Abdallah Mssika Aeleza namna alivyomkamata Jasusi wa kwanza Mtanzania Juma Thomas Zangira
Пікірлер: 120
@andrew294684 ай бұрын
Huyu mzee ni mzalendo,ingekuwa watoto wa sasa wangeingia kolabo,asante sana nimependa uzalendo wako hii ndio inatakiwa.
@gastonmodestkaziri2566Күн бұрын
Wonderful Commandant Abdallah Mssika, you really did a very excellent job for the country! And this tells why Tanzania will remain a highly respected country in the intelligence arena! God bless you Commandant Mssika, and God bless the Tanzania security agents!
@mc-omoro23664 ай бұрын
Namkumbuka Kamanda Msika alipokuwa mkuu wa kituo cha polisi Osterbay alikuwa mtu wa msaada sana asiyependa watu kuwekwa kituoni bila sababu ya msingi. Mweledi na mtu wa kuielewa kazi yake. Mungu ampe umri zaidi.
@didimeandrewngowi6 ай бұрын
Namkumbuka sana kamanda msika, aliwahi kuwa hapa moshi akiwa Inpector wa polisi, nakumbuka alikuwa mwendesha mashtaka katika mahakama hapa moshi alikuwa tinashari aliyekuwa anajipenda na smart,nashukuru sana mpaka sasa yuko vizuri.Hongera sana afande mstaafu, uko vizuri😂😅🎉Didime Andrew Ngowi, Moshi Tanzania.
@USACAUDIOVISUALMATERIALS4 ай бұрын
Mzee Msika ulinitendea haki nilipotupwa lumande pale Central, nikiwa Chuo Kikuu DSM. Nakukumbuka sana sana Mzee. Mungu akubariki sana.
@mohammedsaqry30364 ай бұрын
Abdallah Msika Allah akuhifadhi sikujuwa kama upo Dar es Salaam Insha Allah nitakutafuta
@mssikaadam69093 ай бұрын
Amiin
@Mapenzi26359 күн бұрын
Asante mtangazaji kutuelimisha. Tumshukuru Mungu kwa Uzalendo wa Nyerere, ndiyo ulitupatia viongozi mahiri kama Msika.
@viatorymkama892517 күн бұрын
Kwa operation yenye mafanikio nakufananisha na Rafi Eitan aliyeongoza mossad katika operation ya kumkamata Ricardo Clement. Hongera sana kwa utumishi uliotukuka.
@Kidotii4 ай бұрын
Miaka 74 anonekana .muhandsome bado mwili mzur sana. Hongera pia kamanda Msika! Kwa kazi nzur
@akonaayako71854 ай бұрын
Huyu ni Mwongo. Thomas Zangira alipigwa risasi.
@Kidotii4 ай бұрын
Eti enheee ahajahahha
@user-km1do5lq7c24 күн бұрын
Mwaka 74 anaka awa 45
@Kabeya41019 күн бұрын
@@akonaayako7185wee mtoto wa juzi hujui kitu aliepigwa risasi ni jeneral kombe mkuu wa usalama wa taifa siyo zangira, na mwingine ni yule komando alierukia gari la bia aluoiwatoroka mapolisi na usalama wa taifa pale kinondoni nimemsahau jina na hii ilikua kesi ya kumoindua nyerere kesi ya zanngira ilikua nyingine
@kibundapesamadimba63523 ай бұрын
Well trained Police Officer with ethics and integrity, respect hero!!!!!!
@user-py4kv5gk5y4 ай бұрын
Huu ndo uzalendo wa nchi👏👏👏
@suzanambatta11264 ай бұрын
Kwa kweli nimejifunza kitu👏
@justinmichael7684 ай бұрын
Kwanza pongezi nyingi kwa huyu Mzalendo. Jeshi la police linapaswa kujifunza mengi kupitia kwa huyu bwana
@emmanuelmambarera141Ай бұрын
Hongera zako kamanda Msika
@kibundapesamadimba63523 ай бұрын
Safi Sana wazalendo ndio hawa,sasa sio hawa wanajitapa majukwaaani.
