Polisi wadaiwa kuwatesa watu watatu waliokamatwa Lamu

  Рет қаралды 91,939

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

4 жыл бұрын

Watatu hao walikamatwa na kuhusishwa na mauaji ya Chifu

Пікірлер: 150
@abduswamadmohamed6172
@abduswamadmohamed6172 4 жыл бұрын
These kind of acts are always done on innocent people without following the right laws..
@worldnews686
@worldnews686 4 жыл бұрын
Ndugu yangu sunipige subscribe
@farhiaenow7035
@farhiaenow7035 4 жыл бұрын
Walikupea elfu saba awa ni wazuri sanaa ,shukuru Allah uko salama
@remiomar7154
@remiomar7154 4 жыл бұрын
Poleni Ila ni bora munge wafunika sura Kwa usalama wao cause hujuwi the next movie it will be....
@jacklinenatasha9207
@jacklinenatasha9207 Жыл бұрын
Nauliza hio n kuteswa huyu jama ako confused kama mm
@kimkim8808
@kimkim8808 4 жыл бұрын
Nafikiria walipelekwa nyayo house, wanakula wanajipaka manukato pesa wanapewa kuteswa AMA holiday🤣🤣🤣🤣🤣
@lukmamy6655
@lukmamy6655 4 жыл бұрын
Huna adabu weww umenichekesha sana hapo pakujipaka manukato😂🤣🤣😂
@aishahared873
@aishahared873 4 жыл бұрын
Labda ni holiday
@saidnassormohammed9589
@saidnassormohammed9589 4 жыл бұрын
Kim kim hapo sasa mtu unatekwa unajipaka manukato basi lamu raha
@nassorhamad5225
@nassorhamad5225 4 жыл бұрын
Unafirwa nn
@nassorhamad5225
@nassorhamad5225 4 жыл бұрын
Unatombwwa nn
@AhmedAli-jm5yu
@AhmedAli-jm5yu 4 жыл бұрын
Aaha at least nimesikia vizuri the police were very good and decent
@mwanaishahussein2635
@mwanaishahussein2635 4 жыл бұрын
Jamani enyi polisi chunguzeni uhalifu ufanywao kwa kina sio kuchukua watu wasio na hatia na nitehemeo la familia mkawaeke tu jamaa zao zikiwa na mitaharumi Tuweni na IMANI kwani hata hiyo Imani imezungumziwa katika vita vya dini 😭😭😭😭😭
@aishasaidi1784
@aishasaidi1784 Жыл бұрын
Mbona hao polic washikwe kama makenzi
@ryjalimohaa5386
@ryjalimohaa5386 4 жыл бұрын
Serekali waseme ukweli kuna na wengine watatu mpaka leo hawajajulikana walipo
@asiaissa976
@asiaissa976 4 жыл бұрын
Poleni sana mungu awape subra amiin
@simansheikh7670
@simansheikh7670 4 жыл бұрын
Washukuru.mungu.kama.wamee.wa.cilewa.huru
@mohamedabdalla1836
@mohamedabdalla1836 4 жыл бұрын
And why is it done on only Muslims ..... Kenya haina haki na usawa
@aminakassim7149
@aminakassim7149 4 жыл бұрын
Anyway basi hukuteswa wewe...shukuru mungu wapewa kula nguo walala wajipaka manukato na ukapewa na pesa zakwenda home shukuru sana
@worldnews686
@worldnews686 4 жыл бұрын
Amina nisaidie na subscribe
@lmashua
@lmashua 4 жыл бұрын
Amina Kassim Nakubaliana nawe
@stevmwanamilongo5375
@stevmwanamilongo5375 Жыл бұрын
Hao sio polisi
@hidayasaidi7872
@hidayasaidi7872 Жыл бұрын
Labdamlikuwashakahola
@gideonmoisari2117
@gideonmoisari2117 2 жыл бұрын
Kuhusu kitambaa hii watu wanaongea uongo tupu
@mscantraah8210
@mscantraah8210 4 жыл бұрын
Kwelikabisa jama Kenya hii watu wataonga kuja kenya hata wa tali duh😳😳🤲🤲🤲
@janewangaringoiya5704
@janewangaringoiya5704 4 жыл бұрын
Glory b to god coz walirudi wazima.penda hawa police.
