Ila paula anaonekan mpole san jaman halaf ukiachan na mitandao kiuharisia huy bint han mambo mengi kabisa❤❤
@lovemwagala825911 ай бұрын
Kma vile ulikuwa kweny akili yangu jman
@khamismakame894411 ай бұрын
Kajala She's the very strong Mama Unastahili kupewa Pongezi kwa Miono ya Mwanao unavyomsimamiya Mungu Akubariki🙏Maisha yana njiya pili kuongokeya au kupoteya sasa kwa vyovyote duniani kila mmoja Ana lifestyle yake na Imani yake kutoka kwenye Dini au imani ya kifamiliya Kajala Unajaribu kuplaypart together na Mwanawe na kumsimamiya kwa hali yoyote ile ya Aibu au Ya Mafanikiyo nice one Kajala Paula Anakuwa Anajitengenezeya Brand kama Mama yake Mungu Amsimamiye Lakini Ajijenge kwenye Akili ya Maendeleo siyo kila siku sherehe
@FatumaBaruti-qw6jm11 ай бұрын
Kabisa yani ni mfano kwa kweeli mtu unatakiwa kumshika mtoto kwa chochote kile.abarikiwe.
@upendojames537811 ай бұрын
Kabisa Ni strong mama kwakwer kajala anastahilii pongezii yupo na mwanae kila mahalii
@florencemeza654011 ай бұрын
Nimegundua watu wana wivu saaaaaana na maisha ya paula na mamake dangeni basi na ninyi mpewe, maana hata wanaume ciku hizi wanaolewa
@roseamon790611 ай бұрын
Asaaaaanteeeee imeeeeenda hiyoooooooooo!
@chikusangalala775911 ай бұрын
😂😂😂😂kweli
@Barazs-t5k10 ай бұрын
Jamn mam hawez kumtup mwanae hakik nimepend na nawwish all the best wapendw na hay ni manen ya wat yataish tu helloooooooo😢
@Barazs-t5k10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ by janeth
@happymasha431811 ай бұрын
hongera sana na ubarikiwe mpendane hivo hivo na mungu awatangulie hadi raha jamani
@almaodhiamboodhiambo91711 ай бұрын
Ksjala your the sweetest mother ever 💗 💖
@aishavogelmann502111 ай бұрын
Congratulations, Mama na mtoto kwa duka mpaya ,Allah aibariki
@WardaSwalehe9 ай бұрын
Kwakweli wanastahili maua yao nawapenda sana❤❤❤
@nshimirimanacharlene898811 ай бұрын
Mama yangu ni rafiki yangu❤
@ushyentoabdulnunu804411 ай бұрын
Congrats sana sana ❤❤❤❤Allah awajalie sana
@LilianAchieng-bo9xo11 ай бұрын
Congratulations team paula🎉🎉🎉
@Barazs-t5k10 ай бұрын
Waooooooooooooow nimepend hiy
@LindaMbilinyi-n3n8 ай бұрын
Paula kazur Sanaa jmn❤❤❤
@paulinamajollo163711 ай бұрын
Hongereni sana mama na binti yake
@newassong598511 ай бұрын
Juma mungu anakuona
@aminmohammed424911 ай бұрын
Ila kajala kaanza kuliwa kitambo😢…em kumbuka zile songs za majaniii..Temba hapa😅 mpaka sa ivi we zombie
@Hotensia11 ай бұрын
Paula ni mrembo jamani
@FloraMbuya11 ай бұрын
Sio kama mamaake
@zuhuraMangapi11 ай бұрын
Hata we mrembo kumz yeye Kwan we mzuri hujatumiya mekaup kama hawa
@ashurahaji479411 ай бұрын
Mkwe ana heshima ila mama mkwe unamuonyesha vichupi vyako
@OfficialA8364011 ай бұрын
Mimba ipo wapi hapo jaman mnaijua mimba au mnaandika tu
@nancyg866411 ай бұрын
Wanaandika kutuvutia
@sweefatyprince11 ай бұрын
Nampenda kajl😮😮
@alineolivia239211 ай бұрын
Juma akimpepea uncle wake😂😂😂 juma mnafki sana aise 😂😂😂
@najmasalim-rg6ow11 ай бұрын
Mmmh! So Kwa kizazi changu
@aminabintisaid911311 ай бұрын
Jum lokol chaw🥰
@hanifamsenda-py8qu11 ай бұрын
Mtu na mke mwenza
@subrynerysegerow132311 ай бұрын
Guys she's 20 and something she's not a baby leave her alone
@صالحالصوافي-غ5و11 ай бұрын
Nawapenda nyie❤
@issazalala490711 ай бұрын
Daaah mama na mwana akiri sawa 😂
@dinaalfani11 ай бұрын
Nikajua n lapl jmn kumbe limebadrk 2❤❤❤ ila vzur limeongezek
@Barazs-t5k10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nawapend wote
@nuruabraham376911 ай бұрын
nimekupenda bure kajala hujaweka makuchakucha ❤❤❤
@graciek587211 ай бұрын
Kwani Paula hana confidence ya kujieleza????
