Ndugu Kama huna wakukufikishia Jambo lako kwaviongozi wajuu wawezao kutoa msaada mkubwa lazima UTAKUFA unajiona
Пікірлер: 596
@kevinmwita56762 жыл бұрын
Pascal your songs zinanitia nguvu kweli mungu yupo kama unamkubali gonga like tukisongaa
@hellendaudi77563 жыл бұрын
Huu wimbo ulifanya nikalia sana,lakini njia za mungu sio za mwanadamu..mungu aendelee kukusimamia na nyumba yako...from Kenya much love
@yovithakiyugu787 Жыл бұрын
Pascal Cassian kiukweli namkubali sana
@WittnessShoo3 ай бұрын
Poleee sanaa kaka pascall mungu ni mwema anakusudilake natumaini atakuwanawe leo na ata milele amina
@KibongeWaYesu5 жыл бұрын
hautakufa bali utaishi my bro Mungu azidi kukufanyia wepesi
@sharifahamisi90915 жыл бұрын
Kibonge wa Yesu official ameen
@paschalkiniofficial12329 күн бұрын
Amen
@jameskapesa96992 жыл бұрын
Utakufa unajiona nashinda naskiliza hii nyimbo kweli mama Mama yangu unakufa nakuona ee mungu nisaidie mponye mama angu
@wollefernando12575 ай бұрын
Pole sana, Mungu akupe nguvu
@KingfreedomFreedomАй бұрын
God bless you any time.... Paschal ni ww ndie uliyetuma mpaka na Mimi kipaji changu chawimbaji kifunguliwe... Mimi ninaitwa kwajina la Philip Cassian ndivyo nitwavyo......❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤💓💓💓❤
@ramiaomary42775 жыл бұрын
Asante mungu nyimbo imenifanya niyawaze mengi ya wanadamu kaka Pascal endelea kusimama na mungu wako hakika yeye ndie ajuae nani hatakuwa karibu yako # mungu naomba nisamehe nilikuwa naipita hii nyimbo sikujua kama nilioyapitia ipo cku mtumishi wako atayaimba kupitia kipaji ulichompa endelea kumshika kwa mkono wa kuume wako na kumuweka chini ya mbawa zako
@jeniphermgendi73765 жыл бұрын
Dah machoz yamenitoka kwa kweli..eeh Mungu mtazame mtumishi wako umponye maana hakuna Jambo gumu kwako..
@daudcharlesmhoja16145 жыл бұрын
Dunia hadaa, umenena mazito mtumishi Wa Mungu,haya n ya kwl ukiwa na shda wte wanajtenga na ww ila Siku ya msba wanjifanya kama wanahuzun sana
@furahakamuli25455 жыл бұрын
Jenipher Mgendi daaaaaa inauma sana ila yupo nawe kaka utapona
@hamfreymakundi40753 жыл бұрын
Bwana Yesu atukuzwe
@jonahronoh58683 жыл бұрын
Mungu ameskia kilio chako ndugu,,,,,, Tupendane na tuzaidiane tungali hai ,,,,,
@wilkisteregesa90135 жыл бұрын
Hutakufa bali utaishi uyasimulie matendo ya mwenyezi mungu zaburoi 118:17
@habibumkomwa92915 жыл бұрын
Amin
@luganojosia91655 жыл бұрын
Fact
@valentinamussa42125 жыл бұрын
Ameni ashukuriwe mungu a aliye juu mbinguni kwa kumponya Asante mungu kwa wema wako
@yotamuimmanuel11043 жыл бұрын
Ubalikiwe
@estamichoromichoro56343 жыл бұрын
Amina
@abdukalembo7885 жыл бұрын
Dah!ujumbe mzito sana wakati nausikiliza huu mwimbo machozi yananitoka ewee mwenzi mungu tusamehe makosa yetu tunayokukosea.
@jessiekerry9284 жыл бұрын
Nimelia sana.thank you God because you said what is impossible before man is POSSIBLE with God.this man serves you from his heart,heal him totally and protect him from any satanic attacks in Jesus Name.Amen
@happinesskwamboka15402 жыл бұрын
Amen in Jesus name 🙏
@barakaboy9554 Жыл бұрын
@@happinesskwamboka1540 vipi
@FransiscaMwanganga7 ай бұрын
Asantee sana mtumishi wa mungu pole sanaa huuu wimboo umenibariki 🙏🙏🙏sanaa
@phineruge34805 жыл бұрын
Mnasubiri Msiba wangu Muupambe" Oooooh Mungu wangu wa Mbinguni Munyooshee Mkono wako wa Uponyaji apate kupona na kuendelea kulitangaza Neno lako" Amina.
