POLISI ARUSHA WAKAMATA WEZI MAARUFU ''TATU MZUKA'', KAMANDA ATUMA SALAMU!

  Рет қаралды 162,713

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

POLISI ARUSHA WA KAMATA WEZI MAARUFU ''TATU MZUKA''KAMANDA ATUMA SALAMU!
Jeshi la Polisi mkoani Arusha Lina washikilia vijana 13 kwa makosa ya kufanya uhalifu wa kutumia nguvu jijini Arusha maarufu kama Tatu Mzuka.
Vijana hao wanaotuhumiwa kwa uhalifu ukiwa pamoja na wizi, wamekamatwa na vitu mbalimbali inavyosadikikika walikuwa wameviiba ikiwemo pikipiki, Tv, Computer na madawa ya kulevya.
#ARUSHA
kzbin.info?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 122
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 4 жыл бұрын
Kamanda Fanya kazi Arusha iwe kama dar dar saivi hakuna panya rodi wala mazombi wala mmbwa mwitu saivi dar shwali
@faidhaothman1914
@faidhaothman1914 4 жыл бұрын
Dar hamna aman nina uchungu juz Kat kaka angu kapigwa na mtu 5 akiwa ametokea kazin kanyang'anywa pesa na cm saiv yupo nyumbn hajiwez
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 4 жыл бұрын
@@faidhaothman1914 lakini afazali saivi sio sana kipindi chakikwete kulikua namakundi mengi sana saivi yote hayapo
@dazuuhmd819
@dazuuhmd819 4 жыл бұрын
Nimecheka yule wamwisho anachechemea sijui kaumiwa watoto wa dogo arushusha mijambazi
@errydeo8865
@errydeo8865 4 жыл бұрын
kwanini Makamanda mwengine hawaigi toka kwa huyu jamaa???? wanashindwa nini?? kazi kula bia na nyama choma tu.Weldone Kamanda..
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Safi sana kamanda. Wengi wa wazazi wajue kulea watoto wao vizuri kwani wengi wa hawa wahalifu ni vijana wenye umri mdogo
@dingadinga6674
@dingadinga6674 12 күн бұрын
Kazi nzuri poti
@dn.n4983
@dn.n4983 4 жыл бұрын
Asante muhesjiwa hawa wapotee kabisa ili jiji liwe amani maana shida sana ubarikiwe sana tena iwe nch nzima hakuna mchezo
@anicianjoki3353
@anicianjoki3353 4 жыл бұрын
Asante sana kamanda Fanya kazi mkuu,wamama tunaogopa hata kupita tunapotoka kubangaiza,hawa ni kuwaandikia tu R,I,P
@jumamohamedi8615
@jumamohamedi8615 4 жыл бұрын
Bado kwa morombo pia
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv 2 ай бұрын
Mungu awabaliki na awape nguvu kamanda wetu
@user-nf9cc1hi1t
@user-nf9cc1hi1t 4 жыл бұрын
hao wakiachiwa ni majambazi wa kuua watu baadae, funga maisha, peleka magereza ya kilimo mbali na wanapokamatwa ili kuepusha ndugu zao kuwatoa, uhalifu unalelewa na jamii yenyewe
@lamecktheonest225
@lamecktheonest225 4 жыл бұрын
Safi sana
@khalfaniallyiddy3928
@khalfaniallyiddy3928 4 жыл бұрын
Kamata kabsa
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 4 жыл бұрын
Jamani kwa nini uhalifu umezidi sana yaani watu wanaishi kwa wasiwasi kwa ajili yao.hao nibora wafungwe maisha.