@johnluck1610
@johnluck1610 4 жыл бұрын
LAMU siyo kenya twafa kuji gawa tutoka wa washenzi kenya.
@janenyambura5357
@janenyambura5357 4 жыл бұрын
Hatali sana
@minaziparasu3352
@minaziparasu3352 4 жыл бұрын
Unapaka manukato mmmhh ndiomateso hayo bwege weee
@ericmonax5666
@ericmonax5666 4 жыл бұрын
Noma
@mamafatuma138
@mamafatuma138 4 жыл бұрын
Sasa hayo ni mateso jamani mm nilikuwa naona ulikuwa wala kichapo kumbe ulikuwa wala ukilala😅😅😅😅sema kweli
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 4 жыл бұрын
mateso ni kukosa uhuru wao
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 4 жыл бұрын
tumia uwezo wako wa kiakili
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 жыл бұрын
MAPOLISI WAMESHINDWA NA ALSHABAB WANASHIKA WAKENYA AMBAO HAWANA HATIA WAJINGA WAO
@aishaabdulrahman6995
@aishaabdulrahman6995 4 жыл бұрын
Nani ameskia alikua hana freeee dome 😂😂😂😂😂😂😂😂
@sophiamacdonald2711
@sophiamacdonald2711 4 жыл бұрын
Kiswahili lamu
@peninahruth2870
@peninahruth2870 4 жыл бұрын
Mateso nikula tu ....poleni lnki ...kpsaa nikitu yakuogovya ukishikwa nahujui umefanya nini wala nini wanakutakia
@murimikaburu1376
@murimikaburu1376 2 жыл бұрын
hakuna mateso hapa!!!
@abdulkadirnagib9639
@abdulkadirnagib9639 4 жыл бұрын
Haki africa thank you
@kadogoomushadi5409
@kadogoomushadi5409 4 жыл бұрын
Sasawalifanyajee kwani mpaka wakafungwa matambara nakupelekwa hukoo jamanii
@oppsinlyf
@oppsinlyf 4 жыл бұрын
Citizen ushenzi itawaua. Walioshikwa hawajasema waliteswa kwa njia yoyote. Labda walikuwa wamesetiwa lakini walipochunguzwa ikawa hawana hatia yoyote
@rashidiathumani4476
@rashidiathumani4476 4 жыл бұрын
Mbona magaidi niwaislamutu kunani
@janenyambura5357
@janenyambura5357 4 жыл бұрын
izo pesa zitakula yiyi munaona Kula Tu hamjui hao watu wanawazia nn
@mohatito830
@mohatito830 4 жыл бұрын
Mateso Gani Haya 😂
@farxanwadani.2433
@farxanwadani.2433 4 жыл бұрын
Hongera walinda usalama kwa kazi nzuri.