@RehemaHussein-uv5yw11 ай бұрын
Congratulations
@upendojames537811 ай бұрын
Paula kamekuwa mpka saiv interview kanajibu vizur tu hakaogopi safii sana 😊
@gerlasvayahi844111 ай бұрын
Wa kwanza leo
@mongeramatondo132011 ай бұрын
Kwan huyu Paula si ameolewa au?? Sasa anaishi nyumbani kwq mama ake kivip
@tuunganefoundation30194 ай бұрын
❤️❤️❤️
@chikusangalala775911 ай бұрын
Anamimba sura inaonyesha kwa sisi wataramu
@GubraCity-dm5sx11 ай бұрын
Tena kubwa tu
@FarhatSeif-p3t9 ай бұрын
Yaani Lokole unanichekesha na huo upepeo wako😂
@AsmaAsma-hy7wp11 ай бұрын
Binadamu nyie mna kazi
@ashuraabdallah922911 ай бұрын
😂😂😂aaah juma mpk uso unakuchupa kwa uogo
@angelalyimo286211 ай бұрын
Mhh mnaongelea duka au mahusiano ya paula😂
@iyanboy478611 ай бұрын
Wa pili
@hawababy12011 ай бұрын
😅😅😅juma kazi unayo😅😅
@Zulfabrown11 ай бұрын
Kwel juma kazi unanyo😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@estermgeni194211 ай бұрын
🤣🤣
@happymasha431811 ай бұрын
wasikusumbue kama unaona anafaa zaa tena faster
@angelalyimo286211 ай бұрын
Juma❤
@vibetz999111 ай бұрын
Kajala anaongea kama toto dogo ,,haongei kama mzaz,,haongei kama professional business woman anaetangaza biasharA
@merinakassembe11811 ай бұрын
Atoe tena mahali nilifikiri katoa million. 100 hata hilo hatafunga tuu hWans kauli nhuri na wateja
Maneno kawaida yenu kama marioo analiwa pesa nenda basi nawe kamlie kama waweza acha wivu mtakalia hayo kafungua duka kamlia marioo jua linazama mna hayo tu wenzenu wapo mbali hata hamuwagusi
@lovemwagala825911 ай бұрын
@@roseamon7906👏👏
@SophiaAlagwa11 ай бұрын
Hujitambui ndo maana konde kawapitia wote wawili
@roseamon790611 ай бұрын
Wakati anawapitia mlikua na huyo konde? Kazi kuropoka mihemuko Haina maana
@Neema-lh8pi11 ай бұрын
Sasa anajifuta futa nin anakera
@joycesamwely789611 ай бұрын
Kajara hajazoea wig hapo ni kajikaz tuu joto hatar
@FloraMbuya11 ай бұрын
Haishi na marioo na unamuita marioo mkwe 😮
@roseamon790611 ай бұрын
Ni mkwe mtarajiwa kwahiyo lazima amuite mkwe
@NunuselemaniNkurunziza11 ай бұрын
Mimba Ipo kabisa
@user-12345love11 ай бұрын
Air condition
@mbikamtanganaki10 ай бұрын
Fyuuuuu kwahiyo aigwe Nini kuacha shule na kuliwa hovyo au
@MargertMumbi11 ай бұрын
Mtu na mamake akili sawa na ndio mana wanaliwa wote na Mtu mmoja
@akishamwende851511 ай бұрын
😮😮
@ViolethTemba-s3r11 ай бұрын
Acha wivu we mbwa
@marryfelician142611 ай бұрын
Kajala mawigi hayawezi maskini jotooo
@FloraMbuya11 ай бұрын
Marioo acpomlipa lokole atapata dhambi
@JudyAlucheshe11 ай бұрын
Kwa joto gan wacha ushenzi bibi
@lacheekah184911 ай бұрын
Pete tumeiooonaaa
@DivahTrice11 ай бұрын
paula jamn ni mfano wa kuigwa kwa mabinti
@najmasalim-rg6ow11 ай бұрын
Mmmh! So Kwa kizazi changu
@graciek587211 ай бұрын
Hamna lolote!
@SophiaAlagwa11 ай бұрын
We bibi umeshazeeka
@roseamon790611 ай бұрын
Analingana na mama mzazi aliekuza au bibi yako kwanza unamuita bibi yawezekana huyo Kwako ni sister Ako acha kashfa