PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 25 | Love Story

  Рет қаралды 48,172

DONTA TV

DONTA TV

Күн бұрын

Пікірлер: 1 000
@Dontatv255
@Dontatv255 3 сағат бұрын
AYA JAMANI LIKE ZIKIFIKA 1000 TUNAACHIA EPISODE YA 26
@RatifaIssa-oi1zu
@RatifaIssa-oi1zu 3 сағат бұрын
Yaan Kev utume kil siku ikiwezekn asubui na usiku
@marcusmagova-ti5xz
@marcusmagova-ti5xz 3 сағат бұрын
Mnachelewa jmn
@kabongaaman7156
@kabongaaman7156 3 сағат бұрын
Zinafika 2000 ila jitaidi uongeze na dkk pia mhn hii ni kiboko ya daktari😂😂😂😊
@HudhaimatHaji-wf8nh
@HudhaimatHaji-wf8nh 3 сағат бұрын
​@@RatifaIssa-oi1zu😂😂😂kwa kweliii bora
@ELIAMICHAEL46
@ELIAMICHAEL46 3 сағат бұрын
Ucjalii wala Mzee
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 3 сағат бұрын
Ambao tunaomba mipango ya mama tina na mumewe ifeli ili wahumbuke pease like hapa tujuane,,,😅😅😅😅😂😂😂😂😂
@Farthun
@Farthun 2 сағат бұрын
Naita feli kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MarthaNyangoto
@MarthaNyangoto 2 сағат бұрын
Tayali wameumbuka washenzi sana 😂😂😂
@HappyJumwa-h9e
@HappyJumwa-h9e Сағат бұрын
tyr imeaanza kufeli wapuuz hawa tamaa tuu
@Mkambe-tr3iz
@Mkambe-tr3iz Сағат бұрын
❤❤❤❤
@aaminaasljbgbvf745
@aaminaasljbgbvf745 Сағат бұрын
Sana tuuu mambonimoto 😆😆😆
@Jeremiah798
@Jeremiah798 3 сағат бұрын
Tunao muombea Kelvin afike 700k🎉🎉 subscribers huu mwezi tujuane❤❤
@نيجي-ن1د
@نيجي-ن1د 55 минут бұрын
Akizingatia tu kutuletea vitu kwa wakati hiyo ni rahis sana
@judithpendo9985
@judithpendo9985 2 сағат бұрын
Ila kelvin wamletea matatizo loveness jmn 😢😢team strong hoyeeeeeeeeee team donta family 🤗🤗 nawapenda nikiwa 🇸🇦🇰🇪🥰 Riyadh
@SalwaAsso
@SalwaAsso Сағат бұрын
Uko riadh sehmu gn
@CarolinekaladzeJambo
@CarolinekaladzeJambo Сағат бұрын
Hoyeee ❤❤
@JohnAdam-m7o
@JohnAdam-m7o Сағат бұрын
Riyadh 😅😅
@MariaAgustinou
@MariaAgustinou 57 минут бұрын
Hoyeee
@MariaAgustinou
@MariaAgustinou 56 минут бұрын
Tujuane Jaman kitu nacheki nipo Dubai ongera Kevin kwani unatupa raaa💯💯🥰🫶❤️
@JosephDismas-f7w
@JosephDismas-f7w 3 сағат бұрын
🎉❤🎉 ahsante kaka kelvn kwa saplize ii ❤ wanaokubali gonga like apa please
@MussaMatata-d7v
@MussaMatata-d7v 3 сағат бұрын
Mimi wakwanza jamani nimewahi..unaesoma comment hii mungu akubariki sana..ata mkinipa like sio mbaya..😎😎😎😎
@cartoonpati2914
@cartoonpati2914 45 минут бұрын
Amen
@lucywaithira-li8jz
@lucywaithira-li8jz 38 минут бұрын
Amen
@MussaMatata-d7v
@MussaMatata-d7v 23 минут бұрын
🙏
@Scholaticatoyi
@Scholaticatoyi 17 минут бұрын
Amen 🙏
@mejumaaramadhan8811
@mejumaaramadhan8811 3 сағат бұрын
Mm wa kwanza from kenya 🎉 kama wewe n mkenya gonga like plz
@FaidhaRamadhani-p6i
@FaidhaRamadhani-p6i 2 сағат бұрын
Jaman vipenz vya lovenes na kelvin mje hapa ❤ nawapenda sana donta tv mungu azidi kuwabariki katika kazi zenu❤🎉🎉🎉🎉
@JosephatiJumanne