@rachelkhavere15325 жыл бұрын
I can't stop crying for you kaka, huwezi kufa ila utaishi kutoa ushuhuda, mungu atakuponya paschal
@sulekhamustapha6135 жыл бұрын
Kaka paschal pole saaaana lakini ,jitie nguvu hakuna jambo gumula kumshinda mungu baba kwakupigwa kwake sisi tumepona mshike yesu hutakufa,maadamu ulisema kweliya waovu ulitumika ameni ng,an,g,ania kwa yesu
@annamwakaleja98713 жыл бұрын
Mungu yeye anajua kesho yako
@TradersEasyWay5 жыл бұрын
Pole sana! Mziki huo una ujumbe mzito sana
@nundabe5 жыл бұрын
Kaka mtumaine Mungu... Yesu ndiye msada wako tu... plzzz usitegemeye watu... Mimi naamini shetani anataka kukuwuwa kwasababu ulitobawa sili yake... ila hajuwi mpango wa Mungu... Hutakufa bali utaishi.... iyo ni imani tuu unapimwa...
@maprojectalltrends12965 жыл бұрын
Sawa ila anachokiomba n msaada wa matibabu ila swala la kupona n mapenz mungu yupo sahihi kufanya hv
@kasseboАй бұрын
Barikiwa Sana mtumishi🎉
@user-py4zw2gp6j8 ай бұрын
Leo nimekuwa wa kwanza naomb like 3❤❤ kwa mashabiki
@latefaafreca54865 жыл бұрын
Nimeshindwa kustahimili huu wimbo natukio halisi lilivyo pole sana mtumishi wamungu Ee mungu ukowpi baba mponye mtumishi wako nasimama kinyume nahila za shetani nakata kufa mtumishi wako kabla yawakati wake nahatakufa bali Ataishi ameeeni
@shakilamwanyemba66065 жыл бұрын
Nimegundua gunawasaport wanaoimba nyimbo za injili lkn wao wanaroho mbaya mara elfu yetu, mungu nisamehe kama nimehukum lkn sijaona sapoti yao hata kwa kuhamasisha tu watu wamchangie mwenzao Daaa mungu tusamehe
@beatricevahaye4425 жыл бұрын
Jamani nimeshindwa kuvumilia machozi yangu yanadondoka Kaka Mungu yupo atakusaidia
@carolynekanaiza5 жыл бұрын
Oh pole my brother.mungu ndie tabibu wetu.mungu akakuponye in Jesus Christ. Hutakufa ndugu Bali utapona.na huondio ushuhudà kaka.God is there for you.
@revinamathias6795 жыл бұрын
Pole sana Kaka hautakufa bali utaishi uyasimlie matendo makuu ya Mungu
@charsmagoile39882 жыл бұрын
Pole sana kaka kwa mapito magumu kabla hujafa hujaumbika Daaaah!! Mungu akusimamie
@NyarikiDamah5 ай бұрын
Umetoka mbali kweli mtumishi wa Mungu endelea kumuubiria mungu ninapozikiza nyimbo zako machozi yanitoka najipea moyo😢😢🙏🙏🙏
@adelaideatonga5849 Жыл бұрын
Mtumishi wa mungu umetoka mbali lkini mungu alikua na sababu l love ur songs
@frankmwashambwa17112 жыл бұрын
Pole sana mtumishi wa Mungu kwa haya unayopita hata sasa umeshinda
@jellynesssemu94063 жыл бұрын
Pole sana . Mwenyezi Mungu yuko na ww mtumishi wa Mungu
@Pendopasilika4 ай бұрын
Hii!!! Paschal hivi ukiangalia huu wimbo unajisikiaje dah unaumiza sana
@summeyabae86705 жыл бұрын
Pascal God is taking you to another level keep pressing on god want to prove Himself through this situation that he is God he did to job and many many more
@beautyibrahim84285 жыл бұрын
Dah inaumizaaa jaman mtu akifa ndo anathaminiwa mungu akusaidie kwa kwel
@faudhiakyuta10745 жыл бұрын
Unauma sana mtu ambae arikuwaakifanya kazi zake mwenyewe leo Ali tete unauma sa
@zbtn5175 жыл бұрын
Pole sana mtumishi wa Mungu mimi binafsi naahidi kuchanga maadam namba za simu nimezipata
@vailethchamlulu80632 жыл бұрын
Aisee Leo nimelia sana nilikuwa bado sijasikiliza ushuhuda wako daa Mungu akutunze
@AlfridahK5 жыл бұрын
Nasikiza nikipanguza machozi,ningekuwa na uwezo ningejitolea kukusaidia hila najua tu maombi yangu inatosha.get well in Jesus name pascal
@julianamganwa36265 жыл бұрын
Eeeee Mungu baba uliyeumba Mbingu na nchi tunakumba umponye Pascal kwa jina la mwanao Yesu Kristo tunaomba tukiamini Amen.