@surujajwie4768
@surujajwie4768 2 жыл бұрын
👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥pinga paka akili ziwakae saw 🙏🙏🙏🙏
@immaculatenjiku1706
@immaculatenjiku1706 2 жыл бұрын
Yaani hawa ni wa kipigo kitakatifu. Naona kama vile hawajafinywa inavyotakiwa, yaani bado wanabalance ya kukwepa camera na wamevaa masweta na hali ilipaswa kuwa wanatoka jasho kila sehemu
@deodatusrweyongeza6747
@deodatusrweyongeza6747 4 жыл бұрын
Hongera sana kamanda piga, kazi
@williamjnr9614
@williamjnr9614 4 жыл бұрын
Salute to you
@oliversimpliskimariokimari3510
@oliversimpliskimariokimari3510 2 жыл бұрын
Safi sana jeshi la polisi.natamani mwapige hata risasi za macho,siwaonei huruma kbs
@vonexmobile9116
@vonexmobile9116 4 жыл бұрын
Walikuwa wamechoka kukaa uraiani wakataka kwenda kupumzika jela sasa waambiwe tu Rest in prison (R.I.P)
@mahmoudabdallah4533
@mahmoudabdallah4533 4 жыл бұрын
safi sana afande
@jeniphermaiko3886
@jeniphermaiko3886 4 жыл бұрын
Safi Sana RPC kazi nzuri
@rachellaizer941
@rachellaizer941 4 жыл бұрын
Mkuu ubarikiwe sana Hawa watu ni shidaa wapo matejoo na Sakina ni wengii na Mianzini wanasumbua sana Njoo huku pls na vijana wako
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 4 жыл бұрын
Afadhali Sana asee haya majitu yamenifanya niichukie Arusha maana wamenikosakosa kuniibia zaidi ya Mara 3,adi leo mwaka wa 2 siendagi tena kutalii Arusha,Bora uwasafishe
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 4 жыл бұрын
@@gabrielgidasanga1825 pamoja Sana bro
@lucaslaurent2920
@lucaslaurent2920 4 жыл бұрын
Duh! Safi sana kamanda piga kazi
@chescomnyangali8601
@chescomnyangali8601 4 жыл бұрын
Halafu kuna watu watakuja kusema kuna haki za wahalifu wasioneshwe unajua kuna wanaharakati wengine wanakuwaga na maslahi na wezi
@daniselophehadimugasa5365
@daniselophehadimugasa5365 4 жыл бұрын
kamateni wote na hiyo oparation iendelee hadi huku njiro
@queenhusna204
@queenhusna204 4 жыл бұрын
Mumewangu kaibiwa boxa yake nyekundu mpyaaa wameiiba mwenyewe alinunua kwaajili ya kwendea kazini
@dr_godfrey
@dr_godfrey 4 жыл бұрын
Njoo kwa morombo rpc
@johnmasanja1762
@johnmasanja1762 2 жыл бұрын
Kama day huyu yupo gooooooooood saaaaaaana
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
duh hatariiiiiiiiiiii vijana wadogo sana havitaki kusoma wanataka maisha rahisi 2
@dr_godfrey
@dr_godfrey 4 жыл бұрын
Kamata hao mbwa wanatulaza macho
@michaelkimweri6363
@michaelkimweri6363 4 жыл бұрын
Wametusumbia,wametutukana,sana,wameliza wengi.bilauruma sukimandani,nawakalime magereza.mabwege hao.tena sukuma kwelikwel,Kamanda uko vizuti sana
@husseinsalimmaula4254
@husseinsalimmaula4254 4 жыл бұрын
Sukuma ndani hao
@moodless6506
@moodless6506 4 жыл бұрын
Ooh 😳😳maskin watt wadogo Yaraaby Allah asaidiye
@niasanga2373
@niasanga2373 4 жыл бұрын
Tena wadogo sana wallah
@danforddaud5784
@danforddaud5784 4 жыл бұрын
Huyu Kamanda kwa kweli cyo mtu wa mchezo mchezo
@pendogodwin1612
@pendogodwin1612 4 жыл бұрын
Nyie vitoto mnajitakia nn😢😢 mkataa pema pabaya panamuita😢
@abdulidaudi4903
@abdulidaudi4903 4 жыл бұрын
Nakukubali kamanda
@mudallah3943
@mudallah3943 3 жыл бұрын
Kamanda mukisha pata uhakia na hawa waalifu naombeni sana pigeni risasi ndo mji utakua shwar mukiwaachia huwa wanaendelea
@annastaziavenance1735
@annastaziavenance1735 4 жыл бұрын
Weraaaaaaaaa kamanda oyeeeeeeeeee 😍 nimekupenda buuuuureeee wallah
@zakayomoshi1270
@zakayomoshi1270 4 жыл бұрын
Machaliii wadogo kinyama yani
@pascalmgina
@pascalmgina 4 жыл бұрын
Good job kamanda
@maryamm7765
@maryamm7765 4 жыл бұрын
Dah mtihan kweli watoto wadogo Mungu atulinde na vizazi vyetu
@moodless6506
@moodless6506 4 жыл бұрын
Ameen REALY so 😔
@rahmashabani6483
@rahmashabani6483 4 жыл бұрын
JAMAN NI VITOTO VIDOGO VYA SHULE YA MSINGI VINAIBA MMMB NIMEOGOPA VIBAYA
@kebbyhawa2321
@kebbyhawa2321 4 жыл бұрын
Omba usikutane nao
@ZainabZainab-tv9ir
@ZainabZainab-tv9ir 4 жыл бұрын
Alafu vijanawazuri wanatiyaaibu kbs
@davidmloge7277
@davidmloge7277 Жыл бұрын
Time inaenda Kasi Sana .
