Kama umemuona BALEKE Kuanzia Sekunde ya 44 Gonga Like Hapa
@BilaliMikindo22 күн бұрын
Ila nyie Kuna watu wanaona 😅😅😅
@thejoeclassicsoldier22 күн бұрын
Nimekukubali, we ni mnomaaaa.
@user-uv3hy1yj3j22 күн бұрын
Nimemuona na kiduku chake
@Alphoncemwangairo-il5ey22 күн бұрын
Hahah uko makini
@dayanandama887322 күн бұрын
Cjaona kabisa
@thomsonleon13422 күн бұрын
Alie muona baleke gonga like hapa 😂😂
@amanilubisha52422 күн бұрын
Kavaa jezi no 11
@MzeewaYanga-hm8jq22 күн бұрын
Wa kenya button iko hapa weka like zakutosha 🇰🇪 🇹🇿 ❤
@abdulikanga22 күн бұрын
kikubwa nikywaombea tu wachezaji wetu wasipate majeraha naipenda kuliko hata kula 💚💛💚💛💚💛
@amaniomar175522 күн бұрын
Ameen
@ntakakasendebayi999222 күн бұрын
Kweli nimemuona we jamaa unaona 😂😂
@MbinyaPeter2022 күн бұрын
Kama unaamini vikimbe hatuachi gonga like apoo 💛💚💚💛💛👍👍👍
@amaniomar175522 күн бұрын
Mpaka waseme. Endeleeni kupambana wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi. Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
@selasboy396622 күн бұрын
Hii team nais ipo karibu kuchukua club bingwa africa
@husseynomar952322 күн бұрын
SAFI SANA 👊 SEMA SHUSHENI JEZI MPYA 🎉🎉🎉
@emmanuelchilimo22 күн бұрын
hata hiyo kali sana......pia YANGA ni kubwa la mikakati toa shaka ndugu yangu...
@shaibusaady242022 күн бұрын
Allaah Akbar
@VON-NYANGARIKA-14922 күн бұрын
0:44 BALEKE UPANDE WA KULIA KWAKO
@user-pk4so6gr6q22 күн бұрын
Yanga bingwa in GSM voice😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@nicodemusmemba140222 күн бұрын
Tumeliona Hilo,jezi ya Young Africans mchezaji akivaa hata kama alikuwa mzee aonekana kijana mdogo
@babuumaeda767122 күн бұрын
Tangu YANGA ianzishwe haijawah kuwa kama msimu huu🎉🎉🎉 BIG UP MANAGEMENT 🎉🎉🎉🎉
@naliakafatuma987022 күн бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana Duke karibu Sana Tena Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@user-iz3hs8jl5p22 күн бұрын
jamani jezi ya yanga ina upako ata mchexaji awe vp akivaa anaonekana tofauti na jezi nyingine sijui mmeliona ilo au mm peke yangu
@patridabernard914822 күн бұрын
Uko sahihi mie pia nimeliona hilo yaan nilimuona chama alipoitinga hiyo
@user-ge3yd1tx5e22 күн бұрын
Morning Yanga ❤
@AziziKimbeJeradyJR22 күн бұрын
Tunafanya mazoea wao wanazunguka tu
@emmanuelchilimo22 күн бұрын
hahahahaha
@selasboy396622 күн бұрын
Wameena kuuza unga kaka😂😂😂
@emmanuelchilimo22 күн бұрын
@@selasboy3966 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@emmanuelchilimo22 күн бұрын
@@selasboy3966 kAZI WANAYOOOO
@halimasawa61122 күн бұрын
THANK YOU YANGA KWA TULETEA GEN Z WENZETU💚🖤SIS MAGEN Z TUTALIPIAA CARD
@ThuwaibaMkana22 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@alfarahfoundation22 күн бұрын
Baleke🎉🎉🎉🎉🎉 nmemuona😅😅
@axumsharkun92422 күн бұрын
Nioneshe na Mimi bas😂
@salmamlokela198722 күн бұрын
Amevaa kikoi cha kijani@@axumsharkun924
@amaniomar175522 күн бұрын
Yu wapi?