@hurumatabonwa31662 жыл бұрын
Pole sana mtumishi wa mungu kwa majeraha uliyopata , hakika adui shetani anakutafuta kukuuwa , kwa sababu unasema kweli , Mungu wa mbinguni atakuponya kwa jina la Yesu kristo na mapambano yataendelea hadi yesu atakaporudi kutuchukua wateule wake.
@gracembwile55015 жыл бұрын
Munguuu yuko pamojaaa nawewee walaa hutakufaa .Maana ugonjwaaa haubebi maishaa yako balii uzimaa uko kwenye Roho yakao by jeco mbwile
@teopaulo54002 жыл бұрын
Pole Sana kaka yangu mungu akutangulie
@briannesta27405 жыл бұрын
Pokea uponyaji kwa jina la Yesu, kila roho ya kujiinua naikemea kwa jina la Yesu mwana wa Mungu aliyehai.
@kitovakihwele67695 жыл бұрын
Huwezi kufa mtumishi wa mungu mungu bado anakupenda mtegemee sana mungu mateso unayo pata ipo sikuyatakwisha na zuluma za wanadam zitaisha t bali mungu ndoatae kuponya sina chakukusaidia maombi yangu kwa mungu naomba yakutetee ulud ktk hali yako eemungu yaskie maombi yangu na kilio cha paschal
@dominicthomas57264 жыл бұрын
Ndg mtumish wa mungu namin mungu atakuponya pole xn ,
@tediusmwafongo48625 жыл бұрын
Pole sana ndugu Kasian Pascal, naamini Mungu mwenye nguvu bado anakutetea mpaka sasa na ndiyo maana upo hai. Mungu azidi kukuongoza katika njia zake mpaka uufikie ukweli wake na uzima wa milele katika Kristo Yesu. Soma zaidi neno lake utapata faraja.
@Neema20045 жыл бұрын
Kaka yangu hautakufa Mungu yuko nawee uyo chetani hakuwezi 🙏🙏🙏
@evodiucmchunguzi79745 жыл бұрын
ewe mungu weka mkono wako kwake umponye anapitia mateso inauma sana wasanii wenzake mko wap jaman wachungaji mbona mna uwez wa kutoa iyo pesa Boniface mwamposa baba wa upako Anton lusekelo mama lwakatale gwajima na wengine wengi watanzania tumsaidie mwenzetu na mungu ata lipa kwa kila mmoja 😭😭😭
@tedynicas29895 жыл бұрын
Oh my God I can't stop crying,, may the almighty God help you
@user-rs6wo5wt3r Жыл бұрын
Nakupenda mnooo baba TUTAFIKA TU TUTAFIKA PALE MUNGU ANATAKA TUWE TUSONGE MBELE TU TUTAFIKA💪🤝
@slovemrlavalavaofficialtz79765 жыл бұрын
Daah ama kweli hujafa hujaumbika pole saaaaana paskal kassian
@user-mk7wn2oo2s Жыл бұрын
Ashukuriwe Mungu milele maana alikuponya kwa uweza wake.
@angelsimon6493 Жыл бұрын
Imenikumbusha mbali hii nyimbo nimejikita nalia sana nikikumbuka bibi angu mzaa mama alienilea tokea mdg alipatwa na shida km hii aliteseka kwa miaka 11 bila kupata majibu na mpk kumpelekea kifo lkn hakuwahi kukata tamaa pamoja na mateso yke yote aliyoptia hakuwah kumkufuru mungu alizifi kulitukuza jina la bwana mungu wake alisimama mpk pumzi yke ya mwisho
@saidajoashi21312 жыл бұрын
Mungu anakusud nawewe,🙏 anatufundisha meng kupiti wewe
@innocentOficially5 жыл бұрын
pole sana ndg pascal hakika mungu atasimama nawe daima Marko 11:25-15 kwa sababu hiyo nawaambia,Yeyote myaombayo mkisali,amini ya kwamba mnayapokea,nayo yatakuwa yenu. Nanyi , kila msimamapo na kusali , sameheni mkiwa na neno juu ya mtu......"(mstl 25) Amini Mungu hawez kukutupa mkono kama ambavyo anasema katika biblia Yoh.6:37 ".........Yeyote ajaye kwangu sitamtupa Nje kwamwe" Mungu hakutupi bali atakuponya katika maradhi yako. amen
@dorcascikuru7140 Жыл бұрын
Mes larmes coule 😢😢😢😢.mungu atu saidie Kabisa na ku tu wezecha.