@merymrema420
@merymrema420 4 жыл бұрын
Fanya kazi
@HassanAthuman
@HassanAthuman 4 жыл бұрын
Ongera. Sana. Kamanda. Piga. Kazi. Shana
@paschalmkwavi9702
@paschalmkwavi9702 4 жыл бұрын
Safi sana RPC hao jamaa walinikaba mwanama
@surujajwie4768
@surujajwie4768 2 жыл бұрын
subuhana bna nivi toto
@johnmasanja1762
@johnmasanja1762 2 жыл бұрын
Hata simiyu wapo wengi, Kuna sehem wamepanga
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 4 жыл бұрын
Bangi cyo madawa yakulevya wala mirungi..hongeleni kwa heroin bigup.
@georgelusana2346
@georgelusana2346 4 жыл бұрын
tumekumis mwanza mzeeee
@thadeimsoma7295
@thadeimsoma7295 4 жыл бұрын
Tumekusi olasit hatulali usingizi wezi ni Sana,
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Wale wamama wa ki Arusha wanao piga uuuuuwiiiii watoto wao wanapokamatwa na wananchi waki kutwa waki pora watu wako wapi leo😂😂
@yohanaobeth1558
@yohanaobeth1558 4 жыл бұрын
Kunautafiti uluofanyika kujua kwa nini wimbi kubwa la vijana wengi wanafanya shughuki za unyang'anyi ?. Kama hilo halijafanyika kama nchi tutaendelea kukamata vijana na wengine wataingia pia kwenye kazi hiyo. Jambo linalotakiwa ni kung'oa mizizi na sio kukata matawi.
@chuwafamily496
@chuwafamily496 4 жыл бұрын
Uwa wote, wanatutesa sana pumbavu zao
@valentinetesha8536
@valentinetesha8536 Жыл бұрын
tatu mzuka ni watu wabaya sana
@tsumiduwe1406
@tsumiduwe1406 4 жыл бұрын
JAMAN FANYENI KWA UAMINIFU HIYO KAZI BILA KUMWENEA HURUMA MTU TUNAOGOPA KUTEMBEA NA MALI ZETU MIKONONI KAMA TUPO SOMALIA KAMATA WOTE WAMETUNYANYASA SANA MM NIKAJUA SERIKALI ILIWASHINDA.MUNGU AWAPE NGUVU WAKAMATWE WOTE TUWE NA AMANI
@NeemaNjera-ho6ln
@NeemaNjera-ho6ln 18 күн бұрын
Kijenge.ya.juu.msisahau..jamani.mitaa.ya.kwa.chonjoo
@erickkagisa3470
@erickkagisa3470 4 жыл бұрын
mbn madogo?
