PAULA AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA KUHUSU MIMBA YAKE NA MARIOO/KAJALA MARIOO NI MKWE ATOE MAHARI

  Рет қаралды 67,831

Carrymastory

Carrymastory

Күн бұрын

#PAULA #KAJALA #PAULANAKAJALA #MARIOONAPAULA #carrymastorytv

Пікірлер: 92
@joycesamwely7896
@joycesamwely7896 11 ай бұрын
Ila paula anaonekan mpole san jaman halaf ukiachan na mitandao kiuharisia huy bint han mambo mengi kabisa❤❤
@lovemwagala8259
@lovemwagala8259 11 ай бұрын
Kma vile ulikuwa kweny akili yangu jman
@khamismakame8944
@khamismakame8944 11 ай бұрын
Kajala She's the very strong Mama Unastahili kupewa Pongezi kwa Miono ya Mwanao unavyomsimamiya Mungu Akubariki🙏Maisha yana njiya pili kuongokeya au kupoteya sasa kwa vyovyote duniani kila mmoja Ana lifestyle yake na Imani yake kutoka kwenye Dini au imani ya kifamiliya Kajala Unajaribu kuplaypart together na Mwanawe na kumsimamiya kwa hali yoyote ile ya Aibu au Ya Mafanikiyo nice one Kajala Paula Anakuwa Anajitengenezeya Brand kama Mama yake Mungu Amsimamiye Lakini Ajijenge kwenye Akili ya Maendeleo siyo kila siku sherehe
@FatumaBaruti-qw6jm
@FatumaBaruti-qw6jm 11 ай бұрын
Kabisa yani ni mfano kwa kweeli mtu unatakiwa kumshika mtoto kwa chochote kile.abarikiwe.
@upendojames5378
@upendojames5378 11 ай бұрын
Kabisa Ni strong mama kwakwer kajala anastahilii pongezii yupo na mwanae kila mahalii
@florencemeza6540
@florencemeza6540 11 ай бұрын
Nimegundua watu wana wivu saaaaaana na maisha ya paula na mamake dangeni basi na ninyi mpewe, maana hata wanaume ciku hizi wanaolewa
@roseamon7906
@roseamon7906 11 ай бұрын
Asaaaaanteeeee imeeeeenda hiyoooooooooo!
@chikusangalala7759
@chikusangalala7759 11 ай бұрын
😂😂😂😂kweli
@Barazs-t5k
@Barazs-t5k 10 ай бұрын
Jamn mam hawez kumtup mwanae hakik nimepend na nawwish all the best wapendw na hay ni manen ya wat yataish tu helloooooooo😢
@Barazs-t5k
@Barazs-t5k 10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ by janeth
@happymasha4318
@happymasha4318 11 ай бұрын
hongera sana na ubarikiwe mpendane hivo hivo na mungu awatangulie hadi raha jamani
@almaodhiamboodhiambo917
@almaodhiamboodhiambo917 11 ай бұрын
Ksjala your the sweetest mother ever 💗 💖
@aishavogelmann5021
@aishavogelmann5021 11 ай бұрын
Congratulations, Mama na mtoto kwa duka mpaya ,Allah aibariki
@WardaSwalehe
@WardaSwalehe 9 ай бұрын
Kwakweli wanastahili maua yao nawapenda sana❤❤❤
@nshimirimanacharlene8988
@nshimirimanacharlene8988 11 ай бұрын
Mama yangu ni rafiki yangu❤
@ushyentoabdulnunu8044
@ushyentoabdulnunu8044 11 ай бұрын
Congrats sana sana ❤❤❤❤Allah awajalie sana
@LilianAchieng-bo9xo
@LilianAchieng-bo9xo 11 ай бұрын
Congratulations team paula🎉🎉🎉
@Barazs-t5k
@Barazs-t5k 10 ай бұрын
Waooooooooooooow nimepend hiy
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 8 ай бұрын
Paula kazur Sanaa jmn❤❤❤
@paulinamajollo1637
@paulinamajollo1637 11 ай бұрын
Hongereni sana mama na binti yake
@newassong5985
@newassong5985 11 ай бұрын
Juma mungu anakuona
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 11 ай бұрын
Ila kajala kaanza kuliwa kitambo😢…em kumbuka zile songs za majaniii..Temba hapa😅 mpaka sa ivi we zombie
@Hotensia
@Hotensia 11 ай бұрын