@Marjeby21 күн бұрын
Kamanda Msika mtu mwema sana kuwahi kutokea kati jeshi la polisi bila shaka now anaishi kwa furaha sana
@yusufmohamed88749 ай бұрын
Huyu jamaa ni mtu muhimu sana ktk hili taifa
@soplisjoachim58845 ай бұрын
Huyo jamaa is a real champion
@ghatichomete744 ай бұрын
Mungu akulinde mzee
@mwasakafyukasamson14 күн бұрын
ISHI sana kamanda Mssika, tunajivuniakazi zako
@soplisjoachim58845 ай бұрын
Kwa kipindi kile technology ilikuwa ndogo lakini mwamba uliweza kufanya upelelezi....... Ulijitahidi sana
@robisonikadogo737117 күн бұрын
Namjuwa vizuri uyo msika akiwa Kagera na shinyanga ,nimtata kweri kweri
@devothasimbi649511 күн бұрын
Utata wake unatokana na misimamao Yake kiutendani au ulitaka afuate unachokitaka wewe kifanyike? 😂
@halemmmbarak164 ай бұрын
Very intelligent officer.
@hajjsuleiman33176 ай бұрын
Namkumbuka kamanda msika alikuwa kamanda anayefanya kazi yake vizuri saana na kwa uhakika kabisa na uweledi wa hali ya juu
@user-md3fh4kg1b10 күн бұрын
Msalimiie sana mama Tunu tuliikuwa NH za Arusha roads Moshi 1990.unanipa lift kwenye gari lako mpaka Mwenge s/msingi nikiwa mwl pale.Mungu azidi kukubariki.
@kazikazini1042 Жыл бұрын
Mzee yuko vizuri. Jargon zinamtoka pasi na shaka.
@michaelmatonange6303 ай бұрын
Nimefurahi sana kusikia story hii
@abubakarimburu90964 ай бұрын
Kila aliyewahi kufanyanaye KaziI hawezi kumsahau msika
@husseinibnuhassan12724 ай бұрын
Kasaidia wengi sana pale shinyanga
@user-jj7mw7fi4q4 ай бұрын
Hili tukio nalikumbuka la helicopter kuanguka lilitokea tukiwa darasan tulisikia kishindo tulikimbilia kwenda kuangalia uwanja wa polis 1996 nikiwa darasa la sita.
@salumhassanallymkurdistan70064 ай бұрын
CHEZEA NCHI ZOTE DUNIANI LAKINI USIICHEZEE TANZANIA KATIKA ULINZI NA USALAMA.
@israelmkaka28074 ай бұрын
Enzi zile....Sikuhizi Siri za Nchi zinavuja hovyo,,Wanaoajiriwa hawana nadhani Vigezo ni Undugu
@user-vp8vc3ko7d21 күн бұрын
Anaongea pole pole sana atia uvuvi
@devothasimbi649511 күн бұрын
Pole
@mtzhalisi223216 күн бұрын
Juma thomas zangira yuko wapi kwa sasa? Je bado yuko jela? Au alifariki?
@johndominic77544 ай бұрын
Hongera sana abdala sasa ndio wajue CCM ni baba wa waafrika wanasiasa msichezee ccm imetoka mbali
@barnabasmwingira706315 күн бұрын
You are the best one of the best 🫡
@aziza90934 ай бұрын
Mashaallah
@mwabuselectors17 күн бұрын
Aisee hizi hazina za story zinahitajika sana kwa taifa,
@mariakibwana370017 күн бұрын
Tunaomba Diet yako mzee,mana bado uko fit.Mimi nina 50yrs tu,lkn niko hoi.
@cbegram61614 ай бұрын
Sasa bongo movie Mbona movie Ndiyo hizi au waandika story ndiyo wanazingua? Maana watu wanaponda sana😂😂 ushauri wa bure
@imamuhamisi44214 ай бұрын
Bonge la story sema nd ivo apo kunaitaj investment bongo movie wanatak movie zisizo zid milion 2 budget
@justinmichael7684 ай бұрын
Hawana akili hizo boss
@hassannzota744221 күн бұрын
Liuuuu@@justinmichael768
@mtzhalisi223216 күн бұрын
Umenena point sana
@AntidiusFelix1114 күн бұрын
Shida ni budget na ubunifu.
@jamestaifa34615 ай бұрын
Hii ndo maana ya utumishi uliotukuka
@user-qt1bi3rr5h4 ай бұрын
KAMANDA UMETISHA SANA HONGERA SANA
@georgelugwisha8798Ай бұрын
Angetunga kitabu ingekuwa poa sana
@selemanshineni7809 Жыл бұрын
Salute Kamanda
@suratibrahim64174 ай бұрын
❤❤❤🤝🤝🤝madini kabisa.