@leonardmrope9528
@leonardmrope9528 4 жыл бұрын
Uko sahihi mkuu,,,waoneshe ao
@abeidmasaka6918
@abeidmasaka6918 4 жыл бұрын
Afande unatafta kiki kama za muroto haha muroto nomaa😀😀
@hamisimsindo3394
@hamisimsindo3394 4 жыл бұрын
cc ni100 mzuka
@leylahley3542
@leylahley3542 4 жыл бұрын
Kamanda oyeeeee
@soldiertz3131
@soldiertz3131 4 жыл бұрын
Wanzgua hao vijn kbs
@mbotwambotwa8136
@mbotwambotwa8136 4 жыл бұрын
Safi sana bandika bandua bandua bandika
@josephatjohn1818
@josephatjohn1818 3 жыл бұрын
Ni ugumu wa maisha Ama ni vijana kutaka maisha haraka na starehe na umri wao sasa wanapotea mapema katika umri mdogo
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 4 жыл бұрын
Mbauda ni noma zaidi juzi wamenipora
@lawrencebundala5769
@lawrencebundala5769 4 жыл бұрын
Samahan hivi hizo gloves huwa anavaa kwa ajili ya nini?
@lazarosilayo6918
@lazarosilayo6918 4 жыл бұрын
Sasa unazitaja hzoo pikipiki n specification zakee?.. Ww zitaje tyuu pikipiki, laptop n.k,.. Lengo aliyeibiwa ndiyoo aweze kuitambua pasipo kufanya udanganyfu.
@saloomidd1084
@saloomidd1084 4 жыл бұрын
hakuna ubaya wowote,atakayesema yake ataenda na vithibitisho kuwa ni mali yake ikiwemo risiti za manunuzi si kila mtu atayejitangaza ndio atapewa tu kienyeji
@annastaziavenance1735
@annastaziavenance1735 4 жыл бұрын
Nataka wanyooxhwe mpk mwixho coz wamejaaa kwa cm yngu
@jonaselisha3217
@jonaselisha3217 4 жыл бұрын
Bora ase wametumaliza hao
@hamisinanyata1237
@hamisinanyata1237 4 жыл бұрын
Hengeren police kwa kaz mzur munayo iendeleza kwa kuwalinda wananchi wenu.
@BataBatanii
@BataBatanii 4 жыл бұрын
Daaa izo kiloo na rumbesaa axee...
@errydeo8865
@errydeo8865 4 жыл бұрын
vijamaa vyenyewe vimechokaaaa.lol.iba unufaike basi angalau...
@gabrieljulius8062
@gabrieljulius8062 4 жыл бұрын
Rudi mwanza
@japhetisraelsmafie997
@japhetisraelsmafie997 4 жыл бұрын
Kamanda piga kazi
@janejohn1083
@janejohn1083 4 жыл бұрын
pigakazi ingekuja nahukumorogoro
@michaelmasalago5397
@michaelmasalago5397 4 жыл бұрын
HAPO SAWA KAMANDA
@tsumiduwe1406
@tsumiduwe1406 4 жыл бұрын
AFANDE FANYENI HIYO KAZI MUNGU ATAWALIPA MAANA POLISI WA AWALI SIJUI HAWAKUWA WANAWAONA MAANA WANANCHI HAWANA RAHA NILITAMAN WAUAWE WASIKAE NA SISI MAANA WANATUUMIZA
@wolfgangkichai8577
@wolfgangkichai8577 4 жыл бұрын
Kibaka wanasumbua piga kichwa ilie kama ngoma ya daku 😂
@mimaakenirram1405
@mimaakenirram1405 4 жыл бұрын
arafu wachafu pesa wanapeleka wapi au ndo pesa ya zuruma hiyo arafu wadogo
@dazuuhmd819
@dazuuhmd819 4 жыл бұрын
Yaani watoto wadogo arisha wamekuwa nishida
@shukuruilomo768
@shukuruilomo768 4 жыл бұрын
Wapewe adhabu kali
@makamemufadhil627
@makamemufadhil627 4 жыл бұрын
Mbona vijana wadogoo daah
@charlesenock8586
@charlesenock8586 4 жыл бұрын
Wapelekwe geereza la kasungamile huko mwanza kulimaa mashamba
@fabianmilanga4980
@fabianmilanga4980 4 жыл бұрын
Ni vijana wadogo sana wakalime mboga mboga zinalipa.