@JosephatiJumanne Сағат бұрын
Nakupenda dadaa
@fahilashukuru1476
@fahilashukuru1476 3 сағат бұрын
Like zenu kwa wingi kama mnamkubari loveness kuwa Mrs kevi
@ZeinabBakar-je4nr
@ZeinabBakar-je4nr 3 сағат бұрын
Tunao peda kazi ya team ya dnt alafu mm wakwanza naombeni like kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤❤❤ tuko pamoja
@glorymanga3650
@glorymanga3650 3 сағат бұрын
Nipo hapaa wa kwanza ilaa wacha tuangalie movie kwanza❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Jennifersenkondo-h7z
@Jennifersenkondo-h7z 3 сағат бұрын
Jaman me Leo wakanza naomben like❤❤❤❤
@VictoriaDawiteh
@VictoriaDawiteh 2 сағат бұрын
🙋
@Trizahteryy
@Trizahteryy 3 сағат бұрын
Jamani tangu nianze kuwatch hii kipindi hakuna like niliopata tafadhali team Kevin Anguka na like kama unampenda ❤❤❤❤❤❤❤
@MugabeMedard-yf9jn
@MugabeMedard-yf9jn 3 сағат бұрын
Nawatakia jumapili njema nyote mungu awe nanti . ila kama utafurahi kelvin wakiachana na tina gonga hapo
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 3 сағат бұрын
Yoyote uatakayesoma hii comment mungu akubalik ww na uzao wawe na tabia nzuri kama loveness na ambao tunaomba tina haachike na kelvin please like tujuane💕💕💕💕💕💕💕
@HappynessJoseph-s1e
@HappynessJoseph-s1e 2 сағат бұрын
🎉🎉🎉
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 2 сағат бұрын
😂❤
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 2 сағат бұрын
❤❤❤
@SofiyaSur
@SofiyaSur Сағат бұрын
Mimi naomba kwanza tina afumaniwe na kevlini
@trueone365
@trueone365 3 сағат бұрын
Number one from Burundian tunawapenda Sana nipeni izo like ata mbili zinatosha
@Kabybukavu
@Kabybukavu 3 сағат бұрын
Wakwanza fro dr conco naomba ata liké kumi jmn❤❤❤
@fardamkali5866
@fardamkali5866 3 сағат бұрын
Duh yaaan dk 1 tu tayar tunakanyagana kwenye coment. Love it na like nyinginyingi
@MustyNgongo
@MustyNgongo 3 сағат бұрын
Wakwanza leooooo🎉🎉🎉🎉 ata like ishirini tu🙄🙄🙄 sinema yetu pendwa tuliekuwa tunaisubilia kwa ham
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 3 сағат бұрын
kila mtu wa kwnza wa pil na wa Mwish nani
@jamesmutisya5754
@jamesmutisya5754 3 сағат бұрын
Nimewahi Leo,,,ebu piga like tukisonga
@StellaKahindi-m8b
@StellaKahindi-m8b 3 сағат бұрын
Nimewahi leo kutoka Kenya 🇰🇪tuliokuwa tukisubiri mtoto wa boss kwa hamu gonga like tukisonga nawapenda sana isei ❤❤❤❤👌
@JoyGacheri-e5j
@JoyGacheri-e5j 2 сағат бұрын
Uko sure wewe ni mkenya😂😂😂😂
@InukaUangaze-s3y
@InukaUangaze-s3y 3 сағат бұрын
Wapi nduruuuuuu kujeni huku ndio kwetu ❤❤❤❤bureee kwa mafunzo mazuri
@JeniferMassawe-y8n
@JeniferMassawe-y8n 2 сағат бұрын
Yesss ❤❤❤ yaaaani umenifurahisha sana kujuwa ukweli kujuwa ulikuwa na watua ambao siyo house girl nidiye mke wakweli na ila tinaa siyoooooo alafu usimsahau dayana na mama yake kumtibia keep it up dayana ❤❤❤❤❤❤
@JudyJm-y3y