@imanimayanja6185 жыл бұрын
Hutakufa kaka jipe moyo mungu Yupo pamoja na wew kila hatua
@DavidodhiamboOkoth4 ай бұрын
Unatubariki bro mungu akubariki
@sylvanusinjomango21695 жыл бұрын
Mungu ndio muweza wa yote usikate tamaa nduguyangu utaludi utacheka utafulaia utakaa sawa tu amen
@agnesmkude30395 жыл бұрын
Utakufa mtumishi bari utaishi. Inauma Mungu sikua kilio Cha mtumishi wako. Ili haendelee kufanya kazi yako
@bimaisarankamia41535 жыл бұрын
Nyimbo inahuzunisha jmn .mungu atakusaidia utapona inshaallh
@sikuzanibusanya64235 жыл бұрын
Pole sana.kaka.najuwa unapata maumivu makali sana pole mungu Atazidi kukusimamia 🙏🙏🤲🤲😭😭
@wasafisongsnow18185 жыл бұрын
Mungu hajawahi kishindwa muamin yey naamin kabisa utp0n
@willysiame21175 жыл бұрын
mwenyezi mungu Mponye cassian
@rebeccagastory75905 жыл бұрын
Polee sana mtumishi wa Mungu utapona hizo nichangamoto tu, na pia usimpe nafasi shetani hata kidodo muombe sana Mungu atakusaidia kwakila atua unayo pitia
@lightdempoz51505 жыл бұрын
Poleee sana kaka Mungu akutangulie,kuna sehemu ulikosea ndo maana umepata pigo kiasi hicho kumbuka MAGU upikuwa dini gani,na sas uko wap kuwa makini,na usiangamie kwa kukosa maharifa,MUNGU hayoko radhi na wapumbavu,acha upbavu mjue Mungu,na kuwa makini sanaaa
@edwinndomba39465 жыл бұрын
Pole sana, Mungu yu pamoja nawe mtumishi mungu anamakusudi yake.
@neemafungo7535 жыл бұрын
Pole sana mtumishi wa Mungu,Mungu akuponye daima
@keziamakasi13235 жыл бұрын
Hautakufa,utapona,Mungu anakuona anakupenda wewe in was thaman sana kwake,ujumbe wako in mzito umenitoa machozi M ungu uko wapi shuka na malaika zako umponye,mtetee mtumishi wako katika JINA LA YESU Ameni
@lovelynnadia72385 жыл бұрын
OOOh my Godness pole sana kakaaetu. Mungu anamakusudi na wewe wala usijali utapona in jesus name. Amen.
@elibarikijapheth54095 жыл бұрын
Jina la bwana libarikiwe sana kwa mungu hakuna lisilowezekana Amani ya bwana iwe nawe mungu akuponye kaka hakika huruma inaniijia sana broo
@barakachalres93165 жыл бұрын
Eeeeeeeeeeeeeeee!MUNGU BABA TUNAKUOMBA UMPONYE NDUGU YETU😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@hadijaangura65725 жыл бұрын
Pole kaka utapoa MUNGU nimkubwa nahakuna kisichowezaka kwa MUNGU
@veronicamakala23405 жыл бұрын
@@hadijaangura6572 Mungu ni muweza hutakufa kaka bali utaishi
@kingmama93715 жыл бұрын
Pole sana mtumishi wa Mungu utapona kwa jina la Yesu Kristo Mungu akutie nguvu usimtazame mwanadam ww mtazame Mungu
@masekete5 жыл бұрын
Hutakufa baba... You're highly favoured by God..... Listening from 254. I promise to do something. Nitajaribu kukutumia kitu tu. Sujui Kama hio number inafanya pia kwa wakenya?
@enezamafiekanuya5095 жыл бұрын
Mtumaini Mungu naye atakuponya ,amini kuwa huo ni mtihani tu paschal hakika utashinda kama alivyoshinda mtumishi Ayub u,watanzania tunakuombea sana ,usiache imani bali mtazame Kristo YESU.