Paula ni mrembo jamani
@FloraMbuya
@FloraMbuya 11 ай бұрын
Sio kama mamaake
@zuhuraMangapi
@zuhuraMangapi 11 ай бұрын
Hata we mrembo kumz yeye Kwan we mzuri hujatumiya mekaup kama hawa
@ashurahaji4794
@ashurahaji4794 11 ай бұрын
Mkwe ana heshima ila mama mkwe unamuonyesha vichupi vyako
@OfficialA83640
@OfficialA83640 11 ай бұрын
Mimba ipo wapi hapo jaman mnaijua mimba au mnaandika tu
@nancyg8664
@nancyg8664 11 ай бұрын
Wanaandika kutuvutia
@sweefatyprince
@sweefatyprince 11 ай бұрын
Nampenda kajl😮😮
@alineolivia2392
@alineolivia2392 11 ай бұрын
Juma akimpepea uncle wake😂😂😂 juma mnafki sana aise 😂😂😂
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 11 ай бұрын
Mmmh! So Kwa kizazi changu
@aminabintisaid9113
@aminabintisaid9113 11 ай бұрын
Jum lokol chaw🥰
@hanifamsenda-py8qu
@hanifamsenda-py8qu 11 ай бұрын
Mtu na mke mwenza
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 11 ай бұрын
Guys she's 20 and something she's not a baby leave her alone
@صالحالصوافي-غ5و
@صالحالصوافي-غ5و 11 ай бұрын
Nawapenda nyie❤
@issazalala4907
@issazalala4907 11 ай бұрын
Daaah mama na mwana akiri sawa 😂
@dinaalfani
@dinaalfani 11 ай бұрын
Nikajua n lapl jmn kumbe limebadrk 2❤❤❤ ila vzur limeongezek
@Barazs-t5k
@Barazs-t5k 10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nawapend wote
@nuruabraham3769
@nuruabraham3769 11 ай бұрын
nimekupenda bure kajala hujaweka makuchakucha ❤❤❤
@graciek5872
@graciek5872 11 ай бұрын
Kwani Paula hana confidence ya kujieleza????
@RehemaHussein-uv5yw
@RehemaHussein-uv5yw 11 ай бұрын
Congratulations
@upendojames5378
@upendojames5378 11 ай бұрын
Paula kamekuwa mpka saiv interview kanajibu vizur tu hakaogopi safii sana 😊
@gerlasvayahi8441
@gerlasvayahi8441 11 ай бұрын
Wa kwanza leo
@mongeramatondo1320
@mongeramatondo1320 11 ай бұрын
Kwan huyu Paula si ameolewa au?? Sasa anaishi nyumbani kwq mama ake kivip
@tuunganefoundation3019
@tuunganefoundation3019 4 ай бұрын
❤️❤️❤️
@chikusangalala7759
@chikusangalala7759 11 ай бұрын
Anamimba sura inaonyesha kwa sisi wataramu
@GubraCity-dm5sx
@GubraCity-dm5sx 11 ай бұрын
Tena kubwa tu
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t 9 ай бұрын
Yaani Lokole unanichekesha na huo upepeo wako😂
@AsmaAsma-hy7wp
@AsmaAsma-hy7wp 11 ай бұрын
Binadamu nyie mna kazi
@ashuraabdallah9229
@ashuraabdallah9229 11 ай бұрын
😂😂😂aaah juma mpk uso unakuchupa kwa uogo
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 11 ай бұрын
Mhh mnaongelea duka au mahusiano ya paula😂
@iyanboy4786
@iyanboy4786 11 ай бұрын
Wa pili
@hawababy120
@hawababy120 11 ай бұрын
😅😅😅juma kazi unayo😅😅
@Zulfabrown
@Zulfabrown 11 ай бұрын
Kwel juma kazi unanyo😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@estermgeni1942
@estermgeni1942 11 ай бұрын
🤣🤣
@happymasha4318
@happymasha4318 11 ай бұрын
wasikusumbue kama unaona anafaa zaa tena faster
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 11 ай бұрын
Juma❤
@vibetz9991
@vibetz9991 11 ай бұрын
Kajala anaongea kama toto dogo ,,haongei kama mzaz,,haongei kama professional business woman anaetangaza biasharA
@merinakassembe118
@merinakassembe118 11 ай бұрын
Atoe tena mahali nilifikiri katoa million. 100 hata hilo hatafunga tuu hWans kauli nhuri na wateja