@JudyJm-y3y 2 сағат бұрын
Wauuuuuu leo babake Kevin makofi kwako naona love naeda kupata mwenye hekima ❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@GraceKenya-i4j
@GraceKenya-i4j 2 сағат бұрын
Thanks so much bro kwakutochelewesha episode 🎉🎉🎉 nakwakua leo n Sunday naomba yeyote atakae soma n kulike comment hii Mungu ampe afya, uzima,n tamaniyo la moyo wake 🙏🙏🙏💞💞💞🇰🇪
@WilliamJoel-kz2jv
@WilliamJoel-kz2jv 3 сағат бұрын
One love nimewah leo❤❤🎉🎉
@نملةالمقبالي
@نملةالمقبالي 3 сағат бұрын
Angalau na Mimi Leo nimewahi naomba like kamani❤❤❤
@hodamzungu4107
@hodamzungu4107 3 сағат бұрын
jamani leo nimewahi naomba like zangu sikwaubaya lakin❤❤❤❤
@HudhaimatHaji-wf8nh
@HudhaimatHaji-wf8nh 3 сағат бұрын
nimewahi jmn leo asant donta tv week hii nyingi rahaa❤🎉😊
@Viviankemunto-p4k
@Viviankemunto-p4k 3 сағат бұрын
Hpo sasa hyu ndio kelvin yule tunajua 😂siku Moja mbili unachia mzigo hongera sana Wana donta Tv 🎉🎉🎉🎉
@Purryjacob
@Purryjacob 3 сағат бұрын
First one from kenya i deserve my likes 🎉
@rtrw708
@rtrw708 3 сағат бұрын
Hha nyie tu ni kuomba liké Mimi Léo siwapi ata moja😂😂 mareshe
@MercyChepngeno-c1j
@MercyChepngeno-c1j 3 сағат бұрын
Jamani Kevin tunapongeza kazi nzuri mnayoifanya❤❤❤
@ZuwenaOmar-xk6gq
@ZuwenaOmar-xk6gq Сағат бұрын
Iko bomba saana, Nipeni hizo like namimi wlnijisikie nina wadau jaamn kweny hii move kali
@SaideZainune
@SaideZainune 3 сағат бұрын
Mimi apa wakuanza kutoka mozambique naomba like zangu
@Ellywangu
@Ellywangu 3 сағат бұрын
Wakwanza Leo nipeni likes za loveness❤
@SofiaMwashasha
@SofiaMwashasha 2 сағат бұрын
Diana congratulations 👏 you have done ✅ a good job 🎉🎉🎉 much love you siz
@jajauwimana
@jajauwimana 3 сағат бұрын
Leo sija chelewa naitaji hâta marafiki 5 wenye wako 🇸🇦🇸🇦tujuwane kweli❤❤
@AshaKomboBakar-ve9bw
@AshaKomboBakar-ve9bw Сағат бұрын
@jajauwimana
@jajauwimana Сағат бұрын
@@AshaKomboBakar-ve9bw ❤❤
@Channah254
@Channah254 Сағат бұрын
❤❤here
@jajauwimana
@jajauwimana Сағат бұрын
@@Channah254 ❤❤
@jajauwimana
@jajauwimana Сағат бұрын
@@Renny2080 yes❤
@Mokayaduke
@Mokayaduke 3 сағат бұрын
Leo mimi wa kwanza wapi like za loviness😅
@VincentEkiteles
@VincentEkiteles 3 сағат бұрын
Wa kwanza wapi likes zangu kutoka kenya
@SafiMarieCarmella
@SafiMarieCarmella 3 сағат бұрын
Jamanii wapili leo namimi naombeni like leo nawapenda nyote ndugu zangu❤️
@janethsanga-p6l
@janethsanga-p6l 2 сағат бұрын
Nimependa ukalimu wa candy kwa loveness apewe maua yakeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@famidaally2665
@famidaally2665 2 сағат бұрын
Wangapi wanatamani family ya tina ifeli kama mm 😂😂😂❤❤❤
@Encky3v
@Encky3v 31 минут бұрын
Mpaka hap washafeli sanaaa
@HidayaMbodze
@HidayaMbodze 2 сағат бұрын
Huree tina ameshikwa huku nako diana kafanya ile kitu. Alafu mama kelvin kuumbuka ilhali Kelvin ka win 😂😂😂😂