@janenyambura5357
@janenyambura5357 4 жыл бұрын
Mm naona mko pamoja nao namtakuja kujuta mtajuwa ajui mnapenda pesa Sana mtajuwa amjui yiyi
@julianamalinda2357
@julianamalinda2357 2 жыл бұрын
Manukato ulitoa wapi
@daprince7545
@daprince7545 4 жыл бұрын
Ndio sirudi Kenya
@suheilyakub7667
@suheilyakub7667 4 жыл бұрын
Sasa huyu aliteswa ama anawapromote.....huyu jamaa wa HAKI hakutarajia hili gunya litaropoka hivyo 🤣🤣
@mwambaowapwanichannel8572
@mwambaowapwanichannel8572 4 жыл бұрын
Wacheni kuropoka ropoka yafaa mujue haya ni maisha ya watu wanaeleza kulingana na masharti walopewa wakati wakiachwa
@joramkimario2666
@joramkimario2666 4 жыл бұрын
Unazingua imeteswa wap.yaan had pesa mlipewa na manukato tena.waambie waje kwang tz wanikamate
@AaAa-kr9nb
@AaAa-kr9nb 4 жыл бұрын
wallah shukuruni sana sana mungu amewaokoa sana sisi juzi kuna watu walitekwa na wakapatikana waliuwawa wallah mungu awalaani kenya imearibika sana
@aysnbashir1654
@aysnbashir1654 4 жыл бұрын
i hat them walaahi
@clarionphilips2556
@clarionphilips2556 4 жыл бұрын
Hahahahah kama unakunywa na kukula na kuoga, hio ni.mateso kweli???
@marykalei8139
@marykalei8139 4 жыл бұрын
Sasa mlikua mumefungwa macho kwanini. Kuna vile mumetuchanganya
@ukhtyalpha1344
@ukhtyalpha1344 4 жыл бұрын
Bora na wewe waje wakufunge macho ndio utajuwa nini
@wallacemunywa2507
@wallacemunywa2507 4 жыл бұрын
Manukato ni nini🤣
@classiccell9671
@classiccell9671 4 жыл бұрын
Marashi
@jahbless4063
@jahbless4063 4 жыл бұрын
Swahili sanifu
@hassanadow1013
@hassanadow1013 4 жыл бұрын
Marashi baba
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 жыл бұрын
MARASHI
@zanazui
@zanazui 4 жыл бұрын
I was also wondering
@mwambaowapwanichannel8572
@mwambaowapwanichannel8572 4 жыл бұрын
Haki Africa kongole tunawapongeza
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 4 жыл бұрын
Uhuru na jeshi lake limenunuliwa na Trump
@boniface3710
@boniface3710 4 жыл бұрын
Hawa walikua holidsy
@ezemothesurgeon.4873
@ezemothesurgeon.4873 4 жыл бұрын
Anajua SAA mbili na SAA saba unusu kivipi?
@hamza89945
@hamza89945 4 жыл бұрын
Serikali inanyanyasa watu
@vonstanley
@vonstanley 4 жыл бұрын
LET THE GOVERNMENT DO ITS WORK....... KAMA MLIKULA MKO SAWA .... WE MUST SUPPORT THE GOVERNMENT SO THAT THEY ARE ABLE TO PROTECT US.
@deepsea2141
@deepsea2141 4 жыл бұрын
what government?
@ahmedbadbess8462
@ahmedbadbess8462 4 жыл бұрын
Ngoja afanyiwe babako ama ww ndio utajua they are doing their work
@missttruth1334
@missttruth1334 4 жыл бұрын
Deep Sea ..the investigators
@aminakassim7149
@aminakassim7149 4 жыл бұрын
Shenzy type
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 4 жыл бұрын
The government will protect you from what? Stupid!
@viviantenai4599
@viviantenai4599 4 жыл бұрын
Wacheni ujinga tangu lini polisi katoa pesa ampe mfungwa? Hawa ni wenzenyu tu namsipo jihadhari mtabebwa kule Somalia mkijifanya ati polisi amewashika
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 4 жыл бұрын
Wacha ujinga ngombe wewe.
@mufush
@mufush 4 жыл бұрын
Fridom ni nini?huuu ni uwongo mtuuuuuupuuu at naoga hadi kueka manukato? Ambieni watoto mateja Hii Story sio sisi? Pumpavu
@ukhtyalpha1344
@ukhtyalpha1344 4 жыл бұрын
Patrick pumbaavu mwenyewe
@qaasimsaid9877
@qaasimsaid9877 4 жыл бұрын
wee watakasem aeleleze vp,. Huzo ni chuki zako
@Mrguykenya
@Mrguykenya 4 жыл бұрын
Kwani polisi wa pwani wako na adabu aje? Wah! Nyinyi inaonekana mko Marekani na bado mncomplain? Huku bara polisi hutupaka mafuta kwa mgongo wakitumia bakora na kisha they take every last coin in our pockets. Kuoga wanatwambia tunaweza tumia sweat.