@janethpPoul
@janethpPoul 5 ай бұрын
Namuona lokole
@CandyJoseph-n9g
@CandyJoseph-n9g 11 ай бұрын
Paula anamimba ya diamond😂😂😂😂😂😂
@estermgeni1942
@estermgeni1942 11 ай бұрын
🤣🤣🤣
@FarhatSeif-p3t
@FarhatSeif-p3t 9 ай бұрын
Kajala usivae wigi
@aishabakari8040
@aishabakari8040 11 ай бұрын
Marioo ukimaliza kuliwa hivo vipesa utatafuta buyu ukakune😂😂😂😂
@roseamon7906
@roseamon7906 11 ай бұрын
Maneno kawaida yenu kama marioo analiwa pesa nenda basi nawe kamlie kama waweza acha wivu mtakalia hayo kafungua duka kamlia marioo jua linazama mna hayo tu wenzenu wapo mbali hata hamuwagusi
@lovemwagala8259
@lovemwagala8259 11 ай бұрын
​@@roseamon7906👏👏
@SophiaAlagwa
@SophiaAlagwa 11 ай бұрын
Hujitambui ndo maana konde kawapitia wote wawili
@roseamon7906
@roseamon7906 11 ай бұрын
Wakati anawapitia mlikua na huyo konde? Kazi kuropoka mihemuko Haina maana
@Neema-lh8pi
@Neema-lh8pi 11 ай бұрын
Sasa anajifuta futa nin anakera
@joycesamwely7896
@joycesamwely7896 11 ай бұрын
Kajara hajazoea wig hapo ni kajikaz tuu joto hatar
@FloraMbuya
@FloraMbuya 11 ай бұрын
Haishi na marioo na unamuita marioo mkwe 😮
@roseamon7906
@roseamon7906 11 ай бұрын
Ni mkwe mtarajiwa kwahiyo lazima amuite mkwe
@NunuselemaniNkurunziza
@NunuselemaniNkurunziza 11 ай бұрын
Mimba Ipo kabisa
@user-12345love
@user-12345love 11 ай бұрын
Air condition
@mbikamtanganaki
@mbikamtanganaki 10 ай бұрын
Fyuuuuu kwahiyo aigwe Nini kuacha shule na kuliwa hovyo au
@MargertMumbi
@MargertMumbi 11 ай бұрын
Mtu na mamake akili sawa na ndio mana wanaliwa wote na Mtu mmoja
@akishamwende8515
@akishamwende8515 11 ай бұрын
😮😮
@ViolethTemba-s3r
@ViolethTemba-s3r 11 ай бұрын
Acha wivu we mbwa
@marryfelician1426
@marryfelician1426 11 ай бұрын
Kajala mawigi hayawezi maskini jotooo
@FloraMbuya
@FloraMbuya 11 ай бұрын
Marioo acpomlipa lokole atapata dhambi
@JudyAlucheshe
@JudyAlucheshe 11 ай бұрын
Kwa joto gan wacha ushenzi bibi
@lacheekah1849
@lacheekah1849 11 ай бұрын
Pete tumeiooonaaa
@DivahTrice
@DivahTrice 11 ай бұрын
paula jamn ni mfano wa kuigwa kwa mabinti
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 11 ай бұрын
Mmmh! So Kwa kizazi changu
@graciek5872
@graciek5872 11 ай бұрын
Hamna lolote!
@SophiaAlagwa
@SophiaAlagwa 11 ай бұрын
We bibi umeshazeeka
@roseamon7906
@roseamon7906 11 ай бұрын
Analingana na mama mzazi aliekuza au bibi yako kwanza unamuita bibi yawezekana huyo Kwako ni sister Ako acha kashfa
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 11 ай бұрын
Joto la dar hilo daa hamna vi feni vya mikononi
@roseamon7906
@roseamon7906 11 ай бұрын
Umeme hakuna
@estermtambala4181
@estermtambala4181 11 ай бұрын
Congratulations
@امنةعلي-ي1ظ
@امنةعلي-ي1ظ 11 ай бұрын
❤❤❤
ЭТО НАСТОЯЩАЯ МАГИЯ😬😬😬
00:19
Chapitosiki
Рет қаралды 3,6 МЛН
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 22 МЛН
FULL VIDEO: KAJALA Amuomba Radhi P, Majani wakumbatiana...
6:50
EFM TANZANIA
Рет қаралды 360 М.
THANSGIVING DINNER DATE For BEBII - Dem wa Fb & Oga Obinna
18:30
The Weekly Show KE
Рет қаралды 26 М.
Paula kajala Vs Kajala masanja nan mkali
8:28
Eshe Salum
Рет қаралды 87 М.
ЭТО НАСТОЯЩАЯ МАГИЯ😬😬😬
00:19
Chapitosiki
Рет қаралды 3,6 МЛН