Huyu kabudi ndio liye'kuwa waziri wa sheria enzi za Magu hadi magu kafa na damu za watu, mpuuzi sana
@VeryMnyakiwele-j1p11 сағат бұрын
Hao human rights watch ndiyo waliruhusu barakoa zenye vimelea vya covd 19 Leo watatuambia Nini tuwaelewe etiii
@SaneMwezi11 сағат бұрын
Human rights watch wanajifanya wanjua wakiwa TANZANIA sio gaza au Lebanon wanakufa njaa ujinga tupuu
@FranckDaniel-cc5rg9 сағат бұрын
Yani hawa marekani ni wachochez sana ila mwisho wao na vyombo vyao kama dw bbc watapigwa na urusi na haki itatawala dunian
@festokemibala583212 сағат бұрын
Kwani ukweli au chumvi ya wastani au stahiki ni ipi? Kabudi tufahamishe hapa hiyo chumvi ulinganifu wake
@rahimzuberi267310 сағат бұрын
Hawa wajerumani ndiyo wafadhili wa cdm tunawajua mbona Israeli inaua watu bila hatia Dw hamlisemi hivi vyombo vya habari vya magharibu vinatumika kuiharibu africa ili tuuwane sisi kwa sisi
@BernardMutaremwa11 сағат бұрын
hawa wakina kabudi matumbo yao tu wanachumia kwani waliyoyaona HRW mbona yalikuwa yanatokea mchana kweupe? waache tu Mungu atawahukumu kwani hata wakiongoza kiubabe mwisho si hukumu halali ya Mungu.
@ikulunimahalipatakatifu764211 сағат бұрын
NYIE HUMA LIGHT SIJUI RITE SIJUI LITE, UKO PARESTINA, LEBANON, SYRIA, HAMUONI NYIE MNAONA MNA HAKI ZA KUUWA WATU ? , KWANZA HUU MCHEZO MNAUFANYA WENYEWE NA HAO VIBARAKA WENU ILI MVURUGE NCHI YETU, MTASHINDWA hii ni TANZANIA siyo GEN_Z.., AIBU YENU !!!
@saidimasudi645014 сағат бұрын
Israel anahaki ya kuua na kuzuia misaada ya madawa vyakula mbona human rights hamuoni?
@saidimasudi645014 сағат бұрын
Mnete uliza Israel Kwa nini wazuia misaada Kwa wahanga huko Gaza
@Voiceofpeopleotz19 сағат бұрын
Hapa naona ku a umuhimu mkubwa wa kuchunguza vizuri.Sheria,mila na desturi kusije kuwa na kichaka cha watu kujificha katika Sheria mila na a desturi. Pia prof anasema kama hujaridhika unaweza kwenda Mahakamani sasa je mtanzania wa kawaida akionewa, je ataweza kwenda mahakamani kutafuta haki yake mbele ya jamuhuri pesa hzi za kusimamisha kesi angali kula yeke ni shida atawezaje.