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 4 жыл бұрын
Vibaka Tu hao
@laylasuliman5805
@laylasuliman5805 4 жыл бұрын
Kwanza ungewatia makofi
@leonarddamian4972
@leonarddamian4972 4 жыл бұрын
100mzuka 😀😀😀
@allyduwa9914
@allyduwa9914 4 жыл бұрын
Kamanda nimekuelewa sana hila mbona mnawapeleka kma mabosd fulani akuna ata anaechechea kwel mbona amjawatendea haki nuksi tyu hao watoto nawachukia wez mfano akuna wamekuwa wanyonge kma watu kweli
@anjelasirikwa4601
@anjelasirikwa4601 4 жыл бұрын
Jamani msisahau ungalmtedi Kule duu ni xhida
@stephanmallya2886
@stephanmallya2886 4 жыл бұрын
Magundaa
@husseinhassan7246
@husseinhassan7246 4 жыл бұрын
Siopoa
@salhkasmm558
@salhkasmm558 4 жыл бұрын
We wizi wenzio
@texasoperations4604
@texasoperations4604 4 жыл бұрын
mirungi kenya mbna halal
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 4 жыл бұрын
Usha sema Kenya
@khalidali1130
@khalidali1130 4 жыл бұрын
Hata kuolewa marekani mwanamme halali
@aristidrichardmrema536
@aristidrichardmrema536 4 жыл бұрын
Tatu mzuka sisi ni mia mzuka
@binttsulu647
@binttsulu647 4 жыл бұрын
mmmh iyo kali 3mzuka
@thadeimsoma7295
@thadeimsoma7295 4 жыл бұрын
Njoo olasiti usiku na mchana tunapata tabu sana,
@georgemashauri4657
@georgemashauri4657 4 жыл бұрын
Vijana wangu wana mzuka ni mabaunsa .
@zainabuabdala7860
@zainabuabdala7860 4 жыл бұрын
Safi
@shadowalker_tz
@shadowalker_tz 4 жыл бұрын
naomba polis hao vijana waende national service watulimie matunda tukauze hata nchi za nje tukuze kipato cha nchi
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Hawa wapelekwe south Africa waka ishie huko
@khalidali1130
@khalidali1130 4 жыл бұрын
Kamanda nimekupenda bure ungekuja hku zanzibar ukaja tia adabu kun watu km hao wanasumbua wenzao hawalali mtaan wal mda wa kurud wnarud kwa hofu sisi hku zanzibar tunawalea naona hem uje hku ao wachumba kabisa
@mamyomar1241
@mamyomar1241 4 жыл бұрын
Ndio maana wamehamia huko zanzibar, jamani polisi kazi hiyo sikukamata madaladala tu.
@hidayatondogoso8329
@hidayatondogoso8329 4 жыл бұрын
Hongera kwa kaz nzuri xn kamanda
@masharikicosmetics1054
@masharikicosmetics1054 4 жыл бұрын
Walichonifanya mm hao tatu mzuka mungu Ndio anajua
@ashurajuma9091
@ashurajuma9091 3 жыл бұрын
Hawa tatu mzuka haturudi usik kwa raha kutoka makizin wallaah
@heryfonda7060
@heryfonda7060 4 жыл бұрын
hivyo vitu ata Kama vyakwao utasema vya Wiz uwongo ndio kawida yenu
@tahiraabdul1701
@tahiraabdul1701 4 жыл бұрын
Kazi nzuri
@arexmerck2324
@arexmerck2324 4 жыл бұрын
du awa vijana Mbona wizi wao nimkubwa arafu bado wadogo mpaka wanaiba Pikipiki wameshakua sugu
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Wana anzia miaka 5. Vitoto vya ki Arusha hua havisomi utawakuta wanazurura tu mitaani . Nenda masokoni wamejaa wanauza giligilani na tangawizi mikononi na uki angalia ni mda wa kusoma. Wazazi hawana mda na watoto kabisaaa. Wababa kazi kushinda bar na kwenye vilabu vya pombe za kienyeji wakisubiri watoto wa uze malimao ndio ye ale ilhali mama kazi yake kuangalia mifugo ya mzee na kutembeza mboga angalau apate kilo moja ya unga na robo ya nyama yakwenda kumpikia mzee
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 36 МЛН
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 16 МЛН
I sanitized pastor live and guess what🔥🔥🔥🔥🔥earth is hard
53:53
If the President wants you dead || James Khwatenge
18:32
The Wicked Edition with Dr. King'ori
Рет қаралды 421 М.
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27