wa maisha Mara nyingi
@highnesseverest36193 жыл бұрын
Love you guys Davistar & Zablon
@afterx31723 жыл бұрын
Camera man ttzo nn 🤣🤣🤣
@herenagetema39203 жыл бұрын
Davsta bwana eti hukutaka kufanyanae kidogo na jini
@rasjamal98543 жыл бұрын
Siku 13 Chifu Zabron anakula kwa Macho mtoto wa shombe shombe karudi Madina, Hila nakupa Salute ni mpamba mbanaji inshallah utafanikiwa
@fatmazinga53103 жыл бұрын
Jamani pole sana
@maryamevarista94733 жыл бұрын
Miyangu kukoment tu japo inahuzunisha sana! Zabloni kapitiya maisha yote yote yaraha na ya shida
@mariamshabani68533 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️From 🇿🇦
@mamskiumbe40573 жыл бұрын
Duuuuuuyy
@mariamshabani68533 жыл бұрын
🤷♀️🤷♀️🤷♀️🤷♀️
@babaalex50623 жыл бұрын
Hv mnakulaga kiporo mko chap kidogo😂😂😂
@soudaabdallah45263 жыл бұрын
Dah Leo nimewahi jamn jini my anatia khofu
@ruthkwamboka90823 жыл бұрын
Woeee iyo life
@asiasalim46343 жыл бұрын
Msimame siku moja basi tuwaone👍😘😳🤣
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Ingia fb wametupia picha nahixo nguo wawili kama wamesimama😂😂🤣🤣🤣
@driftdumper89273 жыл бұрын
Davista weka clip nyingine
@joycesycherlwy38353 жыл бұрын
Mimi wa Kwanza hoyeeee
@mamskiumbe40573 жыл бұрын
Ihiii story ya mwakaa jaaa anajua sana kuadisia sana
@laurianitemba33353 жыл бұрын
Mzee baba 43 mbona umetoa
@laurianitemba33353 жыл бұрын
Part 43
@mudulorukuyana37223 жыл бұрын
We musenge vipi saana kudadandeki ungekuwa mudogo wangu ninge kuchimba vijembe sana hii stori achana nayo ishaisha iyo
@muddygaston16713 жыл бұрын
kaka mbn umefuta video ya kuendlea
@rappertinno41843 жыл бұрын
Wanji wanji 2nasololea mastory!!!
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Wewe kilamahali unaharibuu tuu pombe babaz maji kwasana
@asiasalim46343 жыл бұрын
Davistar fanya Iwe mnarelax hata kwenye kochi mnakula vyakula pia 😂
@aliakojah3 жыл бұрын
Vyakula tena na mzee wa misosi. Hapo hapatopigwa story😁😁
@asiasalim46343 жыл бұрын
😂😂😂👍
@rachelwanganga9392 жыл бұрын
Wapi part 41?
@shahama66633 жыл бұрын
Umepitia kaka daa polesana
@cecycecy36103 жыл бұрын
hiii story nzur yan mm atanikiwa nimechoka na weka tu kitandan usingz unanikuja vzur saut ya zabron inafanya napata kausingz
@neemaomar763 жыл бұрын
Tunasema Astagh’firullah
@abbyadams86913 жыл бұрын
Miaka ya 2003-2012 Tamthilia za Wafilipino zilibamba sana. Sasa ni zamu ya Davistar.
@johnkapinga7553 жыл бұрын
Nakupa big up Zabron wewe ni jembe
@fatmamucha44193 жыл бұрын
Nipo namsikiliza davistar na zabron
@khalidjimmy57743 жыл бұрын
Davista Master tunaomba muendelezo
@tamaraseff.97073 жыл бұрын
Wah mlisema tutaeda mpaka wap.au n mia sasa😃😃😃acha nijioganize kinoma sasa
@josephjoshua11773 жыл бұрын
Yan ktk story ambazo nimewai kukutana nazo zabron(Mzee wa misosi) amepitia matato mengi sanaa