@victoriamazula55924 ай бұрын
Nilimfahamu Zangira. Alikuwa karibu sana na Ikulu. Kwa kweli alikuwa ni mtu muongo sanaaa
@ericktesha70464 ай бұрын
Embu tupee Kidogo tips,Alidanganya jambo gani?
@suratibrahim64174 ай бұрын
😅😅😅😂😂😂
@michaelmulokozi151221 күн бұрын
Zangira alikua na Kamba nyingi Sana sitamsahau uyu jamaaa 😅
@mataypanga526216 күн бұрын
😂
@simbilomwakipamba697018 күн бұрын
MALANGALI💥
@salumjabir8134 ай бұрын
😂😂😂😂...intelligence ya tanzania imekuwa sana..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@shedyjr32274 ай бұрын
Hyo nyimbo kwa background inaitwajwe!?
@kinanaomar18 күн бұрын
Samahani wakati huo kikwete hakuwa raisi bali mkapa ndiye aliye kuwa raisi
@EmmmaTembo9 ай бұрын
01:30 nimecheka huyu baba mtu mzuri
@hon.fahadijumalikwena1012 Жыл бұрын
Kama movie vile
@SHEIKHMWAIPOPOTV7 ай бұрын
Kamanda msika nakupata sana kama wangu nilikuwa na wewe mwanza ongela sana
@Kabeya41019 күн бұрын
Asante ila kuna story iliendelea kuhusu hukumu ya Zangira kuna sehemu tuliambiwa alihukumiwa miaka 23 akakata rufaa kapunguziwa mpaka miaka 12 nadhani atakua kisha toka, la pili huyu mtu yupo vizuri kiuongozi alifaa kuwa IGP maana mwanafunzi siro kaja kuwa IGP 😅hongera kwa uvumilivu kamanda Msika
@josephlorri4314 ай бұрын
Hapo 19:00 usimwamini mtu aliyemsaliti rafiki yake
@user-xf6pg4vf2t4 ай бұрын
Je mna undugu na Abdalah Waziri Msika au ndio we mwenyewe , mwaka 1973 alikuwa CCP Moshi akiwa na lank ya Cpl
@user-ct4vj9gg6w4 ай бұрын
Ndio yy
@simonnyangusi99734 ай бұрын
Mzee yuko fit,kweli kustaafu sio mwisho wa maisha.Tutafutie na kamanda mstaafu zpaul chagonja
@AbdulGermany2104 ай бұрын
Çha kujiuliza sasa hivi je bado yupo ndani au kashatoka maàna mmmh
@mssikan92233 ай бұрын
Hayupo tena
@mwabuselectors17 күн бұрын
Lazima anakua anatumika
@abbiecox14 ай бұрын
muhim mngetuambia yu wapi Thomas Zangila je kama alifungwa gereza gani na yuko wapi sasa! kama alikufa ni mwaka gani na alifia gereza gani na lini!
Mzee Abdalah namtafuta mwanao mmoja alisema wwe babake mdogo kama sikosei...anaitwa Mohamed Msika...aliend south Africa...mwenye taarifa zske pls..nilikutana naye Mbeya miaka ya 2000's
@princematumbo4 ай бұрын
Mohammed msika ni mwanae haswa,Sio babake mdogo,na hayupo Africa kusini.
Hongera saaana mkuu kamanda Abdallah ulikuwa jasiri mno na wewe ni mtu muungwana saana
@akonaayako71854 ай бұрын
Tukio la Thomas Zangira ilikuwa wakati wa Utawala wa Nyerere. Nashangaa huyu Msika abazungumza kwamba Bosi wake alikuwa Adadi Rajabu na Tibaigana. Hawa ni watu wa juzi. Zangira alipigwa risasi wakati wa jaribio la kupindua serikali mwaka 1982. Mhusika Mkuu alikuwa Mabere Marando
@akonaayako71854 ай бұрын
Huyuni Mwongo
@victortemba4 ай бұрын
Nilivyomuelewa mimi Adadi Rajabu na Tibaigana walienda kupekua nyumbani kwa Zangira hivyo walikua askari wa chini kivyeo,kama huyu alikua Sajenti.Walikua vijana wadogo wa jeshi la polisi wapelelezi.
@halfanitambu5254 ай бұрын
Msikilize vzr utamuelewa
@jee94733 ай бұрын
@akonaayako7185 Jaribio la mapinduzi la mwaka 1982, halikumuhusisha Thomas Zangira. Hivyo basi, hakuuliwa katika sakata hilo la 1982. 1982 iliwahusisha kina Pius Lugangira, Hatibu Gandhi (McGhee), na wengine 17.