@worldnews686
@worldnews686 4 жыл бұрын
Joseph sunweke subscribe
@kimkim8808
@kimkim8808 4 жыл бұрын
Nashangaa hata mimi hata anaoga, anapewa pesa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@clarionphilips2556
@clarionphilips2556 4 жыл бұрын
Hao ni polisi wazuri
@christinabarasa5515
@christinabarasa5515 4 жыл бұрын
For my behalf I thank God because this fellow Kenyans they were brought back while alife without any damage....wacha wawasaidie kwa sababu hayo yalifanywa kinyume na polisi.
@missttruth1334
@missttruth1334 4 жыл бұрын
Christina Barasa ...ikiwa wamerudi sawa na wazima,basi hapo walikuwa na wapelelezi sio polisi
@zanazui
@zanazui 4 жыл бұрын
Why does someone always try to grab the mic 🤣🤣🤣
@companions.610
@companions.610 4 жыл бұрын
Yaani that's all you could say about the whole story?
@AhmedAli-jm5yu
@AhmedAli-jm5yu 4 жыл бұрын
Msecheze na wanawake zetu hii italeta vita this is wat makes people into TERRORISTs to pay back
@nicholasmbusya6555
@nicholasmbusya6555 4 жыл бұрын
Nyinyi hamjui kuteswa ni nini,kaa hamkufinywa makende hamstahili kusema mlipitia mateso
@janenyambura5357
@janenyambura5357 4 жыл бұрын
Mungu tu🙏🙏
@sophiamacdonald2711
@sophiamacdonald2711 4 жыл бұрын
Machachu aki nyinyi
@AhmedAli-jm5yu
@AhmedAli-jm5yu 4 жыл бұрын
At least they didnt beat them up
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 4 жыл бұрын
Kama ni wanaume kweli waende kuwasumbhua al shabaab na sio mashoga wa Lamu
@janenyambura5357
@janenyambura5357 4 жыл бұрын
Napesa juu
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 4 жыл бұрын
@@janenyambura5357 Sorry things are changing
@aishachambo3293
@aishachambo3293 4 жыл бұрын
Wameteswa😳😳😳😳
@supumoto6819
@supumoto6819 4 жыл бұрын
Kumbe polisi wanagawa PesA pia, uliangukia wewe
@priscamwita.mtotoniwakeham9126
@priscamwita.mtotoniwakeham9126 4 жыл бұрын
Hawa watakuwa wamepigwa mkwala wasiseme chochote walichofanyiwa
@sylviaecke1772
@sylviaecke1772 4 жыл бұрын
This ist crazy😫😫😫
@worldnews686
@worldnews686 4 жыл бұрын
Sylvia nisaidie na subscribe
@mohammadsalim7879
@mohammadsalim7879 4 жыл бұрын
Sasa hiyo ndo ume teswa
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 4 жыл бұрын
Wewe hajakufika, kwani police gani anaruhusiwa kumfunga raiya kitambaa cha macho? Hao ni watekaji na sio police, hau ulitaka wakatwe vidole?
@bobbiegatimu7124
@bobbiegatimu7124 4 жыл бұрын
Waliteswa hawa kweli????
@andallaathman3856
@andallaathman3856 4 жыл бұрын
Ulikua wataka uone nn ndio wawe wameteswa ?
@bobbiegatimu7124
@bobbiegatimu7124 4 жыл бұрын
@@andallaathman3856 maskio ulipewa.... Wenyewe wame sema hawakuteswa...