@mustaphahassan58922 күн бұрын
@@axumsharkun924 sekunde ya 44
@zainabuhussein22 күн бұрын
Dk ya 1 angalia kwa umakin utaon kiduku 😂😂
@user-wm4gd5nq1k22 күн бұрын
Familia 🔰 imeongezeka
@elizabetty-rt7py22 күн бұрын
Yani hizi silaha zilizo lentwa madhumuni yentu ni ya juuu kimataifa, na kumpiga mganga mvaaa nyekundu ndani inje kama ujuwi kusoma bas tazama hizi picha,
@unclegmihale45522 күн бұрын
Naipenda timu yangu Yanga...💚💚💪
@user-vj6py9tq9v22 күн бұрын
Baleke nimemuonaaaa😂😂😂
@athumaninyituki701122 күн бұрын
Kaziiiii
@user-hy3en6vk5f22 күн бұрын
We zombee🤣🤣🤣humu tuuu🥂
@qaseemayoub675822 күн бұрын
Sipo kambini lkn kupitia hizi clips Yao yao ni mchezaji anaejituma sana mazoezin na ana respect sana
@ziidyabdul101122 күн бұрын
Kama umemuona baleke gonga like hapa 😂😂
@mrishojuma469522 күн бұрын
Baleke hayumo
@KafrogyPep22 күн бұрын
254#🔥🙌🏿
@dengahmediatz123022 күн бұрын
Nimemuona baleke yulee
@JumaYusuph-dv3ot22 күн бұрын
Nikajua ni Mimi 2
@mwanangusana22 күн бұрын
Kwaiyo camera - man katoka boko ama
@amaniomar175522 күн бұрын
Wapi?
@mustaphahassan58922 күн бұрын
@@amaniomar1755 sekunde ya 44 na kiduku chake
@godfreyvicent35522 күн бұрын
Nikajua pekeangu
@mgplustz22 күн бұрын
Nasikia Ahmed Ally huwa anachungulia Yanga TV Mara Mojamoja
@erastocyprian355522 күн бұрын
Atari sana
@Heniryahaz22 күн бұрын
Watafariki tem hii😂😂😂
@ntakakasendebayi999222 күн бұрын
Naipenda yanga peke yake💛💛💚💚🔰
@Mwalimjoshua22 күн бұрын
Tumesha muona baleke 😂😂
@axumsharkun92422 күн бұрын
Kuna mtu atapigwa Kama koko bata elewa neno koko bata😂😂😂
@davicopaul67922 күн бұрын
😂😂😂 litakufa jitu
@abuu-bakarshaaban624622 күн бұрын
Hapa dube pale duke
@barakaomari344822 күн бұрын
Nani kamuona baleke😂
@mchinamweusi315822 күн бұрын
Vaa viatu vya kijan
@ZachariaPetro-gn8qc22 күн бұрын
Baleke nae tumemuona
@abuuahmed705922 күн бұрын
Kama kuna mchezaji aliyesajiliwa msimu huu basi huyu jamaa duka buya...watajuwa hawajuwi
@mugishamajeba962822 күн бұрын
2siishie kufulai 2 tujisajili 2we nakadi za wanachama tuwaunge mukono tim yetu ili fulaa iweze kudumu nawaliyo jisajili tulipie ada fulaa idumudaima
WAPIIIIIIII SKUDU WETU, Mchezaji mwenye furaha wakati wooooooote? jamaa apewe maua yake, haoneshi utofauti hata kama akae benchi muda gani, na hii ndio maana halisi ya kuwa matured katika soka....kama niko sawa wana YANGA nipeni maua yanguuuu😆
@EsterClement-f1c22 күн бұрын
Bareke
@mwanangusana22 күн бұрын
Nimemuona Jean othos Baleke... Wanapita kibwana , faridii mbele unamuona Mwamba mwenye kiduku chakee
@amanilubisha52422 күн бұрын
Wooow balek kavaa jezi 11
@luisojr348022 күн бұрын
Jamaa alilijua ball huyo no comment
@HamisiSeneda22 күн бұрын
Ni motoooooo
@hashimurashidi657322 күн бұрын
Yanga nitishio africa
@Sumaiyafisoo22 күн бұрын
Karibu 🎉🎉🎉🎉duke
@mzalendo_mwenye_mapendo22 күн бұрын
🔰
@GASHFALIVINGSTONE-yy4zc22 күн бұрын
Mm nmemuon balekeeeee au mach yangu
@PeterCharles-wi1mk22 күн бұрын
Aliomuona Baleke like hapa
@Mary-fs4mc22 күн бұрын
Kidogo tu nikuombe miwani😂
@flavianajohn525022 күн бұрын
Sjamuona mimi😒😒😒
@chrissantkaunda995822 күн бұрын
Baleke nimemuona
@dayanandama887322 күн бұрын
Nmepambana Hadi nmemuona
@TwahaMdaki-ym4nj22 күн бұрын
Cheki pale sekunde ya 44 hivi . Kama kibwana ananyoosha mkono@@flavianajohn5250
@kurumwagodfrey705222 күн бұрын
Duke abuyaaa
@yussufyusesa461122 күн бұрын
Baleke yule
@peterjairours719422 күн бұрын
Nondo mkorofi Sana😂😂😂😂😂
@B.M-ix4rz22 күн бұрын
Nimemmicy moloko muda wake huu wa kukaribisha wageni
@josepeter803322 күн бұрын
Nimemuona BALEKE😂
@sulehamad870022 күн бұрын
mm nimemuona baleke akiwa nabibzi ya zambarau
@zakayomaendeleo22 күн бұрын
Hatari
@TechMuba-lt5nk22 күн бұрын
💚💚💚💚💚✅
@BasuleBasule22 күн бұрын
Bareke Mmemficha Wapi Jaman
@ShaibuMkullu-ck6sl22 күн бұрын
Angalia vizuri kuanzia sekunde ya 44 utamuona mbele ya FARIDI MUSA , kanyoa kiduku.