@ahmedameir3302Күн бұрын
Tanzania ina watu
@user-rs3zg1wj6q4 ай бұрын
Kama kamanda ulifikia rank gani ktk karate??
@user-db6gr1gn2d5 ай бұрын
Andika Kitabu
@Chemba674 ай бұрын
Hiki ndio kizazi cha mwisho cha jeshi la polisi kilichojenga heshima ya taasisi ya usalama na jeshi kwa ujumla.Baada ya kizazi hiki kilichofuata kilikua ni fungu la kukosa........mpaka sasa hivi.
@devothasimbi649511 күн бұрын
Nimecheka kwa ujumbe wako
@jacksonsilaa4154 ай бұрын
Jet Ranger mliiacha Nachingwea Bwana
@meckcassius39834 ай бұрын
Iringa boy
@akonaayako71854 ай бұрын
Mbona inafahamika Zangira alifariki kwa kupigwa Risasi?
@jee94733 ай бұрын
Utakuwa umechanganya na taarifa ya mtu mwingine.
@edwingideon36064 ай бұрын
Mbona shati imeloa na jasho, alikuwa anatembea kuja kwenye kipindi?
@mssikan92233 ай бұрын
Hilo ni shati la light blur, na hapo ni nyumbani kwake, sebleni kwake na ni full AC... kwahiyo ni aina ya shati na sio jasho 😊
@mussakingazi88754 ай бұрын
Alitapeliwa na deo mgasa kwamba angempa ua igp,
@thelistener83572 ай бұрын
Jeshi la polisi ?? Polisi ni polisi jeshi ni jeshi mbona mna-confuse watu
@allymoshi205315 күн бұрын
Hakuna kuconfuse labda kama unachanganya majeshi yako mbalimbali watu wengi wamekalili tu jeshi la wananchi lakini ni zaidi mfano= kuna jeshi la polisi,jeshi la magereza, jeshi la zimamoto na uokoaji
@vayeen4 ай бұрын
Huyu mwandishi anatakiwa kuwa controlled
@AbdalahDudu17 күн бұрын
Nakumbuka sana tukio ili la ajali ya ndege nachingwea
@jotafungo462210 ай бұрын
Usaliti haujaanza leo
@cbegram61614 ай бұрын
Sasa hapo inabidi na Zangira mwenyewe ahojiwe
@ramsojimmykelly33794 ай бұрын
ahojiwe akiwa jela au
@israelmkaka28074 ай бұрын
Tena atafutwe, aelezee..Wenzetu kule Nchi zilizoendelea, Siri za namna hiyo baada ya miaka kadhaa, inakuwa sio siri
@cbegram61614 ай бұрын
@@ramsojimmykelly3379 waandishi wanajua namna ya kufanya na sharia zinasemaje
@theteacherchance6750 Жыл бұрын
Day, miaka hiyo kumpeleleza/kumfatilia mtu hulali, hunywi, huendi, hurudi. Eeh bwana wee, si Mark Zuckerberg kaja na Facebook, iPhone na Samsung wakaja na spy cam 📷. Upo kitandani mwako na jamaa wanajua maua ya shuka na rangi ya chumba. NSA, FBI, CIA, GCHQ, MI5, MI6 ... shikamooni. Edward Snowden shikamoo.
@SALEHSALEH-lk5jr16 күн бұрын
Umewasahau MOSSAD
@florencejohn64274 ай бұрын
Mzee anaonekana ni msafi na yuko well coordinated kwenye mavazi. White shirt, blue suit, soksi, and watch. Black kofia and shoe. Kwenye lugha ya kiswahili and kiingereza na lafudhi zake nzuri. Huwezi kujua ni mzaliwa wa wapi. Anajua kujenga hoja pia. Afya yake kwa nje inaonekana nzuri. Anaonekana ni kijana kuliko mtangazaji. Ambako mtangazaji bila shaka ni mdogo sana kiumri
@kilamegroup29684 ай бұрын
Ana miaka 74
@aliferuzi15374 ай бұрын
ITUMIKE MARA NYENGINE HELIKOPTER IKIENDA KUTUA UWANJA WA VUMBI WAMWAGE MAJI YA KUTOSHA UWANJA ULOWE NA KUZIPA TABAKA LA VUMBI. HONGERA KAMANDA, KWA UWELEDI