@josephinemwambe33855 жыл бұрын
Kakangu nyimbo zako zinaupako.. Na mungu ana sababu uyapitie haya... Jipe moyo mungu yuko nawe na hautakufa bali utaishi usimulie aliyokutendea Bwana yesu
@leahjohnson58135 жыл бұрын
Mungu aliyempitisha Ayubu na kumshindia atakushindia na wewe, endelea kuweka tumaini lako kwa Mungu.
@cosmacsulley33484 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa afya njema mtumishi wa Mungu hayo yameshapita Mungu ni mwema sana japo ilikuwa ngumu kwa akili za kawaida lakini Mungu katenda Ubarikiwe kwa viwango vya juu sana
@chazzkessy23715 жыл бұрын
Utakufa Bali utaishi mchungaji wangu mungu yu pamoja na wewe daah pole sana
@MlongechaBaraka-ow7kw Жыл бұрын
Amina ❤❤❤ mtumishi wa Mungu Na Mungu akutie Nguvu Na Mungu akulinde Na Mungu akuongoze katika mambo yote, 1Yoh,5:19-21, Yoh,6:63, 14:27, ahsante sn amen.
@tommykailanga7305 жыл бұрын
Daaah! ina nipa macho.......thanks Paschal cassian God bless you!.
@agnessmkoma17615 жыл бұрын
nimeshindwa kutizama, inaumiza, nimetizama hali unayopitia, nimevuta taswira ya mtu wa hali ya chini kwenye matatizo makubwa........nimejiuliza ingekuaje kama ingelikua ni mimi?.....ni maombi yangu kusudi la MUNGU lisimame kwako kaka. UPONE kwa jina la YESU lipitalo majina yote AMEN.
@LawrenceYobuNdosi5 жыл бұрын
Mungu ni mwema mtumishi, amekutoa mbali kaka, nakumbuka tangu toka hapa Dodoma hospitali.....Hautakufa kwa Jina la Yesu Kristo
@zbtn5175 жыл бұрын
Pole sana mtumishi Pascal Cassian ninazikibali sana kazi zako na hakika nimeamini unapoanzisha vita na shetani(freemasons) jua umeingia kwenye bita kubwa sana. Ningekuwa nina uwezo ningetoa hiyo fedha yote ya matibabu yako lakini ndio hivyo tena uwezo wangu ni mdogo. Lakini naahidi kukuchangia mtumishi kama si leo basi siku za hivi katibuni.
@rolandjacob20865 жыл бұрын
Huwezi kufa Pascal Mungu anakusudi kubwa nawe anatakuona imani yako
@paschalmachibula23253 жыл бұрын
Paschal nakubali kazi zako
@jojinamatiku41085 жыл бұрын
Mungu akuponye shetani ameshindwa kwajina la yesu
@simonndimbwa8405 жыл бұрын
Jipe moyo paschal Mungu anayaona mateso yako inua tumaini lako Kwa Yehova
@raisamomanyi81795 жыл бұрын
Duh mungu wangu mponye mtumishi wako, Aki nimelia kwa kweli tunazidi kukuombea mtumishi since tulisikia umepata ajali kwa kweli tuko pamoja katika kila Jambo
@elizabethhassan91045 жыл бұрын
Duh Machozi yamenitoka kwa kweli pole sana kaka Paschal Cassian Mungu yupo na atasikia mahombi yako tu usiwe na hofu Amen.
@stephanogordiank.61385 жыл бұрын
Poleeee sana PASCAL, MUNGU atakuponya.
@rotisonmwakasungula6965 жыл бұрын
Pole mtumish yote ni maisha amin utapona
@Martha-wg4sg2 ай бұрын
Hii nyimbo naipenda sanaaa
@RechoJacson2 күн бұрын
Hii nyimbo inanikumbusha nilikua nimeenda kikaz huko alafu nikapta nikaugua Yani hata kusimama siwez kukaa siwez nipo kitandan ndug zangu huko Tanzania hawajui chochote km naumwa mdg wangu ndo alikuja sku Hy akanikuta nimechoka naelekea kukata roho ndipo nilipo pata msaada😭😭😭😭😭mda wote nilikua nasikiliza hii nyimbo nilikua nikijifaliji tu ndan nikiamin ipo sku nitanyejuka tena ndo nilipopata msaada 😭😭😭😭😭 Daah siwez kumalizia ndipo huyu pascal alikuja Kenya maeneo ya mabera nikaenda 😢😢😢😢😢 Daah 😭😭😭😭😭😭😭...................😢😢😢😢😢
@letisiabaritazari760625 күн бұрын
Pole kaka mungu akulide
@emmamartin95435 жыл бұрын
Pole sana kaka tunaamini ya kwamba hamn linaloshindikana kwa mungu tuzidi kumwomb daima wew nimtumishi wake naanakilasababu yakukuumba katika ulimwengu huu be blessed
@elizabethlulandala51495 жыл бұрын
Pole kaka Mungu akutetee.nakuombea Mungu akuvushe kwa hili pito
@elizabethkhayasi8422 Жыл бұрын
Pastor ulifikiria nini Hadi ukautoa wimbo😥 Mwenyezi Mungu atusaidie.