@AaAa-kr9nb
@AaAa-kr9nb 4 жыл бұрын
we nawe awakuteswa kwani walikua kwao nyumbani mungu tu aliwasaidia
@bobbiegatimu7124
@bobbiegatimu7124 4 жыл бұрын
@@AaAa-kr9nb hatukatai ni Mwenyezi Mungu.....shida ni title ya mwenyewe amepost....alas
@elnorahmjomba1311
@elnorahmjomba1311 4 жыл бұрын
Aah hii story ikianza nilikua nimewaka hasira iweje polisi watese wenzetu kumbe ata walikua wakila wanaoga vizuri na kujipaka manukato kwani holiday?tushukuru wako hai tu ile mbaya ni kutesa na kuua watu,lakini wangewaambia wamewashikia nini hapo walikosa
@petermwambito2339
@petermwambito2339 4 жыл бұрын
Elfu saba zaree hyo kazi ya kuhojiwa na Polisi na unapata mshahara. Mm sioni shida kulingana na vile wanaeleza watekaji hawana ubaya na mtu mzuri ila kwa waghaini. Hatuko salama kama serikali haitaachwa huru kufanya kazi yao jinsi wajuavyo. Sie hoja yetu ni usalama kwa wote.
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 4 жыл бұрын
Wakenya tukiunghana mikono pamoja na kujitolea kwa nguvu kama hawa wanao hojiwa basi ndipo tuta maliza uhalifu wa mapolisi wakoloni na ikiwa hawa mashoga hawaogopi wewe mwanaume unaogopa nini?
@nusaybahbae8931
@nusaybahbae8931 4 жыл бұрын
Mahbub Dawood mbona wawaita mashoga? shame on you
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 4 жыл бұрын
@@nusaybahbae8931 Kwajili ni halali kusimaisha mateso za polisi wa koloni na ata hivi ni kweli na wote wanajua kwambha lamu kuna mashoga wenghi na wenghine wanawachokoza bila ya sababu mbhona haufunghi midomo zao?Hauwezi kwajili wewe ni mmoja wa wale mapolisi wa kibandia
@qaasimsaid9877
@qaasimsaid9877 4 жыл бұрын
Wee babu ushoga nawapa kwa kigezo gani? (Ushoga unaujua ndo wapupia kuleta porojo zisizo na mbele wala nyuma
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 4 жыл бұрын
@@qaasimsaid9877 Mkoloni wacha domo parapanda mwanzo kiswahili sanifu ni ya Tanzanian ambhayo humaanisha maana ya shoga ni rafiki
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 4 жыл бұрын
@@qaasimsaid9877 Shika moo nyanya?
@bakarikalama6099
@bakarikalama6099 4 жыл бұрын
Mnataka makafiri wafate sheria? Apo msahau
@wangash6144
@wangash6144 4 жыл бұрын
Makafiri ndio nani
@missttruth1334
@missttruth1334 4 жыл бұрын
Joan liz ...wasio waislam
@kingpharaoh6981
@kingpharaoh6981 4 жыл бұрын
Hilo Jima sumbua u look like suspect
@mariamhassan1723
@mariamhassan1723 4 жыл бұрын
Hussein sauti yako kama ya hayati Ahmed Darwesh Innallilahi wainnailehi warajiun
@sakinat2527
@sakinat2527 4 жыл бұрын
Ahmed Darwesh alifafiki? Allah amraham hata cjui
@mariamhassan1723
@mariamhassan1723 4 жыл бұрын
@@sakinat2527 kitambo ana miaka
@sakinat2527
@sakinat2527 4 жыл бұрын
@@mariamhassan1723 aaha , Allah amuepushie na adhab za kaburini
@just.elhadji__7148
@just.elhadji__7148 4 жыл бұрын
Kama umesikia "MANUKATO "weka like twende sawaa😀😂......kwwli haya ni matesooo!!!!!