@TeshmonyAntonio
@TeshmonyAntonio 3 сағат бұрын
kelvin can I advice you to break up with your woman and start a relationship loveness may God will forgive you bro
@FauzCarlos
@FauzCarlos 3 сағат бұрын
Nimekula wa kwanza kulike nipe like zangu
@bahindwaghislain
@bahindwaghislain 3 сағат бұрын
Watu wamekuwa ni wengi mno. Kelvin nazani ungechukuwa kazi🤝
@DoreenKabeby-kw4bj
@DoreenKabeby-kw4bj 3 сағат бұрын
Leo pia nmewai naomba likes ❤️❤️❤️❤️❤️❤️💋💋
@WellngtonpeterJapeth
@WellngtonpeterJapeth 3 сағат бұрын
Me pia nawaomba like
@Namly_mulas
@Namly_mulas 3 сағат бұрын
Hay jamani leo nimewahi nipeni hizo like zenu ❤😂🎉
@Najmahnyangasi
@Najmahnyangasi 2 сағат бұрын
Oyaaaa wa mwisho huyu yuataka like na yeye 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉kazi nzuri sana Kelvin ❤❤❤❤
@LUGALILAISACK
@LUGALILAISACK 3 сағат бұрын
Npo apa mwamba wa kwanz ad Kelvin mwenyew nmemuwah
@SadaDjuma-e9b
@SadaDjuma-e9b 2 сағат бұрын
Amani ya Mungu iwe juu yetu sisi ote tunaofuatiliya hii movies ya Donta TV,ninawaombea kwa Mungu awape Afya njema,Riski nyingi,awape pia nguvu,awakinge na kila mabaya, awape Ulinzi siku zote za Maisha yenu napia awape mwisho mwema. Aaaaameeen 🤲
@paulinemkambe8121
@paulinemkambe8121 Сағат бұрын
Hatimaye loveness ni Mrs Kelvin ❤❤❤❤alhamndulillahi
@MwasemaFadhili
@MwasemaFadhili 3 сағат бұрын
Leo wa Kwanza like wap
@NasmaBahati
@NasmaBahati 3 сағат бұрын
Wakwanza jaman like zangu😅😅😅😅
@eligiverlema524
@eligiverlema524 3 сағат бұрын
Mnanifurahisha mno,hamcheleweshi siku hizi😊😊😊😊
@AdeleVict
@AdeleVict 2 сағат бұрын
Imesha fika ,achiya 26
@moreenfelluzy3243
@moreenfelluzy3243 Сағат бұрын
Mkisifiw bas msiw mnachelewesh sas jmn
@RAMADHANCHANDE-t3s
@RAMADHANCHANDE-t3s Сағат бұрын
Ni kheri ukweli umeanza kujulikana kama umependa ukweli kuanza kujulikana gonga like hapa
@wilmotkarisa6174
@wilmotkarisa6174 3 сағат бұрын
Hapa naona TALAKA yamuelekea Tina na NDOA ikimuelea LOVENESS❤❤❤ Kama umeliona hilo hebu reply hapa....na usisahau kugonga like💪
@AshaMohd-u7n
@AshaMohd-u7n Сағат бұрын
Nitafrai sn kelvin kumuoa love ness . Ninswatayarishia bonge la gift🎉
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 Сағат бұрын
Msha maliza kutazama penye nia pana njia Penye Kheir Hapakosi shariii
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 Сағат бұрын
Fatuma Mke wa ally na Tina au aisha mke kisi au kizinjaa Mwengine Mmeingiaje humu Jman Aziza na Amina wako Wapi
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 57 минут бұрын
Mchumia Juani Hulia Kivulini,,, loveness Wangu Neema Kwako Sasa umeteseka sana kwa Kweli Allah anasema alio pendelewa kheir,, Hupewa Mitihan
@HappynessJoseph-k2d
@HappynessJoseph-k2d 46 минут бұрын
Wote mnaotamani tina afanikiweee😂😂.......mkuje na like zenu hapa😁😁
@SdFft-j5g
@SdFft-j5g 2 сағат бұрын