@husseinkombo-344722 күн бұрын
Yani uyu abuya ndo mtu hatari zaidi hapa yanga mtaniambia
@ismahafidhi175622 күн бұрын
ko musonda ndo baba jeni bye bye
@Enock-sy2en22 күн бұрын
Oa baleke huyoooo!!!😮
@user-yo4wt5op2e22 күн бұрын
Nimemuona baleke😅
@user-ql6hg7fy9p22 күн бұрын
Ikawe heri kwake
@markcossenaji809222 күн бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@OscarStar-iq1zj22 күн бұрын
da iyanga mbona inanipa iman kubwa sanaa?
@OmaryKihimbwa22 күн бұрын
Aucho mbona ayupo?
@agrirelieftanzania56122 күн бұрын
Zoom sekunde ya 44
@user-jv2zw3jo3b22 күн бұрын
Baleke yupo apo bhn
@mustaphahassan58922 күн бұрын
waliomuona Baleke
@leotv830322 күн бұрын
+254
@DatyVena-ph3sz22 күн бұрын
mmeshaanza kuwachangany wachambuz jmn hawaelewi huku
@AllyMasangaluka-bm5ib22 күн бұрын
Aondio wachezaji wameshiba na walefu tukutane kwankapa
@husseynomar952322 күн бұрын
HIVI WACHEZAJI WÈTU WASHAPEWA SEMINA NA MALENGO YA YANGA YA MSIMU HUU??
@IBRAHIMBrahimi-hk9mh22 күн бұрын
kinyaga mwanangu mwenyewe
@gharibbilal918022 күн бұрын
Malengo kuingia makundi
@user-qm5un9yc8r22 күн бұрын
Nkbl
@manaseyona926022 күн бұрын
Mh mbona haonekan baleke?
@maryaugustino871622 күн бұрын
Jamani musonda bado sijamuona
@Adrianolaurian22 күн бұрын
Baleke na yeye ndani
@kisinzajohn180522 күн бұрын
aucho na 😂diarra wako wapi
@babuumaeda767122 күн бұрын
Kama si shabik wa YANGA anza kuandaa dozi dawa ya presha maana msimu huuu ni maumivu tu 😂😂😂😂
@user-vv5vq6dy2i22 күн бұрын
Nani kamuona baleke 😂😂😂😂
@ghostempiretv50422 күн бұрын
Yuko wapi aucho???
@zainabuhussein22 күн бұрын
Nmeona watu wanacomment wamemuon baleke 😂 imebid nirud niangalie ten kwa umakin kweli bhan camera man ametoa boko😂😂 dk ya 1 angalia kwa umakin 😂😂
@gidoalfred846022 күн бұрын
Hivi doctor wa mpira anarudi lini???
@seifmsabah438422 күн бұрын
Yan cjafaham yanga haswa wamedhamiria nn mara hii? Naona usajili kwakweli ni shuhuli haswa, huyu Duke Abuya nahic alikua star kweny timu yake na yule goli kipa wa ihefu ni balaa jengine na chama ndie staring wa simba kwa miaka yote yan bado nawaza kama mzee Said itakuaje hii move
@ismailkiwawas598222 күн бұрын
Ujuee mi mpaka naiogopa 😂😂
@fahmijuma819122 күн бұрын
Mbona mara hiii hamna interview na wachezaji wapyaa
@pacomezouzoua917522 күн бұрын
Nani kamuona Moses phiri😅
@ShauriBaruti22 күн бұрын
Kila la heri chama langu
@malietamaliet22 күн бұрын
Duuh alwatan unatakiwa upigwe fain mtu ajatambulishwa unamchukua video 😂😂nimezoom mpk nikamuona baleke mwanzo nilijua ni boka