@priscakadzo7323
@priscakadzo7323 4 жыл бұрын
Friridom 🤣🤣
@faridaathman7722
@faridaathman7722 4 жыл бұрын
Mjingaa shoga wewe
@plmm7706
@plmm7706 4 жыл бұрын
wajinga nyinyi mlipewa chakula na pesa hujafanya kazi ,bure kabisa
@ukhtyalpha1344
@ukhtyalpha1344 4 жыл бұрын
Mjinga wewe fataani mmoja ngoja yakufike siku moja
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 4 жыл бұрын
Badala yakuwa kamata al shabaab wanatesa mashoga wa Lamu si wanende kuwasumbhua al shabaab?Hawawezi kwajili al shabaab na polisi ni kitu mmoja
@viviantenai4599
@viviantenai4599 4 жыл бұрын
Mliteswa na alshabab hawa sio askari
@mwanashajuma6557
@mwanashajuma6557 4 жыл бұрын
Kuliza si ujinga uyo jamaa alie hojiwa kwa mara ya kwanza haoni au ndo amevaa glass hili watu wasiwajue?
@faridaathman7722
@faridaathman7722 4 жыл бұрын
Ata umbea wewe kuma
@mwanashajuma6557
@mwanashajuma6557 4 жыл бұрын
@@faridaathman7722 sasa matusi ni ya nn na nimeuliza umelelewa katika maadili gani lkn kuliza pia ni umtusi mtu siko tayari samahani kwa hilo
@alfanm.8221
@alfanm.8221 4 жыл бұрын
@@mwanashajuma6557 ata mm namshanga mbona atumie matusi katika kila comment nimefatilia sana kwenye comment zake
@mwanashajuma6557
@mwanashajuma6557 4 жыл бұрын
@@alfanm.8221 hana madili uyo ndivyo alivyo funzwa kwako labda
@lizkimani9576
@lizkimani9576 4 жыл бұрын
Umeteswa wapi kama una kula na kuoga...polisi lazima wa investigate terrorists...muongo wewe...
@ruuspicyasmr1694
@ruuspicyasmr1694 4 жыл бұрын
Wacha kuita watu waongo know how to talk
@hassanalhussein3982
@hassanalhussein3982 4 жыл бұрын
Kwani hawali chakula kwao. Kuchukuliwa kiholela bila ya kujuwa wanapokwenda hayo ni mateso tosha .Lakini wewe ni punda wa bara uko na chuki na watu wa pwani mpaka ndani ya mkundu wako. Fala wewe
@janenyambura5357
@janenyambura5357 4 жыл бұрын
Polisi upi atoa pesa zake awapea yiyi ,yeye polisi navio penda pesa hapa Kenya,😂😂7000 No No mnawajuwa hao watu
Nyumba ya familia ya watu 7 yateketea langoni kaunti ya Lamu
3:58
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 3,2 М.
1,000 Diamonds! (Funny Minecraft Animation) #shorts #cartoon
00:31
toonz CRAFT
Рет қаралды 38 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 23 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,3 МЛН
Kijana wa miaka 19 ajitoa uhai kaunti ya Lamu
2:42
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 34 М.
Wanaume hukusanyika kutazama taarifa za habari, Lamu
3:38
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 3,7 М.
Mtu yeyote anaweza own bunduki USA ata mtoto wa 16 years.
31:35
Huku Yues
Рет қаралды 575 М.
UKITAKA KUJUA 1 SECOND NI REFU! BY: PROF HAMO
8:57
Churchill Television
Рет қаралды 140 М.
SHAJARA NA LULU | Simulizi ya Joseph Kimeu
43:30
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 48 М.
President Moi 'the professor of politics'
17:18
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 2 МЛН
Zaidi ya mitungi ya gesi 19 ya uvuvi yanaswa Lamu
3:16
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 4,7 М.
PART 2-3 CHURCHILL SHOW S1E3
13:49
Churchill Television
Рет қаралды 418 М.
1,000 Diamonds! (Funny Minecraft Animation) #shorts #cartoon
00:31
toonz CRAFT
Рет қаралды 38 МЛН