Alfu Diana asantee kwa kuwaambia ukweli wa mambo wazazi wke na kelvi afadhali wamekua ss🎉🎉🎉
@MalkaNinik
@MalkaNinik 2 сағат бұрын
Nimefurahia sana huyu dada alivyo fanya bila kuchelewesha kwasababu ya mamake
@SdFft-j5g
@SdFft-j5g 14 минут бұрын
@@MalkaNinik kabisaa, alfu tukute next episode ety alikua ni mawazo au ndoto tuu😂😂😂😂
@Christine-ho5us
@Christine-ho5us 47 минут бұрын
Jamani leo niko na furaha sana Daina umecheza vizuri sana wote wamefurai kama mimi koga like tukizonga
@FurahaChristine-g8w
@FurahaChristine-g8w 2 сағат бұрын
Thank you baba Kelvin una ni furahisha sana tena n'a huyo malaya Tina awo ndoke arudi nyumbani kwa woo siyo mwanamuke kabisa
@Jojo-y7k8g
@Jojo-y7k8g Сағат бұрын
Daah wenye watafulahi Kevin akimuowa Lavi gongeni like hapa from Burundi ❤❤❤
@NyenjeNdeu-u6p
@NyenjeNdeu-u6p 3 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Mimi naona nikiandika haitoshi nimerekodi voice note👇 ▶︎•|၊|။||||။၊|။|||။|||။ 03:53
@narutonaruto4303
@narutonaruto4303 2 сағат бұрын
Umenishinda tabia😅😅😅
@IMAAMUHALLY
@IMAAMUHALLY 56 минут бұрын
Nimechelewa wapi mimi hapa kutoka south kusin like zen mungu akubaliki
@VictoriaNkole
@VictoriaNkole 2 сағат бұрын
Secretary anajua kunifuraish kiukwel yupo vzr, next pleaz
@SheilaMbajira
@SheilaMbajira Сағат бұрын
Jamni Leo hata kama mm ni wa mwisho naomba like kwa kazi nzuri ya wana donta TV
@EmmaculateNzembei-gl1gq
@EmmaculateNzembei-gl1gq 3 сағат бұрын
Thank tulikuwa twaa suburbia sana kumuona loveness
@musanaberanyiratungane7119
@musanaberanyiratungane7119 38 минут бұрын
Jamani tamaa nimbaya na usaliti pia nimbaya ❤❤❤❤❤❤❤❤
@papysalume9881
@papysalume9881 Сағат бұрын
Uhu demu na mukubali sana❤❤❤more love ❤️ 🇿🇦🇿🇦
@annaki318
@annaki318 2 сағат бұрын
Nilichojua Leo ni kwamba hii movie inawadau wengi sanaaa . Aloooooo weeeeeeeeeee DONTA TV burudani kwa woteeee😂❤❤
@augustinbayaga5346
@augustinbayaga5346 3 сағат бұрын
Wa 6 from Burundi 🇧🇮 mnipe like zangu😂
@AaAa-tf7sl
@AaAa-tf7sl 3 сағат бұрын
Waaah Leo umetuweza kka Kelvin ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@EliyaEstomih
@EliyaEstomih 3 сағат бұрын
Wa kwanza leo naomba like zangu hamjawai kunipa ata Moja ata jamani ❤❤❤❤
@SharonShanny-d7t
@SharonShanny-d7t 30 минут бұрын
wooow kazi nzuri,,kweli shetani hana mamlaka yoyote na mipango ya nwenyezi Mungu,,lazima mama tina na babaake wakule kivumbi🎉🎉🎉
@Deborahdepsy-qh4rj
@Deborahdepsy-qh4rj 3 сағат бұрын
Jamani wenye tunaomba Tina apatikane araka mama ya kelvin ajue tabia zake navile anapenda kutetea sana
@MargretMburu-z2x
@MargretMburu-z2x 18 минут бұрын
Film zenyu donta Kwa kweli ni tamu na zenye mafunzo sana hongereni wasani wote WA donta❤❤🎉
@ivybrown958
@ivybrown958 3 сағат бұрын
Wa kwanza leo naomben likes my loves❤❤❤❤
@JastFinancial02
@JastFinancial02 Сағат бұрын