@gracealexander53095 жыл бұрын
pole sana kaka mungu akuponye kwa Damu yake Yesu kristo ikunenee mema katika mwili wako upone haraka mtumishi wa mungu
@mariamunightiness47765 жыл бұрын
daah seriously nimelia pole sana kaka mungu hawez kukuacha ufe hakika utaish
@riziakinyika30823 жыл бұрын
Mungu akuteteee hakika mchozi umenitoka Ni mwingi wa rehema atende na kwako
@salomereuben62845 жыл бұрын
Paschal Cassian usivunjike moyo kaka. Mshukuru Mungu kwa kila jambo, usijilaumu wala kulaumu wengine utapona tu hiyo ni moja ya changamoto katika maisha 1Wathesalonike 5:18 shukuru kwa kila jambo Mungu bado anakupenda mpka hapo ulipo ni neema tu imekuokoa, kuna watu wana dhiki zaidi lakini hawajakata tamaa
@mrkiatu27555 жыл бұрын
Polr sana ndugu yangu tuna shukulu Mungu katka dunia mungu ali umba watu waaina tofautu tofautu kiongozi wetu mkuu wa mkoa baba kign amesha jibu ombi lako kesho mungu ajalia mabitabu yako yanaaanza na ametoa sana sana lai usilie tena 🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@drsakilove99375 жыл бұрын
PORESANA NAKUMBUKA NILIKUONA LIVE KGM NIKAKWAMBIA HONGERA
@musachicharito11825 жыл бұрын
Mnagombea makanisa na sifa mtauana shauli zenu.
@laziapascal76215 жыл бұрын
Kwa mungu hakuna linalo shindikana mwite yeye atakuweka haii na utaishi tena
@kunambidingoka47965 жыл бұрын
Mungu atakuponya nguvu za shetani zivunjike kwa uwezo wake mungu.
@mtvmusic85075 жыл бұрын
Yesu yesu! Bwana wa wote wewe wajua ,ndiwe uwezaye kuwaokoa watakatifu na majalibu smama mwenyewe Bwana.
@nabilaomary69785 жыл бұрын
Pole kaka kweli imenitowa machozi mungu akupiganie ila nakusihi mwone mtumishi wa mungu mwamposa tumaini lako linarudi haraka sana anauwezo wa kimungu mkubwa mno
@haningtonemfaume25475 жыл бұрын
Mungu akuponye ili uendelee kumtumikia vyema amina utapona kwa jina la yesu.
@rosejoseph93785 жыл бұрын
Mungu msaidie pascal nyimbo inaumiza sana kweli ujafa ujaumbika hakuna anaeijua kesho yake
@nuraanyhans Жыл бұрын
Hii nyimbo imenifanya nikumbuke mbali sana Mungu azidi kukutia nguvu mtumishi wa Mungu barikiwa sana
@deboramoris64825 жыл бұрын
Mungu wangu nimeliaaa Pole sana mtumishi Mungu yupo pamoja nawe!!!
@upendomkufya23545 жыл бұрын
Mungu azidi kuonekania ktk wakati huu, najua nikuonavyo wewe nakuona kama Ayubu naamini ipo siku utasimama tena kwa ajili ya utukufu wa Mungu ,hakika hachelewi wala hawahi hata wakati AYUBU alipopitia magumu alisema nailaaniwe siku niliyozaliwa ,nakuombea mtumishi tena nguvu ya Mungu izidi kutenda kazi ndani yako .
@lubenamwalukasa88235 жыл бұрын
Ewe mwenyezi mungu msaidie mjawako kwani anateseka sana chochote nitakacho pata nitakutumia inauma sana tena sanaa wenye pesa awajuw shida 😥😥😥😥😥😥