Nilikwambia 25 inatoka leo like zangu jaman 🤲
@EveHerbat
@EveHerbat 3 сағат бұрын
Jmn namm nimewahi Leo naombeni like❤️
@AsifiweImani
@AsifiweImani Сағат бұрын
Wale watakao soma iyi comment mungu abariki kazi zao, baba Kevin amegudua km wanataka kuiba mali yake kazi nzuri sn kbs .❤❤❤🎉🎉🎉
@SmartyClintz
@SmartyClintz 3 сағат бұрын
Wa kwanza kucomment +254❤❤
@NdayishimiyeAgnes-of2tn
@NdayishimiyeAgnes-of2tn Сағат бұрын
Wow hongera baba kelvin,waliomkubali Diana kwa alichokifanya kufikisha taarifa kwa baba kelvin kuhusu familia ya akina Tina msipite tujuane
@TeshmonyAntonio
@TeshmonyAntonio 2 сағат бұрын
finally mmefikia kwenye tulikuwa tunahitaji tunaona sasa mambo yanaenda vigood
@candidamushi-se9mb
@candidamushi-se9mb 51 минут бұрын
Afadhali Leo duu baba Kev bigup
@catestano
@catestano 3 сағат бұрын
Wakwanza leo like zangu kutoka kwnya
@JamesWisdomtz
@JamesWisdomtz 3 сағат бұрын
Wakwanza Leo ila sijawahi kupata hata likes10😢😢😢
@JastFinancial02
@JastFinancial02 Сағат бұрын
Wanasapoti hii drama ya @DONTA TV Isihishe iwe mwendelezo like zenu hapa tuwatambue
@adelaa.magnusy5820
@adelaa.magnusy5820 3 сағат бұрын
Waoooo!! Huy ndiy Kevi sasa kazi on time
@MwanamkuuMwalinendo
@MwanamkuuMwalinendo 2 сағат бұрын
Walio na rahaa km mm kwa mipango ya familia ya Tina kujulikana tijuane kwa like
@JanethMasawe-q5y
@JanethMasawe-q5y 3 сағат бұрын
Wa kwanza Leo jaman like zangu
@Bahati-qd3dj
@Bahati-qd3dj Сағат бұрын
Congrats❤❤kazi nzuri👌👌big up👏👏👏
@ElizabethGodfrey-u4n
@ElizabethGodfrey-u4n 3 сағат бұрын
Kazi nzuri❤❤❤
@Mzawadi
@Mzawadi Сағат бұрын
Daaaaah Hy movie 😢🔥
@bvrmusica
@bvrmusica 3 сағат бұрын
Wakwanza from kenya🇰🇪🇰🇪 wapi likes za wakenya
@StevenEzekiel-nb8ev
@StevenEzekiel-nb8ev 3 сағат бұрын
Leo wa kwanz mimi jamn like zangu wap😮😢❤❤
@meikoking
@meikoking 3 сағат бұрын
Wakwanza like zangu jamani😂😂😂
@medarute-yo6qz
@medarute-yo6qz 2 сағат бұрын
Ambaooo wamemuunga mkono dayana kutoboa siri tujuwanee😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ShivoLee-w7w
@ShivoLee-w7w 3 сағат бұрын
Leo nimewahiii jamn like zangu
@InnocentPhotographs-py1md
@InnocentPhotographs-py1md 3 сағат бұрын
Nimekuwa wakwanza jamani 😢 naomba like zenu
BABA YANGU KIPOFU Full episode /48/ #love
20:27
BabaJoan
Рет қаралды 72 М.
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Los Wagners
Рет қаралды 11 МЛН
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 3,5 МЛН
MY MOTHER EP 29  | Sad Story 💔💔
24:39
BUSATI TV
Рет қаралды 20 М.
TUKO 2024 BEST ENTERTAINER AWARD WINNER 😍 - Dem wa Facebook
10:00
DEM WA FACEBOOK TV
Рет қаралды 10 М.
Unamkumbuka Jeff wa The game of Love? tumemkuta Kigoma
8:48
Millard Ayo
Рет қаралды 96 М.
BABU TALE ALIKIMBIA NYUMBANI/ALIKUWA ANASHINDWA KUJIZUIA
2:20
Wasafi Media
Рет қаралды 61 М.
MAUMIVU [4]
18:58
CHADO MASTA TV
Рет қаралды 10 М.